NAKUKARIBISHA YESU (Official Video)
Вставка
- Опубліковано 25 чер 2020
- Kwaya ya Mtakatifu Boniface Askofu na Shahidi kutoka Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu Sombetini Arusha wanakukaribisha kusikiliza na kutazama wimbo wa Ekaristi uitwao Nakukaribisha Yesu utunzi wake Ray Ufunguo.Wimbo huu umerekodiwa katika studio za RAJO Productions.
Tunamshukuru sana Fr. Teilo M Lwande AJ. kwa kufanya English subtittles. Huu ni wimbo ulio bora wenye maneno matamu na tunaalikwa kushiriki ili tuweze kupata Neema za Mungu. Tunapoendelea kutafakari, Mungu aweze ku mimina neema katika maisha yetu na mwisho wa siku tuyaache maisha ya kale na tuwe wapya. Bwana unibadili niweze kuishi kadiri ya njia zako.
Tuatakapoyashuhudia matendo makuu ya Mungu, basi Tumpigie Mungu Kelele za shangwe ili Sifa na Utukufu virudi kwa Mungu.
#miminaneema #bwanaunibadili #rajoproductions #kwayakatoliki #gospelmusic
Please support: www.patreon.com/user?u=77044884
Thunk you very good
Qwqq
@@jeanlumbu3434 0
Amn
@@jeanlumbu3434😊😊😊😊
Ee, mungu ahsante Kwa uinjilishaji huu uliomzuri sanaaaa. Kanisa moja takatifu katoliki
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html
Ray Ufunguo hongera kwa utunzi mzuri wa wimbo wa Ekaristi unaotukumbusha utukufu na ukuu ulioka katika fumbo hilo takatifu,na pia hongereni sana waimbaji ,mcheza kinanda Swai F.T pamoja na Rajo production kwa uandaaji mzuri mlioufanya Mungu aendelee kuinuliwa na kutukuzwa milele
Asante sana Rafiki yetu, John Mtui. Uzidi kubarikiwa sana
Everything about being a Catholic is just right. Asanteni waimbaji kwa kutangaza Injili ya Bwana kwa sauti nzuri na maneno matamu. Awabariki Mungu mwenyezi Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.
Amina Sana👍🏼
Amina
Amen 🙏
Amina
Amen .
I recently joined catholic church , and I've started receiving the holy eaucharist and I don't think anything will ever take me away from This church
You are most welcome to Christ in the Eucharist. This is is home. God bless you.
Jiishi Nyumbani.
Welcome home
Most welcome dear❤❤❤❤🎉
Napenda kuisikiliza sana hii nyimbo najiona mwenye fahari kuwa mkatorik mmeinjilisha vyema
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html
Sichokagi kusikiliza wimbo mzuri sana💟💓
Swafi sana Rey Kwa utunzi kuntu na upigaji wa Swaiba wangu Huyo jamaaaaa aiseeeeee pongezi Rajo production
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html
Sombetini to the world 💥wimbo mzuri,mavazi mazuri,sauti nzuri, nabarikiwa sana
Ubarikiwe sana Anneh....
Bonface hapa kutoka Kenya. Mimi husikiza huu wimbo kila siku kitu cha kwanza nikiingia ofisini. Kazi safi sana.
Asanteni sana kwaujumbe nzuri nawapata vizuri huku rwanda
Kazi nzuri sana Muemdelee kbarikiwa
Kazi nzuri sana Muendelee kubarikiwa
Nakukaribisha Mola siku zote maishani mwangu. Amina 🙏
Kuimba ni kuomba twice.....wimbo mzuri be Blessed.
Kama Kuna mtu anabarikiwa na huu wimbo adi kutokwa na machozi kama mimi Like hapa tujuane
Hongera waimbaji mko vizuri
Amen and Amen Kenya Amen Kenya Amen Kenya Amen Kenya Amen and Amen🕊🕊🕊⛪⛪⛪🙏🙏🙏
kazi nzuri sana jamani. Hongereni wanakwaya. Hongera RAJO kwa kazi zilizotukuka.
Yesu karbu moyoni mwangu unishibishe
Good good mi ndo kabisa siwwez Hama katorik.
Hongera sanaa kwa wanakwaya ya Mt Boniface. Kazi nzuri sana.. nawamis sana nakuzidi kuwaombea baraka tele
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html
Wimbo mzuri sana sana sana. Video safi sana. Hongera sana
Sichoki kuusikiliza hongereni sana na Mungu atukuzwe Milele
Wimbo Bora mno... Hongereni jamani
Aisee aisee kumbe imekuwa hivi tena...hongera sana Mr rajo big up bro aisee nakuvulia kofia ur the best my bro...mnyonge mnyongen haki yake mpeni..
