Kwa ubora tulionao na namna ambavyo tumeanza mechi na matokeo ya ft itoshe kusema kwamba tumepoteza mchezo lakin pia tusitoke kwenye reli tuendelee kuisapport timu yetu 🦁🦁💪💪
Leo simba imecheza chini ya kiwango,ningeomba benchi la ufundi warudie kuitazama mechi au wachezaji watazame hii meche ya leo au wameuza mechi maana sio kawaida na kwa staili hii kwa yanga utapigwa sana.
Ubaya ubwelaaaa kila mtuuu hukosea kikubwa hatujapoteza2 mchezo wote bado ligi inaendelea ila wachezaji wanatakiwa kujua kazi yao maana matokeo yanaumiza mashabiki sana ubaya ubwelaaaa
Ndo tunaanza kuchokonoa hivyo kama p did vile mtatoa mavi kimya,,kimya ,na mkumbuke Ali kamwe alisema ni wiki ya kuwafunga midomo panya road na hawawez kushinda mechi tano mfululizo
Uzembe kwa wachezaje wamecheza chini ya kiwango camara sifa zitawaponza wameshaanza kupata followers kwenye account ZAO mitandaoni wasenge sana hao unapoteza mbele ya coast mbele unamechi na mtani alie Bora taaswira ya ubingwa imeanza kupotea
matokeo yana matokeo matatu ,,kati ya hayo tumeambulia moja sio mbaya na ligi bado mbichi sana ila hatutakiwi kupoteza point hata moja wachezaji wajitahidi ila speret ya upambanaji ipo juu,,leo tumefungwa magoli ya mbali so kipa aache tabia ya kutoka mapema❤
Ndiyo mchezo wa mpira wa miguu ulivyo na matokeo ya kikatili. Tusiamimini kuwa tulizidiwa.Siyo kila siku kiwango cha wachezaji kitakuwa juu,kuna siku watacheza chini ya kiwango.Hata huko ulaya inatokea timu kubwa ikacheza chini ya kiwango.Hii ni match iliyotupa funzo
Leo alofungisha wa mwanzo ni kocha kashindwa kuwatoa wachezaji mapema ambao walipoteza hamu akaingiza kina chasambi wachezaji wa kugombania namba, halafu mwengine alofungisha ni kipa na chimalon na wacheza wote hawakucheza mpira wa Kasi na huenda simba ikakosa ubingwa tena
Semaji upunguze majigambo uwe unabakisha maneno,wew ndio chanzo cha kutia ugumu mechi kwasababu unawafanya wapinzani wafanye kazi ya ziada bila ya kuzingatia unacheza uswahilini " uswazi kunavituko" punguza majigambooo vita nzuri kumvamia adui yako kimya kimya
Bwana Leo mumetuvunja nguvu sana simba nawaombeni muiludishe furaha ya Wana simba tarehe kumi na tisa tunataka point tatu iwe mvua au jua walai nimeumia sana we acha tu
Mkauze energy tu hamna wachezaji..Tangu ligi imeanza magoli yote ya kolo ni michongo ya refa😂😂😂 ....Unaenidai hela ninayo kesho nakulipa nmefurah thana😂😂😂
Tatizo tumeanza kuchoka kabla hata robo ya ligi,inashangaza mpira wa pasi fupifupi wachezaji wanataka chenga hadi golini,toa selemani matola naona yeye ni muhujumu pia
Ahmed Ally, kuna makosa makubwa sana unafanya. Unaongea vitu vinavyotengeneza pressure isiyokuwa ya lazima. Huwezi kuongea mambo ya malengo ya kushinda mechi tano mfululizo au mambo ya kuendeleza clean sheet. Haya maneno wachezaji wanayasikia, na isivyo bahati yanawatengenezea pressure ya hovyo. Wachezaji wetu wengi ni wapya na wadogo na ingefaa tusiwape pressure ya ubingwa au malengo malengo ya kila mara. Waambieni malengo benchi pekee kisha muwaache vijana wacheze mpira kuenjoy. Kifupi nakusihi uchuje mambo ya kuongea. Kama hautabadilika utakuwa unaihujumu timu.
