BREAKING: MAHAKAMA YATENGUA URAIS WA INJINIA HERSI NA MAKAMU WAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 400

  • @Hancy_barrow
    @Hancy_barrow Місяць тому +59

    Hao wazee hata tukiwapa Yanga B hawawezi kuiyendesha kwahiyo wamuache Engineer miaka 1000 ukiamini hersi yupo sana Yanga gonga like hapa 🎉🎉🎉🎉🎉

    • @bbclondonulimwenguwasoka6126
      @bbclondonulimwenguwasoka6126 Місяць тому +1

      Afuate katiba au wakubaliane wabadili katiba ili apate haki ya kuwa Rais, siyo kuingia ka Idd Amin Dadaa

    • @benjaminbruno2374
      @benjaminbruno2374 Місяць тому

      ​@@bbclondonulimwenguwasoka6126Hapo umenenaa

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Місяць тому +1

      Engineer anafanya Kazi nzuri sana ila ni tapeli fulani

    • @fadhilngalanda7520
      @fadhilngalanda7520 Місяць тому

      ​@@bbclondonulimwenguwasoka6126katiba gani tena na walifanya uchaguzi hao wazee ndio walee wasiyopenda maendeleo watu wanataka mafanikio siyo figisu hao wazee wachawi tu hamna lolote

    • @andrewkaswagula3367
      @andrewkaswagula3367 Місяць тому

      Waachieni hao wazee wawili timu muone kama hawawezi kuongoza 😂😂😂

  • @user-od5mj7ze8l
    @user-od5mj7ze8l Місяць тому +29

    Yajayo yanafurahisha je uko tayar kama uko tayar gonga like apooo acha vyuma viumane😂😂😂🔥🔥🐸🐸

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper403 Місяць тому +42

    Bongo Upige Hatua Alafu Uachwe Wewe Sio Kweli,, Tuna Roho Mbaya Sana

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 Місяць тому

      Kaiingiza yanga hasara kubwa mno hafai

    • @gregory6165
      @gregory6165 Місяць тому

      ​@@joshuasamson9618 mavi wewe

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Місяць тому

      ​@@joshuasamson9618😂😂😂😂😂😂

    • @pascalgasper403
      @pascalgasper403 Місяць тому

      @@joshuasamson9618 Haya Wasiongiza Hasara Walifanyia Nini Yanga Kabla Injinia? Roho Mbaya Watanzania Sisi Na Naomba Timu Zote Za Tanzania Zitolewe Kwenye Michuano Mikubwa Tuludi Tulipotoka,, Kwanza Hivo Vizee Vitakuwa Vichawi,,

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 Місяць тому

      😂😂😂😂😂😂​@@joshuasamson9618

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc Місяць тому +28

    Nasemaje Mimi kama rais Wa Yanga naondoka Na wachezaji Wangu bakini Na wazee wenu😂😂😂😂😂

  • @luludot8341
    @luludot8341 Місяць тому +17

    Mhhh kuna watu hawajielewi ikiwepo hao wazee nimeamini hata wapumbavu wana zeheka 😢

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Місяць тому

      Kwa kuwa Hujuwi undani wake unahaki ya kuwatusi😢

    • @officialaziry3305
      @officialaziry3305 Місяць тому

      Kwenye hiyo miaka miwli walikuwa wapi maka washitaki saiz kuwa yanga Raisi wake ni batiliiii​@@israelkisaila8401

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 Місяць тому +9

    Daah alafu ni kweli yanga ni ya wazee na ndomaana hata wachezaji wake ni wazee wazee,hayatena mpeni timu yake mzee Mpili

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789
    @kiboshokiboshomungumkubwa7789 Місяць тому +13

    Hizo ni njama za watu hawataki kuona maendeleo yetu wapigwe mawe hadharani

  • @HamisiKulama
    @HamisiKulama Місяць тому +4

    Wazee asaiv wajiandae kupata laana za vijana. Alafu itakuwa wasaliti hao... Puppet Hao. Walkuwa wanafaidi asaiv wanakosa matunda wanaanza kelele.... Tushasahau mateso.. Wanataka tuingie stress tena.... Hatutaki hers kutoka... Kwa herufi kubwa

  • @wilsonjaphet5547
    @wilsonjaphet5547 Місяць тому +7

    Mimi ni mwanasimba lakini tunahitaji Maendeleo ya soka TANZANIA kwahyo sidhani kama ni sahihi uyu kiongozi kutoka

