Kusema huku sawa kule sio sawa ni mambo ya kibinaadam... ila. Kwa upande wangu nimemuona..MUNGU wazi kwahiyo siwezi.. kumlazimisha.. wala kumshawishi... akijifunuwa ataupokea wokovu.. mimi Quran na biblia na khadith... uislam.. navijua vizuri sana. Tunaweza kujuwa kuwa huyu yupo sawa kwa namna ya maisha yako... hakuna shekh hata mmoja... na aje .. mie nintafanya maombi mbele yake kama... hana jini.. na hatopanda..mie naweka nadhali vitu viko wazi .. ila watu tunamitazamo tofauti...MUNGU hana dini... ALLAH anayo Dini na anaswali anamswalia muhhamad... MUNGU mwenyewe ni kila kitu... hawezi kuwa na utamaduni
Kumufuata Yesu Kristo kuna faida kubwa WAGALATIA 3 26 Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Yesu Kristo. 27 Maana nyinyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo. 28 Hapana Myahudi wala Myunani, hapana mtumwa wala huru, hapana mtu mume wala mtu mke, maana nyinyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu. 29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi mmekuwa uzao wa Ibrahim, na warithi sawasawa na ahadi. Amen !!!
Yaani huyu jamaa anasema Mambo ya kweli kuzingatia ameiexperience spiritual world he is very intelligent,kweli shetani huwa hamchukui mtu ambayo hana kitu
MUNGU AMLINDE HUYU MWAMBA ANA MADINI Mzee safi sana huyu yaan ameniaminisha kuwa kristo ndio njia ya uzima Kuanzia leo ntakuwa najifunza biblia maana ni kitabu safi mno
Wakristo kuna kitu cha kujifunza sana kuwajali watu anaoanza kuokoka yaan wachanga kiroho yaan nimeuliza sana na waliookokawalichomfanyia huyu mtu kuna namna ya kutenda baada ya kuokoka ni rahisi kuwapoteza hawa watu kma hakuna upendo na kuja kudaiwa damu yao kwa walioshindwa kumsaidia huyu mtu
Nikweli usemacho lakin kila mtu ana namna yake ya kuokoka mwingine anapitia mitihani kama ya huyu jamaa na haachi wokovu kuna muda Mungu au shetani anaweza kuwatia ugumu hao waliokoka kushindwa kumuhendo mtu ilitu aimarkie au kama mpango Wa shetani ili arudi nyuma lakin alieitwa na Mungu hawezi kuacha wokovu
@@rosecruiz4348 anayo ongea siyo anapotosha, alikua mshirikina na mshirikina katika dini ameambiwa akifa hali ya kuwa hajatubu,makazi yake ni jahannam.✍️✍️✍️✍️ Huyu nimchawi, mganga UISLAM hauruhusu
Ukristo sio dini kwani kabla ya kuja Yesu hakukuwa na Ukristo. Hata yesu mwenyewe hakusema alileta Ukristo. Ni mataifa ndo yaliwaita wanafunzi ya Yesu kuwa Wakristo. Yesu alileta habari njema, Vp hutaki habari njema?
Oi oi oiiii Davistar tuandalie huo mpambano! Hapa ishu sio Udini bali ni kufundisha watu ili kila mtu afanye maamuzi sahihi. Ni ujinga mbaya kuamini kitu usichokijua.
Dini gani ulio iacha Wewe njia yako ya maisha ilikuwa Uganga uchawi na ushirikina. dini yako ilikuwa ni hio. Usijusingizie ulikuwa mwislamu. Ukumbuke story yako Ulisema mwenyewe uislamu ulibandikwa tu.
Davista plz muambie Mnyesheni aache uongo wakujadili maswala ya dini na wala hana elimu yoyote Heri asimulie story yake yeye tu alivyo asi na kuua watu wengi
Definition ya dini ni "way of life "!!! Muisrael yuko radhi kufa kuliko kuwa Mkristo, Davista, majibu unayoyatafuta hata Mnyeshani hana! Unatafuta tu kumchonganisha na Biblia imekataza mijadala ya hivi! Kama unataka ukweli ingia magotini muulize Mungu na si binadamu maana wote tunachoongea ni mitazamo yetu kulingana na tunachoamini, mazingira yetu, tulichosoma etc! Muombe Mungu majibu coz wote ni binadamu ambao ufahamu wetu Mungu ameulimit!
