ssc ni taasisi ya watu na si kampuni ya mtu binafsi, mzee wetu anashindwa kuelewa unaweza kua miongoni mwa walioanzisha taasisi lakini wakaja nufaika wengine.si lazima wote mnufaika na taasisi.kilomoni waliochangia ssc ni wengi.
Mtangazaji ukimuhoji mkubwa msalimie *shikamoo* lakini unaposema heshima yako hio ni salamu kwa mtu ambae mpo rika moja lkn hauna uhakika kama ni mdogo kwako au mkubwa kwako ndo unatumia *heshima yako*
Shikamoo ni mazoea tu.lakini ni neno la kiarabu linalomaanisha nipo chin ya miguu yako bwana. kwa asiyejua ataona shikamoo big dili. lakini anayeitkia husema Marhabaa
Tatizo kubwa masilahi ndiyo na wengi walitegemea Mambo yao binafsi yamalizwe na ssc Sasa kukoseka Mambo hayo ndio zogo miaka mitano tulipotembeza bakuli wao siwalikuwa viongozi walifanya nn hao Ni ssc yanga tuelewe hivyo
nikweli hao waandishi wameona kipindi hichi ndio kipindi cha wao kutumiwa ilikuwafata hao wazee kutuchanganya,mlijenga au ni club na wanachama ndio walijenga?watuwache
Msipende lawama hivi kama tungekua tumeweka hela zetu ingekuaje ?hapo hela hujaweka maneno meeeeengi acheni jamani hatuwezi shinda kila siku na kuteleza siyo kuanguka
Umrri unapokuwa kubwa km wa kwako inapasa busara kutawala ili usiiaibishe familia yk bure.Ww bakia msikitin kumwomba Mungu akusamehe,mpira au uongozi kwa ss ni vitu mbali2 na ww
Mzee kilomoni kumjua nafsi bona Mzee bwamchawi akua ivyo Simba apo zamani ulikua Tim ya walabu na matajili wewe umeingiajee?? Na unasema umenunua uwanja ulitoa pesa yako au mlishilikiana na walabuu na matajili wa kihindi??? Mzee kumjua nafsi mpilla WA zamani imepitwa na wakati
Uyu mzee Bado yupo kumbe ndo mwenye Simba yake uyooo
Jigajiga fc,makolo
Hiyo banner nyuma inaoza pesa ya kubadilisha hamna .... sasa pumzika mzee
Mkule huyu mtangazaji muongezee mshahara katulia mno
Nisuala lakuzingatiya ingawanimchangowao dhaifu kwasasa lakiniinastahiki japosikuyasimba day unastahikikuaga kupewanafasi
ssc ni taasisi ya watu na si kampuni ya mtu binafsi, mzee wetu anashindwa kuelewa unaweza kua miongoni mwa walioanzisha taasisi lakini wakaja nufaika wengine.si lazima wote mnufaika na taasisi.kilomoni waliochangia ssc ni wengi.
Point ni moja tu tumetelekezwa , hayo ni mawimbi tu
kweli tatizo uongozi
Semaaaa.
Sio kila wakati ushindi acheni mawazo hayo
Huna hela Mzee tulia mpira siku hizi ni pesa baba
Huyu Mzee anataka tuendelee kujifukiza uwanjani
Mueshimu wazeee jamani
Kaishiwa ye ndonani
Kila kiongozi anamuhula wake,ukimaliza tulia,shauri,sio kuabudiwa, Mungu ndio Kila kitu, Mimi yanga
😮mbona mwakajana hujamtafuta kuulizia mafanikio yasimba
Huyu mzee anamazo ya mwaka 47 hajui mpira sio km shamba la ukoo
Mtangazaji ukimuhoji mkubwa msalimie *shikamoo* lakini unaposema heshima yako hio ni salamu kwa mtu ambae mpo rika moja lkn hauna uhakika kama ni mdogo kwako au mkubwa kwako ndo unatumia *heshima yako*
Shikamoo ni mazoea tu.lakini ni neno la kiarabu linalomaanisha nipo chin ya miguu yako bwana. kwa asiyejua ataona shikamoo big dili. lakini anayeitkia husema Marhabaa
Angalia tafsiri ya shikamoo KATIKA kiswahili
Watu siku hiz wamezoea tu mzee heshima yako ...ndo nn sasa
Ni kweli Mzee kilomoni nakuunga mkono viongozi waliopo wanajazba maamuzi Yao kurupuka ,hawapo pamoja maamuzi ya viongozi wachache
Tatizo kubwa masilahi ndiyo na wengi walitegemea Mambo yao binafsi yamalizwe na ssc Sasa kukoseka Mambo hayo ndio zogo miaka mitano tulipotembeza bakuli wao siwalikuwa viongozi walifanya nn hao Ni ssc yanga tuelewe hivyo
tusubiri simba tuzalishe juis au sabun y mo uwanjan tu
Heshima Yako ndio Nini wewe mtangazaji ni hovyo kabisa
Umecheza Simba umelipwa kama ana madai ya malipo yake aende kwa uongozi alipwe stahiki zake.
