KILIMO CHA MAHARAGE: UPANDAJI, MBOLEA NA UTUNZAJI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 лис 2020
  • Kilimo cha maharage kinalipa. Zingatia kanuni bora za kilimo hasa kwenye matumizi ya mbolea

КОМЕНТАРІ • 298

  • @JafaryMatiasi
    @JafaryMatiasi 23 дні тому +1

    Naomba kuuliza je naweza kupanda mahalage pamaja namahindi nikapata mavuno mazuli

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  23 дні тому

      Hapana Usifanye ivyo

    • @JafaryMatiasi
      @JafaryMatiasi 23 дні тому

      @@AGALUSTV shimo moja la inafaa kuweka punje ngapi za mahalage

  • @anellyilomo2799
    @anellyilomo2799 3 роки тому +5

    Asante kwa somo Zuri nmelielewa sana, naomba kuuliza katika shimo Moja unaweka Mbegu ngapi za maharage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому +2

      Tunashukuru kwa ushirikiano wako bt katika shimo ni mbegu 1 hadi 2 .
      Barikiwa🙏🙏🙏

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 Рік тому +1

      Kwa uzoefu wangu na utaalamu ni vema kuweka mbegu 2 katika shimo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Pamoja🤝

    • @JohnJohn-sb5lv
      @JohnJohn-sb5lv Рік тому +1

      Somo la leo ni zuri sana Niko pa1 nanyi had mwisho wa kipind

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Barikiwa Sana ndugu

  • @rosesesala9131
    @rosesesala9131 Рік тому +1

    Asante sanaa Kaka angu ,,mungu akubariki sanaa

  • @LimbuMasunga-ds2tj
    @LimbuMasunga-ds2tj 29 днів тому +1

    Nashukuru kwa somo zuri,lakini naomba kujua namna ya kutambua magonjwa kwenye maharage na mazaoengine pia

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  28 днів тому

      Video ya magonjwa kwenye maharage na dawa zake
      ua-cam.com/video/KDz9T3DhAKg/v-deo.html

  • @ezekieljob8679
    @ezekieljob8679 5 місяців тому +1

    Asante Kwa maelekezo Mazuri sana ninaswali namna ya kuweka mbolea ya matunda maana umesema unaziweka zote Kwa pamoja ya kupandia na kuzalishia zote tatu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 місяців тому

      Na za matunda utakua umeweka pale pale. Maharage ni zao la muda mfupi saana ndugu so itafanya tu Kaz Wala ucjali

    • @ezekieljob8679
      @ezekieljob8679 5 місяців тому +1

      Asante sana ndugu nimekuelewa

  • @Truth4lite
    @Truth4lite 3 роки тому +3

    Asante, very beneficial.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому +1

      Pa 1 bt kama hujasubscribe naomba ufanye ivyo usipitwe na masomo yajayo

  • @peterndella9536
    @peterndella9536 Рік тому +1

    Asante sana kwa somo

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 4 місяці тому +1

    Kilimo cha maharage haswa katavi kuna udongo mzuri sanaa nafikili waliwahi fika katavi watanielewa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 місяці тому

      Hakika sana ndugu

  • @DiraMedadi
    @DiraMedadi 24 дні тому +1

    Naomba kujua mbegu za maharage ambazo ni zenye mavuno bora nazpataje

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  24 дні тому

      Maduka ya pembejeo

    • @user-vt8qq3vj7e
      @user-vt8qq3vj7e 14 днів тому

      Mie natakakupanda maharage kwakuanda vituta .nifahamishwe umbali wa tuta natuta

  • @allynaas86
    @allynaas86 3 роки тому +2

    Asante unatoa elimu nzur

  • @shanimbaraka2600
    @shanimbaraka2600 3 роки тому +2

    Great great somo ,

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪

  • @janemgimba2168
    @janemgimba2168 9 місяців тому +1

    Barikiwa kwa maelekezo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 місяців тому

      Amina ndugu nawe pia

  • @devothakiwola6461
    @devothakiwola6461 5 місяців тому +1

    Tqfadhal naomba kujua tarehe nzuri za kuanza kupandaa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 місяців тому +1