Mwambie shekh Yeremia 8;8.. imeandikwa hivi mwasemaje Sisi tuna akili na torati ya BWANA. Tunanayo pamoja nasi?? Lakini tazama kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo... kalamu ya uongo ya wasndishi waongo imeandika uongo juu ya torati...
Yani tungebaki kujifunza tu kutoka kwawatoa story na s kubeza au kutukana s nzuri kila mtu abaki na imani yake maan hapa naona wengi wanamlaum mnyeshan ila mjue anacho kiongea ndio explains yake ila ww ubak na unacho kiamni wewe usimdhalau mwingine ww yakupasa usikilize na tujifunze nahakika kutoka kwao kunavingi utajifunza sina hakika kama unavijua vyote bado tuko darasan
Mwaswali amboyo Vista unauliza yatamfanya Munyeshani aonekane mbaya kwa watu wengine. Ukitaka kujua mengi kuhusu dini fanya uchambuzi wako. Pia angalia David Wood, Sam Shamoun, Dan Gibson, Jay Smith wote Hawa wapo UA-cam. Vista mchanga sana kwenye maswala ya dini.
Bibilia imebadilishwa isa alipaa mbinguni kwaininyie wa bibilia munasima isa amafariki hapo davistar tunataka kina manzinge na huo ili watufafanulie vizuri
Ndugu kama mpaka leo hujaokoka basi jua kuzimu ya Majini inakuhuhusu na ndio basi tena tumia akili yako ya kibinadamu usitumie nguvu ya Dini utakua unapotea huku unajiona Yesu ndo kila kitu na ndio msaada kwako
Davistar huyu mtu kakuambia kasomea uchawi na kufundisha uganga wa kienyeji na kabadili dini kuwa mkristo, sasa mbona unamuuliza kuhusu uislam. Ungemuuliza mambo ya kichawi na kiganga kwa sababu ndiyo aliyosomea na kakwambia. Ukitaka uislam muulize muislam.
Nashukru kwamba umesema ukweli juu ya ipi ni njia sahihi bila kuogopa , Mungu akubariki...
Shekhe nimekubali kwakweli umefunguliwa macho, Mungu wa Bwana Yesu akubariki,
Huwa nafurahi nikiona watu wanaongelea mambo ya Mungu ❤ Mungu awabariki nyote ❤🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇨🇩🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺
Saafi kbsaa mnyeshani,, Bwana akuongoze na kukulinda
Mungu akuongezee neema uzidi kumjua yesu na akutumie uwavue wengi waje kwanke yesu ndo njia ukweli na uzima. Yesu anapenda sana waisilamu waje kwake.
Amen mtumishi. Ubarikiwe
Bwanayesu asifiwe🤝
Ameen🙏
Amen
Amen
Amen
Davista unazngua hii story nimefoward sana kupata mwendelezo wa story
na Musa na Haron walkua miaka mingi sana kabla ya Yesu
Kusema huku sawa kule sio sawa ni mambo ya kibinaadam... ila. Kwa upande wangu nimemuona..MUNGU wazi kwahiyo siwezi.. kumlazimisha.. wala kumshawishi... akijifunuwa ataupokea wokovu.. mimi Quran na biblia na khadith... uislam.. navijua vizuri sana. Tunaweza kujuwa kuwa huyu yupo sawa kwa namna ya maisha yako... hakuna shekh hata mmoja... na aje .. mie nintafanya maombi mbele yake kama... hana jini.. na hatopanda..mie naweka nadhali vitu viko wazi .. ila watu tunamitazamo tofauti...MUNGU hana dini... ALLAH anayo Dini na anaswali anamswalia muhhamad... MUNGU mwenyewe ni kila kitu... hawezi kuwa na utamaduni
Joseph nahitaj mawasiliano yako please je naweza kuyapata Kwa njia gani
Yesu ni njia na ukweli daima
Mnyeshani anafundisha vizuri Sana Kama ujamuelewa uwezi kumuelewa Tena Mungu amtie nguvu
Kumufuata Yesu Kristo kuna faida kubwa
WAGALATIA 3
26 Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Yesu Kristo.
