PART5:SHEKHE OMARY MNYESHENI ALIOKOKA/UKIRISTO SIO DINI/MUUAJI MISUKULE 39/NILIWAUA KWA SABABU HIZI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 309

  • @frankmtei3017
    @frankmtei3017 3 роки тому +13

    Nashukru kwamba umesema ukweli juu ya ipi ni njia sahihi bila kuogopa , Mungu akubariki...

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 3 роки тому +4

    Shekhe nimekubali kwakweli umefunguliwa macho, Mungu wa Bwana Yesu akubariki,

  • @estatekisombola9251
    @estatekisombola9251 3 роки тому +7

    Huwa nafurahi nikiona watu wanaongelea mambo ya Mungu ❤ Mungu awabariki nyote ❤🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇨🇩🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺

  • @presenttruthloudcryforthel5338
    @presenttruthloudcryforthel5338 2 роки тому +3

    Saafi kbsaa mnyeshani,, Bwana akuongoze na kukulinda

  • @sharonwalubengo7628
    @sharonwalubengo7628 2 роки тому +1

    Mungu akuongezee neema uzidi kumjua yesu na akutumie uwavue wengi waje kwanke yesu ndo njia ukweli na uzima. Yesu anapenda sana waisilamu waje kwake.

  • @MzeeKigogo_
    @MzeeKigogo_ 3 місяці тому

    Amen mtumishi. Ubarikiwe

  • @ryhislamminamuonamsengetu9111
    @ryhislamminamuonamsengetu9111 3 роки тому +18

    Bwanayesu asifiwe🤝

  • @Chrishenryson-beats
    @Chrishenryson-beats 3 роки тому +5

    Davista unazngua hii story nimefoward sana kupata mwendelezo wa story

  • @damarismbatia2029
    @damarismbatia2029 3 роки тому +4

    na Musa na Haron walkua miaka mingi sana kabla ya Yesu

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 3 роки тому +3

    Kusema huku sawa kule sio sawa ni mambo ya kibinaadam... ila. Kwa upande wangu nimemuona..MUNGU wazi kwahiyo siwezi.. kumlazimisha.. wala kumshawishi... akijifunuwa ataupokea wokovu.. mimi Quran na biblia na khadith... uislam.. navijua vizuri sana. Tunaweza kujuwa kuwa huyu yupo sawa kwa namna ya maisha yako... hakuna shekh hata mmoja... na aje .. mie nintafanya maombi mbele yake kama... hana jini.. na hatopanda..mie naweka nadhali vitu viko wazi .. ila watu tunamitazamo tofauti...MUNGU hana dini... ALLAH anayo Dini na anaswali anamswalia muhhamad... MUNGU mwenyewe ni kila kitu... hawezi kuwa na utamaduni

    • @abdimohamed3953
      @abdimohamed3953 3 роки тому

      Joseph nahitaj mawasiliano yako please je naweza kuyapata Kwa njia gani

    • @robertchujagi8137
      @robertchujagi8137 Рік тому

      Yesu ni njia na ukweli daima

  • @jersonmpeka4984
    @jersonmpeka4984 Рік тому +1

    Mnyeshani anafundisha vizuri Sana Kama ujamuelewa uwezi kumuelewa Tena Mungu amtie nguvu

  • @SunguraShabani
    @SunguraShabani Рік тому +1

    Kumufuata Yesu Kristo kuna faida kubwa
    WAGALATIA 3
    26 Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Yesu Kristo.
    27 Maana nyinyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.
    28 Hapana Myahudi wala Myunani, hapana mtumwa wala huru, hapana mtu mume wala mtu mke, maana nyinyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.
    29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi mmekuwa uzao wa Ibrahim, na warithi sawasawa na ahadi.
    Amen !!!

  • @jossyayielo7576
    @jossyayielo7576 3 роки тому +4

    Asante🇰🇪🇰🇪

  • @Priscachales-fi9ti
    @Priscachales-fi9ti 11 місяців тому

    Aminaaàaaaa kwa Yesu raha sana.

  • @joycesycherlwy3835
    @joycesycherlwy3835 3 роки тому +1

    Yaani huyu jamaa anasema Mambo ya kweli kuzingatia ameiexperience spiritual world he is very intelligent,kweli shetani huwa hamchukui mtu ambayo hana kitu

  • @rosepallangyo1352
    @rosepallangyo1352 Рік тому +1

    Daaa! Davista unaaibisha kweli mkristo hana dini amekirimiwa jina lipitalo maji a yote ambalo ni Yesu acha uongoo

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 3 роки тому +1

    Nyoa ndevu mtumishi.

