Magoli na penati | Yanga 2-2 Azam | NBC Premier League 06/09/2022
Вставка
- Опубліковано 5 вер 2022
- Derby ya Dar es Salaam kati ya Yanga vs Azam FC imemalizika kwa sare ya mabao 2-2 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, katika mechi kali na tamu ya ligi kuu ya NBC Tanzania Bara #NBCPremierLeague
Magoli ya Azam FC yametoka kwa Daniel Amoah dakika ya 25, na malickou Ndoye dakika ya 65 wakati Yanga ikijipatia magoli yote mawili kutoka kwa Feisal Salum dakika ya 57 na 77.
Katika mechi hiyo pia Yanga imepoteza nafasi ya goli kwa kukosa penati dakika ya 69. - Спорт
Naipenda yanga🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Fisal saloom, what a player!
I wish my team al-hilal face you in the next stage. I love yanga very much and it will be a luxurious match. Good lock
Live Faisal alone yanga ureeeeeeeee
Wa Tanzania mko n kiungo mshambuliaji fei Toto uyu Ako ligi y lampard,scholes gerrard🔥🔥
Mwakani huy mtoto faisal atakuwa Chelsea au liva madrid halafu tutashangaa
Fei Toto.🔥🙌🏾
Ila mpenja daaah raha sana unajua kazi👏👏👏
Hongera sana Azam football club.ila lefa pole sana
Prof:Nabi Kina cha maji hakipimwi na mguu!
Utakuja kutuua na pressure prof, hizi mechi c za kujaribu wachezaji hasa Azam fc ambao wamefanya usajili mzuri!
Kikosi cha leo ulivyopanga…..Mhhh. Kilinishtusha sana hasa Denis nkane pamoja na midfield wote walioanza kwa pamoja ( Bigirimana na Khalid Aucho) hawa midfield wana aina moja ya mchezo no 6
Ndio maana kipindi cha kwanza kati kati tulizidiwa sana
Any way ndio mchezo ila prof: tuwekee kikosi cha ushindi
Ili tuendeleze record ya unbeaten
Kudos Zanzibar Finest🙏🙏💚💚💚💚💚💚💚
Feisar ni nomaaaaaaaa😃😁😁
Fei hakika ni mtaalam wa mashuti hakika. Safi sana Tanzania. Mimi ni wa Simba.
Kuna mda msheri inabidi aaminiwe✊✊
Naipenda yangaaa
Feisali ni mkombozi wa Young Africans.
I writing can't wait to see Simba / Yanga
Yanga viva
Nilicho penda yanga hawaku paniki baada yaku ongozwa
Hongera sana feitoto wewe ndio furaha yetu wananchi. Bila wewe leo tulikua tunafungwa
Kila nikimwangalia huyu dogo Fei namuona Paul Scholes wa Man utd enzi zile, yaani hata sielewi sijui kaja Tanzania kwa Sura ya Kizanzibar ama?
Haahaaa umemsahau Lampard ww
@@faju4real800 na wewe umemsahau Steve Gerald
Hahah wapo weng sana
Mpira ni mkali mnoooo!! One love to Azam fc!!!
Man of the match alikua refaa nadhani bodi ya ligi wajitathmini aise
Kama umesha sema refa ndiye mchezaji bora sasa unaaka tff wafanyaje tena? Mi nadhani ungewaagiza wampe zawadi ya hudi milion 10.
Dah hongeren azam kwa kuchez mpra mzur san leo kam mpra ungechezexhwa kwa hak bc p 3 zingkua halal yenu lakn ndo hivy refa kawadhulum hak yen yanga mkubal mskubal mmebebwa hamn chochte mlichofany leo man of the match ni azam
Ni kweli Yanga wemebebwa, refa kapiga mashuti mawili na mabao wemepewa yanga
Good commentator 👍
Jifunze hukmu za quran gusa picha yang mara 2 hapo kushoto kama hautojali
Goli la kichwa kichogo 🔥🔥🔥🔥
Highlights ni ndefu sana
Jifunze hukmu za quran gusa picha yang mara 2 hapo kushoto kama hautojli
Hlf et unbeaten 😂😂😂😂
Kwan sio unbeaten tumefungwa na nan!?😅
@@delimachesa5007 kwa penati za michongo na mpira unatoka nje refa anajifanya haoni kwel mtakua unbeaten kwny ligi ya Tanzania ila mkienda mashindano ya Caf mtakua Vibeten co unbeaten 😂😂😂
Huyu mtoto Feisal ana u Zinadine Zidane alafu ana u Thiago Alcantara.
