Acha kuongea mambo usiyo yajua bro, fanya research kabla ya kuzungumza ulaya fly emirate in sponsor klubu saba km vile real madrid, Arsenal, Ac milan, olympic lyon, benfica na kadhalika vile vile pale England emirate ni mdhamini wa arsenal pia ni mdhamini wa FA cup
Huyu chawa tu Hana ushabiki wa maendeleo ya simba Hana hoja ya msingi anapiga kelele ili apate ugali shabiki wa uchungu miraji Gb 64 Pasi million lakinj huyu mamluki
Ali Kamwe ni kijana mtulivu mwenye uvutio mkubwa ambae atakumbukwa katika uongozi wake Yanga imepata mafanikio makubwa sana bila ya kuziandama timu nyenginezo. Kila la kheri Ali
Elimu, Elimu, elimu, busara na hekima ni muhimu sana nje ya hapo utakuwa unasubiri pakuche haraka ili ufuatilie mambo ya watu na hayakusaidii kitu ! Weak or simple minded people discuss about people not events or issues! Habari kubwa ya michezo kwa Jana ilikuwa ni Yanga siyo tu kwa kuifunga Kaizer Chiefs 4-0 ! Bali ni kwa kocha Gamondi kumgaragaza vibaya kocha Nabi ! Wote wakiifundisha Yanga kwa kupokezana !
@@VedastoJaphes Nimemuelewa vizuri,, anadai timu zinazo dhaminiwa, na GSM zinanunuliwa,, ndio maana Yanga inapata matokeo. Ligi inakosa ushindani. Kama Kisugu yuko sahihi tetesi hoja ni kwa jinsi gani? Maana kama kufungwa sisi Simba ndio tumefungwa magoli mengi msimu jana. Je na sisi tunadhaminiwa na GSM? Tukubali usajili wetu haukuwa sawa,, wachezaji wamechoka. Tusiongee kishabiki muda wote. Tukubali ukweli tu jirekebishe,, that's all
Acha ushamba udhamini unafanywa ht Ulaya,kama ni hivyo hata Azam timu yao ingekuwa inafanya hayo unayoyasema,hizo kelele mwache huyo hajui anachokisema.
Kwani GSM kudhamini timu 6 ndio kumesababisha Simba kufungwa mara mbili 5-1 na 2-1 na Yanga?mbona JKT Tanzania haikufungwa mara mbili na Yanga?hizo timu zinazodhaminiwa na GSM zimeizuiaje Simba kuchukua ubingwa?je Azam nayo inadhaminiwa na GSM?
@@mbwanarajab7238 lisemeeni nyinyi tu 😂😂 .... Nahis wakat huu mlo design sanda ndo itapendeza zaidi na zaidii ..... Mangungu alienda FIFA wakat Fulani kupeleka iyo kesi akaulizw kwani nyie mmewafunga ngap ?? Na kwenye ligi mmeshika nafasi ya ngapi ? Mbona Kuna wakat vilabu vya Simba , yanga , namungo na Singida walikuwa wanavaa jezi zinye nembo ya Sportpesa hawa ni akina nani ?? Wapo na wanasheria wanajibu Ayo maswal wakirudi ili waungane na magoma mahakamani 😂😂😂😂😂😂
Simba tumepigwa nje ndani na yanga kwaiyo na simba mdhamini wake ni GSM? acha uboya mambo ya mpila yaache fanya kaz nyingne misuli inakutoka unaongea pumba tu
Ni kweli kisuqu❤❤❤❤
Bado Hamjasema💛💚💪💪💪
Nafurahi Sana Kuona Simba mnateseka yaani Raha kwelikweli
Huyu jamaa zinamtosha kweli au anamatatizo ya akili
Jamaa ana ongea kwa hasira na amepaniki kinoma point hamna
Hahahaaa....mmeanza...mshajua KIMBUNGA kitawakuta....🤣🤣🤣
Hatukulaumu akiriyako imeingia mavi
@@Shemahonge-ku7xx ...mavi ya shemahonge
Wasemaji wa simba vilaza sana😅 mpira umewashinda wanaleta taarabu za kupangwa matokeo😅
Acha kuongea mambo usiyo yajua bro, fanya research kabla ya kuzungumza ulaya fly emirate in sponsor klubu saba km vile real madrid, Arsenal, Ac milan, olympic lyon, benfica na kadhalika vile vile pale England emirate ni mdhamini wa arsenal pia ni mdhamini wa FA cup
Kichwa Cha habari na kilicho ndani ni tofauti Jembe mnajishusha Wenyewe Ayo Hana mpinzani
😂😂😂😂😂😂😂
Yanga inaaribu Mpira,, haiwezekani idhamini club zaid ya moja ,hizo timu zikikutana na yanga zinacheza chini ya kiwango
Ligi gan mdhamini anaruhusiwa kudhamini team zaid ya moja kwenye legue. ,,,, kaongea ukweli
Hiyo SI kweli inaashiria rushwa
Huyu nae HAZIMO KABISA hivi kati ya vilabu na GSM nani anamuomba mwenzake msaada kwa SABABU hata YANGA ilimuomba GSM
Alivyokaza fuvu sasa yuko serious kama anaongea point vile😂😂
Na zile TIMU zilizofungwa na YANG'A south Africa zimedhaminiwa na Yanga.?
