KILIMO CHA MAHARAGE: UPANDAJI, MBOLEA NA UTUNZAJI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 жов 2024
  • Kilimo cha maharage kinalipa. Zingatia kanuni bora za kilimo hasa kwenye matumizi ya mbolea

КОМЕНТАРІ •

  • @ezekieljob8679
    @ezekieljob8679 10 місяців тому +1

    Asante Kwa maelekezo Mazuri sana ninaswali namna ya kuweka mbolea ya matunda maana umesema unaziweka zote Kwa pamoja ya kupandia na kuzalishia zote tatu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 місяців тому

      Na za matunda utakua umeweka pale pale. Maharage ni zao la muda mfupi saana ndugu so itafanya tu Kaz Wala ucjali

    • @ezekieljob8679
      @ezekieljob8679 9 місяців тому +1

      Asante sana ndugu nimekuelewa

  • @FazawaTanga
    @FazawaTanga 2 місяці тому +2

    assant kwa somo zur swar je kwa eka moja mbolea kiasi gani niweke

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 місяці тому

      Mfuko mmoja na nusu Hadi 2 utegemea na njia upandaji

  • @anellyilomo2799
    @anellyilomo2799 3 роки тому +5

    Asante kwa somo Zuri nmelielewa sana, naomba kuuliza katika shimo Moja unaweka Mbegu ngapi za maharage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому +2

      Tunashukuru kwa ushirikiano wako bt katika shimo ni mbegu 1 hadi 2 .
      Barikiwa🙏🙏🙏

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 2 роки тому +1

      Kwa uzoefu wangu na utaalamu ni vema kuweka mbegu 2 katika shimo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Pamoja🤝

    • @JohnJohn-sb5lv
      @JohnJohn-sb5lv Рік тому +1

      Somo la leo ni zuri sana Niko pa1 nanyi had mwisho wa kipind

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Barikiwa Sana ndugu

  • @MdabuloDispensary
    @MdabuloDispensary Місяць тому +1

    Nashukuru kwa somo zuriii sana, naomba kuuliza inatakiwa kupanda punje ngapi za maharage?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Місяць тому

      Mbili mbili Hadi 3 hutegemea ubora WA mbegu

  • @rosesesala9131
    @rosesesala9131 Рік тому +1

    Asante sanaa Kaka angu ,,mungu akubariki sanaa

  • @JacksonMwangi-bf8bz
    @JacksonMwangi-bf8bz Рік тому +1

    Asante Kwa SoMo nzuri Mimi nmepanda Kwa kurusha natayali yameota naomba kuuliza vp naweza kurusha mborea ya dapu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Hapana tumia Mbolea za kwenye majani

  • @ezebiuskoni8321
    @ezebiuskoni8321 Рік тому +1

    Asante kwasomo rako sas minikama umeniacha nyuma kido Koo inatakiwa upande vyote kwawakati mmoja marage uchanganye namborea uwezi kuweka mborea wakati marake yameotaa arafu ukatumia mborea mojaa tuu can kunatatizo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Maharage ni zao la muda mfupi Sana. Ukipanda uje UWEKE mbolea apo lazima utaachana na ukuaji. Pia mbolea za Chumvi izi zitaunguza mche wako. Ndyo maaana kama mbolea tutatumia za maji yaaani booster. Ivyo ni vizur uchanganye mbolea na uo ni uzoefu ndugu

    • @ezebiuskoni8321
      @ezebiuskoni8321 Рік тому +1

      @@AGALUSTV saw Koo zamaji unaweza kutumia naizo nikama zipii

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Ndugu yangu majina ni mengi Sana ya mbolea sasa naona Kama tutakuchanganya tu. Ni vizur ukaenda duka LA Pembe jeo lililo karibu nalo atakupa alizo nazo maana zipo za matunda, majani n. K

  • @devothakiwola6461
    @devothakiwola6461 9 місяців тому +1

    Tqfadhal naomba kujua tarehe nzuri za kuanza kupandaa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 місяців тому +1

      Utegemea na eneo ulilopo maaana Hali ya hewa hutofautiana eneo moja na lingine

    • @devothakiwola6461
      @devothakiwola6461 9 місяців тому +1

      @@AGALUSTV iringa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 місяців тому