27 Maana nyinyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.
28 Hapana Myahudi wala Myunani, hapana mtumwa wala huru, hapana mtu mume wala mtu mke, maana nyinyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.
29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi mmekuwa uzao wa Ibrahim, na warithi sawasawa na ahadi.
Amen !!!
Asante🇰🇪🇰🇪
Aminaaàaaaa kwa Yesu raha sana.
Yaani huyu jamaa anasema Mambo ya kweli kuzingatia ameiexperience spiritual world he is very intelligent,kweli shetani huwa hamchukui mtu ambayo hana kitu
Daaa! Davista unaaibisha kweli mkristo hana dini amekirimiwa jina lipitalo maji a yote ambalo ni Yesu acha uongoo
Nyoa ndevu mtumishi.
Kwakweli nimekubali wewe ni mtumishi wa kweli, Mungu akubariki?
Hehe
MUNGU AMLINDE HUYU MWAMBA ANA MADINI
Mzee safi sana huyu yaan ameniaminisha kuwa kristo ndio njia ya uzima
Kuanzia leo ntakuwa najifunza biblia maana ni kitabu safi mno
Good
Wakristo kuna kitu cha kujifunza sana kuwajali watu anaoanza kuokoka yaan wachanga kiroho yaan nimeuliza sana na waliookokawalichomfanyia huyu mtu kuna namna ya kutenda baada ya kuokoka ni rahisi kuwapoteza hawa watu kma hakuna upendo na kuja kudaiwa damu yao kwa walioshindwa kumsaidia huyu mtu
Nikweli usemacho lakin kila mtu ana namna yake ya kuokoka mwingine anapitia mitihani kama ya huyu jamaa na haachi wokovu kuna muda Mungu au shetani anaweza kuwatia ugumu hao waliokoka kushindwa kumuhendo mtu ilitu aimarkie au kama mpango Wa shetani ili arudi nyuma lakin alieitwa na Mungu hawezi kuacha wokovu
Mmmmh Munatuchanganya Sasa huu mjadala hauwezi kwishaaa imepigwa midahaloo weeee Ww Mf fact mtafute Shekh Mazinge atakujibu vzr
😁😁,,,Tule injili kdg then tuendelee na safari🤝
Wakutanishe kabisa... Itakuwa Safi sana
Ubarikiwe
Dnii ni wema wako unayofanya kwa binadamu wenzako🙏💪🔥🇹🇿
Unaharibu Chanel muda si mrefu . Jitahidi kuepusha mijadala ya kidini
Kaka!
JAMAA EMEFAFANUA VIZURI SANA KUHUSU UKRISTO, AMENIFUMBUA UFAHAMU
uislamu imekuja zaidi ya miaka mia sita baada ya Yesu, mwenye akili asiulize jambo
Umeongea hapo ubarikiwe
@@luluamin1388 exactly, 600yrs after Christ, kwa nini Allah akutambua ukweli mapema angoje iyo generation yote ipite, ama Allah akujua
@@luluamin1388 mitume waliokua kabla ya Yesu na mafarisayo hafi leo wanamungoja mesiah ambaye watamuona, allah hajui pia kama sisi
@@luluamin1388 hatumuabudu Mungu moja, utajua ikiwa very late, Yesu ni Bwana
@@luluamin1388 vipofu kama wewe walikosa kumtambua Yesu kwa sababu yao binafsi,
Sheikh Omary imenifunza kweli
zile jerojero jmn tumtumie mr aendelee kupata nguvu ya kuleta mafundisho
Yaani nakupenda bure mtumishi wa MUNGU shekh Omar natamani tukutane hata kama n dakika 10 tu
Huyu jamaa kichwa Sana....
