Lisu kusema kweli Mungu akusaidie. Watu wamelewa na ccm , mimi sina chama, naangalia watu wanao tufaa Tanzania kutuongoza. Ninyi mnao tetea na kuwaponda wapinzani, hamjui chochote. Achana na vyama, angalieni taifa lenu.
hiyo kauli ni mbaya sana ina maana Mkuu Raisi anasema nchi hii haina democracy sasa??kwa sababu nini maana yakusema “tumewalegezea na kuwa na utu” wataalamu wakuchunguza picha ya kauli hapo mnasemaje??kumbe si katiba inatupa uhuru ila ni huruma na utu wa Mkuu wa nchi??Mimi naona kama hiyo katiba si kitu ila sisi watawala tunachotaka ndo habari yenyewe..sasa kama ndo hivyo naomba sana nchi hii isiitwe nchi ya kidemokrasia tena,maana kumbe mimi nilipo hapa eti si katiba inaniongoza ila ni huruma na utu wa Mkuu wa nchi. Bwana YESU wanazarethi imulike Tanzania ikomboe kwa namna uonavyo wewe AMEN
@@user-xn6ky1vk2g wabongo hamna shukrkan nyinyi. Hata mupewe nn chuki mtabaki nazo tu milele. Uyo magufuli kauwa wangap kateka wangapi. Uyo lissu wenu ninani aliempiga risas. Hivi mbn akili zenu mnakua kama Wanyama mnasahau Mara moja. Lissu miaka mingap anatamn kuja kwako kipind cha magufuli mbn hakusubut kuja. Leo mumepata muungwana amerudi bila ya kikwazo kwao. Ameeka huru vyombo vya habar. Vyama vya upinzan Kavipa uhuru wa kueka mikutano Yao ambapo mwanzoni havikupatikana. Ninan aliekwenda kumuona lissu wakat anaumwa woote walimsusia mama pekee akaenda. Mumeshazoea udictekta wa magu nyiny hakuna respect kwa viongoz wake anachotak anafanya bila ya huruma na Woga amewaharibia matajir wangap hadi leo wamefilisika. Acheni izo muwe na tabia ya kukumbuka Mazur kwa mtu. Hivi ilo jambo unauhakik gan kama ayo mauwaji ameyafany yy mama Samia. Pengin ni mpango tu wa kumuharibia sifa Rais wetu.
Mauaji ni kitu kibayaa lakini katoka watu wanaotakiwa wake kimya bc ni wamarekani kwakuwa wao ndo wanaongoza kugombanisha watu na mfano ni huko Palestine
Nilitegemea rais angesemea kwa habari ya mateka ambao hawajapatikana mpaka leo alipokeo tu hotuba walimwandikia polisi tu hakulta suluhisho ambalo lingeleta sura ya utaifa kweli sikuelewa hotuba ya mama rais wetu
Wazungu ndio wanatuteka na kutuua? Wazungu ndio wanatupoteza na Polisi wasitutafute? Yule uvccm wa Kagera ni mzungu? Mpumbavu hawezi kujiuliza maswali haya
Dah!ila tanzania kuna viumbe vyaajabu jamn yan mtu kupigwa risasi kutekwa nakufa nikiki ila ishalah mungu yupo atajibu skumoja tutaona ukuunwa mwenyez mungu tanzania
Huyu anapitwa na mambo halafu ana uzamani mwingi. Dunia inapigania kujitawala na haki, watu wanalinda nchi zao ili kujinasua na utekaji wa nchi zao. Kama unataka kujitawala lazima uende kwa tahadhali, wazungu wasionekane kuwa ni special kuliko watu weusi. He is a limited mindset human being.
