Yanga 2-2 Azam | Highlights | NBC Premier League 06/09/2022

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Derby ya Dar es Salaam kati ya Yanga vs Azam FC imemalizika kwa sare ya mabao 2-2 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, katika mechi kali na tamu ya ligi kuu ya NBC Tanzania Bara #NBCPremierLeague
    Magoli ya Azam FC yametoka kwa Daniel Amoah dakika ya 25, na malickou Ndoye dakika ya 65 wakati Yanga ikijipatia magoli yote mawili kutoka kwa Feisal Salum dakika ya 57 na 77.
    Katika mechi hiyo pia Yanga imepoteza nafasi ya goli kwa kukosa penati dakika ya 69.

КОМЕНТАРІ • 240

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 2 роки тому +5

    Fey toto come up from the bench in second half but show up the finest on the pitch... he’s our super hero Zanzibar one ☝️ keep fighting and pray always you’re my best player in Tz of all time ....mungu anatosha...

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 2 роки тому +9

    Nikiwa namanisha hiki ninacho sema Mungu Nakushuru hata kwa point 1 💚💛💚💛💚💛

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 2 роки тому +4

    Asante saaana Mungu kwa point hii Moja

  • @erikosuarez
    @erikosuarez 2 роки тому +7

    Azam receive all the love from Kenya. Lakini iyo penalty mlionewa

  • @gervasmwagen8135
    @gervasmwagen8135 2 роки тому +6

    Mpeni na feisali maana saivi anauwezo sio wakawaida tayari Ni brand dukan🔥🔥🔥🔥

  • @abdymmanga6338
    @abdymmanga6338 2 роки тому +20

    Main Of The Match ⚽️ ~ Feisal Salum 6 , Zanzibar 🌴 Finest 🔥🔥

    • @nasibujanga3071
      @nasibujanga3071 2 роки тому +2

      Main of the match arajiga 🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍👍👍

    • @daudkhatib4678
      @daudkhatib4678 2 роки тому +1

      Makoloo. Walizani. Tutapigwa. Pumbaavuuuui. Zennuuui

    • @azizamihungo9659
      @azizamihungo9659 2 роки тому +1

      @@daudkhatib4678 Leo hatimae mmefurahia sare

    • @azizamihungo9659
      @azizamihungo9659 2 роки тому +2

      Man of the match Ni Arajiga kutoka Manyara

    • @bnttv8955
      @bnttv8955 2 роки тому

      Kwani makolo wanasemaje eee?

  • @clementinamushi704
    @clementinamushi704 2 роки тому +3

    fei fei best player best thinker

  • @abubakarnabahani4994
    @abubakarnabahani4994 2 роки тому +8

    timu Yangu ya yanga tatizo kwa sasa ni mabeki na golikipa pia hayupo sawa sikuizi turekebishe defence na goalkeeping... tutatisha zaidi.

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 2 роки тому

      Achen maneno leo mdaka mishale hafai tena😆😆😆😆

    • @ratybkheir3049
      @ratybkheir3049 2 роки тому

      job anachezesha namba 2 ya nn na bangala kw nn asicheze 6

  • @miskiaayallah1872
    @miskiaayallah1872 2 роки тому +2

    MashaAllah Fey totoooooooo

  • @nasibujanga3071
    @nasibujanga3071 2 роки тому +7

    Arajiga ndo shujaa wa mechi hii🇹🇿👍👍👍

    • @bnttv8955
      @bnttv8955 2 роки тому

      Kwani arajiga amefanya nini

  • @user-ug9wc6vb5u
    @user-ug9wc6vb5u Рік тому +1

    احسن دوري في أفريقيا كلها

  • @ahmedhamad2410
    @ahmedhamad2410 2 роки тому +3

    Hongera sana fundi wa mpira africa fei toto

  • @nurdin.mndeme3447
    @nurdin.mndeme3447 2 роки тому +2

    feisal ni balaa najivunia mno kuwa katika sehemu yetu WanaNchi ....... YANGAAAAAAAAAAA

