@@CossyKiria-fd6pqnikajua ni mimi tuu Ndo naonaga too much watu kuomba likes. Badala ya kumsifia anko j Kwa kazi yake na kumpa support watu wanajifanya kama wanampenda ila hawako tayari kumsupport Hata Kwa elfu 2 Kwa mwezi mkaka wa watu. Akiuza simulizi watu wanapayuka kama vile wakina mama tarik
Daah huyu Catherine amenikera ujinga gani huo ya nini kuumiza watu kisa huyo msela ki cheche na huyo dada yake Careen anawivu sasa kwanini amupotende Rahim nawakati aliachika,itakuwa huyu Catherine analaana maana kutembea na mtu na Mujomba wake sio kitu kizuli niuchafu kwanza hii simulizi imenichefuwa bola tuletewe Binti lisa na SIN😢😢😢😢😢😢😢
Ni kweli😂😂..sababu kwetu nyumbani kulikuwaga na Bata wengi mno, sikuwahi ona ubaya ila kuna wakati kaka wetu mkubwa alioa mke, na sikumoja alishuhudia bata wakila uroda yaani the copulation,,she stood there watching 👀 😅. Huwaga bata wakiume kabla atafute balance akiwa mgongoni ,hata anaweza mvunja mke wake mabega jamani,,after 10 minutes his long shaft was dangling outside 😄 😀 wifi wetu aliwachukia bata 😂😂, ilibidi wauzwe wooote,😢😢😢nikwambie sijala mayai ya bata kisa huyoo 😢😢😢😢😂😂 dah....nyama ndio usiseme😂😂😂😊😊
Kathe kanikera , Yani haezi fikiria kama anachukuliwa video ama picha , wakati Kila kitu Kiko wazi kaambiwa hatofunga ndoa, alikuwa kakasiriwa na wazazi wake aliye msaidia mpaka mahusiano ya familia ikarudi , Sasa anafatana na yule wa kumvunjia hajali upendo wa familia Wala nn, huyo lansileto sijui nani, asingemtisha , angemwambia tu memewe kinacho endelea na wangejuwa wafanyeje, Sasa saahii akipatikana sura anaieka wapo, wazazi wake atawaeleza nn , yaani itakuwa vip maskini , yaaani huyu Kathe kumbe mpuuuzi hivi , coz haya si mapenzi huu n uchizi
Woyooooooo Lisa mwaea unahatarii ww kwenye hii simulizi 😂😂😂 Ahasante sana anko jay kwakutultea utamu❤❤🇴🇲🇴🇲🇴🇲 Anko jay mwambie aje uku keti tutafute maisha sie tunaliwazwa na Anko jay
Yani kuna simulizi zingine zinanitia hasira yani nikama uyu Catherine awe laribu yangu nimshushie kipigo kwa upuuz anaoufanya yani naumia moyo sanaa adi natoka nje ya simulizi nakuisi nitukio linatokea live 😢❤❤asante anko jay na lissa mwala mungu awaweke cz najifunza vingi kupitia nyinyi 🙏
Ancojey alivyo sema kama madada wanapiga pesa mbaya uku kujifariji nasimulizi ujuwe nimeceka sana afu kam ku comment mara2 nimakosa naomba sory ila dj tunaomba part4 yani umetuaca pabaya 😂😂😂 msela simulizi kali sana kama movi nzuri daaah😂nisem thank you🙏
Huyu Cathe nae anaanza kuniuzi sasa, genye gani hizo mpaka unaenda kutiana na mwanaume mwingine siku moja kabla ya harusi yako, Huu ni umalaya uliokithiri 🤨🤨🤔🤔😏😏😏
Yap yaani atafute pesa waume ni wale wale starehe gn asiyoijua kawaida wanawake wakiumizwa na mume uwa hana tena hisia na mume yeyote ilobaki kutafuta fulusi tu namshangaa Cathe
Notification unapata sema unachelewa kuziangalia same hapa maybe una notification nyingi sana za youtube sasa hadi kuiona ya anko unakuja kuiona umechelewa
❤❤msela, leo upo mapema tupite mbele watu wamebanana, miguu ita vunjwa, sio kusukumana uko. niko apa nipeni like bas wadau wa msela.🤣🌹🌹🏃
Mmmmh yaan wew unashindag hum
Mmh kweli kbs watu wanakia sana 😂😂😂yaani mi kuhingia tu tayari watu wamejaa 😂😂😂😂.
