BAGAMOYO SUGAR || Hatua kwa hatua uanzishwaji kiwanda had uzalishaji sukari

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024
  • Bagamoyo Sugar mkombozi mpya Tanzania katika eneo la sukari.
    Kiwanda kikubwa kilichoanzia kwenye wazo lililotolewa na hayati John Magufuli, Rais wa awamu ya tano wa Tanzania.
    Hebu shuhudia hatua kwa hatua ya namna kiwanda cha Bagamoyo kilivyoanzishwa hadi kufikia leo kilipoanza uzalishaji unaokidhi mahitaji ya soko la sukari nchini.

КОМЕНТАРІ • 73

  • @travesseniorchannel
    @travesseniorchannel Рік тому +4

    Hongera sana kwa SSB & Azam Group of companies kwa mradi huu. Sisi wakazi watarajiwa wa Makurunge tunafurahi kuwa karibu na mradi kama huu. 👏👏👏😃

  • @mohamedshaban6880
    @mohamedshaban6880 Рік тому +2

    Mungu andelee kukubarik said Salim bakharesa na akupe umri mrefu na maarifa inshallah

  • @anwary_sultan
    @anwary_sultan Рік тому +2

    Maasha Allah.... Allahumma baarik... Hadhaa Min fadhir Rabbi.

  • @Chombezaflava
    @Chombezaflava Рік тому +13

    MAGUFULI REST EASY focus yako kwenye future ilikua best

    • @jumas.sendekwa2788
      @jumas.sendekwa2788 Рік тому +2

      VP aliwekeza bei gani kwenye kiwanda hiki?

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Рік тому +1

      Magufuli alimpa Bakresa ekari elfu 10 alime miwa za kuzalisha sukari. Umeelewa we PIMBI!?

    • @jumas.sendekwa2788
      @jumas.sendekwa2788 Рік тому +1

      @@mimiraia2531 alimpa halafu Bakhressa akalipa zaidi ya billion kuhamisha watu. Unajiona una akili sana sio? Shwain kabisa

    • @brother_majesty
      @brother_majesty Рік тому +1

      Yes...he is the one provided suitable environment

    • @jiweg-unit5408
      @jiweg-unit5408 Рік тому

      @@mimiraia2531 mwambie gay huyo ,ukimtoa jk nyerere marais waliopita hawamfikii hata kidogo jpm kikazi hata kimaono ,Awamu ya 5 ni wizi tuu watanzania karibu 85% wanalijua hilo

  • @jumaally8387
    @jumaally8387 8 місяців тому

    Hongera sana mzee bakhresa,hongera pia kwa waandishi walioandaa makala hii kwaubunifu wakiwango kikubwa.

  • @williamkiyumbi2800
    @williamkiyumbi2800 Рік тому +15

    RIP JPM we love you

  • @winstonabamwesiga8276
    @winstonabamwesiga8276 Рік тому +4

    This man 👍. wa tofauti.

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Рік тому +2

    MashaAllah Bahresa,Bahresa

  • @rwechunguraissa1394
    @rwechunguraissa1394 Рік тому +2

    Ni Jambo la kujivunia kwa mafanikio yenu na uthubutu wa hali ya juu kuijenga Tanzania mpya. HONGERA sana.

  • @abdulrahmanissa9413
    @abdulrahmanissa9413 Рік тому +2

    Big up Bagamoyo sugar SSB group

  • @eddimwamba4208
    @eddimwamba4208 Рік тому +2

    Kongole kwa Azam Group💪🙏🙏🙏

  • @outzone66
    @outzone66 Рік тому +2

    Namshukuru mungu kwa uwepo kwa mwekezaji wetu mzawa

  • @mohammedikingazi5109
    @mohammedikingazi5109 Рік тому +1

    Ahsante sana SSB

  • @salmabingwe0655
    @salmabingwe0655 Рік тому +3

    Bakhresa tajiri ambae hana majivuno:inshallah:

  • @saidsalim851
    @saidsalim851 Рік тому +1

    Mwenyezimungu Amjaalie kheri
    Na afungue viwanda vingine vingi

  • @geja8708
    @geja8708 Рік тому +1

    KILA LA KHER BAKHRESA GROUP ❤

  • @brother_majesty
    @brother_majesty Рік тому +1

    Excellent job...baada ya kufaidika na Mali ya umma

  • @isunga1964
    @isunga1964 Рік тому +2

    Sasa tutapata team ya mpila Bagamoya sugar kama kagera na mtibwa 😊😊😊

    • @NM-yl2uw
      @NM-yl2uw Рік тому +2

      ni team ya mpira sio mpila

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Рік тому +2

    Pongezi kwako mwekezaji mwenzangu mzawa, pongezi kwako pia mwandishi kwa usanifu wa kuwasilisha makala.

  • @netlity5532
    @netlity5532 Рік тому

    Hongera Sana...Mega investment! 🙏

  • @menyengeralesinoi9647
    @menyengeralesinoi9647 4 місяці тому

    Pesa zinatoka mbali sana

  • @avogadroskasembe4841
    @avogadroskasembe4841 Рік тому +4

    Jpm alitamka na mzee bakhresa akafanya kwa ujumla mnastahili pongezi

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 Рік тому +4

    JPM forever

  • @Baba-nm4qz
    @Baba-nm4qz Рік тому +1

    Magufuli hakutoa eneo bure sema alibariki uwekezaji,ila Bakhresa alitoa pesa zake na kulinunua.