U kristo na u Islam vinaingiaje hapo? Mini ninahisi kuwa hata waliomuua Kibao walikuwemo waislam wenzie, waliompiga Lisu risasi walikuwemo wakristo wenzie! Sasa naomba tusichanganye mambo,,,
Mnataka kutuletea ya Libya.Watanzania tuweni makini sana Chadema wana malengo ya kuivuruga nchi yetu. Chedema tunawapenda sana ila kuna sehem hamna hekima wala akili...plz badilisheni njia zenu za kudai haki, wazungu hawawezi kutupendelea mema sisi, wao ya kwao yanwashinda.....waulizeni somalia,congo,Libya,Urusi,Sudan na Yemen
@Alfred we ujitambui hivi kama CCM wakikubali kukosolewa na wakajilekebisha ayo machafuko yatatoka wapi ? CCM ndio chanzo Cha machafuko kwasababu viongozi wao sio waadilifu wamejaa vibuli nakujiona wao ndio bola na wanaostaili kuiongoza nchiii
Mara hujakimbia ,mara ulikimbizw na mabaloz . Jmn c usem tu mama ndo amekurudsha,angekuw magu ungerud? . Chamsing mjikite kutafut nani anateka ? Km ccm nan hyo anawatuma? Hayo n mambo yakuungana wanaharakati, wanasiasa ,jamii na serikali c kurushiana maneno na kutuhumiana jmn. Kwahyo samia atume watu kuua mtu jmn kwel? Hao ni majambaz km wengine tuungane tuwajue na kutokomeza
Lazima atajifanya hodari wa uwakili, ulipojitambua mbona hukurudi ila baada ya hayo mazingira ambayo unatulazimisha kuyafahamu. Kwa hivyo hio kurudi kwako unatushawishi kuwa ulikamatwa na kwamba unatafutwa toa sera zako na sio kukaa na kuropoka ovyo. Kumbe mnafanya uhuni kwakutoroka na kuidanganya serikali ndio nchi unavyotaka kuitawala ?
Ndugu muandishi kama kulikuwana sheria pamoja na taratibu nzuri tusingefikia hatua ya kuuliwa kwa watu na utekaji wakijinga namna hii sio Hii sio sawa 😢
Yaani shida yenu chadema mnatukana matusi. Mmeota mikia. Tena lisu mi nakushauri ungeokoka tuu. Kuliko unavyohangaika na kufurahia matukio yakitokea bas nikujaa kutupigusha kelele mtandaoni.
@@khamisswalehealiejiita ni jiwe sasa hivi yuko wapi? Wanaharamu nyie msiosimama kwenye haki na kujiona kama nchi ni yenu pekee, yeye anaita wameota mkia je siyo tusi hilo,?
Mtaji wa kimataifa ndio nini? hatuhitaji mawazo ya binadam wenuewe uko wanavita vyao mfano marekani na wao wanakampeni zao wanashambuliana, sisi hatuitaji mataifa tunaitaji mkono wa Mungu tu ktk taifa letu
Comde. na bwa. mdogo Lissu akiongea, watu wanachanganyikiwa sana. Ni kwamba simba akiingia mjini au akiunguruma, viumbe vyote ni hekaheka. Hata sisimizi wasiojua kinachoendekea watalia kwa kukanyagwakanyagwa na viumbe wanaohaha huku na kule. Ebu soma comments za watu, utaelewa namaanisha nini.
Kabla hujadai haki yako usitukanwe,basi jitahidi na wewe usimtukane mwenzako,ttz lako Lissu mmesahau mlivyo kuwa mnamtukana Raisi adi mnamuita msag........ so pls shut up yout mouth Lissu... Ni sawa tunaumizwa sana na utekaji ila na nyinyi pia hamna nidhamu Lissu
RAIS SAMIA NAKUOMBA NAWEWE UTOE TAMKO MAJARIBIO YA KUTAKA KUMUUA TRUMP MARA MBILI MAREKANI WAKATI NI MGOMBEA URAIS 2024.MAMA KAZA KAMBA DAWA IMEWAINGIA SIWALIKUWA WANASEMA USEMI SASA UMESEMA WANABADILIKA PIGA KAZI RAIS
@@williamfrancis8724 Wanataka Watu Wapigane kwa Usaidizi wa Mataifa ya Wakoloni. Hao nivibaraka kama wale Walio ichafua Libya. HATUTOWAPA FURSA ASILANI
@@MujuniKamugisha hapana swala la kufa kaka Allah ndio mjuzi mimi na wewe tukiambiwa tutoe ushahid kama kwann ameuwawa hatuna jibu lakin nataka nkuambie fatilia filamu ya osman bey utajua kwann aliamua kutetea taifa lake kwa upanga na ishallah kitali kitakuja mimi sina waswas kama ntakua hai wanafki kbla ya mkafiri ndio mtaanza kuwauwa
Mh. Lisu Mungu akulinde, tunakupenda tuna kuheshim, asante sana mh. Lisu.
