#MAHUSIANO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 вер 2024
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

КОМЕНТАРІ • 566

  • @gracemfangavo4824
    @gracemfangavo4824 3 роки тому +11

    Hii sio sawa kabsaaa me nadhan njia njema angewaita faragha jmniiii, unaweza ua mtu kwa presha et😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @apostlesamwelisautiyasimba238
      @apostlesamwelisautiyasimba238 3 роки тому

      Kabisaaaaaa kwa hapa amewadhalilisha Sana Ni bora angewaita pembeni maana Hawa tayari Ni Wana ndoa

    • @bishoptvalbert4112
      @bishoptvalbert4112 2 роки тому

      Dhambi haina faraga

    • @arenyutenga1052
      @arenyutenga1052 2 роки тому

      Hapana hii nizuri zaidi kwaajili yakuwajengawegine pia ndani yakanisa

    • @huseynmaitaya9002
      @huseynmaitaya9002 6 місяців тому

      Huu ndio ubaya miongoni mwa mabaya mengi ya ukiristo kudhalilisha watu

    • @angelatarimo1969
      @angelatarimo1969 5 місяців тому

      Kurekebisha dhambi haina faraga.hiki alochofanya nabii mkuu na wengine wanajifunza na kujirekebisha wenyewe. Ingefanyika faragha wengine wasingejifunza.Asante

  • @apostlesamwelisautiyasimba238
    @apostlesamwelisautiyasimba238 3 роки тому +7

    Kwa kanisa kubwa Kama hili vijana na mabinti wa Aina hii huwezi kuwakosa kanisani Mungu tupe Neema Tuongoze Hawa kondoo salama

  • @lovenesskarengi915
    @lovenesskarengi915 3 роки тому +18

    Nachukia sana aibu hii sijawahi ona mtumishi wa mungu asiyekua Na kifua inaonekana huyu mtumishi yupo kimwili Wala si kiroho watu wa mungu someeni sana Bible Na mungu atusaidie

    • @sharinv8864
      @sharinv8864 3 роки тому

      Very right bibilia inasema watu wangu watapotea kwa kukosa kujuwa maandiko.

    • @janviersobhane8828
      @janviersobhane8828 2 роки тому +1

      Dada acha wajinga wadanganywe,hakuna utumishi wa jinsi hiyo huo,unaitwa upumbavu.( hayo ni mambo ya ofisini sio madhabahuni) Mungu hakuwahi kudharirisha biblia ni amini na kweli.huo ni unabii wa kusomea saikolojia za watu,sio unabii wa mafunuo kutoka ofisi ya mbinguni.

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 3 роки тому +10

    Amen.kweli baba una Roho wa Bwana yu juu yako.kitendo ulichokifanya hapo si cha kawaida ni advanced sana.ubarikiwe mtu mkuu wa Mungu

  • @leatitiamirimba4546
    @leatitiamirimba4546 3 роки тому +6

    Amini kuna watumishi wa Mungu na kuna wacaguliwa

  • @ijuekwelitv3150
    @ijuekwelitv3150 3 роки тому +3

    Watu mnateseka aiseh na haya yanatokea hasa pale mwanadamu anapomtegemea mwanadamu mwenzie na kumsahau Mungu hatimaye kudhalilishwa mbele ya hadhira

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj 3 місяці тому

    Watanzania angalini sana hawa manabii wanapenda sana kutenganisha ndoa sawatu na yeye yesu yule mwanamke alie vumaniwa kasamehewa bure kwambiwa wakwaapi wates wako

  • @sweetylyimo3462
    @sweetylyimo3462 3 роки тому +3

    Baba yangu,baba yangu ninaekupenda,kweli wewe ni nabii mkuu tena mungu anakutumia vipasavyo,be blessed mhe.Nabii Mkuu

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 3 роки тому +2

    Pole dada mwenye watoto...MUNGU Ni MKUBWA watakua tu

  • @estersteven1720
    @estersteven1720 3 роки тому +6

    Kwel adi nimelia mwanamke hakika anamjuwa Mungu

  • @christinamkalalile874
    @christinamkalalile874 2 роки тому

    Mungu msaidie Jmn

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 Рік тому +1

    Jamani kama mnaigiza kwaajili ya kufurahisha watu mungu anawaona

  • @humphreybilly3258
    @humphreybilly3258 3 роки тому +5

    Barikiwa Nabii.
    Nabarikiwa sana kwa mafundisho yako.

