BAGAMOYO SUGAR || Hatua kwa hatua uanzishwaji kiwanda had uzalishaji sukari
Вставка
- Опубліковано 3 жов 2024
- Bagamoyo Sugar mkombozi mpya Tanzania katika eneo la sukari.
Kiwanda kikubwa kilichoanzia kwenye wazo lililotolewa na hayati John Magufuli, Rais wa awamu ya tano wa Tanzania.
Hebu shuhudia hatua kwa hatua ya namna kiwanda cha Bagamoyo kilivyoanzishwa hadi kufikia leo kilipoanza uzalishaji unaokidhi mahitaji ya soko la sukari nchini.
Hongera sana kwa SSB & Azam Group of companies kwa mradi huu. Sisi wakazi watarajiwa wa Makurunge tunafurahi kuwa karibu na mradi kama huu. 👏👏👏😃
Mungu andelee kukubarik said Salim bakharesa na akupe umri mrefu na maarifa inshallah
Maasha Allah.... Allahumma baarik... Hadhaa Min fadhir Rabbi.
MAGUFULI REST EASY focus yako kwenye future ilikua best
VP aliwekeza bei gani kwenye kiwanda hiki?
Magufuli alimpa Bakresa ekari elfu 10 alime miwa za kuzalisha sukari. Umeelewa we PIMBI!?
@@mimiraia2531 alimpa halafu Bakhressa akalipa zaidi ya billion kuhamisha watu. Unajiona una akili sana sio? Shwain kabisa
Yes...he is the one provided suitable environment
@@mimiraia2531 mwambie gay huyo ,ukimtoa jk nyerere marais waliopita hawamfikii hata kidogo jpm kikazi hata kimaono ,Awamu ya 5 ni wizi tuu watanzania karibu 85% wanalijua hilo
Hongera sana mzee bakhresa,hongera pia kwa waandishi walioandaa makala hii kwaubunifu wakiwango kikubwa.
RIP JPM we love you
This man 👍. wa tofauti.
MashaAllah Bahresa,Bahresa
Ni Jambo la kujivunia kwa mafanikio yenu na uthubutu wa hali ya juu kuijenga Tanzania mpya. HONGERA sana.
Big up Bagamoyo sugar SSB group
Kongole kwa Azam Group💪🙏🙏🙏
Namshukuru mungu kwa uwepo kwa mwekezaji wetu mzawa
Ahsante sana SSB
Bakhresa tajiri ambae hana majivuno:inshallah:
Mwenyezimungu Amjaalie kheri
Na afungue viwanda vingine vingi
KILA LA KHER BAKHRESA GROUP ❤
Excellent job...baada ya kufaidika na Mali ya umma
Sasa tutapata team ya mpila Bagamoya sugar kama kagera na mtibwa 😊😊😊
ni team ya mpira sio mpila
Pongezi kwako mwekezaji mwenzangu mzawa, pongezi kwako pia mwandishi kwa usanifu wa kuwasilisha makala.
Hongera Sana...Mega investment! 🙏
Pesa zinatoka mbali sana
Jpm alitamka na mzee bakhresa akafanya kwa ujumla mnastahili pongezi
JPM forever
Hakika kabisa kabisa
Magufuli hakutoa eneo bure sema alibariki uwekezaji,ila Bakhresa alitoa pesa zake na kulinunua.
Nakumbushia zijengwe Nyumba za Ibada kwa dini mbalimbali sambamba na makazi mazuri ya wafanyakazi wenu Bagamoyo Sugar. Kongole sana
Muwe waungwana lazima msifie magufuli bila yeye msikuwa na eneo
Inspired. A lot
tanzania ya viwanda.pongezi nyingi sana kwa ssb
Magu aliona mbali sana na ndiyo maana sasa hivi Azam wanaongoza kwa mifano.
Hongereni woote kwa ujumla
SSB inahit kupewa kudos!
ongezeni sana ndg zangu mbali kwanza yote mkali wazawa
Kwak Hali his jamani mbona Tanzania isifanye kilimo cha umwagiliaji,jamani vijana wengi hawana ajira,njaa kali, Mama yetu jaribu hii,waziri wa kilimo
Uzuri wa Bakhresa vitu vyake huwa sio vya janja janja.
RIP JPM
Safi sana
MashaAllah!!!
Hongereni sana
Watu mia tano walikuwa na vijumba vyao kule.
duh kumbe na wewe umeiona hiyo,nilfikiri nimeona peke yamgu
rais magu alitoa eneo hilo moja ya mategemeo yake ni ushushaji wa bei ya sukari lakini mbona sukari yene iko juu kuliko iliyopo madukani hivi sasa?
Kwani Nini kilicho mtokea Dangote kwene Cement
TumuenZi Bahresa
Kiukweli ningelisikia vibaya na kuwalaani kama msingeliweka jina la Magufupi kwenye makala yenu, ila niwapongeze kwakuishi kwenye uhalisia wandoto zake Hongera Salim baharesa.
R.I.P JPM
anahusika nn hapo
mashaallah
Kasulu sugar inafuata, trust the process.
Hawa ndio wasomi sio maprofesa wa bongo na wasomi wetu hata sindano Hawawezi kutengeneza
Shida ya Watanzania huwa mnachanganya hamjui tofauti ya technician na Academician km Prof. Kazi za prof. sio kuendesha mitambo kazi yake ni kufanya tafiti. Halafu wabunifu wanaweza kusoma hizo tafiti na kubuni technologia. Hao unaowasifia wamefundishwa na maprofesa halafu na wao wakajiongeza.
Nikitaka molasisi nipataje ? Mimi nimfanya biashara ya .
Makilmani unatuangusha unatundanganya muhindi wa wawatu hajasema hayo unayotafsini aisee
sasa sukari mbona aishuki bei uku Arusha 2800 kwa kg 1
Hi
Hatujaona nafuu kwa nchi
Ni juhudi kubwa Ila u aguzi wa dini katika ajira!!!!
Mmepewa ardhi bure na serkali sasa sukari muuzie watanzania kwa bei ya nafuu.
Umaskini tunajitakia-serkali kutaka kufanya kila kitu badala ya ku-facilitate biashara. Angalia inavyofanya kwenye entertainment- inaendesha tuzo..!!!
Bakhresa ndio tajiri anae jielewa
Revolt mind
JPM NI RAIS TUNAENDA KUISHI NAE MUDA MNO .SIO SIASA ALIKUWA MTENDAJI WA WANANCHI
Magufuli kabariki hilo eneo kuanzishwe kiwanda lakini hakulitoa bure,Bakhresa amelipia acheni kumsifu huyo mtu wenu tatizo la watanzania tunashabikia ujinga ni sawa na Makonda kutoa eneo na kuwapa yanga kumbe eneo lilikuwa la Manji ambae alikuwa mfadhiri wa yanga walimnyanganya.
Mapinduzi ya fikra
Yaliyoletwa na Magufuli