      Utegemea na eneo ulilopo maaana Hali ya hewa hutofautiana eneo moja na lingine

    • @devothakiwola6461
      @devothakiwola6461 5 місяців тому +1

      @@AGALUSTV iringa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 місяців тому

      Apo uliza wenyeji mara nyingi uwa tuna panda mvua zinapo enda kuisha

  • @januarykiraba1605
    @januarykiraba1605 2 місяці тому +1

    Ekari moja inahitaji mbegu kg ngapi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 місяці тому

      Debe 2 ivi uwe nazo

  • @ezebiuskoni8321
    @ezebiuskoni8321 9 місяців тому +1

    Asante kwasomo rako sas minikama umeniacha nyuma kido Koo inatakiwa upande vyote kwawakati mmoja marage uchanganye namborea uwezi kuweka mborea wakati marake yameotaa arafu ukatumia mborea mojaa tuu can kunatatizo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 місяців тому

      Maharage ni zao la muda mfupi Sana. Ukipanda uje UWEKE mbolea apo lazima utaachana na ukuaji. Pia mbolea za Chumvi izi zitaunguza mche wako. Ndyo maaana kama mbolea tutatumia za maji yaaani booster. Ivyo ni vizur uchanganye mbolea na uo ni uzoefu ndugu

    • @ezebiuskoni8321
      @ezebiuskoni8321 9 місяців тому +1

      @@AGALUSTV saw Koo zamaji unaweza kutumia naizo nikama zipii

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 місяців тому

      Ndugu yangu majina ni mengi Sana ya mbolea sasa naona Kama tutakuchanganya tu. Ni vizur ukaenda duka LA Pembe jeo lililo karibu nalo atakupa alizo nazo maana zipo za matunda, majani n. K

  • @user-pv9hq3mi4w
    @user-pv9hq3mi4w Місяць тому +1

    Mbegu nzuri nitapataje ? Mm Niko Arusha!! je sehrmu za kabuku (Tanga) maharage yatakubali?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Місяць тому

      Mbegu Ata sokoni. Ila YAWE ya mwaka jana. Uko waweza lima

  • @JacksonMwangi-bf8bz
    @JacksonMwangi-bf8bz Рік тому +1

    Asante Kwa SoMo nzuri Mimi nmepanda Kwa kurusha natayali yameota naomba kuuliza vp naweza kurusha mborea ya dapu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Hapana tumia Mbolea za kwenye majani

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Рік тому +1

    Yani Kaka nawapenda Sanaa bando langu litakua linaisha vizuli

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      🤝😁😁🙏🏿Pamoja ndugu

  • @januarykiraba1605
    @januarykiraba1605 2 місяці тому +1

    Umbali wa kupanda shina Hadi shina, mstsri hamstari ni centimita ngapi?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 місяці тому

      Sm 15 ni shina kw shin na sm 40 ni mstar kw mstar

  • @mumberematsundo5780
    @mumberematsundo5780 Рік тому +1

    Jambo Mimi ni mkulima inchini Congo mupakani n'a Uganda hatuna mbolea uku

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Okay poleni sana Tuzid wasiliana

  • @petertemu957
    @petertemu957 2 роки тому +1

    Good idea for agriculture

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Your welcome

    • @victorodhiambo5757
      @victorodhiambo5757 Рік тому +1

      @@AGALUSTV mbegu gani nzuri ambapo Ina chukua muda fupi,sehemu yenye vua chache

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Mfano mikoa ipi

    • @hadiazuberi4961
      @hadiazuberi4961 7 місяців тому +1

      @@AGALUSTV kaka naomba kuuliza shamba lenye.harithi.ya.mchanga.linafa.kulima maharage?.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 місяців тому

      Linafaa TU .ni huduma TU

  • @PiusThadeo-li9oe
    @PiusThadeo-li9oe Рік тому +1

    Safi sana

  • @MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df
    @MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df 7 місяців тому +1

