Asante Kwa maelekezo Mazuri sana ninaswali namna ya kuweka mbolea ya matunda maana umesema unaziweka zote Kwa pamoja ya kupandia na kuzalishia zote tatu
Maharage ni zao la muda mfupi Sana. Ukipanda uje UWEKE mbolea apo lazima utaachana na ukuaji. Pia mbolea za Chumvi izi zitaunguza mche wako. Ndyo maaana kama mbolea tutatumia za maji yaaani booster. Ivyo ni vizur uchanganye mbolea na uo ni uzoefu ndugu
Ndugu yangu majina ni mengi Sana ya mbolea sasa naona Kama tutakuchanganya tu. Ni vizur ukaenda duka LA Pembe jeo lililo karibu nalo atakupa alizo nazo maana zipo za matunda, majani n. K
Jee ni Mbegu ghani ya Maharage iliyozuri kwa kupata mavuno mengi? Jee maharage napaswa kupanda mwezi wangapi na kuvuna mwezi wangapi ??? By Utenga naomba unijibu
Me na swali umesema tunaweza kuweka mbolea zote kwenye mahalage yaani shimo moja swali langu ni kwamba nawaka mbolea za dokana peke take au nachanganya zote na za asili
@@AGALUSTV kuna kipindi kile wanakamata kamata wacheza pool ilipendeza sana wangeandaliwa mashamba yanayohodhiwa na wanakijiji bila kuyaendeleza hata kwa kilimo wapewe hawa wasiokua na kazi wayalime. Hivyo kwakua hawakuwafanyia hivyo tungefikiriwa wengine wenye nia ya dhati ya kulima kwa condition ya misimu si chini ya mitatu palimwe mbona tanzania tungelisha mataifa ya nnje
Mbolea za chumvi chumvi zina tabia za kuunguza miche Ni vzuri kuoandia zote au kama utaweka baadae kua makini weka kw kiwango kidogo na uweke mbali na mche kdogo miche isiungue
Unavyo tumia njia y kuchora mistar uwa tunakadiria tu bt mstar kw mstar sm 30 adi 40 shimo kw shimo apa hatupigi mashimo uwa tunarusha mbegu 2 au 1 kw kadirio la umbali sm 2 adi 5
Apo jitahidi kuwasiliana na Afisa Kilimo wa eneo ulilopo maarufu kama bwana shamba. Zipo center zinazopima udogo. Maana hatuna uzoefu na mazingira uliyopo
Somo zuri,umesema samadi ya kuku ni nzuri zaidi.. Nimewahi kusikia samadi ya kuku ni kali sana,Je Ni kweli? Kwamba unahitaji kuipunguza makali? Naomba kujua namna ya kuitumia samadi ya kuku na Kama Ni kweli mpaka uipunguze makali,Je unaipunguzaje?
Naomba kuuliza je naweza kupanda mahalage pamaja namahindi nikapata mavuno mazuli
Hapana Usifanye ivyo
@@AGALUSTV shimo moja la inafaa kuweka punje ngapi za mahalage
Asante kwa somo Zuri nmelielewa sana, naomba kuuliza katika shimo Moja unaweka Mbegu ngapi za maharage
Tunashukuru kwa ushirikiano wako bt katika shimo ni mbegu 1 hadi 2 .
Barikiwa🙏🙏🙏
Kwa uzoefu wangu na utaalamu ni vema kuweka mbegu 2 katika shimo
Pamoja🤝
Somo la leo ni zuri sana Niko pa1 nanyi had mwisho wa kipind
Barikiwa Sana ndugu
Asante sanaa Kaka angu ,,mungu akubariki sanaa
Amina ndugu 🙏🏿
Nashukuru kwa somo zuri,lakini naomba kujua namna ya kutambua magonjwa kwenye maharage na mazaoengine pia
Video ya magonjwa kwenye maharage na dawa zake
ua-cam.com/video/KDz9T3DhAKg/v-deo.html
Asante Kwa maelekezo Mazuri sana ninaswali namna ya kuweka mbolea ya matunda maana umesema unaziweka zote Kwa pamoja ya kupandia na kuzalishia zote tatu
Na za matunda utakua umeweka pale pale. Maharage ni zao la muda mfupi saana ndugu so itafanya tu Kaz Wala ucjali
Asante sana ndugu nimekuelewa
Asante, very beneficial.
