Yanga 2-1 Simba | Highlights | Ngao ya Jamii 13/08/2022
Вставка
- Опубліковано 12 сер 2022
- KARIAKOO DERBY: Yanga wametwaa #NgaoYajamii kwa mara ya pili mfululizo wakiwafunga Simba kwenye #KariakooDerby iliyopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Magoli yote mawili ya Yanga yamefungwa na Fiston Mayele dakika ya 50 na 81 baada ya Simba kutangulia kwa goli la Pape Ousman Sakho.
Haya hapa magoli yote.... - Спорт
Wale Wana yanga wenzangu ambao tumekuwa kama walevi wa hii mechi Kila siku tunatazama gongeni like
😆 😂 atarii sana
Tena yanga tamu
Much love.
Anaejikumbushia kama Mimi 2024 gonga like hapa
Tupo wengi
TULIO RUDIA 2023 gonga like💛💚
Wananchi woteeh tunaongalia mechi hii mwaka 2023 ..Kama unaamin yanga bingwa mwaka huu gonga like 💯
8fiuui
Safiii8 30/1/23
Aise yani hii mech had raha
💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚mpaka2050🤣🤣
Imani ipo ubingwa lazma
2023 wana Dar Young African naomba like zenu
Anayeangalia 2023😂😂😂 kuja kupunguza stress
Its him again😂😂😂
Tupo uku
Yanga...a stress free street
Mambo
Tupooo 😅
Ukuta wa Yeriko atimaye umekua ukuta wa mabua, Wananchi naombeni mnipe like tano tu za Pacome na Max Nzengeli, Sawa
Yani nimeona Leo tena nirudie kuangalia hii mech maana natamani irudiweeeeh tena nipeni like zangu wananchi❤
I really admire Tanzania soccer....much love from kenya🇰🇪
Swa kaka
Ur welcome
Pamoja
Anayeangalia Leo naomba like tujuane kuwa Bado tunaipenda yanga
Mm apa kila siku lazma nije niangalie
Unyama sana mwanangu wananchii
Hii mechi kila siku naitazama
Yanga mi
jamani itaniuwa kwa raha
Tuko pamoja
Anaeangalia leo tar 3 January 2024 gonga like
Anayeangalia hii mechi leo tena naomba tujuane wanayanga wenzangu kwa kulike tu
Mm😂
😂yanga bwana
Amaya hapa
Mimi naangalia tena pia
Tupo wengi wana yanga
I'm A young African fan From Kenya, I love tanzanian football.
Karibu Sana kaka
💚💛
You are welcome brother.
Hii mech kama unastress then ukaja kuichek unajiona kama upo mawinguni 💚
Me yanga
kwa kweli
Kweli kabisa
Usije ifunga yanga kipindi cha kwanz aukajiona umewamaliza mda wowote wanakuadhibu
Mm nairudia rudia kila siku😂😂😂
Wangapi tumekuja kumuaga king mayere tujuane kwa like 😢😢
Jaman tujuane asiyechoka kuangalia hii mechi wananchi naomba like zenu tujuane
Respect to Tanzanian fans! Your love and support for your local football is a great lesson that you teach us!👌🏿
From côte d'ivoire 🇨🇮💪🏿
Thanks
Raoul thank you for your appreciation!
Welcome to Tanzania 🇹🇿
One love brother
Thanks Raoul for your appreciation on us Tanzanian
You are welcome brother🙏🙏🤔
Best league in East Africa,the beautiful game 🇹🇿⚽❤️.... Congrats Yanga🏆🎊🎉,no racism ⚽🇰🇪
Thanks.Our country has no room for racism,that is how we are raised since we are kids
Neither racism nor tribalism, you just come, join any football team, show your talent, ilimradi usivunje sheria za nchi. You will enjoy your peaceful stay.
Wananchi tujuane ambao bado tunaagalia hii mechi
hii mechi inaendelea kuwa mechi bora kwa mwaka 2022
Anaye irudilia hii tujuane 😊
Mimi kila siku nikilala nikiamka naangaliaga hii mechi yaan Raha Sana Kama mechi iliyochezwa leo
Kama unaicheki mechi hii kila wiki gonga like 👍 👌 tujuane #yanga sc 1935
2023 bado tunaangalia hili derby tujuane
Mi naiangalia saivi
Naitizama sada hivi
Hii gemu hawatoisahau kolo💯😀😀😀
Mm naanglia sasa ivi
Fiston Mayele..Sitakusahau maishani mwangu...Nitakupenda daima mpka kifo
Kweli tupo pamoja
To be honest guys Tanzanian football ⚽️ is flying very high.
I'm enjoying watching each and everyday.
Thank you so much azam 📺
what a game of football man! The atmosphere is out of this world. congratulations my team yanga and all the best. Rooting for you guys to bring the big trophy(CAFCL) home this season. Am from kenya.
