SARAH WA DIAMOND : MPENZI WANGU ALIKASIRIKA NILIVYOITWA, WANAUME WANANITONGOZA
Вставка
- Опубліковано 6 тра 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - Розваги
Saraa kiukwel huyu dada akiongea huchoki msikiliza nampenda😍
Tafuta meneja akuongoze
P you are bright since mdogo. Keep shining kipenzi. Kati ya walomuhoji da Sarah basi you did the best.
Kati ya watangazaji tangu wameanza kumuhoji sara wewe namba 1 unaijua kazi yako hongera
Kweli nilitaka kusema the same maa sha Allah 😍😍
True
Mdada mstaarabu nimempenda bure ana hekima heshima anajieleza vizuri anajibu vizuri huchoki kumsikiliza ❤🎉
Mi napenda anavoita jina la Nasiiibu sauti yake mpangilio wa maneno very nice
Sarah Una busara sana ❤
Kidogo hii Media mmekuja na interview ya tofauti kabisa kwa Sara hongereni
Mtangazaji upo vzur umemuhoji vzur kuliko wote ❤
nimewatazama kutoka
Northampton uk
Sarah uko humble,calm,respectfull
Mtangazaji nimekupenda saana sauti yako. Na unaongea vizuri sana kiswahili. Hutuharibii lugha. Unajua kuziwajibisha R na L.❤
Dada mzuri sana!!! una hekima nyingi na Busara...
Hmmm
Sarah ni mzuri san❤
Utu na utulivu busara na pole heshima Hongera sana Sarah ❤
Kumbe Sarah wew ni mwislam.
Maa Shaa Allah.
Mm nimefurai sana kumusikiza sara namupenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
Sarah hummmmm lovely . One love ❤️ watching live from Toronto 🇨🇦🇨🇦 Nasibu mke uyu apa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿she’s beautiful. Si choke kumusikilisa , mama Dangote copyright.
Mtangazaji mzuriii ❤❤❤❤❤
You are so beautiful sara and very polite
Watching from Australia 🇦🇺
Mtangazaji nomasana kamaliza maswaliyote kabissa very nice bravo
Nampenda da Sarah ❤❤❤😊
Beautiful 🎉🎉🎉
Yani wanawake wote wangekuwa km weye duuh uko n'a hekima sana alafu unajuwa nafasi yako kbs❤
Asante sara umejibu vzur nakupenda bulee❤
SARAH YOUR🙏🙏💪💪♥️
♥️ BARIKIWA
❤❤wewe saraha wala usijali hao walikuwa na wivu tu.We songa mbele na biashara.Yaan hapo pa kutuma hapo hata mimi vile mtu nikimtuma nataka ufanye muda huo huo❤❤❤🙏🙏👍👍
Nimeipenda hii interview Heru R na L zimetumika vizuri sana .unasikia raha kuisikiliza na kuedelea kuiyona
Nakupenda Sarah kw kutopaka mkorogo we ulitishaa sana napenda confidence yko unajiamini sana❤❤❤
huyu dada anafaa kupewa kazi one of these media..anajua kuongea, ako open and social
Nilikua sijui kama kuna mwanamke mwingine tena wa mondi ila sara mashallah hakika
Simba hakukosea da Sara una utu na utulivu busara umejaaliwa❤❤❤
Sarah uko vizuri sana,mtangazaji umetishaa❤❤
Sara❤❤❤❤❤
Laaa,njo kuwona musicana wa tanzania anawongeya vizuri.
Big up
Love sarah❤
Hapa kuna mtu na nusu """ unajua kujb"" Sarah mda ndo huuu """
Nice Sarah
Waooo. Ana busara sana.
Sarah ❤❤
Uyu dada Yuko na HEKIMA na wala hajiskii... MUNGU akutunze Sana📌🙏
Saraaaaa ❤❤❤❤ unaongea vizur
Sara uko vizuri na una busara,achana na hao wanaotoa mitusi
Leo umevaa vizuri
Mwanzo sarh na kupenda bure .napia na kuunga mkono kwa cupol ulochanguwa.ni kweli wema na daimond ni cupal ilo fana sana sana.hapo umesema kweli kabisa .love yuuuuuuuuu.sarah
unahekima sana sarah ,
❤❤❤❤❤❤❤❤sarah
That is first love
Yan huyu Sarah apewe Kazi kwenye kituo fulan kikubwa cha Tv anajua kujieleza then yuko Social Sana
nimempenda mtangazaji na kidole chake cha sita amejikubali yupo huru hafichi kidole na hii ni alama yake, she so is special.