Amen amen amen
Lisu kusema kweli Mungu akusaidie. Watu wamelewa na ccm , mimi sina chama, naangalia watu wanao tufaa Tanzania kutuongoza. Ninyi mnao tetea na kuwaponda wapinzani, hamjui chochote. Achana na vyama, angalieni taifa lenu.
Namkubali sana Tundulisu.
Pambana mtani
hiyo kauli ni mbaya sana ina maana Mkuu Raisi anasema nchi hii haina democracy sasa??kwa sababu nini maana yakusema “tumewalegezea na kuwa na utu”
wataalamu wakuchunguza picha ya kauli hapo mnasemaje??kumbe si katiba inatupa uhuru ila ni huruma na utu wa Mkuu wa nchi??Mimi naona kama hiyo katiba si kitu ila sisi watawala tunachotaka ndo habari yenyewe..sasa kama ndo hivyo naomba sana nchi hii isiitwe nchi ya kidemokrasia tena,maana kumbe mimi nilipo hapa eti si katiba inaniongoza ila ni huruma na utu wa Mkuu wa nchi.
Bwana YESU wanazarethi imulike Tanzania ikomboe kwa namna uonavyo wewe AMEN
ETI ANASEMA KIFO NI KIFO 😢😢😢SAMIA MUST GO &SAMIA LAZIMA AENDE
Aende yule mamma moyoni ayupo jmn
Mpka 2030 mama samia
Samia must go
Utakwenda ww sio mama samia
@@OmarJuma-bk9wlww ndiyo utakwenda na uyo mama Yako na Uko
@@user-xn6ky1vk2g wabongo hamna shukrkan nyinyi. Hata mupewe nn chuki mtabaki nazo tu milele. Uyo magufuli kauwa wangap kateka wangapi. Uyo lissu wenu ninani aliempiga risas. Hivi mbn akili zenu mnakua kama Wanyama mnasahau Mara moja. Lissu miaka mingap anatamn kuja kwako kipind cha magufuli mbn hakusubut kuja. Leo mumepata muungwana amerudi bila ya kikwazo kwao. Ameeka huru vyombo vya habar. Vyama vya upinzan Kavipa uhuru wa kueka mikutano Yao ambapo mwanzoni havikupatikana. Ninan aliekwenda kumuona lissu wakat anaumwa woote walimsusia mama pekee akaenda. Mumeshazoea udictekta wa magu nyiny hakuna respect kwa viongoz wake anachotak anafanya bila ya huruma na Woga amewaharibia matajir wangap hadi leo wamefilisika. Acheni izo muwe na tabia ya kukumbuka Mazur kwa mtu. Hivi ilo jambo unauhakik gan kama ayo mauwaji ameyafany yy mama Samia. Pengin ni mpango tu wa kumuharibia sifa Rais wetu.
Mbna una comment kitu ambacho huelwi bro tena ati umuislamu tena hujuii right yako?.
TUNDU LISU ameongea kiume
Mwanamke samia must go atukutaki
Tundu liso juu tunakupenda na tunakukubali shujaa wete mwenye amebaki 💪💪
Mauaji ni kitu kibayaa lakini katoka watu wanaotakiwa wake kimya bc ni wamarekani kwakuwa wao ndo wanaongoza kugombanisha watu na mfano ni huko Palestine
Mhe Lisu Mungu akupe maisha marefu,damu yako Mungu anaijua ,tunakuombea afya njema.