    Nimbengu gan ambayo inaweza kunipa faida

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 місяців тому

      Mbegu zipo nyingi ndugu. Tembelea tu duka la pembejeo

  • @user-wp2nt8lc5w
    @user-wp2nt8lc5w 2 місяці тому +1

    asanteeeee

  • @samwelgaspar7361
    @samwelgaspar7361 2 роки тому +1

    Asante

  • @witnessbonaventura8755
    @witnessbonaventura8755 3 роки тому +1

    Naomba kujua mbolea hizo zoteyaani ya kupandia na ya matunda zote kwa pamoja

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Yes kwa pamoja maana maharage yana chukua siku 3 tu kuanza kuota hivyo mbolea inabid iwepo mapema

  • @ElishaDamas
    @ElishaDamas 3 місяці тому +1

    Ikiwa tayar mmea umeota nitumie mblea gan kwa ajili ya mavuno bora

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 місяці тому

      Mbolea y matunda ya majani

  • @suzanmgaya7460
    @suzanmgaya7460 2 роки тому +2

    Hapo kwenye mbolea ya kuku nakubali mwamba duh yaani shina moja unaweza toa kilo moja

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Oooh sawa sawa Tupo pa1🙏🏿👏🤝

  • @petertemu957
    @petertemu957 2 роки тому +1

    Naomba kujua kama eneo la tarime litafaa kwa ajili ya maharage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Yes linafaa tu ni huduma tu

  • @user-fq8dv8fd6v
    @user-fq8dv8fd6v 11 місяців тому +1

    Je unaweza kutumia mbolea ya samadi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 місяців тому

      Iwe ya kuku AU nguruwe. Maaana Samad ya ng'ombe Inachelewa kufanya Kaz wkt maharage yanakua kwa haraka sana

  • @jafarijuma7376
    @jafarijuma7376 2 місяці тому +1

    Mbole unaweka weka je maana watu wengine wanasema usichanganye mbolea na mbegu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 місяці тому

      Kwa maharage haina shida. Mbona mahindi tunaweka

  • @user-dz1tt6gk5z
    @user-dz1tt6gk5z 3 місяці тому +1

    Umbali wakupana na ni weke punje ngapi kwa kila shimo

  • @ElishaDamas
    @ElishaDamas 3 місяці тому +1

    Ni mbolea gan ya matunda kwa maharage inafaa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 місяці тому

      YA, CHUMVI CHUMVI AU YA MAJI KWENYE MAJANI

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  21 день тому

      Mbolea za maji jinsi ya kuchagua
      ua-cam.com/video/iDKZc0-mO2I/v-deo.html

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  21 день тому

      Mbolea za maji zote
      ua-cam.com/video/iDKZc0-mO2I/v-deo.html

  • @jacksonbasenile-nu8bf
    @jacksonbasenile-nu8bf Рік тому +1

    Ogera sana

  • @user-sf6rj9jy5n
    @user-sf6rj9jy5n 11 місяців тому +1

    Mbolea gani inatumika kuzalisha maua kwenye zao la maharage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 місяців тому

      Mbolea kama CAN ni nzuri kwa matunda,pia zipo mbolea ZA MAJI NYINGI TU KWA AJIRI ZA MAUA Na mtunda

  • @MosesDavid-zo7ui
    @MosesDavid-zo7ui 5 місяців тому +1

    Dawa zinazohitajika katika kilimo cha maharage ambazo unaweza kutumia ?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 місяців тому

      Ni za wadudu na ukungu hizo ndyo muhim

  • @mugabemigani7484
    @mugabemigani7484 Рік тому +1

    Katika kila shimo unaweka mbegu ngapi na kutoka shina moja kwenda jingine ni umbali gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Mbegu 1/2 umbali ni sm 15/15 ni shimo kw shimo na 40 AU 60 mtari kwa mstar

  • @emanueladam7442
    @emanueladam7442 2 роки тому +1

    Naomba kipimo

  • @SHUKRANISTAPHORD
    @SHUKRANISTAPHORD 3 місяці тому +1

    Tunaomba kujua vipimo kiasi gani Cha mbolea wakati wa kuchanganya kati ya Dap na can

