Mambo ya Kuzingatia Ukitaka Kufanikiwa Kwenye Maisha - Joel Nanauka

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024
  • Mambo ya Kuzingatia Ukitaka Kufanikiwa Kwenye Maisha - Joel Nanauka

КОМЕНТАРІ • 148

  • @Faridahmoraa-gw9ew
    @Faridahmoraa-gw9ew Місяць тому +1

    Mungu nisaidie kwakupitia maombi ya Joel Mungu akubaliki niukueli kuna lafiki yangu analia lia kilaa saa namm kweli nimekua nashida sanaa adi sina ata kazi nisaidie aki❤

  • @hawahamza1085
    @hawahamza1085 14 днів тому

    Good lesson❤Mungu akubarik na akusimamie bali pamoja na jitihada zako Mungu kakupa kipaji pia Mashaallah

  • @rehefehe8890
    @rehefehe8890 6 місяців тому +9

    Kaka joel mungu akubariki sana uishi miaka mingi tuzidi kujifunza , tangu nianze kukufatilia nimekuwa nna furaha ,strong, naweza kufanya maamuzi ubarikiwe sana

  • @MartinsDimbanda
    @MartinsDimbanda 4 місяці тому +6

    Nimekukubali Kaká,kwa lugayangu wanasema Ivi,acredito que você tás falar é verdade 🇲🇿

  • @josephtesha872
    @josephtesha872 6 місяців тому +6

    Barkiwa sana Sir Joel hizi na vitabu vyako umebadilisha akili na mtazamo wangu🙏

  • @UnjuKhan-wq5rj
    @UnjuKhan-wq5rj 4 місяці тому +5

    siwezi comment juu ya kipaji chako ulicho nacho,lakini acha nikwambie kitu kimoja bro...unaisaidia sana jamii hasa vijana naomba usikate tamaa na usichoke juu ya hicho unachikifanya lakini pia naamin mungu amekuinua kuwa mtu kati ya watu kwahyo naomba usichoke na mungu akubaliki sana na akakuongezee pale ulipo pungukiwa

  • @jacquelinemwacha7784
    @jacquelinemwacha7784 2 місяці тому

    Mungu nisaidie na mim nifikie hatma yngu🙏🙏 Kaka Joel Mungu akubariki umekuwa msaada wngu🙌🏼

  • @DANIELSARAKIKYA-o6n
    @DANIELSARAKIKYA-o6n Місяць тому

    MUNGU Akubariki sana, HUU Ni ukweli Kabisa uliopo kwenye jamii yetu na Maisha yetu🙏
    🙌

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 5 місяців тому +14

    Mwalimu nikweli pale kwenye miaka kumi na nane ndipo tulipotezA muda tukifikiri watu wanatuanghalia na tukachelewa kufanya tlicho takiwa kukifanya.lakini hatakama nimechelewa nitajikaza sana kwani unanitia moyo sana

  • @IsakaJackson-uc9jj
    @IsakaJackson-uc9jj 4 місяці тому +4

    Daah, kiukwli Tangu Nikujue sijawahi kuku oinga MY"Blaza Uko vzl sana 🔥🔥

  • @EnockKibona-x9z
    @EnockKibona-x9z 3 місяці тому

    Wewe ni mwalimu mzuri Mungu akupe Kibari siku zote

  • @JamesMnyambwa-n2b
    @JamesMnyambwa-n2b Місяць тому

    Mungu akupe miaka mingi sana ya kuishi hotuba zako nzuri

  • @wilsonMollel-r4f
    @wilsonMollel-r4f 4 місяці тому +1

    Nakukubali Sana mkuu Mungu akupe nahitaji yako ya Muhimu.

  • @IhoyeShushu
    @IhoyeShushu 5 місяців тому +2

    Safiiiiii sanaaaa barikiwa endelea kunielimisha

  • @AlbertGau-k7u
    @AlbertGau-k7u 3 місяці тому

    Kaka Joel mawazo na maono yako Ni makubwa mno Kwa vijana ambao Ni Sisi respect 🙏🏾✊🏾

  • @CristinaPedro-tv6qm
    @CristinaPedro-tv6qm 4 місяці тому +1

    Nimekuelewa kaka. Hongera sana na mungu akubariki.

