MZEE KILOMONI AIBUKA, AWAJIBU SIMBA HADHARANI "MNAROPOKA TU"
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- MZEE KILOMONI AIBUKA, AWAJIBU SIMBA HADHARANI "MNAROPOKA TU"
Baada ya klabu ya Simba kutoa ufafanuzi kuhusu suala la udhamini wa Mzee Kilomoni ndani ya klabu ya Simba huku wakisema kuwa Mzee Kilomoni siyo mdhamini hivyo atambuliki katika klabu hiyo huku wanasimba wakitaka waachane na maneno yake.
Mzee Kilomoni mwenyewe ameibuka na kusema viongozi ambao wamesema hivyo hawaelewi wanachokisema kutokana na kutojua nyaraka za Simba na kudai kuwa klabu hiyo kuna mtu anataka kuumiliki Simba peke yake.
rebrand.ly/255G... #255GLOBALRADIO www.youtube.co.... / 255-global-r. . / 255globalradio / 255globalra. .
www.youtube.co.... / 255-global-r. . / 255globalradio / 255globalra. .
mjini hakukosi machizi huyumzee anashida yaubongo kamaunaungana namm gonga like
......best interview....Bravo Saleh
Umefanya mabadiliko gan ,bhna wew mzee unazeeekaa vibayaa ,,,,,,inawezekanaa unataka kupgaa diliii
Nimegundua mzee mgumu wakuelewa. Dah
ndio mana Magori alisema tuachane nae
Komanao hao mikia walimtumamagoli awadanganye mashabiki sana mzee baba
mtamtukana hyu mzee lkn anaona mbali kwa nn mwenye %49awe na nguvu kuliko wenye %51na ndo hcho mzee kilomon ataki hat inakaa na mwenye %51sio mwenye49mzee ypo sawa
Ushauri kwa mzee Kilomoni,kwanza hongera kwa kuitumikia klabu kwa muda mrefu,
Lakini uendelee kuwa na heshima ni vyema ukaangalia mkanda wa saa,
Maana huwezi urudisha nyuma,angalia upepo unapoenda nawe ufuate,
Ukienda tofauti na mawimbi ya bahari Mara nyingi bahari itakumeza.
Mzee Nakuelewa sana Kaza hapohapo hao wapuuzi 2
🤣🤣🤣🤣
labda akukaze ww
HUYU MZEE KILOMONI WANASIMBA WALIMTUKANA SANA KUHUSU MUWEKAZAJI LAKINI LEO WANASIMBA TUMPE MZEE KILOMONI MAUWA YAKE TUMUHESHIMU HUYU MZEE ALIONA MBALI SANA ONA LEO SIMBA NA MO DEWIJI WANAVYO VURUNDA
Bado ajajibu swali achague swali moja sio maerezo yake ya maisha ya ke.ya mpila jibu ana yazamani.ayana tija ana.jibu Bari ni kuzuga tu
Mwalimu wa huyu Dingi alikuwa na kazi sana kumuelewesha
Mtu yeyote asie taka maendereo huyo nisawa namchawi
Duu watani zangu tuache ushabiki huyumzee anazeeka vbaya hajielew kabisa. .polen wanasimba
Peter Mende Yupo sawa huyu. Ana point ya msingi
Kuwekeza kwenye tim na kununua tim ni vtu tofauti
Ka alitaka kununua tim dau lingekua tofauti
Duh mpira wa Tanzania kukua ni kazi aisee
mzeeee mjinga sana
Hiko kipengele cha 49% kipo na anatakiwa asiwe peke yake. Na hiko ndicho kitu kilichomshinda Manji kuidhamini Yanga.
Dah hawa tongwa wawili ni shida hawampi nafasi mzee. Binafsi naona uwezo wao na umri wao ni mdogo mno kumuhoji mzee kwakua umri wa klabu ilipotokea ni sehemu ya tatizo hivyo hivi vitoto viwili havina ufahamu wala busara ya kujua nini na wapi wasiwasi wa mzee Kilomoni ulipo, hili suala linahitaji watu wenye umri mkubwa kutatua na sio hawa wabongo fleva wawili . Hata kama ningekua mimi nisingeachia ofa ya kiwanja hovyohovyo nikizingatia muda na umbali niliotoka nao na klabu .Kilomoni anahitaji kuhakikishiwa umiliki wa klabu kwa wanachama hajakataa mabadiriko.Mwisho nashauri wazee wenye umri mkubwa walio ktk tasnia ya michezo kama akina Mzee Al-maari , Alhadji Ndoranga, Rage, Kapuya,Mkuchika, na wazee wengine wapenzi wa michezo bila ya kujali ni watu wa Yanga au klabuni zingine kwa kigezo cha umri wao ama nafasi zao serikalini wangesaidia kuweka sawa hili suala kabla ya msimu kuanza ili kumaliza tatizo naamini si tatizo kubwa iwapo litashirikisha watu wazima .