  • @shulentondo3288
    @shulentondo3288 Рік тому +1

    Yanga on fire 🔥🔥🔥🔥

  • @ahamadimatendo8928
    @ahamadimatendo8928 2 роки тому +8

    Mh Jana ilikuwa sikuya plesha kwa timzotembili ila zaidisaana plesha za mashabiki wa sisiyanga ilikuwa juusaana ila yotekwayote tunamshukulu mungu kwa kuwapa nguvu wachezajiwetu na kumpa chansi mchezajiwetu feitoto ndo meni of mechi

  • @simontemba1851
    @simontemba1851 2 роки тому +6

    Namna iyooo yanga

  • @elipidtesha5466
    @elipidtesha5466 2 роки тому +12

    Yanga the best just improve defence.line.and gal keeping is still.poor!

  • @moise6735
    @moise6735 2 роки тому +4

    Hongera sana Yanga hongera sana Faitoto kijana wa mikwaju mizito mizito yenye power ya SATAN 2

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Рік тому +1

    Hii mechi ilikuwa bora sana

  • @aliyussuf9126
    @aliyussuf9126 2 роки тому +6

    Goal keeping is not the problem The defence needs to improve Nyie mnaolalamika penalty ya mchongo mbona hamlalamiki mchezaji wa Azam aliyestahili red card na hakupewa Hatahivyo hiyo penalty haikuwa bao

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 2 роки тому +2

    Fei umeonyesha kiwango kikubwa young african mko vizuri pamoja na challenge ilioonyeshw na azam

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 2 роки тому +10

    Man of the match ni refa halipingiki Leo jangwa angepigw 3-1

    • @DavidE-yb8qp
      @DavidE-yb8qp 2 роки тому +1

      Unahakika gan kama ile penati wangepewa kama wangefunga?

    • @bnttv8955
      @bnttv8955 2 роки тому +1

      Kwani kolo wanasemaje?

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 2 роки тому

      @@bnttv8955 mmmmmmmh ndo maana kisinda kfu kafungiwa na mmebebwa Jana ndugu

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 2 роки тому +3

    Azam wachezaji wenu wanaonekana washari washari na kuhamaki sana

  • @agripamwangobola6488
    @agripamwangobola6488 2 роки тому +1

    Yangaaaaa♥️♥️♥️♥️♥️

  • @georgembwani3655
    @georgembwani3655 2 роки тому +5

    Azam Wanajifanya Kukamia Kwenye Mechi Kama Hzii Nyingine Wanakuwa Wakawaida Tu

  • @abuuajmal1467
    @abuuajmal1467 2 роки тому +3

    Yaani apo Feitoto ndio Mtuma risasi... Wengine wanapata chance ya kushinda Lakin wanapiga light shoot, wajifunze kwa feisal

  • @mremymtatiro6618
    @mremymtatiro6618 Рік тому +1

    Yanga noma

  • @MarcoMethord
    @MarcoMethord 4 місяці тому

    Vizur sana

  • @eliasgulinja442
    @eliasgulinja442 2 роки тому +8

    Refa wa leo asipo chukuliwa hatua basi tz haitapiga hatua ktk soccer cross imepigwa Moira ulikuwa umekwisha Toka akaibeba yanga pili akawanyima azam penalty ya wazi lkn akawapa yanga penalty ya mchongo kwa hali hii hatufiki popote

    • @peacerichard8970
      @peacerichard8970 2 роки тому +1

      Korona mnaona ya wenzenu tu,ya kwenu mnayaficha

    • @masoudadam4689
      @masoudadam4689 2 роки тому +2

      Ndio maana mirefa ya bongo mingi inazeekea hapahapa

    • @edwarddavid8076
      @edwarddavid8076 2 роки тому

      @@masoudadam4689 hahaa! Ulitaka wazeekee kwenu?

