Ila umalaya mbaya sana, hata kama dadako haezi majukumu yake ya ndoa, ww kama dada hauwezi kumchukulia bwana shengi yako unamvulia chupi salaaaleee... 😢😢
Mwamba uyu apa anko jay wangu katika kitu kipya binti Nasra sjui kuna nn ndani yake wacha ni enjoy kwanza ntarudi kukomment one love wana simulizi mix 💙💚💜.
Ahsante Lisa mwalla kaziyako nzuri na namsifu msimuliaji Anko Jay unanavyo zitiamanjonjo na utamu wakusikiza Ahsante Allwah akubarikini muzidi kutuburudisha
Mm naheshimu ndoa yamtu sana huwa ninamasharti yangu kwaza uko namm lkn mpende mkeo kama mpyaa usiekezee upendo kwangu sababu mm sipendi kuona mwanamke mwezangu anateseka juu yangu hapana nasra ulinusirika kwa mume wamtu sahi umeingia kwa shameji yako hakika wanaume baba yao nimmoja mana huyo mwanaume anasema mke hana tako sawa kwann ulimpendaa mm sipendi mwanaume wakupenda viuongo vyangu badala apende tabia anapenda maungo.sasa nasra weka kijiti mana unajiachia sana kwa huyo shem mtu asiekuwa na haya atakuzalisha huyoo sijui utaweka wapi sura yako
Richi,nilisikia hz story za ankol j kwako,ilibidi nimtafute kwa utube nikampata,siku hizi siachi kusikiliza hii sauti yake maana hata ninamimba ya sauti yake😂😂😂
Richie na huku Uko Mbona hizi story hazikufai za Lisa maana ni kuhusu mahaba ya mwanamke na mwanaume na wewe haupendi wanawake wewe unapenda wanaume wenzako sasa unajifunza nini hapa😂. Na acha ushamba Ndo hadi uandike LOVE YOU IN USA na maana yake ni nini 😂😂au unamaanisha WE LOVE YOU FROM USA. Ila kaka punguza ushamba ukileta ushoga wako nitakupeleka Uganda Kwa museveni 😏 KUMBUKA ANKO WETU NI MWANAUME KAMILI NA SIO NUSU KAMA WEWE
Part 2 Ya Binti Nasra Bonyeza Hapa 👇
ua-cam.com/video/yRV5W54vfbA/v-deo.html
🔥🔥
Jamani
Anko jay you are growing so fast 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 twawakilisha kwa mpigo
Kė 🔥🔥🔥
Hatimaye nasra nimefikiw jamen naomben like zenu hatakam nimekuw wa mwisho🙏🙏🙏
Asante Sana anko Jay nimependa sana Lisa mwalla
Mena simulizi zake zuri Sana
❤❤❤🎉🎉🎉🎉😊😊😊Life lesson
Daaah nafulahi sana unavyokuwa unasimlia huku unacheka mungu akubaliki
Simulizl eko pooaaa sana❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Dada ake Nasra hajui majukum ya ndoa aibu tupu ndio maana ndoa zinawashinda wanawake jifunzen majukum yenu
Wao this one ni 🔥 fire aki,nimesoma sana ,we we aki sauti yako,am on simulizi every day l love it, good job keep up
Thanks for watching
Anko we py noma umetisha kinomanoma ngoma Ina noga imetaradadi balaaa❤❤
Anko jay kwa kujisifia tu upo vizuri sana ila umetisha sana kwa kunogesha simulizi ❣️❣️loup up bro ♥️🔥🔥
😂😂😂😂😂😂😂😂
Anko jay ❤love your simulizi we need part three soon from 💖+254🙏
😂😂eti nikunujue wewe nyerere ila anko j nakupenda sana sauti yako mashaalah ❤
Ila umalaya mbaya sana, hata kama dadako haezi majukumu yake ya ndoa, ww kama dada hauwezi kumchukulia bwana shengi yako unamvulia chupi salaaaleee... 😢😢
Jaman nimefurah san kuskiliza cmuliz ya mwajina mwenzang, kumb majin ya nasra tunadharau nikajua pek ang, love u anko j❤❤
Tuko na wewe bega kwa bega mpk kieleweke mr.mapesa❤😂
yaan jamn mm napenda hiyo sauti jamn umebalikiwa
Lissa kwa mara nyengine tena ❤❤❤bila kumsahau kipenzi anko jay😂😂😂 big up broo
Mwamba uyu apa anko jay wangu katika kitu kipya binti Nasra sjui kuna nn ndani yake wacha ni enjoy kwanza ntarudi kukomment one love wana simulizi mix 💙💚💜.
