ALICHOFANYA NABII MKUU GEORDAVIE KWA KINGWENDU,,,TAZAMA HAPA TUKIO ZIMA,,,HII NI ZAIDI YA UPENDO..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 сер 2024
  • #harmonize #geordavie #utaniua

КОМЕНТАРІ • 77

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 4 місяці тому +1

    🎉nabii Mkuu umeupiga mwingi waache waongee bado hawajathemaaaa . Injili mbele kwa mbele🎉

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 4 місяці тому +1

    watanzania hawana jema Wala shukrani na km unaona nabii humtaki pita na yako tunaomkubali mtuachie jaman tunampenda then tunampenda tena na tena 🎉🎉🎉🎉

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv 4 місяці тому +1

    😅😅😅😅😅ety viungo

  • @barikimollel7890
    @barikimollel7890 Рік тому +2

    Hongera Sana Kingwendu kwa kukimbilia Kanisani Hawa wanaokuponda waache usiwajibu maana wangekuona unaingia kwa mganga Wa kienyeji wasingekusema hivo
    Shikilia Imani yakoo Kingwendu Nabii Ni Mtumishi Wa MUNGU na tumeona akiwafufua waliokuwa kifoni
    Hawa wanaokuponda hawajui wafanyaloo

    • @dorcassoza6788
      @dorcassoza6788 Рік тому

      Yes, angeenda kwa watchdoctor watu wangempongeza

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Рік тому +2

    Umepewa sh ngapi kingwendu

  • @Ibrahim-py6hp
    @Ibrahim-py6hp Рік тому +5

    Iyi njaa bwana 😢😢😢😢😢

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa6039 5 місяців тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣kingwendu okoka mjue mungu vizuri ,acha mzaha ndinga kitu Gani Bora umtafute Mungu utapata zaidi yandinga , nafikiri umenielewa

  • @lwitikoasa6899
    @lwitikoasa6899 Рік тому +1

    Hahahaha 😂😂😂😂 ukisema akupendinga anakupa ndinga nakukubali sana kigwendu

  • @petermugurubi7837
    @petermugurubi7837 8 місяців тому +1

    Hiz hela, Kingwedu ogopa dhambi

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Рік тому +4

    Uko sahihi sana

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Рік тому +3

    kwani.mkisema.mmeanda kuomba shida bongo movie bana kkk

  • @honhonhaule9232
    @honhonhaule9232 Рік тому +1

    Mr geode vie you are a real prophet we are very Happy all the world are listening and watching you thanks papaaaa

  • @surehamlela8538
    @surehamlela8538 Рік тому +4

    Safi sana kingwendu umejibu kwa hekima na akili sana

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Рік тому +2

    Savi Sana gd

  • @user-ox8pc5wu7u
    @user-ox8pc5wu7u 9 місяців тому +2

    Njaa inakupeleka motoni

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 Рік тому +2

    Kingwendu ilkua nkikukubali lakini nshakukataa Njaa mbaya sanaa...😂😂😂😂

  • @OnesimoMapniduzi
    @OnesimoMapniduzi 9 місяців тому +2

    Kweli nambii anabadiriha wtu wengi

  • @honestmsigwa920
    @honestmsigwa920 Рік тому +6

    We kingwendu acha ujinga kazi yako ni maana sana kuliko kusifia mambo ya upumbavu hujui Siri iliyopo mungu ndiye ayejua.