❤❤anafanana na wifi yake queen darleen
Kumbe umeona na wew me nimeona kitambo nakupenda sarah❤❤❤❤❤❤❤
Yani hafai kuwa mke wa D youko zaidi nasibu mchafuko hafai pesa tu ndio anatumia kwa wanawake
Daah Sarah 🤣🤣🤣❤️❤️
Media msiweke mdundo kwenye mahojiano
❤❤❤
Natamani Sana Diamond angemuoa mke huyo❤
I appreciate diamond 4 what he did
❤❤❤❤
Uyu dada yupo vizuri sana kwa kuhoji
Sara una hekima kweli yaniiii
Diamond Unadanganywa zuchuuuuuuuuuuuuuuu ndio mrembo kwako mnaendana sana
Saraa ni mwanake wa kuoa haswa sio mshamba kama wengine
Tena kinachofanya asiolewe nn?
🎉🎉🎉🎉🎉
Iko na hekima
Mtangazaji ana kidole cha 6 😢 Hongera una maswali mazuri na Sauti yako kwa Mbali kama Aaliyah 😊
South Africa big up.sarah mpole nyie.ongera
Mhhh.maaaaninaaa acheni uongo na kiki
Sara nampenda anavyoongea
Her confidence is my problem ❤❤❤
Waambie waelewe kwamba we sara si mshamba
Nimemkupenda bure upo vizuri sana.nitafute in box please.
😂😂😭😭
Ukiletwa mjini tumia fulsa vzr
Yaani wa tz bado tuu mnampa interview huyu dada na wakati ile ni Kiki tuu😢
Sarh we ni mstarabu sana.maongezi yako ya kikubwa.napena iyo
Penda Sara Sarah jamani
Sara❤❤❤
Ongera sara unabaya
M/mke tafuta pesa alafu ndio uchague wakuwa nae ktk mapenzi...Guuuuud
Yupo sahihi
Wangapi wamegundua sarah anaongea Kama diamond
Maskini hana tamaa sarah
Ana mtoto na Nasibu?
Sarah unahekima n'a pia kujibu oke
Kwa kweli huyu dada anafaaa kuwa mke wa Diamond. Katulia, ana hekima na ni mzuri. Hajisikii, nakupenda bure sarah, I wish ungekuwa wifi yetu wa taifa kwa Diamond
Et muko na mtoto na daimnd type ukweli
Ndo maana Ana ng'ata ulimi kumbe last born.
We unaesema Salah anasura mbaya kama mkundu nimkundu wako au wamamaako msenge wewe mjjalana Salah ana ubaya gan mbwa wewe
Ss uyo Mtto Sara hamjui babayake halisi ss umuonyeshi mpakalini
Naiyo birth ulimsaji Nani
Babu yake ama Babamwingine sio sawa.
Uki Ona mwana damu Ana tukana kiumbe cha Mungu baba uyo ni kiumbe cha Shetani
Hamshindi zuhura jameni ata kidogo
Sasa Sarah utatembea mitandao yote
Sister sarah mbona miwani yenye ncha Kali?
umeona miwan tu wew
Acha waseme wivu tu
Uyu dada anatabia za ex wangu
Unajiita saut yamanka wenimsenge unanamtukana Salah kakukosea Nini paka wewe acha usenge mkundu wamamaako
Uyu dada anaongea kwaadabu
TREND FOR NOW THATS BONGOLAND USHAMBAAA MEDIA NYAMBAFUU
Yani kina Sarah Mungu aritujaalia kabisa, yani saara unanichekesha eti utatafuta mapenzi baada yakua na hela tafuta hela kwanza😅😅
We sara tumekuchoka unavuruga nyumba za watu ..siufuate maisha yako wewe mbona unangangania unajua diamond ana wake wangapi..playboy huyo ..mtoto kama kweli ni wa diamond alikuwa wapi ..sasa unataka umpe mtoto kirahisi tu hivyoo..wewe shortwire nini..
Wapi kasema mtoto wa Dimond.
Una bahati umepaa wakati Dada wa Taifa kafungiwa, tungeshamjua bwana yako, mimba ngapi ulitoa, danga lako na mengineyo😂😂
Wachawi sindio nyie
🙌🙌🙌
wew ndo shetani lione hovyo
Chawiiii hili jinga kabisa
@@saumbliz8983 😊 😁 😁 😁 😁 ebu cheka kidogo kwani uongo
Wabongo bwana kz kwelix2....
Kwaiyo sara anampango wakumaliza media zote za bongo😂