Ahsante Lisa mwalla kaziyako nzuri na namsifu msimuliaji Anko Jay unanavyo zitiamanjonjo na utamu wakusikiza Ahsante Allwah akubarikini muzidi kutuburudisha
Guys kama unamkubali anko jey goga like ap chin love anko jey
❤️
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤ mwaaaaaaaaaaaaa I love so much napenda unavyo hadithia Jamani Niko hoi kucheka jamani
😂😂😂😂pole sana nasra kilicho kupata iseee huyo n noma sana
Better late than never..i cant miss simulizi for anything...not a day with simulizi i. I have learned alot through simulizi....much love jay🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kaka ww Wajuwa handi wajuwa tena pinga kazi my Ankoj tuko pamoja mungu awe pamoja nawe kaka❤❤
Nasra kafanya nn tunasikiliza anok j tunakupenda san❤❤❤❤❤❤
Dah..jamani Nasra wewe😂😂😂hatari waaa.ila simulizi ni🔥🔥🔥
Jamani tabora kwetu nimefurahi sana mimi bint wa mboka asante akojay ❤lufita
Jamaniiiiii story nzuri san ina funzo kubwa san ety❤❤❤❤😅😅😅
Anko j Mungu Akuweke sana uzidi kutuma raha🔥♥️
Uyu dada mim kabisa❤❤❤
Anko story nzr mnooo jmn ongera n hivi unavyohadithia bas mm hoiiiiiiiiiii Kwa kuchekaaaaaaa❤❤❤❤
Hi Lissa Mwalla? Yan Mungu abambalki Sana tena sana by Anko Jay asante nimejifuza kwakweli 🙌🙏
Yan ni 🔥🤭😂🤣🤣
Lissa mwalla ataki tupumue 😂😂wee dada nakupenda bule siku nikiulizwa Kwa mwezi ipi simulizi nzuri ulizo sikiliza sitokuwa na jibu
Shukran Lissa tunakupenda
Anko piga kazi pamoja sana 💥
Thank you
Uweeee anko Jay wewe 💣❤❤❤
NASRA jamani kafanyanini tena 🤣🤣tunasikiliza anko jay maana tunajifunza vingi sana LISA MWALLA wetuu🥰🥰🥰🥰
Shadya shog angu wew umechanjiwa asali au bad 🤣🤣
@@fatmaalbahri1846 miee tamuu OG kabisa ata hauchiji 🤣🤣🤣🤣🤣kuchanjiwa na asali bado 🤣🤣🤣lakini niongeza tuu utamuuu🤣🤣🤣🤣🤣
@@shadyasalum192 wah dear unachelew yaan 🤣🤣🤣 anko j tuletee prt2 jmn full kuinjoy
@@fatmaalbahri1846 pppp0😊😊pp00😊😊pp0😊pp😊😊p0pp0😊😊0pp00😊00😊00😊0p0😊😊000😊😊p00p0😊0😊😊0😊p0😊😊0p0😊p0😊0😊0p00p0😊0😊0😊0😊😊00😊😊000p000😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Kafanyaje Nasra jamani😂😂😂😂😂LISA MWALLA NAKUPENDA buree ❤❤❤❤❤❤❤😘😘😘😘😘
Asante madame Lissa na Anko jay musimlizi wetu twende KAZI .