@@yalalakashindi4594 hahahaaa😂 nyie nabahatshatu leo nimejalbu il xo klasiku
Uyu PAMELA ana lala umu umu mwa ANKO J MAPESA kabsaaa nampa ongera yake 🎉🎉 kwa ajili ya MSELA Wake
Humu ndani kila kitu wakwanza haya jamaniii MSELA JAMANIII TUJUWE SASA ITAKUWAJE HUYO MSELA LIKE 10 ❤
Huyo dem fungu la kukosa kweli khaaaa🙌🏾
Rizki yake ikifika na wakati wake kila kitu kitarudi kwenye mstari@@FatmaNjapukagy
@@FatmaNjapukagy sasa RAHIM ATAMUOA KWELI MAANA MSELA KARUDI TENA NA DADA YAKE NDIYO ANAEMUWALIBIA MAISHA😔😔😔😔
Waoooh ila anko unafanya kazi Kwa mazoea sana utapigwa sasa💪💪
Nasubiri hiyo siku watu wooote watakapo acha kuomba like nakutoa maoni yao kwa anko nin afanye kwenye simulizi zake😂😂
Utasurii, Sana!😂
@@user-rc3om5hs9i hahha nasubiri kwahamu jamn cz inakuwa KERO sana😏😏
@@CossyKiria-fd6pqnikajua ni mimi tuu Ndo naonaga too much watu kuomba likes. Badala ya kumsifia anko j Kwa kazi yake na kumpa support watu wanajifanya kama wanampenda ila hawako tayari kumsupport Hata Kwa elfu 2 Kwa mwezi mkaka wa watu. Akiuza simulizi watu wanapayuka kama vile wakina mama tarik
Kudate na mvuta bangi yakupasa ujiandae kiakill lolote laweza tokea😂😂😂
Kabisa yani 😂😂😂😂
Sisi wanawake ni viumbe vya ajabu maneno kdgo tu unasahau mtu anae kufaa unarudia mtu alie kuumiza
Anko J unajua kuturusha roho we baba!! Yote ya yote Asante na Mola abariki kazi zako.
Wow,kazi nzuri kaka,listening from Kenya(Eldoret),much love.
😂😂😢Kuomba like nakutoa maoni yao kwa anko nin afanye kwenye simulizi zake 😂😂😢❤
Cath na wew autulii jmn ndmn unapgwa matukio na mwsho wa yoteee huyo msela ndo atakuwa mumeo🤸
Huyo ndio mumewake😂😂
Huyu ni noma aiseee 😂😂Ahsante Anko jay kwa muendelezo wa simulizi yetu nzuri
Hatimae leo tumefikiwa wasela wenzangu😂😂😂
😂😂❤
Waooooh ❤❤🎉🎉hatimaye tumefikiwa na msela msela msela wetu😂😂❤❤
Msela nilikua nakusubili kwa hamu asante uncle j mapesa kwa kutuletea simulizi ya msela🎉🎉 nioeni like zangu apa
Ko msela ndio kspeperuka hivyo ila msela kazingua😂😂😂 😊
Wooyo🎉🎉😂😂😂😂😂😂 wakwanza
Unyamaa ni mwingi snaa
Jaman waooo tuanendelea na msela Asante Ankojay ❤❤
Jaman anko jay hii subir subir Inamaliza bundle toa kitu kiishe baba wengne kusubir hatuwezi
leo nimewayi jamani msela wee utuweka roho juu🎉🎉❤
Afadhali leo nicomment ili nione kama napendwa❤🎉.
