NABII MKUU KUTINGA BUNGENI KWA MWALIKO MAALUM - GeorDavie TV
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Bg up sana kwako nabii mkuu kwa unayoyafanya kutafuta waliopotea
Baba Nabii mkuu, unafanya kazi nzuri sana.Mungu akubariki sana , unaupendo sana kwa Watanzania, nchi yako. Heshima yako Baba nabii 💕💕🙏🏻🙏🏻🔥🔥🔥
Mh!!!!
This is to much may lord bless you so much
Mungu ni mwema sana.
Baba na tamani nije Arusha ❤🎉😊
Yaani baba nabii Huwa nafatilia sana klip zako. Nikomboe nami baba. Mi mzaliwa wa mbeya .naitaji kufunguliwa
Umeanza tena kuonyesha tena show kama kawaida yako ulianza na show ya mavazi kanisani na sasa unaleta Wabunge ambao wameingiza setikali yetu kwenye matatizo Nabii Mkuu ni Yesu peke yake uyo ni Shetani Mtoto
Ameni dady MUNGU akutunze baba uishi miaka mingi ili undelee kutuhudumia watanzania na dunia nzima kwaujumla
Namkubari nabii mungu akutie nguvu akuongezee miaka mia ila nasisi tunakukaribisha geita
Mungu ni Mwema sanaaaa 👏👏👏🙏
Haya mambo yote yatatolewa hasabu siku ya hukumu nyie mchezeeni Mungu kama mandazi
Unamaana gani😊 🙄
Kwenda uko ujielewi
Mm nimekuelewa maana Wana macho lkn hawaoni
Hbr n andko LP husema LILILOTUKUKA KWA WANADAM KWA MUNGU NI CHUKIZO?
🎉🎉🎉
Amen amen,tuna barikiwa na maono yako,mungu azidi kukuinua.
Baba Niko Kenya mungu akubariki kwa kazi nzuri unaoifanya
Shalom nabarikiwa sana na mahubiri yako na jinsi mungu anavyo kutumia kutufungua nikiwa kenya
Baba
Shalom Baba ❤🎉
Kazi nzuri Sana unayoifanya Nabii mkuu
Amen, Amen.Hallelujah
Nabii uko vizuri nakuombea upate maomgezeko zaidi
Amen.Amen akaribie kabisa Glory to God
Yaani tulidhani tumeukwepa mtego na ukoloni wa wazungu kwa jina la kanisa yani ukoloni hulehule wazungu wamewapisha weusi kuendeleza ukoloni kwa jina la yesu
God bless you Mh. Mirisho Gambo
Amen yaliyoendele nimeyapenda in yah I'm watu mungu amewatembelea
Amina tuko pamoja
Amina tunashukuru
Tumuitaji Mungu ili tupate kibali cha kufanya siasa. Hivyo Mungu yupo pia katika siasa.
Amen
Mungu ni Mwema
Amen 🙌🙌
Baba naomba uniombee nipate kufunguliwa Ameni
Daddy Umestahili 👍👏🥰
Ningefika kule ngurumo la upako ningebarikiwa
Baba yangu upo juu sana kuliko hata milima
Mungu akubariki zaid umezidi kuwa baraka kwa WaTanzania Daddy we love you kama ambavyo unatuonyesha upendo daddy piga kazi
Noon❤❤❤❤
MBONA WEWE JOE DAVI HUNA MATATIZO YA KUPAMBANA NA KUWATUKANA VIONGOZI WA SEREKALI NA SEREKALI KAMA WALE WAKINA MMBARIKWA!!
Sio yeye tatizo PESA tafuta PESA na sio Hela
Mbarikiwa muache yule ni chuma na Nuru ya Mungu ulimwenguni
Na huyo ambae anajiita mnabi. Anajua vizuli kama mungu anaetumikia sio wa mbiguni bali Ibilisi.Mimi namuombea kuokoka tu.
ngurumo motoooooo
jaamani jamaani natamani kuja kumuona na bii mkuuu
Honqera nabii mkuu gd
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Naomba kujua unapatikana wapi Arusha?
🎉🎉🎉🎉
Huyu jamaa labda niseme Kwa moyo wa utoaji kama kweli hiyo pesa wanapewaga otherwise mi simwelewagi
Naombeni namba zake jamani
Nabii pesa zote anazitoa wapi?. Anatowa sana pesa
Nabii mkuu unapatikana eneo gani Arusha?
Maneno machache Kazi Kubwa Zaidi
Mheshimiwa Gombo wewe ni mchungaji. Fanya jambo
kumekuchaaaaa
endelea kucheza na akili za watu Allah anakusubiri.
Nikweli bunge nilawatanzania ila mlishinda uchaguzi kwahaki
Sasa mbona una murinzi nyuma yako natena tunajuwa kama murinzi ni mungu sasa nini kimetokaa kanisani mpaka umutafute murinzi wa mwanadamu
Mh nini hk nmeona katikati ya clip!!?
Ni kikundi cha wanakyaya ya kanisa!? Akina dada waliovalia vivaz vya mitindo!?
Nyie ndg msifikiri mungu atabadiru ht herufi 1 ya neno/ hukum yke kwasabb ya uwingi wa maovu ytu,msimfnye Mungu kama kipofu eti au hv mwaweza vaa vimini hvyo mbele ht za wakwe zetu au wazazi wenu!!? Inakuwje madhabahuni?
Wapendwa Mungu hadhihakiwi,wala msifikiri mko salama mkihisi labda kwkuw mko na ajiitae nabii mkuu,hkika Biblia hudema NABII HUMTII NABII ukiona nabii anaacha kufundsha kweli yte ya MUNGU anaacha machukizo kufnyika kwke tena ht yeye ndio kuwavesha hvyo mjue wazi kuwa ameacha sheria ya Bwana.
Km kiashiria cha kujiita NABII MKUU haiwajulishi kuw c wa Yesu bc nyingine hyo msipoelewa leo mkiw dunian sio shida kuna mahali mkifika mtaelew vzr sn kuw mlikuw vpofuv na vzw mlijulishwa mkashupaza shingo.
Mnachanganya DINI NA SIASA, TANGANYIKA inaelekea pabaya.
😂😂😂😂 umejuwaje
SIKU ZA MANABII ZIMEPITA,HATUNA NABII IKIWA WEE UNAJIAMINI KUWA NI MTU WA DINI.USIDANGANYE WATU..NABII WA MWISHO NI MUHAMAD, MRISHO UPO NA WEE KWA HAYOOO😮
Huyo Muhammad ni nabii wako wa mwisho kwa imani yako. Usipende kulazimisha watu waabudu Mungu wako.
Hivi lini au wapi tangu zama hizo kuna Manabii zaifi ya dini ya lslam..sio ajili yangu fanya kama msoma kitabu.
@@annaniasamuelmgawe1698hajakwambia uamini dini yake
Mungu ni Mwema