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Місяць тому

      😂😂😂😂😂mwanasimba gani ww

    • @josephevaristi8923
      @josephevaristi8923 Місяць тому +1

      Upo sahihi,na mm nimwekundu wa msimbazi,,tuache roho za kutu wabongo

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Місяць тому +2

    Mafanikio hayawezi kuja bila ya changamoto na chuki kutoka kwa kundi/ watu fulani!
    Eng tupo pamoja na wewe na in shaa Allah utashinda
    Hasbuna Allahu waniimal wakeel

  • @DoreenTesha-kk2kw
    @DoreenTesha-kk2kw Місяць тому +5

    Wachawi hao jmni ,,injinia tumemkubali na ndo Raisi wetu iyo mahakama wamepewa rushwa😢

  • @AMOURMUSIC255
    @AMOURMUSIC255 Місяць тому

    Yaani Hao Wazee Wanatakiwa Wakusanywe Wapigwe Moto Mbele Ya Kadamnasi
    Wazee Huwa Ni Wachawi wanajali Matumbo

  • @zxcvbnmmkh
    @zxcvbnmmkh Місяць тому +8

    Kazi kwenu GEN Z wa Yanga🤸

  • @AUGENSYLIVAND-rq7hz
    @AUGENSYLIVAND-rq7hz Місяць тому +3

    Bado hawajasema mpaka waseme na watasema tuu😂😂😂😂😂

  • @allykk1459
    @allykk1459 Місяць тому +2

    Duh herufi H imefanya kazi

  • @zahiruhamisi4162
    @zahiruhamisi4162 Місяць тому +8

    Bado hawajasema,mpk waseme 😂😂😂

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Місяць тому +1

    Njaa mbaya sana wazee wanataka nn wataweza kuongoza Awana akili timu ipo vizuri wanataka nn

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina Місяць тому

    wazee wangu mnatuchoma

  • @JacksonBayyo-uo3eg
    @JacksonBayyo-uo3eg Місяць тому +3

    Mwacheni eng hersi aongoze timu

  • @tamimuomulungi2102
    @tamimuomulungi2102 Місяць тому

    Hyo ndio wanasema tenda wema bnadam hawana shukran

  • @JayJay-iq1wc
    @JayJay-iq1wc Місяць тому +3

    We! We! We!
    Yaani apo bora afe mtu
    Hersi hatoki hata kwa sec moja
    Kwanza hao wazee jangwani wasikanyage
    Tutawa delete wooote kudadadeki wasituletee siasa za njaa zao kabisa team ni yetu na sisi ndo tunamtaka eng. hersi na hao wazee tukiwafaham wote tu wajuwe wamekwisha! shenzi kbs!!!

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 Місяць тому +1

      Amri ya mahakama

    • @frayy5595
      @frayy5595 Місяць тому

      Tulien dawa iwaingie😅

    • @JayJay-iq1wc
      @JayJay-iq1wc Місяць тому

      @@frayy5595 ndio ituingie ili tuwashuhulikie nyie makolo ipasavyo kudadadeki😅hata kwa miujiza eng. hersi hatoki tabu ipo pale pale kolo pakuhemea hamna tunanyinyi mpaka mseme sisimizi jike anaitwaje kwa kichina😂mamamamaee

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Місяць тому +1

    Apo sasa kumeaza kunoga wapite ivi kama wameingia kinyemela

  • @kahamashinyanga
    @kahamashinyanga Місяць тому +5

    Kesi inayohusu michezo inafikaje mahakamani bila TFF wenyewe kuliangalia sasa TFF kazi yao nn ama vp TFF Nao waachie ngazi

    • @user-ex9xv4bl7u
      @user-ex9xv4bl7u Місяць тому

      Acha ushamba TFF ni uongoz kama ilivyo urahic na co mahakama ya michezo, jarib kusoma basi uje na hoja na co kuandka vitu ulivyovuelewa

