Kumufuata Yesu Kristo kuna faida kubwa mno. WAGALATIA 3 26 Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu. 27 Maana nyinyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo. 28 Hapana Myahudi wala Myunani, hapana mtumwa wala huru, hapana mtu mume wala mtu mke, maana nyinyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu. 29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahim, na warithi sawasawa na ahadi. Amen !!!
Asante sana davista kwa kumrejesha shekhe tena. Then I request you to start working on kuanzisha mahojiano ya live ili nasi tuwe tukiuliza mhusika maswali live pia
Samahani huu ushuhuda ni wa muda mrefu ila nina ombi moja ndo nimeuona Kuna mahala alisema kuwa alimpakaa dawa binti akapotea akawa haonekani Sasa hajatupa jibu je baada ya kuokoka alimuombea binti na kumrudisha au alimuacha apotee hivyo??
Hapo kwenye baiskeli angekuwa bwana zablon angeeleza in details kwanza angeitaja jina la baiskeli,angesema alinunua wapi,lini na shilingi ngapi hahahahaha
Nmefrahi kumuona Mr Omary,,,lkn naomba mr #Dm muulize how comes yeye ameokoka na wakati huo huo Appearance inaoneshe he is muslim kuanzia mavazi na vingne,,au kazoea kuvaa kanzu,,,I'm sory kama ntamkera mtu🙏
Mavazi na kuitwa shekh sio tatizo..!! Yote HAYANA ubaya ktk dini yoyote.. vazi la kanzu ni vazi la waarabu na watu walio na asili ya kuvaa ivo.. ambapo Pia lilivaliwa tangu enzi za karne ya 1. Sheikh maana yake MZEE.. - mtu aliezidi miaka 50 au anaejua mambo meengi ya ukuu hata kama ni mdogo. Hata kwenye bibilia neno sheikh ipo.. so sijaona kosa kwa OMARY apo
Hii stori meamua kurudia kusikiliza upya, ila kila comment ya Muislam humu zimejaa chuki kwa huyu Mtumishi. Kiukweli kama kufunikwa ufahamu Waislam wamatia huruma, hasa wa huku Afrika. Waarabu wa bara Arabu walipigwa marufuku wasisome Biblia wala kuikalibia ili tu wasijue ukweli, sasa kutokana na muingiliano wa kusafiri na mitandao ya kijamii kujaa imefungua Waarabu wengi na wamempokea Yesu sasa hawa Maamuma wa huku hawajui kitu ila ndo vigego vya ubishi eti wamadai wanaweka misimamo bila kujitambua kama Majini ndio yanawafanya wawe hivyo.
Inaaailah wainaailaih raajiwun yaan ww ni njaa tuu inakusumbua nakuombea kwa allah akuzndue akili yako mapastor wachungaj wote sasa wanaingia ktk din ya haki huku kenya kwetu tushajua ni ipi din ya hak ww upo unaweweseka na njaa yako
Acha kujidanganya mwenyewe Quran 46 : 9 mohammed hajuwi kitakachofanyika juu yake au weye Islam ilianzishwa 610-632 AD afu unasema ni dini ya haki Wokovu ni kwa Yesu Kristo pekee hakuna mwingine
wakiristo wa saiv bwan wte ni watakstifu na wana bahat sana mn mpka saiv wao wanapata manabii na mitume wapya kila siku na kila anaeokoka anakutana au anafatwa na mungu chakusikitisha hii miujiza ya kushukiwa na mungu ni wao tu lkn kwa waislam hakuna icho kitu sio kwa mashekhe wala waumin wa kawaida hamn alieshukiwa na mungu....kwa mtazamo wangu hawa wanafatwa na mashetan wao wanasema mungu ndio hapo wanapoanza kupotea na kunza kutuletea maigizo hawajamaa ni wajuz wa maigizo ,,, haya huyu nae ametengua kifo duh huu mtihan sn istoshe huyu jamaa alipotea kwa kwnda kukamilisha hii story yake saiv ashatunga tyr amerud tna yaaan hawa wakiristo kirahis rahis tu wao wanaonana na mungu duh
Acheni ujinga,eti UKRISTO siyo dini!! Hivi,Uislam ndiyo dini?? Hata huwezi kulitoa pepo kwa jina la Mohammad,sasa hicho nini? Wala humuombi MUNGU kwa jina la MOHAMMAD maana hakusikii. Mtawapata hao wenye njaa wanafiki lakini sisi tunaouona umuhimu wa huyu CHRISTO YESU,hutuambii kitu. Kila mtu aamini dini anayoitaka,hamna haja ya kudharau dini za wengine. Dini haimpeleki mtu mbinguni,maana dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta MUNGU na si mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu. Mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu ni WOKOVU tu. Mungu awabariki sana.