  • @AwadhAdam-j5f
    @AwadhAdam-j5f 4 місяці тому +2

    Ubarikiwe umenitowa mbali wewe kaka mungu akueke uzidi kutufunza

  • @rehemamallya1136
    @rehemamallya1136 2 місяці тому

    nashukuru kwa somo zuri ila ktk 7 areas of life hujamalizia Finances na Career.

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 6 місяців тому +2

    Hallelujah, dumu kubarikiwa kaka Joel

  • @Dafetty
    @Dafetty 4 місяці тому +1

    Asante sana brother God bless you

  • @alexandercamili7275
    @alexandercamili7275 5 місяців тому +2

    Katika haya kuna mengi sana nimejifunza, Asante sana

  • @BreckmasBaraka-zx1gb
    @BreckmasBaraka-zx1gb 4 місяці тому +7

    Unafaa kuwa mtawala au kuwa spika wabunge maana una mafundisho ma zuri sana yanayo weza kuvusha watu kutoka hatuwa moja kwenda nyingine

    • @hamasikatv
      @hamasikatv  3 місяці тому

      Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza

  • @Faridahmoraa-gw9ew
    @Faridahmoraa-gw9ew Місяць тому +1

    Mm nina marafiki wabaya kweli maisha nikukunywa pombe ata kazi niliaja nifanye aje nimeangaka sahii cjui nifanye nn😢

  • @RafaelHarubu
    @RafaelHarubu 5 місяців тому +2

    Thanks bro for ur inspiration ❤

  • @bazompolaphilbert
    @bazompolaphilbert 6 місяців тому +2

    Amina 🙏 barikiwa sana, but nashindwa kupata vitabu vyako.

  • @festodaudi6478
    @festodaudi6478 5 місяців тому +4

    Mungu akubariki sana

  • @StanleyMatembo-wj8rz
    @StanleyMatembo-wj8rz 4 місяці тому +1

    Mungu akubariki kwa helimu yako

  • @IrankundaOsee
    @IrankundaOsee 3 місяці тому

    kijana wew ni kichwa.Mungu akubaliki sana.no comment brother

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 6 місяців тому +4

    Kiukweli Mungu akuweke kaka

  • @hamilcharles6830
    @hamilcharles6830 5 місяців тому +5

    MaashaaAllah

  • @LeahELias-x8w
    @LeahELias-x8w 5 місяців тому +1

    Mimi Toka nimekupata wewe na matokeo ya kumtunza pesa nimejua , before sikujua kitu Asante ,kiongozi🙏

  • @pulcheriamayombo5780
    @pulcheriamayombo5780 2 місяці тому

    Asante kwa somo zuri nifanyeje kutimiza malengo yangu?

  • @rehemamlawa6937
    @rehemamlawa6937 24 дні тому

    Asante sana kwa darasa

  • @ElizabethHamidu
    @ElizabethHamidu 4 місяці тому +2

    Kaka ubarikiwe kwa darasa lako

  • @magretharcard4531
    @magretharcard4531 6 місяців тому +3

    Asante sana kwa kutuelimisha

  • @dolamussa8749
    @dolamussa8749 5 місяців тому +4

    Hapo kaka sawa kwamtindo huu tutakuelewa sana mm umenisaidia Sana kwaswala lakufuta aibu yangu kwasababu yako kaka mm nipo mtwara nakufatilia Sana

  • @emmanueltangale2587
    @emmanueltangale2587 5 місяців тому +2

    Comrade Joel hongera sana

  • @sifuniilomo-om8hp
    @sifuniilomo-om8hp 17 днів тому

    ❤vitabu vyako tunavipate

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 6 місяців тому +2

    Kiukweli Mungu akuweke kaka

  • @SarahTsuma-g3r
    @SarahTsuma-g3r 5 місяців тому +2

    Barikiwa mtumishi

  • @SalumuSaid-vq2kp
    @SalumuSaid-vq2kp 4 місяці тому +2

    pa1 sana mkuu

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 4 місяці тому

    Kaka Mungu akubariki kwa uelimishaji wako mzuri, ila shida yangu hapa kwenye lugha unachanganya lugha mbili kwa wakati mmoja na sidhani kama kusudi lako waelewa watu ambao waliosoma au wanaoelewa lugha ya kizungu; ombi langu kama unaweza kutumia lugha ya taifa au moja wapo ya hizo unazotumia na sisi tusioelewa lugha ya kizungu tunataka kuelewa kila neno unalozungumza. Kama hautajali lakini; ni maoni yangu