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Місяць тому

      😂😂😂😂😂ubaya ubwela

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t Місяць тому

      Ubaya ubwela

    • @salehwaziri5062
      @salehwaziri5062 Місяць тому

      ​@@user-ex9xv4bl7ukwanzakuandikahujui utajuaje shelia

    • @NeemaJuma-os6uo
      @NeemaJuma-os6uo Місяць тому

      Naakitoka huyo basi mjue Simba tutawafunga kama maji Simba wenzangu mpooooooooo

  • @Cerkutay2024
    @Cerkutay2024 Місяць тому +1

    Wao kama hawamtambui sisi tuna mtambua na fifa inamtambua raisi wa vilabu 🌍 na hajatuangusha Hadi Sasa so sisi kama Wananchi tunamtambua Kwa kazi yake 🔰🔰🔰🔰🔰

  • @hapaupdates9277
    @hapaupdates9277 Місяць тому +2

    WAZEEEEE. 😂😂😂😂😂😂😂 HAO NI ENZIIIIII SASA JENZII WATAJUA IKOJE

  • @Hancy_barrow
    @Hancy_barrow Місяць тому +3

    Kwahiyo hao wazee wametumwa na upande wa pili sio Kwan aliyempa urais Eris Nani hatoki mtu tutapigana na tutamwaga damu Eris hatoki bado tunamuitaji mwandamiz wetu Hao wazee sindio walikua wanajinufaisha wao na matumbo Yao Leo tunafanya vizuri wanataka kutuchafua mda wao ulishapita wakutembeza bakuli now mwendo wa soft touch Engineer Eris viva 💪

    • @omanoman8700
      @omanoman8700 Місяць тому +1

      Unaushahidi kma wametumwa na upande wa pili na je ukiitwa utoe ushahidi unaweza kutoa ushahidi

    • @TedyElisha
      @TedyElisha Місяць тому +1

      Laana yamajini inawatafuna

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Місяць тому

      😂😂😂😂eris ndio nani ubaya ubwela

  • @shahiidabdallah3579
    @shahiidabdallah3579 Місяць тому +7

    Mbona hiyo kesi haijawahi kutangazwa?inamaana mahakama ikipelekewa shitaka inaamua bila kusikiliza pande mbili?

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Місяць тому +1

      Kesi ipo mahakamani tokea 2022.. kama huna habari itakuwa ulikuwa hujazaliwa😂😂😂😂

    • @rashidsalum7541
      @rashidsalum7541 Місяць тому

      Wasopenda maendeleo hao mamluki wa Simba hao wanatka kuvuruga ila mungu atawashinda sisi tunahitaji vitendo nasio maneno​@@ibrahimally8073

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Місяць тому

      ​@@ibrahimally8073😂😂😂😂😂😂

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Місяць тому +1

    Wananchiii hatuna wasi wasi ....hersi akijiuzulu maana yake 2 alotuongoz inafutika maana ilibakia 2 kwenye 4
    Hivyo tunampa 4 mipya kabisaaa........ Ukolo ubwela ndo uo 😂😂😂😂
    Hersi in shaa allah ataongoza yanga miaka 10 ....
    Miaka 4 ya awamu ya kwanza
    Miaka 4 ya awamu ya pili
    Miaka 2 hiii ya ukolo ubwela ni bonus 😂😂😂😂

  • @kelvindendya3781
    @kelvindendya3781 Місяць тому +9

    Ngoja nikanywe bia😂😂😂

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t Місяць тому +1

      😂😂😂😂me piah

    • @realdanilaizo
      @realdanilaizo Місяць тому

      😂 hata mi pia

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t Місяць тому

      @@kelvindendya3781 ,🤣🤣🤣

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Місяць тому

      Nitakunywa mpaka ulanzi!!! Onyeshen hiyo hukumu🤣🤣bongo mna shida sana kiakili,ndo maana sirudi,frm Cambridge mji wa wasomi UK

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 Місяць тому

    Enjinia kapishana maslahi na CCM.

  • @user-gz2sr2xf9w
    @user-gz2sr2xf9w Місяць тому +1

    Mtawaponza wenzenu wafungwe goli nyingi bureeee😅

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy9508 Місяць тому +1

    Nacho jua mandunduka wanapohozesha kumi zijazo Injinia yupo sana yanga💚💛🔰✔️

  • @user-hj7nd6xw7t
    @user-hj7nd6xw7t Місяць тому +1

    Mmmmm yshakuwa mtiani huu😢

  • @anastahiliutawala3879
    @anastahiliutawala3879 Місяць тому +2

    Kazi kweli

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ Місяць тому +1

    Katiba gani?
    Sisi mashabiki wa Yanga tunachojua Heris ndio katiba yenyewe

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Місяць тому +1

    Yanga bingwa adi 230🙏🙏🙏🙏

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Місяць тому

    Yaani mpira bongo unasiasa mwingi sana mendeleo hakuna kwasababu ya upumbavu kama huuuu , Ila Mimi ni mnyama😂

