.. Aksanti Davistar ; ushuuda iyi ilini jenga kweli... Mwenyezi MUNGU awapatiye nguvu ya kufanya kazi yake.. Thank you very much cheik Omari kwa ushuuda yako...
Sasa naona wengi wakusoma kua jamaa ana ponda Iman ya watu wengine lengo hapo sio kuponda mbona ilikuako story ya mchungaj kumbe ana tumia ushirikina kujaza watu kanisani kwake mbona kulikuako na watu wengi tumesikiia story na walikua chini ya vivuli vya dini ..sasa bx ndugu zang akuna anae semwa kwa Imani yake ila hapo story imekuja hapo kila asikiae na ajifunzeee uweza usijifunz story yote ila beba utacho ona sahihi .. asanten
Hizi story zimenifanya nijue mambo yaliyokuwa yakinitatiza sana, mfano mtu unaota jitu la kutisha linakukaba lakini kila unapojaribu kupiga kelele sauti haitoki. Wachawi si watu wazuri aisee!
Acha kukushufu dini. Mana hakuna majirani yenye kumjuwa mungu na kufata amri za mungu . Halafu wakakubali kumtesa binadam mana anajuwa kama atakuja kuazibiwa na mungu. Mana wapo majini wabaya na wazuri ambao ni mashetani mana mungu ameumba binadam na majini ili wamuabudu mungu ila majini walioasi ndio wale wafuasi wa ibilisi au dajal. Au lusifa. Amb ni mashetani. Na wapo waganga wanajita mashehe ambao ni washirikina au wanga . Kama vile mapadri wengi neo . Na kama majini wema ambao wanamuabudu mungu na kumuogopa katu hawawez kumtesa binadam mana wanajuwa watakuja kuazibiwa na moto .wewe mpumbav na stori zako za kuchafuwa dini . Mwehu kweli wewe
Dm naomba ukue unaanza na maombi na kufunga na maombi remember the evil one is watching,I speak psalms 23 over this whole testimony in the name of Jesus Christ.Ameen.
Huyu na wenzie walikuwa washirikina waliojivisha kivuli cha usheikh utawakuta hawatoki msikitini kila cku ataka aswalishe yeye kumbe anataka kujitakasa kwa watu aonekaniwe ni mwema kumbe ni bonge la mchawi hakuna dini iliyohalalisha uchawi broo
Mkisikiliza vizuri mta fahamu kitu km yeye alikua mchawi sasa mtu akiwa kiongozi wa dini kumbe kavaa tu ili afanye yake vizuti atakuavipi kiongozi hakuwahi kua muislam kwanza ila alikua muislam jina tu mana uislam unapinga ushirikina na pia yoyote anae mshirikisha mungu makazi yake moton
@@ireneassey753 km kuna before na after kwanini anatumia jina la before ajiite askofu sasa Mbona kina mazinge walkjuwa ma askofu walislimu hawaendelei na jina la kanisani yy kwann anauchafua uislam Hii channel ni ya kiki tu lkn tushawashtukia.
Ningeweza kusaidia sheikh kutoa pesa ya kununua ile shamba ili izifanyiwe ibaada ya kichawi,ajenge kanisa ,mimi niko kenya, number za sheikh zenye amepatiana haziingii...tutawasiliana aje pls???
Nitatuma pesa kwa number gani kwa shekh omary,juu yenye ulipatiana haingii, Mimi niko kenya,naomba tuongee na shekh omary ndio nijuwe venye ni tatuma pesa kwa account yake pesa ya kujenga kanisa.
Fundi sheikh Omary Mnyeshani.
Huyu binadamu ni 🔥🔥🔥 ana elimu kubwa sanaaa
.. Aksanti Davistar ; ushuuda iyi ilini jenga kweli... Mwenyezi MUNGU awapatiye nguvu ya kufanya kazi yake.. Thank you very much cheik Omari kwa ushuuda yako...
