Mungu nisaidie kwakupitia maombi ya Joel Mungu akubaliki niukueli kuna lafiki yangu analia lia kilaa saa namm kweli nimekua nashida sanaa adi sina ata kazi nisaidie aki❤
Kaka joel mungu akubariki sana uishi miaka mingi tuzidi kujifunza , tangu nianze kukufatilia nimekuwa nna furaha ,strong, naweza kufanya maamuzi ubarikiwe sana
siwezi comment juu ya kipaji chako ulicho nacho,lakini acha nikwambie kitu kimoja bro...unaisaidia sana jamii hasa vijana naomba usikate tamaa na usichoke juu ya hicho unachikifanya lakini pia naamin mungu amekuinua kuwa mtu kati ya watu kwahyo naomba usichoke na mungu akubaliki sana na akakuongezee pale ulipo pungukiwa
Mwalimu nikweli pale kwenye miaka kumi na nane ndipo tulipotezA muda tukifikiri watu wanatuanghalia na tukachelewa kufanya tlicho takiwa kukifanya.lakini hatakama nimechelewa nitajikaza sana kwani unanitia moyo sana
Kaka Mungu akubariki kwa uelimishaji wako mzuri, ila shida yangu hapa kwenye lugha unachanganya lugha mbili kwa wakati mmoja na sidhani kama kusudi lako waelewa watu ambao waliosoma au wanaoelewa lugha ya kizungu; ombi langu kama unaweza kutumia lugha ya taifa au moja wapo ya hizo unazotumia na sisi tusioelewa lugha ya kizungu tunataka kuelewa kila neno unalozungumza. Kama hautajali lakini; ni maoni yangu
Mimi nakataa kwenye kulinganisha na akina dangote,moo na backresa mfano dangote ni mtu aliyepata pesa kwa kushirikiana na viongozi waliopo serkalini kwenye serkali ya nigeria, hayo moo fuatilia miradi yake mingi ina connection na serkali kama mlivyoona moo alivyoharibu timu ya simba,mashamba ya chai yameharibika kwa sababu ya upigaji.
Mungu nisaidie kwakupitia maombi ya Joel Mungu akubaliki niukueli kuna lafiki yangu analia lia kilaa saa namm kweli nimekua nashida sanaa adi sina ata kazi nisaidie aki❤
Good lesson❤Mungu akubarik na akusimamie bali pamoja na jitihada zako Mungu kakupa kipaji pia Mashaallah
Kaka joel mungu akubariki sana uishi miaka mingi tuzidi kujifunza , tangu nianze kukufatilia nimekuwa nna furaha ,strong, naweza kufanya maamuzi ubarikiwe sana
Nimekukubali Kaká,kwa lugayangu wanasema Ivi,acredito que você tás falar é verdade 🇲🇿
Barkiwa sana Sir Joel hizi na vitabu vyako umebadilisha akili na mtazamo wangu🙏
siwezi comment juu ya kipaji chako ulicho nacho,lakini acha nikwambie kitu kimoja bro...unaisaidia sana jamii hasa vijana naomba usikate tamaa na usichoke juu ya hicho unachikifanya lakini pia naamin mungu amekuinua kuwa mtu kati ya watu kwahyo naomba usichoke na mungu akubaliki sana na akakuongezee pale ulipo pungukiwa
Mungu nisaidie na mim nifikie hatma yngu🙏🙏 Kaka Joel Mungu akubariki umekuwa msaada wngu🙌🏼
MUNGU Akubariki sana, HUU Ni ukweli Kabisa uliopo kwenye jamii yetu na Maisha yetu🙏
🙌
Mwalimu nikweli pale kwenye miaka kumi na nane ndipo tulipotezA muda tukifikiri watu wanatuanghalia na tukachelewa kufanya tlicho takiwa kukifanya.lakini hatakama nimechelewa nitajikaza sana kwani unanitia moyo sana
Daah, kiukwli Tangu Nikujue sijawahi kuku oinga MY"Blaza Uko vzl sana 🔥🔥
Wewe ni mwalimu mzuri Mungu akupe Kibari siku zote
Mungu akupe miaka mingi sana ya kuishi hotuba zako nzuri
Nakukubali Sana mkuu Mungu akupe nahitaji yako ya Muhimu.
Safiiiiii sanaaaa barikiwa endelea kunielimisha
Kaka Joel mawazo na maono yako Ni makubwa mno Kwa vijana ambao Ni Sisi respect 🙏🏾✊🏾
Nimekuelewa kaka. Hongera sana na mungu akubariki.
Ubarikiwe umenitowa mbali wewe kaka mungu akueke uzidi kutufunza
nashukuru kwa somo zuri ila ktk 7 areas of life hujamalizia Finances na Career.
Hallelujah, dumu kubarikiwa kaka Joel
Asante sana brother God bless you
Katika haya kuna mengi sana nimejifunza, Asante sana
Unafaa kuwa mtawala au kuwa spika wabunge maana una mafundisho ma zuri sana yanayo weza kuvusha watu kutoka hatuwa moja kwenda nyingine
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
Mm nina marafiki wabaya kweli maisha nikukunywa pombe ata kazi niliaja nifanye aje nimeangaka sahii cjui nifanye nn😢
Thanks bro for ur inspiration ❤
Amina 🙏 barikiwa sana, but nashindwa kupata vitabu vyako.
