NAKUKARIBISHA YESU (Official Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 чер 2020
  • Kwaya ya Mtakatifu Boniface Askofu na Shahidi kutoka Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu Sombetini Arusha wanakukaribisha kusikiliza na kutazama wimbo wa Ekaristi uitwao Nakukaribisha Yesu utunzi wake Ray Ufunguo.Wimbo huu umerekodiwa katika studio za RAJO Productions.
    Tunamshukuru sana Fr. Teilo M Lwande AJ. kwa kufanya English subtittles. Huu ni wimbo ulio bora wenye maneno matamu na tunaalikwa kushiriki ili tuweze kupata Neema za Mungu. Tunapoendelea kutafakari, Mungu aweze ku mimina neema katika maisha yetu na mwisho wa siku tuyaache maisha ya kale na tuwe wapya. Bwana unibadili niweze kuishi kadiri ya njia zako.
    Tuatakapoyashuhudia matendo makuu ya Mungu, basi Tumpigie Mungu Kelele za shangwe ili Sifa na Utukufu virudi kwa Mungu.
    #miminaneema #bwanaunibadili #rajoproductions #kwayakatoliki #gospelmusic

КОМЕНТАРІ • 730

  • @rajopro
    @rajopro  2 роки тому +27

    Please support: www.patreon.com/user?u=77044884

  • @magdalenamwongi1537
    @magdalenamwongi1537 4 роки тому +7

    Ee, mungu ahsante Kwa uinjilishaji huu uliomzuri sanaaaa. Kanisa moja takatifu katoliki

    • @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60
      @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60 4 роки тому

      Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html

  • @johnmtui910
    @johnmtui910 4 роки тому +6

    Ray Ufunguo hongera kwa utunzi mzuri wa wimbo wa Ekaristi unaotukumbusha utukufu na ukuu ulioka katika fumbo hilo takatifu,na pia hongereni sana waimbaji ,mcheza kinanda Swai F.T pamoja na Rajo production kwa uandaaji mzuri mlioufanya Mungu aendelee kuinuliwa na kutukuzwa milele

    • @rajopro
      @rajopro  4 роки тому

      Asante sana Rafiki yetu, John Mtui. Uzidi kubarikiwa sana

  • @fr.andrewwerungaflp2910
    @fr.andrewwerungaflp2910 3 роки тому +74

    Everything about being a Catholic is just right. Asanteni waimbaji kwa kutangaza Injili ya Bwana kwa sauti nzuri na maneno matamu. Awabariki Mungu mwenyezi Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.

  • @ivykiarie2468
    @ivykiarie2468 Рік тому +30

    I recently joined catholic church , and I've started receiving the holy eaucharist and I don't think anything will ever take me away from This church

  • @imaculatadominic7005
    @imaculatadominic7005 4 роки тому +8

    Napenda kuisikiliza sana hii nyimbo najiona mwenye fahari kuwa mkatorik mmeinjilisha vyema

    • @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60
      @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60 4 роки тому

      Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html

    • @crensesiachisesa8409
      @crensesiachisesa8409 3 роки тому

      Sichokagi kusikiliza wimbo mzuri sana💟💓

  • @NkomokomoMedia
    @NkomokomoMedia 4 роки тому +4

    Swafi sana Rey Kwa utunzi kuntu na upigaji wa Swaiba wangu Huyo jamaaaaa aiseeeeee pongezi Rajo production

    • @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60
      @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60 4 роки тому

      Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html

  • @annehpascal976
    @annehpascal976 4 роки тому +13

    Sombetini to the world 💥wimbo mzuri,mavazi mazuri,sauti nzuri, nabarikiwa sana

    • @rajopro
      @rajopro  4 роки тому

      Ubarikiwe sana Anneh....

  • @bonmaxconcepts7814
    @bonmaxconcepts7814 3 роки тому +4

    Bonface hapa kutoka Kenya. Mimi husikiza huu wimbo kila siku kitu cha kwanza nikiingia ofisini. Kazi safi sana.

  • @MuhawenimanaDivine-iq6vm
    @MuhawenimanaDivine-iq6vm 28 днів тому +1

    Asanteni sana kwaujumbe nzuri nawapata vizuri huku rwanda

  • @herrymbilinyi7188
    @herrymbilinyi7188 3 роки тому +1

    Kazi nzuri sana Muemdelee kbarikiwa

  • @julianabusera4555
    @julianabusera4555 13 днів тому

    Nakukaribisha Mola siku zote maishani mwangu. Amina 🙏

  • @florakivara4779
    @florakivara4779 4 роки тому +5

    Kuimba ni kuomba twice.....wimbo mzuri be Blessed.