      Apo uliza wenyeji mara nyingi uwa tuna panda mvua zinapo enda kuisha

  • @Truth4lite
    @Truth4lite 3 роки тому +3

    Asante, very beneficial.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому +1

      Pa 1 bt kama hujasubscribe naomba ufanye ivyo usipitwe na masomo yajayo

  • @LimbuMasunga-ds2tj
    @LimbuMasunga-ds2tj 5 місяців тому +1

    Nashukuru kwa somo zuri,lakini naomba kujua namna ya kutambua magonjwa kwenye maharage na mazaoengine pia

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 місяці тому

      Video ya magonjwa kwenye maharage na dawa zake
      ua-cam.com/video/KDz9T3DhAKg/v-deo.html

  • @odethaneema
    @odethaneema 3 місяці тому +1

    Waoo nimependa mnavoreply kwa kila mmoja mmoja,,mbarikiwe mnoo,, sorry namm niko na swal kdg et,, vip mbegu n lazima ninunue kwenye maduka ya kilimo au hata mbegu za nyumbni zaweza kutumika na mavuno yakawa mengi??? Asant nasubiria jibu lako

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 місяці тому +1

      Si lazima. Mbegu Ata izo za sokoni AU nyumbani, ila ziwe nene yaani umbo kubwa, zile ndogo ndogo hazifai kwa mbegu, yaani chambua vizur, pia ziwe zimekauka vizuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 місяці тому

      Si lazima. Mbegu Ata izo za sokoni AU nyumbani, ila ziwe nene yaani umbo kubwa, zile ndogo ndogo hazifai kwa mbegu, yaani chambua vizur, pia ziwe zimekauka vizuri

  • @janemgimba2168
    @janemgimba2168 Рік тому +1

    Barikiwa kwa maelekezo

  • @peterndella9536
    @peterndella9536 Рік тому +1

    Asante sana kwa somo

  • @FRANSIscoJASTNI
    @FRANSIscoJASTNI Місяць тому +1

    Asnte san mimi ni Franc nipo Mkowa warukwa wilay yankas naomba kuuliza naona yamepandwa kwamistar sas hiy mistar upan wamstr namstr ni sm ngap?

    • @FRANSIscoJASTNI
      @FRANSIscoJASTNI Місяць тому +1

      Pia nakuhu dawa zakupulizia maharage yasiathilike nahatua zake. Nap naomba maelekezo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Місяць тому

      Sm 15 shimo na shimo na sm 30 mstari kwa mstari

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Місяць тому

      Dawa zipo nyingi aina tofaut kulingana na wadudu, na za ukungu. Tembelea duka la pembejeo

    • @FRANSIscoJASTNI
      @FRANSIscoJASTNI Місяць тому

      Asante

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Місяць тому

      @FRANSIscoJASTNI tupo pamoja

  • @LizaBiro-u4e
    @LizaBiro-u4e 2 місяці тому +1

    Mbolea huwekwa mara ngap? He yanapotoa maua yanaitaj mbolea? Na niaina gan yambolea?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 місяці тому

      Mbolea ni wkt wa kupanda tu.mbolea zingine uwa zile za maji za kwenye majani.kipindi cha maua hapana maana unaweza pukutisha maua

  • @BetriceLema
    @BetriceLema 5 місяців тому +1

    Mbegu nzuri nitapataje ? Mm Niko Arusha!! je sehrmu za kabuku (Tanga) maharage yatakubali?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 місяців тому

      Mbegu Ata sokoni. Ila YAWE ya mwaka jana. Uko waweza lima

  • @MosesDavid-zo7ui
    @MosesDavid-zo7ui 9 місяців тому +1

    Dawa zinazohitajika katika kilimo cha maharage ambazo unaweza kutumia ?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 місяців тому

      Ni za wadudu na ukungu hizo ndyo muhim

  • @allynaas86
    @allynaas86 3 роки тому +2

    Asante unatoa elimu nzur

  • @lynnharry7359
    @lynnharry7359 Рік тому +1

    Kiasigani cha mbolea ya matunda kinatosha kwenye hecre 1?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Nusu mfuko yaaani 0.5 kg japo Itategemea jinsi ya KIPIMO chako kwa njia ya mistari mbolea hadi mfuko 1 waweza tumika

  • @robertkisiri1273
    @robertkisiri1273 3 роки тому +1

    Asante kwa video nzuri. Ukilima kwa kufuata hatua zote za kitaalamu, mavuno yanaweza kufika gunia ngapi kwa eka moja???