  • @asumptamwende1941
    @asumptamwende1941 2 роки тому +2

    True this is man of God watching all the way kenya

  • @Johnh-xt1zy
    @Johnh-xt1zy 5 місяців тому

    Amen be it done to me according to your word Jesus Christ name

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 3 роки тому +2

    Hongera sana nabii, kijana nae very humble

  • @alibell5246
    @alibell5246 3 роки тому +3

    Dah hili kanisa noomaa hongera mchungaji

  • @mosesmwasanga4697
    @mosesmwasanga4697 3 роки тому +9

    Kiukweli, Hapo Kwenye Majina kuandikwa MTU mwingine Inavunja Moyo Sana.

  • @landiismollel4075
    @landiismollel4075 3 роки тому +17

    Jamani huu Ni sinema kabsa,Ni game limetengenezwa😆😆😆😂

    • @marymfugwa847
      @marymfugwa847 3 роки тому +1

      Nashangaa! Kanisa limekuwa kichaka watu wanafanya uzinzi wao kwa wao kanisa moja wake 2 alafu unasema umeokoka! Heri kuwa baridi kuliko kuwa vuguvugu.

    • @zabiboamissa18
      @zabiboamissa18 3 роки тому

      @@marymfugwa847 ll

    • @williamsofia7372
      @williamsofia7372 3 роки тому

      Jamani ..mbonna tunaangamia kwa kukosa maarifa...kwel nabii gani wa namna hii...si tujifunze ukweli ..

  • @omaryonga1776
    @omaryonga1776 3 роки тому +2

    Nahisi ni Sanaa tu inachezwa lakini ya Ngoswe tumwachie Ngoswe mwenyewe.....Sanaa tuuu....

    • @omaryonga1776
      @omaryonga1776 3 роки тому

      Mh....iii maelezo yako bado hayajashibisha juu ya ukweli unaoufunua zaidi ya kuona visa na matukio ya kutungwa ni wazi sikatahi kile unachokitoa kwa wale wanaokuamini....unajua sasa watu wengi hujificha katika dini katika kuyatimiza mahitaji yao ya msingi,mara nyingi huwa napenda kujadili juu ya ukweli unaofanywa na baadhi wa viongozi wa dini ambao uitumia dini ni Kama ni chombo Cha kutekeleza biashara zao.....siku njema, ukweli anaujua Mungu pekee...

  • @fredphilipo4163
    @fredphilipo4163 2 роки тому

    Mtumishi umefanya Jambo zuri saana ubarikiwe mno

  • @goldenshadrackmsungu3664
    @goldenshadrackmsungu3664 3 роки тому +12

    Sema alivyo nyoa tu anaonekana ni tatizo sana. Kiduku hiki

  • @juniorsmart2483
    @juniorsmart2483 3 роки тому +6

    Kanitoa machozi aisee huyu Dada😭😭bt hongereni kwa kupatana👏👏

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 3 роки тому +7

    Powerful powerful anointing deliverance from Daddy Nabii Mkuu

  • @lydiakundu429
    @lydiakundu429 3 роки тому +1

    Shikamoo baba, Naomba. Kwa hisani yako ufunguo kanisa hapa Kenya, Napenda huduma yako sana sana ili nasi tukaweze kunywa maji kwenye kizima chako

  • @janeombati2290
    @janeombati2290 2 роки тому

    Asante sana mtumishi wa Mungu nakufwatilia nikiwa narobi Kenya nimeumia sana na nimenjutia dhambi zangu zote na ninakili katika jina ra yasu mwana wa Mungu nimenziacha kuwanzia reo jina ra Bwana Mungu na damu ya yesu kristo msarabani ikaniongonze handi nitakapo Kutana na wewe

