KILIMO BORA CHA MAHINDI tumia mbegu za DK kutok Agricpays Tanzania
Вставка
- Опубліковано 13 сер 2022
- KILIMO BORA CHA MAHINDI uanze na uchaguzi sahihi wa mbegu bora za mahindi
DK777 (SABA SABA)
(Mbegu ya Ukanda wa Kati Na Juu (Mvua za wastani na mvua nyingi)
SIFA
-Hukomaa kati ya siku 130-150
-Inakupa gunia 40-44 kwa ekari (tani 8-10/ekari)
-Huzaa mbili mbili (mapacha) -Inastahimili ugonjwa wa mnyauko wa mahindi
-Ina punje ngumu hivyo hufaa kukoboa
-Mimea Imara, haianguki ovyo shambani
-hukomaa kwa pamoja
mbegu ya mahindi dk 9089
mbegu za mahindi aina ya dk 8031
mbegu ya mahindi aina ya dk 777
mbegu ya mahindi aina ya pioneer
heka moja ya mahindi inatoa gunia ngapi
Agricpays Tanzania - DK777 (SABA SABA)
DK 777. Kampuni ya Mbegu ya Bayer. Life Science Tanzania Ltd. Mpunga. Arize 6444 Gold. Aina hizo mpya za mbegu zitaanza kuzalishwa na makampuni ...
Kampuni ya Uzalishaji wa Mbegu ya Monsanto imezindua mbegu mpya aina ya DK 777 ,ambayo ina uwezo mkubwa wa kustahimili ugonjwa wa Mnyauko wa Mahindi uliowasumbua wakulima wengi hususan katika kanda ya Kaskazini na kusababisha wakulima kukosa mazao .
KILIMO CHA MAHINDI.MBEGU BORA ZA AINA ZA MAHINDI (CP 201,SEEDCO 513 NA DK 8031)
#mkulimasmart
#shambadarasa
FAHAMU AINA 5 ZA MBEGU CHOTARA ZA MAHINDI
Hatua 12 za kuzingatia ili kupata mbegu bora ya mahindi
MBEGU ZA DK
Ni mbegu gani za mahindi zinafanya vizuri katika mkoa wako?
Kwa Tabora ni dk ngapi inafaa
Dodo sehem gan wapendwa
SOKO LA NDUGAI
Niko lindisfarne napataje dk
Mimi npo Tanga wilaya yalushoto kunasehemunataka npande hayamahind hiyosehemu niyakitivo inaubichi Sana ntumie mbegu gani inayovumilia ubichi
Mkoa wa pwani DK gani
Mtu anaweza kupata mbegu kivipi
Je viuagugu vinafaa badala ya palizi la jembe
Mimi naitwa ZEPHANIA KALIMANZILA.NIMKAZI WA WILAYA BUHIGWE KIGOMA.NATAMANI KUPATA MBEGU ZA MAHINDI DK777,YA MWAKA 2023,PIA NAOMBA KUJUA BEI NA NIJINSI GANI MBEGU HIZO NIZIPATE MWISHO WA MWEZI HUU.NAOMBA UNISAIDIE NAHITAJI KG,4.ASANTE.
Je Mimi Niko mkoa wa shinyanga nitumie dk namba gapi
Nipo katavi mbegi ipi Kat ya hizo
Mkoa ruvuma wilaya ya namtumbo mbegu gam
Naomba kujua kwa wilaya ya Handeni, Mkoani Tanga, ni mbegu ipi inafaa zaidi
DK 777
@@shambadarasaTV Thank you
Naomba kujua bei yake
Pw
Mtu anaweza kupata mbegu kivipi