Tundu lisu anapenda amani sana
Mwandishi mpumbavu akutana na hekima ya tundu antpasailisu 😅😅
Hili jinga linasema tundulisu amemtukana rais, ni mchochozi ajitambui
Amani kweli ni kitu muhim
Unajuwa msiba ukiwa haujawai kutokea kwenye family yako nahuku unakula chips yai nakuto jali binadamu wenzako nilahisi kuwashii wengine
Nilitegemea rais angesemea kwa habari ya mateka ambao hawajapatikana mpaka leo alipokeo tu hotuba walimwandikia polisi tu hakulta suluhisho ambalo lingeleta sura ya utaifa kweli sikuelewa hotuba ya mama rais wetu
Alisema wameota mikia MATUSI KABISA
PUPPET LISSU AT HIS BEST!! ETI UHAI MWINGINE NI MUHIMU KULIKO MWINGINE!!!
Hakusema hivyo.lisen to his speech very carefully
Puppets wajulikana lakini SIO LISU,huyo ni mzalendo na mpenda HAKI
Samia mitano tena
Mkundu wakoo....
Ms....nge!
Tusitafute mitaji ya mataifa wazungu tutafute mitaji ya amani ya taifa letu Tanzania wazungu hatuwataki
Wazungu ndio wanatuteka na kutuua? Wazungu ndio wanatupoteza na Polisi wasitutafute? Yule uvccm wa Kagera ni mzungu? Mpumbavu hawezi kujiuliza maswali haya
@@bcozhenry2698upo sahihi mkuu.
Atabaki na Mungu
Lissu for president ❤
LISSU IS A PUPPET, YOU WILL REGRET IT
@@petroyohana1126 forget
Sheria hazijabadilika,?? Kumbe kupigwa risasi ni Sheria ya Tanzania???
Hatariiiii
Hapo sawa baba
Kwa Kauli ya Rais kwamba Kifo ni Kifo TU.
Hapo Rais amezingua sana..
Mimi nahisi wazanzibari tupeni nchi yetu na nyinyi watakanyika mchukue tanganyika yenu kumbe nyinyi watanganyika ni wabaguzi na roho mbaya
Tundu lisu is the 🐐
watekaji nihawa chadema mnajiteka slaa alisema mliusika kwa chacha Wangwe na hata lisasi ilikuwa kiki
Dah!ila tanzania kuna viumbe vyaajabu jamn yan mtu kupigwa risasi kutekwa nakufa nikiki ila ishalah mungu yupo atajibu skumoja tutaona ukuunwa mwenyez mungu tanzania
Silaah anawajua watekaji wote
USA mbona hawaja sema wanavyo tubia sisi wacha tamaa naao viongozi wenu wa USA ndio chanzo Cha machafuko
Lisu my president
Inamaana raia kushambuliwa na kuuliwa ni kitu cha kawaida
Mwandishi wa habari nae ni mchonganishi.Maswali yake ni ya uchochezi tupu.
Ukiachana na upinzani ameongea vzr saana saana kiukwel yani
Nakukubali sanaaaaa
Hao u.s.a wameshauwa watu wangapi ktk hii dunia,hapo unapokimbilia na wazungu ndiyo shida yangu kwako.
Ila la kibao inauma cn
Huyu tundu ni hovyo anapenda sana kuona amani inavurujika anatumwa na mabeberu
Serikali yenyewe inaendeshwa kwa hisani ya mabeberu
🤡
Mabeberu ni akina nan au ndo wanaotukopesha na kupa misaada!
Mabeberu hao ni akina nani?
Mabeberu wapi? Ambao kila cku rais anasafiri kwenda kuomba omba??ndio maana Trump alisema Afrika inabidi itawawaliwe tena ndio waafrika watajielewa..
Nyie kenge mnajisumbua na ss wananchi tuko pamoja na rais wetu nakauli zake tunaziunga mkono
Chawa jisemee mwenyewe sisi tulioko ngorongoro hutumwelewi huyu chura kiziwi
Wew ndo uko pamoja nae ila sio sisi
Rais wenu na nani ?
Nani alimchagua ?
Huyo ni Rais wa katiba
Nani awaunge mkono watu waovu wewe sema ni nyie wenyewe usituhusishe sisi wananchi
Sema wewe ndo upo pamoja nae siyo uwaunganishe watu wengine chawa weweee.
