Mo alisema, yeye aliongoza miaka mitatu akaiona timu imesimama vizuri akaamua kuwakabidhi wewe na try again ikiwa na vikombe vyote, yaani kama ni biashara ilikuwa imeshasimama vizuri, mategemeo yake nyinyi mtaitoa pale alipoicha yeye na kiipeleka juuu zaidi, sasa mnatakiwa mjiulize biashara mliyoachiwa mnaikuza au mnaiua? Miaka 3 duka limebaki jeupe ata kipande Cha sabuni hakuna na timu imeshika nafasi ya tatu tuwaeleje? Tumia busara achia ngazi.
Magungu your best kuliko una vision sana mzee natamani ungekuwa Yanga but hawawezi kuhelewa KBs kwa sasa but watakuhelewa siku moja mo nikwasababu hana toa pesa kwa watu ndio maana unatakiwa usichoke hata kdg mzee wangu
Acha woga Mangungu, itisha mkutano wa dharura wa wanachama ueleze matatizo ya club . Sio kukimbilia mahojiano na waandishi. Hujiamini . Club iko I C U tunamuhitaji MO Kuinusuru , utaratibu utafuata baadae.
Mangungu jipange pamoja na wenzio tunataka simba.bora achana na wapiga kelele watanyamaza TU kinacholeta shida ni matokeo ya uwanjani hicho ndiyo tunachohitaji mashabiki
yaani huyu babu hajui chochote ni wazi anakaa tu ktk cheo chake anaulizwa wapi wanafanya kitu yeye anajibu venue au dah km ataendelea huyu tutasundana mangumi siku zijazo kwa kweli
Mangungu mangungu 😏😏😏😏hivi hiyo confidence unaitoa wapi we baba wewe kwani si utoke tuu shida Nini mwisho uje ufe kweli kisa simba tokaaaaa baba wewe hawakutaki
Mangungu piga kaziiii sisi wana chama wa Tanzania tuko pamoja usitishwe na mapimbiii piga kazi sisi serikali na wanachama tuko pampja na mooo ukiondoka simba itashuka daraja 😢😢😢😢😢😢
Kiuunqana tu mmninqekuwa ndo huyu mzee Ninqejiuzulu mapema sana. Unaweza jiuzuu.kwa hwahima yako ukabakia mwanachama wa kawaida inqekuwa.safi saba
Wewe mangungu Toka bwanaa,, HATUKUTAKI
Kwa nn haumtaki?
Kawakosea nn uyu babu,, Kwan yeye ndo anasajili wachezaj?
Alafu tumuwekee bibi yako awe mwenykitii???
NYIE VIBARAKA WA MANGUNGU MNAFIRWA NYIE SHENZISTAN KABISA
Jaman ivi mnamuojije uyo atoke tu atumtaki
Mangungu aondoke
Acha mihemuko
Mangungu na triy gan hawa ni niwahuni sana
Wahuni kabisa
Mzee shida transformation mbna inakuwa haifikii mwisho
Mo alisema, yeye aliongoza miaka mitatu akaiona timu imesimama vizuri akaamua kuwakabidhi wewe na try again ikiwa na vikombe vyote, yaani kama ni biashara ilikuwa imeshasimama vizuri, mategemeo yake nyinyi mtaitoa pale alipoicha yeye na kiipeleka juuu zaidi, sasa mnatakiwa mjiulize biashara mliyoachiwa mnaikuza au mnaiua? Miaka 3 duka limebaki jeupe ata kipande Cha sabuni hakuna na timu imeshika nafasi ya tatu tuwaeleje? Tumia busara achia ngazi.
Kikweli Sina Imani na huyu mzee aache tu timu atupishe
Unaweza kumpongeza mtu aliyefeli
Mangungu toka acha siasa we mzee mshowe tutakutukana
mim namkubali bwana mangungu for life
Ngungu Boy tokaaaa
Mzee wa hovyo sana
Hatukutaki mzee acha maneno mengi
Magungu your best kuliko una vision sana mzee natamani ungekuwa Yanga but hawawezi kuhelewa KBs kwa sasa but watakuhelewa siku moja mo nikwasababu hana toa pesa kwa watu ndio maana unatakiwa usichoke hata kdg mzee wangu
Tokaaaaaaaaaa
Wewe banaaa ni Yangaa banaaa, acha kutuzugaaaaa banaa
Huyu mzee mpiga dili tu pale.. huyu mla pesa sanaaa za usajili
Mangungu now kaa nabibi tu nyumbani tuachie Simba yetu
Uondoke ky mangungu
Vip kuusu b.20
We mangungu umetumwa nn😮
Ondoka we mzeee
Acha woga Mangungu, itisha mkutano wa dharura wa wanachama ueleze matatizo ya club . Sio kukimbilia mahojiano na waandishi. Hujiamini . Club iko
I C U tunamuhitaji MO Kuinusuru , utaratibu utafuata baadae.