Pa 1 bt kama hujasubscribe naomba ufanye ivyo usipitwe na masomo yajayo
Asante sana kwa somo
Barikiwa pia
Kilimo cha maharage haswa katavi kuna udongo mzuri sanaa nafikili waliwahi fika katavi watanielewa
Hakika sana ndugu
Naomba kujua mbegu za maharage ambazo ni zenye mavuno bora nazpataje
Maduka ya pembejeo
Mie natakakupanda maharage kwakuanda vituta .nifahamishwe umbali wa tuta natuta
Asante unatoa elimu nzur
Pamoja bro
Great great somo ,
🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪
Barikiwa kwa maelekezo
Amina ndugu nawe pia
Tqfadhal naomba kujua tarehe nzuri za kuanza kupandaa
Utegemea na eneo ulilopo maaana Hali ya hewa hutofautiana eneo moja na lingine
@@AGALUSTV iringa
Apo uliza wenyeji mara nyingi uwa tuna panda mvua zinapo enda kuisha
Ekari moja inahitaji mbegu kg ngapi
Debe 2 ivi uwe nazo
Asante kwasomo rako sas minikama umeniacha nyuma kido Koo inatakiwa upande vyote kwawakati mmoja marage uchanganye namborea uwezi kuweka mborea wakati marake yameotaa arafu ukatumia mborea mojaa tuu can kunatatizo
Maharage ni zao la muda mfupi Sana. Ukipanda uje UWEKE mbolea apo lazima utaachana na ukuaji. Pia mbolea za Chumvi izi zitaunguza mche wako. Ndyo maaana kama mbolea tutatumia za maji yaaani booster. Ivyo ni vizur uchanganye mbolea na uo ni uzoefu ndugu
@@AGALUSTV saw Koo zamaji unaweza kutumia naizo nikama zipii
Ndugu yangu majina ni mengi Sana ya mbolea sasa naona Kama tutakuchanganya tu. Ni vizur ukaenda duka LA Pembe jeo lililo karibu nalo atakupa alizo nazo maana zipo za matunda, majani n. K
Mbegu nzuri nitapataje ? Mm Niko Arusha!! je sehrmu za kabuku (Tanga) maharage yatakubali?
Mbegu Ata sokoni. Ila YAWE ya mwaka jana. Uko waweza lima
Asante Kwa SoMo nzuri Mimi nmepanda Kwa kurusha natayali yameota naomba kuuliza vp naweza kurusha mborea ya dapu
Hapana tumia Mbolea za kwenye majani
Yani Kaka nawapenda Sanaa bando langu litakua linaisha vizuli
🤝😁😁🙏🏿Pamoja ndugu
Umbali wa kupanda shina Hadi shina, mstsri hamstari ni centimita ngapi?
Sm 15 ni shina kw shin na sm 40 ni mstar kw mstar
Jambo Mimi ni mkulima inchini Congo mupakani n'a Uganda hatuna mbolea uku
Okay poleni sana Tuzid wasiliana
Good idea for agriculture
Your welcome
@@AGALUSTV mbegu gani nzuri ambapo Ina chukua muda fupi,sehemu yenye vua chache
Mfano mikoa ipi
@@AGALUSTV kaka naomba kuuliza shamba lenye.harithi.ya.mchanga.linafa.kulima maharage?.
