Jinsi ya kuwekeza shilingi Laki moja
Вставка
- Опубліковано 26 лип 2024
- Leo tunaongelea jinsi ya kuwekeza shilingi laki moja:
0:00 Mwanzo
0:29 Kuwekeza UTT
01:18 Mfuko wa Timiza
2:15 Kuwekeza kwenye Hisa
2:59 Kuanzisha biashara
3:47 Jiwekezee / Invest in your self
4:59 Mwisho
---------------------------------------------------------------------------------------------------------
Napatikana pia:
❤ Instagram: / happymsale
-----------------------------------------------------------------------------------------------
FAQs
❤ Camera used: Canon G7x Mark 2
❤Editing Software: Wondershare Filmora
Elimu nzuri saana hii ambayo hatukuwahi kuipata tulipokuwa shule.
Nina maswali mawili.
1. Je mtu mmoja anaweza kuwekeza kwenye mifuko zaidi ya mmoja?
2. Ninapojiunga kwenye mfuko mmoja kisha baada ya muda ya labda miaka kadhaa nikajitoa, kisha nikakaa kwa muda, Je ninapotaka kurudi tena kwenye mfuko uleule nalazimika kujiunga up ya au natumia akaunti ileile?
Ahsante.
Asante. Nadhani hapa unaongelea mifuko ya UTT.
1. Kwenye swali la kwanza, Ndio unaweza kujiunga mfuko zaidi ya mmoja
2. Kwenye swali la pili, sina uhakika sana, ni vyema ukawauliza UTT
Happy holi somo zuri
Asante
Nimeelewa vizuri,naomba link ya free online training ambayo wanatoa certificate
Nina amini nita jifunza zaidi kuhusu UTT na Government Bonds toka kwako.
Great video .......
Asante na karibu
Kiwango cha chini cha kuwekeza Kwenye Hisa ni HISA 10 Tu, siyo 100.
Sawa,Asante