    • @mozespatnam7469
      @mozespatnam7469 Рік тому +1

      Kabisaa ana zingua sana

    • @williamalfred-hz6zp
      @williamalfred-hz6zp 7 місяців тому

      Hakili ikijaa kufkr uovu utaona kila jambo ovu ach nabii apige kaz

    • @user-gn7nk7mw8v
      @user-gn7nk7mw8v 6 місяців тому

      Mikono might umepewa na unakitu chakukupatia rizki tamaaa atakuja kujuta hy pesa za bureeeee du kuna siri

  • @photidasfrancis-io4gc
    @photidasfrancis-io4gc Рік тому +1

    Big up kingwendu

  • @YunusiAthumani-zg8py
    @YunusiAthumani-zg8py 8 місяців тому +1

    Kingwendu umekosea sana hakuna nabii tena baada ya mtume mhamadi s. A. W. Mlejee mora wako halaka sana mtake msamaha atakusamehe

  • @user-fb2ts8tc9f
    @user-fb2ts8tc9f 11 місяців тому

    Hatua ulitoichukua inafaa MBELE za Mungu.Mungu amekujibu yale yaliyokuwa hayawezekani .Songa MBELE mtu wa Mungu 11:45

  • @fundiumemenakamera2027
    @fundiumemenakamera2027 Рік тому +1

    kaka kingwendu ulifanya vizuri kwenda kabisani kaka

  • @SalmaAbanoor
    @SalmaAbanoor 6 місяців тому +1

    Hiyo kingwendu ni wa dini gani kwanza?

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Рік тому +4

    Daaah bonge la Baba full midevu eti nabii pumbavu zako njaa mbaya fanya KAZI 😂

    • @soulegadaffy3615
      @soulegadaffy3615 Рік тому +2

      Halafu wasani walokwenda kwa huyo wanao mnyenyekea wte ni comedians/movie's,aaise njaa mbaya Sana unaeza roopoka..yy ndioo hajitambui

    • @mozespatnam7469
      @mozespatnam7469 Рік тому +1

      Dadekii njaa iziii

  • @alexndihokubwayo8010
    @alexndihokubwayo8010 Рік тому +2

    Nabi Mukuu kwa nani akapewa cheo nanani?

  • @user-vl3pr8rh9q
    @user-vl3pr8rh9q 11 місяців тому

    Nakuku bari sana nabimuku

  • @zehrahaji1566
    @zehrahaji1566 Рік тому +2

    Njaa mbaya Jamani 🤔🤔🤔

  • @honhonhaule9232
    @honhonhaule9232 Рік тому +1

    I like to communicate with you I don't know how can I reach there to your church please how and when

  • @vieritwobakhresamz
    @vieritwobakhresamz Рік тому +2

    Master k njaaa inakuhusu

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 2 місяці тому

    MTUMISHI WA SHETANI PESA ZA SHETANI ZITAWATOKEA PUANI POLENI NJAA ZITAWAUA

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 Рік тому +2

    Viongozi wa dini Africa inatupasa kuiga utoaji kwa jeodevi

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv 7 місяців тому +1

    Kumbe huyu kingwendu mkristo

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 7 місяців тому +1

    Mlevi huyooo

  • @timotheontibayaga-lq2xx
    @timotheontibayaga-lq2xx Рік тому +3

    Kuna msanii aliimba umasikini huu umasikini huu utaisha lini ×3

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Рік тому +2

    Tamka kwa kinywa chako unachotaka kwa nabii geodevie kuliko povu jingi

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 Рік тому +5

    hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama ukishndwa kuikontroo njaa Yako ndio mana watu wanaliwa kiboga tamaaa

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Рік тому +2

    Kingwendu upo sahihi

  • @mwinyidullailovetheprogram7404

    Kingwendu wwe dishi limeyumba coz unajichora imana dhaifu ivi uislam na Nabii mkuu nwapi na wapi njaa ni miongoni wa mitihani. Subra muhimu kingwendu

  • @sheehamadnganzi8317
    @sheehamadnganzi8317 Рік тому +4

    Mlevi wakawaida huyu kingwendu

  • @koyiasunga9785
    @koyiasunga9785 Рік тому +1

    Sasa huyu nabii ana wasaidia wasanii tu😂😂

    • @SalminSaidi-dg3fq
      @SalminSaidi-dg3fq 9 місяців тому

      Wew acha ujinga kubwa Zima ovyo njaa inkupeleka pabaya wewe matatizo Yako peleka Kwa mungu mshamba wewe

  • @user-em1cq2fd9g
    @user-em1cq2fd9g 8 місяців тому

    Lazarofondation usikateetamaa songambele

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 11 місяців тому

    😊😊😊😊😊😊

  • @ramadhanmgumba3680
    @ramadhanmgumba3680 Рік тому +2

    Innaalillah wa,innaa,Ilaih raajighun

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 Рік тому +3

    Njaa mbaya sana yaani eti anakubali mtu ni nabii wakati yy ni muislam abadilishe tu dini.