Hongeren sana sombetin Mungu awabariki sana jaman
Tumshukuru Mungu. Ubarikiwe sana Lawrence.
@@rajopro safi sana...mmeweka subtitle lkn maandishi hayaonekani vizuri...bold pls...asante RAJO
Kama kawaida yako Rajooooooo sasa si mchezo na utunzi niwako mwenyewe. Hongera Sana mkuu
Tunamshukuru sana Mungu. Ubarikkwe sana rafiki yangu Fridolinus.
Tunabarikiwa Sana na hii wimbo mzuri uliopangiliwa
Such a Beautiful song!!!!! na bado kuna watu wanadislike! Kweli kuna watu na viatu duniani!
Safi sana
kwangu mimi huu ndio wimbo bora wa mwaka. kama mimi binadamu nimebarikiwa hivi kwa wimbo huu, je vipi huyu anayeimbiwa (Mungu). hongereni sana wote mliohusika, ubunifu, sauti, vyombo, mavazi na mandhari ya video ni nzuri sana. Naamini mmebarikiwa sio ninyi tuu bali hadi vizazi vyenu.
Amen, Ubarikiwe zaidi Titus
Utukufu kwa Mungu
Ni mzuri Sana ambao una ujumbe pia unabirudisha ukiwa unauimba hata pia KWa kuusikiliza, nmependa sana
Mwimbo huu una ujumbe kamili wa fumbo la utatu mtakatifu na juu ya uwepo wa Mungu. Hakuna dhehebu lo lote la Kikiristo ambapo Utatu mtakatifu unafafanuliwa vizuri kama katika Ukatoliki. Uwepo wa Mungu haufananishi na cho chote. Well done!
Awesome... Mungu azidi kukusimamia Mwl. Ray Ufunguo na Rajo Production kwa kuzidi kumtukuza kwa Kwaya Safi...
Ubarikiwe sana Arnold.
Wimbo mzuri sana......unapaswa kuimbwa dkk mbili kabla ya kwenda kukomunika ili kila mmoja atafakari kisha tujongee mezani.
Keep it up Ray. Mungu azidi kukutumia utuinjilishe zaidi.
Nafarijika sana naposikia nyimbo kama izi kweri ni baraka
Bless sanah 🎉🎉🎉
Hongereeni sana sana kwa uinjilishaji mwema
Hakika weimba vizuri. Mungu awabariki
Hamjui tu mnavyonibariki
Inapendeza sana
Kibao saafi...Mungu awabariki
Hongera mtunzi hongera waimbaji
Kazi nzuri sana Ray ufunguo... Mungu akujalie neema na Baraka uzidi kumtumikia. 👌👌👌
Ooh yesu wangu nakukaribisha,Sina lakusema mubarikiwe mukapa mushangae
Mungu ujitwalie Utukufu katika uimbaji wetu...Sisi ni vyombo tuu umetupa neema yakukutumika katika kukuimbia ..Pokea sifa yote. Tunza mioyo yetu tukumbuke thamani ya Sakramenti ya Ekaristi Takatifu tukukaribishe kwa moyo safi.
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html
Mungu nakushukuru kwa kuwa mkatoliki najivunia Sana dhehebu langu tuzidi kutupigania mwenyezi!!! Mungu
Usijivunie tu dhehebu endelea kutenda mema I'll siku ifkapo jina lakoliwe limeandikwa ktk kitabu Cha uzima madhehebu na mengine hayatatupeleka mbinguni tukeshe na kuomba
Ray Ufunguo/Rajo kazi zenu zinaztubariki sana. Keep it up! Mara kwa natazama nyimbo zenu pasipo kuchoka! Nyimbo zenu kama vile Wewe Bwana Nguvu Zangu Nakupenda sana, Mawazo ninayowawazia ni tamu sana aisee. Mbarkiwe
Ninakukaribisha yesu moyoni mwangu ukae Nami daima Amina.najivunia kuwa mkatoriki sana
Naupeda sana huu wimbo.barikiweni
I have no more words than to say #RAJO PRODUCTIONS and all singers stay blessed
Thank you Anthony
Nimebarikiwa sana....wimbo safi sana😚😚
Nyimbo nzuri sana hongereni
Wimbo mzuri saaana.....! Hongereni sana waimbaji, mtunzi na RAJO PRODUCTIONS kwa kutusaidia kumkaribisha Bwana Yesu mioyoni mwetu kwa njia ya uimbaji mtakatifu. Mungu awabariki sana
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html
Aise wimbo ni Mzuri Mnoooo Mungu asiwapungukie hata Milele
Nafulahi Sana nahisi Kama vile napaa mbinguni amina
Huu wimbo umeweza.yaani kila sauti inasikika.Congrats waimbaji
Mbarikiwe sana kwa utume
Hongera Sana mkuu wangu kazi nzur kwa mungu imebarikiwa hongera pia organist huwa namkubali Sna Swayi
mwenyez mungu wajazie hazina zako hapa dunian na huko mbinguni mt boniphace kwakuitangaza injili kwa njia ya uimbaji asanteni sana nyimbo nzuri
\
Tumain swai🙏🙏🙏
Yesu unishibishe.