Linafaa TU .ni huduma TU
Safi sana
Tupo pamoja ndugu
Nimbengu gan ambayo inaweza kunipa faida
Mbegu zipo nyingi ndugu. Tembelea tu duka la pembejeo
asanteeeee
Barikiwa sana
Asante
Barikiwa sana
Naomba kujua mbolea hizo zoteyaani ya kupandia na ya matunda zote kwa pamoja
Yes kwa pamoja maana maharage yana chukua siku 3 tu kuanza kuota hivyo mbolea inabid iwepo mapema
Ikiwa tayar mmea umeota nitumie mblea gan kwa ajili ya mavuno bora
Mbolea y matunda ya majani
Hapo kwenye mbolea ya kuku nakubali mwamba duh yaani shina moja unaweza toa kilo moja
Oooh sawa sawa Tupo pa1🙏🏿👏🤝
Naomba kujua kama eneo la tarime litafaa kwa ajili ya maharage
Yes linafaa tu ni huduma tu
Je unaweza kutumia mbolea ya samadi
Iwe ya kuku AU nguruwe. Maaana Samad ya ng'ombe Inachelewa kufanya Kaz wkt maharage yanakua kwa haraka sana
Mbole unaweka weka je maana watu wengine wanasema usichanganye mbolea na mbegu
Kwa maharage haina shida. Mbona mahindi tunaweka
Umbali wakupana na ni weke punje ngapi kwa kila shimo
Sm 15 kwa 40
Ni mbolea gan ya matunda kwa maharage inafaa
YA, CHUMVI CHUMVI AU YA MAJI KWENYE MAJANI
Mbolea za maji jinsi ya kuchagua
ua-cam.com/video/iDKZc0-mO2I/v-deo.html
Mbolea za maji zote
ua-cam.com/video/iDKZc0-mO2I/v-deo.html
Ogera sana
Barikiwa pia
Mbolea gani inatumika kuzalisha maua kwenye zao la maharage
Mbolea kama CAN ni nzuri kwa matunda,pia zipo mbolea ZA MAJI NYINGI TU KWA AJIRI ZA MAUA Na mtunda
Dawa zinazohitajika katika kilimo cha maharage ambazo unaweza kutumia ?
Ni za wadudu na ukungu hizo ndyo muhim
Katika kila shimo unaweka mbegu ngapi na kutoka shina moja kwenda jingine ni umbali gani
Mbegu 1/2 umbali ni sm 15/15 ni shimo kw shimo na 40 AU 60 mtari kwa mstar
Naomba kipimo
Sm 10 kwa sm 50
Tunaomba kujua vipimo kiasi gani Cha mbolea wakati wa kuchanganya kati ya Dap na can
1:1
Kiasigani cha mbolea ya matunda kinatosha kwenye hecre 1?
Nusu mfuko yaaani 0.5 kg japo Itategemea jinsi ya KIPIMO chako kwa njia ya mistari mbolea hadi mfuko 1 waweza tumika
He kwa Dar es Salaam naweza kulima maharage
Ndio waweza
Vp naomba kujua mbolea ya n, gombe yanafaa naomba mwenyekujua anjb jmn
Inafaa japo iwe imevunda vizuri🙏
Je maharagwe yatafanya vizuri maeneo ya bungu, bungu ipo pwani waweza itizama kwa map, halafu soko la maharagwe lipo?
Nashukuru kwa taarifa 🙏🙏
hekamoja ya mahalange unaweza kutoa.junia ngap
Utegemea vitu vingi ndugu
Jee ni Mbegu ghani ya Maharage iliyozuri kwa kupata mavuno mengi? Jee maharage napaswa kupanda mwezi wangapi na kuvuna mwezi wangapi ??? By Utenga naomba unijibu
Kwa eneo la wapi yaan upo wapi
Je udongo ukiwa mwekudu unaweza kutumaia mbolea gani vile
Udongo haupimwi kwa rangi yake. Ukiitaji kupima udongo na Aina y mbolea Muone mtaalam wa Kilimo aliye karibu nawe
Ni kipimo gani cha mbolea kili shimo
Kisoda 1 kwa mbolea za kisasa mikono miwili
Hekali moja ya shamba la maharage ikitunzwa vema inatoa kilo ngapi?
Zaidi ya gunia 15++
Je umewahi kutumia mkojo wa sungura kama mbolea na kukinga wadudu?
Yes ndugu
niaina gan ya mbegu inatoa mavuno kwa wingi
Mbegu zote ni nzuri hutegemea na eneo na matunzo yako
Kwenye shimo moja unaweza kuweka mbegu ngapi??