    • @joshuasabasi3118
      @joshuasabasi3118 4 роки тому +1

      Kama Kuna mtu anabarikiwa na huu wimbo adi kutokwa na machozi kama mimi Like hapa tujuane

  • @theresiaburusu1497
    @theresiaburusu1497 3 роки тому +3

    Hongera waimbaji mko vizuri

  • @elizabethmwangimaina7418
    @elizabethmwangimaina7418 4 роки тому +3

    Amen and Amen Kenya Amen Kenya Amen Kenya Amen Kenya Amen and Amen🕊🕊🕊⛪⛪⛪🙏🙏🙏

  • @benleyan
    @benleyan 3 роки тому +1

    kazi nzuri sana jamani. Hongereni wanakwaya. Hongera RAJO kwa kazi zilizotukuka.

  • @JanethJohari
    @JanethJohari 4 місяці тому +2

    Yesu karbu moyoni mwangu unishibishe

  • @Cosmascosmaskamtawa
    @Cosmascosmaskamtawa Місяць тому

    Good good mi ndo kabisa siwwez Hama katorik.

  • @aronemmbaga7394
    @aronemmbaga7394 4 роки тому +4

    Hongera sanaa kwa wanakwaya ya Mt Boniface. Kazi nzuri sana.. nawamis sana nakuzidi kuwaombea baraka tele

    • @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60
      @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60 4 роки тому

      Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html

  • @isdorykitunda
    @isdorykitunda 4 роки тому +1

    Wimbo mzuri sana sana sana. Video safi sana. Hongera sana

  • @aloyceackley7492
    @aloyceackley7492 3 роки тому +4

    Sichoki kuusikiliza hongereni sana na Mungu atukuzwe Milele

  • @gumoshaberoland8884
    @gumoshaberoland8884 4 роки тому +3

    Wimbo Bora mno... Hongereni jamani

  • @lawrencesilas3050
    @lawrencesilas3050 4 роки тому +7

    Aisee aisee kumbe imekuwa hivi tena...hongera sana Mr rajo big up bro aisee nakuvulia kofia ur the best my bro...mnyonge mnyongen haki yake mpeni..
    Hongeren sana sombetin Mungu awabariki sana jaman

    • @rajopro
      @rajopro  4 роки тому

      Tumshukuru Mungu. Ubarikiwe sana Lawrence.

    • @beatricemalisa6984
      @beatricemalisa6984 4 роки тому

      @@rajopro safi sana...mmeweka subtitle lkn maandishi hayaonekani vizuri...bold pls...asante RAJO

  • @fridolinusboniface3574
    @fridolinusboniface3574 4 роки тому +1

    Kama kawaida yako Rajooooooo sasa si mchezo na utunzi niwako mwenyewe. Hongera Sana mkuu

    • @rajopro
      @rajopro  4 роки тому

      Tunamshukuru sana Mungu. Ubarikkwe sana rafiki yangu Fridolinus.

  • @neemabernard9863
    @neemabernard9863 2 роки тому

    Tunabarikiwa Sana na hii wimbo mzuri uliopangiliwa

  • @johnmacharia5147
    @johnmacharia5147 3 роки тому +4

    Such a Beautiful song!!!!! na bado kuna watu wanadislike! Kweli kuna watu na viatu duniani!

  • @SautiTamu
    @SautiTamu 3 роки тому +2

    Safi sana

  • @titusmmasi6324
    @titusmmasi6324 2 роки тому +3

    kwangu mimi huu ndio wimbo bora wa mwaka. kama mimi binadamu nimebarikiwa hivi kwa wimbo huu, je vipi huyu anayeimbiwa (Mungu). hongereni sana wote mliohusika, ubunifu, sauti, vyombo, mavazi na mandhari ya video ni nzuri sana. Naamini mmebarikiwa sio ninyi tuu bali hadi vizazi vyenu.

    • @rajopro
      @rajopro  2 роки тому

      Amen, Ubarikiwe zaidi Titus

  • @ejelanta7829
    @ejelanta7829 3 роки тому +1

    Utukufu kwa Mungu

  • @sulleywamerama1552
    @sulleywamerama1552 3 роки тому +3

    Ni mzuri Sana ambao una ujumbe pia unabirudisha ukiwa unauimba hata pia KWa kuusikiliza, nmependa sana

  • @raymondkissapi784
    @raymondkissapi784 3 роки тому +2

    Mwimbo huu una ujumbe kamili wa fumbo la utatu mtakatifu na juu ya uwepo wa Mungu. Hakuna dhehebu lo lote la Kikiristo ambapo Utatu mtakatifu unafafanuliwa vizuri kama katika Ukatoliki. Uwepo wa Mungu haufananishi na cho chote. Well done!

