#TBC1
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- Kipindi cha Wekeza Tanzania " Fahamu mtaji wa milioni 200 ulivyotumika katika uwekezaji wa Vimbaka (Toothpick) Kwa eneo dogo"
Saa 12:00 jioni TBC1, marudio Jumatano saa 7:30 mchana.
Mtangazaji : (Vumilia Mwasha) @vumilia_miyangu
Mwongozaji: NeligwaMugittu
Msanifu Picha: @clementsilla
Kimedhaminiwa na @azania.bank
#WekezaTanzania #Wekeza #Uwekezaji #Viwanda #Kaziiendelee #TBCOnline #TBCUpdates
Hongereni sana. Hii ndio tanzania tunayoitaka. Tanzania ya viwanda
Hakika nawaombea kwa Mungu muendelee kutimiza wajibu wenu umoja ni ushindi. Mmbarikiwe sana
Hongera Rais wetu wa kwanza mwanamke kipenzi chetu Mama Samia Suluhu Hassan kazi zinaendelea Tz oyeeee wanawake Oyeeee.🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hongereni sana Bongo toothpick
Kazi nzuri
Safi sana