MPISHI WA IKULU ASIMULIA CHAKULA ALICHOKUWA ANAKIPENDA RAIS MAGUFULI, JK, MKAPA, MWINYI, NYERERE
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2024
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
🤪♥️🤝🏽🙏 chakula cha asili kimeshika 💯🔥
Kuna Mbabe mmoja hapo nimemuelewa kama nilivyomdhania😂😂😂
Mwinyi anapenda vyakula vya kizanzibar lakini Mwinyi sio Mzinjibar Mkataa kwao mtumwa Mwinyi yeye na Wanawe wote na Watanganyika sawa.thanks
Mwamba wangu JPM pengo lako. Halita. Zibika kamwe
Huyu jina lake kwan nan
Hongera Kwa utumishi mwema Kwa Taifa letu la Tanzania 🇹🇿
Hongera kwa kutendeni kazi kwa uaminifu hadi viongozi wetu.wakatimiza awamu zao vizuri. Mungu akupeni heri. Wachache hukumbuka fadhila kwa watu kama nyie.
Yaani kumbe wao nyama pori wanapenda sana na Wana kula..ila yule mama maskini ya Mungu wanataka kumpiga miaka kadhaa jela dahhh
😂😂😂😂
😂😂😂😂😅😅😅😅
Yule Mama Aliye Kutwa Na Nyama Ya Swara Kwenye Ndoo
Lakini Aliachiwa Yupo Uraian sasa i
Chakula muhimu sana kwa Afya, wapenzi wa mazoezi njoo hapa uone mazoezi ya kupunguza uzito na kujenga mwili
Ndo maana mkapa alikuwa bonge
Nimependa wewe nimtalam sana ongera
Chezea mlenda wewe safi sana
My papa ♥️ hongera kwa utumishi mwema ❤❤
Mwamba Magufuli miss sana
Nifatilie kupata nyimbo za kumsifu Mungu
Bonyeza hapa kutazama filamu mpya za bongo movie
Janabi anakuambia usile biriani Mzee Mwinyi kaupiga vizuri na kagonga 99 chupuchupu agonge karne
Mwinyi katuangusha yani sisi tuko bara yeye anakula vya zanzibar 😂😂
Du! Kuna watu hawaipendi Zanzibar. Yaani wakisikia tu imetajwa Zanzibar tayari wanaumwa@!
Kwani yy alikuwa Rais wa Bara?
Food ya Mwl Nyerere na Dr Magufuli aminia iko kiume zaidi
😂😂😂😂😂😂
Ya kibabe sana au sio 👍
Kwa nn unatowa Siri za viongozi vyakula wanavyokula cyo vizuri
Kuna dhambi Gani sasa
Sasa washafariki 😂
Shida nn
Acha ushamba wewe, Siri gani hapo? Hao ni public figures
Rais watz ni nyerere na magufuli tu
Kweli kabisa
Wengine tupa kuleee😂😂
Unamsimuria nani mzee uwemsiri mzee
Ameulizwa asiseme? Kwani hawali? Si binadamu kama binadamu wengine tu
Chakula nacho ni siri?
Wanachi wakiishia kukaa na njaa . Viongozi wanakula wanavotaka
Hii ndio Dunia hatuwezi kuwa sawa, Njaa zipo hadi Marekani,UK, Australia,Canada na Viongozi wao wanakula wanachotaka, kwanza vyakula wanavyokula vingi Mtanzania wa Kawaida tu anakula,
Ushawahi kufika huko unakosema au unahitaji maelezo kuhusu hizo sehemu ? Mm sikuambii kitu mahali sijafika. Naanza na marekani kuna homeless ni wengi ila wale unaowaona hawalali na njaa . Homeless wa 🇺🇸 ni mlo wa mtu tajiri tanzania 🇹🇿. Chengine United States ushindwe ww tu kufanya kazi . Room unaweza kukodi na mwenzako na maisha yakaenda fresh. Kuhusu ulaya ulioitaja Homeless wote ni wateja walioshindikana. Sasa usizungumze pumba.
@@ahmedelalawy639 kwenye maisha atuwezi kuwa sawa mzee ata iweje ata apo kwnye ukoo wenu ww unaweza kuwa unamiliki milion 50 mwezio ata laki ana ayo ndio maisha
Kwahyo unamaoni gani😂
Kwaiyo ulitaka raisi ashinde njaa? Jamani!!!
Utakuwa upewi nafac zakazi acha ayoo
Alishastaafu Kwa heshima,ameitwa Kwa ajili ya uzinduzi
Ndo maana mzee mwinyi kadumu mda mrefuuuu
Tunaishi kwa neema za Mungu haijalishi unakula nini
@@elimbotoraphael3940 Kabisa yaani!
Baba yetu huyo Ntoroma, Mungu akupe maisha marefu.
Ovovwwowwo
TV Wovovebovv
TV
Cc Ovvoco
AWAMU YA SITA KATIMULIWA SIO😂
Uwe na adabu
😂😂😂😅😅😅
Sasa Rais wa nchi tofautia na kipoloko
Tukijaa baba yetu...🤩 MAGUFURI 💯♥️🤝🏽🤝🏽🙏😭😭
Baba nimeikubali hiyo apa nishaanza kusikia njaa
Kuna daktari wake wa moyo wa magufuli pia tumjue
Acha kufukuwa Makaburi 😂
Wao wanakula wananchi huku watu wanasumbuka