Huyu sheikh omary mnyeshani ana bonge la story nilishaisikiliza yote hadi mwisho mwaka 2015 ni story nzuri mno, mtaenjoy
Amaa Mimi ndio kwanza namuona leo Kwa davista
Ata mimi. Alienda adi kwa gwajma..kipindi kile alikua mfupi mdogo dogo saiz kanenepa sana
Hata mm nilisha wahi isikia hii
Alishakujaga shuleni namkumbuka vizr sana
Sasa naona wengi wakusoma kua jamaa ana ponda Iman ya watu wengine lengo hapo sio kuponda mbona ilikuako story ya mchungaj kumbe ana tumia ushirikina kujaza watu kanisani kwake mbona kulikuako na watu wengi tumesikiia story na walikua chini ya vivuli vya dini ..sasa bx ndugu zang akuna anae semwa kwa Imani yake ila hapo story imekuja hapo kila asikiae na ajifunzeee uweza usijifunz story yote ila beba utacho ona sahihi .. asanten
Kwa mar ya kwanz naingia 10 bora jamn like zang
Dume zima
@@gosbertmuta5421 makin
Hata mwanadam afanye nini mungu anatawala pamoja na Kristi yesu.
Asante bro DM kwa vitu vizuri barikiwa lakini wanafamilia tusisau kusubscribe kumsuport atleast afike 200 atoke kwa 180 tuonyesheni love jamaa
Pamoja dav ulipo nami nipo 🙏💪💪🇹🇿
Kwanza nawasalim hamjambo wapenxi wa sikiza ji nime wa miss sana nilikua bizz kikazi bt kwa sasa pamoja
Mr facts leo 🔥🔥🔥nikimaliza huku narudi tena kwua dogo Alawi 🏃🏃🙏
Uyu shehe mnyeshani Nisha msikiliza kwa promover au jackitani msafiri ni stori nzuri mno
Hata Mimi nilimsikiliza kwa jacktan
More fire dvs umetuletea shekhe mchawi due! Pamoko
Duuuh.subuhanaalah. umewatia hasira watu .utubu kwelikweli hazabu za mungu zinatisha
Nakukubali davistar 👍💪🏾❤️
Nimesikia kabisa vizuri
Hizi story zimenifanya nijue mambo yaliyokuwa yakinitatiza sana, mfano mtu unaota jitu la kutisha linakukaba lakini kila unapojaribu kupiga kelele sauti haitoki. Wachawi si watu wazuri aisee!
Kabisaaa
Kweli kabisa
@@ikabako2454 Hivi ni vitu ambavyo Science huwa inakisia kisia tu.Ukweli ndo huo. Science haiwezi thibitisha uchawi.
Jmn mm nina jini mahaba naenda kweny maombi lkn naota nafanya mapenzi mpk na mchungaji
@@ikabako2454 hayajakukuta funga mudomo broo
Asubuhi nawakilisha!!👍 Huyu Namfahamu Omar stori zake Hatari kishenzi Aisee 🤣🔥🔥
Kumbe kweli
Mmh wacha uongo nawew mkorofi
@@credo7837 Vipi 🤩 Bwana Mkorofi wewe huyu Nilishamskia stori zake humu UA-cam kabla hajafika kwa Davistar 👍 Stori yake
🔥🔥
@@tracyirene8917 wapi mbn hatuambizani mkorofi mwenzangu😘
@@credo7837 kabisa Mkorofi Mwenzangu !!👍
Aisee mnatusaidia sana kujua uonevu Wa shetani kwetu mana tumeteswa sana
Story nzuri kabisa nisikilize
Sisi tuko hapo tuna follow Mr everything karibu Kaka katika Yesu ndio utufunze kuacha dhambi na kuishia kwa Yesu
Blessed. Aysha. Aiyam. Kawthar. Khulood. Kalssam. Zuu. Fatma. Somoe. Laila. Neema. Hamad. Kevarist. Credo upo?. Sapna. Na wengine njooni. 🎈🎈🎈🎈🎈🎉🎉🎊🎊🎊🎉🎈🎈🎈🎉🎊🎊🤣🎈🎈🎈🎈
🤣🤣🤣wamelala hao ngoja wapitwee
Yaan mimi hunikumbuki kabisa unawaita wengine tu daah nakupeleka kwa lwanda magere upigwe mikwaju ya kimkakati
Thanks
@@pili3750 kweli apigwe bakora xa mikakati,
Hujaniita 😏
Gud...gud....
