MACHOZI YA MSANII RECHO, ALIA KWA UCHUNGU WATU KUMTENGA, KUMTAKA KIMWILI ILI WAMSAIDIE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 82

  • @WatanzaniaULaya
    @WatanzaniaULaya 10 днів тому +14

    Daaaàaaa, Binadam tunapitia mengi ila huwa nasemaga maisha ni katili sana zaidi hata ya maumivu ya kuchomwa na kisu , polle recho sote tunapita magumu hauko pekeako usilie amka uanze upyya unaweza , recho unaweza , recho bado unaweza amka Dunia inakusubuli

  • @g_forcemusician4242
    @g_forcemusician4242 7 днів тому +7

    Tatizo walikufanya mbadala wa ray c .ndo unapita mulemule omba mungu sana

  • @josephatSwai
    @josephatSwai 7 днів тому +1

    Nakuomba sana okoka tuu rechoo

  • @elishaelishaedward9454
    @elishaelishaedward9454 6 днів тому

    DAAAH IMENIUMA SANA DADA RECHO ILA PIGA MOYO KONDE MTI WENYE MATUNDA NDO UNAPIGWA MAWE NA WEWE UNAKITU NAAMINU HIVO ISHI KWENYE KATIKA KILA KITU KINATOKEA KWA SABABU NA MSHUKURU MUNGU KWA KILA JAMBO LIWE JEMS AU BAYA.

  • @theresaelizabethelijah117
    @theresaelizabethelijah117 9 днів тому +3

    Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe wameona nyota yako kali utawashinda ndio wanajaribu kuizima usijali Queen Recho mimi nitakutafuta tufanye colabo moja kali tuwaibishe mashetani ❤❤❤

  • @JENNIFER-q4k4r
    @JENNIFER-q4k4r 9 днів тому +4

    Utamjua Rafiki wa kweli kipindi cha Matarizo Watanzania sisi wanafikj Sana...ao waliondoka katika Maisha yqko awakua Marafiki wa kweli

  • @edwinfweni
    @edwinfweni 10 днів тому +4

    🙌🙌 Mungu amsaidie huyu binti...

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 9 днів тому +7

    Mziki ni mgumu sana una siri nyingi

  • @SOPHIANJIGE
    @SOPHIANJIGE 9 днів тому +1

    Jaman recho nakupenda sana

  • @emanueluroki6160
    @emanueluroki6160 7 днів тому +1

    Recho she is beautiful ❤️

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 10 днів тому +5

    pole dada nakuelewa!unasaut nzur mnoooo

  • @latifamakiadi575
    @latifamakiadi575 10 днів тому +7

    Ongea na nady Jamani akusaidie

  • @zefrinkasian2118
    @zefrinkasian2118 9 днів тому +7

    Huyu j melod akimuandikia nyimbo kama 3 hivi na akasaidiwa kurekodi atawafunika sana hawa

    • @bigboys016
      @bigboys016 7 днів тому

      Hata nandy anaweza kumvusha mahali wanamatch sana

  • @rukiamadati336
    @rukiamadati336 9 днів тому +3

    Ila umaarufu au usani kazi Sana jamani pole sana

  • @SabraAbuu-f5z
    @SabraAbuu-f5z 9 днів тому +4

    Watu ni wabaya sana, tena mwenye anakumaliza ni yule alie karibu yako.pole dada recho lakini mungu yuko na wewe kila wakati.lakini jitaidi kuangalia ni marafiki wa aina gani uko nao.

    • @MamaHanisa-i8z
      @MamaHanisa-i8z 9 днів тому

      Mungu ametupatia akili na hekma ukipotea ni kupenda kwako awache nafsi lawama😢😢😢😢

  • @MariamMagege
    @MariamMagege 10 днів тому +1

    Dah! Pole sana

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 10 днів тому +6

    Duuuh aiseee Mwenyezi Mungu amsimamie kwa karibu

  • @HemedyMohamedy-o1m
    @HemedyMohamedy-o1m 10 днів тому +10

    Daaah ila ifike wakati wanaume tuache hii mambo bc sio sawa kabisa kunaleo na kesho