  • @bmajesky63
    @bmajesky63 4 місяці тому

    Uko vizuri sana bro umenitachi sana na umeni encourage

  • @veronicawilsonmbwambo1054
    @veronicawilsonmbwambo1054 3 місяці тому

    Barikiwa san 🔥🔥

  • @TumainiMsumba-el3oe
    @TumainiMsumba-el3oe 5 місяців тому +2

    Ni kweli hatar mm nilikataliwa na wazaz wangu wa kambo

  • @RobatiMwambakale-jm5lj
    @RobatiMwambakale-jm5lj 4 місяці тому +1

    Yani naona umenigusa sanaaa

  • @edithavalelian256
    @edithavalelian256 6 місяців тому +3

    Barikiwa sana Kaka

  • @NeemaMashauri-s3u
    @NeemaMashauri-s3u 6 місяців тому +6

    Yaani ni Mimi kabisa kwenye swala la health

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 2 місяці тому

    Shukrani kaka ❤❤

  • @festomatiku2611
    @festomatiku2611 3 місяці тому +1

    ur ze insparation zion utafika kule unaenda bro joel.

  • @CheusiMshani
    @CheusiMshani 4 місяці тому +4

    Nakukubali mpaka naazima cm kukufutilia by med

  • @nurujuma6912
    @nurujuma6912 5 місяців тому +1

    Umenibadilisha sana kaka angu nimejifunza,mengi kupitia ww

  • @EmmanuelMaziku-vp6mq
    @EmmanuelMaziku-vp6mq 4 місяці тому +1

    So great 👍

  • @IsayaMilya
    @IsayaMilya 5 місяців тому +2

    Mungu awe na we thank

  • @IbrahimuSpriano
    @IbrahimuSpriano 3 місяці тому

    Mm niombe kitu kama kitakupendeza utafte tamasha taifa na uweke kingilio ili utufundishe maisha biashala na mafanikio br ww uko vizur

  • @veronicawilsonmbwambo1054
    @veronicawilsonmbwambo1054 3 місяці тому

    Umenibariki sana

  • @SylvesterJoel-h3y
    @SylvesterJoel-h3y Місяць тому

    Great✌

  • @SamweliDaudi-r4l
    @SamweliDaudi-r4l 5 місяців тому +2

    Ubalikiwe sana

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115
    @rabanphotostudionyakanazi_4115 5 місяців тому +3

    Jamani,Asante

  • @goodluckjackson5564
    @goodluckjackson5564 6 місяців тому +1

    Mungu akubariki

  • @BreckmasBaraka-zx1gb
    @BreckmasBaraka-zx1gb 4 місяці тому +1

    Hongera sana kuelimisha jamii mafundisho yako yanatujenga

  • @Kablizasekanabo
    @Kablizasekanabo 14 днів тому

    Mimi nakopeshwa hela na watu sana tena sana.

  • @BimmangaHemed
    @BimmangaHemed 4 місяці тому +1

    Uko sahihi sana kijana

  • @GeofreyLameck-g3q
    @GeofreyLameck-g3q 19 днів тому

    Ndugu unatuelimisha sana tunakushukulu Kwa ushaul wako

  • @TUMAINIMWILILA
    @TUMAINIMWILILA 3 місяці тому +1

    Nikisikiliza maneno yk wkt sijafanikiwa ndo nakataga tamaa kabisa Brother.

  • @medisonburianraismakufurip7591
    @medisonburianraismakufurip7591 Місяць тому