Davista maubiri yamekuwa mengi sana mpaka inaboa. Kama inawezekana mkutanishe na Kina Mazinge ili wawekane sawa. Nawenyewe walikuwa wakristo.
Kabisaa👏👏👏👏👏👏👏👏💃💃💃💃💃💃🎊🎊🎉🎉🥳🥳🥳🥳🥳
Shehe anaongea vizur sana shida IPO kwa huyo mwandishi was habar hajui kuuliza maswali hajaiva vizur anapoteza mtiririko mzur wa maelezo ya shehe
uko sawa kabisa
History au mjadala wadini umeishiwa story
Haja ishiwa kuna vitu ulikua huvijui una. elimishwa
Truth shall set you free.tusiongope kusikiliza imani zote tumeletewa.hats ukristo ni matendo mema sio kujisikia mkristo wakati ni mnafki.
Huwi mwilamu
Kama unamkanusha nabii
Issa. (Yesu)
Ukristo cyo dini ni imani
Point
Ongea ukweli kaka wajue...maana hivi kujua ni ngumu na anaetaka kupinga basi..ajitokeze.
Nakukubali sana mjeshani
Naona leo ni mjadala 🙅😴😴😴😔😟😬😯😣😖😞😫
Wapendwa mungu ni mmoja, mtu ashikile penye yuko, kuingiliana kidini hakufai please 🙏
Waambie wewe @Agnes Mwaizinga 🇰🇪👏👏
Hakuja ingiliwa dini hapa nikujuzana tu
@@rosecruiz4348 anayo ongea siyo anapotosha, alikua mshirikina na mshirikina katika dini ameambiwa akifa hali ya kuwa hajatubu,makazi yake ni jahannam.✍️✍️✍️✍️ Huyu nimchawi, mganga UISLAM hauruhusu
Ukristo sio dini kwani kabla ya kuja Yesu hakukuwa na Ukristo. Hata yesu mwenyewe hakusema alileta Ukristo. Ni mataifa ndo yaliwaita wanafunzi ya Yesu kuwa Wakristo. Yesu alileta habari njema, Vp hutaki habari njema?
Davistar anaejua aliye sawa au la ni Mungu pekee, tuendelee na mjadala wetu,unaharibu mdogo wangu
Story nzuri sana ✨
Safari ya bingu ni defu hina vikwaso mingi jiyani tutafute jiya ya kweda binguni🙏✨
@@margaretachieng9887 hahahaha!!
Niliipenda hii story
Lkn umeikosea saana quruan
Na mtume wetu Mohd
Huwo ndio ukweli wa mambo quran ni kitabu cha majin
@@rosecruiz4348
Huwezi sema kitu hukijuwi
Wala kukana kitabu change mwenzio, katafute Ukweli kisha zungumza
Ulitaka kwenye uislam kusigiswe
@@mussakeston5768 akasome Kwanza kisha ndio aseme
Mimi siwezi zungumzia kitu chochote kama cna uhakika nacho
Sasa kwenye dini ndio kabisaa
@@selmaselma8452 huyo Shekh kasoma Madrasa huyo
Dini ni njia ya maisha
Nimeelewa
Oi oi oiiii Davistar tuandalie huo mpambano! Hapa ishu sio Udini bali ni kufundisha watu ili kila mtu afanye maamuzi sahihi. Ni ujinga mbaya kuamini kitu usichokijua.
Leo kuna kitu umenifumbua masikio yangu shehe omar
Kaka tunaomba muendelezo wa hii video...
Yn ww Davista uongei...lkn unaonekana unachoka sana kuliko waongeaji..mara maji mara cjui macopo ya Energy..khaa .