    • @Barackswai
      @Barackswai 10 днів тому +2

      Mh ila unakuta mtt n mkal namsaidia akaf anakula mwingine pia inaumaa😅😅😅

    • @husseinpatel2956
      @husseinpatel2956 10 днів тому +1

      ​@@Barackswaitrue 😂😂😂

    • @peacemwakyombe
      @peacemwakyombe 10 днів тому +1

      Daah sio sawa kabisa ​@@Barackswai

    • @lenatusdismas-s9q
      @lenatusdismas-s9q 9 днів тому

      ​@@Barackswaichukulia ni dada yako unajiskiaje

  • @mrishojumaamrisho3212
    @mrishojumaamrisho3212 7 днів тому

    Pole xan kipenz 😢😢😢dunia ina magumu sana

  • @JacobMbuni
    @JacobMbuni 9 днів тому

    Pole sana recho

  • @MarryDode
    @MarryDode 9 днів тому +1

    Kwenye maisha yangu nimejifunza kutokutia huruma coz kwenye maisha hakuna mtu wakukuhurumia kabla hujajihurumia na ukiona hik hakiendi lazima hufanye hicho hicho? Mziki haulipi tafuta kitu kingine kitakacho lipa yan usipende watu wakuhurumie omba mungu jitafakari songa mbele

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 7 днів тому

    Binadam wabaya sana 😢

  • @DINASSOUR
    @DINASSOUR 10 днів тому +2

    Uyo boss wenu....anapata MSHAHARA wake huko aliko......

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 9 днів тому

    Maskn😢😢 pole recho❤❤❤nampenda na anajua kuimba.ray c mtupu

  • @emanueluroki6160
    @emanueluroki6160 7 днів тому

    Recho daaa nimejisikia sad sana na pia nimegundua hakuwa na mtu wa kumtua nguvu sana karibu ndio maana alikata tamaa na kuona aibu so recho pole sana

  • @japhetnjovu853
    @japhetnjovu853 10 днів тому +3

    Unatakiwa uchague watu sahihi wa kuwa nao au ndiyo hivyo utaishia kulia! Wana sema samaki mmoja akioza wameoza wote 😢

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 8 днів тому

    Daaaah 😢hawa polis hawa na wakuu wa mikoa 😢😢 pole sna Rachel utakuwa sawa you have talent no Kama RAYC . CHED BEANZ na CHILLA kuna muda unatengwa Ila usijar

  • @Abelsikaonga-p2v
    @Abelsikaonga-p2v 7 днів тому

    Kwa kweli watuewana roho mbaya jamani tunakupenda sana

  • @rachelpatrick3749
    @rachelpatrick3749 10 днів тому +5

    Jamanii Tumemkumbuka Huyu dada 🙌🙌

  • @Isakamaganigani
    @Isakamaganigani 10 днів тому +4

    Pole dada makonda imerudisha watu nyuma sana

    • @mugishamajeba9628
      @mugishamajeba9628 10 днів тому +1

      Kwaiyo we unaamini alikuwa anawaasingizia je na kama alikuwa anwasingizia kwanin asiende mahakamali kama alizaliliswa kweli

    • @MamaHanisa-i8z
      @MamaHanisa-i8z 9 днів тому +1

      Watanzania wacheni hizo makonda alifànya nn Tena awache nafsi lawama 😂😂😂

    • @JacquelineAdrian-w5r
      @JacquelineAdrian-w5r 7 днів тому

      Sio kwel

  • @SakinaValy
    @SakinaValy 9 днів тому +1

    Recho ulikuwa mzuri na bado ni mzur,,inamaanisha kweli umekosa msaada mpaka iv sasa

  • @Shadia544
    @Shadia544 10 днів тому +2

    Huyu dada jamaniii alipotea sana pole sana ila walimwengu jamaniii 😢😢😢

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 6 днів тому

    Muziki ni Kazi ya kishetani hakuna upendo

  • @jumazahoro3537
    @jumazahoro3537 6 днів тому

    Njo nikuoe

  • @JenniferJackson-m5t
    @JenniferJackson-m5t 9 днів тому

    people's people's people's jamni people's wabaya nyiie haya😢

  • @Anoniem123-u5m
    @Anoniem123-u5m 10 днів тому +1

    Duuuh pore😭

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 9 днів тому

    Nilikua namkubali sanaaa huyu dada basi tu

  • @AliBakar-f5k
    @AliBakar-f5k 10 днів тому +1

    Tatizolako were mwanamke unazarau uliwahikusema katika maishayako huwapendi wanaume 8:07 weusi yani wewe na wazungu warabu ndio mabwanazako ulikua na kiburi kwa umarufu was mdamchache kwaiyo ililie nafsiyako

    • @8pistons194
      @8pistons194 6 днів тому

      Hiyo ni kutafta tu tension mjomba acha kumuhukum hata ww unazambi

  • @tonyjr8720
    @tonyjr8720 10 днів тому +1

    Duuuuu aseee

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 9 днів тому

    Ila watu 😢

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 7 днів тому

    Sasa hata wakimtak kwan yy ni bikra??

