PART21:MWENYEKITI WA WACHAWI TZ SHEKHE ALIEOKOKA/NILIUA MKE NA KUISHI NAE TENA/UCHAWI NIMESOMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 91

  • @shamilakalinga437
    @shamilakalinga437 3 роки тому +3

    Afu msisahau konde Boy katoa ngoma huko 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @lifezest6274
    @lifezest6274 3 роки тому +4

    Nashangaa alivo na memory huyu mtumishi, msimuliaji mahiri sana. Mfano wa zabron, magere, danny na chessa. Mnyeshani andika kitabu kitauza sana.

    • @josephmungai544
      @josephmungai544 3 роки тому

      Kwa kweli na kitabu kinaweza sisimua zaidi

  • @erickouma
    @erickouma 3 роки тому +1

    Shekhe anajua sana kusimulia kiswahili safi.
    Ila asisahau kuelezea jinsi alivyookoka maana nilishawahi kumsikiliza akishuhudia sehemu, inasisimua sana

  • @shamilakalinga437
    @shamilakalinga437 3 роки тому +2

    Oyoooooo kelele moja kwa davister 🤟🤟🤟

  • @berthamghanga1093
    @berthamghanga1093 3 роки тому +2

    Eti kama unaenda Kampala twende,katoka kiulaini mwenyewe,kaja kukutana na kimbembe cha kamanda😂😂😂

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 роки тому +1

    Wewe ndo master mwenyewe munyashaniiii

  • @RamaTraceur
    @RamaTraceur 3 роки тому +1

    Tunajifunza mengi sana kupitia Davistar Mata.. background music punguza kidogo sauti ni kubwa..Unafanya kazi nzuri sana.

  • @harerimanadaniel7202
    @harerimanadaniel7202 2 роки тому

    Uyu jama kumbe sio wakawaida Mungu kwer anaweza.

  • @florencerose859
    @florencerose859 3 роки тому +2

    Ujanja ilikusaidia sana🙏

  • @husseinhamisi4828
    @husseinhamisi4828 3 роки тому

    Kazi nzuri sana jamaa ajuwa sana

  • @Maryam-vj1rb
    @Maryam-vj1rb 3 роки тому

    Very good history 👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻

  • @Fm-MornStar2014
    @Fm-MornStar2014 3 роки тому +3

    Davi movie inaendelea kunoga.
    Natumai episode inayofuata itakuja leo.
    Shukurani 🙏!

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D 3 роки тому

      Hujamba wngu❤❤❤❤❤

    • @Fm-MornStar2014
      @Fm-MornStar2014 3 роки тому

      @@FFL-X1D salama.
      Futari hujanialika leo eti! 🤔

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D 3 роки тому

      @@Fm-MornStar2014 🤣🤣🤣🤣 kesho wngu❤❤

    • @Fm-MornStar2014
      @Fm-MornStar2014 3 роки тому

      @@FFL-X1D sawasawa kpnz!
      😘 Ulale salama😘

    • @yustakipenya6231
      @yustakipenya6231 3 роки тому

      Usimwachilie huyu aende tutajifunza mengi

  • @Oneofhiskind123
    @Oneofhiskind123 3 роки тому +1

    Hii episode ya 21 ni 🔥

  • @fbfabien4709
    @fbfabien4709 3 роки тому +1

    Jitaidi kutupa part mbili mbili Jitaidi sana

    • @fbfabien4709
      @fbfabien4709 3 роки тому

      Ujitaidi tafadhari sana tuna wasikiliza hapa marekani

  • @johnosoro6033
    @johnosoro6033 3 роки тому

    Davistar mwendelee vivyo hivyo mlipo nami nipo tuko kwenye bas moja story nzuri sana tunafuatililia taratibu

    • @aishaally8811
      @aishaally8811 3 роки тому

      Duh huyu jamaa kumbe na yeye anafatilianga moves za kikorea kama mimi

  • @musicworldwide2625
    @musicworldwide2625 Рік тому

    2023

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 3 роки тому +3

    Shekhe yupo vizuri ila DAVISTA jamaa wa BAKORA ZA KIMKAKATI na MABINTI WA KIMATAIFA wenye shape za KIBANTU umrudishe aje tujue amefikia wapi kama vipi jamaa asaidiwe yule jamaa Jembe

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 роки тому +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @straightkonect1613
      @straightkonect1613 3 роки тому +1

      @@pilimusa7770 umeonae😂

    • @straightkonect1613
      @straightkonect1613 3 роки тому

      @@sweetie6934 eeh yani alikua akiwashughulikia kisawasawa tena heri atumie dawa kuliko kishirikina😂

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 роки тому

      @@straightkonect1613 nimeona🤣🤣🤣

  • @renifridagaston9890
    @renifridagaston9890 3 роки тому

    hatari lakini salama Mr Fact

  • @thewomanofsteel3970
    @thewomanofsteel3970 3 роки тому

    Pamoja sana Dav 🌟 Mata

  • @renifridagaston9890
    @renifridagaston9890 3 роки тому +1

    wa kwanza

  • @josephmungai544
    @josephmungai544 3 роки тому +2

    Alafu Kaka Davistar muulize lile jambo la siku 7 za wiki na miungu yake. Tafadhali

    • @marcolucas2160
      @marcolucas2160 3 роки тому

      A trick: you can watch series on Kaldrostream. Me and my gf have been using them for watching loads of movies recently.