KAZI NZURI SANA SANA SANA KUANZIA UTUNZI MPK UKAMILISHO WAKE.... HONGERENI MNO NA MUNGU ABARIKI SANA MAJITOLEO YENU
Nafurahi kuwa mkristo nasikiliza hiii nyimbo npo Congo kwa Sasa
wimbo bora sana nawa fwata toka drc🇨🇩
Niaibishwe kwa chakula cha uzima uninyweshe kinywaji safi cha roho.
ongereni kwa ujumbe mzuri
Tulizo LA roho watching from kisumu
Wema na fadhili viwazunguke kwa uinjilishaji huu mzuri
Ndo hapa, Mungu anapotukuzwa, na wanadamu tunapata wokovu.
Najivunia kuwa mkatoliki Asante mungu kwa zawad yaukatolik
Safi sana kazi nzri sana pongez Kwa mtunzi na waimbaji safi mno organist 👊🙏
Nimeupenda sana huu wimbo
hongera sana kwaya ya Mtakatifu Boniface Askofu na shahidi, Parokia MoYo Mt wa Yesu. Mbarikiwe sana tunawapata vyema hapa Uganda
Mnajituma kwa kiasi ambacho mnastahili kusifiwa kwa kazi zenu nzuri. Hongereni mno.
Dini yangu naipenda roma kutoka moyoni. Naipenda kwaya hiii
Kuimba ni kusali mara mbili a choir member forever
Mpo sawa kwa kutuburudisha
Huu wimbo unafanya naona kristu. ..hongera kwa uimbaji nzuri...this is so nice
Nlpo Zambia lakini nahisi kama nipo tz kwa nyimbo hii tamu
Wimbo mzuri 😍😍 hongereni
High quality video safi sane
Hongera Rajo. Wimbo umekubalika sana hapa Kenya
Thank you Mumiri. Wasalimu sana Kenya
Barikiwa sana mtuzi wa huu wimbo na waimbaji pia
Kaz nzur wanasombetin
Amina....Yesu yu pamoja nasi
Nimefurahia nyimbo hizi zwa shangwe sana, asante na talaka tele kwa Rajo production, like like like from Germany
Mungu awatangulie kwa kumtukuza mwenyezi mungu
Wimbo mzuri wapendwa
Frankly speaking ,Kaz nzuri sana @Rajo always nakuamini sina hofu na kazi zako
Ekaristia takatifu inaleta amani ya roho. Nice singing
Raha sanaaa kuimba
Mmenibariki sana, asanteni sana waimbaji wote, mtunzi na Rajo productions, be blessed ❤
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html
Shukran kwa nyimbo nzuri Rajo production na wanakwaya. Mimi mkenya nimefurahia wimbo wenu. Mungu awabariki🙏
Nakukaribisha
Napenda sana Nyimbo za Catholic si choir moja wanialike niwe part of that group ya kuimba
Wimbo mzuri sana
Wimbo Mzuri sana, mtamu sana huwezi kuchoka kuusikiliza. Wanakwaya mlipendeza sana wote. Hongera sana mtunzi wa wimbo, big up sana kwa Organist.
Hongera ni kwa wimbo mzuri mungu awabariki sana
Mmepungukiwa uwokovu tu, kwa mavazi mmenibaliki saaaana.
Unamaanisha nini wamepungukiwa wokovu?
Hongereni kwaya ya mtakatifu bonifanci Kwa uinjilishaji wa nyimbo zenu
Hongera sana wimb0 mzuri. Tunamhiji Yesu ktk maisha yetu.
Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Mpaka kumoyo
So sweet amazing song
Hellenkwamboka Kenya najienjoy nikwa Saudia wimbo mtamu kama mimi mkatholic nafuraha ndani ya moyo wangu