Mbegu 2 tu
Me na swali umesema tunaweza kuweka mbolea zote kwenye mahalage yaani shimo moja swali langu ni kwamba nawaka mbolea za dokana peke take au nachanganya zote na za asili
Wewe tu kulingana na rutuba ya shamba lako. Kama Unatumia za dukani peke Yake sawa tu
Asante kwa video nzuri. Ukilima kwa kufuata hatua zote za kitaalamu, mavuno yanaweza kufika gunia ngapi kwa eka moja???
Gunia 3 hadi 5 ni gunia za debe 6
Spacing kati ya mche na mche
Sm 3/5 mche kw mche kwa sm 15 mstari kwa mstari🙏
Hivi hekarr moja ya maharage inatoa kipato cha kiasi gani
Debe 15 had 30
Shina na shina na msita kwa msitali kiss gani?
15 shina kw shina na 30 AU 40 mstar kw mstar
Je ardhi inayofaa kwa kilimo cha maharage inaweza kufaa kwa kilimo cha soya?
Ndyo inafaa
@@AGALUSTV
Na kipindi cha kuotesha maharage ndo kipindi sahihi cha kuotesha soya? Na je mbolea za maharage ndo hizohizo za soya?
Samahan naomba ushauri nataka nipande kilimo mseto yaan maharage na alizeti je inawezekana?
Yaaah japo mahindi weka mbali mbali 🙏🙏
Nimependa naomba kujua backup ya Serikali inatusaidiaje wannachi tuweze kuingia shambani
Sijajua
@@AGALUSTV kuna kipindi kile wanakamata kamata wacheza pool ilipendeza sana wangeandaliwa mashamba yanayohodhiwa na wanakijiji bila kuyaendeleza hata kwa kilimo wapewe hawa wasiokua na kazi wayalime. Hivyo kwakua hawakuwafanyia hivyo tungefikiriwa wengine wenye nia ya dhati ya kulima kwa condition ya misimu si chini ya mitatu palimwe mbona tanzania tungelisha mataifa ya nnje
Ni kweli kabisa
Mbengu gan nzur za mahalage
Zote nzuri hutegemea na uhitaji wa soko lako . soko lako wanapenda aina gani ya maharge
Je mbolea ya kubebea inawekwa wakati fan?
Apo wkt w kupanda
Je? Mbolea za booster za kupinga kwenye majani za resho ya 19:19 10 Npk
, apo Sasa twende tu dukani ndugu🙏
Hakuna mbolea za maji unaZoweza kuzitumia Kwa Kupulizia kwenye majani ya maharage kama hukutumia mbolea hapo awali
Zipo ndugu
Ni kama zipi mtaalam@@AGALUSTV
Samahani naweza nikapanda maharage halafu mbolea nikaweka baada ya zao kuota au kuna madhara
Mbolea za chumvi chumvi zina tabia za kuunguza miche
Ni vzuri kuoandia zote au kama utaweka baadae kua makini weka kw kiwango kidogo na uweke mbali na mche kdogo miche isiungue
Samahan ndg je hekal moja unaweza ukapata gunia ngap kitaalamu
Kwa mazingira mengi kiuzoefu ni Kati ya 7 hadi 12 za debe 6 pia wa weza pata hata zaidi ya 15, japo hutegemea vitu vingi
Je namna ya upandaji wa mbegu upo VP??
Upandaji na mbolea somo ni hili
ua-cam.com/video/Dd4ECqyDXK4/v-deo.html
Nifahamishe umbali kati ya shimo hadi shimo na mstari hadi mstari
Unavyo tumia njia y kuchora mistar uwa tunakadiria tu bt mstar kw mstar sm 30 adi 40 shimo kw shimo apa hatupigi mashimo uwa tunarusha mbegu 2 au 1 kw kadirio la umbali sm 2 adi 5
Kama tutapanda kwa mstari hivyo. Je mbolea zinazo takiwa tutaweka kwa mfumo gani?