Hivi ni kweli au mnatunga
keep on with the good content mr everything i will contact you 1day to say thanks
Aisee huyu nae ni moto 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli?
Saaana🔥
Sana 😂😂😂😂 fumba machooo
Shehee omari
Divasta yule mzee uko naye kwenye kipindi raiya wa Liberia anaongea ukweli kuna sehemu anazitaja napafahamu Mimi nipo Liberia nafanya kazi huku
Kwan kujua sehem ndio kusema ukweli 😂 usinune lkn
Nakupenda sana bwana DM,
Aseeeh uyu kaka anaehojiwa namfahamu..yani stori yake ni baabu kubwa yan ...kwanza anajua kuongea mtapenda....
Itakuwa ndefu eee?. Alikuwa mwislamu alafu kaingia ukristo au?
Napenda kumsikiliza zaidi uyu
Twende kazi
Dav,unaniokoa Sana na hii elimu dunia
Daah hii kali kama zabloni
Tunapata elimu kupitia kipindi Iki asante
Nice story
Acha kukushufu dini. Mana hakuna majirani yenye kumjuwa mungu na kufata amri za mungu . Halafu wakakubali kumtesa binadam mana anajuwa kama atakuja kuazibiwa na mungu. Mana wapo majini wabaya na wazuri ambao ni mashetani mana mungu ameumba binadam na majini ili wamuabudu mungu ila majini walioasi ndio wale wafuasi wa ibilisi au dajal. Au lusifa. Amb ni mashetani. Na wapo waganga wanajita mashehe ambao ni washirikina au wanga . Kama vile mapadri wengi neo . Na kama majini wema ambao wanamuabudu mungu na kumuogopa katu hawawez kumtesa binadam mana wanajuwa watakuja kuazibiwa na moto .wewe mpumbav na stori zako za kuchafuwa dini . Mwehu kweli wewe
Dm naomba ukue unaanza na maombi na kufunga na maombi remember the evil one is watching,I speak psalms 23 over this whole testimony in the name of Jesus Christ.Ameen.
Wow mwengine
Ata kuokoka sio kwamaba ndio umepona kwani ata kwenye huo ulokole pia wapo mapasta wa uongo muhimu ungeacha mazingaombo ukadili namjngu tu .
Jamani masikini maiti wanapata tabuu kwa washirikinaa hawana raha jamani hee munawatoa mukiwakata vichwaa ee hee haya
Huyu na wenzie walikuwa washirikina waliojivisha kivuli cha usheikh utawakuta hawatoki msikitini kila cku ataka aswalishe yeye kumbe anataka kujitakasa kwa watu aonekaniwe ni mwema kumbe ni bonge la mchawi hakuna dini iliyohalalisha uchawi broo
Kumbe Umeona Hana lolote anataka kuaminisha Kuwa dini ya uislam ni majini muongo mtupu uyu Hana Cha ushekhe Wala nn
@@abdulhalimhumud1917 shauri yko wezio wanabarikiwa na ukweli wanasema...
@@seasonepisode3328 aaa hamna kaka uyu amelezea vby tofauti mana apa anaingiza udini
@@abdulhalimhumud1917 sasa kawa mkristo?
@@abdulhalimhumud1917 ametumwa
Aiseee......