Wachezaji Mmelewa sifa sana mbaka mnajisahau mkiwa uwanjani nyinyi amuwezi kuwa timu Bora bila kumfunga yanga Bado mnadeni kubwa kwa mashabiki kwa mpinzani wenu mkuu
Tujiandae kisaikojia maana wachambuz machawa leo wamepata cha kuongea na hapa sasa ndo tutajua kama mashabiki tumekomaa au tutaingia kwenye propaganda zao. Viongoz inapaswa mjue mpo kwenye vita kubwa sn, Eris anafanya kila namna simba ishuke ili aonekane ana akili, yani kifupi wachambuz machawa leo adi taree 19 wataakikisha wanatutoa kwenye reli
Tunaimani na timu yetu yache ipite love simbaaaaaa ❤❤❤❤
Semaji uko vizuri Wana Simba tusitoke mchezoni Kwa sababu ya droo ni Moja ya mchezo
Mmetuangusha wanasimba ila yote kWa yote
We win together,we lose together and we draw together ❤️🦁
Bro I'm so proud watu kama ww bado tunao co wale watukana timu wasojua mpira
kutereza sio kuanguka simba nguvu moja . ila tusijiamin kupita kiasi💪
Yaani hapo umesema kwwl
Kweli wachezaj Leo wamejiamin sanaa ila tugange yajayo
Ila mpira unauma jamani😢Mungu atusaidie wachezaji wasikate tamaa
@@winnielawrence6584 Sana ila dah ndo matokeo
Uwanja uo mhame yanga washa waloga uo
Tuko pamoja Simba ,nawaomba tujipange ili tuendelee na ligi kwa vizuri ,tukubali matokeo ninaimani tutashinda zaidi na zaidi InshaAllah
NGUVU 💪💪💪 moja tunaimani na Simba yetu
Mashabiki wa simba tusikate tamaa tugange yajayo. Simba nguvu moja❤❤❤
Ni kweli msemaji wetu,ulisema lakini kwamba mchezo utakuwa mgumu. Lakini sio mbaya ndio mchezo. ❤❤❤❤❤❤
Kwan we hujui kuwa semaji lenyewe Lina gundu?
Kwa ubora tulionao na namna ambavyo tumeanza mechi na matokeo ya ft itoshe kusema kwamba tumepoteza mchezo lakin pia tusitoke kwenye reli tuendelee kuisapport timu yetu 🦁🦁💪💪
Mh trh 19 kazi mnayo
Nimehuzunika sana Simba leo kufungwa ila nashukuru Mungu kwa tulicho kipata 😢😢😢😢😢😢😢😢
Ndio mchezo tuwe na imani na timu yetu
Sijui unasemaje sasa semaji wetuuu
Simba yangu daima ubaya ubwela simba Yetu Tuacheni nyiee hivo hivo
Ubaya ubwabwa
Nitaipenda Simba kwa matokeo yoyote tutakayo pata❤
Simba nguvu mojaa tujipange kwa mchezo ujao tusi laumiane tuipe timu hamasa Simba nguvu mojaa
Semaji unafanya kazi VZR, wachezaji leo wamechaza chini ya kiwango
This is simba nguvu moja ❤❤❤❤❤❤
Ndio mpira .lolote hutokea ❤
Ndo mnajuwa Leo na kujipa maneno ya kujifariji ooh yanga anashinda kimoja mwenzenu anashinda kimoja na pwent anachukuwa kumamae zenu
Bado nina imani na simba. Simba nguvu mojaaaa❤❤❤
timu haikucheza vibaya waendelee na mazoezi,sasa chezesheni na akina chasambi
Saii Simba nguvu moja
Musa kamara leo katuzingua ila ndio mpila
simba nguvu moja ❤❤❤❤❤❤
Leo simba imecheza chini ya kiwango,ningeomba benchi la ufundi warudie kuitazama mechi au wachezaji watazame hii meche ya leo au wameuza mechi maana sio kawaida na kwa staili hii kwa yanga utapigwa sana.
Ila mimi bado nalia na kitengo cha usalama cha timu. Bado mnachukulia mambo poa 😢
Tutulie Simba ndo mpira.Ila Kipa ajitathimini Kwa mipira ya mbali.
Kazingua sana
Uchawi kweli nimeamini upo
Vigagula hao mliocheza nao wamewatia pini wachezaji wetu. Simba nguvu Moja.
Nakukubali sana Semaji, huwa ni mkweli na nakuwa mtulivu sana hasa katika nyakati ngumu
Kiteleza siyo kuanguka mungu atupe nguvu tena❤❤
Ubaya ubwelaaaa kila mtuuu hukosea kikubwa hatujapoteza2 mchezo wote bado ligi inaendelea ila wachezaji wanatakiwa kujua kazi yao maana matokeo yanaumiza mashabiki sana ubaya ubwelaaaa
SAHIHI KABISA AHMED ...WACHEZAJI WAAMBIWE
Ndo tunaanza kuchokonoa hivyo kama p did vile mtatoa mavi kimya,,kimya ,na mkumbuke Ali kamwe alisema ni wiki ya kuwafunga midomo panya road na hawawez kushinda mechi tano mfululizo
Simba nguvu moja hu mchenzo umepita tusongembele
❤❤❤❤❤❤simbaa nguvu mojaaaaaa
Wachezaji Wanafanyishwa sana mazoezi Kuna wakati wapewe mazoezi mepesi kabla ya mechi au kuwaigiza kwenye mabarafu kuondoa uchovu wa mwili
Hilo nalo neno wanachoka sana jamani
Uzembe kwa wachezaje wamecheza chini ya kiwango camara sifa zitawaponza wameshaanza kupata followers kwenye account ZAO mitandaoni wasenge sana hao unapoteza mbele ya coast mbele unamechi na mtani alie Bora taaswira ya ubingwa imeanza kupotea
Simba nguvu moja
Bado topo kwenye mstari mzuri wa mafanikio tunaendelea kuiamini timu yetu
Simba nguvu moja .