Kikubwa lina potokea tatizoo lamwezetu kupata mazila jamani tuondoee itikadi ya uvyama tuubebe utuu na ubinadamu
Hakika
Lissu hata kama humpendi ila huyu jamaa Ana akili sana.
Baba u know
Samia Must go Tanzania.... 😂😂😂
😢
Chadema ndo chama pekee kinachostahili
Baba yetu lisu hukukimbia ila ulijihami hawo hawana akili na pia ulikuwa unaumwa usijali baba yetu tunakupenda
Paza SAUTI Makamu Mwenyekiti wanasema 2atarudisha Mateso ya Awamu ya Tano Paza SAUTI Kemea ,Onya .
Uhuru ni Haki ya katiba iv tz tufika hatua mtu kutolewa kwy bus na kuuwa tana mwanachama wa Chama Fulani Cha siasa kweli
Nilazima tukemee mabaya wale watetea maslahi Yao hawawezi kukemea mabaya
Fatani mkubwa huyo bhana kwani yy huyo Tundu anaziamulia hizo nchi. Mwanahabari chizi maswali yako pumba na Fatani mkubwa
Huyu anapitwa na mambo halafu ana uzamani mwingi. Dunia inapigania kujitawala na haki, watu wanalinda nchi zao ili kujinasua na utekaji wa nchi zao. Kama unataka kujitawala lazima uende kwa tahadhali, wazungu wasionekane kuwa ni special kuliko watu weusi. He is a limited mindset human being.
Siasa ninoma lisu kaokota kiseemu Bora wasitupe iyo ela ndio inawapa kiburi
Wee na Tundu ni mafatani wakubwa wacheni kupotosha watu bhana waongo watupu nyote ulikimbia mwenyewe muongo mkubwa fatani mkubwa
SACCOOS MMECHANGANYIKIWA NA MAIGIZO YENU 😢😢😢😢😢
My friend jaribu kukua.
@@asacconlinemedia5343 MY FRIEND SAACO HAWO NI WAHUNI
Kanataka kutawala kwa nguvu mungu wa mbinguni tunakuomba ushuke
U kristo na u Islam vinaingiaje hapo? Mini ninahisi kuwa hata waliomuua Kibao walikuwemo waislam wenzie, waliompiga Lisu risasi walikuwemo wakristo wenzie! Sasa naomba tusichanganye mambo,,,
Mnataka kutuletea ya Libya.Watanzania tuweni makini sana Chadema wana malengo ya kuivuruga nchi yetu. Chedema tunawapenda sana ila kuna sehem hamna hekima wala akili...plz badilisheni njia zenu za kudai haki, wazungu hawawezi kutupendelea mema sisi, wao ya kwao yanwashinda.....waulizeni somalia,congo,Libya,Urusi,Sudan na Yemen
We mpemba unamtetea mama ako mdogo
Sio kutetea hayaja tukuta sasa hivi tu naona raha lisu lisu yakitukuta lisu mtamuona kama moto yaaikieni uko uko kwa we zetu
@Alfred we ujitambui hivi kama CCM wakikubali kukosolewa na wakajilekebisha ayo machafuko yatatoka wapi ? CCM ndio chanzo Cha machafuko kwasababu viongozi wao sio waadilifu wamejaa vibuli nakujiona wao ndio bola na wanaostaili kuiongoza nchiii
Hapa tubadili kiongozi tu na cyo vyama.
HAPA KULICHOBAKI HALBADIR TU M.MUNGU AHUKUMU KWA KILA MWENYE NIA MBAYA APAPATIKE NA APOFOKE MACHO , ASIJE JUU TENA
Mara hujakimbia ,mara ulikimbizw na mabaloz . Jmn c usem tu mama ndo amekurudsha,angekuw magu ungerud? . Chamsing mjikite kutafut nani anateka ? Km ccm nan hyo anawatuma? Hayo n mambo yakuungana wanaharakati, wanasiasa ,jamii na serikali c kurushiana maneno na kutuhumiana jmn. Kwahyo samia atume watu kuua mtu jmn kwel? Hao ni majambaz km wengine tuungane tuwajue na kutokomeza
Lazima atajifanya hodari wa uwakili, ulipojitambua mbona hukurudi ila baada ya hayo mazingira ambayo unatulazimisha kuyafahamu. Kwa hivyo hio kurudi kwako unatushawishi kuwa ulikamatwa na kwamba unatafutwa toa sera zako na sio kukaa na kuropoka ovyo. Kumbe mnafanya uhuni kwakutoroka na kuidanganya serikali ndio nchi unavyotaka kuitawala ?