😅😅🤣
*DAVISTA NAOMBA USISAHAU KUMUULIZA NINI ALICHOSOMA KUHUSU YESU MAANA ANASEMA KWENYE ELIMU ALIOISOMA KIPINDI AKIWA MCHAWI WALIMZUNGUMZIA KIUNDANI*
Msikilize vizur this guy anajua kuhusu Yesu sana
mkutanishe na sheikh mazinge uyo kama anaweza kweli
Dini gani ulio iacha
Wewe njia yako ya maisha ilikuwa
Uganga uchawi na ushirikina.
dini yako ilikuwa ni hio.
Usijusingizie ulikuwa mwislamu.
Ukumbuke story yako
Ulisema mwenyewe uislamu ulibandikwa tu.
Davistar mm naona mambo ya dini ungeachana nayo bro twendelee na story unatuchelewesha tu
Hamtaki dini yenu ya uongo iguzwee😂😂
wapenda mambo ya kichawi
Asipende kutumia Simu kusoma Neno La Mungu,Mnapomuarika ajitahidi kuja Na Biblia
Davista plz muambie Mnyesheni aache uongo wakujadili maswala ya dini na wala hana elimu yoyote
Heri asimulie story yake yeye tu alivyo asi na kuua watu wengi
Uwo ndio ukweli... Sasa unachokataa nn.
Wallah nimecheka 15:10 minutes
Uyo anayejita omary naisi qruwan aijuwi aendelee na mada nyingine
Kabisaa
mbona story ya yule dada wa tarakea huiweki davista unazingua duh umekazania tu huyu sheikh
Tumeingoja kweli
@@pilimusa7770 yani amekazania huyu sheikh
@@estermosha1985 hatari.
Definition ya dini ni "way of life "!!! Muisrael yuko radhi kufa kuliko kuwa Mkristo, Davista, majibu unayoyatafuta hata Mnyeshani hana! Unatafuta tu kumchonganisha na Biblia imekataza mijadala ya hivi! Kama unataka ukweli ingia magotini muulize Mungu na si binadamu maana wote tunachoongea ni mitazamo yetu kulingana na tunachoamini, mazingira yetu, tulichosoma etc! Muombe Mungu majibu coz wote ni binadamu ambao ufahamu wetu Mungu ameulimit!
Safi sana
Davsta unazingua story mnaacha mnaenda kwenye dini
Jaman me naamin kuna dini moja ambayo ni Islamic naamin qur'an maana ni tukufu na sioni sababu za kuleta maswala ya dini hapa acheni bana😒😒
Uko uliko unapoteza wakti
Mwambie shekh Yeremia 8;8.. imeandikwa hivi mwasemaje Sisi tuna akili na torati ya BWANA. Tunanayo pamoja nasi?? Lakini tazama kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo... kalamu ya uongo ya wasndishi waongo imeandika uongo juu ya torati...
davist unazingua unaanza mijadara ya dinitena?
Kwa nini waislamu dini yeni ikimurikwa mnakuwa na homa sasa au mnajua mnaishi kwenye glass house
Mie nawasalimu sana lakni hapo kwa huyo jamaa kuhusu mambo ya dini yataka ufahamu mkubwa sana kaka
👏👏👏👏
Omary angekutana na Latino kwenye bato ya dini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ingekuwa hatari
Hatareeeee snaaaa yan angleza hyu omar
😀😀😀😀😀
Ingependeza Sana maana Latino Ni noma Sana
Davistar naomba namba ya omar munyashani plz
Naona jini kisirani kaingia kati 😀😂😂🤣🤣 15:14 minutes
Naomba namba ya mnyeshani
Napenda kuangalia iyi Chanel lakin kwambo ya dini apo mtakosea sn ushaur wabur kabla utajaanza kupungua umu
Hicho chuo ya Fal noor kipo mkoa gani?