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx Місяць тому +2

    Safii sana

  • @AMOURMUSIC255
    @AMOURMUSIC255 Місяць тому

    Hao Wazee Wana Njaa Kali.Wanagombania Tonge

  • @isdorchuvu6280
    @isdorchuvu6280 Місяць тому +1

    Ubaya ubwela🤣😂 si walitucheka kenge hawa sasa ndo mtajua kuimba kupokezana ,,kwanza uyo hersi kawasababishia mideni ,, kwa jinsi aziz k alivyokuwa anatakiwa na vilabu vikubwa ! Cjui hela ya kumbakisha katoa wapi ? Na inshu ya uwanja akiwajengea mniite Dog ,,

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Місяць тому

    Ahsantee 😂😂😂😂😂 saba bola vyuma vigogane

  • @ChijaKisenya
    @ChijaKisenya Місяць тому

    Millard ayo mwenyewe ni msenge Tuu

  • @isdorchuvu6280
    @isdorchuvu6280 Місяць тому +2

    Natamani kuiona iyo sura ya uyo mbwa Ally kamwe baada ya hilo sakata..

  • @JoyceKileo-o2z
    @JoyceKileo-o2z Місяць тому

    Mhhhhh mbona sielew😢😢

  • @sabasmichael7553
    @sabasmichael7553 Місяць тому

    Nyang'au tuu hao zee

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Місяць тому +1

    Kumbe matapeli tu hawa

  • @willyclassic9263
    @willyclassic9263 Місяць тому +3

    Sas mnataka wazee wakale wapi 😅😅😅 na ndo mchongo wao kukaa hapo yanga af anakuja mtu tu from no were anajiitaa rais

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Місяць тому

    Wana Simba tujuane kwaili gonga Link apa,
    Washazoea kufanya uhuni😂😂

  • @mamar7958
    @mamar7958 Місяць тому

    HIYO KESI YA ZAMANI HATA HAO WAZEE PIA WANASEMA HERSI ASIONDOKE

  • @innocentjoseph805
    @innocentjoseph805 Місяць тому +1

    Asante Mungu gari limewakia kwenye gia😂😂😂

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ld Місяць тому

    Bila kusahau majinayao kwawanao wajua,namba ya mchango atakaekua tayari aniambie nimpe

  • @salhanassor5201
    @salhanassor5201 Місяць тому

    Wameona yanga tuna raha wanataka kuturudisha kwenye tabu nyau hawa..mungu awashinde..

  • @ayoubsanga315
    @ayoubsanga315 Місяць тому +1

    Tatizo ni Hersi Halinao wazeee😂😂

  • @JovianRichard-i5n
    @JovianRichard-i5n Місяць тому

    Hiyo imeendaaaa koma lyendegeeeeee❤❤❤❤

  • @nbwchannel4997
    @nbwchannel4997 Місяць тому +1

    Ubaya ubwelaaaaah😂😂😂😂😂

  • @daudibukwimba4226
    @daudibukwimba4226 Місяць тому

    Wazee bhna wanaharibu kila kitu vijana wakitengeneza mafanikio yakaonekana wanatafuta visababu mnarudi kulekule

  • @user-gx4if4dk3m
    @user-gx4if4dk3m Місяць тому

    Aende Simba tuu ubay ubwelaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @faidha23
    @faidha23 Місяць тому

    Yani humu makolo mengi yamefurah

  • @thescop1003
    @thescop1003 Місяць тому

    Yani machumia tumbo sijui Yana tatizo gani, hii club inaelekea kufa sasa

  • @AlexKanuya-fs2vr
    @AlexKanuya-fs2vr Місяць тому +3

    Napita tu me hapa !! Moto unawaka sasaiv utopolooooooooooo

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi Місяць тому

      Vp Mangungu aendelee

  • @majatamsafiri5
    @majatamsafiri5 Місяць тому +6

    Ubaya ubwela😂

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 Місяць тому +3

    Yanga na Simba bana ,Simba imeanza kutulia ,Yanga kunaanza kufuka Moshi

  • @mnyamacollection
    @mnyamacollection Місяць тому +4

    Binafsi nimefurah sana 😅👍

    • @user-ng9bn3jj3x
      @user-ng9bn3jj3x Місяць тому

      Ndo mikundu ya msimbaz mlivyo mkidanganywa kidogo tu mnaamini kipigo Kiko pale pale mikundu nyie