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 10 днів тому +1

    Kwa wanawake kawaida kutakwa.. Ila UNASEMA HAPANA AU KATA MTAMA HUYO ANAEKUTAKA

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius5256 9 днів тому

    Pole sana dada

  • @IrakozeJuliette-so1iu
    @IrakozeJuliette-so1iu 10 днів тому

    Pole sana, Aliye kupeleka police ni Ex wako

    • @SabraAbuu-f5z
      @SabraAbuu-f5z 9 днів тому

      @@IrakozeJuliette-so1iu 😂😂😂 ni kweli kabisa 😂😂😂 ni mpuuzi sana.

  • @SteveMassawe-xh6lz
    @SteveMassawe-xh6lz 9 днів тому +1

    Makonda sio mtu nashangaa watu mnamtetea nakusema anaroho nzuri namchukia yule baba nisiwe muongo alifanya agness akatangulia😢

  • @PeterBaton-x7b
    @PeterBaton-x7b 9 днів тому +1

    Kwa Maisha Yakibongo Bongo Tena Kwa Watoto Wakike hili hutobowe Ningumu Sana Maana Utatumika Nautatumika Kimwili Mpk Uzeeke🤣🤣

  • @uwimanacitegetse9926
    @uwimanacitegetse9926 9 днів тому +1

    Ndomana zuchu hatakimazoweya yakupigapiga mapichanawatu akisemahataki wanasema ha anajiona kupirwapica na tiyedi tu kumemuhalibiya lecho 🤦🏾‍♀️😭

  • @JanetAhmad-v3h
    @JanetAhmad-v3h 9 днів тому

    midawa ya kulevya njo zinawaponza

  • @augustinookore6172
    @augustinookore6172 10 днів тому +1

    Pisi kali sanaa hii

  • @NajmaMohammed-sn4vh
    @NajmaMohammed-sn4vh 10 днів тому

    Si nandy amsaidie

    • @HaikaFredrick
      @HaikaFredrick 9 днів тому

      Hawezi wakati anamnyanyua msanii wake Yammy ambaye naye anamikato kama ya Recho na Ray C

  • @MashakaShabani-s5m
    @MashakaShabani-s5m 10 днів тому

    Asaidiwe hyu dada kuna wapuuzi wachache huwa wanaharibia watu maisha yao sasa amekosa nini mpaka umtangazie vibaya ni ujinga sana sana

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 10 днів тому

    Mmmh tatizo ulifanana na rayc ndio maana😢

    • @RonnieBertin
      @RonnieBertin 9 днів тому

      Mzee umepigaje hapo nilivyoona picha yake nilifikili Ray c macho yake anyway watu duniani tuko wawili wawili hata mimi watu wananifanisha na sadio mane

  • @mwasitigervas2624
    @mwasitigervas2624 9 днів тому

    Tulia tu pesa ya chakula na chumba ,,ulituumiza sana pole ila tuliumia kukulipia

  • @Mikeys-m9w
    @Mikeys-m9w 9 днів тому

    Asituchoshi Bana Ashapotea Myaka Mingi Sana 🧐
    Ila Pole Yake 😢

  • @DINASSOUR
    @DINASSOUR 10 днів тому +4

    Atafute shamba akalime...watanzania hatumshiki mkono yyte ...aolewe azae alee watoto...ukimshika mkono atakuja kukaa uchi majukwaami

  • @osupatkarenolesieku
    @osupatkarenolesieku 10 днів тому

    Nini shida tena huku

  • @BabyCappuccinoBabyCappuccino
    @BabyCappuccinoBabyCappuccino 9 днів тому +2

    Basi waandishi wa habari wa online kama nawaona baada ya interview hii mwezi mzima watamtafuta wamuhoji na maswali ni haya haya ya huku