EXCLUSIVE: MJUE RIDHIWANI KIKWETE -MTOTO wa RAIS ALIYEPEWA KASHFA ya MADAWA CHINA na KUMILIKI SHELL
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- #exclusive #cloudsmedia #efm #simulizinasauti #history #wasafimedia #dullysantz #millardayo #santzmedia
USIDANGANYWE TENA FUATILIA MAISHA YA RIDHIWANI KIKWETE A-Z
• MAKALA ZA VIONGOZI🥂
OK, MMEAMUA KUMSAFISHA. HATA JIK HAIWEZI
Kumbe simulizi inaendana na kumsafisha mtu?
Mfikishie na hizi comment aliekutuma
Hatuhusu
Msafisho
Upuuzi, Umekosa habari za maana.
Umelipwa shilingi ngapi
Tuendelee kuipenda Nchi yetu!!!!!!
Jamani hebu mwogopeni Mungu,haonekani kwa macho ya nyama lkn yupo
Haloooo ya Ccm hamna kitu hapo wewe simulia tu ufanye kazi ya kumsifia wala hana nyota ya kupendwa ila upambe tu
Ndugu wewe ni Mtanzania kweli???
Mbona mama yake hatajwi?
Ili iweje kwa maelezo haya
Sijui utatumia lugha gani ili watu wakuelewe
Kivipi mkuu?
Kwann unamsifia kwann et Kuna nn et
Mtu anasifiwa kutokana na uhodari wake ,Ikitokea amefanya kitu chanya Kwa jamii sifa zake Atapewa Tu kwaiyo nawewe jitahidi Uje usifiwe kama Mhs;
Jamani huyu bibisikumoja nitienda kwake na bibiangu kimsrimia arikuwa hivi hivi na kanga hii irijitanda arikuwa mkarimi sana na mpendawatu mungu iraze roho yake mahar pema peponi amina kubwa pia tunamshuru mungu kwa kutuzaria mtu huyu mwamba wa charinze mungu mrinde mbunge wetu kwani nichaguo retu
Pia mumewe nirimkuta barazani umri huuu anasuka jamvi hawana makuu wazee Hawa wawir mtu na mumewe bibiangu bitirajabu msakamar armuita bibi Goya na mumewe arimwita murisho Asante kuturetea makara hii naitwa Aisha mtaura wa charinze miono huna baya aropewa kapewa cheo kinamruhusu kufanya biashara afanye tuu ajira zinaongrzeka Kwa vijana wetu
🇹🇿🤝
Muuza madawa ya kulevya ni nani
Yote ya Nini maneno hayo
Muuza unga ni muuza unga tu. Hakuna usiri.
Kumbe siku hizi hamna simulizi zaid ya kumsafisha mtu . Huku anawalipa bei ghali inaonekana
Mtajua wenyewe huko
Mkoani RINDI au LINDI,jifunze kwa kiswahili ndio ufanye hii kazi,RIDHIWANI sio LIZIWANI.
Sawa mkuu nitabadilika natumai video zijazo sitokuangusha💥📌
Wanaokota mananga yasiyojua kitu hata kiswahili ndiyo yawasafishe maana mweye akil😅. timamu hawezi kufanyahii kazi
Baba ,mama na mtoto wote wanakula nchi.
Ukiongea jaribu kuwa na Fact kidogo 😥
Huyo mwandishi kahongwa! Ridhiwani Ni Kweli Ni muuza unga na alishikwa China! Pumbavu anajisafisha saa hizi!
Huyu ni birionea mkubwa sanaa
Kiukweli Ridhiwani hausiki na uuzaji unga anayehusika ni Miraji sio Ridhiwani ni bahati mbaya watu wengi hawamjui Miraji ambaye ni mama tofauti na Ridhiwani
👊👊👊
Njaa mbaya. Na democrasia ni ushetani
Tuendelee kufanya kazi Kwa bidii "Njaa Hakuna
Hahahah😮
Mwamba flani ivi kutoka chalinze.
😂😂😂😂😂😂
Anamiliki sheli, sheli ndio Nini? Mbona hata kwenye kamusi yetu ya kiswahili hakuna?.. Usituharibie lugha, naona hata matumaizi ya R na L hayako sawa unatamka Rindi badala ya Lindi. Sahihisha makala yako kabla hujatoa jamii
Shukrani 🤝
Tafuta cha kuongelea😮uache uchawa
Unadhani kuzungumzia Maisha ya mtu Kwa wasiomfahamu ni uchawa !!!!!???🥺🥺🥺
Siwezi kumjua,bora watoto wa nyerere,huyo ni kibaraka wa wazungu, Rip JPM
😂😂😂
Mwandishi unatumia fagio gani mbona unasafisha sana atajuana huko mbinguni au motoni
😆😆😆😆
Upofu wetu atujui unajua wewe ayo tusimulie wtz mazombi wote. Ata majani ya mpapai yanafua nguo
Umepewa shilingi ngapi ndugu mwandishi kwa hii propaganda uliyoitoa?
Kwani wewe sio Mtanzania 🤓
Hivi nani alisababisha bandari ya bagamoyo apewe mchina kwa miaka 132? Kwa maslahi yake na family yake?🤔🤔
Embu Tujiulize wote sasa!!!🤔🤔
Ndivyo walivofanya ?Jamani watu walirogwa
JPM baba hebu rudi kwa namna ya kiMungu ushuhudie viroja vya watanzania
Ndivyo walivofanya ?
Yaylyagayagaglyaylylyagqyqyayqyayl
🤩🤩
Na wewe mwiz
😢😢😢
HUU NI MPANGO WA WATU MAHASIDI!!
RIDHIWANI ANATABIA NZURI KAMA ZA BABA YAKE,HANA MAJIVUNO WALA MAJITAMBO!!HILO LINAWAKERA WALE WENYE UHASIDI MNO!!
ANAFAA KUWA RAISI WETU MIAKA IJAYO!!
🤝
Kumbe kama za baba Yake bas tumeelewa
We ni zombi kweli..
Kafirwe na babaako shoga wewe
Mpuuz mwingine