  • @joycezulu2750
    @joycezulu2750 Рік тому +1

    Natokeya Zambia nakukumbali mtumishi wamingi

  • @Le_pastor_ORONGAI
    @Le_pastor_ORONGAI 3 роки тому +3

    For this geordavie salute to you papaa

  • @lindajohn8236
    @lindajohn8236 3 роки тому +7

    It's so touching,God bless you Nabii

  • @drinozzsamson8676
    @drinozzsamson8676 Рік тому

    Naitwa zachalia daudi msaada wangu mkubwa ninaombi naomba mala 3 naomba tena mala3 naomba nipatetu namba ya nabii mungu tena jambo juu ya kuomba namba za nambii nifanikiwe amen🙏🙏

  • @shinshi9696
    @shinshi9696 3 роки тому +2

    Pastor katumia hekima ya hali ya juu sana. Huyu mwanaume Ni mshenzi sana

  • @isaackamando8484
    @isaackamando8484 3 роки тому +3

    Halikupaswa kuongelewa hadharani, ni aibu sana

  • @julithageorge1704
    @julithageorge1704 2 роки тому

    Uwiiiiii nimelia jamani Mungu akutunze nabii mkuu nakupenda baba

  • @christinamkalalile874
    @christinamkalalile874 2 роки тому

    Barikiwa sana mtumishi

  • @richardmeja8936
    @richardmeja8936 2 роки тому

    nabii nakufatiria Sana ntafika hapo kwako nakupenda sana

    • @patrickmsekwa7773
      @patrickmsekwa7773 2 роки тому

      Sasa kumuuliza mwanamume kama watoto ni wa kwake kwani anayejua ni mama wa watoto ndiye anajuwa baba zao.
      Halafu hilo suala ni la ndani si busara kuendesha kesi namna hiyo. Kama si picha ya kutengeneza, basi hapajatumika busara. Watoto pia wanajifunza nini hapo. Na pia watoto ni mali ya Baba na mama. Unaposema mke kumzalia mume maana yake nini. Nadhani ungefungua NGO au taasisi ya kuendesha kesi na sio kuita KANISA. Hapo hakuna sifa za KANISA la kweli.

  • @user-dj2zk9js7v
    @user-dj2zk9js7v Місяць тому

    Huyu si mtumishi wa mungu wa kweli ako anaangamiza watu tu

  • @mgodomavah2284
    @mgodomavah2284 2 роки тому

    Paster I like your wisdom

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 3 роки тому +6

    Hii sio sawa mmemumiza mwingine sio sawa

    • @judithshabani1272
      @judithshabani1272 3 роки тому +1

      Akuna cha kumuumiza kwa sababu yeye kavamia ndowa ya watu ♥️❤️🙏🏻

    • @koikalamu6476
      @koikalamu6476 3 роки тому

      Charles 🤣🤣🤣

  • @louisejeanne1760
    @louisejeanne1760 2 роки тому +1

    Mpaka na mimi nalia kweli dada 😥😥a Mungu awasaidie na kuwalinda katika ndoa yenu 🙏🙏

  • @antonywanyonyi4195
    @antonywanyonyi4195 2 роки тому

    Nabii God bless u,and pray 🙏 4me

  • @eddyjuniortz2234
    @eddyjuniortz2234 3 роки тому +3

    Wow that's God

  • @mrtontz6379
    @mrtontz6379 2 роки тому

    Baba MUNGU akupe maisha marefu unasaidia sana

  • @leahjohnsimba4088
    @leahjohnsimba4088 2 роки тому

    Mmm kazi ya Mungu ni ya Mungu

  • @usher1094
    @usher1094 3 роки тому +4

    Baba namii niombeye nipone niokoke baba kweli tyuu

  • @fredphilipo4163
    @fredphilipo4163 2 роки тому

    Dah Mungu atusaidie na atusamee vijana tunamkosea sana

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 3 роки тому +16

    Kuzalilishana 🙆‍♀️

    • @sitisaid8543
      @sitisaid8543 3 роки тому

      @@rosnykayiba6013 baba nabii mm huwa niko na shida na mahusiano waeza niambia yenye niko nayo sasa ivi yatadumu baba nabii

    • @sast8409
      @sast8409 3 роки тому

      Umeonaee yani ovyo

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 роки тому

      @@sitisaid8543 wewe unamuomba binaadamu mwezi muombe allah atakujibu haraka kuliko binaadamu allah akuongoze nduguyo yangu inshallah amin amin amin Allah karim