In Shaa Allah All the best in your election Chris 👍
insha'Allah
Amen
Sichoki kuitazama hii video wallah yanga tamuuuuu💚💚💛💛💛
Naipenda sana yangaa hii mechi haichoshiii kuangaliaaa
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Aliyemuona Moloko akibeba kiti tujuane kwa like😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣n kibendera juu juuu
Sio moloko ni Aziz k
@@tyatawelubrayton5861 he mwanangu yule c moloko hebu rudi tena uangalie vizuri
Mm nimemuona
Moloko
These 2 teams saving african football ⚽️, best derby in Africa right now.
Kama Bado Leo hii unacheki hii mechi mwananchi 🔰💚💛 nipe likes kama zote
Bado tunaongalia 2023 naomba like 👍 zenu
kila cku naangalia hii mechi... Young super
Tupo wengi maaan a inavutia wallah
Tupo wengi kwakwel
Yani ukiona sijaangalia ujue Sina bando
Binafsi inanitoa stress
Mimi pia
Tanzania football is next level sending love from Congo
Yeah so much vibe in here
2023 wangapi tumeangalia likes za KUTOSHA HAPA
Leo tr22 January Bado natizama naona kama tumecheza Leo kua yanga raha sana
tunaorudia highlights tujuane now
Tupo hapa nairudia kila siku
Wananchi tugonge like one trending for UA-cam 🖤💛💚💚💛💛
Hii mechi kabla ya kulala naangalia mala mbili na wakati wa kuamka naangalia mala mbili pia, Amina
😂😂😂😂
😅😅😅🤜
🤣🤣🤣
Nami hii kila muda nikiboeka na enjoyy❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kila siku lazima nije hapa kuuona ushindi wa Yanga yangu,moyo wangu unasuuzika,daima mbele💛💚
jmn😂😂😂😂😂
Kabisa ilove you yanga mwaaaaaaaaa 💚💚
I am a Kenyan who watches the leagues in europe because ours is a joke. that untill i found out about tanzania and theirl love for this sport. i am amazed and envious kudos on the develpoment you have had.
True
100percent true very competitive March
They love you and their team
All the best king mayele hakika makolo awatakusahau mwananchi gonga like apa kwa heshima ya mayele
Ndo nimemaliza kuiangalia hapa kwa mara ya Kumi leo. 12.01.2023💚💚💚💚💚💚
niko hapa leo saa 4
Yanga daima mbele nyuma mwiko 💚💛💚💛💚💛💚
Daaahh!!! Alhamdulillah YANGA mmejua kutupaa rahaa hongerenii chama kubwaa💚💛💚💚🔥🔥🔥
Shikamoo wananchi asante kwa kututandikia hao wanaojiita Singida Big stars.. salamu ziwafikie dodoma jiji zabibu tutazila na mvinyo tutakunywa..
Yanga tamu jaman gonga like apo Kama we mwana nchiiiiii
Wangapi bado wanaangalia hii mechi tujuane
Mimi apa
Mm mwenyew naangalia
Aim
Here ☝️☝️
meh 🤣🤣
Hivi nimimi pekeyngu ndo narudia rudia kuiangalia hii video au tukowengi??🤣🤣🤣
😂😂😂
Na mm
tuko wengi sana ila makolo wanaipita tu
Tuko wengi mweee
@@jafaromar3749 🤣🤣🤣
Yanga bhn 2023 bado tunacheki hii mechi
Sakho alijiona mfalme sana ila hii game ilikuwa tamu sana natizama leo januar 8 2023
Shukran kuu kwa Mungu….pongezi nyingi kwa wachezaji wetu na benchi zima…ahsante kwa kututhamin mashabiki🙏🏽🥰🔥🔥
Super mecz, fajne kluby. Pozdrawiam z Polski 🇵🇱🇹🇿
anayeangalia 2024
Yaan siwezi isahau hii mech love you yangaa😊😊
Nani mwingine yupo hapa kurudia kuchk match ya Derby kama mm hahhaha 👍 hapo
Mm hapa mara nyingituuu
Nacheka tu hapa leo daaa
Piga makolo hao
Sichok kumuanglia moloko na kiti chake
@@alexwailod5589 numbel
Hongera timu yangu young African
Jmn leo ni trh 20/12/2022 niko nangalia tn hii mechi was so🔥🔥🔥
Hahaha ilikuwa ni noma sana
Nipo apa natoa mawazo
Fiston kalala mayele ni mmoja the King 👑👑🔥🔥💪💪
Fact
Tanzania's football is really growing unlike ours in Kenya. 🇹🇿 is really investing in this
I love Tanzanian youth and Sudanese Mars♥♥🇸🇩🇹🇿
Almerrikh best club in East Africa
@@salihalash4111 wake up wake up don’t slip
Inaninogea kila siku jamani🔥🔥💚💚🔰🔰
Tunabeba tena 2023 daima mbele nyuma mwiko
Wana nchi lek zenu kwa mfamle kalala mayeleer💚💚💚💛