Ahmed Arajiga sio zidane wala Alcantara
@@fadhilamaulid9843 arajiga kafanya Nini Tena we Kolo Fc
Mnachelewa sana kuweka highlights jifunzeni kuwa shapuuu
Chamanzii. Hakunna. Tajiri
Yanga, defence hakuna. Mechi za kimataifa itakuwa shida sana.
hongera sana azam kwa kazi liyo fanya😃😃😃😃😃😃😃😃
Twaibu
Mnakumbuka cmba mlisare na azam game ya 3-3 then mkawadhurumu goli lao 1 leo mnaona ya yanga
Tanzania atuna marefa, TFF fanyieni kazi hii, ndo maana marefa wetu hawaitwi CAF kwa ujinga huu.
Refa kazingua Sana hii game
Bigup
Football ya Viwango kwelikweliii 🙌🙌🙌
Mkibebwa huwa viwango
Na TFF leo vioi hawajawaonea?
Hivi ili lijibwa arajiga huwa halionagi macho anga??
The Big match 💛💛🧡💛💛🧡
Hello wapedwa wapira mm naitwa klan genius naombeni sapot yenu kuisikiliza nyimbo yangu andika klan genius song sawa
Feisal Salum ni kiumbe hatari kuwahi kutokea kwenye soka la Tanzania.. Byuti byuti 🔰
Amna kitu pale ,uyo ni butubutu tena pale kakutana na panzia .
@@isdorchuvu6280 wivu Wa Nini Mzee
@@NellyWaKidato uto Kama uto watu butubutu Kama hao soka la mtaani hua tunawawekea jiwe la zege ndani ya mpira wavunjike vidole .
Pia kocha wa Yanga arekebishe mabeki wanakuwa wazito kuokoa mipira iliyokufa ndo maana wapinzani wanapata target ya kufunga.
Uyu arajiga aje achezeshe ndondo siku moja atapigwa Kama ngoma.
Malick ndoye❤️⚽️⚽️🔥🔥🔥🔥
Nimeskia yanga wamepigwa Kama ngoma
Refa Kawa MAN of the MATCH😂😂....
Vizur sana azam
Hili refa senge sana hili lime pewa pesa na yanga hili na hii mi utopolo imenunua mechi mana ime bebwa sana na hili refa la yanga senge/
Mtani unateseka ukiwa wapi naona unamwaga povu sana
Sema hawa mbwea wana bahati sana na ili butubutu lao Fei toto ,ila kesho Kmc anakufa na tukikaa pale kileleni atutoki mpaka msimu unaisha.
Kwani mzungu anasemaje
Kwanini Tunapomfira Azam Makolo mnatonga Tatizo Nini Wasenge Ninyi 😂🤣💚💛
Kwan Zoran mmeshamsindikiza
🔥🔥🔥
kweli deby yanguvu sana hii
Mzee wa mishuti kama kawaida yake
Azam ninawapongeza saaana 🙏🙏💯kua gushinda gool
Yanga tamu💚💛💚💛
We fei utakuja kuua bwana mdgo😂😂😂😂
Bora hata Azam anayepata sare,kuliko nyinyi mnaofungwa na Yanga. Sare apate AZAM nyinyi kinachowauma nini?
Bottom line Jana mmekaziwa na mna hasira kufungwa hata nyinyi huwa mnafungwa so Hamna jipya hapo
Kipa wa yanga Diara lile ni garasha .Nabi mpe msheri nae adake tuone kiwango chake
Nice
Azam wako vizuri
Azam kipa yuko vizuri ingekua mwingine Leo ingekua hatari
Yanga tukubali tu leo kama si msaada wa zaidi ya 100% kutoka kwa refa basi tumefungwa
Kweli na hili pia tulalamike TFF wanatuoneaa
Kwani makolo wanasemaje?
@@bnttv8955 wanasema kama.anavyosema refa
Ile bahasha yake inone
Kolo kolo TU Huwa habadiliki hata utumie jiki na ommo.
@@happyvalence5352 ushindi wa bahasha utabaki kuwa bahasha hata kama inauma
Yanga tam💚💚💛💛👏👏
Fei rud yanga bwana mambo gan hayo jna lnakufa ujue
Kila nikisikia wakisema yanga mbovu naangalia hii mechi fantastic
Yes
Huyu jama apewe ulinzi wallah anajua sana jamaa
Fai toto good
Fei toto anapenda sana mipira ya rebounds ... Mtoto mbaya sana huyu
Yanga mupengeze sans feitoto mukizuba mutashindwa walahi.
@@ndayizeyejailosgordien2733 mbona usiseme ya mayele na mandonga fc ngao ya hisani
Protecta imevunjika kabisa hii
Mda ukifika natamani kumuona fei akiicheza real madrid INSHALLAH
Feysal anafaa kwend kuchezea club za uengereza
Feisal Salum🔥🔥🔥
Azam 2 refa 2
Faine tena,machupa maji
Nani kaon morson alivo muekea kiat tumbon
Mabeki ni tatizo yanga please bangala acheze namba yake ya kiungo na mwamnyeto apumzishwe kdogo ama aingie sub coz ana mapungufu sn hawez kusoma hatariiii yan asaiv kadebweda sn na coach na bench lako please msidharau team pinzan sikuiz nao mpira wanaujua sn hii mechi tulkuw tunapoteza hatukuw sawa kiakil ad kukaba pindi hatunao mpira
Big up to fei toto uwezo wk na unyumbulifu wk ufanye nn na mda gn uwe wp
Kwa nbereko au?