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Gunia 3 hadi 5 ni gunia za debe 6

  • @NoeliaHuseni
    @NoeliaHuseni 6 місяців тому +1

    asanteeeee

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 місяців тому

      Barikiwa sana

  • @hawamkumbwa6490
    @hawamkumbwa6490 3 місяці тому +1

    Naomba kufahamu nafasi za upandaji

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 місяці тому +1

      Sm 15 kwa 15 na sm 40 mistari kwa mistari

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 9 місяців тому +1

    Kilimo cha maharage haswa katavi kuna udongo mzuri sanaa nafikili waliwahi fika katavi watanielewa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 місяців тому

      Hakika sana ndugu

  • @Triphonia-m1q
    @Triphonia-m1q 11 місяців тому +1

    Hekali moja ya shamba la maharage ikitunzwa vema inatoa kilo ngapi?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 місяців тому

      Zaidi ya gunia 15++

  • @januarykiraba1605
    @januarykiraba1605 6 місяців тому +1

    Umbali wa kupanda shina Hadi shina, mstsri hamstari ni centimita ngapi?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 місяців тому

      Sm 15 ni shina kw shin na sm 40 ni mstar kw mstar

  • @winifridalugembe2528
    @winifridalugembe2528 2 роки тому +1

    Je umewahi kutumia mkojo wa sungura kama mbolea na kukinga wadudu?

  • @jdecorations8222
    @jdecorations8222 3 місяці тому +1

    Kwa makadirio heka moja inaweza toa kilograms ngapi za maharage???

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 місяці тому

      Waweza vuna zaidi ya Kg 400

  • @charityezekiel3525
    @charityezekiel3525 3 роки тому +1

    Kwenye shimo moja unaweza kuweka mbegu ngapi??

  • @januarykiraba1605
    @januarykiraba1605 6 місяців тому +2

    Ekari moja inahitaji mbegu kg ngapi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 місяців тому

      Debe 2 ivi uwe nazo

  • @shanimbaraka2600
    @shanimbaraka2600 3 роки тому +2

    Great great somo ,

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪

  • @arenyutenga1052
    @arenyutenga1052 2 роки тому +1

    Jee ni Mbegu ghani ya Maharage iliyozuri kwa kupata mavuno mengi? Jee maharage napaswa kupanda mwezi wangapi na kuvuna mwezi wangapi ??? By Utenga naomba unijibu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Kwa eneo la wapi yaan upo wapi

  • @IddiPetersangwa
    @IddiPetersangwa 2 місяці тому +1

    Naomba kujua kati ya shimo nashimo na inakuaje

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 місяці тому

      Shimo na shimo ni sm 15, na Kati ya mstar na mstar ni sm 40

  • @JafaryMatiasi
    @JafaryMatiasi 4 місяці тому +1

    Naomba kuuliza je naweza kupanda mahalage pamaja namahindi nikapata mavuno mazuli

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 місяці тому

      Hapana Usifanye ivyo

    • @JafaryMatiasi
      @JafaryMatiasi 4 місяці тому

      @@AGALUSTV shimo moja la inafaa kuweka punje ngapi za mahalage

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 2 роки тому +1

    Yani Kaka nawapenda Sanaa bando langu litakua linaisha vizuli

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      🤝😁😁🙏🏿Pamoja ndugu

  • @dhinatsimbano8854
    @dhinatsimbano8854 3 роки тому +1

    Je ardhi inayofaa kwa kilimo cha maharage inaweza kufaa kwa kilimo cha soya?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому +1

      Ndyo inafaa

    • @dhinatsimbano8854
      @dhinatsimbano8854 3 роки тому

      @@AGALUSTV
      Na kipindi cha kuotesha maharage ndo kipindi sahihi cha kuotesha soya? Na je mbolea za maharage ndo hizohizo za soya?

