Ndugu yangu mm nkiwa na hasira af nikakuchek kwenye Kaz yako duh moyo Wang nauskia mwemwere mungu akupe akili nyingi hekima namaarifa zaid ili upate mafanikio mema kupitia Kaz yako haijalish watu watasema vp kujitoa ufaham lazma ili mahela ya patkane
Hahaha hapa kufeli Mtihani nilazima, mtu unaendaje kunya wakati muda umebaki mchache.. Sasa nitafanyaje 😅😂😂 Karibuni Sana ZANZIBAR Muje mufanye utalii wa ndani 🫶🌊⛵🌊
Steve naona kama ni ukweli kichwa ni jepesi kwa masomo hauwezi kimasomo ata usipo soma nyota yako ni ile ile tuh ok am watching from Kenya my name is Bruce
😂😂😂😂😂😂😂Ndah wacheni tu mie nijiseme,huwa naanza kucheka hata kabla nitizame video zenu nduguzanguni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 muhu Kenya hatuachi kucheka kaka Stive bwanaaaa 🤣🤣🤣🤣
TRENDING NO.✅ ASANTENI SANA WATUWANGU WANGUVU GOD BLESS YOU
Stev nakukubal san unajua mpak unaker mungu akuwek uzid kutu furahish zaid brother n ufik mbali
tupo nyuma yako
Ndugu yangu mm nkiwa na hasira af nikakuchek kwenye Kaz yako duh moyo Wang nauskia mwemwere mungu akupe akili nyingi hekima namaarifa zaid ili upate mafanikio mema kupitia Kaz yako haijalish watu watasema vp kujitoa ufaham lazma ili mahela ya patkane
ua-cam.com/video/iMdXg4ozU6s/v-deo.html
Clip za shule ni nzur sana
Steven kweli WE noma sana🤣🤣 hakuna unacho kijuwa kama una mkubali Steven gonga likes
Kidawa na Steve hii mumetisha zaidi.. Huyu mdada kaja Kwa Kasi Sana kwenye game.. Inshaallah atafikia malengo👊🏾🙌🏾
Steve una utani bro...umenivunja mbavu na mpwa wangu🎉😂😂😂😂😂♥️🔥🇰🇪🇰🇪💯
Comedy zake tunazipenda sana
Muuza korosho nimekua wa kwanza leo,kutoka Kenya,county #002 Kijiji Ni Cha Sauzi😂😂😂😂
Kwale county
Nomaaaaah😊
Unastahili kuwa top on East Africa umetisha sana 👏👏👏
Nipeni like 10 me leo wa kwanza
Hahaha hapa kufeli Mtihani nilazima, mtu unaendaje kunya wakati muda umebaki mchache.. Sasa nitafanyaje 😅😂😂 Karibuni Sana ZANZIBAR Muje mufanye utalii wa ndani 🫶🌊⛵🌊
😂😂😂
ua-cam.com/video/iMdXg4ozU6s/v-deo.html
Hahahahahaaaaaa stive Kwa uyo teacher utanyooka2
@@tumsifutonatusi had Of food from you to left
Ooh bro Steve I like your job may Almighty God bless the work of your hands🎉
Steve ni kama anataka kulia hivi 😂😂.... 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mastaa wote darasani hovyo!!!
Steven cha mwisho.
Steve mzee wa Chabot ajuw alitendalo yaan ni shida😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Steve umeupiga mwing aseee...hat salam hujui😂😂😂
Hajra Mashaallah jmni❤muigizaji mzuri sana na napenda anavyojistiri
Umetisha sana MUNGU AKULINDE
Wakwaza leo 💥💥💥💥✊💕💕💕💕
Number one like zangu
😂😂😂This made me to remember my Mathematic teacher in Primary Mr Paul Mbugua. Best teacher..