    • @avitusjasson9661
      @avitusjasson9661 2 роки тому +1

      Refa kapendelea kabx angeach mtu akapigw 3 tf1

    • @sleymohamed3825
      @sleymohamed3825 2 роки тому +1

      kumbe uliona nilijua nimeona peke yangu. upo sahihi

  • @uztwao2428
    @uztwao2428 2 роки тому +1

    fei noma

  • @pillymichael2747
    @pillymichael2747 2 роки тому +1

    Kazi gum

  • @sayimasele5054
    @sayimasele5054 2 роки тому +2

    Azam wameonewa kweli

  • @AbduHaule-iq4di
    @AbduHaule-iq4di Рік тому +1

    AzAm,yanga

  • @lidyamgaya3877
    @lidyamgaya3877 2 роки тому +3

    Huyo mdaka lisasi atadaka lisasi zote ila sio za feiy, wala sisasi za wananchi

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 2 роки тому +5

    Azam mungu atawalipia mmezurumiwa mlikuwa mshinde magoli matatu bila lakini refa wamchongo wayanga kafanya iwe hivyo nihaki mfulahie sale hiyo maana mlikuwa hatoboi pale

    • @abubakarnabahani4994
      @abubakarnabahani4994 2 роки тому +1

      unateseka ukiwa wapi ? kwani huna macho yanga kachezewa rafu nyingi sana hata ndani ya box pia lakinii Refa kamezea mbona wewe ni mbinafsi ! usimba unatokota ndani yako Pasuka basi kwa hasira.

    • @flomenastephen2226
      @flomenastephen2226 2 роки тому

      Ukome c wangeshinda au ya mi7jiza jadilini yenu na kocha wenu wa mchongo

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 2 роки тому

      @@abubakarnabahani4994 unajuaje huyo alokoment km ni simba....punguza jazba mmebebwa bwanaaaa

    • @official_phay720
      @official_phay720 2 роки тому

      Abubakar Nabahani 😂 ng0ja ncheke kwnza .......ww ukubal ukatae mumebebwa na lile g0li lakwnza nilamch0ng0 huuuu niukwel usi0pingika

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 2 роки тому +3

    Yani hili goli la pili kipa wa azam ataliota

  • @egerboykurya9458
    @egerboykurya9458 2 роки тому +2

    Jamani ninaipenda Yanga

  • @shihume256
    @shihume256 2 роки тому +1

    Game ya kawaida sana yani

  • @safiasaid4563
    @safiasaid4563 2 роки тому +2

    Feisal vs azam dogo kaamua mech

  • @abbykivuyo348
    @abbykivuyo348 2 роки тому +2

    Derby gani jaman haina mashabiki aibu sana kuita hii Derby jaman

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 роки тому +22

    Jifunze hukmu za quran gusa picha yang mara 2 hapo kushoto kama hautojli

  • @kingsonmaleko7056
    @kingsonmaleko7056 2 роки тому

    Yes

  • @sofiaissa8005
    @sofiaissa8005 2 роки тому +1

    Feisal totoooooooooooooo🤴🤴🤴☀️☀️☀️☀️🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🐍🐍🐍🐍🐍🐍🐍🐍🐍🥇🥇🥇⚽⚽⚽

  • @hemedijr8333
    @hemedijr8333 Рік тому +2

    Laiti Kama azam wangecheza kama hii mech kwenye mechi zao nyingine wengikuwa wapo juu sana ila wakicheza na yanga tu ndo wanakuwa ivyo

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Рік тому +2

    Huyo feisal

  • @freddylusingu6936
    @freddylusingu6936 Рік тому

    Mechi dum🎉🎉🎉

  • @jumafelix7018
    @jumafelix7018 2 роки тому

    Kwamoto huuu sijui

  • @jumakibinza4014
    @jumakibinza4014 2 роки тому +1

    Feisal atauwa watu jaman

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 роки тому +4

    Jifunze hukmu ya quran tukufu gusa picha yangu mara 2 hapo kushoto kama hautojali

  • @mickdadybakari6052
    @mickdadybakari6052 2 роки тому +3

    yanga wamepigwa kama ngoma hapa

    • @abuuajmal1467
      @abuuajmal1467 2 роки тому

      Wakinyimwa penalty baadhi ya mechi munakaa kimya.... Wakibebwa ndio munaongea... Aisee😂😁😂😁