  • @ZaithoonZaithoon-er9gy
    @ZaithoonZaithoon-er9gy 2 місяці тому +2

    Me nko morogoro na sijawah kujiingiza kwny kilimo nahitaji zaid masomo yako je maharage morogoro yanakubari.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 місяці тому

      Yes Tena vizuri tu ndugu

  • @AvillaNaomi
    @AvillaNaomi 11 місяців тому +1

    Je mbolea ya kubebea inawekwa wakati fan?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 місяців тому

      Apo wkt w kupanda

  • @gracebenjaminnapokeakatika9565
    @gracebenjaminnapokeakatika9565 2 роки тому +1

    Samahan naomba ushauri nataka nipande kilimo mseto yaan maharage na alizeti je inawezekana?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Yaaah japo mahindi weka mbali mbali 🙏🙏

  • @muhamuha-6965
    @muhamuha-6965 Рік тому

    Je maharage ya soya yanapatikana kugoma?

  • @jumagide7384
    @jumagide7384 2 роки тому +1

    Je namna ya upandaji wa mbegu upo VP??

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Upandaji na mbolea somo ni hili
      ua-cam.com/video/Dd4ECqyDXK4/v-deo.html

  • @PiusThadeo-li9oe
    @PiusThadeo-li9oe Рік тому +1

    Safi sana

  • @laureenlumumba9819
    @laureenlumumba9819 3 роки тому +1

    Mbolea ya jamii ya keni, no mbolea kama gani hio? Usaidizi hapo kidogo kiswahili imenipitia. From Kenya.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Kwa Tanzania 🇹🇿 ni mbolea ina itwa CAN cjajua kwa uko Kenya 🇰🇪 ndugu

    • @salimLempakany
      @salimLempakany 3 роки тому +1

      Kenya pia ni CAN

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Hatujajua kwa uko ila iyo ni mbolea ya Matunda tusaidiane jina la iyo mbolea kwa uko🙏

  • @samwelgaspar7361
    @samwelgaspar7361 2 роки тому +1

    Asante

  • @MohamedHassan-zs4jx
    @MohamedHassan-zs4jx 3 роки тому +1

    Mm nimexhambanda tayar nina kama wk naweza kuweka mbolea?,na kama uwezo wng mdogo naweza kuweka mbolea moja t ya keni

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Kama ulipanda mbalimbali waweza weka lakini kama ni karibu sana kua makini waweza umguza miche yako

    • @joharijj2164
      @joharijj2164 3 роки тому

      *mohamed* umewahi panda Tena? Je soko lipo?

  • @ElishaDamas
    @ElishaDamas 7 місяців тому +1

    Ikiwa tayar mmea umeota nitumie mblea gan kwa ajili ya mavuno bora

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 місяців тому

      Mbolea y matunda ya majani

  • @joharijj2164
    @joharijj2164 3 роки тому +2

    Je maharagwe yatafanya vizuri maeneo ya bungu, bungu ipo pwani waweza itizama kwa map, halafu soko la maharagwe lipo?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Nashukuru kwa taarifa 🙏🙏

  • @richardmagubika
    @richardmagubika 10 місяців тому +1

    Me na swali umesema tunaweza kuweka mbolea zote kwenye mahalage yaani shimo moja swali langu ni kwamba nawaka mbolea za dokana peke take au nachanganya zote na za asili

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 місяців тому

      Wewe tu kulingana na rutuba ya shamba lako. Kama Unatumia za dukani peke Yake sawa tu

  • @chalaboys175
    @chalaboys175 3 роки тому +1

    Kipimo Cha upandaji cm ngp?

  • @FRANSIscoJASTNI
    @FRANSIscoJASTNI Місяць тому

    Alaf mmesema wakat wakupand tunachanganya mbolea yakupandia nayakubebeshea matunda kwawakati mmoja au tofauttofaut

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Місяць тому

      Ni sahihi ndugu

    • @FRANSIscoJASTNI
      @FRANSIscoJASTNI Місяць тому +1

      Mim bad sijakwelewa hapo yan nachanganya hiyo mbolea kwawakati mmoja.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Місяць тому

      @FRANSIscoJASTNI ndio ndugu

  • @emanueladam7442
    @emanueladam7442 3 роки тому +1

    Naomba kipimo

  • @abrahamsingano5372
    @abrahamsingano5372 2 роки тому +1

    Spacing kati ya mche na mche

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Sm 3/5 mche kw mche kwa sm 15 mstari kwa mstari🙏