Anko thanks kwa msela🎉🎉. Allahu baarik,🙏🙏
Daah huyu Catherine amenikera ujinga gani huo ya nini kuumiza watu kisa huyo msela ki cheche na huyo dada yake Careen anawivu sasa kwanini amupotende Rahim nawakati aliachika,itakuwa huyu Catherine analaana maana kutembea na mtu na Mujomba wake sio kitu kizuli niuchafu kwanza hii simulizi imenichefuwa bola tuletewe Binti lisa na SIN😢😢😢😢😢😢😢
Oooh my good Dj asant sana yani nahisi kupaa kwafulaha nilionayo asane sana mung azidi kukubariki🙏
Waooooh hatimae tumekumbukwa asante sana anko wetu
Ankoj ukimkagua Bata hutaweza kumla
Ni kweli😂😂..sababu kwetu nyumbani kulikuwaga na Bata wengi mno, sikuwahi ona ubaya ila kuna wakati kaka wetu mkubwa alioa mke, na sikumoja alishuhudia bata wakila uroda yaani the copulation,,she stood there watching 👀 😅. Huwaga bata wakiume kabla atafute balance akiwa mgongoni ,hata anaweza mvunja mke wake mabega jamani,,after 10 minutes his long shaft was dangling outside 😄 😀 wifi wetu aliwachukia bata 😂😂, ilibidi wauzwe wooote,😢😢😢nikwambie sijala mayai ya bata kisa huyoo 😢😢😢😢😂😂 dah....nyama ndio usiseme😂😂😂😊😊
Niko ndani ya msela wadau Leo musininyime like zenu mm nawapatianga like zangu❤🎉
Ujawah kukosea aseeeh big up sanaa nimeilikee😘
at me nimewah jamn mnip likto😊😊😊😊
Mushaniwahi leo 😂😂
Ukweli matumbo yawanawake yapo km maduka ya bzaa mamacathe amezaa warembo sn lakn mh
Mh,hapo umemaliza maneno,matumbo ya wanawake kweli yanabeba😅😅😅
Wow congratulations God bless you tunakupenda zaidi hatimae umeachia mzigo surprise 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤tumefika ❤❤❤❤oyooooooooo😮😮😮😮😮
❤❤❤❤❤❤❤ yani ANKO jay unatusema hivyo
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaah nimecheka kwa kuona binti msela nipe 🎉🎉🎉
Msela msela msele huyo mwendo wakobe cjachelewa asante anko jay kwa kumleta msela🎉🎉
hii simuliz nimeipenda 😍😍😍
Afadhari asante kaka nakuelewa sana
We nae ushatucosha na huyo msela wako dada hatulizi mbumbusa 😂😂😂kaah ngoja kwanza mjeshi akuvunje taya ndo akili ikukae sawa pumbaaaavu 😂
Asante sana anko nakupenda sana kwa kazi yako nzuri ila kasoro yako moja ukitoa simulizi nzuri unatubabaisha tunapata simulizi kwa ubabaika
@@user-th5wp2gy3e 😭😭😭iyo nikweli anadutesa sana
Exactly 14second! Nipe like zanguuu
Kathe kanikera , Yani haezi fikiria kama anachukuliwa video ama picha , wakati Kila kitu Kiko wazi kaambiwa hatofunga ndoa, alikuwa kakasiriwa na wazazi wake aliye msaidia mpaka mahusiano ya familia ikarudi , Sasa anafatana na yule wa kumvunjia hajali upendo wa familia Wala nn, huyo lansileto sijui nani, asingemtisha , angemwambia tu memewe kinacho endelea na wangejuwa wafanyeje, Sasa saahii akipatikana sura anaieka wapo, wazazi wake atawaeleza nn , yaani itakuwa vip maskini , yaaani huyu Kathe kumbe mpuuuzi hivi , coz haya si mapenzi huu n uchizi
Mimi wakwaza 🇴🇲🇴🇲
Huu mwanamke ana kera ana kaumalaya flanivi!😡
Kama mnaaamini ipo siku Catherine atarudi kwa msela wake gonga like hapa tujuane😂😂😂😂😂😂😂😂😂
❤hatimae umetuonea huruma anko😂
Wewe cathe ni mujinga sana mana huelewi hisia zako kabsaa kazi kuumiza tu wanaume
Nimewai leo
Woyooooooo Lisa mwaea unahatarii ww kwenye hii simulizi 😂😂😂 Ahasante sana anko jay kwakutultea utamu❤❤🇴🇲🇴🇲🇴🇲 Anko jay mwambie aje uku keti tutafute maisha sie tunaliwazwa na Anko jay
Yani kuna simulizi zingine zinanitia hasira yani nikama uyu Catherine awe laribu yangu nimshushie kipigo kwa upuuz anaoufanya yani naumia moyo sanaa adi natoka nje ya simulizi nakuisi nitukio linatokea live 😢❤❤asante anko jay na lissa mwala mungu awaweke cz najifunza vingi kupitia nyinyi 🙏
Anko J sehemu ya 5 ya Msela vip maana sio kwa sauti na simuliz hiz...