@@husseinkiruta1712 Quran say so not God Almighty ok😎😂 Dini iliyonyooka,ya kuua wakristo?uchawi,wivu na chuki? Sasa kwa taarifa yako Mungu hana dini,yeye huuangalia moyo na matendo ya mwanadamu tu. Atakaye isikia sauti yake,kushika sheria na Amri alizoweka na kuzifa nyia kazi,MUNGU anamtaka mtu kama huyo tu friend,usijidanganye kwa dini yako ya kunyooka.😎
shekhe omari muogope mola wako hapa tunasikiliza ushuhuda wa ukweli mimi ndio naanza kukusikiliza part ya kwanza hii lakini maneno yako yamejaa uongo hili sijambozuri sisi tunaifatilia channel ya davister kwasababu ya uaminifu wake na ufuatiliaji wake wewe shekhe lakini hata dua hujui hata quran hujui muislamu gani wewe tena sheke
Huyu shekhe ni ni jina tu msifikirie ni sheikh wa waislam hakuna sheikh hasa wa kiislam alieingia dini nyengine wakati kishajua uislam ni dini ya haki haikutokea hio Muislam anaeingia dini nyengine ni muislam jina tu hana mvele hana nyuma.ila madri au askofu anaweza akiuona ukweli kwenye uislam huingia mzima mzima bila hongo wala tamaa ya kitu. Na mapadri wakiingia uislam wako radhi wanaacha mishahara yao mikubwa hawajali wanakwenda kuingia uislam kwa mola alie wa haki asiezaa na asie zaliwa na hana mfano wake. Ukweli ndio huo.
Unajua hujaelewa ukristo ndio maana unaongea usiyo ya jua mtu ameishi maisha anayo simulia wewe unaleta Udini huo ni ujinga hata mimi nimewahi kuishi maisha kama hayo
Shekhe Omar anajua vitu vingi sana vinatusaidia kujua siri za Shetani. Asante Yesu!
Karibu sana Mnyeshani thanks for coming back
Huyu Bwana ninakupenda sana...natamani siku moja...nionane naye ..MUNGU ambariki sana
😷🤙Nawatakia Eid Mubarak.. follows wote Wa davistar..
Asante. Nawe pia
Tunakupenda sana shekhe wetu ,acha Jehova Akulinde na familia yako.
Namfuatilia na namkubalu sana Mtumishi Omary
Nakuja Tanzania 🇹🇿 from USA 🇺🇸 kuwaona weye na yohana Ramathani,yohana kibavu na ule dada msomalia nawapenda sana nitumiye namba za simu tuongeye live
Uliwahi pata nambari zao?Nina nambari ya Moja wao
Welcome back Sheikh Omar we missed u
Leo Rangi nzuri sijui camera mpya...
All in All I'm happy 2 see mnyeshani again
Mhh mungu nifundishe kunyamanza kila mtu na mungu wake🇰🇪
Amen 🙏
God bless you man of God🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mnyeshani na Latino ni wazungumzaji Big up sana
Niandikie hiyo ya Latino niisikilize
Waooo....!
Karibu Sana Shekhe.
MM NI MMOJA YA WATU WALIOKUWA WANAMUULIZIA SHEKHE OMMAR KIUKWELI NASHUKURU SANA..SOMO LAKE TUNAENDELEA NALO KUJIFUNZA 🙏🙏🙏
Ewaaaaa. Davistar nashukuru. Mungu ni mwema
Hapo SASA asante Mr everything 🇰🇪🇰🇪
She mnyeshan namuelewaga sana kwa kweli anafundisha anaelimisha.
😭😭😭😭😢😢😢binadamu sisi ni chakula cha majini..jamani akuna jini zuri woteeeee ni maadui zetu wanakuja kwa njia tofauti ya uongo 😢😢😢😢😢😢
😂😂😂😂😂😂
@@josephemmanuel3175 nasikia uchungu kweli aiseee
Hakuna jini nzuri bro,majini ni malaika waliomuasi mungu
@@michaelmikemike467 😭😭😭😭😭😭
Kumufuata Yesu Kristo kuna faida kubwa mno.