ua-cam.com/video/iMdXg4ozU6s/v-deo.html
Really
So this time around u went back to school 😂😂😂 thanks for the effort Steve much love from 🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Mwalimu Ni PISI 😀😀😀😀😀😀👏
Team Steve Mweusi Nyote Nawakubali sana Mashaallah
Wa kwanza Leo.. nipeni likes hata 10 tu kama unamkubali jamaa. Nipo. Mkuranga kwao Kwa sasa
Mkuranga
@@user-yx5hs7xz4j Nuru mambo
@@zeroconscious1916 poa mzm
Ahsante sitive kwa burudani
mwalimu ana tako nzuri kwelikweli
Hata mimi nime ona hivyo hivyo
Vijana wa hovyo kweri mmejaa Uzinifu tu😂😂
😂😂😂😂😂 katika clip’s zote stive hii ndo umepatia sana ongera
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Steve you've made my day from Kenya ahaaaa
Kwa hiyoo Steve ulitaka uliyosoma miaka Minne uyaandike yoote hapooo😂😂😂😂😂😅
Najikuta namzubaliya mwalimu😀😀😀 mtihani wa kuona movie unanishinda
i dont understand the language but im enjoying this
Sorry
You from which country
Uyu Steve ni mm kabsa nlikua kilaza wadalasa af mikosi kibao kila nikigeuza shingo tayar nshakamatwa sababu kibao walimu walinichoka mweeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
You may gooww.......acheni kizungu banaa😂😂😂😂😂
Nlikua nadhni n mm pke yngu nimeskia😂😂😂😂😂😂😂kozungu cha TZ
Kwaiy team steve wote mazuzu darasana😂😂😂😂
Steve wewe unaonekana wenilofa kweli examens hautaieza Kbis 🤭🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Steven tiripu za chooni zitakuuwa 😂na njia hazitokii 😂 like jamani sokitu chakumnyima mtu😂 Steve anajuwa like kwakeee
Kiekiekie 😅😮😂😅 Steve tu es vraiment terrible, je suis au Congo Kinshasa 🇨🇩 ici à Kinshasa mais je t'apprécie beaucoup bravo 👏👏
Kiongozi wa darasa ni kifaaa hatari ya zaidi❤❤❤
😂😂😂 Weeh Ni Mpuuzii Sana
Steven we noma kweli ndio maana watuumisha vichwa kwa kucheka amina from 🇰🇪
😅😅😅😅😅😅😅🎉
Waah,,, msee unachekesha joh. Hivi hipo siku utaja kua serious bro🔥🔥😂🤣🤣🤣 lakn uko freshi braza. Napata nacheka tu mwenyewe bro😂🤣🤣🤣🤣
Waooooo umetish san
😂😂 mwalimu jana nilikula maragwe mingi
Mwenzangu tulikuwa tumezoeana😂😂😂
Uyo mwalimu ana mzigo
kitu ambacho nilikuwa nakichukia shule mwalimu kutaja maksi mbele za wanafunzi.
Jamanii nimechekaaa uwiiii😂😂😂😂 unatuua mbavuuuu nakupenda buree ww kaka
😂alafu uyo mwalimu ni fire hatari ya kufaa 🙆🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
My real comedian in tz.salute brow for good work
Steve never disappoint, much support from Malawi 🇲🇼
😍😍
😊
😊
Agasobanuxe
No aga
Mwlmu ana takoo balaa
oa blood nakukubar kinoma big up unafany kaz nzur
Steve wangu umekoma kabs hapa hauna la kufanya mpaka umebanwa hem much love from Rwanda
Trending #5 in kenya how bigup
Bien jouer mon frère sans c'est trop cool👌👌👌💓
Wqnafunzii someni swqli mwelewa ndoo mjibuuu
Kazi nzuli sana bro.
Steve never disappoint😂😂
so poa
ua-cam.com/video/iMdXg4ozU6s/v-deo.html
This world used to be a place to learn to suffer, but that has to change. Make this world heaven!