Saidi Mohamed safi sana, umemuelewa vizur Kilomoni hao waandsh hawana ufahamu mzur.
Sauti ya muziki ni kubwa kuliko maongezi
Waandishi maswali yenu ni ya msingi. Mzee mmhh umezeeka maana hata hujielewi.
Et mwanzilish
Nyerere angekuwa na akil kama zako bas angefia madarakani
Ww ni sawa Na Mchawi
Mwenyewe anajichanganya anasema club ni yawatu co mtu lakin zaidi ya mara moja amenukuliwa akisema cmba ni mali yake sasa tuelewe nin hapo
Wanyooshe mzee
Mzee mjinga sana ww simba sio ya babako ni ya wanachama waache waamue wenyewe unataka kuvuruga simba
Hiyo background musikj unaboa
LEO NIMERUDI HAPAAA BAADA YA KUONA HAJI ANATAMANI ASHITAKI MALALA MIKO YAKE KWA WANACHAMA WAKATI HATI MILIKI YA TIMU NI YA MTU MMOJA
Acha utoto we mzee kilomoni simba ni timu ya wanachama sio ya kwako waache viongozi wapige huna pesa ya kuiendesha simba ww
Jifunze Kupitia Kwakiongoz ,wataifahili Angekuwa Kama ww angekufia Madalakan Mwenyewe unaona Sifa Kumbe Unalolote
mzee anataka kuwa mzamini wa simba milele😂😂😂😂, na hela hana.
Hahahahahaaa yaan namuangalia ata simmalizi duuuuuuh!!
Naomba nkwambie Mzee nyie ndio mnasababisha migogoro Kila wakati na ndio maana tz mpira wetu Simba ,yanga wakidika hatua Fulani wanakwama
Nishida.sana
Ile wew mzeyyy unazingua sanaaaa bhn.... sifa ya kiongozi bora ni kuwa na uvumilivu pale unapoona mwenendo mzuri wa club ata kama ushabaini kuna hali haiko sawa kwa maslahi yako binafsi..... wanasimba hatuna haja na ubingwa wa tpl tu bali tunataka timu ifanye vizuri kimataifa
Mnampa platform ya nn huyu mzee, mnawapa promo watu wa hovyo sana
mzee hajui mambo ya hisa.mtakesha.
Aende zake huko huyu mzee veep
Yachanganyeeeee yachanganyikiwe!
Nyie n wapuuz sana
Kipengere hicho cha wawekezaji watatu kipo.
hivi vizee vinajua timu ikikaa kwenye program maalum .vitakosa kula maana vimefanya hizi timu miradi ya familia zao ..kwenda kule wezee maneno hayaliwi na zama zako zimepita kaa kushoto huko ukalee wajukuu
Mzee mbona simuelewa
Mzee anaongelea ownership halafu hajui maana yake
Mzee umeeleweka
bilionea kilomoni😂😂😂
simba siyo yakwako mzee simba ni ya watanzania
Wewe mzee muongo
Sasa miziki wala mtu hasikii vizur
Acha uongo mzee unamsahauje mtu uliefanyanae kazi kwa miaka mingi tena office moja?
TUAMBIENI WANASIMBA WAKATI HUO MO DEWIJI ALIKUWEPO ? TREY AGENI ALIKUWEPO , MANGUNGU ALIKUWEPO ICHO KIPINDI ? KISUGUSGU PUMBAVU ALIKUWEPO ? MZEE KILOMONI AHESHIMIWE MARA MIA
Sawa Mzee umefanya kazi kubwa lakini waache wenye nguvu kwa sasa
Mzeee upo sawa hawa wanazingua
sasa mzee kama kweli una mapenzi na simba si uwe nao pamoja ili tuijenge simba moja
Mchawi hela anajuwa mpila wa sshv na uwekezaji huu anajuwa watapewa mamilioni imeshakula kwako ingekuwa hivo waliogombania uhuru wangeing'ang'ania nchi wewe mzee umetolewa kisheria fanya mambo yako mengine
So watu wakowapi mbona.asilimia.51.akuna anaejitokeza mzee.ana.jipya uyo Mzee ana.jipya maisha ya sasa watu Awana moyo wa kutoa.bari anatuletea uzamani kwani timu iyo ya Baba yake mzamini gani uyo.ana.pesa Mzee anazingua mpila pesa ivi sasa.mwache mo achukue Tim zima.sisi wapezi tunaitaji fulaa atutaki brabra 8 yeye anaweza kudumia Tim ana busara achane na Tim anaongopa yeye alikua mdogo kiwanja kanunua wapi?????.anazingua
Huyo faramwacheni aendelee kuropoka
Daaah mpe mtu nafasi ya kuzungumza ndiyo utajua kiwango cha upumbavu alichonacho...!!!