Endapo ukifuata kanun vizur mapato yake yanakuwaje lakn nataka kujua juu ya matumiz ya viwatilifu
Fuatilia video hii apa mchanganuo wote Mtaji na faida ndani yake
ua-cam.com/video/VUrDSBs_QCY/v-deo.html
Mbole aina ya DAP na CAN ukishachanganya unaweka kiasi gani katika shimo la mbegu moja na pia kwa shimo la mbegu mbili
Kifuniko cha maji/soda
Mbolea ya jamii ya keni, no mbolea kama gani hio? Usaidizi hapo kidogo kiswahili imenipitia. From Kenya.
Kwa Tanzania 🇹🇿 ni mbolea ina itwa CAN cjajua kwa uko Kenya 🇰🇪 ndugu
Kenya pia ni CAN
Hatujajua kwa uko ila iyo ni mbolea ya Matunda tusaidiane jina la iyo mbolea kwa uko🙏
Mbolea nishingap
Aina gani ya mbolea ndugu
Umbali kati ya mstari na mstari halafu shimo na shimo ni ngapi?.
Shimo kw shimo sm 15 na kw umbali ni 30 had 40
@@AGALUSTV asante
Mm nimexhambanda tayar nina kama wk naweza kuweka mbolea?,na kama uwezo wng mdogo naweza kuweka mbolea moja t ya keni
Kama ulipanda mbalimbali waweza weka lakini kama ni karibu sana kua makini waweza umguza miche yako
*mohamed* umewahi panda Tena? Je soko lipo?
Je urea inafaa kukorogea kwenye maji alafu utumie kwa Bomba kunyunyuzia shambani?
Inafaa japo c njia nzuri. Ni vizur ukatumia mboles za maji
Naomba namba zako za whtsap
0765467484
Je ukiotesha maharage ndo ukaweka mbolea inakuwaje?
Kwa mbolea za kupiga kwenye majani unaweza fanya. Ivyo ila kwa zile za chumvi chumvi unaweka zote kwenye mashimo na mbegu
Kipatochakekwahekamoja ni kipi
Mchanganuo wa mtaji na faida yake👇🙏 fuatilia somo hili
ua-cam.com/video/VUrDSBs_QCY/v-deo.html
Kwahiyi minjingu ndo sahihi
Hutegemea na eneo yaani Aina ya udongo C kila sehemu utumika iyo. Kwa hiyo angalia eneo lako mbolea ipi utumika kupandia
Shimo moja unaweka mbegu ngapi za mahalage?
2
Napima vp udongo ili kujua aina ya mbolea inayoitajika?
Kuna senta zipo kw ajir y kaz iyo lakini wasiliana na mtalaam wa kilimo w karibu nawe🙏
Ekari moja inaweza kutoa magunia mangapi ya kilo 100
@@AGALUSTV Acha masihara mjomba
🤝🤝🤝🤝
2/3 nikias kidogo sana nawakati sisi tunalima bila utaalm wowote tunapata gunia 5/6 we mtihan
Ata mimi nililima Hekari moja Nkapata Gunia 7 na sijaweka mbolea@@yusufusudusudu3173
Wakati una weka mbolea pamoja na mbegu unatakiwa kuweka mbolea kiasi gani kwenye shimo mfano dap
Kifuniko 1 cha maji AU soda AU juice
Khaaa nguruwe Tena? Wataka tulishwe haramu jamani
Aaaah. Sory Ndugu Ila si unajua kwenye Elimu tena🙏🙏
Je maharage ya soya yanapatikana kugoma?
Ngoja tuulize zaidi
Je Mimi nalima kwenye harizi ya kichanga manyara je harizi I inakubali maharage na kitaka kupima udogo napeleka wapi kuupima
Tumekujibu kwenye swali lako la awali
Tumekujibu kwenye swali lako la awali
Naomba kuuliza hizo mbolea nachanganya kwa ratio gani (ya matunda na ya kawaida)
Kupandia kg 50. Matunda kg25 na kuku zia kg 12.5
@@AGALUSTV hizi zote tatu zinawekwa wakati wakupanda?