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 3 роки тому +1

    Kwakweli nimekubali wewe ni mtumishi wa kweli, Mungu akubariki?

  • @JosephKassim-k3p
    @JosephKassim-k3p Рік тому +1

    MUNGU AMLINDE HUYU MWAMBA ANA MADINI
    Mzee safi sana huyu yaan ameniaminisha kuwa kristo ndio njia ya uzima
    Kuanzia leo ntakuwa najifunza biblia maana ni kitabu safi mno

  • @vitussamwe2353
    @vitussamwe2353 3 роки тому +3

    Good

  • @andreamchome9541
    @andreamchome9541 2 роки тому +4

    Wakristo kuna kitu cha kujifunza sana kuwajali watu anaoanza kuokoka yaan wachanga kiroho yaan nimeuliza sana na waliookokawalichomfanyia huyu mtu kuna namna ya kutenda baada ya kuokoka ni rahisi kuwapoteza hawa watu kma hakuna upendo na kuja kudaiwa damu yao kwa walioshindwa kumsaidia huyu mtu

    • @consolatamedard6593
      @consolatamedard6593 Рік тому

      Nikweli usemacho lakin kila mtu ana namna yake ya kuokoka mwingine anapitia mitihani kama ya huyu jamaa na haachi wokovu kuna muda Mungu au shetani anaweza kuwatia ugumu hao waliokoka kushindwa kumuhendo mtu ilitu aimarkie au kama mpango Wa shetani ili arudi nyuma lakin alieitwa na Mungu hawezi kuacha wokovu

  • @upendoluv7197
    @upendoluv7197 3 роки тому

    Mmmmh Munatuchanganya Sasa huu mjadala hauwezi kwishaaa imepigwa midahaloo weeee Ww Mf fact mtafute Shekh Mazinge atakujibu vzr

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 3 роки тому +5

    😁😁,,,Tule injili kdg then tuendelee na safari🤝

  • @jerrymaskas5863
    @jerrymaskas5863 3 роки тому +2

    Wakutanishe kabisa... Itakuwa Safi sana

  • @jumajuma831
    @jumajuma831 3 роки тому +2

    Ubarikiwe

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 3 роки тому +1

    Dnii ni wema wako unayofanya kwa binadamu wenzako🙏💪🔥🇹🇿

  • @abdulmhema
    @abdulmhema 3 роки тому

    Unaharibu Chanel muda si mrefu . Jitahidi kuepusha mijadala ya kidini
    Kaka!

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame1741 3 роки тому +1

    JAMAA EMEFAFANUA VIZURI SANA KUHUSU UKRISTO, AMENIFUMBUA UFAHAMU

  • @damarismbatia2029
    @damarismbatia2029 3 роки тому +7

    uislamu imekuja zaidi ya miaka mia sita baada ya Yesu, mwenye akili asiulize jambo

    • @mishibaron5021
      @mishibaron5021 3 роки тому

      Umeongea hapo ubarikiwe

    • @damarismbatia2029
      @damarismbatia2029 3 роки тому

      @@luluamin1388 exactly, 600yrs after Christ, kwa nini Allah akutambua ukweli mapema angoje iyo generation yote ipite, ama Allah akujua

    • @damarismbatia2029
      @damarismbatia2029 3 роки тому

      @@luluamin1388 mitume waliokua kabla ya Yesu na mafarisayo hafi leo wanamungoja mesiah ambaye watamuona, allah hajui pia kama sisi

    • @damarismbatia2029
      @damarismbatia2029 3 роки тому

      @@luluamin1388 hatumuabudu Mungu moja, utajua ikiwa very late, Yesu ni Bwana

    • @damarismbatia2029
      @damarismbatia2029 3 роки тому

      @@luluamin1388 vipofu kama wewe walikosa kumtambua Yesu kwa sababu yao binafsi,

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 роки тому

    Sheikh Omary imenifunza kweli

  • @ylosvijevana6815
    @ylosvijevana6815 3 роки тому +1

    zile jerojero jmn tumtumie mr aendelee kupata nguvu ya kuleta mafundisho

  • @phyillicenyambura5543
    @phyillicenyambura5543 3 роки тому

    Yaani nakupenda bure mtumishi wa MUNGU shekh Omar natamani tukutane hata kama n dakika 10 tu

  • @jumamgonja1149
    @jumamgonja1149 3 роки тому +1

    Huyu jamaa kichwa Sana....