WAGALATIA 3
26 Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu.
27 Maana nyinyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.
28 Hapana Myahudi wala Myunani, hapana mtumwa wala huru, hapana mtu mume wala mtu mke, maana nyinyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.
29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahim, na warithi sawasawa na ahadi.
Amen !!!
Mungu atusaidie
Shukrani kaka tunakuelewa tu kazi nzuri unayoifanya tena kwa utaratibu
Halleluya, God bless you
Hongereni kwa kaz nzuri
Mungu utumia watu kutufunulia ya gizani kupitia mitandao
Tafathali Tafathali shehe naomba sana unieleze pale uliachia Yani mamma sita Shetani anavyomjua Yesu!!
Daaah afadhali umemrudisha Uyu Bwana....big up
Wallah umejua kunifurahisha dav
Ni moja kati ya waalim ninaowafuatilia mno na nimejifunza mengi toka kwa huyu Mtumishi.
Asante sana davista kwa kumrejesha shekhe tena. Then I request you to start working on kuanzisha mahojiano ya live ili nasi tuwe tukiuliza mhusika maswali live pia
Nice story
Mwenye Namba za shehe Omary mnyeshani naomba anisaidia
Safi Sana broo
Pamoja dav endelea kutuelimisha 🙏
Am so happy
Inna lilahi wa iyna ilayhi rajiun
Shekheeee sasa hapo ndipo but Davistar bado umrudishe na jamaa Wa BAKORA ZA KIMKAKATI
Haha liked his story too
@@reyyathu8978 😀
Yupo Radio Free Afrika anatiririka KILA jumapili kipindi cha sintofahamu
@@heritier5119 nipo kenya haifiki huku nilitoka border
@@straightkonect1613 sikiliza online inafika
Safi sana subira huvuta heri na ndio yamefika
Samahani huu ushuhuda ni wa muda mrefu ila nina ombi moja ndo nimeuona
Kuna mahala alisema kuwa alimpakaa dawa binti akapotea akawa haonekani
Sasa hajatupa jibu je baada ya kuokoka alimuombea binti na kumrudisha au alimuacha apotee hivyo??
Hii ni part 1, tungonje part 2345.........
Kwa sababu ya shekhe nimebonyeza kengere
Mambo ndo kama haya Sasa mr everything
Jamaani nimefurahi sana mnyeshani yaàani siwezi kuelezea
Hapo sawa tulimmisii mnyeshani
Hapo sawa!
dav apo sawa twaeza tekwa
Big up Mr fact!!!!!
Jmn sijui nikubebe kunirudishia mnyeshani
Davi hapa mic yako iko far sana
Hapo kwenye baiskeli angekuwa bwana zablon angeeleza in details kwanza angeitaja jina la baiskeli,angesema alinunua wapi,lini na shilingi ngapi hahahahaha
Zabron A.K.A Bwana Misosi noma anakumbukumbu kinoma
Daaa nmekumbuka zabron bwana misosi ndo maaana ananenepeana sana
😂😂😂😂Angekuambia kama ilikuwa phonex Au ya gia
Hauna dini
Nimekubali
Nimefurahi sna kukuona tena Mnyeshani
Mr DM kipenzi asante ku leta Bwana Omari
Nawasalim sana kakangu zangu
Story nzuri sana ✨
Nilikuwa namsubiri sana
Kumbee🤣
😂😂😂😂😂🤝🤝🤝
Tuendelee Sasa
Vizuri kabisa,atueleze yule jini wake alienda wapi?
SAFI KABISA DAVISTAR MATA MTU MAKINI KABISA
Diamondi vs stamina
Yess
Nmefrahi kumuona Mr Omary,,,lkn naomba mr #Dm muulize how comes yeye ameokoka na wakati huo huo Appearance inaoneshe he is muslim kuanzia mavazi na vingne,,au kazoea kuvaa kanzu,,,I'm sory kama ntamkera mtu🙏
Hata Mimi nilikuwa najiuliza hilo. Na sana anatumia lafidhi za ki Islam. Ananichanganya
Mavazi na kuitwa shekh sio tatizo..!! Yote HAYANA ubaya ktk dini yoyote.. vazi la kanzu ni vazi la waarabu na watu walio na asili ya kuvaa ivo.. ambapo Pia lilivaliwa tangu enzi za karne ya 1.