Tumemiss sana
Mkisikiliza vizuri mta fahamu kitu km yeye alikua mchawi sasa mtu akiwa kiongozi wa dini kumbe kavaa tu ili afanye yake vizuti atakuavipi kiongozi hakuwahi kua muislam kwanza ila alikua muislam jina tu mana uislam unapinga ushirikina na pia yoyote anae mshirikisha mungu makazi yake moton
Mbona wako wachungaj pia wachaw kaio kila seem yapo aya mambo sema ndo ushikilie Imani wako ndo tunacho jifunza
Maana kila mtu anafany yake kwa kivuli cha din
Mbona skuizi sauti haiko poa kaka rekebisha, ili tu-enjoy vizuri kaka
P1 Mr .Dm
Majirani Mungu awaone
Namjua sana kupitia simulizi za media mbalimbali.
🔥🔥👂Pamoja sana
Good story
Davista hapo sasa mwambie KUNA mafunzo aliyokuwa anafundisha huku kenya hakumalizia naomba aendeleze KWA channel yake
Wa kwanzaaa🎉🎊🎊🎈🎈🎈🎈🎈🎈🎊🎊🎊🎈🎈🎈🎈🎉🎉🎉🎈🎈🎉
Hongera my
Hongera
Hongera bby
Huu niuongo hadi umeedite kuonyesha unacho kisema sicho
❤️❤️❤️❤️
Nilisha isikiliza redio safinaa
Hivi ata mi nahisi niliisikiza radio safina,,mhhh kumbe huyo ndo mhusika 🙄🙄🙄
Tuma namba ya mzee huyu shehe pastor
sauti bana au ni mimi siskii?
Hapo Sasa Davi hoji kabisa atoe siri
Dah
Yy alikuwa nauchawi ndomana hiyo nyama alionjaa yy nahaikuwa nasumu lkn paka akafa mwanga kweli ...sasa anakutesaa na hiyo lulu jamani mwili wauma sio mchezo
Omar mnyeshani
Fundi flani hv
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤝
Usisahau kutuwekea babu wa vitani
Hivi kwa nini Mashekhe wengi ni wachawi?
Vipi shekh halafu mkristo vitu viwili tofauti hivo wacha kutuzingua tutazinguana
Apo Kuna before and After
@@ireneassey753 km kuna before na after kwanini anatumia jina la before ajiite askofu sasa
Mbona kina mazinge walkjuwa ma askofu walislimu hawaendelei na jina la kanisani yy kwann anauchafua uislam
Hii channel ni ya kiki tu lkn tushawashtukia.
Mmmh anatokea kwetu 🙄
Asalam Aleykum😴😴🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Wa alaykum msalaam wa rahmatullahi wabarakatu
Hujambo Aysha
@@pilimusa7770 Alhamdulillah wngu
@@pilimusa7770 za kwako😘😘😘😘
@@pilimusa7770 😘😘😘😘😘😘😘
MASHEKHE nao duuuh
Hatari kweli.
@@pilimusa7770 yaaani duuh
@@credo7837 hatari
@@credo7837 atari na nusu mmmmm
Mambo vp mm Ni Mr muta Mr kilakitu ..... Niliwahi kumskza promovertv huyu Ni nouma
Ningeweza kusaidia sheikh kutoa pesa ya kununua ile shamba ili izifanyiwe ibaada ya kichawi,ajenge kanisa ,mimi niko kenya, number za sheikh zenye amepatiana haziingii...tutawasiliana aje pls???
Nitampata aje?
Nitatuma pesa kwa number gani kwa shekh omary,juu yenye ulipatiana haingii, Mimi niko kenya,naomba tuongee na shekh omary ndio nijuwe venye ni tatuma pesa kwa account yake pesa ya kujenga kanisa.