  • @songorerubeya3816
    @songorerubeya3816 3 роки тому +1

    Davista maubiri yamekuwa mengi sana mpaka inaboa. Kama inawezekana mkutanishe na Kina Mazinge ili wawekane sawa. Nawenyewe walikuwa wakristo.

    • @michelleathumani420
      @michelleathumani420 3 роки тому

      Kabisaa👏👏👏👏👏👏👏👏💃💃💃💃💃💃🎊🎊🎉🎉🥳🥳🥳🥳🥳

  • @leomponda8231
    @leomponda8231 3 роки тому +1

    Shehe anaongea vizur sana shida IPO kwa huyo mwandishi was habar hajui kuuliza maswali hajaiva vizur anapoteza mtiririko mzur wa maelezo ya shehe

  • @kijahnikwelinyalinga1740
    @kijahnikwelinyalinga1740 3 роки тому +4

    History au mjadala wadini umeishiwa story

    • @rosecruiz4348
      @rosecruiz4348 3 роки тому

      Haja ishiwa kuna vitu ulikua huvijui una. elimishwa

    • @andrewbigambo6721
      @andrewbigambo6721 3 роки тому

      Truth shall set you free.tusiongope kusikiliza imani zote tumeletewa.hats ukristo ni matendo mema sio kujisikia mkristo wakati ni mnafki.

  • @abdulbasitsalim6133
    @abdulbasitsalim6133 3 роки тому

    Huwi mwilamu
    Kama unamkanusha nabii
    Issa. (Yesu)

  • @Priscachales-fi9ti
    @Priscachales-fi9ti 11 місяців тому +1

    Ukristo cyo dini ni imani

  • @jamessakaya6231
    @jamessakaya6231 3 роки тому

    Ongea ukweli kaka wajue...maana hivi kujua ni ngumu na anaetaka kupinga basi..ajitokeze.

  • @mariamndimbo8833
    @mariamndimbo8833 3 роки тому

    Nakukubali sana mjeshani

  • @matanobaya7660
    @matanobaya7660 3 роки тому +2

    Naona leo ni mjadala 🙅😴😴😴😔😟😬😯😣😖😞😫

  • @agnesmwaizinga5401
    @agnesmwaizinga5401 3 роки тому +1

    Wapendwa mungu ni mmoja, mtu ashikile penye yuko, kuingiliana kidini hakufai please 🙏

    • @matanobaya7660
      @matanobaya7660 3 роки тому +1

      Waambie wewe @Agnes Mwaizinga 🇰🇪👏👏

    • @rosecruiz4348
      @rosecruiz4348 3 роки тому

      Hakuja ingiliwa dini hapa nikujuzana tu

    • @matanobaya7660
      @matanobaya7660 3 роки тому +1

      @@rosecruiz4348 anayo ongea siyo anapotosha, alikua mshirikina na mshirikina katika dini ameambiwa akifa hali ya kuwa hajatubu,makazi yake ni jahannam.✍️✍️✍️✍️ Huyu nimchawi, mganga UISLAM hauruhusu

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 3 роки тому +1

      Ukristo sio dini kwani kabla ya kuja Yesu hakukuwa na Ukristo. Hata yesu mwenyewe hakusema alileta Ukristo. Ni mataifa ndo yaliwaita wanafunzi ya Yesu kuwa Wakristo. Yesu alileta habari njema, Vp hutaki habari njema?

    • @loycekasath1603
      @loycekasath1603 3 роки тому

      Davistar anaejua aliye sawa au la ni Mungu pekee, tuendelee na mjadala wetu,unaharibu mdogo wangu

  • @margaretachieng9887
    @margaretachieng9887 3 роки тому

    Story nzuri sana ✨

    • @margaretachieng9887
      @margaretachieng9887 3 роки тому

      Safari ya bingu ni defu hina vikwaso mingi jiyani tutafute jiya ya kweda binguni🙏✨

    • @erickngatunga2359
      @erickngatunga2359 2 роки тому

      @@margaretachieng9887 hahahaha!!