Tafsiri ya sheria ziko vile vile nikwamba watu wasio julikana wako kazini Tundu lisu asisaau hilo
Ndugu muandishi kama kulikuwana sheria pamoja na taratibu nzuri tusingefikia hatua ya kuuliwa kwa watu na utekaji wakijinga namna hii sio
Hii sio sawa 😢
Samia yupo vizur
Tundulisu usiwe kigeugeu na kama Rais alikuwa sahihi mbona mnamtukana sana mheshimia Rais Samia .
rais ametukanwa wap
Bro nakuelewa sana
Acha uchawa ww
Acha uchawa ametukanwa wapi
Mwamba hv unajua maana ya kutukanwa mkuuu acha hzo Mambo kutukana nihivy wewe nikuma uwez kumuona mwenzio anshda nawakati amefiwa shda sio wewe yalo kukuta mbwa ww
UKIWA MJINGA NA KAMA HUFUATILII MAMBO UTATEKWA SANA NA KAULI ZA LISSU.
Msenge sana wew jamaa
Huyu mtangazaji ni mchochezi....
Kinfonikinfo😢😢😢😢
Na ndiyo mipango yenu kumuharibia huyu Rais kwa mbinu zozote bila kujali maslahi ya Taifa. Lakini Mungu ndiye mlipaji.
Sisi waislam tutabaki nae kwan nchi niyakwenu
Yaani shida yenu chadema mnatukana matusi. Mmeota mikia. Tena lisu mi nakushauri ungeokoka tuu. Kuliko unavyohangaika na kufurahia matukio yakitokea bas nikujaa kutupigusha kelele mtandaoni.
hawa wanamchezea samia lakin angekuw ni magufuli asingekufa mtu na wangeshika adabu
Wewe umeota nyas
@@khamisswalehealiejiita ni jiwe sasa hivi yuko wapi? Wanaharamu nyie msiosimama kwenye haki na kujiona kama nchi ni yenu pekee, yeye anaita wameota mkia je siyo tusi hilo,?
Ila kusema yeye kuwa wameota mkia siyo tusi eti? Alikuwepo jiwe lakin sasa hivi yuko wapi? Na lisu yupo hai sababu mungu hajaruhusu
Mtaji wa kimataifa ndio nini? hatuhitaji mawazo ya binadam wenuewe uko wanavita vyao mfano marekani na wao wanakampeni zao wanashambuliana, sisi hatuitaji mataifa tunaitaji mkono wa Mungu tu ktk taifa letu
TUNDU UMEONGEA UKWEL, SOTE TUNAPENDA ISHI NCHI YETU SOTE
Mtu akifa historia yake unasimama mbele ya jamii. Historia ya magufuli yataendelea kuishi milele na atasemwa kwa historia yake tuu.
Wanaigiza hao inabidi watoke madarakani
Huyu fala anakisasi
Ogopa Mungu
Makhuluku tabu. Hili neno lina maana pana sana.
Mbona wamekua waoga gafla sana
Comde. na bwa. mdogo Lissu akiongea, watu wanachanganyikiwa sana. Ni kwamba simba akiingia mjini au akiunguruma, viumbe vyote ni hekaheka. Hata sisimizi wasiojua kinachoendekea watalia kwa kukanyagwakanyagwa na viumbe wanaohaha huku na kule. Ebu soma comments za watu, utaelewa namaanisha nini.
Umeishiwa watanzania hatutaki siasa za fujo tunataka siasa za hoja
Kichwa chote kimejaa uchawa na machawa
Siasa zahoja ila wanao uwawa aaaaah
Mbowe usirudi nyuma hila ukoloni TZ
Kanisa katoliki, ndionani kwenye nchi hii? Lissu acha kupotosha watu
Kipindi Cha mjomba watu wasiojulikana walikua kibao ila hao wavaa mkofia hatukuwasikia walikua wapi?