  • @HamisFengu-lz7hq
    @HamisFengu-lz7hq 3 місяці тому +1

    Kwa ukunda wa pwani kama wilaya ya kisalawe inafaa kupanda mwezi Gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 місяці тому

      Mvua inaanza kuisha tu ule UNYEVU nyevu. Sasa apo waweza fuatilia ni mwez gani

  • @JosephatSarwat
    @JosephatSarwat 6 місяців тому +1

    Umbali kati ya mstari na mstari halafu shimo na shimo ni ngapi?.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 місяців тому

      Shimo kw shimo sm 15 na kw umbali ni 30 had 40

    • @JosephatSarwat
      @JosephatSarwat 6 місяців тому

      @@AGALUSTV asante

  • @anethluvanga2439
    @anethluvanga2439 Рік тому +1

    Shimo moja unaweka mbegu ngapi za mahalage?

  • @kapasimoses98
    @kapasimoses98 2 роки тому +1

    Je? Mbolea za booster za kupinga kwenye majani za resho ya 19:19 10 Npk

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      , apo Sasa twende tu dukani ndugu🙏

  • @ElishaDamas
    @ElishaDamas 7 місяців тому +1

    Ni mbolea gan ya matunda kwa maharage inafaa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 місяців тому

      YA, CHUMVI CHUMVI AU YA MAJI KWENYE MAJANI

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 місяці тому

      Mbolea za maji jinsi ya kuchagua
      ua-cam.com/video/iDKZc0-mO2I/v-deo.html

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 місяці тому

      Mbolea za maji zote
      ua-cam.com/video/iDKZc0-mO2I/v-deo.html

  • @mumberematsundo5780
    @mumberematsundo5780 2 роки тому +1

    Jambo Mimi ni mkulima inchini Congo mupakani n'a Uganda hatuna mbolea uku

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Okay poleni sana Tuzid wasiliana

  • @hereethswai4351
    @hereethswai4351 3 роки тому +1

    Naomba namba zako za whtsap

  • @PeterKhamis-b4y
    @PeterKhamis-b4y Рік тому +1

    Je unaweza kutumia mbolea ya samadi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Iwe ya kuku AU nguruwe. Maaana Samad ya ng'ombe Inachelewa kufanya Kaz wkt maharage yanakua kwa haraka sana

  • @DiraMedadi
    @DiraMedadi 4 місяці тому +1

    Naomba kujua mbegu za maharage ambazo ni zenye mavuno bora nazpataje

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 місяці тому

      Maduka ya pembejeo

    • @SubuMpate
      @SubuMpate 4 місяці тому

      Mie natakakupanda maharage kwakuanda vituta .nifahamishwe umbali wa tuta natuta

  • @hamzaalawy6694
    @hamzaalawy6694 2 роки тому +1

    Suala langu: kwa hali ya hewa Zanzibar inawezekana kilimo cha maharege?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Inawezekana tu🙏🤝

    • @hamzaalawy6694
      @hamzaalawy6694 2 роки тому +1

      @@AGALUSTV nashukuru
      Na kipindi gani kinaweza kuwa bora kwa upandaji wa maharage huku kwetu Zanzibar?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Mmmmh kwa uko ngoja tuzid kufutilia maana sisi tupo mbeya 🙏

  • @jakobmjungu177
    @jakobmjungu177 3 роки тому +1

    Je ukiotesha maharage ndo ukaweka mbolea inakuwaje?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Kwa mbolea za kupiga kwenye majani unaweza fanya. Ivyo ila kwa zile za chumvi chumvi unaweka zote kwenye mashimo na mbegu

  • @petertemu957
    @petertemu957 2 роки тому +1

    Good idea for agriculture

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Your welcome

    • @victorodhiambo5757
      @victorodhiambo5757 Рік тому +1

      @@AGALUSTV mbegu gani nzuri ambapo Ina chukua muda fupi,sehemu yenye vua chache

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Mfano mikoa ipi

    • @hadiazuberi4961
      @hadiazuberi4961 11 місяців тому +1

      @@AGALUSTV kaka naomba kuuliza shamba lenye.harithi.ya.mchanga.linafa.kulima maharage?.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 місяців тому

      Linafaa TU .ni huduma TU

  • @issasalingo3473
    @issasalingo3473 2 роки тому +1

    Mbolea za maji je?

