MUNGU ANAISHI, na Perfecto Mtuka. St. Francisco of Asis Choir.
Вставка
- Опубліковано 5 тра 2023
- Karibu kutazama wimbo huu kutoka kwaya ya Mtakatifu Fransisko wa Asizi, Chuo kikuu cha Dar es Salaam, ndaki ya afya na sayansi shirikishi Mbeya, UDSM-MCHAS.Ikiwa ni maandalizi ya kutoa albamu yao mpya inayoenda kwa jina la "MUNGU ANAISHI"
⏩Wimbo: MUNGU ANAISHI
⏩Mtunzi: Perfecto Mtuka
⏩Waimbaji: St. Francisco of Asis Choir
⏩Production: Holy Trinity Studios
⏩Kinanda: Baraka Thomas Mashibe.
Tafadhali mpendwa; Share, comment, like na subscribe.
I love you ♥️♥️♥️♥️ sfac wimbo mzuri🌺🌺🌺🌺🌺
🎉🎉😂😅😅
Kazi nzuri saana,,inapendeza hatariii...Mungu azid kuishi ndani yetu
KAZI nzuri... Mungu abariki majitoleo yenu.... ❤️❤️❤️❤️
Tafakari nzuri Sana, ahsanteni Kwa kutuinjilisha MUNGU awajarie utume mwema
Nyie jaman kweli MUNGU azidi kuonekana baina yenu. ❤❤
Safi sana, mmetisha mnoooooo, MUNGU azidi kuwabariki kwa nyimbo nzuri
Amina
Amaizing
Thank you tooo.... Tunashukuru sana kwani uwepo wenu umewezesha suala hili kukamilika Kwa namna hiii nzuri Mungu awabariki sana....
HT - clear choice ❤️❤️❤️❤️❤️😁
Kazi nzuri, hongereni kwa utume wa uinjirishaji kwa njia ya kuimba Mungu awabariki sana
✨✨🥰🥰 Mungu anazidi kuinuliwa hongereni sana ... Mbarikiwee
Hongereni Sana ,wimbo mzuri,sauti nzuri,ujumbe mzuri Sana ,mzidi kubarikiwa na sauti zenu zitakaswe na kua nzuri kila siku😍😘
Amina
Watu weuweeeeeeeeee❤❤❤❤
😁😁😁😁
Amen
chair hili vaibuu lako liishi milele😂😂😂😂
Hakika Mungu Anaishi❤❤❤🙏🙏🙏mungu aishi ndani yetu daima🙏
Hurrah❤❤ kazi mzuri sana
hakika kk mungu anaishi😍
hakika Mungu wetu ni upendo☺❤❤
Mmeupiga mwingi 👏👏... Mungu awabariki ❤❤❤
Kazi nzuri sana wapendwa, Mungu wetu atubariki Sana. tujitahidi "KUIMBA KATIKA ROHO NA KWELI" Hongera sana tena,
Kyala Abhatulege.
Mungu ni mwema na kwer tunaishi kwa upendo asanteni wana chuo ongereni sana
❤❤❤❤ Aiiiii Mungu ANAISHI , na ni upendo hakika ❤❤❤❤
Hongereni kwa kazi nzuri ya bwana.🙏🙏
Tutalitangaza neno la bwana taifa hadi taifa.....amen
Congrats Madam CR🤣🤣🤣
Mimi nawapenda nyie❤️🥰🥰 historia imewekwa congratulations SFAC UDSM MCHAS , production HT Na mwl mtuka mwa utunzi mzuri na uliotukuka Sana🔥🔥🔥🥰🥰
Wimbo mzuri sana ,hongereni sana sfac UDSM-MCHAS endeleeni kumsifu Mungu watu wapate kumjua Mungu kupitia utume wenu🎉🎉🎉❤❤
😍
Mmeupiga mwingii saana
Ni kwa neema tu 🙏🙏
Nzuri sana, Maendeleo yenu yanafurahisha sana Endeleeni hivo hivo💪🏾🔥💪🏾🔥🔥.
🙏🏽🙏🏽🙏🏽nyimbo nzurii Sana hongelen san
Hatari sana wan sfac hii ni hatari sana❤❤❤❤
Hongeren sana kwenuu
Nawapenden❤❤❤
Kula chuma hichooo😅❤❤😂.
Mungu aendelee kuwabariki.SFAC UDSM MCHAS CHOIR.🔥🔥👏💪
chuma cha moto sana mzee wanguu🤣🤣
Mungu afungulie baraka tele kwa Kila mmoja alieshiriki hakika utukufu uko katika kuimba, hongeren sanaaa❤❤❤❤
Najikuta sichoki kusikiliza na kutazama hii kitu, hakika ni kazi nzurii , Mungu na atukuzwe kwa uimbaji huu ❤🙏🔥
Amina
Wow ,,Tupendane
Nmeupiga mwingi saaaana❤️❤️❤️❤️❤️Na Meseji imetufikia loudly and clear
Katika ubora mkubwa💪
Hakika Mungu awabariki kwa kazi nzuri hii🤗❤
Amina kaka
Hongereni kazi nzuri sana SFAC UDSM-MCHAS 🔥🔥❤
Asante sana kaka
❤❤❤ mungu ni mwema kila wakati
Amina....