  • @lynnharry7359
    @lynnharry7359 Рік тому +1

    Kiasigani cha mbolea ya matunda kinatosha kwenye hecre 1?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Nusu mfuko yaaani 0.5 kg japo Itategemea jinsi ya KIPIMO chako kwa njia ya mistari mbolea hadi mfuko 1 waweza tumika

  • @AlienVoice_tz
    @AlienVoice_tz 3 місяці тому +1

    He kwa Dar es Salaam naweza kulima maharage

  • @imeldanashon6347
    @imeldanashon6347 2 роки тому +1

    Vp naomba kujua mbolea ya n, gombe yanafaa naomba mwenyekujua anjb jmn

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Inafaa japo iwe imevunda vizuri🙏

  • @joharijj2164
    @joharijj2164 3 роки тому +2

    Je maharagwe yatafanya vizuri maeneo ya bungu, bungu ipo pwani waweza itizama kwa map, halafu soko la maharagwe lipo?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Nashukuru kwa taarifa 🙏🙏

  • @robertnyelele9896
    @robertnyelele9896 Рік тому +1

    hekamoja ya mahalange unaweza kutoa.junia ngap

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Utegemea vitu vingi ndugu

  • @arenyutenga1052
    @arenyutenga1052 Рік тому +1

    Jee ni Mbegu ghani ya Maharage iliyozuri kwa kupata mavuno mengi? Jee maharage napaswa kupanda mwezi wangapi na kuvuna mwezi wangapi ??? By Utenga naomba unijibu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Kwa eneo la wapi yaan upo wapi

  • @MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df
    @MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df 7 місяців тому +1

    Je udongo ukiwa mwekudu unaweza kutumaia mbolea gani vile

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 місяців тому

      Udongo haupimwi kwa rangi yake. Ukiitaji kupima udongo na Aina y mbolea Muone mtaalam wa Kilimo aliye karibu nawe

  • @emanueladam7442
    @emanueladam7442 2 роки тому +1

    Ni kipimo gani cha mbolea kili shimo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Kisoda 1 kwa mbolea za kisasa mikono miwili

  • @user-fr6ml5pu3h
    @user-fr6ml5pu3h 7 місяців тому +1

    Hekali moja ya shamba la maharage ikitunzwa vema inatoa kilo ngapi?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 місяців тому

      Zaidi ya gunia 15++

  • @winifridalugembe2528
    @winifridalugembe2528 2 роки тому +1

    Je umewahi kutumia mkojo wa sungura kama mbolea na kukinga wadudu?

  • @WiliamObedi-mv3fr
    @WiliamObedi-mv3fr 8 місяців тому +1

    niaina gan ya mbegu inatoa mavuno kwa wingi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 місяців тому

      Mbegu zote ni nzuri hutegemea na eneo na matunzo yako

  • @charityezekiel3525
    @charityezekiel3525 3 роки тому +1

    Kwenye shimo moja unaweza kuweka mbegu ngapi??

  • @user-ut7xd3en6r
    @user-ut7xd3en6r 6 місяців тому +1

    Me na swali umesema tunaweza kuweka mbolea zote kwenye mahalage yaani shimo moja swali langu ni kwamba nawaka mbolea za dokana peke take au nachanganya zote na za asili

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 місяців тому

      Wewe tu kulingana na rutuba ya shamba lako. Kama Unatumia za dukani peke Yake sawa tu

  • @robertkisiri1273
    @robertkisiri1273 3 роки тому +1

    Asante kwa video nzuri. Ukilima kwa kufuata hatua zote za kitaalamu, mavuno yanaweza kufika gunia ngapi kwa eka moja???

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Gunia 3 hadi 5 ni gunia za debe 6

  • @abrahamsingano5372
    @abrahamsingano5372 2 роки тому +1

    Spacing kati ya mche na mche

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Sm 3/5 mche kw mche kwa sm 15 mstari kwa mstari🙏

  • @mwajumayunus419
    @mwajumayunus419 3 роки тому +2

    Hivi hekarr moja ya maharage inatoa kipato cha kiasi gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Debe 15 had 30

    • @stominluvanda4638
      @stominluvanda4638 Рік тому +1

      Shina na shina na msita kwa msitali kiss gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      15 shina kw shina na 30 AU 40 mstar kw mstar

  • @dhinatsimbano8854
    @dhinatsimbano8854 2 роки тому +1

    Je ardhi inayofaa kwa kilimo cha maharage inaweza kufaa kwa kilimo cha soya?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому +1

      Ndyo inafaa

    • @dhinatsimbano8854
      @dhinatsimbano8854 2 роки тому

      @@AGALUSTV
      Na kipindi cha kuotesha maharage ndo kipindi sahihi cha kuotesha soya? Na je mbolea za maharage ndo hizohizo za soya?