Victorian Benard Nachenga hahahahaaaaaaaaaaa
Sasa mbona hati unazing'ang'ania kumbe co zako we mzee vp
Mzee una njaa wewe hv huoni km unajidhalilisha utu uzima huo Bado hujajipanga kimaisha
Halafu huyo mzee mwambien akasome katiba ya simba ibara ya 38 na ibara ya 39 atajua yy hana chake hapo asituletee kelele hapa
Huyu mzee anashida ya uelewa,, ana hitaji Msaada
Kwenda ushaona ulaji utapungua nasiyo kupungua 2 yani ivo ulivo taka kufanya vulugu lzm 2kufungie viyooooo
Wape wafanye mabadiliko ili wapotee katika ramani ya mpira.
Hii mizee mingine bhana!! sisi tunahitaji maendeleo ya club yetu mzee acha kuzingua
Hiv vchawi ndo vinarudisha soka la Tz nyuma Lipa mishara kama una Tim puuz kubwaa wewee
Baraka Mfugale
Mzeee kilomon umefanya mabadiliko hata bei ya kiwanja huijui bana
Mzee achiatim ww mnafiki tu
Huyu mzee ana matatizo
Kura zimekukataa..baba hiyo klab ni ya watu wengi,na hawakutaki wew njaa zako peleka huko,hebu ita kikao km hutapigwa km Mbwa koko
We mzee huna hoja, hovyo kabisa!
Watangazaji ndio chanzo cha migogoro ya klabu, wanapenda kuentertain migogoro ya club kwa lengo la kupata attention, sion dalili ya timu zetu kufika mbali kwa staili yao ila naamini chanzo kikubwa ni kukosekana kwa ubunifu na maono , Kuna haja ya hawa waandishi kupata orientation course hata admission zao za kwenda kusomea uandishi waziupgrade, vinginevyo watazidi kuzalishwa kila siku na kuzidi kuongeza migogoro kwenye jamii
Unajishusha hali we ni mweledi mbona ujanihoji mimi huyo si kama mimi kwa nafasi ya uwanachama
ila mpk sahz mwenye 49 ananguvu na sauti kuliko hao wenywe 51 mzee hapo Upo sawa
51 ni wengi na 49 ni mtu mmoja asa panatofauti uyo mwenye 49 atakuwa na nguvu tuu na anakunguvu pia kulingana na nafasi aliyonayo kwenye timu yeye ni mwenyekiti Wa bodi ya wawekezaji simba inamaana his a ztapoanza kuuzwa yeye ndo kwenye hisa nyingi na ndo mwenye sautii
Mwenyekiti wa Bodi alitakiwa atoke upande wenye his nyingi.
Pili, Simba imefanya makosa kutoa his nyingi kwa mtu mmoja, badala yake ingeweka ukomo wa hisa zinaweza kumilikiwa na mtu mmoja.
Huyu mzee ana shida mahali, wadhamini wanabadilik, walishakuwepo wengine huko nyuma kabla yake
Jeshi la mtu mmoja wanyooshemikia hao
Aibuka au mmemuibua nyie mzee mwenyewe hata hoja ya maana hana ni bora angetulia tu ili asiendelee kujishushia kaheshima kadogo alikobaki nako
Wewe uliyafanya hayo ukiwa kiongozi na sasa hivi kuna viongozi wengine waache wafanye kazi zao
Nalichukia hil zee
wewe mzee unang'ang'ania simba kwani kuna wanao hapo? achia madarakahayo sisi wanasimba hatukutaki ulipoongoza pametosha ondokasasa.
Gai kazmoto akil zako hazina tofauti na hicho kizee
Mzeee yupo sawa we ndo ndondo
Kwani Mzee umebakiza mdagani ufeee?