  • @selmaselma8452
    @selmaselma8452 3 роки тому +1

    Niliipenda hii story
    Lkn umeikosea saana quruan
    Na mtume wetu Mohd

    • @rosecruiz4348
      @rosecruiz4348 3 роки тому

      Huwo ndio ukweli wa mambo quran ni kitabu cha majin

    • @selmaselma8452
      @selmaselma8452 3 роки тому

      @@rosecruiz4348
      Huwezi sema kitu hukijuwi
      Wala kukana kitabu change mwenzio, katafute Ukweli kisha zungumza

    • @mussakeston5768
      @mussakeston5768 2 роки тому

      Ulitaka kwenye uislam kusigiswe

    • @selmaselma8452
      @selmaselma8452 2 роки тому

      @@mussakeston5768 akasome Kwanza kisha ndio aseme
      Mimi siwezi zungumzia kitu chochote kama cna uhakika nacho
      Sasa kwenye dini ndio kabisaa

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Рік тому

      @@selmaselma8452 huyo Shekh kasoma Madrasa huyo

  • @abdulbasitsalim6133
    @abdulbasitsalim6133 3 роки тому +1

    Dini ni njia ya maisha

  • @babaagecentre2971
    @babaagecentre2971 2 роки тому

    Nimeelewa

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 3 роки тому +1

    Oi oi oiiii Davistar tuandalie huo mpambano! Hapa ishu sio Udini bali ni kufundisha watu ili kila mtu afanye maamuzi sahihi. Ni ujinga mbaya kuamini kitu usichokijua.

  • @dsgroup6093
    @dsgroup6093 3 роки тому +1

    Leo kuna kitu umenifumbua masikio yangu shehe omar

  • @joachimmatondo8646
    @joachimmatondo8646 3 роки тому

    Kaka tunaomba muendelezo wa hii video...

  • @hamisiismail2577
    @hamisiismail2577 3 роки тому

    Yn ww Davista uongei...lkn unaonekana unachoka sana kuliko waongeaji..mara maji mara cjui macopo ya Energy..khaa .

  • @Teacher_01
    @Teacher_01 3 роки тому +3

    *DAVISTA NAOMBA USISAHAU KUMUULIZA NINI ALICHOSOMA KUHUSU YESU MAANA ANASEMA KWENYE ELIMU ALIOISOMA KIPINDI AKIWA MCHAWI WALIMZUNGUMZIA KIUNDANI*

    • @jeniverstanley5282
      @jeniverstanley5282 6 місяців тому

      Msikilize vizur this guy anajua kuhusu Yesu sana

  • @aboubakarhidad2886
    @aboubakarhidad2886 3 роки тому

    mkutanishe na sheikh mazinge uyo kama anaweza kweli

  • @abdulbasitsalim6133
    @abdulbasitsalim6133 3 роки тому

    Dini gani ulio iacha
    Wewe njia yako ya maisha ilikuwa
    Uganga uchawi na ushirikina.
    dini yako ilikuwa ni hio.
    Usijusingizie ulikuwa mwislamu.
    Ukumbuke story yako
    Ulisema mwenyewe uislamu ulibandikwa tu.

  • @nghoneranestory2153
    @nghoneranestory2153 3 роки тому +2

    Davistar mm naona mambo ya dini ungeachana nayo bro twendelee na story unatuchelewesha tu

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 9 місяців тому

    Asipende kutumia Simu kusoma Neno La Mungu,Mnapomuarika ajitahidi kuja Na Biblia

  • @alindurya2852
    @alindurya2852 3 роки тому

    Davista plz muambie Mnyesheni aache uongo wakujadili maswala ya dini na wala hana elimu yoyote
    Heri asimulie story yake yeye tu alivyo asi na kuua watu wengi

  • @makame3524
    @makame3524 3 роки тому

    Wallah nimecheka 15:10 minutes

  • @seqtawa278
    @seqtawa278 3 роки тому +1

    Uyo anayejita omary naisi qruwan aijuwi aendelee na mada nyingine

  • @estermosha1985
    @estermosha1985 3 роки тому +2

    mbona story ya yule dada wa tarakea huiweki davista unazingua duh umekazania tu huyu sheikh

  • @achsahcharles6728
    @achsahcharles6728 3 роки тому +1

    Definition ya dini ni "way of life "!!! Muisrael yuko radhi kufa kuliko kuwa Mkristo, Davista, majibu unayoyatafuta hata Mnyeshani hana! Unatafuta tu kumchonganisha na Biblia imekataza mijadala ya hivi! Kama unataka ukweli ingia magotini muulize Mungu na si binadamu maana wote tunachoongea ni mitazamo yetu kulingana na tunachoamini, mazingira yetu, tulichosoma etc! Muombe Mungu majibu coz wote ni binadamu ambao ufahamu wetu Mungu ameulimit!