Mangungu atokeeeeeeeee
Hawezi kua sahihi Tim imeshindwa vikombe vyote ni sahihi yeye kuondoka hiyo ndio kawaida
Shida sio kadi ya uanachama wa Simba tunasemea uhujumu
Mangungu yupo vizuri Sana piga kazi
Ww Yanga
Tangu Simba umechukuwa mwenyekiti unatufelisha hakuna maendeleo yyt
Hawa waondoke tu
Madrid ilishawahi kusajili wachezaji wote wazuri, miaka ya 2000 mpaka 2004.
MANGUNGU tuna imani kubwa sana na ww
Saana
Jamaa hadi.amekonda toka
Huyu ni tapeli tu😂
Mangungu piga kazi achana na hao wambea na wanafiki
Ulikuwa wap mzee at kwenye mech huonekan
Mangungu tokaaa hapo Simba hatukutakii
Tena aondoke hatumtaki
Mangungu jipange pamoja na wenzio tunataka simba.bora achana na wapiga kelele watanyamaza TU kinacholeta shida ni matokeo ya uwanjani hicho ndiyo tunachohitaji mashabiki
Mangungu usiondoke , yaani ww ndio mtu muhimu hapo
Mangungu tuachiye Tim yetu kwani Simba imekuzaa
yaani huyu babu hajui chochote ni wazi anakaa tu ktk cheo chake anaulizwa wapi wanafanya kitu yeye anajibu venue au dah km ataendelea huyu tutasundana mangumi siku zijazo kwa kweli
Hatuitaji siasa katika mpira,tuachie simba yetu,we ni kirusi,siasa kafanyie kwako.
Wewe mzee nikiongozi unaona mupo sawa tulitengemea munaleta mabadiliko umekalia malubano naupiga dili
Mangungo aondoke tu
Liningaww toka
😂😂😂😂Ila mangungu
Unalazimisha nini hapo Simba kwann unatufelisha alafu unafaida gani hapo Simba tumekuchoka sana Mara unamleta mazoki
Kujivisha umwenyekiti unafanya wanachama tukutoe Kwa nguvu.
Huyu Mhuni alileta Manzoki kwa ajili ya Kampeni
huyo ni mamluki wa watu huyo ila atajuwa mwenyewe mungu yupo
Mangungu mxenge ww
Milion 10 izo ndo chenji za jobe
We Mangungu kwani huna kazi nyingine ya kufanya zaidi ya kuing'ang'ania nafasi ya uenyekiti wa Simba? Unachokitaka Hapo Simba ni kipi?
Wewe uli sitahili ukaongoze mashoga siyo Simba huna sura ya kuongoza
We
Sema tu sisi atukutak
Akina mzaramo siwasikii na wala siwaelewi au ndio walewale tusiwe mamluki natusiishi kwa ajili wa watu Tuwe Simba nguvu moja
Mangungu anajibu maswali kisiasa tuu
Magungu uko sahihi mengine ni fitina tu. Piga kazi Boss wangu. Cha msingi kuwa makini tu na usajiri
Tokeni na mangungu wenu
Mangungu mangungu 😏😏😏😏hivi hiyo confidence unaitoa wapi we baba wewe kwani si utoke tuu shida Nini mwisho uje ufe kweli kisa simba tokaaaaa baba wewe hawakutaki
Muajili ww afany Kaz kwako
Upole huu wa mangungu ni kutokana na presha ya watu na jiulize mabadiliko kama hayaishi he hizo pesa za mwekezaji anaziweka kwa namna fan?