  • @gracebenjaminnapokeakatika9565
    @gracebenjaminnapokeakatika9565 2 роки тому +1

    Samahan naomba ushauri nataka nipande kilimo mseto yaan maharage na alizeti je inawezekana?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Yaaah japo mahindi weka mbali mbali 🙏🙏

  • @princebuganzilut2047
    @princebuganzilut2047 3 роки тому +2

    Nimependa naomba kujua backup ya Serikali inatusaidiaje wannachi tuweze kuingia shambani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Sijajua

    • @princebuganzilut2047
      @princebuganzilut2047 3 роки тому +1

      @@AGALUSTV kuna kipindi kile wanakamata kamata wacheza pool ilipendeza sana wangeandaliwa mashamba yanayohodhiwa na wanakijiji bila kuyaendeleza hata kwa kilimo wapewe hawa wasiokua na kazi wayalime. Hivyo kwakua hawakuwafanyia hivyo tungefikiriwa wengine wenye nia ya dhati ya kulima kwa condition ya misimu si chini ya mitatu palimwe mbona tanzania tungelisha mataifa ya nnje

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Ni kweli kabisa

  • @hussenmishamo1963
    @hussenmishamo1963 3 роки тому +1

    Mbengu gan nzur za mahalage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Zote nzuri hutegemea na uhitaji wa soko lako . soko lako wanapenda aina gani ya maharge

  • @user-es7tf7gd3u
    @user-es7tf7gd3u 7 місяців тому +1

    Je mbolea ya kubebea inawekwa wakati fan?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 місяців тому

      Apo wkt w kupanda

  • @kapasimoses98
    @kapasimoses98 2 роки тому +1

    Je? Mbolea za booster za kupinga kwenye majani za resho ya 19:19 10 Npk

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      , apo Sasa twende tu dukani ndugu🙏

  • @user-kn8tc6hk7y
    @user-kn8tc6hk7y 5 місяців тому +2

    Hakuna mbolea za maji unaZoweza kuzitumia Kwa Kupulizia kwenye majani ya maharage kama hukutumia mbolea hapo awali

  • @happytitus8921
    @happytitus8921 3 роки тому +1

    Samahani naweza nikapanda maharage halafu mbolea nikaweka baada ya zao kuota au kuna madhara

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Mbolea za chumvi chumvi zina tabia za kuunguza miche
      Ni vzuri kuoandia zote au kama utaweka baadae kua makini weka kw kiwango kidogo na uweke mbali na mche kdogo miche isiungue

  • @flevouronlinetv133
    @flevouronlinetv133 3 роки тому +1

    Samahan ndg je hekal moja unaweza ukapata gunia ngap kitaalamu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому +1

      Kwa mazingira mengi kiuzoefu ni Kati ya 7 hadi 12 za debe 6 pia wa weza pata hata zaidi ya 15, japo hutegemea vitu vingi

  • @jumagide7384
    @jumagide7384 2 роки тому +1

    Je namna ya upandaji wa mbegu upo VP??

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Upandaji na mbolea somo ni hili
      ua-cam.com/video/Dd4ECqyDXK4/v-deo.html

  • @shabanngonwe4642
    @shabanngonwe4642 3 роки тому +1

    Nifahamishe umbali kati ya shimo hadi shimo na mstari hadi mstari

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому +1

      Unavyo tumia njia y kuchora mistar uwa tunakadiria tu bt mstar kw mstar sm 30 adi 40 shimo kw shimo apa hatupigi mashimo uwa tunarusha mbegu 2 au 1 kw kadirio la umbali sm 2 adi 5

    • @abdallahmzuzuri3527
      @abdallahmzuzuri3527 3 роки тому

      Kama tutapanda kwa mstari hivyo. Je mbolea zinazo takiwa tutaweka kwa mfumo gani?