Sheikh maana yake MZEE.. - mtu aliezidi miaka 50 au anaejua mambo meengi ya ukuu hata kama ni mdogo. Hata kwenye bibilia neno sheikh ipo.. so sijaona kosa kwa OMARY apo
Funua Siri za wachawi
Ndo mana napendaga interview ya davista yan penye manufaa anapauliza hasa
Sahihii
Pamoja sana
God is great
Hatuna udin sis
Faida nyingi za mbaazi tunaomba tuambiwe jamani.
Hii stori meamua kurudia kusikiliza upya, ila kila comment ya Muislam humu zimejaa chuki kwa huyu Mtumishi. Kiukweli kama kufunikwa ufahamu Waislam wamatia huruma, hasa wa huku Afrika. Waarabu wa bara Arabu walipigwa marufuku wasisome Biblia wala kuikalibia ili tu wasijue ukweli, sasa kutokana na muingiliano wa kusafiri na mitandao ya kijamii kujaa imefungua Waarabu wengi na wamempokea Yesu sasa hawa Maamuma wa huku hawajui kitu ila ndo vigego vya ubishi eti wamadai wanaweka misimamo bila kujitambua kama Majini ndio yanawafanya wawe hivyo.
Safi 🙏
Mjilani zangu mpo
Hujambo wngu😘😘😘🇪🇭🇪🇭
Nilikua nimeisubilia sana hii
Mnavyo pepesa macho utasema kuna maaskali wanakuja kuwakamata
Nataman neema ya wokovu inishukie
Ikushukie katika Jina la Yesu kristo alie hai
Kaka mpemawazo afunguw chanli yake atowe mafuzo
Njaaa itakufanya usemee owomgoo
Mung atunusuru na njaa, maan inatufanya tuseme uwongo.
Elimu haikamiliki when still living
Afadhal umempata tumalizie story yetu
Amerudi aisee
Mimi niwashaur tu kwamba mbali na kuskilza hiz stry tunatakiwa tujue pia mbinu au mipango anayoitumia shetan kumtoa mtu katika reli
@Mussa Salum Kiwango unachompimia ndicho utakachopimiwa
@@TITOtz kwa maana gani
Kabisaa
Ata watoa wasio kuwa na elimu ya dini na wale wanao babaishwa na miujiza
Iyo heading inamaanishann
Jamaa alienda wapi3?
Shehe kadanganya nashetani
Inaaailah wainaailaih raajiwun yaan ww ni njaa tuu inakusumbua nakuombea kwa allah akuzndue akili yako mapastor wachungaj wote sasa wanaingia ktk din ya haki huku kenya kwetu tushajua ni ipi din ya hak ww upo unaweweseka na njaa yako
We umekazana na dini mpaka Leo badala ya kutafuta wokovu
Hakuna alie okoka duniani mpaka kiyama tukihukumiqa ndo ukihukumiwa peponi ndo utasema wewe umeokoka kwa sasa huyo shekh kaangamia umelitadi
Acha kujidanganya mwenyewe
Quran 46 : 9 mohammed hajuwi kitakachofanyika juu yake au weye
Islam ilianzishwa 610-632 AD
afu unasema ni dini ya haki
Wokovu ni kwa Yesu Kristo pekee hakuna mwingine
Your allah is not alive how can he save someone😂
Mweke live siku moja
wakiristo wa saiv bwan wte ni watakstifu na wana bahat sana mn mpka saiv wao wanapata manabii na mitume wapya kila siku na kila anaeokoka anakutana au anafatwa na mungu chakusikitisha hii miujiza ya kushukiwa na mungu ni wao tu lkn kwa waislam hakuna icho kitu sio kwa mashekhe wala waumin wa kawaida hamn alieshukiwa na mungu....kwa mtazamo wangu hawa wanafatwa na mashetan wao wanasema mungu ndio hapo wanapoanza kupotea na kunza kutuletea maigizo hawajamaa ni wajuz wa maigizo ,,, haya huyu nae ametengua kifo duh huu mtihan sn istoshe huyu jamaa alipotea kwa kwnda kukamilisha hii story yake saiv ashatunga tyr amerud tna yaaan hawa wakiristo kirahis rahis tu wao wanaonana na mungu duh
Ulikuwa na mashetani ndio maana ulimuacha mkeo mrudie mkeo
😂😂😂😂😂😂🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂huo ugomvi ssa wa ngumi
Davista tuandalie Kanyerere na shekhe omari watuambie zaidi kama walijuana wakiwa humo au vpi
Acheni ujinga,eti UKRISTO siyo dini!!