Ndyo zinachanganywa ndudu 🙏
Ahsante kwa somo zuri
Pa1🙏🤝
Suala langu: kwa hali ya hewa Zanzibar inawezekana kilimo cha maharege?
Inawezekana tu🙏🤝
@@AGALUSTV nashukuru
Na kipindi gani kinaweza kuwa bora kwa upandaji wa maharage huku kwetu Zanzibar?
Mmmmh kwa uko ngoja tuzid kufutilia maana sisi tupo mbeya 🙏
Hekamoja mbegu kiasi gani? Na mavuno kiasi gani kwaheka
Fuatilia somo hili👇 mtaji na faida ktk heka 1
ua-cam.com/video/VUrDSBs_QCY/v-deo.html
Inachukua mda gan toka kupanda hadi kuvuna
Miez 4
@@AGALUSTV xawa xhukran
Pa 1
Mbolea za maji je?
Unapiga
Napeleka wapi udongo Kwa jili ya kupima Niko mbuyu wa mjerumani manyara babati
Apo jitahidi kuwasiliana na Afisa Kilimo wa eneo ulilopo maarufu kama bwana shamba. Zipo center zinazopima udogo. Maana hatuna uzoefu na mazingira uliyopo
Kwa wilaya ya NJOMBE ni kijiji gani wanalima zao la maharage
Kiukweli kwa uko hatufahamu ngoja tuzidi kufutilia Kujua zaidi
Mmea kama umeshaota mbolea ya dap unaweza kuweka imbali gani
Mmea ukiwa umeota DAP haitumiki tena
Fada yakitunguu maji
,ni tiba ya minyoo japo kw kiasi kdogo wakipewa
Tafadhali elezea ukulima ya maharage ya Aina ya Jesca. Mavuno yake inakuaje na inavunwa baada ya miezi mingapi?
🙏🙏🙏🙏
Heka moja ya maharagwe Una uwezo wa kuvuna gunia ngapi endapo utazingatia hatua zote
10, hadi 13
10 had 13 mara 3 had 5 za debe sita kipi n kip?
Ndugu izo ni idadi za gunia Kuna kadirio la chini kabisa....
Mbolea za maharage umesema zinawekwa zote wakati wa kupanda yaani samadi ya kuku, npk na CAN. Ni kwa kipimo gani??
Apo sasa hutegemea na ukubwa wa shamba ndugu lako ila Kuna somo letu Kuhusu bajet ya kilimo cha maharage itakusadia pia
Nilimaanisha kipimo kwenye kila shimo yaani CAN gram ngapi, NPK gram ngapi na hiyo samadi ya kuku
Kifuniko 1 cha soda AU maji kwa kila shimo
Heka 1 ya maharage ikitunzwa vixuri inatia gunia ngapi
Ngunia 6 hadi 10 au zaidi kwa ngunia la debe 6
Somo zuri,umesema samadi ya kuku ni nzuri zaidi..
Nimewahi kusikia samadi ya kuku ni kali sana,Je Ni kweli? Kwamba unahitaji kuipunguza makali?
Naomba kujua namna ya kuitumia samadi ya kuku na Kama Ni kweli mpaka uipunguze makali,Je unaipunguzaje?
Thnx. Bt samadi ya kuku inatakiwa itolewe kwenye mfuko kama ni mbichi ikae wazi ipumue kwa muda kdogo ata mwezi ivi apo ukali utapungua
@@AGALUSTV
Asante
Pa 1
Kipimo Cha upandaji cm ngp?
Sm13/15 kwa sm 60/70
Haya ahsante!
Je ni dawa zipi zinaweza kunisaidia kwa palizi na jinsi ya kutumia
Hatujakupa vzuri ndugu palizi kwenye maharage unaulizia dawa za palizi au kwa mazao mengine?
Ni kwa palizi ya mahalage
mmmh apo ndugu kwa mimi uwa natumia vijembe vidogo kupalilia na kutifulia ctumiiagi dawa bt tuzid kujifunza zaid tutapata jibu🙏🙏