  • @petertemu957
    @petertemu957 2 роки тому +1

    Naomba kujua kama eneo la tarime litafaa kwa ajili ya maharage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Yes linafaa tu ni huduma tu

  • @mugabemigani7484
    @mugabemigani7484 Рік тому +1

    Katika kila shimo unaweka mbegu ngapi na kutoka shina moja kwenda jingine ni umbali gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Mbegu 1/2 umbali ni sm 15/15 ni shimo kw shimo na 40 AU 60 mtari kwa mstar

  • @hussenmishamo1963
    @hussenmishamo1963 3 роки тому +1

    Mbengu gan nzur za mahalage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Zote nzuri hutegemea na uhitaji wa soko lako . soko lako wanapenda aina gani ya maharge

  • @tukaiadventures3782
    @tukaiadventures3782 3 роки тому +1

    Je urea inafaa kukorogea kwenye maji alafu utumie kwa Bomba kunyunyuzia shambani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Inafaa japo c njia nzuri. Ni vizur ukatumia mboles za maji

  • @MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df
    @MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df 11 місяців тому +1

    Je udongo ukiwa mwekudu unaweza kutumaia mbolea gani vile

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 місяців тому

      Udongo haupimwi kwa rangi yake. Ukiitaji kupima udongo na Aina y mbolea Muone mtaalam wa Kilimo aliye karibu nawe

  • @AnnamarryMpete
    @AnnamarryMpete 7 місяців тому +1

    Umbali wakupana na ni weke punje ngapi kwa kila shimo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 місяців тому

      Sm 15 kwa 40

  • @witnessbonaventura8755
    @witnessbonaventura8755 3 роки тому +1

    Naomba kujua mbolea hizo zoteyaani ya kupandia na ya matunda zote kwa pamoja

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Yes kwa pamoja maana maharage yana chukua siku 3 tu kuanza kuota hivyo mbolea inabid iwepo mapema

  • @WiliamObedi-mv3fr
    @WiliamObedi-mv3fr Рік тому +1

    niaina gan ya mbegu inatoa mavuno kwa wingi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Mbegu zote ni nzuri hutegemea na eneo na matunzo yako

  • @YUSTERDISMAS-m1d
    @YUSTERDISMAS-m1d 13 днів тому +1

    Heka 1 unapanda kilongp za maharage

  • @bornifacecharles2
    @bornifacecharles2 Рік тому +1

    Je kuchanganya mahind na maharage
    wanaita kilimo mseto inatakiwa upande kwa mahindi yakiwa na mtu gani

  • @stevenmbilinyi4526
    @stevenmbilinyi4526 3 роки тому +1

    Je Mimi nalima kwenye harizi ya kichanga manyara je harizi I inakubali maharage na kitaka kupima udogo napeleka wapi kuupima

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Tumekujibu kwenye swali lako la awali

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Tumekujibu kwenye swali lako la awali

  • @samwelimzimu3251
    @samwelimzimu3251 2 роки тому +1

    Heka moja ya maharage unapata gunia ngapi?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      10+ japo hutegemea vitu vingi sana

    • @samwelimzimu3251
      @samwelimzimu3251 2 роки тому +1

      Nashukuru sana, je nimaharage gani ambayo yanasoko sana na yanapendwa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Soya

  • @AudaxDaniel-x6s
    @AudaxDaniel-x6s Рік тому +1

    Mbolea gani inatumika kuzalisha maua kwenye zao la maharage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Mbolea kama CAN ni nzuri kwa matunda,pia zipo mbolea ZA MAJI NYINGI TU KWA AJIRI ZA MAUA Na mtunda

  • @suzanmgaya7460
    @suzanmgaya7460 2 роки тому +2

    Hapo kwenye mbolea ya kuku nakubali mwamba duh yaani shina moja unaweza toa kilo moja