Mungu akubariki sana
Mungu akubariki kwa helimu yako
kijana wew ni kichwa.Mungu akubaliki sana.no comment brother
Kiukweli Mungu akuweke kaka
MaashaaAllah
Mimi Toka nimekupata wewe na matokeo ya kumtunza pesa nimejua , before sikujua kitu Asante ,kiongozi🙏
Asante kwa somo zuri nifanyeje kutimiza malengo yangu?
Asante sana kwa darasa
Kaka ubarikiwe kwa darasa lako
Asante sana kwa kutuelimisha
Hapo kaka sawa kwamtindo huu tutakuelewa sana mm umenisaidia Sana kwaswala lakufuta aibu yangu kwasababu yako kaka mm nipo mtwara nakufatilia Sana
Comrade Joel hongera sana
❤vitabu vyako tunavipate
Kiukweli Mungu akuweke kaka
Barikiwa mtumishi
pa1 sana mkuu
Kaka Mungu akubariki kwa uelimishaji wako mzuri, ila shida yangu hapa kwenye lugha unachanganya lugha mbili kwa wakati mmoja na sidhani kama kusudi lako waelewa watu ambao waliosoma au wanaoelewa lugha ya kizungu; ombi langu kama unaweza kutumia lugha ya taifa au moja wapo ya hizo unazotumia na sisi tusioelewa lugha ya kizungu tunataka kuelewa kila neno unalozungumza. Kama hautajali lakini; ni maoni yangu
Uko vizuri sana bro umenitachi sana na umeni encourage
Barikiwa san 🔥🔥
Ni kweli hatar mm nilikataliwa na wazaz wangu wa kambo
Yani naona umenigusa sanaaa
Barikiwa sana Kaka
Yaani ni Mimi kabisa kwenye swala la health
Shukrani kaka ❤❤
ur ze insparation zion utafika kule unaenda bro joel.
Nakukubali mpaka naazima cm kukufutilia by med
Umenibadilisha sana kaka angu nimejifunza,mengi kupitia ww
So great 👍
Mungu awe na we thank
Mm niombe kitu kama kitakupendeza utafte tamasha taifa na uweke kingilio ili utufundishe maisha biashala na mafanikio br ww uko vizur
Umenibariki sana
Great✌
Ubalikiwe sana
Jamani,Asante
Mungu akubariki
Hongera sana kuelimisha jamii mafundisho yako yanatujenga
Mimi nakopeshwa hela na watu sana tena sana.
Uko sahihi sana kijana
Ndugu unatuelimisha sana tunakushukulu Kwa ushaul wako
Nikisikiliza maneno yk wkt sijafanikiwa ndo nakataga tamaa kabisa Brother.
Pambana usikate tamaa
Mafanikio ni process
ubarikiwe
Asanteee kaka
Hi kwa Mara ya Kwanza kukusikia ,nimepata. Kitu
Ahsante sana
mungu akubariki kaka
Barikiwa
Hata bhana
Asant sana Joel nanauka
Good
Kk Asante sanaaa
Napata nguvu sana kila nikikusikiliza
I learn many different things about you
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
Uyu jamaa ni mtu na nusu genius balaa
Duuuu hii nikweli aisee
Asante
Wewe ni jembe,hakika Kuna mambo kadhaa umenifunza na tayari yamenisaidia maishani.
The best 👌
Yani unafaaaa kua kiongozi mkubwa kwenye nchi unaupeo mkubwa sana
🔥🔥
Good joel imenigusa sana
Nakubali joel Nanauka
Nimekueerewa sanna kaka mungu akulinde
Mi natamani pia hata udoctor wa heshima upewe
Nampenda sana huyu mkali.
Hiyo document au pdf unayodisplay kwenye video inayoelezea 7 areas of life nitaipata wapi? Nilikua nina shida nayo..
Nahisi ukienda pinterest uka search utaipata.
Screen shot alafu ugoogle UA-cam kawaida
tuma whtsp namba nikutumie
Mimi nakataa kwenye kulinganisha na akina dangote,moo na backresa mfano dangote ni mtu aliyepata pesa kwa kushirikiana na viongozi waliopo serkalini kwenye serkali ya nigeria, hayo moo fuatilia miradi yake mingi ina connection na serkali kama mlivyoona moo alivyoharibu timu ya simba,mashamba ya chai yameharibika kwa sababu ya upigaji.
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
Unasema ukweli kabisa. Unakopeswa hela kila wakati na watu.
Thank you
🙏🙏
Najiona kbs mtt wa pili ila nimebeba mizigo mizito sana ya family😢😢😢ntakufa mapema😮😮😮
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
God bless you
mhimu sana kwa jamii
Nahitaji hii video naipataje nashindwa ku download
😂😂Au sio umeshidwa
Asante sana
Kikubwa n kujiamin tu bro kama ulivo xema
Uyo ndio Joel Nanauka