  • @user-yq4bf9wy1v
    @user-yq4bf9wy1v 8 місяців тому +1

    Endapo ukifuata kanun vizur mapato yake yanakuwaje lakn nataka kujua juu ya matumiz ya viwatilifu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 місяців тому

      Fuatilia video hii apa mchanganuo wote Mtaji na faida ndani yake
      ua-cam.com/video/VUrDSBs_QCY/v-deo.html

  • @revocatusmartine7159
    @revocatusmartine7159 3 місяці тому +1

    Mbole aina ya DAP na CAN ukishachanganya unaweka kiasi gani katika shimo la mbegu moja na pia kwa shimo la mbegu mbili

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 місяці тому

      Kifuniko cha maji/soda

  • @laureenlumumba9819
    @laureenlumumba9819 3 роки тому +1

    Mbolea ya jamii ya keni, no mbolea kama gani hio? Usaidizi hapo kidogo kiswahili imenipitia. From Kenya.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Kwa Tanzania 🇹🇿 ni mbolea ina itwa CAN cjajua kwa uko Kenya 🇰🇪 ndugu

    • @salimLempakany
      @salimLempakany 2 роки тому +1

      Kenya pia ni CAN

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Hatujajua kwa uko ila iyo ni mbolea ya Matunda tusaidiane jina la iyo mbolea kwa uko🙏

  • @karimjuma7442
    @karimjuma7442 Рік тому +1

    Mbolea nishingap

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Aina gani ya mbolea ndugu

  • @JosephatSarwat
    @JosephatSarwat 2 місяці тому +1

    Umbali kati ya mstari na mstari halafu shimo na shimo ni ngapi?.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 місяці тому

      Shimo kw shimo sm 15 na kw umbali ni 30 had 40

    • @JosephatSarwat
      @JosephatSarwat 2 місяці тому

      @@AGALUSTV asante

  • @MohamedHassan-zs4jx
    @MohamedHassan-zs4jx 3 роки тому +1

    Mm nimexhambanda tayar nina kama wk naweza kuweka mbolea?,na kama uwezo wng mdogo naweza kuweka mbolea moja t ya keni

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Kama ulipanda mbalimbali waweza weka lakini kama ni karibu sana kua makini waweza umguza miche yako

    • @joharijj2164
      @joharijj2164 3 роки тому

      *mohamed* umewahi panda Tena? Je soko lipo?

  • @tukaiadventures3782
    @tukaiadventures3782 2 роки тому +1

    Je urea inafaa kukorogea kwenye maji alafu utumie kwa Bomba kunyunyuzia shambani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Inafaa japo c njia nzuri. Ni vizur ukatumia mboles za maji

  • @hereethswai4351
    @hereethswai4351 3 роки тому +1

    Naomba namba zako za whtsap

  • @jakobmjungu177
    @jakobmjungu177 3 роки тому +1

    Je ukiotesha maharage ndo ukaweka mbolea inakuwaje?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Kwa mbolea za kupiga kwenye majani unaweza fanya. Ivyo ila kwa zile za chumvi chumvi unaweka zote kwenye mashimo na mbegu

  • @djredtiger1088
    @djredtiger1088 2 роки тому +1

    Kipatochakekwahekamoja ni kipi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Mchanganuo wa mtaji na faida yake👇🙏 fuatilia somo hili
      ua-cam.com/video/VUrDSBs_QCY/v-deo.html

  • @yothampetro6755
    @yothampetro6755 Рік тому +3

    Kwahiyi minjingu ndo sahihi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Hutegemea na eneo yaani Aina ya udongo C kila sehemu utumika iyo. Kwa hiyo angalia eneo lako mbolea ipi utumika kupandia

  • @anethluvanga2439
    @anethluvanga2439 Рік тому +1

    Shimo moja unaweka mbegu ngapi za mahalage?