Kosa halihalalishi kosa lingine!
Doller million 7 ati ndiyo pesa nyingi? Waende huko na unafik yao
Anabaki na CHAWA
Sasa kwa nini Hamjasubili vyombo vifanye kazi yake
SAMIA MUST GO &SAMIA LAZIMA AENDE
Ataenda bb yako
Wapi
Kabla hujadai haki yako usitukanwe,basi jitahidi na wewe usimtukane mwenzako,ttz lako Lissu mmesahau mlivyo kuwa mnamtukana Raisi adi mnamuita msag........ so pls shut up yout mouth Lissu...
Ni sawa tunaumizwa sana na utekaji ila na nyinyi pia hamna nidhamu Lissu
RAIS SAMIA NAKUOMBA NAWEWE UTOE TAMKO MAJARIBIO YA KUTAKA KUMUUA TRUMP MARA MBILI MAREKANI WAKATI NI MGOMBEA URAIS 2024.MAMA KAZA KAMBA DAWA IMEWAINGIA SIWALIKUWA WANASEMA USEMI SASA UMESEMA WANABADILIKA PIGA KAZI RAIS
Hilo la Mabalozi ndio Lillilo kuwa LENGO LENU. WACHONGANISHI WAKUBWA NYINYI. ANDAMANENI BASI MZIDI KUTUCHAFULIA TAIFA LETU. WAHUNI WAKUBWA
Wanalichafuaje? Naomba usaidie
@@williamfrancis8724 Wanataka Watu Wapigane kwa Usaidizi wa Mataifa ya Wakoloni. Hao nivibaraka kama wale Walio ichafua Libya. HATUTOWAPA FURSA ASILANI
Achana na Maguguli. Pambana na maovu yako. Kila ukimutaja Maguguli unaichafuwa Chadema. Magufuli alikuwa kipenzi wa watanzania
Yule mwanaharamu wajinga tu walimwelewa,
Mbona na makofia yao tena😂😂😂
Tuna waandish wangese mno😢
Lugha gani hiyo😢
Mm cpend akiwa anamtaja magufuli an hawez kuongea bila kumtaja huyo
Sasa amtaje kwa wema na wakati magufuli alimuumiza wewe
Mtu alokuumiza utamtaja kwa wema
Acha amtaje sababu alikuwa kiongoz wa nchi.
●kwanini wamekimbia ??😢
Tafuta kazi ya kufanya Siasa itakupa pressure ndugu Lissu
kwani wanaotakiwa kufanya kazi ya kisiasa ni akina nani
Wewe mjinga kabisa kwenye nchi watu kama hawa lazima wawepo sasa hiyo ndio kazi yake
Halina shukran hili li lisu wakat wa magufuli alikimbia nchi,lkn MAMA kamwita wajenge nchi waache mfarakano mpka wakakaa meza moja
Hapo anafarakana vp?au kutetea haki?
Halina Shukurani wakati alinusurika mauti ambayo mpaka leo watawala hawajasema ni nani waliofanya hayo.
haya majitu ya ukabila na udini yakipewa nchi lazima kutakuwa na uharibifu
Kwani alikibao ni mkristo?
@@MujuniKamugisha hapana swala la kufa kaka Allah ndio mjuzi mimi na wewe tukiambiwa tutoe ushahid kama kwann ameuwawa hatuna jibu lakin nataka nkuambie fatilia filamu ya osman bey utajua kwann aliamua kutetea taifa lake kwa upanga na ishallah kitali kitakuja mimi sina waswas kama ntakua hai wanafki kbla ya mkafiri ndio mtaanza kuwauwa
sasa apo kajibu mapigo gani
Lissu is known to be a puppet. Ndiyo maana alisindikizwa na Marekan na EU. Lissu alikuwa ni mtu wawo
Hujui Sheria za kiubaloz ndio mana unasema hivo
Duuuuuu