#Mungu anaishi 🔥🔥
Ivo vistyle vimenibariki sana 🤗 Hongereni sana
Asante Sana
Good Song My Doctors🙏🙏🙏
Noma kweli of coz nimepatafunzo
Hakika kazi nzuri sana utukufu Kwa Bwana
Mungu AKUBARIKI sana kaka Wille
mmeupiga mwingi sanaaaaaaaah
Ujumbe mzuri, wimbo mzuri. SFAC ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
God bless you dear ones kazi nzuri, ❤️❤️❤️
Amina
Ujumbe mzuri, step zimenikosha ❤️…….. so much love ❤️
😍🙌
Nyimbo nzuri sana. Hakika Mungu anaishi ndani yetu. Blessings SFAC
Hongereni sana
kazi nzuri sana❤️🔥🔥🔥
❤
❤️😍 beautifull message
Wow!!! What a wonderful en joyful song hakika Mungu anainuliwaaa....mbarikiwe nmepata funzo🎁
Hongereni, kazi nzuri
Nzuri mnoo mbarikiwe sana🙏
Amina
Good work of God guys God bless you more energy 🙏🙏
waoooooooh im so glady for work thats waoooooooh
Blessed you people, Wimbo mzuri sana 🌺🌺
So Amaizing ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nawapenda sanaaaa
Wimbo mzuri sana wenye ujumbe mzuri, hongereni sana ndugu wanaSFAC much love to all ❤❤❤❤
wow,Hongereni kwa kazi nzuri
Nimeipenda mno
Blessed Watoto wa Yesu, Kazi Nzurii Mungu azidi kuwabariki, Kila Jema kwenu.
Amina
Wow! Hongeren Sana.. barikiwa mno!
Asante saana ❤
So nice song, 👌 may the good Lord bless you for the good and wise information to his people
Blessings
Namuona kaka patrick salamu Mariaaaa
Salaam kaka Barnabas 😂😂😂
@@paddydoctor ila kazi cjatimiza
😁😁😁
Mungu awabariki sana mchaz udsm mzid kusonga mbele daima nyuma mwiko daima mbele
Kwaya - hata mbinguni tutaimba tu be blessed all udsm mchaz
Amen
💫💯💯
🥰🥰🥰♥️GOD IS LOVE
Ouh ouh..Groly be to God.
Chemi chemi ya upendo wa mungu na mungu mwenyewe aishi kweli kweli ndani yetu🥰❤
Naam, safi
Aaaiiiiii!!!!! Nyie kumbe kuna vipaji huku. Shinning like a sunshine
❤❤❤🎉🎉
WOOOW!!!!!
Hongela shemeji yangu kwa utunzi,mungu azidi kukuongoza,hongela wanakwaya ,mmependeza sana
✊️✊️
Wow❤️❤️❤️
Tunaona wazi Mungu anavyotupenda Kwa kutukirimia baraka zake na neema Kwa wakati ufaao na usiofaa. Akamtoa mwanaye Yesu Kristo Kwa Upendo huo Ili aje kutukomboa wanadamu. Hongereni sana majirani Kwa ujumbe huo mzuri na kazi nzuri mliyoifanya Mungu awabariki Katika utume wenu.🔥🔥🔥
Amina sana majirani zetu.... Mungu mwenye kutoa Kila kitu aendelee kubariki kazi yetu sote tunayofanya ya kuhubiria watu wake Kwa njia ya uimbaji.... We love you so much
🔥🔥
Sawa kaka Valence
Duuuh...!! Amazing..Mungu awatunze ndugu zangu wa Udsm-Mchas...!! Mmenibariki sana .. credit kwa mtunzi Mwl.. perfect Mtuka,na HT studios kwa kazi hii iliyotukuka... Wapi lubukiloooo👏👏
Nipo hapa kaka mkubwa..... Tunashukuru sana kwakweli Kwa kutembelea ukurasa Huu na kupata nafasi ya kusikiliza wimbo Huu.... Upendo udumu....
Mungu akubariki
@@raphaellubukilo7017 Amina sana👏👏
Ujumbe mzuli sana, upendo ndio kila kitu,bila upendo, Aman hutoweka.
Gorgeous ❤❤❤❤
❤️❤️🙏
Kazi nzuri sana ,nimebarikiwa sana glory to God
🙏🙏🙏💖💖💖💖💯💯💯💯💯
Mungu anaishi❤️
Kwakweli mmetuinjilisha🤗🤗🤗
❤
Mungu abariki majitoleo yenu
Stay blessed🙏🏾🫂❤️ nice song
Nimebarikiwa sanaaaaa
Amina
🌟🌟🌟🌟🌟
Hongereni sana wapendwa, nawapenda sana.
🎉🎉🎉 Mbarikiwe mno ndugu zangu
Wao❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Blessed ❤
Amen
Amina ❤
Mungu ni upendo,,,amina
Nawapenda buree,unlimited blesses be with you❤
Safi sana❤❤❤❤
Mungu awabarik sana
🔥❤️❤️
Well done 👍
Thank you
🔥🔥🔥
Hongereni sana
Vijana kwa kazi njema
❤❤❤
Be blessed ❤❤
❤