"Kiwanda cha Sukari Bagamoyo ni uwekezaji wa mfano wa kuigwa" - Gavana Tutuba.
Вставка
- Опубліковано 26 сер 2024
- Bodi ya Wakurugenzi ya BoT ikiongozwa na Mwenyekiti wake ambaye pia ni Gavana wa BoT, Bw. Emmanuel Tutuba, imetembelea Kiwanda cha Sukari Bagamoyo ikiwa ni mwendelezo wa ziara za Bodi hiyo kukagua shughuli mbalimbali za kiuchumi nchini.
Mzee Bahresa yupo vizuri ndio maana Sanaa sio msanii KAZI KAZI ni mfano Kwa wananchi
Kwa mara ya kwanza kuona gavana kutembelea miradi ya binafsi hii naonaga nigeria tu.kwa tanzania huu ni mwanzo mzuri
Magufuli baba yetu
Tunaendelea kumkumbuka mzee wetu.
tupo pamoja kiongozi
Sukari ishuke bei