Mwanafunzi aeleza sababu baadhi ya viongozi kukosa uadilifu, amtaja Magufuli
Вставка
- Опубліковано 19 вер 2024
- Mwanafunzi wa kidato cha sita Sekondari ya Nganza jijini Mwanza, Florida Rugemalila amesema ukosefu wa elimu ya uzalendo kwa viongozi wa Umma umechangia baadhi yao kushindwa kutekeleza wajibu wao kama alivyofanya Rais wa awamu ya tano, Hayati, John Magufuli.
Florida ametoa kauli hiyo leo Agosti 5, 2023, kwenye kongamano la uzinduzi wa kitabu kilichoandikwa na Mkurugenzi wa Taaluma, Tafiti na uchapishaji kutoka Chuo Kikuu cha Hebron (UHB) nchini Malawi, Malango Chinthenga chenye kichwa 'Africa Magufuli and Change' uliofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agostino (Saut) Mwanza.
Mwanafunzi huyo ameitaka Serikali kuweka sheria, muongozo, na dira inayomtaka kila kiongozi anayekabidhiwa kuongoza nchi kuifuata ili kuiwezesha malengo ya nchi yafikiwe.
Ahsante sana Mwanangu kwa kuelezea ukweli.
Lakini pia nikupongeze kwa kumkumbuka JPM, Mwana Afrika kweli kweli, Mzalendo wa kweli wa Nchi yetu na mwanamapinduzi kweli kweli.
Kizazi hiki hakitamsahau kamwe JPM.
Jina la JPM litatajwa siku zote hasa katika kizazi hiki.
Safi sana
African ukiwa mzalemdo wanakukata viongozi wa Africa ni wanafiki waongo waongo uongo kuuweka kuwa ukweli wakati wakijua sio sawa lakini Wana kausha macho
Waooooooooooooho🎉🎉🎉 mauwa kwako
Kweli ukitenda mema utawacha matunda mema
hongera sana
🤝👁️💯
Yaani mtoto umeongea poit. Serekali haipo Tanzania wewe. Tunaishi kama mbuz zizini. Naichukia hii nchi ya Tanzania . Natamani ningezaliwa mbwa marekani kuliko hii nchi ya mafisad. Natamani viongoz wote wafe tujiendeshe wenyewe. Sion sababu yakua na viongoz . Hakuna haki Tanzania.
Mwalimu alisema tunahutaji vijana jeuri sio vijana wazungumzaji kwan haohao ndo huwa wanageuka badae
Hakuna kitu hapo.........! Tuishi katika uhalisia tuache kuwamezesha wanafunzi maneno ili wakazungumze mbele za watu then wakitoka wanasau yote sas kama wote tuna positive thinking hawa wezi huwa wanatoka wap?
mwanagunz huyuuuu apewe maua yake