NI FITINA TU NDIZO AMBAZO ZINAMKWAMISHA FEISAL SALUM PALE AZAM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 84

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 11 місяців тому +5

    Feisal Toto ni mcheza mzuri sana katika uzawa

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 11 місяців тому +6

    Fei super talented kwa wenye akili wanajua ilo ana Uwezo mkubwa wakutofunikwa duarani

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 11 місяців тому +3

    Makosa aliyoyafanya Feisal ameenda kucheza Timu ndogo kuzidi uwezo wake. Feisal si wa kucheza Azam

  • @athumanimanzabay1894
    @athumanimanzabay1894 11 місяців тому +5

    Exactly Oscar upo sahihi mm ni Yanga lakn feii yupo vzuri anatakiwa awepo kwenye national team

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb 11 місяців тому

      Ww ni mpuuzi kweli

    • @DivinePromise-sv3qq
      @DivinePromise-sv3qq 3 місяці тому

      Mbona hua anaitwa shida anashobo ndio zinamuangusha lkn ni mchezaji mzuri sana ila match ilimpalia hakua vzr kivilee

  • @FelisterDuway
    @FelisterDuway 11 місяців тому +11

    😂😂😂😂😂😂😂baba levo siku kama hayupo huwa Mimi sisikilizagi kabisa hichi kipindi chenu😂

    • @ibnmasuod2184
      @ibnmasuod2184 11 місяців тому +1

      wwe kama mimi tu

    • @AlexJacobo-vc2kt
      @AlexJacobo-vc2kt 11 місяців тому +1

      Hata me pia

    • @brunomirambi8792
      @brunomirambi8792 11 місяців тому +1

      Anajiita B LEVO BA FUNDI MANYUMBA 😂😂😂

    • @RyanElias1
      @RyanElias1 11 місяців тому +1

      Ht mm 😅

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 11 місяців тому +2

      Unakosa fikra za kishabiki na kichawa. Watu wengi hatupendi FACT ndio maana baadhi ya TV zimeajiri watu wa hovyo ili kutifurahisha.😤

  • @feisalseif6488
    @feisalseif6488 11 місяців тому +1

    Chambuzi wangu na moja mpaka sasa

  • @SalimNassor-bs4ew
    @SalimNassor-bs4ew 10 місяців тому +1

    Baba levo ypo kimajungu zaid

  • @rashidmohd6260
    @rashidmohd6260 11 місяців тому +1

    Baba levo wa2 wanahesabu nazi ww unahesabu makumbi yaani ww uyanga umeuweka mbele kuliko ukweli kiufupi 2nakupenda ila kwa kipindi cha michezo una2haribia mn inaonekana hujui mpira kbs

  • @abdulazizimohamad6946
    @abdulazizimohamad6946 11 місяців тому +5

    Jamaa unaongea kispoti sana fei ni htr sana Kwa wachezaji wazawa kwenye nafasi yake hakuna anaemfika

  • @Jamalhusen7025
    @Jamalhusen7025 11 місяців тому +1

    Huyo bb levo na mpira wapi na wapiiiiiiii

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 11 місяців тому

    Mnaacha kumjadili aziz k

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 11 місяців тому

    B LEVO LEO UMEJAMBA 😃,,FEI HAKUPANIA MCHEZO NA NDIO MANA ALICHEZA VZURI JAPO HAWAKUSHINDA NA YEYE HAKUFUNGA(Kacheza kawaida)

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 11 місяців тому

    Oska kaombe kazi ya kupanga kikos Cha Tim ya taifa siunaona wapangaji hawawajui wachezaji wa zur

  • @MafrizoMc
    @MafrizoMc 11 місяців тому

    Baba levo hajui kuchambua analeta uyanga kwenye ushambuzi hapo kazi yako kuchambua sio kuisifia yanga mtoen icho kitengo anaalibu

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 11 місяців тому

    Uyo mtu alie muweka baba revo kuchambua alilenga safi sana

  • @salehharuna7675
    @salehharuna7675 11 місяців тому +1

    Baba levo hujuwi mpira kwenda kule

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 11 місяців тому

    Osca upo sawa sana

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 11 місяців тому

    Kweli kabisa

  • @happymackjacob3480
    @happymackjacob3480 11 місяців тому

    Oscar upo clear sanaaa

  • @enerickondyanabo337
    @enerickondyanabo337 11 місяців тому +1

    Oscar we mnafki Sana ulisema anafunga angeitwa kwenye timu ya taifa Leo ii unasema magoli sio inshu kisa wamemuacha kwenye magoli

  • @andrewmwakyangwe3520
    @andrewmwakyangwe3520 11 місяців тому

    Alikamia sana hiyo match

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 11 місяців тому

    Sio Feisla tu Azam hata wangekuwa na Mbape asiingeonekana, Huwezi kutegemea mchezaji mmoja kwenye Timu.