  • @arnoldlaurentfuraha7301
    @arnoldlaurentfuraha7301 4 роки тому +1

    Awesome... Mungu azidi kukusimamia Mwl. Ray Ufunguo na Rajo Production kwa kuzidi kumtukuza kwa Kwaya Safi...

    • @rajopro
      @rajopro  4 роки тому +1

      Ubarikiwe sana Arnold.

  • @wilsonngumbuke4482
    @wilsonngumbuke4482 3 роки тому +4

    Wimbo mzuri sana......unapaswa kuimbwa dkk mbili kabla ya kwenda kukomunika ili kila mmoja atafakari kisha tujongee mezani.
    Keep it up Ray. Mungu azidi kukutumia utuinjilishe zaidi.

  • @LinusuRangimpya
    @LinusuRangimpya 3 місяці тому +2

    Nafarijika sana naposikia nyimbo kama izi kweri ni baraka

  • @lameckfrancis2695
    @lameckfrancis2695 4 роки тому +9

    Hongereeni sana sana kwa uinjilishaji mwema

  • @mabonantambala7529
    @mabonantambala7529 4 роки тому +1

    Hakika weimba vizuri. Mungu awabariki

  • @beatusjohn5395
    @beatusjohn5395 4 роки тому +2

    Hamjui tu mnavyonibariki
    Inapendeza sana

  • @kibarajulius2302
    @kibarajulius2302 3 роки тому +1

    Kibao saafi...Mungu awabariki

  • @gabrielshewio6599
    @gabrielshewio6599 4 роки тому +1

    Hongera mtunzi hongera waimbaji

  • @monicaosino6192
    @monicaosino6192 4 роки тому +3

    Kazi nzuri sana Ray ufunguo... Mungu akujalie neema na Baraka uzidi kumtumikia. 👌👌👌

  • @rosetteceline6315
    @rosetteceline6315 Рік тому

    Ooh yesu wangu nakukaribisha,Sina lakusema mubarikiwe mukapa mushangae

  • @flaviaggervas1689
    @flaviaggervas1689 4 роки тому +2

    Mungu ujitwalie Utukufu katika uimbaji wetu...Sisi ni vyombo tuu umetupa neema yakukutumika katika kukuimbia ..Pokea sifa yote. Tunza mioyo yetu tukumbuke thamani ya Sakramenti ya Ekaristi Takatifu tukukaribishe kwa moyo safi.

    • @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60
      @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60 4 роки тому

      Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html

  • @marcykivuyo9666
    @marcykivuyo9666 4 роки тому +2

    Mungu nakushukuru kwa kuwa mkatoliki najivunia Sana dhehebu langu tuzidi kutupigania mwenyezi!!! Mungu

    • @friminamkenda7405
      @friminamkenda7405 3 роки тому

      Usijivunie tu dhehebu endelea kutenda mema I'll siku ifkapo jina lakoliwe limeandikwa ktk kitabu Cha uzima madhehebu na mengine hayatatupeleka mbinguni tukeshe na kuomba

  • @uldawango4047
    @uldawango4047 4 роки тому +7

    Ray Ufunguo/Rajo kazi zenu zinaztubariki sana. Keep it up! Mara kwa natazama nyimbo zenu pasipo kuchoka! Nyimbo zenu kama vile Wewe Bwana Nguvu Zangu Nakupenda sana, Mawazo ninayowawazia ni tamu sana aisee. Mbarkiwe

  • @judithmoraaiisoe8219
    @judithmoraaiisoe8219 4 роки тому +3

    Ninakukaribisha yesu moyoni mwangu ukae Nami daima Amina.najivunia kuwa mkatoriki sana

  • @florencenzioka5503
    @florencenzioka5503 3 роки тому +1

    Naupeda sana huu wimbo.barikiweni

  • @anthonykilosa6179
    @anthonykilosa6179 4 роки тому +8

    I have no more words than to say #RAJO PRODUCTIONS and all singers stay blessed

    • @rajopro
      @rajopro  4 роки тому +2

      Thank you Anthony

  • @juliusjames2843
    @juliusjames2843 3 роки тому +3

    Nimebarikiwa sana....wimbo safi sana😚😚

  • @francisleonard2208
    @francisleonard2208 4 роки тому +1

    Nyimbo nzuri sana hongereni

  • @msokasgallery8323
    @msokasgallery8323 4 роки тому +23

    Wimbo mzuri saaana.....! Hongereni sana waimbaji, mtunzi na RAJO PRODUCTIONS kwa kutusaidia kumkaribisha Bwana Yesu mioyoni mwetu kwa njia ya uimbaji mtakatifu. Mungu awabariki sana