  • @bairesmchape376
    @bairesmchape376 3 роки тому +1

    Napima vp udongo ili kujua aina ya mbolea inayoitajika?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Kuna senta zipo kw ajir y kaz iyo lakini wasiliana na mtalaam wa kilimo w karibu nawe🙏

  • @fidelayubu2175
    @fidelayubu2175 3 роки тому +1

    Ekari moja inaweza kutoa magunia mangapi ya kilo 100

    • @ibrahimfarouq8339
      @ibrahimfarouq8339 3 роки тому +1

      @@AGALUSTV Acha masihara mjomba

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      🤝🤝🤝🤝

    • @yusufusudusudu3173
      @yusufusudusudu3173 3 роки тому

      2/3 nikias kidogo sana nawakati sisi tunalima bila utaalm wowote tunapata gunia 5/6 we mtihan

    • @user-mq5ly7kr8x
      @user-mq5ly7kr8x Місяць тому

      Ata mimi nililima Hekari moja Nkapata Gunia 7 na sijaweka mbolea​@@yusufusudusudu3173

  • @user-tq1kt4je4p
    @user-tq1kt4je4p 8 місяців тому +1

    Wakati una weka mbolea pamoja na mbegu unatakiwa kuweka mbolea kiasi gani kwenye shimo mfano dap

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 місяців тому

      Kifuniko 1 cha maji AU soda AU juice

  • @joharijj2164
    @joharijj2164 3 роки тому +1

    Khaaa nguruwe Tena? Wataka tulishwe haramu jamani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Aaaah. Sory Ndugu Ila si unajua kwenye Elimu tena🙏🙏

  • @muhamuha-6965
    @muhamuha-6965 Рік тому

    Je maharage ya soya yanapatikana kugoma?

  • @stevenmbilinyi4526
    @stevenmbilinyi4526 3 роки тому +1

    Je Mimi nalima kwenye harizi ya kichanga manyara je harizi I inakubali maharage na kitaka kupima udogo napeleka wapi kuupima

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Tumekujibu kwenye swali lako la awali

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Tumekujibu kwenye swali lako la awali

  • @fadhilitweve7305
    @fadhilitweve7305 2 роки тому +1

    Naomba kuuliza hizo mbolea nachanganya kwa ratio gani (ya matunda na ya kawaida)

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому +1

      Kupandia kg 50. Matunda kg25 na kuku zia kg 12.5

    • @richardmsuya2645
      @richardmsuya2645 2 роки тому +1

      @@AGALUSTV hizi zote tatu zinawekwa wakati wakupanda?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Ndyo zinachanganywa ndudu 🙏

    • @richardmsuya2645
      @richardmsuya2645 2 роки тому +1

      Ahsante kwa somo zuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому +1

      Pa1🙏🤝

  • @hamzaalawy6694
    @hamzaalawy6694 2 роки тому +1

    Suala langu: kwa hali ya hewa Zanzibar inawezekana kilimo cha maharege?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Inawezekana tu🙏🤝

    • @hamzaalawy6694
      @hamzaalawy6694 2 роки тому +1

      @@AGALUSTV nashukuru
      Na kipindi gani kinaweza kuwa bora kwa upandaji wa maharage huku kwetu Zanzibar?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Mmmmh kwa uko ngoja tuzid kufutilia maana sisi tupo mbeya 🙏

  • @isayahilary1446
    @isayahilary1446 2 роки тому +1

    Hekamoja mbegu kiasi gani? Na mavuno kiasi gani kwaheka

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Fuatilia somo hili👇 mtaji na faida ktk heka 1
      ua-cam.com/video/VUrDSBs_QCY/v-deo.html

  • @VEVO-africa
    @VEVO-africa 3 роки тому +1

    Inachukua mda gan toka kupanda hadi kuvuna

  • @issasalingo3473
    @issasalingo3473 2 роки тому +1

    Mbolea za maji je?