    ubarikiwe

  • @charlesmtatiro8534
    @charlesmtatiro8534 4 місяці тому +1

    Asanteee kaka

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 5 місяців тому +2

    Hi kwa Mara ya Kwanza kukusikia ,nimepata. Kitu

  • @shekhaahmed3961
    @shekhaahmed3961 4 місяці тому +1

    Ahsante sana

  • @veliuspaschal-wj7ev
    @veliuspaschal-wj7ev 4 місяці тому

    mungu akubariki kaka

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 6 місяців тому +3

    Barikiwa

  • @AnnaMagembe-uv5el
    @AnnaMagembe-uv5el 5 місяців тому +3

    Hata bhana

  • @DonardTomas
    @DonardTomas 4 місяці тому +1

    Asant sana Joel nanauka

  • @mpazijuma962
    @mpazijuma962 5 місяців тому +5

    Good

  • @ObaChristopher
    @ObaChristopher 6 місяців тому +1

    Kk Asante sanaaa

  • @realemma2312
    @realemma2312 3 місяці тому

    Napata nguvu sana kila nikikusikiliza

  • @abuubakarsalami
    @abuubakarsalami 3 місяці тому

    I learn many different things about you

    • @hamasikatv
      @hamasikatv  3 місяці тому

      Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza

  • @HemedMaubi
    @HemedMaubi 4 місяці тому

    Uyu jamaa ni mtu na nusu genius balaa

  • @MunguMwema-m4l
    @MunguMwema-m4l 4 місяці тому +1

    Duuuu hii nikweli aisee

  • @ElishaMwasenga-r6j
    @ElishaMwasenga-r6j 2 місяці тому +1

    Asante

  • @SwedyMohamed-vt5zm
    @SwedyMohamed-vt5zm 3 місяці тому +1

    Wewe ni jembe,hakika Kuna mambo kadhaa umenifunza na tayari yamenisaidia maishani.

  • @4bod801
    @4bod801 6 місяців тому +1

    The best 👌

  • @Hopestanley565
    @Hopestanley565 4 місяці тому +2

    Yani unafaaaa kua kiongozi mkubwa kwenye nchi unaupeo mkubwa sana

  • @sadickhassan8764
    @sadickhassan8764 2 місяці тому

    🔥🔥

  • @godfreyjulius8740
    @godfreyjulius8740 2 місяці тому

    Good joel imenigusa sana

  • @francisndabila1119
    @francisndabila1119 5 місяців тому +2

    Nakubali joel Nanauka

  • @NickolausHappy
    @NickolausHappy 5 місяців тому +2

    Mi natamani pia hata udoctor wa heshima upewe

  • @wilsonMollel-r4f
    @wilsonMollel-r4f 4 місяці тому

    Nampenda sana huyu mkali.

  • @husseinmramba
    @husseinmramba 6 місяців тому +30

    Hiyo document au pdf unayodisplay kwenye video inayoelezea 7 areas of life nitaipata wapi? Nilikua nina shida nayo..

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 4 місяці тому

    Mimi nakataa kwenye kulinganisha na akina dangote,moo na backresa mfano dangote ni mtu aliyepata pesa kwa kushirikiana na viongozi waliopo serkalini kwenye serkali ya nigeria, hayo moo fuatilia miradi yake mingi ina connection na serkali kama mlivyoona moo alivyoharibu timu ya simba,mashamba ya chai yameharibika kwa sababu ya upigaji.

    • @hamasikatv
      @hamasikatv  3 місяці тому

      Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza

  • @Kablizasekanabo
    @Kablizasekanabo 14 днів тому

    Unasema ukweli kabisa. Unakopeswa hela kila wakati na watu.

  • @tunumigila8995
    @tunumigila8995 6 місяців тому +1

    Thank you

  • @javanskiti5911
    @javanskiti5911 6 місяців тому +3

    🙏🙏

  • @jumalihumbo5314
    @jumalihumbo5314 4 місяці тому

    Najiona kbs mtt wa pili ila nimebeba mizigo mizito sana ya family😢😢😢ntakufa mapema😮😮😮

    • @hamasikatv
      @hamasikatv  3 місяці тому

      Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza

  • @EmmanuelSimukonda-w2m
    @EmmanuelSimukonda-w2m 6 місяців тому +3

    God bless you

  • @IrankundaOsee
    @IrankundaOsee 3 місяці тому

    mhimu sana kwa jamii

  • @lovemusicnoreen9185
    @lovemusicnoreen9185 3 місяці тому

    Nahitaji hii video naipataje nashindwa ku download

  • @JohnJoseph-xu8qv
    @JohnJoseph-xu8qv 4 місяці тому

    Asante sana

  • @NestroySeme
    @NestroySeme 3 місяці тому

    Kikubwa n kujiamin tu bro kama ulivo xema

  • @yusteriddy
    @yusteriddy 4 місяці тому +1

    Uyo ndio Joel Nanauka