    • @mickdadybakari6052
      @mickdadybakari6052 2 роки тому

      @@abuuajmal1467 kajifunze kuandika

  • @nestorymapunda4596
    @nestorymapunda4596 2 роки тому +2

    Igem yanga kama sio ulumaa ya refa basi tulikua tuna potez shujaa wa mchezo feisal

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 роки тому +2

    Nassrudine Nabi MAN OF THE MATCH again....huyu KOCHA ni balaa Kwa kusoma Mchezo'...!

    • @ratybkheir3049
      @ratybkheir3049 2 роки тому +1

      nikweli lkn mm ananikera kitu kimoja job kumueka namba 2 kw nn asicheze bangala namba 6 game tuff kwnn kuna wachezaji anawaweka nje

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 2 роки тому

      @@ratybkheir3049 anakukera lkn huelewi KITAALAM, ..huu sio wakati wa kujaribu au kumchezesha mchezaji mmoja, tunapoelekea kugumu lazma kikosi kiwe kipana na cha ukweli..!

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 2 роки тому

    Vhamanxii. Hakuna. Tajirii

  • @claudiomgaya7381
    @claudiomgaya7381 Рік тому

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mkohoexperience7322
    @mkohoexperience7322 Рік тому +2

    😅😅 kipa wa azam baada ya goli la pili, anafikiria imetelezaje anahisi ndoto

  • @abuuharuna2214
    @abuuharuna2214 2 роки тому +1

    Mmejitahidi kikosi kimeingizwa wachezaji 5 wapya na bado mmefungana 2. Kwa 2

  • @godfreymtazama4581
    @godfreymtazama4581 Рік тому

    Hii live😎

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 2 роки тому +2

    Ya leo hainogi

  • @rutundajames2820
    @rutundajames2820 2 роки тому +2

    Kama ingewezekan muwe mnatuekea mechi nzima wengne tunahtaj

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 9 місяців тому +1

    Mbili sufuri katika score bo bo boo😂

  • @preciousbenedict6220
    @preciousbenedict6220 2 роки тому +1

    Asante referee wa Mchongo

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 2 роки тому +4

    Sasa makolo wameumia kwann? Mbona wenyewe tareh 13 walishindwa kutufunga? Jamn yanga haitofungwa tena hilo msahau🤣🤣 Feisal shkamooo🙌🙌🙌

    • @lidyamgaya3877
      @lidyamgaya3877 2 роки тому

      🤣🤣🤣 kaz wanayo, man ubayawetu hatunamtu maalumu wakufunga, ss ukikaa vbaya hatakipa anafunga, daima mbelee💚💪

    • @enockabumba7513
      @enockabumba7513 2 роки тому

      Amida Abalii
      Bado nasubili majibu angu

    • @tonnybayyo5721
      @tonnybayyo5721 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @hamidayanga8224
      @hamidayanga8224 2 роки тому

      @@lidyamgaya3877 Nyuma mwikoooooooo🔥🔥🔥🤣🤣🤣

    • @hamidayanga8224
      @hamidayanga8224 2 роки тому +1

      @@enockabumba7513 Heee upogo kumbe

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 2 роки тому +5

    Huyu refa mechi zake nyingi ni za yanga ndio maana anachezesha kiushabiki

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 2 роки тому

      Yan refa mshamba sana ila muache kifungo kinakaribia na yy

  • @jamesmakoye2164
    @jamesmakoye2164 2 роки тому +1

    Lifutwe Hilo goli namalefali wafungiwe kwanza

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide 2 роки тому +2

    Penalty ya mchongo, Goli la kwanza la mchongo ok sawa

  • @mhandomhina5503
    @mhandomhina5503 2 роки тому +3

    Huu wimbo wa waamuzi uliimbwa tangu 2-1 za Mayele na utaimbwa Hadi ligi itapomalizika. Unajua kwa nini uwezo wa Yanga Ni mithili kimbunga kizito sana hivyo lazima utaimba.