  • @BINKHATIB-o4e
    @BINKHATIB-o4e 11 місяців тому

    Oscar uko sawa

  • @makamelila
    @makamelila 3 місяці тому

    Yani kaka umeongea sawa sana watuwanamvhukia kwasababu tu kaacha timu yao hebu wamuache mpira jamani ni huru!!!!!!!!!!!!

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub8369 11 місяців тому

    Baba levo hujuwi mpira

  • @mwajabujumanne9025
    @mwajabujumanne9025 11 місяців тому

    Baba levo ndo ananogesha kpndi😊

  • @BusaluThobias-ff6po
    @BusaluThobias-ff6po 11 місяців тому

    Mpira bila magoli utashinda vp?! mahaba yakizid utashindwa kuchambua mpira utakuwa kama shabiki angefunga alafu Aziz ki asifunge leo ungesema hakuna kiungo anaejua kufunga kama yeye pale yanga kisa Aziz ki kafunga leo magoli sio inshu na wakati ndio yameipa yanga point. Bro..ifanye kazi yako kwa ufasaha acha kutumika

  • @athumanmsuya2688
    @athumanmsuya2688 11 місяців тому

    Acha uyanga

  • @yohananjelwa4101
    @yohananjelwa4101 11 місяців тому

    Baba levo umeongea fact

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 11 місяців тому

    Sio kupaniaaa feisal anajua ww baba levo wanazungumziaa feisal sio team

  • @SalimNassor-bs4ew
    @SalimNassor-bs4ew 10 місяців тому

    Uyu baba levo kwani n lazima achambue mpira anaharibu sna

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx 6 місяців тому

    Baba levo sio mchambuzi anafaa kua mchamba wima

  • @matiankomola2391
    @matiankomola2391 11 місяців тому +2

    Kawe wewe Kocha!
    Akiendelea kucheza kama Jana ataitwa.
    Usimpangie Kocha,

  • @alisaleh2093
    @alisaleh2093 11 місяців тому

    Fesal anajua mpira

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr 11 місяців тому +1

    Kwan lazima acheze tim ya taifa

  • @halidmauga96
    @halidmauga96 11 місяців тому

    Kweli Feisal alistahili kuitwa timu ya taifa

  • @ZINDUKAMUISILAMU30
    @ZINDUKAMUISILAMU30 11 місяців тому

    Huyu Baba levo anaongea kishabiki

  • @mzeewetu9718
    @mzeewetu9718 11 місяців тому

    Bora asiende maana atawaliza kwa kuwaangia wenzie .

  • @SaidSaid-qp8xl
    @SaidSaid-qp8xl 11 місяців тому

    Baba levooo sio mtu wa michezoo

  • @side216
    @side216 11 місяців тому

    Babalevo pumba speaking

  • @rickpoz1795
    @rickpoz1795 11 місяців тому

    hii sms ni ya baba level na oscal naomba muwaambie ally kamwe na ahamed ally wawatangazie mashabiki wa timu zetu tukajazane pale keko hadi waziri mkuu aje atuambie lile zigo la mwizi ni la nani?

  • @KhamisMohd-n7c
    @KhamisMohd-n7c 10 місяців тому

    Kiukweli sisi wazanzibari kama fei toto hayupo kwenye kukodi cha taifa basi na sisi hatupo pamoja nayo iyende tuu nikiona za yanga na T FF Tunajua

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 11 місяців тому

    Acheni fitina

  • @HazardYussuf
    @HazardYussuf 11 місяців тому

    Huyu baba level mwambie akafanye uchawa mpira so kz yke

  • @ShabanMsanifu-ov2kg
    @ShabanMsanifu-ov2kg 9 місяців тому

    Ww muongo acha unafiki

  • @ChristopherKisarika
    @ChristopherKisarika 4 місяці тому

    Fitina gani tena?