  • @ericisidore8083
    @ericisidore8083 Рік тому

    Nakumbushia zijengwe Nyumba za Ibada kwa dini mbalimbali sambamba na makazi mazuri ya wafanyakazi wenu Bagamoyo Sugar. Kongole sana

  • @mwemsiabdul7498
    @mwemsiabdul7498 Рік тому +4

    Muwe waungwana lazima msifie magufuli bila yeye msikuwa na eneo

  • @alifocusmsham7623
    @alifocusmsham7623 Рік тому

    Inspired. A lot

  • @edgeofficesolution7922
    @edgeofficesolution7922 Рік тому

    tanzania ya viwanda.pongezi nyingi sana kwa ssb

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Рік тому

    Magu aliona mbali sana na ndiyo maana sasa hivi Azam wanaongoza kwa mifano.

  • @maftuhihassan3114
    @maftuhihassan3114 Рік тому

    Hongereni woote kwa ujumla

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Рік тому +1

    SSB inahit kupewa kudos!

  • @jacksonsikwasikawa1890
    @jacksonsikwasikawa1890 Рік тому +1

    ongezeni sana ndg zangu mbali kwanza yote mkali wazawa

  • @ephraimephsamauto7214
    @ephraimephsamauto7214 Рік тому

    Kwak Hali his jamani mbona Tanzania isifanye kilimo cha umwagiliaji,jamani vijana wengi hawana ajira,njaa kali, Mama yetu jaribu hii,waziri wa kilimo

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Рік тому +2

    Uzuri wa Bakhresa vitu vyake huwa sio vya janja janja.

  • @edgeofficesolution7922
    @edgeofficesolution7922 Рік тому +1

    RIP JPM

  • @J4UPro
    @J4UPro Рік тому +1

    Safi sana

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 Рік тому

    MashaAllah!!!

  • @hemedbakari8997
    @hemedbakari8997 Рік тому +1

    Hongereni sana

  • @johnthesimba4764
    @johnthesimba4764 Рік тому +3

    Watu mia tano walikuwa na vijumba vyao kule.

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Рік тому +3

    rais magu alitoa eneo hilo moja ya mategemeo yake ni ushushaji wa bei ya sukari lakini mbona sukari yene iko juu kuliko iliyopo madukani hivi sasa?

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Рік тому

      Kwani Nini kilicho mtokea Dangote kwene Cement

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Рік тому +1

    TumuenZi Bahresa

  • @emmanuelpeter8286
    @emmanuelpeter8286 Рік тому

    Kiukweli ningelisikia vibaya na kuwalaani kama msingeliweka jina la Magufupi kwenye makala yenu, ila niwapongeze kwakuishi kwenye uhalisia wandoto zake Hongera Salim baharesa.

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba2322 Рік тому +3

    R.I.P JPM

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 Рік тому +1

    mashaallah

  • @touyegates1433
    @touyegates1433 Рік тому +1

    Kasulu sugar inafuata, trust the process.

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Рік тому +1

    Hawa ndio wasomi sio maprofesa wa bongo na wasomi wetu hata sindano Hawawezi kutengeneza

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 Рік тому +1

      Shida ya Watanzania huwa mnachanganya hamjui tofauti ya technician na Academician km Prof. Kazi za prof. sio kuendesha mitambo kazi yake ni kufanya tafiti. Halafu wabunifu wanaweza kusoma hizo tafiti na kubuni technologia. Hao unaowasifia wamefundishwa na maprofesa halafu na wao wakajiongeza.

  • @MariaNgusa-gn4gk
    @MariaNgusa-gn4gk 4 місяці тому

    Nikitaka molasisi nipataje ? Mimi nimfanya biashara ya .

  • @eazyentertainment5570
    @eazyentertainment5570 7 місяців тому

    Makilmani unatuangusha unatundanganya muhindi wa wawatu hajasema hayo unayotafsini aisee

  • @jacksonsikwasikawa1890
    @jacksonsikwasikawa1890 Рік тому +1

    sasa sukari mbona aishuki bei uku Arusha 2800 kwa kg 1

  • @RichardGhatiOjina
    @RichardGhatiOjina 11 місяців тому

    Hi

  • @PhilibetLadislaus
    @PhilibetLadislaus 7 місяців тому

    Hatujaona nafuu kwa nchi

  • @michaelmotika5250
    @michaelmotika5250 Рік тому

    Ni juhudi kubwa Ila u aguzi wa dini katika ajira!!!!

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Рік тому

    Mmepewa ardhi bure na serkali sasa sukari muuzie watanzania kwa bei ya nafuu.

  • @kiatu
    @kiatu Рік тому

    Umaskini tunajitakia-serkali kutaka kufanya kila kitu badala ya ku-facilitate biashara. Angalia inavyofanya kwenye entertainment- inaendesha tuzo..!!!

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Рік тому

    Bakhresa ndio tajiri anae jielewa

  • @revoltmind4386
    @revoltmind4386 Рік тому

    Revolt mind

  • @mayaally2512
    @mayaally2512 Рік тому

    JPM NI RAIS TUNAENDA KUISHI NAE MUDA MNO .SIO SIASA ALIKUWA MTENDAJI WA WANANCHI

    • @Baba-nm4qz
      @Baba-nm4qz Рік тому

      Magufuli kabariki hilo eneo kuanzishwe kiwanda lakini hakulitoa bure,Bakhresa amelipia acheni kumsifu huyo mtu wenu tatizo la watanzania tunashabikia ujinga ni sawa na Makonda kutoa eneo na kuwapa yanga kumbe eneo lilikuwa la Manji ambae alikuwa mfadhiri wa yanga walimnyanganya.

  • @revoltmind4386
    @revoltmind4386 Рік тому +1

    Mapinduzi ya fikra