    • @leeabd9057
      @leeabd9057 2 роки тому

      Team yakawaida saana iyo jidanganye Ivo ivo

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 2 роки тому

      @@leeabd9057 ...unadhani MAKOLO wakicheza na Azam itakuaje, hii game ya WANAUME, ..!

  • @enockezekiel4125
    @enockezekiel4125 2 роки тому +1

    Fei toto hata msimu ulioisha nilidhani wangempa mchezaji bora wa ligi, sjui walitumia vigezo gn kumpa yanick 🤔

  • @ahamadimatendo8928
    @ahamadimatendo8928 2 роки тому

    🤟👊💘🥀

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 роки тому +2

    Jifunze hukmu za quran gusa picha yangu mara 2 hapo kushoto kama hautojli

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 2 роки тому +1

    Myangazaji ni Utopolo 🐸!

  • @greaterjustin2231
    @greaterjustin2231 2 роки тому +3

    Wakati mwingine msheli nae apewe nafasi ili diara asibweteke

  • @mabruckally672
    @mabruckally672 2 роки тому

    Refa ni mjinga sanaaaa

  • @williamponeka6853
    @williamponeka6853 2 роки тому +1

    Hao ndo marrfa wetu, eti kosa la kibonadamu

  • @leonardpaul568
    @leonardpaul568 2 роки тому +1

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia 2 роки тому +3

    Refa amewabeba sana Yanga. Vinginevyo wangepigwa hata Tano

    • @mwaimuchengo1814
      @mwaimuchengo1814 2 роки тому

      Kwahio mnategemea Yanga washinde kwa ajili yenuu

    • @abubakarnabahani4994
      @abubakarnabahani4994 2 роки тому +2

      nafikiri alipoteleza Refa ni ile penati walionyimwa azam lakini penati ya yanga ilikua sawa pia sababu yule mchezaji wa azam hakucheza mpira alicheza miguu ya Morrison lakini kwa ujumla wake Refa kajitahidi sana...mapungufu madogo madogo ni ya kibinadamu...

    • @decodesttz
      @decodesttz 2 роки тому

      @@abubakarnabahani4994 sama ile faulo yaazam maah haikua penat ile ilikia faul sema refa akapeta

    • @bnttv8955
      @bnttv8955 2 роки тому

      Makolo kwani wanasemaje eee

    • @titus_maridhia
      @titus_maridhia 2 роки тому

      @@bnttv8955 mi ni mwananchi ila tumebebwa bro

  • @ratybkheir3049
    @ratybkheir3049 2 роки тому +1

    nabi tabia hii ya job kumueka mamba 2 bangala umueka chini tutakosa matokeo kikweli

  • @jofreymwile1986
    @jofreymwile1986 2 роки тому

    Mbona Sauti Hamna

  • @merinachalinze6455
    @merinachalinze6455 2 роки тому +1

    Fei we sio mzur utaua

  • @justinefrank2892
    @justinefrank2892 2 роки тому +1

    Shida hao lamba lamba wakikutana nayanga wanakaza ngoja wacheze natimungingine utafkiria mlenda

  • @hamisinelsoni1387
    @hamisinelsoni1387 2 роки тому

    Azam vs yangs

  • @swamweliteobady4496
    @swamweliteobady4496 2 роки тому

    Mm napenda mechi iwe iv yatia lha sio simba akicheza na young anakua mwepesi kama nn Young anaenda kuchukua ubingwa wake tena nafasi ya pili Azam kwenye nafasi ya tatu ndio sijajua kati ya Sindida hau simba lkn ya kwanza young yapili azam