Kibaiki...Umesahau Ngao ya Jamii eti? nako tulibebwa? makosa yamarefree yasikusababishe ukasahau kuwa hao unaowaona wamebebwa ndio waliokusababisha uanze kumtengenezea kocha wako mazingida yakumfukuza.Sema tu mliogopa kuipa Yanga pakusemea mkaona mumtafutie sababu mechi mbili za ligi na mechi 3 za kirafiki.Lakini tunajua toka mechi a ngao ya jamii kocha mak alishafukuzwa.Sasa naona leo mmehamia kuwa mashabiki wa Azam.Mtabadilika sana msimu huu maana timu lenu tia maji tia maji.Ngoja mkutane na Azam na Singida Bg Star.Ngoja muende Arusha kwenye uwanja wa mashimo na mzungu wenu,mkutane na Polic.Ngoja muende Tanga mkutane sijui na ndugu zenu wale!!! ndo utajua kwanini simba wamjini anaitwa wamaonyesho.
Mapoovu ya makolo ni zaidi ubwege
refa ali beti jana
Huyu lefa achukuliwe hatua tff
Kwa marefa hawa atutafika
Kikweli kutoka moyon kwa huyu kipa bora mshel tu huyu sifa tu kubwa ila ni wa kawaida sana mwalim anze kumuamin mshel
fei noma
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍👍
Ili lefa linaitaji miwani ya lenzi.
استمرو في الفرح الهلال السوداني ينتظركم فوقتها لا مجال لكم غير البكاء
😀لا تسقطنا في قتل ضفدع البر😀ونحن معكم
@@mswakisaid2320
احفظ هذا التعليق جيدا وانت تعلم انك لم تمر إلى المجموعات عبر الهلال السوداني
فأنت لازلت صغيرا جدا
Hilal ya Sudan tutawashughulikia, yanga ni bora
اعمل حسابك يا حبيبي الهلال 0 وياقا 3 احفظ كلام ده
@@user-sy3qc9fc2h لا يا اخي احفظ تعليق ده جيدا انا اعرف الهلالي فريق جيدا ولكن ياقا اولي من الهلالي
waaamuz wa kitanzania cyo makini ndo maana beji za fifa zinasumbua,, na mara nyingi kule kimataifa hatupewi nafasi kwa kuwa hawana ueledi katika kutimiza majukumu yao.
Ujinga ni kudaka penati halafu unafungwa migoli ya mbali, Tototoooo. 😂😂
Acheni kujichekesha mmebebwa
Feisal ni monister 😂🤣🤣
@@omaryhajji1393 kwa uzuri wa goli kuna makosa mengine inabidi yapuuziwe tu. Ndo maana tunasema VAR haina maana bora iondoke!
Tototoooooooooooo,
Ndio marefa wa bongo walivyo kwa timu kubwa.hongereni azam kwa mpira mwingi penalt yenu itawatesa sana msimu huu
Refa hakua fair
Acheni usenge nyie makima subir yakwenu yanga haiwahusu
🤣🤣🤣🤣 mnahonga refa hamna ata aibu
@@fridamnyambii7175 muhongeni nanyie kama mnazo
@@fridamnyambii7175 😂😂😂yanga itachukua makombe mpka mfe kwa presha 😊
Kishawakuta kitu huko na wao tayari 🤣🤣🤣
@@fridamnyambii7175 Nyie mmeshindwaje kuhonga¿??😂😂
Jifunze hukmu za quran gusa picha yang mara 2 hapo kama hautojali
Azam TV siku ya mechi za Azam dhid ya Simba au Yanga uwa mnaonyesha mpira kwa kiwango cha juu sana why mechi nyingine hamfanyi hivyo? Achen double standard kama mna camera za kutosha zitumike kwa mechi zote za ligi ya NBC na FA
Sasa king'amuzi si nichao jaman
Sema Wewe Kaka
Refa,refa refaaa
Ndio maana kimataifa ni kuboronga TU harafu tulalamika eti tunaonewa Kwa huu mchezo ni aibu
Yanga ni team ya big 4 guys
ambital ok pale pal
Referee Maof this Match n
Mpira si ukitoka huu
Utopolo yamebebwa ila hayabebeki kumamae zenu
Azam iko juuu
Kwa point 5 kwa saba
Simba wajipange.
Huo ndio mpira wakibongo....maisha hatutokwenda mbele.
This is---
Walioumia mechi ya leo sio yanga wala azamu, ni watu wa DEGJAN
Kimataifa mtaenda na hawa marefu
Mzungu fc mapovu yanawatoka unbeaten continue