Sawa sawa sawa
Mtoto nasra mzizi huyu
❤🎉😊🎉❤ hongera anko jay😊😊😊😊
Anko jay ❤❤❤
Asante sana my brother from another mother
Kama unapend simuliz kama iz gonga like
Kumbe kuna wenzetu mmechanjiwa Asali na hamsemi😂😂😂
😂😂😂😂
Mmh anko j tuache watu wafupi jmn😂😂
Tuko pamoja anko Jay mungu akubariki sana tena sana daima
Nasra sio kwakujiachia hivyo na mume wamtu chunga usijutie badaeeee😢😢😢😢😢
Aaa ha ha haaa wema wee Noma
Nikweli mambo hayo yapo😂
Wanandoa tuchukue somo hapo
Story nzuri sana ❤❤❤❤❤❤❤
Yani anko unajua kutupangilia sauti alafu unatufanya wengine tunajichekea km mabwege kwa nice story n nice sound😊
Anko j unajua jaman kutufurahisha mungu akupe maisha marefu
Anko j unajua kunijulia na mastoli maana mpaka tunasahau kupika mgungu akupe maisha malefu tuzidi kiki ijoi
Ila msimuliaji anasauti romantic❤
Eti nikujue kama nani wewe nyerere ila anko je love you napenda sana simulizi zako❤😂
Ankojay wew kiboko unajua kusimulia jaman ulivyo anza kwakicheko sijuti kukupa namba moja sijui kam atapatikana msimuliaji kam ww bro🙏🏼🇧🇮🇧🇮
❤
Nzur san anko j hongera,saut nzur wee😅😅
Wenzetu kumbe mmechanjiwa asali
😂😂😂
Anko Jay sio poa kwa kuonea wafupi 😂😂😂😂mungu anakuona 😂😂😂
Anko simulizi ni nzr sana😋😋
THIS STORY 😂😂😂😂 IS CRAZY.... ANKO🔥🔥🔥🔥 ANKO
😃😃😃😃
Jamanii hii simuliz ni👌pambeee
❤❤❤❤😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Chezea watoto wa 2002😊
Hapo sana anko jay endelea vivyo hivyo wewe na dada yetu LISSA kwani tupo karibu mnoo nanyi kuwasikiliza
Sawa
Ankojay achieved basi ile ya X Party 2
Mm naheshimu ndoa yamtu sana huwa ninamasharti yangu kwaza uko namm lkn mpende mkeo kama mpyaa usiekezee upendo kwangu sababu mm sipendi kuona mwanamke mwezangu anateseka juu yangu hapana nasra ulinusirika kwa mume wamtu sahi umeingia kwa shameji yako hakika wanaume baba yao nimmoja mana huyo mwanaume anasema mke hana tako sawa kwann ulimpendaa mm sipendi mwanaume wakupenda viuongo vyangu badala apende tabia anapenda maungo.sasa nasra weka kijiti mana unajiachia sana kwa huyo shem mtu asiekuwa na haya atakuzalisha huyoo sijui utaweka wapi sura yako
P
❤
Mmmmmh Nasra umeenda kwa bibi tena kuchanja duuuuuh pole sana
Asant Sana kipenzi 😘😘😘😘
Vizur kama utasema yote anko jay wetu
Duu nasra pombe haikufai
Mimi wakwanza☝️
Sauti ya ANKO
Ndo chanjo yangu na asali 😜😜
😂😂 anko jay akianzag na kucheka weeeeee😂 najua mambo ni mareeeesh 😂🎉🎉 we lov u
Nyie ankojay siku akiacha kujisifia me sita sikiliza tena simuliz 😂sema anajisifia ukweli kwel saut nene bhna ya ankojay ❤❤❤❤❤
Omg we love you in USA 🇺🇸 ❤❤❤
Richi,nilisikia hz story za ankol j kwako,ilibidi nimtafute kwa utube nikampata,siku hizi siachi kusikiliza hii sauti yake maana hata ninamimba ya sauti yake😂😂😂
Richie na huku Uko Mbona hizi story hazikufai za Lisa maana ni kuhusu mahaba ya mwanamke na mwanaume na wewe haupendi wanawake wewe unapenda wanaume wenzako sasa unajifunza nini hapa😂. Na acha ushamba Ndo hadi uandike LOVE YOU IN USA na maana yake ni nini 😂😂au unamaanisha WE LOVE YOU FROM USA. Ila kaka punguza ushamba ukileta ushoga wako nitakupeleka Uganda Kwa museveni 😏 KUMBUKA ANKO WETU NI MWANAUME KAMILI NA SIO NUSU KAMA WEWE
Mweusi tiiii ...😅😅😅😅😅😅Ila anko j jmn
Anko Jay na Lisa Mwalla tena 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰😘🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Uwiii nianzeee kusikiliza😊
Anko j mungu akupemaisha marefu uendelee kutufyrahisha sana
Jomn wajina umeniangusha 😅
😅😅😅 hongera kwakusimulia ukiwa umeva uhusika
Kicheko hcho mmmmh,,kwaonyesha kuna mazur maan x kwa hali hyo ya kicheko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤️❤️
anko asante sana na ipenda miy
Simliz nzur sana hongela anko jey
Wajua kucheka anko Jay mbona wacheka vizuri yani we acha tu jamani mpenzi mungu akubariki sana
Mambo waah panachezea anko jay ❤❤❤❤
Anko j simulizi binti roz inaitwaje samahani naomba unisaidie yamwezi 9/5/2024
Anko uko vzl mashaallah❤❤❤
Anko jay huku UA-cam mambo 🔥🔥🔥
Asante Uncle J wewe unatutoa strees
Twende kazi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mashem shem mkowapi siwaoni😂
Miss you
Huyu dadake Nasra ni mke mjinga sana haijui nafasi yake ktk ndoa
Anko jay jmn ungengoja tukafturu ukatuachia kitu kipya😂😊😊
Vp part 2 lini tupé mambo Bint Nasra
Jamani ank wetuuuu