Hii mechi leo ni mara ya 1000 naiangalia..Haiishi utamu.Raha sna ukiwa yanga
Tuko wengi
Mayele mungu akuongezee umri mana siku ile nilipata furaha isio elezeka namuomba mungu ijirudie tena inshaallah panapo uhai na majaaliwa
Tunaorudia june 2024😀 weka ❤
Hatutoacha wapumzike
Mpaka waseme
Yaan hii siku nilishangilia sana 💚💚💚 nakupenda yanga
Yaaani ilikuwa Raha sta sahau ilove you yanga mwaaaaaaaaa
Jamani hii sio poa inamvutoo💚💛🔥🔥🔥
Leo ni mara yangu ya 92 kuangalia hii mechi
Tupo wengi
31/1/2023💚💚💚💛💛💛 Yanga SC I love you tujuane apa jamn
Oyooooooo usingizi umekata nikaamia huku
YANGA is my favorite team 🧡💛💚 I love this team soooo much,much respect to YANGA management & players as whole BUT FISTON KALALA MAYERE I just say Salute he deserve to be congratulated
Yanga oyeeeeeeeeee 💚💛💚💛💚💚game hii nikitazama najisikia tu maraha 💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚
Yeah maraha tu yanga African daima mbele nyuma mwiko 💚💛💚💛💚💛💚
Umeonae huwaga naingalia kila siku nikiweka bando
Atuchokii😂😂😂😂😂🚶♀️
Asikwambie mtu yanga tam💚💛💚💛
Nikiwa na stress huwa nakuja kurudia kuangalia hii match💛💚. Makoloo pita hukuu🚶
Hadi mimi
Ebanaeeeeh nmerudia tena Leo kuangalia tuko wangap 😂😂
Naringa jmn,mungu zidi kuwabariki wachezaji wote na benchi lote Amina
Me sichokii jamn na kuangliaa hii yanga🤣🤣🤣🤣yan hii siku nilkuaa na homa🤣🤣ila mayl jamn alijuaa kutupa raha team ynga💛💚💛💛💛mob love from +254
Anaye rudia kuangalia leo like nyingi tujuwane
Haha 😂 tupo
Atar
Noma sana
Yaani hii ni video Yang pendwa❣️
MAKOLO mlisema Aziz key tumempa Ela nying vp tumoungezeeeaa or inatoshaaaa🤣😂😂😂
Mm pia naangalia hii mechi bila kuchoka. Mungu ibariki Young African Mungu ibariki Tanzania ili tufike mbali kwenye mashindano ya Africa. Pia naiombea Young African ktk mechi ya kimataifa dhidi ya AL Hillary tupate ushindi wa kusonga mbele Kimataifa. Mm nina amini Young Africa kwa uwezo alio kuwa nao km akipita hatua hii basi maajabu ya kufika mbali zaidi kuliko timu yeyote apa Tanzania yatatokea. I LOVE YOU YOUNG AFRICAN NA CLUB ZOTE ZA TANZANIA KIMATAIFA.
Mechii kalii sanaa hii ad leo nairudia rudia dabi kwang huwa kama sherehe💚💛
Its 2023 💛💚 am here to watch this match again
Nzur san
SISI NDIO YANGA💛💚ALHMDHULILLAH ALLAH AMEJBU DUA ZANGU🙏🙏🙏🙏
Hakika AAA yeye ndio mueza Kwa yote
Chezea yang wewe ,
hili lingao waliliremba kwa kuwaandalia makolo na tukalibeka yanga raha sana
Nipo nashangilia goli la pili Leo tr 28/06/2023
Kama vile tupo live💚💛💚💛💚💛💚💛
Oya mzee,me ndo niko apa nacheki mzee,Simba wanafanya ujinga ule ule kama wa ile siku😅,watafungwa awa ujue😢
Kabisa
Hahaha
Hii yanga siji kuixahau kamwee katika maishayanguuu
😂😂😂 yan faulo ya Feisal kila nikiiangalia nacheka maksud kabsa hizo ndio mbinu za kivita ,,Yanga forever💚💛
Yaani hata mimi nacheka kweli😂
Hapa ndio Tulianza Kupiga MABOMU MOCHWARI 😂 😂😂
R.I.P MOCHWARI YA MSIMBAZI...🥺😁😁😁
Sijawahi pata like jaman nawaomba sana
😊😅😮😢
Hivi ni mimi tu narudia rudia leo terehe 25/06 2023
tuko wengi sana tunaokua tunaludia kuangalia.
Leo tarehe 26/09/2022 bado naangalia mabingwa wa kihistoria what a Comeback
Tuko pamoj
Mm mwenyewe leo tarehe 4 mwez was kumi Bado naangalia tu hii mechi
Mm mwenyewe leo ni 15/11/2022
The Return Of Champions ... This Is Yanga💚💚💪
Hapo Hakuna jezi NYEUSI ILA NI UFUNDI TU
2023
Mechi yangu Bora Huwa sichoki kuitizama na Ile ya FA na costal union😋
Ile FA sitaki hata kuitazama nilisoma tasbii mpk basi
@@user-po8hz7xw9j nlizimia mm ile siku uwanjani nkaeka historia
@@hijabyfinest8524 duu pole aisee
Aziz K nifundi sana 🔥🔥🔥⚽️
Kama unaludia hiii mech leo tena naomba lak
Yaani katika mechi ambazo huwa napenda kuzirudia kuangalia hii ni namba moja 😂
Nimeiangalia tena💚💛😁
😂😂tupo wengi