KILIMO CHA NYANYA: DONDOO MUHIMU | MBEGU BORA | MBOLEA YA KUPANDIA | MASOKO YA NYANYA | VIWATILIFU
Вставка
- Опубліковано 9 тра 2022
- Fahamu kuhusu Kilimo cha Nyanya kutoka Katika Shamba Darasa lililoandaliwa na Rikolto kupitia Mradi Wa AGRI-CONNECT; Shamba Darasa la Ndugu Victor Kasebele lililopo kata ya IYELA Mbeya Vijijini.
Kufahamu zaidi sikiliza Taarifa hii au tufuate kupitia @shambahubtz Instagram, Facebook na Twitter.
#Horticulture #shambadarasa #Nyanya #Tanzania
Asante kwa somo zuri naomba no yako
Nimekuelewa sana mtalam
Asante sana tena sana nimehifunga mengi
Naomba nitajie dawa za viwatilifu vya spainer torm
Habari naomba no yako
Tunaomba no yako
Asante kwa maelezo yako na darasa Bora kwe2 wakulima
Naomba namba yako
Hiyo nyanya ni aina gani?
Mbegu gani?hiyo nyanya?
Boss hviii hyooo miti ya staking inakaa distance gan mti mpk mti
naomba unisaidia mfano wa viuatilifu vyenye phosphite?
Ahsante Kwa Somo zuri la kilimo cha nyanya
Karibu sana
Mbolea yara winn na naitrbo zinaptikan wap
Naitaji,mbegu?
Asante.ntumie.nomba.yako.
0752101023
Napataje mbegu
Tafadhali wasilisha namba yako kwa mawasiliano zaidi
Nahitaj mbegu ya nyanya zara f1 za kutosha nus heka
Unapatikana wapi? Wasiliana nasi 0715 847561