  • @martinipetro9338
    @martinipetro9338 3 роки тому

    Davsta unazingua story mnaacha mnaenda kwenye dini

  • @shamilakalinga437
    @shamilakalinga437 3 роки тому +1

    Jaman me naamin kuna dini moja ambayo ni Islamic naamin qur'an maana ni tukufu na sioni sababu za kuleta maswala ya dini hapa acheni bana😒😒

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 3 роки тому

    Mwambie shekh Yeremia 8;8.. imeandikwa hivi mwasemaje Sisi tuna akili na torati ya BWANA. Tunanayo pamoja nasi?? Lakini tazama kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo... kalamu ya uongo ya wasndishi waongo imeandika uongo juu ya torati...

  • @shoarimahege2755
    @shoarimahege2755 3 роки тому +2

    davist unazingua unaanza mijadara ya dinitena?

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 3 роки тому

      Kwa nini waislamu dini yeni ikimurikwa mnakuwa na homa sasa au mnajua mnaishi kwenye glass house

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 3 роки тому +1

    Mie nawasalimu sana lakni hapo kwa huyo jamaa kuhusu mambo ya dini yataka ufahamu mkubwa sana kaka

  • @justerelias6222
    @justerelias6222 3 роки тому

    👏👏👏👏

  • @ibrahimmohamedi4498
    @ibrahimmohamedi4498 3 роки тому +2

    Omary angekutana na Latino kwenye bato ya dini

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 роки тому

    Davistar naomba namba ya omar munyashani plz

  • @najimyahya7901
    @najimyahya7901 3 роки тому +1

    Naona jini kisirani kaingia kati 😀😂😂🤣🤣 15:14 minutes

  • @joycesycherlwy3835
    @joycesycherlwy3835 3 роки тому

    Naomba namba ya mnyeshani

  • @ismailbakhresaiin33
    @ismailbakhresaiin33 3 роки тому

    Napenda kuangalia iyi Chanel lakin kwambo ya dini apo mtakosea sn ushaur wabur kabla utajaanza kupungua umu

  • @zolongOne
    @zolongOne 3 місяці тому

    Hicho chuo ya Fal noor kipo mkoa gani?

  • @conniemuthini259
    @conniemuthini259 3 роки тому

    Hey,
    Muulize kuusu MALILA ndio tuelimike zaidi

  • @mzanziforshow9149
    @mzanziforshow9149 3 роки тому

    Wewe Ni kuongo wapi mtume Muhammad SWW alisema kwambia bilbia ime punguza maneno

  • @jannyrose5367
    @jannyrose5367 3 роки тому

    Mimi sijapata Video inayofatilia 6 😭😭😭😭😭

  • @sharifuburuhani1969
    @sharifuburuhani1969 2 місяці тому

    Tunaomba namba yako ili tukae MUNAQASHA Tafadhali

  • @shizaarfred4059
    @shizaarfred4059 3 роки тому

    Yani tungebaki kujifunza tu kutoka kwawatoa story na s kubeza au kutukana s nzuri kila mtu abaki na imani yake maan hapa naona wengi wanamlaum mnyeshan ila mjue anacho kiongea ndio explains yake ila ww ubak na unacho kiamni wewe usimdhalau mwingine ww yakupasa usikilize na tujifunze nahakika kutoka kwao kunavingi utajifunza sina hakika kama unavijua vyote bado tuko darasan

  • @denizamahongo8557
    @denizamahongo8557 3 роки тому

    Mambo safi

  • @ryhislamminamuonamsengetu9111
    @ryhislamminamuonamsengetu9111 3 роки тому +1

    Nimewai leo

  • @ngwanafabian9668
    @ngwanafabian9668 3 роки тому

    Koran si ya kuaminika hata kidogo. Hasira ruksa.

  • @aboubakarhidad2886
    @aboubakarhidad2886 3 роки тому

    ww ushirikina hujaacha bado

  • @oscarkibate1913
    @oscarkibate1913 3 роки тому

    Mwaswali amboyo Vista unauliza yatamfanya Munyeshani aonekane mbaya kwa watu wengine. Ukitaka kujua mengi kuhusu dini fanya uchambuzi wako. Pia angalia David Wood, Sam Shamoun, Dan Gibson, Jay Smith wote Hawa wapo UA-cam. Vista mchanga sana kwenye maswala ya dini.