Hey,
Muulize kuusu MALILA ndio tuelimike zaidi
Wewe Ni kuongo wapi mtume Muhammad SWW alisema kwambia bilbia ime punguza maneno
Mimi sijapata Video inayofatilia 6 😭😭😭😭😭
Tunaomba namba yako ili tukae MUNAQASHA Tafadhali
Yani tungebaki kujifunza tu kutoka kwawatoa story na s kubeza au kutukana s nzuri kila mtu abaki na imani yake maan hapa naona wengi wanamlaum mnyeshan ila mjue anacho kiongea ndio explains yake ila ww ubak na unacho kiamni wewe usimdhalau mwingine ww yakupasa usikilize na tujifunze nahakika kutoka kwao kunavingi utajifunza sina hakika kama unavijua vyote bado tuko darasan
Mambo safi
Nimewai leo
Koran si ya kuaminika hata kidogo. Hasira ruksa.
ww ushirikina hujaacha bado
Mwaswali amboyo Vista unauliza yatamfanya Munyeshani aonekane mbaya kwa watu wengine. Ukitaka kujua mengi kuhusu dini fanya uchambuzi wako. Pia angalia David Wood, Sam Shamoun, Dan Gibson, Jay Smith wote Hawa wapo UA-cam. Vista mchanga sana kwenye maswala ya dini.
Kabisaa. Yani umesema maneno mazuri comment zako zote
Kaka utatupunguza kwakweli udini usiupe nafasi acha mtu aongee matukio aliyopitia na sio kuhubiri
Traffic katisha
Wakwaaanza tena....tuburudikeni
Hongera
Acha mambo ya ku discuss dini kila mtu aamini anacho amini
Kweli kabisa
Kabisaa
Lazima kweli ijulikane.
Mnapenda discution za na story za kichaw ila sio mungu
devister uyu mshirikina ingelipendeza uka mkutanisha na sheikh mazinge asijitambe apo ana potosha jamii hana lolote muongo mkubwa uyo
Huyo shekhe mazinge wako, ashawahi kukutana na hiki kichwa akakimbia🤣🤣🤣🤣🤣
@@igurusitv6553 ulimkutanisha nae ww au na wapi
@@aboubakarhidad2886 usitoe povu bwana mdogo, UA-cam si ipo tafuta
Bibilia imebadilishwa isa alipaa mbinguni kwaininyie wa bibilia munasima isa amafariki hapo davistar tunataka kina manzinge na huo ili watufafanulie vizuri
Ndugu kama mpaka leo hujaokoka basi jua kuzimu ya Majini inakuhuhusu na ndio basi tena tumia akili yako ya kibinadamu usitumie nguvu ya Dini utakua unapotea huku unajiona Yesu ndo kila kitu na ndio msaada kwako
👂👂🔥👂
ndugu mwandishi huwezi kuuliza kama waislam wapo sawa au hawapo sawa!!! anaeweza kujibu hilo swali ni MUNGU pekee.
Davistar huyu mtu kakuambia kasomea uchawi na kufundisha uganga wa kienyeji na kabadili dini kuwa mkristo, sasa mbona unamuuliza kuhusu uislam. Ungemuuliza mambo ya kichawi na kiganga kwa sababu ndiyo aliyosomea na kakwambia. Ukitaka uislam muulize muislam.
😁DAVISTA NI KWELI WAKUTANISHE OMARY NA HUYO SHEKH NI BONGE LA INTAVIEW AISEE
Wenye akili kama mm ndio wanawajua ww ni nani na unatumikia nini.
Kabisaaa
davista mbona mnaleta dini sasa khaaa jaman mnatuchanganya kila mtu asimamie imani yake tu
Huyu dawa yake shekhe mazinge
Kabisa yaani
Kabisaaa
Huyo ni shehena
😀😀😀😀
Davi mbona kama umenyeshewa 🤣🤣😂😂🤣😂
Din iachen jaman
Mnaona kaz iyo 17: 20 minute, niliwambia uko nyuma kwamba huyu jamaa ninawas was nae hivi bado hamjaelewa tu kilichopo.
Mimi naona hapo ukristo na uisilamu ni moyo wako vile una mtumikia mungu ua mini mungu tu na yesu kristo aingie ndani yako utakua umeokoka
kwa wa Kristo njia ni moja ambaye ni Yesu Kristo ambaye hao wamemkata