Tunokaribia achwa kisa simulizi za anko J tujuane jaman❤❤❤
Watu Leo wanewahi nafasi mapema 😂😂tulochelewa tukae wap jamani
Ancojey alivyo sema kama madada wanapiga pesa mbaya uku kujifariji nasimulizi ujuwe nimeceka sana afu kam ku comment mara2 nimakosa naomba sory ila dj tunaomba part4 yani umetuaca pabaya 😂😂😂 msela simulizi kali sana kama movi nzuri daaah😂nisem thank you🙏
Ubarikiwe bro big ❤..Ubarikiwe ninafurahii kusikia sauti ya mwanamume in the house 🎉🎉
🤣🤣🤣🤣🤣Mbona nakupenda wewe na huyo bahasha wako 😂😂😂😂😂😂
Barikiwa sana ank j kwakweli . ❤❤
Love you uncle jay
Wale.hatujalala.kwasababu.ya.lisa.hatujui.tutafaulu.vp.tujuane.kwa.like
vipi anko j, wewe umetuzoesha raha na unatuchelesha sisi kama gen z tutakutafuta natumai unalijua tibwili letu.😁😁
Mi nashauri simulizi zisiwe Na vipande vingi inachosha mwisho 5 episode
Yaani kuna wadada Hawana akili kabisa.hdi ukaslimu ili uolewe alafu cku moja kabla ya ndoa wafumaniwa?hunu ni umalaya promax
Waaaauuu wakwanza Leo like jamani ❤❤❤❤❤❤❤ndugu wapendwa
Demu ana pepu la ngono anapenda kunyanduliwa
Mbana atakosa kamba na mbuzi
Na Dada mtu noma sana
Tupe mambo maana duuuh❤️❤️❤️
Amakweli msela🎉
He watu mpo vizur
Huyu Cathe nae anaanza kuniuzi sasa, genye gani hizo mpaka unaenda kutiana na mwanaume mwingine siku moja kabla ya harusi yako, Huu ni umalaya uliokithiri 🤨🤨🤔🤔😏😏😏
😂😂😂🎉🎉NAIMA mwambie akuelewe uyo CATHE asikilize smlz za ANKO J MAPESA na.strec za waume ztamwisha tu
Yap yaani atafute pesa waume ni wale wale starehe gn asiyoijua kawaida wanawake wakiumizwa na mume uwa hana tena hisia na mume yeyote ilobaki kutafuta fulusi tu namshangaa Cathe
Oyaaaa anko jay part 5 please tusipoe unatukata stim😂😂 maua yakoo 🎉🎉
Asante sana anko j kusema kweli unanifunza mengi kupitia smlz zako nakunipotezea mawazo na kunitia moyo pia❤❤❤❤❤❤
Hiv Catherine una shida gan 😂😂😂😂 mwanaume wangap? Huy🙌🙌🙌🙌
Hatimae imekuja❤❤❤❤
Asante sana Anko jay iyo sauti yako iyo ndo itatuuwa iyo❤❤❤❤❤❤❤😂
Jamn nimeisubria Kwa ham atar ❤❤❤
Jamniii anko pleaseeee part 5 unatukata stim ujue usipoe saaa
Haaahaaa kwanza mimi
Ansante anko jay like
Huyo demu ni mjinga sana alitakiwa amwambie Rahimu kuwa bwana wake wa zamani ananisumbua na amwambie mama yake narudia tena ni mjinga mbwa sana
Ankoo Lisa VIP umetuweka kwenye dustbin jamanii duu
