Daaaàaaa, Binadam tunapitia mengi ila huwa nasemaga maisha ni katili sana zaidi hata ya maumivu ya kuchomwa na kisu , polle recho sote tunapita magumu hauko pekeako usilie amka uanze upyya unaweza , recho unaweza , recho bado unaweza amka Dunia inakusubuli
DAAAH IMENIUMA SANA DADA RECHO ILA PIGA MOYO KONDE MTI WENYE MATUNDA NDO UNAPIGWA MAWE NA WEWE UNAKITU NAAMINU HIVO ISHI KWENYE KATIKA KILA KITU KINATOKEA KWA SABABU NA MSHUKURU MUNGU KWA KILA JAMBO LIWE JEMS AU BAYA.
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe wameona nyota yako kali utawashinda ndio wanajaribu kuizima usijali Queen Recho mimi nitakutafuta tufanye colabo moja kali tuwaibishe mashetani ❤❤❤
Watu ni wabaya sana, tena mwenye anakumaliza ni yule alie karibu yako.pole dada recho lakini mungu yuko na wewe kila wakati.lakini jitaidi kuangalia ni marafiki wa aina gani uko nao.
Kwenye maisha yangu nimejifunza kutokutia huruma coz kwenye maisha hakuna mtu wakukuhurumia kabla hujajihurumia na ukiona hik hakiendi lazima hufanye hicho hicho? Mziki haulipi tafuta kitu kingine kitakacho lipa yan usipende watu wakuhurumie omba mungu jitafakari songa mbele
Daaaah 😢hawa polis hawa na wakuu wa mikoa 😢😢 pole sna Rachel utakuwa sawa you have talent no Kama RAYC . CHED BEANZ na CHILLA kuna muda unatengwa Ila usijar
Tatizolako were mwanamke unazarau uliwahikusema katika maishayako huwapendi wanaume 8:07 weusi yani wewe na wazungu warabu ndio mabwanazako ulikua na kiburi kwa umarufu was mdamchache kwaiyo ililie nafsiyako
Mzee umepigaje hapo nilivyoona picha yake nilifikili Ray c macho yake anyway watu duniani tuko wawili wawili hata mimi watu wananifanisha na sadio mane
Daaaàaaa, Binadam tunapitia mengi ila huwa nasemaga maisha ni katili sana zaidi hata ya maumivu ya kuchomwa na kisu , polle recho sote tunapita magumu hauko pekeako usilie amka uanze upyya unaweza , recho unaweza , recho bado unaweza amka Dunia inakusubuli
Kabisa
Tatizo walikufanya mbadala wa ray c .ndo unapita mulemule omba mungu sana
Nakuomba sana okoka tuu rechoo
DAAAH IMENIUMA SANA DADA RECHO ILA PIGA MOYO KONDE MTI WENYE MATUNDA NDO UNAPIGWA MAWE NA WEWE UNAKITU NAAMINU HIVO ISHI KWENYE KATIKA KILA KITU KINATOKEA KWA SABABU NA MSHUKURU MUNGU KWA KILA JAMBO LIWE JEMS AU BAYA.
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe wameona nyota yako kali utawashinda ndio wanajaribu kuizima usijali Queen Recho mimi nitakutafuta tufanye colabo moja kali tuwaibishe mashetani ❤❤❤
Utamjua Rafiki wa kweli kipindi cha Matarizo Watanzania sisi wanafikj Sana...ao waliondoka katika Maisha yqko awakua Marafiki wa kweli
🙌🙌 Mungu amsaidie huyu binti...
Mziki ni mgumu sana una siri nyingi
Jaman recho nakupenda sana
Recho she is beautiful ❤️
pole dada nakuelewa!unasaut nzur mnoooo
Ongea na nady Jamani akusaidie
Roho mbaya yule
Huyu j melod akimuandikia nyimbo kama 3 hivi na akasaidiwa kurekodi atawafunika sana hawa
Hata nandy anaweza kumvusha mahali wanamatch sana
Ila umaarufu au usani kazi Sana jamani pole sana
Watu ni wabaya sana, tena mwenye anakumaliza ni yule alie karibu yako.pole dada recho lakini mungu yuko na wewe kila wakati.lakini jitaidi kuangalia ni marafiki wa aina gani uko nao.
Mungu ametupatia akili na hekma ukipotea ni kupenda kwako awache nafsi lawama😢😢😢😢
Dah! Pole sana
Duuuh aiseee Mwenyezi Mungu amsimamie kwa karibu
Daaah ila ifike wakati wanaume tuache hii mambo bc sio sawa kabisa kunaleo na kesho
Mh ila unakuta mtt n mkal namsaidia akaf anakula mwingine pia inaumaa😅😅😅
@@Barackswaitrue 😂😂😂
Daah sio sawa kabisa @@Barackswai
@@Barackswaichukulia ni dada yako unajiskiaje
Pole xan kipenz 😢😢😢dunia ina magumu sana
Pole sana recho
Kwenye maisha yangu nimejifunza kutokutia huruma coz kwenye maisha hakuna mtu wakukuhurumia kabla hujajihurumia na ukiona hik hakiendi lazima hufanye hicho hicho? Mziki haulipi tafuta kitu kingine kitakacho lipa yan usipende watu wakuhurumie omba mungu jitafakari songa mbele
Binadam wabaya sana 😢
Uyo boss wenu....anapata MSHAHARA wake huko aliko......