  • @patrickmfundiri8669
    @patrickmfundiri8669 11 місяців тому +2

    Una zeeka vibaya mchezi yupo yeye tu TZ wameachwa wangapi bhana? Chambua kwa akili

  • @calvinloveambroce842
    @calvinloveambroce842 11 місяців тому

    Huyo mtoto wa kizanzibar anaujua mpira tuache chuki

  • @ChaseGabagambi-ur8xu
    @ChaseGabagambi-ur8xu 11 місяців тому

    Oscar unaongea na mtu asie ujua mpira unajichosha Kichw bb levo hamna kitu

  • @seifismail6041
    @seifismail6041 11 місяців тому

    Oscar ndo umesema au bd

  • @matrida.lunyilija5196
    @matrida.lunyilija5196 11 місяців тому

    Yaan we oscar wewe usimtetee fei alipania sana

  • @kakaaignas3675
    @kakaaignas3675 11 місяців тому

    Mpira usharudi

  • @kasseraandrew3614
    @kasseraandrew3614 11 місяців тому

    Huyu baba levo kwa nini yupo hapo

  • @sikujuahamisi7252
    @sikujuahamisi7252 11 місяців тому +1

    Oscar huna akili

  • @SayuniEnock-tu4pf
    @SayuniEnock-tu4pf 11 місяців тому

    N kwel kabsa Huwa analeta charange humo ndan!!

  • @salehharuna7675
    @salehharuna7675 11 місяців тому +1

    Afu sikupendi

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy 11 місяців тому

    Kama anajua mpelekeni kwa wake zenu msitusimbue maboya wachambuzi wa mbuzi

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 11 місяців тому

    Fei kajiuamwenyewe astafutemchawi

  • @RashidPeter-h8i
    @RashidPeter-h8i 11 місяців тому

    Unazingua fei toto amepotea

  • @jumamakuri9176
    @jumamakuri9176 11 місяців тому

    Ukimsaliti bibi hata Babu unaweza kumsaliti. Tanzania Kuna wechezaji wengi wapo benchi Feisal Hana kiwango Cha national timu. Mbona wameachwa wengi kv shomari kapombe, zimbwe, timu inasonga mbele.
    Feisal alijiona lulu Kwa kupambwa na wajinga wachache sasa matokeo yake ndio hayo hakuna haja ya kulaumu.

  • @selemanimohammedi-n3j
    @selemanimohammedi-n3j 11 місяців тому

    Osika unavutaga bangi

  • @ElizaphaniMajura
    @ElizaphaniMajura 11 місяців тому

    Ety tutaktana nao kaliua

  • @RamadhanYusufu-lj3hu
    @RamadhanYusufu-lj3hu 4 місяці тому

    feitoto anajuasoka awempole. kakakatu😂😆😃😄🤣

  • @jbdellijunior
    @jbdellijunior 11 місяців тому

    Hakuna mchambuzi hapa 😂 wote wanasiasa za mpira

  • @KadabraGadna-xu5ez
    @KadabraGadna-xu5ez 11 місяців тому

    Mchambuzi huyu fala sana basi ww peleka vyeti uwe kocha wa timu ya taifa mbona ww huingiliwi kwenye taaluma yk Oscar ww msenge

  • @jonasafumwisye6357
    @jonasafumwisye6357 11 місяців тому

    Oscar wewe ni Kati ya wachambuzi hovyo kabisa wa Soka, nani alikuambia Feisal ni lazima aitwe stars, Magoli unayosema kazifunga Timu zipi? Mwambieni aoneshe consistency arejeshe kiwango siyo kupiga debe

  • @guccij6236
    @guccij6236 11 місяців тому

    😂Baba levo

  • @asifznz
    @asifznz 11 місяців тому

    Mpira ni magoli 😂😂😂wacha uongo wewe kasema pele mpira magoli

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 11 місяців тому

    HUYO CHAWA BABA LEVO KAZI KULETA FIKRA ZA KITOPOLO TU HAPO STUDIO.😤

  • @BakariRashid-s7o
    @BakariRashid-s7o 3 місяці тому

    Mpira magoli

  • @frankkatima607
    @frankkatima607 11 місяців тому

    Ukiwa hujavuta bangi unaongea vitu vya maana ila ukishavutia chooni sasa unaongea unavyojua wewe

  • @mariammbwana9018
    @mariammbwana9018 11 місяців тому

    Oscar sio mchambuzi yule sira na yule beki wa kulia wa azam ndio walikuwa mwiba mchungu kwa Yanga

  • @mastermacheni932
    @mastermacheni932 11 місяців тому

    Kipindi kinakufa kwa wajinga wachache