Mlizoea kula pesa kiujanja usituaminishe imani za kishirikina
Kwani ukiwa kiongozi Timu haijawahi kufungwa? Hakuna timu isio fungwa
Kumbe ushaamua kukaa pembeni sasa unaongea nini? Mzee acha njaa bwana maana tunajua kuna mtu anaowajaza upepo nyie wazee
Kwenye mafanikio hukupata kumwuliza.Acha imani hiyo umeshapitwa na wakati.Mtangazaji hujitambui
nikweli hao waandishi wameona kipindi hichi ndio kipindi cha wao kutumiwa ilikuwafata hao wazee kutuchanganya,mlijenga au ni club na wanachama ndio walijenga?watuwache
Sijapaya kuona watu ajinga kama nyie mliemfiuata mzee kilomoni nyumbani kwake mnataguta nini kama sio unjinga
Kweli wewe Mkule tv hovyooo
Hiki kizee kina usumbufuxn
Mzee umepotea na wakati kaa pembeni huna chako tena,nyakati za kuishi mjini kwakutegemea Simba na yanga zimeshapita Mzee umajiabisha
Mzee pumzika
Unasaidia nini
Semakweli
Mzee umepitwa na wakati, mpira wenu wa zamani ulikuwa wa kichawi, siku ni sayansi ya mpira.
GSM napendekeza huyu mzee tumununue anakitu ndani yake (bench la ufundi)
Mwandishi mbona kama umetumwa
Hakuna timu inashinda kila msimu
Msipende lawama hivi kama tungekua tumeweka hela zetu ingekuaje ?hapo hela hujaweka maneno meeeeengi acheni jamani hatuwezi shinda kila siku na kuteleza siyo kuanguka
Kilomoni ilpita enzi yenu na Simba sio yenu,hawana simba na Simba ni ni wanachama,mtuwachie Simba yetu,wazee mtuwacheeeee imepita enzi yenu
Ww ujitambui ujui thamani yawazee
Mkure tv
Umrri unapokuwa kubwa km wa kwako inapasa busara kutawala ili usiiaibishe familia yk bure.Ww bakia msikitin kumwomba Mungu akusamehe,mpira au uongozi kwa ss ni vitu mbali2 na ww
Acha uongo mpila siku hizi ni hela siyo maneno kaapembenj mzee mwenzangu
Naaaaam
Wakati simba inafanyavizuli mbona wazee haoo hamkuwahiji
Ulaya hakuna ujinga kama wako
Mzee anaongea na machungu ni kama anailani timu
Mzee kilomoni kumjua nafsi bona Mzee bwamchawi akua ivyo Simba apo zamani ulikua Tim ya walabu na matajili wewe umeingiajee?? Na unasema umenunua uwanja ulitoa pesa yako au mlishilikiana na walabuu na matajili wa kihindi??? Mzee kumjua nafsi mpilla WA zamani imepitwa na wakati
Hamia yanga kama manara
Kwa kweli wanafiki wote tupa kulee hakuna mwenye Simba yake hapa.
@@taseleli9181 kabisa
Zilipendwa acha maneno