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Oooh sawa sawa Tupo pa1🙏🏿👏🤝

  • @bairesmchape376
    @bairesmchape376 3 роки тому +1

    Napima vp udongo ili kujua aina ya mbolea inayoitajika?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Kuna senta zipo kw ajir y kaz iyo lakini wasiliana na mtalaam wa kilimo w karibu nawe🙏

  • @jafarijuma7376
    @jafarijuma7376 6 місяців тому +1

    Mbole unaweka weka je maana watu wengine wanasema usichanganye mbolea na mbegu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 місяців тому

      Kwa maharage haina shida. Mbona mahindi tunaweka

  • @isayahilary1446
    @isayahilary1446 3 роки тому +1

    Hekamoja mbegu kiasi gani? Na mavuno kiasi gani kwaheka

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Fuatilia somo hili👇 mtaji na faida ktk heka 1
      ua-cam.com/video/VUrDSBs_QCY/v-deo.html

  • @driftdumper8927
    @driftdumper8927 3 роки тому +2

    Heka moja unahitaji kg ngapi za mbegu ya maharage!?

    • @emanueladamayubu9940
      @emanueladamayubu9940 3 роки тому

      Uongo

    • @dr.njipaysophon3209
      @dr.njipaysophon3209 3 роки тому +2

      @@emanueladamayubu9940 ukisema uongo ni vizuri utoe jibu sahihi kama huna pita hivi

    • @R.Dickon
      @R.Dickon 3 роки тому +1

      @@AGALUSTV mkuu Mimi nimepanda heka 1 ni Debe 3

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Sawa tu Hutegemea urushaji wa mbegu ukirusha karibu karibu utatumia debe nyingi

    • @R.Dickon
      @R.Dickon 3 роки тому

      @@AGALUSTV yes, nimefanya hivyo ili kupata magunia mengi

  • @uamshosikuzamwisho
    @uamshosikuzamwisho 7 місяців тому +1

    Tunaomba kujua vipimo kiasi gani Cha mbolea wakati wa kuchanganya kati ya Dap na can

  • @oriethkimaro333
    @oriethkimaro333 Рік тому +1

    Nashukuru kwa somo hili naomba kuuliza Dawa za wadudu au simu nawakati ngani Natalie's nipigie swali la pili nilipiga Dawa ya majani yasiote shambani nikiisha panda ilinipalilie je inaleta madhara ? Kukwepa gharama

    • @oriethkimaro333
      @oriethkimaro333 Рік тому +1

      Wakati gani nipige sumu yakiwa na majani magapi?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Mara utakapoona wadudu wameanza mara nyingi wiki ya pili

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Dawa za magugu hazina madhara

  • @VenanceMwakijale-br4vn
    @VenanceMwakijale-br4vn 2 місяці тому

    Katika hili naomba maelekezo maeneo yakisalawe

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 місяці тому

      Ulimaji ni ule ule ndugu fuatilia maelekezo vizur na ukayatumie ktk eneo lako

  • @MosesMitimingi
    @MosesMitimingi Рік тому +1

    Endapo ukifuata kanun vizur mapato yake yanakuwaje lakn nataka kujua juu ya matumiz ya viwatilifu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Fuatilia video hii apa mchanganuo wote Mtaji na faida ndani yake
      ua-cam.com/video/VUrDSBs_QCY/v-deo.html

  • @jacksonbasenile-nu8bf
    @jacksonbasenile-nu8bf Рік тому +1

    Ogera sana

  • @monysulloo5904
    @monysulloo5904 Рік тому +1

    Samahani kaka,nikiwa nitapanda maharage Yale ya njano mwezi huu was kumi na moja katikati yataiva VIZURI

  • @imeldanashon6347
    @imeldanashon6347 3 роки тому +1

    Vp naomba kujua mbolea ya n, gombe yanafaa naomba mwenyekujua anjb jmn

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Inafaa japo iwe imevunda vizuri🙏

  • @revocatusmartine7159
    @revocatusmartine7159 7 місяців тому +1

    Mbole aina ya DAP na CAN ukishachanganya unaweka kiasi gani katika shimo la mbegu moja na pia kwa shimo la mbegu mbili

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 місяців тому

      Kifuniko cha maji/soda

  • @emanueladam7442
    @emanueladam7442 3 роки тому +1

    Ni kipimo gani cha mbolea kili shimo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Kisoda 1 kwa mbolea za kisasa mikono miwili