  • @يوسف-ح1ل9ن
    @يوسف-ح1ل9ن 2 роки тому

    Kaka utatupunguza kwakweli udini usiupe nafasi acha mtu aongee matukio aliyopitia na sio kuhubiri

  • @talazain1017
    @talazain1017 3 роки тому

    Traffic katisha

  • @ramadhangona9085
    @ramadhangona9085 3 роки тому +1

    Wakwaaanza tena....tuburudikeni

  • @anthoniamaji3671
    @anthoniamaji3671 3 роки тому +2

    Acha mambo ya ku discuss dini kila mtu aamini anacho amini

  • @aboubakarhidad2886
    @aboubakarhidad2886 3 роки тому +1

    devister uyu mshirikina ingelipendeza uka mkutanisha na sheikh mazinge asijitambe apo ana potosha jamii hana lolote muongo mkubwa uyo

    • @igurusitv6553
      @igurusitv6553 3 роки тому

      Huyo shekhe mazinge wako, ashawahi kukutana na hiki kichwa akakimbia🤣🤣🤣🤣🤣

    • @aboubakarhidad2886
      @aboubakarhidad2886 3 роки тому

      @@igurusitv6553 ulimkutanisha nae ww au na wapi

    • @igurusitv6553
      @igurusitv6553 3 роки тому

      @@aboubakarhidad2886 usitoe povu bwana mdogo, UA-cam si ipo tafuta

  • @saadiaali5609
    @saadiaali5609 3 роки тому

    Bibilia imebadilishwa isa alipaa mbinguni kwaininyie wa bibilia munasima isa amafariki hapo davistar tunataka kina manzinge na huo ili watufafanulie vizuri

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Рік тому

      Ndugu kama mpaka leo hujaokoka basi jua kuzimu ya Majini inakuhuhusu na ndio basi tena tumia akili yako ya kibinadamu usitumie nguvu ya Dini utakua unapotea huku unajiona Yesu ndo kila kitu na ndio msaada kwako

  • @marthamaligo458
    @marthamaligo458 3 роки тому +1

    👂👂🔥👂

  • @erickngatunga2359
    @erickngatunga2359 2 роки тому +1

    ndugu mwandishi huwezi kuuliza kama waislam wapo sawa au hawapo sawa!!! anaeweza kujibu hilo swali ni MUNGU pekee.

  • @pilimusa7770
    @pilimusa7770 3 роки тому +1

    Davistar huyu mtu kakuambia kasomea uchawi na kufundisha uganga wa kienyeji na kabadili dini kuwa mkristo, sasa mbona unamuuliza kuhusu uislam. Ungemuuliza mambo ya kichawi na kiganga kwa sababu ndiyo aliyosomea na kakwambia. Ukitaka uislam muulize muislam.

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame1741 3 роки тому +1

    😁DAVISTA NI KWELI WAKUTANISHE OMARY NA HUYO SHEKH NI BONGE LA INTAVIEW AISEE

  • @makame3524
    @makame3524 3 роки тому

    Wenye akili kama mm ndio wanawajua ww ni nani na unatumikia nini.

  • @annamadraga1627
    @annamadraga1627 3 роки тому

    davista mbona mnaleta dini sasa khaaa jaman mnatuchanganya kila mtu asimamie imani yake tu

  • @saidsaleem1732
    @saidsaleem1732 3 роки тому +1

    Huyu dawa yake shekhe mazinge

  • @jumazia2184
    @jumazia2184 3 роки тому

    Huyo ni shehena

  • @costavalenci7699
    @costavalenci7699 3 роки тому

    Davi mbona kama umenyeshewa 🤣🤣😂😂🤣😂

  • @khadijamusa8084
    @khadijamusa8084 3 роки тому

    Din iachen jaman

  • @makame3524
    @makame3524 3 роки тому

    Mnaona kaz iyo 17: 20 minute, niliwambia uko nyuma kwamba huyu jamaa ninawas was nae hivi bado hamjaelewa tu kilichopo.

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 роки тому

    Mimi naona hapo ukristo na uisilamu ni moyo wako vile una mtumikia mungu ua mini mungu tu na yesu kristo aingie ndani yako utakua umeokoka

    • @damarismbatia2029
      @damarismbatia2029 3 роки тому

      kwa wa Kristo njia ni moja ambaye ni Yesu Kristo ambaye hao wamemkata