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 Місяць тому

      Breaking news mtandao yote😂😂.. Bora uache matusi maana utatukana mitandao yote si utaokota makopo barabarani😂😂..ubaya ubwera kaa kwa kutulia

    • @user-ng9bn3jj3x
      @user-ng9bn3jj3x Місяць тому

      @@rexgodwill7353 ubaya ubwera,,tukishawatia Tena vitano tunawaimbia ubayaaa ubweraaaa, yaan ubaya wa gori saba zineludi tena

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Місяць тому +1

      😂😂😂 ni Bora usifurahi , maaana ukiitishwa uchaguz anashinda Hersi Tena .... Uongozi ni miaka 4 hersi ameongoza miaka 2 bado 2 ... Ukiitishwa uchaguzi atapewa 4 mipya kabisa itakua tabuuu leeeeeee laaaaaaaaa

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Місяць тому +1

      ​@@mwanangusana😂😂😂😂

  • @user-np4om6hz4m
    @user-np4om6hz4m Місяць тому +1

    Hao wazee wasituvururuge haohao ndo waloipeleka yanga kwenye bakuli nasasa wanataka kuturejesha nyuma sikuzote hizo walikuwa wapi

  • @AshaHaruna-ie2iq
    @AshaHaruna-ie2iq Місяць тому

    Atutaki Wazeeee tunamtaka Hersiii wetuu

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga Місяць тому

    Miaka yote hiyo walikuwa wapi kweli uchawi upo

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Місяць тому +2

    Bora hata yaliyomkuta ngungu boy kuliko hii ya ubaya ubwela.. vijana mnataka mle maokoto pekee yenu bila wazee..??? 😂😂😂😂😂

    • @isdorchuvu6280
      @isdorchuvu6280 Місяць тому +2

      Na wazee wanavyokuwaga na nongwa , apa Uto wameyakanyaga.

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Місяць тому +1

      Makolo ubwela
      Hersi ameongoza 2 kwenye miaka 4 ... Akijiuzulu atagombea tena na atashinda miaka mingine 4 mipya kabisaaa halaf atagombea 4 ya awamu ya pili itakua miaka 8 😂😂😂 + 2 miaka ya bonus = 10 kolo ubwela
      Tabu leeeeeeeeeee

  • @AshaHaruna-ie2iq
    @AshaHaruna-ie2iq Місяць тому

    Aoo wazee wachawii tuuuu

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 Місяць тому

    Aya bhana

  • @user-rj3cd2lh8w
    @user-rj3cd2lh8w Місяць тому +2

    Mambo ya mpira kwenye mahakama wapi na wapi

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 Місяць тому +1

    Safiiii8...

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Місяць тому +2

    Aya tufanye Eng hensi ajiulizulu alafu tukafanye uchaguzi mwingine kulingana na iyo katiba Yao😅 waone kama hatumrudishi madarakani huyu huyu mwamba kipenzi Cha wanayanga Mr Genius president Eng hens said

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Місяць тому +2

      Akirudi anapewa 4 mipya wakati 2 ni bonus 😂😂😂😂 tabu leeeeeeeeeee,,,,,, acha makolo ubwela wafurahieee maumivuuuu 😂😂😂😂😂

  • @officialisaiah3979
    @officialisaiah3979 Місяць тому

    Shida itakua imeanzia kwa hamisa mobeto😂😂😂

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 Місяць тому

    WAZEE NJAA ZIMEWATOA PANGONI, ENGINEER YUKO SMART WAZEE NJAA ZIKO PALE PALE.., NIPE MUDA..!!