Huyu mzee anaakili sana, mwanzo nilijua anazingua kumbe analogic ya anachosimamia. Mwarabu hataki hasara na mzee kilomoni kamwambia baki na faida zako tiachie simba yetu hahahaha
Kama kweli mwarabu ana nia ya dhati na simba watimize kwanza walichoahidi ndio mambo mengine yaendelee
Wewe Kwa sasa Huyo Mzee ataweza kutuletea wachezaji wa kimataifa au wewe hauna akili mmh!!.......Khaaaaa yaan wee
Katiba gan hyo Mzee unatuchanganya we ukae milele ulizaliwa nayo
Hawa wazee kwakua wanaitwa wazee wa mjini basi wanataka kuleta vurugu watiwe mikwaju tuu tumechoka na kina hamis
Mzee mziki wa Simba hauuwezi wewe.Achana na Simba
Huyu mzee kakosa hekima tu katika jambo hili inafaa awachie wengine hiyo hati
Ndugu zangu watanzania wakati mwingine tuwe wasikivu na uwelewa mpana sio matusi mda ote mkumbuke mikataba ya kukurupuka ndio inayoleta hasara kwa taifa hil kwahiyo ushaul wangu tutafakari maneno ya wazee.hawa
Sasa makelele ya mziki yanini wakati mna mahojiano
Timu za mpila zina wanachama , mashabiki , viongozi , wachezaji na wamiliki kabla ya kuropoka jiulizeni nyie ni nani? Nyie ni mashabiki tu hata kadi za wanachama hamna halafu maneno meeengi! Simba ina Mo Award, ile ni club yake? Kwanini isiwe Simba Award?? Mnauza timu kimya kimya , Mzee anaongea kisheria vijana tunaropoka! Ndani ya 49 watu wasiwe pungufu 3 je hicho kimefuatwa ? Tumpe Mzee nafasi ya kuzungumza ili tujue ni wapi tunakwama! Simba bila Mkataba makini haitanufaika hao wahindi ni JanjaJanja mnawaona weeema!
Yaan hajielew hizo zama zimepita mzee
Neno la mtoto,BUSARA neno zur km una akil kuwa mwepes kuelewa,km una akil achana na mambo ya Simba,nenda kalime Kilomon acha njaa baba timu na washabk wamekukataa
safi mzeee unaakili ww
watachimba viaz msimu huu
Unag'ang'ania simba kwan uliianzisha wewe ? Kwan ya kwako
Kwani mnakelekwa na nini au mnatesaka na kitu gani na huyo mzee wenu mwambieni atoe hela ya usajili kwa kucheza Simba ndio ulopoke hovyo
Huyu Mzee kwanza amevunja sheria ya kukaa na hati isiyo yake. Hati ni ya Simba Sport Club sasa kama yeye ndio Simba aseme. Kwa mujibu wa Sheria hati hiyo ilitakiwa iwe mahali zinapotunzwa nyaraka za Club. Pia baada ya wao kuondolewa kama wadhamini wa Club hahusiki tena na mali za Club hivyo Simba wamshtaki kwa kukaa na nyaraka isiyomhusu. Pia wamdai fidia ya hasara au madhara wanayoweza kupata kwa kuchukua nyaraka hiyo na kukaa nayo nyumbani kinyume cha Sheria
uyu mzee mchawit
Huyu mzee ni mzee au akiri zimekuwa kama za watoto. Haoni ulimwengu unavyozunguka
Hati imeandikwa Simba S. C, sio mzee Kilomoni. Hivyo kukaa na hati hakumfanyi yy kuwa mmiliki. Hata ukiripoti kwa mamlaka husika Kilomoni hata kuwa na hoja. Hati ni mali ya club
Uyo mzee ana akili mnatuletea wafu kwenye mahojino
mzee anajidhalilisha , ameshaambiwa zikipendwa haelewi, mpaka afukuzwe kwa aibu.wamezoe nigogoro ili wapate kula. acha mabadiliko yachukue nafasi yake.kwa ajili ya simba bora ya leo na .kesho.
huyu mzee mchawi hana hela achane na simba
Huyu mzee kazeeka aise duuh
Mzee anapuyanga
tuondokee apo atukuitaji kwanza umri umeshaenda tena kama unampango simba iludi nyuma umefell
Kitu nilichogundua ni kwamba huyu Mzee haelewi kama hiyo hati akiitoa haiendi kwa mo isipokuwa inabaki kuwa chini ya simba kampuni
Basi njoo ufanye usajili maana sisi hatutaki maneno maneno!!....Hatutaki upuuzi eti uzaman wako sisi hatuujui
Vijana wa siku hizi wanachotaka pesa tu. Hawathamini mchango wa Wazee walitoa timu from Zero. Huyo MO aipandishe Singida United yake.
Si aachane na tim yetu. hana mapenz na simba uyo akaye benchi
Kwani huyu mzee anataka nini hasa!? Mbona ana mambo ya ajabu kiasi hiki!? Analazimisha vitu kwann!?🤔