Maskn😢😢 pole recho❤❤❤nampenda na anajua kuimba.ray c mtupu
Recho daaa nimejisikia sad sana na pia nimegundua hakuwa na mtu wa kumtua nguvu sana karibu ndio maana alikata tamaa na kuona aibu so recho pole sana
Unatakiwa uchague watu sahihi wa kuwa nao au ndiyo hivyo utaishia kulia! Wana sema samaki mmoja akioza wameoza wote 😢
Daaaah 😢hawa polis hawa na wakuu wa mikoa 😢😢 pole sna Rachel utakuwa sawa you have talent no Kama RAYC . CHED BEANZ na CHILLA kuna muda unatengwa Ila usijar
Kwa kweli watuewana roho mbaya jamani tunakupenda sana
Jamanii Tumemkumbuka Huyu dada 🙌🙌
Pole dada makonda imerudisha watu nyuma sana
Kwaiyo we unaamini alikuwa anawaasingizia je na kama alikuwa anwasingizia kwanin asiende mahakamali kama alizaliliswa kweli
Watanzania wacheni hizo makonda alifànya nn Tena awache nafsi lawama 😂😂😂
Sio kwel
Recho ulikuwa mzuri na bado ni mzur,,inamaanisha kweli umekosa msaada mpaka iv sasa
Huyu dada jamaniii alipotea sana pole sana ila walimwengu jamaniii 😢😢😢
Muziki ni Kazi ya kishetani hakuna upendo
Njo nikuoe
people's people's people's jamni people's wabaya nyiie haya😢
Duuuh pore😭
Nilikua namkubali sanaaa huyu dada basi tu
Tatizolako were mwanamke unazarau uliwahikusema katika maishayako huwapendi wanaume 8:07 weusi yani wewe na wazungu warabu ndio mabwanazako ulikua na kiburi kwa umarufu was mdamchache kwaiyo ililie nafsiyako
Hiyo ni kutafta tu tension mjomba acha kumuhukum hata ww unazambi
Duuuuu aseee
Ila watu 😢
Sasa hata wakimtak kwan yy ni bikra??
Kwa wanawake kawaida kutakwa.. Ila UNASEMA HAPANA AU KATA MTAMA HUYO ANAEKUTAKA
Pole sana dada
Pole sana, Aliye kupeleka police ni Ex wako
@@IrakozeJuliette-so1iu 😂😂😂 ni kweli kabisa 😂😂😂 ni mpuuzi sana.
Makonda sio mtu nashangaa watu mnamtetea nakusema anaroho nzuri namchukia yule baba nisiwe muongo alifanya agness akatangulia😢
Nikweli umenikumbusha agness masogange
Waliomtaja ndo sio watu
Kwa Maisha Yakibongo Bongo Tena Kwa Watoto Wakike hili hutobowe Ningumu Sana Maana Utatumika Nautatumika Kimwili Mpk Uzeeke🤣🤣
Ndomana zuchu hatakimazoweya yakupigapiga mapichanawatu akisemahataki wanasema ha anajiona kupirwapica na tiyedi tu kumemuhalibiya lecho 🤦🏾♀️😭
midawa ya kulevya njo zinawaponza
Pisi kali sanaa hii
Mungu akutie nguvu na ujasili
Si nandy amsaidie
Hawezi wakati anamnyanyua msanii wake Yammy ambaye naye anamikato kama ya Recho na Ray C
Asaidiwe hyu dada kuna wapuuzi wachache huwa wanaharibia watu maisha yao sasa amekosa nini mpaka umtangazie vibaya ni ujinga sana sana
Mmmh tatizo ulifanana na rayc ndio maana😢
Mzee umepigaje hapo nilivyoona picha yake nilifikili Ray c macho yake anyway watu duniani tuko wawili wawili hata mimi watu wananifanisha na sadio mane
Tulia tu pesa ya chakula na chumba ,,ulituumiza sana pole ila tuliumia kukulipia
Asituchoshi Bana Ashapotea Myaka Mingi Sana 🧐
Ila Pole Yake 😢
Atafute shamba akalime...watanzania hatumshiki mkono yyte ...aolewe azae alee watoto...ukimshika mkono atakuja kukaa uchi majukwaami
😳😳😳😳
Umemaliza mi niseme nn ss
😂😂
😂😂😂😂😂😂 jamani
Ila maisha yanaumiza sana bas tu
Nini shida tena huku
Basi waandishi wa habari wa online kama nawaona baada ya interview hii mwezi mzima watamtafuta wamuhoji na maswali ni haya haya ya huku