    • @sitisaid8543
      @sitisaid8543 3 роки тому

      @@aishaarusha894 s ninabii ndio mana namuuliza

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 роки тому

      @@sitisaid8543 wewe na bii wako ni muhamad s w a sio huyo haina haja ya kumuuliza

  • @bernicenduku9003
    @bernicenduku9003 3 роки тому +1

    Mama na watoto kunashinda ,nabii protect the kids🙏🙏🙏

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 Рік тому

    Kwakweli namshukuru mungu sana kunitoa kwenye ukristo na kuningiza kwenye njia ya haki uislamu huyo jamaa tunamjua fundi mpiga rangi huo ni usani unafanyika hapo watu wanashangalia na kusema ameni kweli inasikitisha sana sana aya ndani ya quran inasema viongozi wao wa ibada wanawapotosha watu wasimjue mungu wa kweli na kula Mali zao kwa njia ya baatuli wanapotoshwa wengi sana hapo

  • @arenyutenga1052
    @arenyutenga1052 2 роки тому

    Uchungaji Ni kazi ngumu nanizuri Sana mwenye kuelewa ameelewa

  • @salomessmart9814
    @salomessmart9814 3 роки тому

    Amina baba hiyo ndo kwel anayoitaka mungu ubarikiwe sana

  • @nahimanabella2478
    @nahimanabella2478 Рік тому

    Mungu akubariki baba Muchungaji

  • @MICHAELMOBILECARE
    @MICHAELMOBILECARE 2 роки тому

    So touching and wise.kusema ukweli nabii Mungu amekupa wise knowledge i reconnect

  • @zayedmohamed9283
    @zayedmohamed9283 2 роки тому

    Amin baba

  • @avarmadiasbl
    @avarmadiasbl 2 роки тому

    Mungu anaweza sana

  • @roselinda9296
    @roselinda9296 3 роки тому +3

    Amen
    🙏🙏🙏🙏

  • @augustinobenedict9562
    @augustinobenedict9562 Рік тому

    Mungu akupe maisha marefuu Amen

  • @kingsdramakorea6673
    @kingsdramakorea6673 3 роки тому +3

    God blesse

  • @sia5533
    @sia5533 2 роки тому +1

    I la wanaume wanazambi sana

  • @neemadickson4068
    @neemadickson4068 2 роки тому

    God bless you Nabii Mkuu

  • @stephenjefaofficial
    @stephenjefaofficial 10 місяців тому

    Mtumishi mungu akubarik saaana hii hali imetesa watu wengi sana hasa wana mzik ndio tumepotea kabisaa tamaambaya sana

  • @gideongerald2846
    @gideongerald2846 2 роки тому

    Kuna kastori katamu hapa ka mahusiano kukiwepo na nabii wa kuona hivi safi sana

  • @rosekadzokadzo1401
    @rosekadzokadzo1401 3 роки тому

    Nimebarikiwa na mafundisho yako Nabii...

  • @nellynelly8796
    @nellynelly8796 2 роки тому

    Inaniliza sana,mungu azidi kumuinua mchungaji mkuu

  • @magemushi5594
    @magemushi5594 3 роки тому

    Inauma sana ila mungu ni mwema azidi kuzitunza ndoa zetu na watoto wetu

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 3 роки тому +2

    Ni kazi njema sana hii!!!

  • @nancyfamilysharesmoments7634
    @nancyfamilysharesmoments7634 3 роки тому

    Mmmmmh nashindwa lakusema

  • @elizabethmambai2072
    @elizabethmambai2072 3 роки тому +1

    Amen amen Kenya

  • @ElizabethMtambo-pv2ql
    @ElizabethMtambo-pv2ql Рік тому

    Asante mungu🙏🙏

  • @fatumakimaro3186
    @fatumakimaro3186 Рік тому

    Aminaaa

  • @maxlove2668
    @maxlove2668 3 роки тому +1

    Nami natamani kukuona nabii Mkuu,Mungu akinijalia,

  • @adratabubakary4863
    @adratabubakary4863 3 роки тому +3

    I'meniuma Sana pole kweli huyo ndiye me mwema

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 2 роки тому

    Nakupenda Nabii wa Mungu, haya mambo yapo makanisani na nafurahi unaonesha. Wengine wanayaficha na kuwalaumu wanawake tu. Ukweli nakuelewa Geordavie. I wish to meet you face to face bt protocol is another issue