Hivi,Uislam ndiyo dini??
Hata huwezi kulitoa pepo kwa jina la Mohammad,sasa hicho nini?
Wala humuombi MUNGU kwa jina la MOHAMMAD maana hakusikii.
Mtawapata hao wenye njaa wanafiki lakini sisi tunaouona umuhimu wa huyu CHRISTO YESU,hutuambii kitu.
Kila mtu aamini dini anayoitaka,hamna haja ya kudharau dini za wengine.
Dini haimpeleki mtu mbinguni,maana dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta MUNGU na si mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu.
Mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu ni WOKOVU tu.
Mungu awabariki sana.
Wew unawaza toa pepo tu
3;19 Qur'an .
Bila shaka dini ya haki mbele ya mwenyezi Mungu Ni uislam
Wapi andiko Ukristo Ni dini ?
6:125 Quran
Na dini hii ya uislam ndyo njia ya mola wako iliyonyooka
@@husseinkiruta1712 Quran say so not God Almighty ok😎😂
Dini iliyonyooka,ya kuua wakristo?uchawi,wivu na chuki?
Sasa kwa taarifa yako Mungu hana dini,yeye huuangalia moyo na matendo ya mwanadamu tu.
Atakaye isikia sauti yake,kushika sheria na Amri alizoweka na kuzifa nyia kazi,MUNGU anamtaka mtu kama huyo tu friend,usijidanganye kwa dini yako ya kunyooka.😎
@@husseinkiruta1712 CHRISTIANITY IS FAITH NOT RELIGION.
GOD ALMIGHTY HAS NO RELIGION.
REMEMBER THAT😂
Nilimsubir kwa hamu
Njia ya mrongo ni fupi
Sasa inamaanisha m'baazi hatakumbuka kana unaweza akasahau
Mnyesha” hii niliisuburi Kwa hamu
Nataka no ya davista
Mbaazi ni mti upi jameni?
hayanikuti mimi kabisa
shekhe omari muogope mola wako hapa tunasikiliza ushuhuda wa ukweli mimi ndio naanza kukusikiliza part ya kwanza hii lakini maneno yako yamejaa uongo hili sijambozuri sisi tunaifatilia channel ya davister kwasababu ya uaminifu wake na ufuatiliaji wake wewe shekhe lakini hata dua hujui hata quran hujui muislamu gani wewe tena sheke
Season one uliiona? Mana huu Ni muendelezo
@@upendoluv7197 hapana sikuiona
Duh
Alafu ulizia ile stori ya siku saba za wiki na siku ambazo ni bora zaidi kuanza biashara
Huyu shekhe ni ni jina tu msifikirie ni sheikh wa waislam hakuna sheikh hasa wa kiislam alieingia dini nyengine wakati kishajua uislam ni dini ya haki haikutokea hio
Muislam anaeingia dini nyengine ni muislam jina tu hana mvele hana nyuma.ila madri au askofu anaweza akiuona ukweli kwenye uislam huingia mzima mzima bila hongo wala tamaa ya kitu.
Na mapadri wakiingia uislam wako radhi wanaacha mishahara yao mikubwa hawajali wanakwenda kuingia uislam kwa mola alie wa haki asiezaa na asie zaliwa na hana mfano wake.
Ukweli ndio huo.
Ndugu yangu wewe bado upo gizani, ipo siku utajua ukweli ndipo utakapoona ulivyochelew kumjua MUNGU wa Kweli. usichokijua nisawa na usiku wa Giza.
Siku yamwisho hizo ndevu itakuwa ndo kamba yako ya kubanikiwa motoni shekh mzima una danganyika na shetani
Ukweli upi unaongea hapo
Unajua hujaelewa ukristo ndio maana unaongea usiyo ya jua mtu ameishi maisha anayo simulia wewe unaleta Udini huo ni ujinga hata mimi nimewahi kuishi maisha kama hayo
Kwani amerudi