    • @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60
      @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60 4 роки тому

      Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 3 роки тому

    Aise wimbo ni Mzuri Mnoooo Mungu asiwapungukie hata Milele

  • @valleyrocktravellers2007
    @valleyrocktravellers2007 4 роки тому +5

    Huu wimbo umeweza.yaani kila sauti inasikika.Congrats waimbaji

  • @kumbunimavika5888
    @kumbunimavika5888 3 роки тому +1

    Mbarikiwe sana kwa utume

  • @raymondlissu4649
    @raymondlissu4649 4 роки тому +1

    Hongera Sana mkuu wangu kazi nzur kwa mungu imebarikiwa hongera pia organist huwa namkubali Sna Swayi

  • @calvinjohn929
    @calvinjohn929 4 роки тому +2

    mwenyez mungu wajazie hazina zako hapa dunian na huko mbinguni mt boniphace kwakuitangaza injili kwa njia ya uimbaji asanteni sana nyimbo nzuri
    \

  • @deokessy6288
    @deokessy6288 3 роки тому +3

    Tumain swai🙏🙏🙏

  • @patienskweyamba5469
    @patienskweyamba5469 3 роки тому +2

    Yesu unishibishe.

  • @kwayabikiramariamamawashau2448
    @kwayabikiramariamamawashau2448 4 роки тому +1

    KAZI NZURI SANA SANA SANA KUANZIA UTUNZI MPK UKAMILISHO WAKE.... HONGERENI MNO NA MUNGU ABARIKI SANA MAJITOLEO YENU

  • @YohanaMorsi-yp1tk
    @YohanaMorsi-yp1tk Рік тому

    Nafurahi kuwa mkristo nasikiliza hiii nyimbo npo Congo kwa Sasa

  • @dannykimbesa9874
    @dannykimbesa9874 3 роки тому +4

    wimbo bora sana nawa fwata toka drc🇨🇩

  • @erickongute4184
    @erickongute4184 3 роки тому +1

    Niaibishwe kwa chakula cha uzima uninyweshe kinywaji safi cha roho.

  • @adamukonara2570
    @adamukonara2570 4 роки тому +1

    ongereni kwa ujumbe mzuri

  • @pamellahakoth2834
    @pamellahakoth2834 3 роки тому +1

    Tulizo LA roho watching from kisumu

  • @emmanueljosephat3670
    @emmanueljosephat3670 3 роки тому +1

    Wema na fadhili viwazunguke kwa uinjilishaji huu mzuri

  • @dionisiajohn519
    @dionisiajohn519 3 роки тому +1

    Ndo hapa, Mungu anapotukuzwa, na wanadamu tunapata wokovu.

  • @mariababu6520
    @mariababu6520 10 місяців тому

    Najivunia kuwa mkatoliki Asante mungu kwa zawad yaukatolik

  • @isaacrenatus7985
    @isaacrenatus7985 2 роки тому +1

    Safi sana kazi nzri sana pongez Kwa mtunzi na waimbaji safi mno organist 👊🙏

  • @sebastiankivinge2701
    @sebastiankivinge2701 3 роки тому +1

    Nimeupenda sana huu wimbo

  • @richardlaizer8562
    @richardlaizer8562 Рік тому

    hongera sana kwaya ya Mtakatifu Boniface Askofu na shahidi, Parokia MoYo Mt wa Yesu. Mbarikiwe sana tunawapata vyema hapa Uganda

  • @melkiorymarandu1850
    @melkiorymarandu1850 3 роки тому +2

    Mnajituma kwa kiasi ambacho mnastahili kusifiwa kwa kazi zenu nzuri. Hongereni mno.