  • @kipronoofficial6867
    @kipronoofficial6867 3 роки тому

    Good work nabii wa mungu pia mimi niombe maisha yangu na yaweze kuwa ya manufaa,na shughuli ya comedy iwe murwa

  • @zabronjohn3737
    @zabronjohn3737 3 роки тому +2

    Ame

  • @macynzilani1142
    @macynzilani1142 3 роки тому

    It hart me so much na sio hata mimi nimefanyiwa hivo

  • @jesusmightyworrior7216
    @jesusmightyworrior7216 3 роки тому +2

    Hekima ya mungu itumike

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 3 роки тому +4

    Thank you 🙏 Jesus

  • @rabbithare381
    @rabbithare381 3 роки тому +22

    Pastor, pls keep and protect the small children from this kind of exposure.... Not good for the children to be present there......

  • @thepowerofsilentsoul2135
    @thepowerofsilentsoul2135 2 роки тому

    Wow congratulations mtumishi from Kenya

  • @vanessadavid3075
    @vanessadavid3075 2 роки тому

    Thanks 🙏

  • @octavinamgulunde5183
    @octavinamgulunde5183 3 роки тому +2

    nimependa hiyo

  • @lothisakayo1373
    @lothisakayo1373 2 роки тому

    Huyu nabii yuko vizuri mungu azidi kumlinda

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 3 роки тому

    Safi sana nabii...

  • @happynessheri8021
    @happynessheri8021 3 роки тому

    Nashindwa kuelezea vile hii video imenifundisha, imenigusa na imeniimarisha, MUNGU WA MBINGU NA NCHI NA VYOTE VIJAZAVYO akuimarishe, akuinue, na akuzidishie hekma yake, vijana tunaangamia wewe Mungu amekuleta kututoa kwenye shimo, unalea washirika vizuri kama baba na WATOTO wake, I like it for sure.. Be blessed Man of God

  • @marrydallas3337
    @marrydallas3337 3 роки тому

    Mtumishi wa mungu naomba uniombee maana Nina mengi sana yanayonisonga moyo wangu

  • @hamprehymuniss7458
    @hamprehymuniss7458 2 роки тому

    Ameni

  • @ruthsagome6220
    @ruthsagome6220 Рік тому

    Very touching l pray my marriage to stand firm too

  • @aniphalookmoneylookmoney8881
    @aniphalookmoneylookmoney8881 3 роки тому +2

    Jamani wanaume

  • @saldakltl7611
    @saldakltl7611 3 роки тому +1

    Asante 👏👏👏

  • @africankidsnegebumamlemale9176
    @africankidsnegebumamlemale9176 3 роки тому

    Saikolojia kwa watoto jaman

  • @erickedward6845
    @erickedward6845 2 роки тому

    Daaa kweli huyu nabiii

  • @everjohn1136
    @everjohn1136 3 роки тому +1

    YESU analirudi wateule jiandaeni kumlaki mawinguni

  • @user-nf1er6sb8p
    @user-nf1er6sb8p 3 роки тому

    Waaah aki but mungu ndiye mwenye uamuzi kwa kila jambo bt mmmh

  • @zawadibagunda1306
    @zawadibagunda1306 2 роки тому

    Je suis tellement touché 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 from DRC God bless you

  • @esthernambeye627
    @esthernambeye627 3 роки тому +1

    Mungu ni mungu tu tumuogope public sure what kind of pastor baba tusamehe wote ni wenye dhambi

  • @estherulikaye3268
    @estherulikaye3268 3 роки тому +1

    Kaz kweli kwel

  • @philipojohn8091
    @philipojohn8091 2 роки тому +1

    Jesus 😲😲😲

  • @PeterKamachala-nr7qx
    @PeterKamachala-nr7qx Рік тому

    Amudjambo baba sisituko Congo tuta kupataje baba

  • @aysherkitoi6547
    @aysherkitoi6547 2 роки тому

    Mbona hivi mke wake yupo hapo kumbe na hawara nae yupo tena na mimba juu ndio nini madhabahu ya vipi hii jmn hapana 😢

  • @ajuayekipege137
    @ajuayekipege137 3 роки тому

    Nakupenda sana baba naamin kufunguliwa hata afya yang