    • @musapeyton3050
      @musapeyton3050 3 роки тому

      @Marco Lucas Yea, I've been watching on KaldroStream for months myself :D

  • @upendoluv7197
    @upendoluv7197 3 роки тому

    Mnyeshaaani Kama mnyeshaniiii

  • @winmassawe4966
    @winmassawe4966 3 роки тому

    Uwongo mwingne mgumu Sana Yan mhmh amejitahd Sana kumbuka mji wa wa2

  • @juliusmushi6428
    @juliusmushi6428 3 роки тому +1

    Huyu jamaa ni mjanja sanaaa kwenye ujana wake

  • @harididiuchile9468
    @harididiuchile9468 3 роки тому

    Kamawaida namba moja

  • @salumulesso6355
    @salumulesso6355 3 роки тому

    Ht mm natumai episode ijayo itakuja leoleo,jitahid davista Mr facts

  • @FFL-X1D
    @FFL-X1D 3 роки тому

    wa kwanzaa🤣🤣💃💃🇪🇭🇪🇭

  • @philipoluzege3200
    @philipoluzege3200 3 роки тому +1

    Umepitia majangq

  • @johanesthobias8742
    @johanesthobias8742 3 роки тому

    Tunasubilia mwendelezo Davista

  • @bensonryoba5968
    @bensonryoba5968 3 роки тому

    Mr dm ongoza spidi ya kuturushia vipande

  • @jumajumashabansadiki1390
    @jumajumashabansadiki1390 3 роки тому

    Nice

  • @aliceshemengole3300
    @aliceshemengole3300 3 роки тому

    Ni kama movie hakika nimejifunza

  • @athumanmakale8221
    @athumanmakale8221 3 роки тому

    Kweli jamaa kapitia misukosuko ya Maisha. Huna budi kumashukuru Mola mlezi kwa kukuvusha katika kila hali.

  • @hamisimtemi3803
    @hamisimtemi3803 3 роки тому

    jamn tuheshimiane yaan watu muko speed sana

  • @ramadhanmunde8805
    @ramadhanmunde8805 3 роки тому

    Dv ungekuwa unatupia ata vipande 5 sio 2 kila siku

  • @geraldrobert1801
    @geraldrobert1801 3 роки тому +1

    Mnyeshaniiiii 😂😂😂
    Uliingia kwenye 18 za wazee wa kazi 😂😂😂😂

  • @johanesthobias8742
    @johanesthobias8742 3 роки тому +1

    Hapa nawapa tuzo zausimuliaji 1)Mnyishani
    2)Zabroni
    3)Mzee wabakora zamikakati
    4)Jimmy
    5)Musa chesa.

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 3 роки тому

    Pamoja dav ulipo nami nipo 🙏🇹🇿💪🙏💪

  • @masoudkatiba1484
    @masoudkatiba1484 3 роки тому

    Deadly game

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 роки тому

    Mnyeshani ii hoyee kifaaa

  • @maureenmwende3515
    @maureenmwende3515 3 роки тому

    Aki 🧬🧬🧬

  • @ethanuk9437
    @ethanuk9437 3 роки тому

    Embe kwenye mchongoma...kampala hiyoo

  • @erickmasumbuko3841
    @erickmasumbuko3841 3 роки тому +1

    Leo namie wa 6

    • @goddwynngereza4520
      @goddwynngereza4520 3 роки тому

      Mnyeshani, Kwanini usingekuwa unaenda huko ikulu No2 na kurudi Hotelini kichawi kuliko kuteseka muda mrefu namna hiyo na safari yenye misukosuko kibao?

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 роки тому

      @@goddwynngereza4520 kabisaa

  • @makame3524
    @makame3524 3 роки тому

    Et sasa wa ni nini kwani nimekuambia nimi nataka mwanamke😅

  • @fatmaalrshdii7615
    @fatmaalrshdii7615 3 роки тому

    MTU makini katika ubora wako pamoja Sana Ka Ka angu wa ukweli ulipo nipo

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 3 роки тому

    Wa 10 imeisha hiyo

  • @kefasoneliakimumkeyembo1804
    @kefasoneliakimumkeyembo1804 3 роки тому

    Davistar hadi muda namalizia kipande hiki nilikuwa nimeshatokwa na jasho! du, sina usemi.

  • @heritier5119
    @heritier5119 3 роки тому

    E.africa nzima Mtanzania ukimpa tu nafasi ya kujieleza ni lazima ukae lazima akupange.

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 роки тому

    Hii ndio kuponea kwenye tundu la simba

  • @margaretachieng9887
    @margaretachieng9887 3 роки тому

    Story nzuri 🙏

    • @agnesmwaizinga5401
      @agnesmwaizinga5401 3 роки тому

      Munyeshani enzi hizo alikua muongo anadanganya mpaka police 😅😅😅

    • @agnesmwaizinga5401
      @agnesmwaizinga5401 3 роки тому

      Munyeshani enzi hizo alikua muongo anadanganya mpaka police 😅😅😅

  • @marykibwana9413
    @marykibwana9413 2 роки тому

    1997 boda zilikuwa zimeanza kweli?

    • @thomasrodriguez7684
      @thomasrodriguez7684 Рік тому

      Mimi najiuliza nacm zilikua zimeanza kweli? Maana anasema alipewa namba ya mustafa na akampgia cm uko Juba Sudan. Je 1997 simu zilikuwepo?

  • @tututz100
    @tututz100 3 роки тому

    KUISHI

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 3 роки тому

    Story inazidi kunoga

  • @fahadjinni5845
    @fahadjinni5845 3 роки тому +1

    Wa kwanza mbwa nyie

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 роки тому

    Bonge la movie

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 3 роки тому

    ila kumb wafanya biashar za madaw ni wajanja sana et puma hotel wakat haipo, hyo logic iko technic san hahahahahaaaa

  • @ryhislamminamuonamsengetu9111
    @ryhislamminamuonamsengetu9111 3 роки тому

    😂😂😂😂