  • @user-tt2cx5ty9i
    @user-tt2cx5ty9i Місяць тому +1

    Ubaya ubwela

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 Місяць тому

    Wameanza Kuvurugana.... timu ina wanasheria wa mchongo 😂😂. Mtu kachukua watoto wa dada kawafanya wanasheria 😂😂. Wazee wawili tu wanatikisa timu nzima kuanzia wanaemwita Rais, Mpaka mashabiki wao nchi nzima..😂😂😂 wazee noma

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 Місяць тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe huko wanapelekana mahakamani😂😂😂😂 ndiyo naisikia

  • @shikuhata
    @shikuhata Місяць тому

    Wameanza maana tz hatupendi maendeleo tunapenda malumbano

  • @abubakarimburu9096
    @abubakarimburu9096 Місяць тому

    Unawezaje kuwa kiongozi bila kuchaguliwa

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Місяць тому

    Wametuma na mikia😊

  • @thomaslima921
    @thomaslima921 Місяць тому

    😂😂😂😂haaa wenyewe mnasema timu ya wananchi sasa wenye timu yao wameamua kuja juu,et mnawalaumu waacheni wenye timu yao waisimamie

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Місяць тому +1

    😂😂😂we injinia hersi unataka ule peke yako bila wazee😂😂😂.. mwenzio mo alitoa bil 20 wazee wakampenda wakampa na urais... Sasa we unataka utawale Bure Bure tu.. wazee wamekasirika sasa😂 😂😂

  • @mandlasakhile9109
    @mandlasakhile9109 Місяць тому

    Kenya kuna Gen Z huku kuna baby boomers na generation x wamekiamsha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf Місяць тому

    Hao wazee ni wezi jamaa kawabana sana wamekosa pakuiba na GSM nae aachane nayo tuone watafanyaje

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Місяць тому +2

    Ama kweli nimeamini ule msemo unaosema kutesa kwa zamu

  • @athumanindyema2302
    @athumanindyema2302 Місяць тому

    Du mbona habar tamu hii

  • @deuslucas2256
    @deuslucas2256 Місяць тому

    Awo Wazee hawafai wanapaswa kutimuliwa

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 Місяць тому

    Hahaha hahaha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 utopolo kumbe team iliibiwa

  • @hajikiame7551
    @hajikiame7551 Місяць тому +1

    Bora watimuane tubaki na amani

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 Місяць тому +1

    Jamani ni amri ya mahakama msithubutu kuipinga mtapigwa mabomu na virungu mpate vilema Bure...
    Waachieni wazee timu yao.. 😂😂😂

  • @user-fc9yl5bz5v
    @user-fc9yl5bz5v Місяць тому

    Icho ni kikundi Cha wahuni.

  • @allymanyika3502
    @allymanyika3502 Місяць тому

    Nawaona makolo wanavyofurahia

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 Місяць тому

    Mi nacheka tu

  • @AnuaryShedafa
    @AnuaryShedafa Місяць тому

    Hahahah taburere laaaaa!! Utoporo mmeyakanyaga 😂😂😂

  • @salvinhosn3916
    @salvinhosn3916 Місяць тому

    Sasa si atachaguliwa tena tu...

  • @januarymwingwa2962
    @januarymwingwa2962 Місяць тому

    Wazee mkowapi nawatafuta😂

  • @isdorchuvu6280
    @isdorchuvu6280 Місяць тому +1

    Wazee hao si ndo waanzilishi wa timu ya Uto au ,,acheni wadai haki yao ,,Ubaya Ubwela tu apa.

    • @ananiamwatebela3159
      @ananiamwatebela3159 Місяць тому

      Wanzilishi kivip wana umri gan na timu Ina umri gan wakwende kuzihangaikia familia zao zilizowashinda kudadeki

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn Місяць тому +1

    Ohooo washaanza kutupiana Virago kama shabiki wa simba piga kelele kidogo oyoo migogoro imehamia kwa😀😀😀😀😀

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Місяць тому +1

      😂😂😂 mnakijua mnachokifurahiii ? Hersi akijiuzulu wakat ameshaongoza miaka 2 kwenye 4 ya kikatiba ... Itabidii anze upya miaka 4 ya kipindi Cha kwanza .... Kisha Kuna 4 ya awamu ya pili ... Ukijumlisha na 2 ya sasa itakua 10 ..... Na slogan ya yanga ni kuchukua 10 mfululizo
      Yanga Wanajua wanacho kifanya tabu leeeeeeeeeee leeeeeeeeee ukolo ubwela unakaziii 😂😂😂

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 Місяць тому

    Na wasi wasi mzigo umekuwa mkubwa kutoa pesa bila faida

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 Місяць тому

    SEMA WOYO WOYO