Umbea mwengine unakuharibia hesabu hiyo ni kali na ni nzuri sana, matola ameshajulikana anatumika na wale wasiependea Club mazuri na wanaemchukia CEO wa Simba.
Moja ya mahesabu yao apatikane kocha mkuu,alafu mgunda ndo awe kocha msaidizi but aliyekuwa kocha msaidizi AMbaye ni seleman matola aende kuwa kocha wa simba queen’s 🤣🤣🤣(code iyo hapo)
ua-cam.com/video/ct5p0kcNH_c/v-deo.html Mh mkenda awapongeza mafundi wanaoyemalizia ujunzi wa chuo cha ufundi veta geita mara baada ya kwenda kukagua ujenzi huo na kuvutiwa na kasi ya ujenzi wa veta.. Habari kamili....? ua-cam.com/video/ct5p0kcNH_c/v-deo.html
Umbea mwengine unakuharibia hesabu hiyo ni kali na ni nzuri sana, matola ameshajulikana anatumika na wale wasiependea Club mazuri na wanaemchukia CEO wa Simba.
Hata mm nimekubali apewe tuuuh spirit inakuja kwakweli
Viongozi wa simba mkianza kutuletea kocha mwingine mimi nahama nawaachia timu yenu
Mgunda kama mgunda kaweza Isumbua yanga akiwa coastal union sembuse Sasa yuko simba kashakula shavu
Moja ya mahesabu yao apatikane kocha mkuu,alafu mgunda ndo awe kocha msaidizi but aliyekuwa kocha msaidizi AMbaye ni seleman matola aende kuwa kocha wa simba queen’s 🤣🤣🤣(code iyo hapo)
Leo nimekuwelewa Sana zandan
Umeongea point kabisa simba walikosa kupambana
Waambieni yanga Sudan Hakuna ngoma,hivyo watapigwa kama madufu..na hakuna meza za kupindua watu Wanakaa kwenye mikeka😂
Mnakula wambea sana
hii ya keo nimeikubali
Mmbea
Baba ake mo ndo kasema twende na huyu....
Jana ulisema nabi kapewa mechi tatu kumbe urongo
Hilo pira la handeni sio lushoto
Juma mgunda tunapiga pila tanga##Guardiola mnene##
Sasa unalambalamba mdomo wa nini khaa
Unafiki tu ndio wako momo
Ety acha unafk
Eti wakongo mama wao🤣🤣🤣🤣
kwaiyo unamaanisha simba wataifunga yanga
Uyu nae😏😏
Huyu mbea
Mzee gani huyooooooo?
azim dewji babu yak mo dewji
ua-cam.com/video/ct5p0kcNH_c/v-deo.html
Mh mkenda awapongeza mafundi wanaoyemalizia ujunzi wa chuo cha ufundi veta geita mara baada ya kwenda kukagua ujenzi huo na kuvutiwa na kasi ya ujenzi wa veta..
Habari kamili....?
ua-cam.com/video/ct5p0kcNH_c/v-deo.html
🤣🤣🤣🤣MANYONYO