Huyo jama ni chizi aperekwe mirembe kupimwa
Wwww kisigu
Hivyo ndivyo mnavyotupa hasira, tarehe 8 tutawakomesha?
Awezi sema mo anatoa bei Gani kwakuwa ni chawa
Hao hao haooo wanampigaa Refaaa...!!!
Uko sahii kisugu
Mimi ni yanga lakini sipendi tabia iyo
Kweli aisee ,Gsm anaharibu Mpira, adhamini yanga peke yake
Kisugu hicho chombo usikitumie Tena kina vinasaba na yanga
Elimu ni ya muhim sana
CEO wa Simba ni bongo lala. Vinginevyo angekuwa amelipinga hili mpaka FIFA. SIMBA Viongozi liangalieni hili na kulichukulia hatua.
Kumbe umesikia tu, we kichwa tenge😅
Kisugu yupo vizur hapewe usemaji
Hama tanzania sasa
Ali kamwe hajajiuzulu anawababaisha tu watu.
😂😂😂😂shida hicho ni kisugu kama timu yake mlikataa udhamini wa gsm
We hujijui bado
Mnamuhoji mwehu, mnatimalizia mabando yetu Bure.
We kisugu hujawahi kuwa na akili mwehu mmoja
🐦peleka saram
Wandishi vilanza ,,,wanatumika awoo
Ally kamwe yupo acheni propaganda...Ally ni Afisa habar na manara ni msemaji...Alicho acha Ally ni usemaji
Mwandishi dishi kweli
Hoyo mo kampelek akazamin Kwan kakatazwa nan na vilabu vinahitaj uzamni
Mo Hana peas na mapenzi ya mpila Hana Simba ina mshinda
Huyu chawa tu Hana ushabiki wa maendeleo ya simba Hana hoja ya msingi anapiga kelele ili apate ugali shabiki wa uchungu miraji Gb 64 Pasi million lakinj huyu mamluki
Wanahatibu mpira wamezoeya kununua ubingwa alafu wanajifanya Yanga Bora wap
Huyo ni mwana siasa tu.
Mbona sport pesa ilizamini simba na yanga simba ilichukua kombe acha ubwege kisugu
Sio kweli huyu anaongea ukwel ndio maana wa muita chawa..
Ali Kamwe ni kijana mtulivu mwenye uvutio mkubwa ambae atakumbukwa katika uongozi wake Yanga imepata mafanikio makubwa sana bila ya kuziandama timu nyenginezo. Kila la kheri Ali
Kisugu mwehu muacheni yeye siyo msemaji wa cmba amejivalisha koti la Ahmed Ally wakipenda wapeleke TFF malalamiko hayo asitutafunie MB zetu bule
Kitu ambacho hajui akiwaacha wengne nguvu zote anaelekezea yanga then mtasema vizuri
Huyo kisugu anatafuta kiki lile eneo la town avic ni eneo la kibiashara hata wewe unaweza kukodi lisikutoke povu sana
Taja moja senge
Hee kichwa tenge
Mo na yeye atafute vilabu saba ligi ina timu 16 Acha uboya Kenge rudi Darasani
Kwani shida Iko wapi jamani
Elimu, Elimu, elimu, busara na hekima ni muhimu sana nje ya hapo utakuwa unasubiri pakuche haraka ili ufuatilie mambo ya watu na hayakusaidii kitu ! Weak or simple minded people discuss about people not events or issues!