  • @williamchamriho8786
    @williamchamriho8786 2 роки тому

    Maombolezo ya marikia

  • @charitymkombozi5900
    @charitymkombozi5900 2 роки тому

    Feisal amebarikiwa utu na utulivu

  • @gregorysulle
    @gregorysulle 2 роки тому

    highlights iwe angalau dakika 8 mtu unahitaji kuona magoli yamepatikanaje tu

  • @jumamwarabu9307
    @jumamwarabu9307 2 роки тому +1

    KWA YANGA ILI KUA PENALTY KWA AZAM SIO PENALTY :MH;;REFA SHIKAMOO-:YANGA OYEE

    • @bnttv8955
      @bnttv8955 2 роки тому

      Kwani kolo ulitakaje

    • @jumamwarabu9307
      @jumamwarabu9307 2 роки тому

      @@bnttv8955 KWANI UTOPOLO ULIONAJE UTOPOLO UTOPOLO

  • @mickdadybakari6052
    @mickdadybakari6052 2 роки тому +1

    Refa 2 2 Azam asante refa

    • @bnttv8955
      @bnttv8955 2 роки тому +1

      Kwani refa ni fei toto du makolo mmeumia

    • @mickdadybakari6052
      @mickdadybakari6052 2 роки тому

      @@bnttv8955 acha kukaza fuvu kimwaga udugu

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 2 роки тому

      @@mickdadybakari6052 😆😆😆😆😆😆

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 2 роки тому

      Ndio mana wakiitwa taifa stars wanaishia kwenda kuzurura tu nchi za watu hawana maajab uwanjan

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 2 роки тому +2

    Hawaa. Makoloo. Wanaonyesha. Hawjirleewii. Timu. Laaoo. Bovuuu. Wanajipendekeza. Kwa. Lambalamba

    • @lidyamgaya3877
      @lidyamgaya3877 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣

    • @lidyamgaya3877
      @lidyamgaya3877 2 роки тому

      Watajua hawajui

    • @bnttv8955
      @bnttv8955 2 роки тому

      Wameumia sana

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 2 роки тому

      Nyie vidaa vya yanga mnouzaga sura mtandaoni vip leo refa mbona hamumsemi Au ndio haki mnoitakaga hii ?? Mwamnyeto kaucheza Mpira AU miguu ya Dube ? Je refa huyu wa leo Mpira unatoka nje bado mchezaji wa yanga anaucheza anamuacha tu huyu ni wa karia au Gsm ? Ndio maama yule kocha aliwaita manyani mnabweka hovyo kunguni nyie

  • @silvestabahebewadudu6625
    @silvestabahebewadudu6625 2 роки тому

    Dadek imekula.besela we dube.

  • @RashidKhan-zq2hy
    @RashidKhan-zq2hy 2 роки тому +3

    Morison kanichekesha alivyo muangalia huyo amoah anachetua mbele yake

  • @fidelisvenance6431
    @fidelisvenance6431 2 роки тому

    Video mmeikata vibaya

  • @gervasmwagen8135
    @gervasmwagen8135 2 роки тому

    Kumbe komenti Ni kucheka toa points

  • @customermashineni8677
    @customermashineni8677 2 роки тому

    Acha izo

  • @salamasaidi6620
    @salamasaidi6620 2 роки тому

    Yanga wamepigwa km ngoma😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 2 роки тому

    Wale wa Dada wa yanga wanolalamika mitandaoni kua Tff inawaonea vip hapo huyo refa wa karia AU wa Gsm ??

  • @pescopenterprises2728
    @pescopenterprises2728 Рік тому +1

    Yanga inashinda kwa sababu ya presha ya washabiki kwa marefa yanga bila marefa si chochote ndoo maana inashindwa kimataifa

  • @hamisikapatila9200
    @hamisikapatila9200 2 роки тому

    Azam jaribun kuweka crip fupi walau Dakika 10 dakika 20 mnazingua

  • @mwanasengugsengug7273
    @mwanasengugsengug7273 Рік тому

    Azam wanatakiwa kwenda kushtaki kwa hiki kilichofaki kwenye huu mchezo

  • @salamasaidi6620
    @salamasaidi6620 2 роки тому

    Mbona dude hakupewa penat

  • @babuafya3446
    @babuafya3446 2 роки тому

    azamfc damu damu

  • @customermashineni8677
    @customermashineni8677 2 роки тому

    Azam komaenj