  • @christianchando7041
    @christianchando7041 8 місяців тому +2

    Hizo ndinga zitawatoa roho,

  • @mutiembingi-le6kz
    @mutiembingi-le6kz 11 місяців тому

    Huongo huongo kigwnd ACHA

  • @user-vl3pr8rh9q
    @user-vl3pr8rh9q 11 місяців тому

    Naitaji kunisa saidiya

  • @user-ge3jc2kd9o
    @user-ge3jc2kd9o 7 місяців тому +1

    Kingwendwe tubu wewe kenge tu nilikua nakuaminia sana kumbe kenge tu huna lolote nguruwe mweusi wewe

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 11 місяців тому

    Huyu siyo mtumishi wa mungu soma maandiko utajua huyu ni mtu anayemwakilisha nani.

  • @ndayizigabienvenue137
    @ndayizigabienvenue137 Рік тому +1

    Muze wambiye mambo yanabi muku nibabawababa uyonabiwaukweli

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 Рік тому +2

    Umechoka kingwendu njaa inakupeleka bapaya

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 4 місяці тому +1

    Mnaoongea vibaya kuhusu nabii nahisi mmechoka hamna jipya mnaongea Sana na nahisi mkipewa hela hamuachi shida ya wabongo mkiwa na njaa mnatapika Sana mwacheni nabii Mkuu apige kazi nyie wenye maneno mkifa mtaacha urithi wa umbea hauna faida mnaudhi nyie

  • @abdallagaza6864
    @abdallagaza6864 Рік тому

    Njaa bwana kiboko

  • @thedon8467
    @thedon8467 Рік тому +3

    ASTAGHFIRULLAH

  • @osmansalim172
    @osmansalim172 10 місяців тому

    Na mm nitafika one day, namuamini

    • @venitarugemalila9290
      @venitarugemalila9290 10 місяців тому

      😂😂😂😂

    • @osmansalim172
      @osmansalim172 10 місяців тому

      @@venitarugemalila9290
      yaani nasubiria nipate nguvu ya kurikodi nimeandika nyimbo nzuri sana.

  • @user-vl3pr8rh9q
    @user-vl3pr8rh9q 11 місяців тому

    Namba musanda wakonabi wetu natesekasana

  • @edge6016
    @edge6016 Рік тому +3

    Jahili mkubwa huyu mzee hajuii dini nabi na mtume wa mwisho ni Muhamad S.A.W nabii muongo Subjanala

    • @dorcassoza6788
      @dorcassoza6788 Рік тому

      Nyie washika dini badala ya Mungu, kitu gani kinawauma baada ya Kingwendu kwenda kwa mtumishi wa Mungu, unesaidia watu wangapi hapo mtaani kwako?

    • @danielidanieli9599
      @danielidanieli9599 11 місяців тому

      Inamtaka utapata tuu

  • @TeophilBuilding
    @TeophilBuilding Рік тому +2

    Duuu kwaiy iyo kaz yako yakugawa tako ishakushinda unapeleka mkundu arusha duuu

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca6058 Рік тому

    Njaaa zitawaua nyie

  • @sheehamadnganzi8317
    @sheehamadnganzi8317 Рік тому +1

    Jinga wewe,njaa inakusumbua

  • @Shamsa342
    @Shamsa342 Рік тому +2

    😢😢😢😂😂😂