matokeo yana matokeo matatu ,,kati ya hayo tumeambulia moja sio mbaya na ligi bado mbichi sana ila hatutakiwi kupoteza point hata moja wachezaji wajitahidi ila speret ya upambanaji ipo juu,,leo tumefungwa magoli ya mbali so kipa aache tabia ya kutoka mapema❤
Ni kweli mimi niliposikia kipa kaibiwa jezi nikasema mh
😄😄😄😄😄😄
UTAKUTA WAMESHA MROGA
Viongozi wa simba mnatuangusha❤❤😅😅
Safi san tobias kwa maswal mazur👏👏👏
Kweli kabisa semaji, hatujui shida Nini, au mmeloggwa,. Msiluhusu haya yawakute
Bado Ninaimani na Simba Yangu.
Bado Nina Imani na timu yangu ❤❤❤
Second half sijui nn timu ilua down 😢😢😢 au kujiamn sana
Waagosi wamejiandaa Kwa uchawi si Bure kile kilichotolewa golini na refa Nini?
Ndiyo mchezo wa mpira wa miguu ulivyo na matokeo ya kikatili. Tusiamimini kuwa tulizidiwa.Siyo kila siku kiwango cha wachezaji kitakuwa juu,kuna siku watacheza chini ya kiwango.Hata huko ulaya inatokea timu kubwa ikacheza chini ya kiwango.Hii ni match iliyotupa funzo
Uzembe wa Camala anakaa mbali sana na goli.
Leo alofungisha wa mwanzo ni kocha kashindwa kuwatoa wachezaji mapema ambao walipoteza hamu akaingiza kina chasambi wachezaji wa kugombania namba, halafu mwengine alofungisha ni kipa na chimalon na wacheza wote hawakucheza mpira wa Kasi na huenda simba ikakosa ubingwa tena
Hatujamalizaaa
Kipa ajitafakari sana game ya leo kwa nini aende sana huko mbele, mabeki wasiende sana mbele.
Uchawi umehusika hapo
Viongozi wa simba muemnatoka kuwaangaikia wa chezaji na viwanja wa na vyocheza kuwa makini❤😂🎉😢😮😅😊
Semaji upunguze majigambo uwe unabakisha maneno,wew ndio chanzo cha kutia ugumu mechi kwasababu unawafanya wapinzani wafanye kazi ya ziada bila ya kuzingatia unacheza uswahilini " uswazi kunavituko" punguza majigambooo vita nzuri kumvamia adui yako kimya kimya
Hahaaaaaaa cc hatuna wac na msemaji wenu tunajuwa waz ni msemaji mwenye gundu,,huyo huyo ndo tunamtumia
Kwa akili zangu mbovu viongozi walimshauri kocha kujipanga na dabi sio mpango wa kocha belive me.
HAWA WACHEZAJI WAMECHEZA KIZEMBE, SAFU YA MBELE WAMEKUWA KAMA NYUMBU WA SERENGETI. NI UPUUZI WACHEZAJI WAJUE TUNATAKA USHINDI KILA MATCH
Tuskatetamaa wana simbaa ilaa kamara asiwe anatoka nymbani kwake kwenda uwan atatfelishaa
Mabeki na golikipa wasijiamin kutoka golini
Yanga washafukia madudu kwenye uwanja wetu wamewaamishia yanga queen kmc waje kufanya nn mwanzo walikua wanafanyia wapi mazoezi
Usijali mwanang ligi bado mbichi kbs japo inauma
Bwana Leo mumetuvunja nguvu sana simba nawaombeni muiludishe furaha ya Wana simba tarehe kumi na tisa tunataka point tatu iwe mvua au jua walai nimeumia sana we acha tu
Mkauze energy tu hamna wachezaji..Tangu ligi imeanza magoli yote ya kolo ni michongo ya refa😂😂😂 ....Unaenidai hela ninayo kesho nakulipa nmefurah thana😂😂😂
Tatizo tumeanza kuchoka kabla hata robo ya ligi,inashangaza mpira wa pasi fupifupi wachezaji wanataka chenga hadi golini,toa selemani matola naona yeye ni muhujumu pia
Nguvu moja
Wachezaji wasilewe sifa aisee znaponza
Wachezaji wetu kama chasambi karabaka Kagoma mashaka mzamiru na wengine wapo wapi
Ndo tushaanza hivyo wenye nongwa tushaanza hivyo mtaulizana sana tu
Mhh yaani Kwa magoli ya Leo wachezaji walipaswa wapigwe maan ni ya kizembe sana
Camara aache mazoea aache utoto
Camara Leo hakuwa mchezon anatoka tu qolin yaan mchezo huu tumeupoteza kizembe sana
Ubingwa hatuchukui😰😰😰😰😰😰😰😰😰
Ubaya Ubwela bado Haitutoi kwenye malengo yetu
Kutoshinda leo ni funzo kwetu ,we learn through mistake.tulikua tunakumbushwa ,naamin next game tutafanya vizur
Tujipange kwa Mechi ijayo leo Viungo washambuliaji wamezingua yaani hata shoots on target hazifiki hata tano sure???