Shukran Ank Jy wadau mupoooooo jamani wanawake kwanini hamujiongezagi utaolewa kesho x anagutaka unamupa utuwako uyumudada ameniuthi kwakeri weye mbone unareta ayibu?huonikama dadako njo anagocoma naweye umecomeka aca tuone ayibu utayiweka wapiti huna mikosi wenjo huna mipanhirio wangine mujifunze asant Mwalla🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂nilijua2 huyu Kase ataiharb ndoa kisa msela😢na sizan kama ataolewa na rahm kama hawajaishia kuwa na huyo msela wake
Woyoooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🌹🌹🌹🏃
Safi sanaa❤❤
Mie mtu waviporo naanza kugawa like kwenu wotee Kisha mnipe mimi pia like
Hii story inaniumiza sana simpendi sana Las Los anamharibia mwenzie kufikia hapo nimeichukia bay
Nimefurahi leo sana tuu Msela mi nipo nawe mda wowote
DadA ake kasema mbwa kabisa ndio kamchoma..mwenzie😢😢
Sijuw hatanitawah lini
Cathe unamfatili msela unapigwaa dada
Weeeh msela weeeh unanikosha mie 😂😂😂😂
Woooow thankx ankojay
Huyo cathe nitamtia mibao kwann hana msimamo 😮😮💨🥺😳😳😡😠😠
Mambo sawasawa YESU AKIWA NDANI YA ANKOJAY SIMULIZI 2TAPATA 😂😂😂😂😂ANKOJAY PAMOJA MBK UCHOKE ...GUYS MPO 2ENJOY POLEPOLE ❤❤
Amina, sawa kwa yesu🙏
Waooo! msela huyoo❤❤❤🎋🎋🎋🌹🌹🌹🥀🥀🥀💐💐💐🌷🌷🌷💃
Finally imekuja hongera kwa kazi nzuri nakupenda ankojay mapesa ❤❤❤❤
Nimechew san lkn bd naw❤msinisahau katk ufalme wa like jmn
Nimependa sana alivyo fumaniwa maana ni umalaya ulio pitiliza na kuto jitambua wapo wanawake wenye tabua izi
Kathe ni mpuuzi sna mapenzi ayo my foot 👣,,na ajui ddke ndo anamchomea hajielewi umalaya utamuua mbwa uyu pumbavu zke mm amenicnya natamani niingie nimzabe makofi2 afu nitoke zangu😏😏😏
😅😅😅
Jamani mm mbona napata notification baada ya masaa matatu😢😢
Notification unapata sema unachelewa kuziangalia same hapa maybe una notification nyingi sana za youtube sasa hadi kuiona ya anko unakuja kuiona umechelewa
@@user-cr1nk1zc5s kwakweli mana naweza pata notification zimefika mpaka 100 nazipuuza...notification ninayoifatiloa sana ni ya ankojay
Catherine akirudiana na huyo mabangi wake atakuwa amenikera
Uyo mwanajeshi lazim amvunje mbav 😂😂😂😂umalaya tu kutubu aaah😂
Dah kweli huu bimti maya aiseee bwabwa kweli anko me siowi tena mazeeee
Kathe kathe mtoto malaya wewe sijapata kuona unashindwa kutulia na mwanaume wa maana wew bize na uyo bangii wako unatia hasira sanaa😏😏😏😏😏😏