Endelea kuamini mwanasiasa😅😂..uyo ni mwanasiasa mwaka 2010 alikua mbunge
Muongo muongo
Piga kazi baba"tunajua kuna watu wanatumwa"kwa maslah yaoooo"piga kaz babaaaaa
Mangungu huna jipya nini unangangania kunanini ndani ya simba ? Hutakiwi siutoke kama huna maslai? Ondoka hawakutaki
Tuoneshe iyo kadi ya 93
Mwamba karudi povu linawatoka
Kwani ngunguz huna kwenu
Tuachie Tim yetu
A
Nikisikia hata sauti nakereka kabisa
Magugu acha ujinga kwanini ukatarie kiti
Wewe achana na kadi usitagulize kadi kadi yako ni yamchogo ondoka
Mangungu Yuko smart sana aisee sikujua hilo
HANA LOLOTE MWIZI HUYO
kumbe yupo uyu ali kuwa wapi uyu toka apa
Toka mbona mnang'ang'ania yapo maisha dhidi ya hapo
Mangungu piga kaziiii sisi wana chama wa Tanzania tuko pamoja usitishwe na mapimbiii piga kazi sisi serikali na wanachama tuko pampja na mooo ukiondoka simba itashuka daraja 😢😢😢😢😢😢
ATOKE TUONE KAMA SIMBA ITASHUKA DARAJA
Nyinyi mbwa ndio mnaokula pamoja
Wahuni wapo kazini kumsafisha muhuni mwenzao yaani mnatamani tuharibikiwe
Lile swali la 20bn, halikuulizwa why?
Sisi wananchi wazalendo kabisa tunamuunga mkono mangungu...hana baya
Mangungu piga kazi😂😂😂 mie ni mwana Simba na kadi ninayo😂😂😂😂
We toka usitusumbue usisubiri kutoka kwa aibu we ni msaliti na muaji wa simba yetu,
Toka Bwana
Kwa kweli aondokeeee anatuwekea Usiku tu
Kwani Mangungu anataka nini Simba jamani kwani watu kma hawakutaki unang'ang'ania kitu gani?
Mangungu piga kaziiiii"huyoo anae jiita cjui docta moo ni chawa na anatumwaaa
KAMA WEWE ULIVYO TUMWA
Dr Mohammed ushauri wake unalenga kumponda mangungu
HAKI YAKE AMPONDE MWIZI HUYO
Huyo mzee hawezi kuachia ngazi hana pakushika
Mangungu hana shida
kwani we mzee una shida gani si utoke hatukutaki unalazimisha nini ubaki kwenye timu HATUKUTAKI BWANA
Tuna Imani na Mangungu oyaaaa oyaaa oyaaaa simamia msimamo wako Baba 😂😂😂😂 pambania kombe 😂😂😂
Huyo dogo anayehoji kichwa ni Buyu kweli kweli hajui chochote amekuja na vitu vya kukariri. Arudi shule huku kwetu Kigoma tuna madarasa ya MEMKWA😂😂😂
Hichi kipengele kina ukakasi ktk ufafanuzi wake. Alafu kumbe 1993 ndio kawa simba😂
Atuitaji mtu mwenye kadi tunaitaji mtu mwenye mapezi nasimba
Kama mliwezi kulazimisha benchi la ufundi limpange Manula tukapigwa 5 Kwa moja ni ukweli usiopingika Haufai hata bure
Ata golini angekaa nani kipigo Cha Tano kilikuwa pale pale ilikuwa Kun faya Kun mzee
Mangungu wasikusumbue hao
Kwani unarazimisha nn. kubaki Simba si undoke. kafanye shunguli nyingine kasimamie ata basi rako uliro tuhibia
Wew mangungu achaya tim
Aachie timu huyuuu
Mangungu mimi simba damu piga kaz iko siku watajua thaman yako
Sio kwamba ni mbaya ila sie tunasema utoke maana umeshindwa kufanya kazi
Ww ukiachia timu unaona shida gan au kuna unachokipata unajibu hovyo hovyo tuu na uhalisia wa timu unauona au huna cha kufanya
Jaman cloud mwambien basi ajiuzulu atumtaki atoke
Atokeeeeeeeeeeeeeee
Hauna kitu sisi tunataka mafanikio acha maneno
Hizo siasa unaleta hunamafanikio yoyo the ulio yapata ndani ya misimu mitatu mfululizo
USIONDOKE BABAAAA HUNA BAYA KAAA SANAAA SIMBAA YANGA TUCHUKUE BACK TO BACK MARA KUMI KAMA BAYERN😅😅😅😅
Kila kitu kinamwisho wake
Nendeni tu.simba imekuwa ya ovyo kama nini. Yaan tisa kumi. TIMU isukwe upya. Tunataka simba MPYA ya wachezaji na viongozi basi.
Mangungu unakitu usitoke mpaka wakuue....hahahaaaa
Nanjie wanachama wasimba njaaimekutawaleni
Hatuwataki tokeni sio dactor mo tu ambae hakutaki wote hatukutaki Toka toka
Siku zote kajificha juzi Mo katokea na yeye ndio wanaonekana
Muungwana akivulia nguo uchutuma,ukweli Timu imefanya vibaya Kwa miaka 3,Hy tu inatosha kujiuzuru kubali uondoke.