Keeps me happy every time i come across his videos
Steve mtu mzima😂😂
Appreciated from Congo 🇨🇩 keep it up
Imeenda hiyo Steve 😅😅😅
😂😂😂 mtegemea cha nduguye hufa maskin
15h 👉101k 🔥👌 nakubali Kaka Steve ❤️🇨🇩
Xxxx
Nyie kwan Steve shule kaenda kufanya nn huyuu😂😂😂😂😂
Steve naona kama ni ukweli kichwa ni jepesi kwa masomo hauwezi kimasomo ata usipo soma nyota yako ni ile ile tuh ok am watching from Kenya my name is Bruce
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yani Steven anachekesha watu kbx😂😂😂. Nawapenda
And the teachers are so cute Tanzania kuna warembo
Daaaa kusema ukweli Mimi nikisimamiwa na mwalimu kama huyu lazima nitafeli mtihani maana si kwa sabufa hilo
😂😂
Kaka Umenikumbusha mbali sana hahahaha 😂😂😂😂😂
Mwalimu kidhungu jamani..yes you may go..😂😂😂
Steve never disappoint😂❤
Haaahaa 😂😂😂😂😂😂😂 stive bro acha mungu akusaidie nimecheka Sanaa waah!
Daaah nimekubukaa barii San
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mna vituko nyinyi😂😂😂😂wasimamizi sasa,wapite karibu na wewe ndo wacomment someni maswali vizuri ndo ujibu😂😂😂😂
Mubarikiwe sana ❤😆😆😆😆😆😆😆
Huyo mwalimu ana shuzi si haba.
Sijawahi pata like apa
Kijicho nawapeda sana❤❤❤😂😂 good job 🇸🇸🇸🇸
ua-cam.com/video/iMdXg4ozU6s/v-deo.html
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤mbavu zangu mie stvu bwani
Confirmed By Vihiga Finest Official 👑 254
Good job brother never disapoit you 😂😂😂😂👏👏
Steve toeni mpyaaaaa
Just go ahead brother your doing well 🎉🎉🎉
Mweusi family wamewakilishwa vyema Kwa nyumba 😂😂😂
ua-cam.com/video/iMdXg4ozU6s/v-deo.html
Aise nakumbuka sana siku hizo nikiwa shule #Mahuta, Tandahimba_Mtwara.
🤣🤣🤣🤣
daa mwaka huu tutaona mengi 😂😂
😁😁😁 Steve u make me Happy all the time
Bro upo vizur 😂🙌
Unanilizikisha so steve god bless your job
Daaaa unachekesha sana stiv
Stevo akh unaniua❤❤
Umeni kumbusha kipindi walikua wanagwa makala tasi duu😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣stivu huwa unanifurahisha sana
From 🇹🇿🇹🇿 nakubali ndugu yangu stivu mungu azidi kukubariki kwa kazi yako
😂😂😂😂😂😂Steve kweli umeua vibe.
Stiivuu mnoma kinyama kweli....hamna content creator (Tz/Ke) video yake nmeona kuingia trending ila stivu tu...much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Una macho huoni nini wakenya tupo huko juu angalia vizuri
@@tabzwambugu1060 that's your view swezy pinga
i love this guy. How about some english captions. would even be funnier.
Well done my brother
Soma swali uelewe 😂😂 😭
Wanafunz Someni swali muelewe ndio Mjibu 😂😂😂 Kauli hiyo ikitolewa baada ya ticha kuchek paper yako utajua hujui
😂😂😂😂😂😂😂Ndah wacheni tu mie nijiseme,huwa naanza kucheka hata kabla nitizame video zenu nduguzanguni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 muhu Kenya hatuachi kucheka kaka Stive bwanaaaa 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😅😅😅the king of comedy you are fantastic
Steve huyo Husna nataka kumjuwa zaidi nipe namba kumi zake niwasiliane nae