  • @AlienVoice_tz
    @AlienVoice_tz 7 місяців тому +1

    He kwa Dar es Salaam naweza kulima maharage

  • @ellykibale190
    @ellykibale190 3 роки тому

    Somo zuri,umesema samadi ya kuku ni nzuri zaidi..
    Nimewahi kusikia samadi ya kuku ni kali sana,Je Ni kweli? Kwamba unahitaji kuipunguza makali?
    Naomba kujua namna ya kuitumia samadi ya kuku na Kama Ni kweli mpaka uipunguze makali,Je unaipunguzaje?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому +1

      Thnx. Bt samadi ya kuku inatakiwa itolewe kwenye mfuko kama ni mbichi ikae wazi ipumue kwa muda kdogo ata mwezi ivi apo ukali utapungua

    • @ellykibale190
      @ellykibale190 3 роки тому +1

      @@AGALUSTV
      Asante

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Pa 1

  • @robertnyelele9896
    @robertnyelele9896 Рік тому +1

    hekamoja ya mahalange unaweza kutoa.junia ngap

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Utegemea vitu vingi ndugu

  • @joharijj2164
    @joharijj2164 3 роки тому +1

    Khaaa nguruwe Tena? Wataka tulishwe haramu jamani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Aaaah. Sory Ndugu Ila si unajua kwenye Elimu tena🙏🙏

  • @DanielMwaikusa
    @DanielMwaikusa 9 місяців тому +2

    Hakuna mbolea za maji unaZoweza kuzitumia Kwa Kupulizia kwenye majani ya maharage kama hukutumia mbolea hapo awali

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 місяців тому +1

      Zipo ndugu cha msingi tembelea duka LA Pembe jeo WATAKUPA walizo nazo

    • @NoeliaHuseni
      @NoeliaHuseni 6 місяців тому +1

      Ni kama zipi mtaalam​@@AGALUSTV

    • @elizabethasajile9380
      @elizabethasajile9380 3 місяці тому +1

      sema huzijui ruhusu ubongo wako ujifunze

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 місяці тому

      Sawa ndugu Elizabeth Asajile ila sababu si ivyo unavyo FIKIRIA. Sababu kubwa ni za kibiashara.....TUKIANZA kutaja majina ya mbolea umu tutakua tunafanya matangazo ya iyo mbolea. Nafikiri umetuelewa vizuri ndio maana tunajiepusha na Hilo kwa kuwa waambia watu watembelee dukani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 місяці тому

      Zipo kwa ajiri Ya matunda, kukuzia na za kupandia. Pia zipo zinazo fanya Kaz zote 3 apo. Kwa msaada zaidi tembelea duka LA pembejeo na Umwambie unahitaji mbolea ya maji kwa ajiri Ya kazi gani

  • @PaulMatelega-b7e
    @PaulMatelega-b7e Рік тому +1

    Wakati una weka mbolea pamoja na mbegu unatakiwa kuweka mbolea kiasi gani kwenye shimo mfano dap

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Kifuniko 1 cha maji AU soda AU juice

  • @karimjuma7442
    @karimjuma7442 Рік тому +1

    Mbolea nishingap

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Aina gani ya mbolea ndugu

  • @djredtiger1088
    @djredtiger1088 2 роки тому +1

    Kipatochakekwahekamoja ni kipi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Mchanganuo wa mtaji na faida yake👇🙏 fuatilia somo hili
      ua-cam.com/video/VUrDSBs_QCY/v-deo.html

  • @fadhilitweve7305
    @fadhilitweve7305 3 роки тому +1

    Naomba kuuliza hizo mbolea nachanganya kwa ratio gani (ya matunda na ya kawaida)

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому +1

      Kupandia kg 50. Matunda kg25 na kuku zia kg 12.5

    • @richardmsuya2645
      @richardmsuya2645 2 роки тому +1

      @@AGALUSTV hizi zote tatu zinawekwa wakati wakupanda?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Ndyo zinachanganywa ndudu 🙏

    • @richardmsuya2645
      @richardmsuya2645 2 роки тому +1

      Ahsante kwa somo zuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому +1

      Pa1🙏🤝