  • @ngemeravedastus3466
    @ngemeravedastus3466 3 роки тому +1

    Dini yangu naipenda roma kutoka moyoni. Naipenda kwaya hiii

  • @emmanuelyawa5534
    @emmanuelyawa5534 Рік тому +1

    Kuimba ni kusali mara mbili a choir member forever

  • @nicksonkaiza7656
    @nicksonkaiza7656 4 роки тому +1

    Mpo sawa kwa kutuburudisha

  • @sharonshaz1275
    @sharonshaz1275 4 роки тому +3

    Huu wimbo unafanya naona kristu. ..hongera kwa uimbaji nzuri...this is so nice

  • @johnmusenje
    @johnmusenje 7 днів тому

    Nlpo Zambia lakini nahisi kama nipo tz kwa nyimbo hii tamu

  • @elizabethmsimihe6638
    @elizabethmsimihe6638 4 роки тому +14

    Wimbo mzuri 😍😍 hongereni

  • @stevenmhina7915
    @stevenmhina7915 4 роки тому +1

    High quality video safi sane

  • @murimingari1709
    @murimingari1709 4 роки тому +1

    Hongera Rajo. Wimbo umekubalika sana hapa Kenya

    • @rajopro
      @rajopro  4 роки тому +1

      Thank you Mumiri. Wasalimu sana Kenya

  • @virginiamutisya9966
    @virginiamutisya9966 4 роки тому +1

    Barikiwa sana mtuzi wa huu wimbo na waimbaji pia

  • @vckybayyo6671
    @vckybayyo6671 4 роки тому +1

    Kaz nzur wanasombetin

  • @DjTijay254
    @DjTijay254 4 роки тому +1

    Amina....Yesu yu pamoja nasi

  • @malkiafurahia
    @malkiafurahia 3 роки тому +8

    Nimefurahia nyimbo hizi zwa shangwe sana, asante na talaka tele kwa Rajo production, like like like from Germany

  • @sarmayusuph5173
    @sarmayusuph5173 3 роки тому +1

    Mungu awatangulie kwa kumtukuza mwenyezi mungu

  • @restipaul4286
    @restipaul4286 3 роки тому +1

    Wimbo mzuri wapendwa

  • @angelsvoicessingerstanzania
    @angelsvoicessingerstanzania 4 роки тому +2

    Frankly speaking ,Kaz nzuri sana @Rajo always nakuamini sina hofu na kazi zako

  • @jamesgachau2566
    @jamesgachau2566 12 днів тому

    Ekaristia takatifu inaleta amani ya roho. Nice singing

  • @desminachavala8118
    @desminachavala8118 3 роки тому +1

    Raha sanaaa kuimba

  • @Stephanieepeyon
    @Stephanieepeyon 4 роки тому +4

    Mmenibariki sana, asanteni sana waimbaji wote, mtunzi na Rajo productions, be blessed ❤

    • @sundayssmile2128
      @sundayssmile2128 4 роки тому

      Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html

  • @picsandvidstv1348
    @picsandvidstv1348 4 роки тому +1

    Shukran kwa nyimbo nzuri Rajo production na wanakwaya. Mimi mkenya nimefurahia wimbo wenu. Mungu awabariki🙏

  • @maliinathan4831
    @maliinathan4831 3 роки тому +1

    Nakukaribisha

  • @isaackangethe8662
    @isaackangethe8662 3 роки тому +1

    Napenda sana Nyimbo za Catholic si choir moja wanialike niwe part of that group ya kuimba

  • @charleskidudo8435
    @charleskidudo8435 2 роки тому +1

    Wimbo mzuri sana

  • @FloraKamanzi
    @FloraKamanzi 11 місяців тому +1

    Wimbo Mzuri sana, mtamu sana huwezi kuchoka kuusikiliza. Wanakwaya mlipendeza sana wote. Hongera sana mtunzi wa wimbo, big up sana kwa Organist.

  • @beatricemboya4060
    @beatricemboya4060 4 роки тому +1

    Hongera ni kwa wimbo mzuri mungu awabariki sana

  • @luciasimeo2170
    @luciasimeo2170 2 роки тому

    Mmepungukiwa uwokovu tu, kwa mavazi mmenibaliki saaaana.

    • @drmwesy4523
      @drmwesy4523 Рік тому

      Unamaanisha nini wamepungukiwa wokovu?

  • @alexanderlulu1301
    @alexanderlulu1301 3 роки тому +1

    Hongereni kwaya ya mtakatifu bonifanci Kwa uinjilishaji wa nyimbo zenu

  • @dudubaya9671
    @dudubaya9671 3 роки тому +2

    Hongera sana wimb0 mzuri. Tunamhiji Yesu ktk maisha yetu.

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa9932 4 роки тому +1

    Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina

  • @erneusmalekela2678
    @erneusmalekela2678 4 роки тому +4

    Mpaka kumoyo
    So sweet amazing song

  • @hgk322
    @hgk322 3 роки тому +1

    Hellenkwamboka Kenya najienjoy nikwa Saudia wimbo mtamu kama mimi mkatholic nafuraha ndani ya moyo wangu