Hakuna anaeweza kuokoka hapa duniani... Uongo
Chessa mxee wamikakati na Omar zabron yani str zao zuri hata ukikosa mbs anaumwaa ghaflaa
Hatari sana
@@abbyadams8691 mwendo wakusikixaa pole pole
CHUO🙏💪💪🇹🇿
Kiarabu kilivyo kigumu wewe ulikuwa sharp kumbe lulu anaongea nawezake 😥😥😥
😂😂
Pmoja kaka davis
Please Davi work on ur sound the background music is too loud
Kama anaitaji Mimi kumsaidia kuulizia familia yake anaweza kunicheck wewe una number yangu ya what's up
😧😧😧🇰🇪
Niko kwa hewaaa
Irene vp kazuri wew😍😍
@@emmanueljosephati5328 POW asant mpnz
Davistar unatisha yani unapiga ndege wawili kwa jiwe moja haise wewe ni hatari, wakati tunasubiri ya mwanajeshi muhasi umeibuka na hii haise,
Noma sanaaa
@@djmtengwatz1099 kabisaa
Davister wasinzia
Duuuu watu tunatoka mbali sana
Mbona hakuna sauti jamani
Mtu makini katika ubora wako pamoja Sana Ka Ka angu wa ukweli endelea kutufundisha wanafunzi wako tunaelewa bila ya kutuchapa viboko
Hizi habari nyingi ni uongo ndani yake kama michezo ya kinigeria
Da unatisha ilimisha kaka
Huyu Jamaa ni Muongo kupita kiasi
Nilishawahi msikia wakati yupo na Gwajima na anakanisa lake Omary mnyeshani
Watatuu
Tunataka muendeoezo wa muasi,usitulazmishe kufutilia hathi zote,bando bei zmepanda sna mzee,
Dear una teseka ukiwa maeneo gani unalia na bando pole sana 😅😅😅😅
Utajua mwenyew ...😲😲
@@mariamripiti2137 🤣🤣🤣🤣🤣
We wawap jmn mbona bando zimelejeshwa zilivo kuwa hahaaa
@@pilimusa7770 😋😋😋
Nahicho kitambi ulikuw unapaa je sijui🤣
Hicho kimekuja baada ys kula sana nyama
@@aishaally8811 🤣🤣🤣Kumbe
😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbavu zangu uwiiiiiiii
@@ayshamahariq6665 🤣🤣🤣
Loo lulu shetani kabisa imeingia mwilini jamani maumivu hayo aisee nahikusemaa ama alikuxuia
Khaa leo tena davistar babu wapi
Kashaweka
Hujambo ndugu yangu
nimefufuka shoga🤣😂😂😂
@@arthamsharibbya9778 uwiiii kaw njoo artham kaja
KUNA PICHA FLANI NAIPATA KUHUSU YULE MTOTO WA MOROGORO ANAYEJIBU MASWALI YA HESABU MAKUBWA
Hata mimi ime nijia hio kwa akili
Ili nalo ni bonge searz amini kwamba....
Nyingne weweweweeeeeeee
Davistar umeshaanza mastori ya UONGO KAMA GWAJIMA. 😏
hii channel nlikuwa naikubali lakini sasa. No.
Ukapimwe mkojo
Kwa nini huipendi tena?
@@venantmshema1000 😂😂😂tena akapimwe mpaka na mavi sasa uongo apo uko wapi wanadamu kwanini hatupendani jamani
@pili na @Sharifa hamisi sawa mi nipimwe mavi, ila ipo siku mtanielewa tu. Stori si IMEWANOGEENI hata kutafakari hamtaki. Endeleeni.
@@just_this_way sijakwambia upime mavi mie
Kumekucha
Halina muislam anaweza fanya ivo ebu tuache sisi waislam usituchafulie jina eti shekh omar
Shetani hana mipaka ana ingia popote
Haya kumekucha njoo mafans wenzangu
Tuko pamoja DM
Sana
Sanaa❤❤❤❤
Hivi wazungu wapo kweli wachawi
uchawi uko kila coner
Tena uko ndo kuna most wizard!!!!
@@moreenmbatha1147 mwambie huyo.
yaani bwana huku kwetu kuna mtu alikutwa na misukule wa kizungu sijui aliwakuta wapi 🤣🤣🤣
@@jzeltv.3036 😂😂😂😂😂😂😂😂