Kilichotukuta hatujategemea leo wachezaji wawesiliasi
Wachezaji leo wamekuwa wazito sana sijui nini tatizo
Yote kwa yote mpira una matokeo 3 tuendelee na tusahau yaliyopita Simba nguvu moja
Ahmed Ally, kuna makosa makubwa sana unafanya. Unaongea vitu vinavyotengeneza pressure isiyokuwa ya lazima.
Huwezi kuongea mambo ya malengo ya kushinda mechi tano mfululizo au mambo ya kuendeleza clean sheet. Haya maneno wachezaji wanayasikia, na isivyo bahati yanawatengenezea pressure ya hovyo. Wachezaji wetu wengi ni wapya na wadogo na ingefaa tusiwape pressure ya ubingwa au malengo malengo ya kila mara. Waambieni malengo benchi pekee kisha muwaache vijana wacheze mpira kuenjoy.
Kifupi nakusihi uchuje mambo ya kuongea.
Kama hautabadilika utakuwa unaihujumu timu.
❤️❤️💪💔
camara unataka kujisahau sana jirekebishe unakaa mbali na nyavu zako kwa nini??
❤❤❤❤
Ila leo wachezaji wetu wote hawakuwa kweny pafmac nzur jaman siju shida nn
Leo kipa kazingua ila siyombay tufocas tar19
Baada ya simba kupata gali 2 kipindi cha kwanza wachezaji waka zarau mchezo na kupoteza ubora mpaka cost union kupata magoli kuambulia sale.
Wachezaji Mmelewa sifa sana mbaka mnajisahau mkiwa uwanjani nyinyi amuwezi kuwa timu Bora bila kumfunga yanga Bado mnadeni kubwa kwa mashabiki kwa mpinzani wenu mkuu
VP JEZI YA KIPA IMEIBIWA?? WALINDA USALAMA WA WACHEZAJI WALIKUWA WAPI???
Jamani umakini unatakiwa sn
Kwa nini ladack chasambi hachez na ana uwezo kabisa wa kuanza nafasi ya mutale
2na Imani na temu y2 ila camala apunguze kutokea langon kwak
Alafu lile taulo lilipowekwa tu golini camara Na yeye Akawa Amesahau kulinda lango lake taulo kwenye lango la costa kuna kitu siyo bure
WACHEZAJI KUDHARAU MECHI KUNAANZIA KWA MSEMAJI KUDHARAU OPPONENT "Ile kauli ya Coastal Union tuna ugomvi naye" IMEWAPA ENERGY WAPINZANI.
Leo wachezaji ni kama waliisharau mechi na kuhisi kushinda,Mimi Nafikiri hatutakiwi kudharau mechibnakwenda na matokeo mfukonib
Kamala aache kiherehere atoka golini ancheza mwenyewe mpumbavu
Tujiandae kisaikojia maana wachambuz machawa leo wamepata cha kuongea na hapa sasa ndo tutajua kama mashabiki tumekomaa au tutaingia kwenye propaganda zao. Viongoz inapaswa mjue mpo kwenye vita kubwa sn, Eris anafanya kila namna simba ishuke ili aonekane ana akili, yani kifupi wachambuz machawa leo adi taree 19 wataakikisha wanatutoa kwenye reli
Over comfedance Imetuponza, wachezaji wanacheza easy sn Kama mazoezi vile.
Balua anamzidi vipi chasambi? Nitakuwa wa mwisho kuamini hili hata kama siko mazoezini.
Walicheza chini ya kiwango
Simba nguvu mbili mbeleko fc😅😅😅😅😅😅😊😊😊😊😮😮😮
Kipa kaniuz anatok Toka gorin Kila wakat msenge uyo adi manyuma mwiko yatatuzidi kama ataki kukaa gorin aende kwa pididi
Semaji nusu alie😢
Chasaaaaaaaaaambi
Over confidence upuuzi. Mwingi licha ya ubora tuna rizika Sana 🚮
Nikawaida tu hata man city yenyewe huwa inafungwa