  • @stevenmbilinyi4526
    @stevenmbilinyi4526 3 роки тому +1

    Napeleka wapi udongo Kwa jili ya kupima Niko mbuyu wa mjerumani manyara babati

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Apo jitahidi kuwasiliana na Afisa Kilimo wa eneo ulilopo maarufu kama bwana shamba. Zipo center zinazopima udogo. Maana hatuna uzoefu na mazingira uliyopo

  • @johnnditi9079
    @johnnditi9079 2 роки тому

    Kwa wilaya ya NJOMBE ni kijiji gani wanalima zao la maharage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Kiukweli kwa uko hatufahamu ngoja tuzidi kufutilia Kujua zaidi

  • @boniphacebone5986
    @boniphacebone5986 3 роки тому +1

    Mmea kama umeshaota mbolea ya dap unaweza kuweka imbali gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Mmea ukiwa umeota DAP haitumiki tena

  • @neemamateru4249
    @neemamateru4249 2 роки тому +1

    Fada yakitunguu maji

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      ,ni tiba ya minyoo japo kw kiasi kdogo wakipewa

  • @laureenlumumba9819
    @laureenlumumba9819 3 роки тому +1

    Tafadhali elezea ukulima ya maharage ya Aina ya Jesca. Mavuno yake inakuaje na inavunwa baada ya miezi mingapi?

  • @winstonkachema1731
    @winstonkachema1731 3 роки тому

    Heka moja ya maharagwe Una uwezo wa kuvuna gunia ngapi endapo utazingatia hatua zote

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      10, hadi 13

    • @revocatusmartine7159
      @revocatusmartine7159 3 місяці тому +1

      10 had 13 mara 3 had 5 za debe sita kipi n kip?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 місяці тому

      Ndugu izo ni idadi za gunia Kuna kadirio la chini kabisa....

  • @emmanuelmkinga4804
    @emmanuelmkinga4804 Рік тому +1

    Mbolea za maharage umesema zinawekwa zote wakati wa kupanda yaani samadi ya kuku, npk na CAN. Ni kwa kipimo gani??

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Apo sasa hutegemea na ukubwa wa shamba ndugu lako ila Kuna somo letu Kuhusu bajet ya kilimo cha maharage itakusadia pia

    • @emmanuelmkinga4804
      @emmanuelmkinga4804 Рік тому +1

      Nilimaanisha kipimo kwenye kila shimo yaani CAN gram ngapi, NPK gram ngapi na hiyo samadi ya kuku

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Kifuniko 1 cha soda AU maji kwa kila shimo

  • @bernarddavid6
    @bernarddavid6 3 роки тому +1

    Heka 1 ya maharage ikitunzwa vixuri inatia gunia ngapi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Ngunia 6 hadi 10 au zaidi kwa ngunia la debe 6

  • @ellykibale190
    @ellykibale190 3 роки тому

    Somo zuri,umesema samadi ya kuku ni nzuri zaidi..
    Nimewahi kusikia samadi ya kuku ni kali sana,Je Ni kweli? Kwamba unahitaji kuipunguza makali?
    Naomba kujua namna ya kuitumia samadi ya kuku na Kama Ni kweli mpaka uipunguze makali,Je unaipunguzaje?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому +1

      Thnx. Bt samadi ya kuku inatakiwa itolewe kwenye mfuko kama ni mbichi ikae wazi ipumue kwa muda kdogo ata mwezi ivi apo ukali utapungua

    • @ellykibale190
      @ellykibale190 3 роки тому +1

      @@AGALUSTV
      Asante

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Pa 1

  • @chalaboys175
    @chalaboys175 2 роки тому +1

    Kipimo Cha upandaji cm ngp?

  • @mchaehebuka4028
    @mchaehebuka4028 3 роки тому +1

    Je ni dawa zipi zinaweza kunisaidia kwa palizi na jinsi ya kutumia

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Hatujakupa vzuri ndugu palizi kwenye maharage unaulizia dawa za palizi au kwa mazao mengine?

    • @mchaehebuka4028
      @mchaehebuka4028 3 роки тому +1

      Ni kwa palizi ya mahalage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому +1

      mmmh apo ndugu kwa mimi uwa natumia vijembe vidogo kupalilia na kutifulia ctumiiagi dawa bt tuzid kujifunza zaid tutapata jibu🙏🙏