Habari kubwa ya michezo kwa Jana ilikuwa ni Yanga siyo tu kwa kuifunga Kaizer Chiefs 4-0 ! Bali ni kwa kocha Gamondi kumgaragaza vibaya kocha Nabi ! Wote wakiifundisha Yanga kwa kupokezana !
KAMA SENGE pamban ww kipara kam kijiko
Ili chizi nn senge kweli
Uyo kocha siomtu wapira mwambie wakajipange watengeneze team yao iyo tareh 8 atateseka sanayo dunduka
Huyuboya kweli
Kisugu matamani uwe rafiki yangu yaan mpira unaujua kaka
Kisugu timu zimebaki 7 nanyinyi mwambieni kanchubai na yeye anunuwe
Kisugu umepata aibu acha kukurupuka
Huna mpila ndiyo maana unatafuta kichaka cha kujifichia.
Nilichugundua ni kuwa huyu jamaa anatafuta kibarua kwa MO.
Tff sijui wanafukiria nn kuhusu hili lamdhamini mmoja kudhamini Zaid ya Tim moja
Muulizeni kama amekula leo. Ninaona anabwabwaja kama mtu mwenye njaa
Tarehe 08 ifike in sha Allah
Uwezo wa kisugu kufikiri na kisha kuongea ni dhaifu sana na media zinazomtumia ni dhaifu pia kama yeye
Avic town kunakodishwa hata simba wanaweza kwenda kukodi na kukaaaaaa
Hawajui lolote ni khofu tu imewajaaaa. We unafikir lengo la kudesign sanda ni jambo dogo ??? Acha watesekeee
Simba😂😂😂 Hadi wanahurumisha na bado 😂😂😂
Kwelii kbs wanauakika na point za mechi 14 za izo timu zao
Sawa point 14 je na nyie mmezaminiwa na yanga point 6?
Mo ni mbinafsi hawez kutoa hela zake kuzipa timu zingine
Sipati picha domo linavyotoa mate na harufu kama mkojo wa mlevi
Unazungumzia Alie zamini watu Saba kwasababu ni bwanaako kama linakuumiza achana nalo
Acha janja janja kisugu we hujui mpra unaropokaga tu
Hivi nikupe kazi utaacha kunilinda mwajiri wako
Choko ww
Najiandae familia Yako kuteteleka mdomo utabwajaja mwisho leta pesa sio povu mpaka ndita kumbe njaa tu
Huyu jamaaa kichwa chake kinasora mbovu analopokaga kuongea anaumia nini kama xyo Uchiz huo
Ninyi ndo mnaofanya Simba haibadiriki. Kwasababu mnaweza kuongea mnatumia midomo yenu. Vibaya. Hayo nimaandalizi ya kuzima kichapo cha ngao ya jamii. Mmeshaona kinachokuja mmeanza kutupanga kisaikolojia.
We kwel ni mwana simba mana naona mahepe hiv🤔
Acha wivu kisugu mbona gsm alitaka kudhamini ligi mkakataa?
Acha upumbavu,,, huo ushabiki ni wa zamani sana. Simba tumepigwa nje ndani tunadhaminiwa na GSM?
acha ujinga kufugwa ni kawaida anachozungumzia kisugu naona hujamuelewa
@@VedastoJaphes Nimemuelewa vizuri,, anadai timu zinazo dhaminiwa, na GSM zinanunuliwa,, ndio maana Yanga inapata matokeo. Ligi inakosa ushindani. Kama Kisugu yuko sahihi tetesi hoja ni kwa jinsi gani? Maana kama kufungwa sisi Simba ndio tumefungwa magoli mengi msimu jana. Je na sisi tunadhaminiwa na GSM? Tukubali usajili wetu haukuwa sawa,, wachezaji wamechoka. Tusiongee kishabiki muda wote. Tukubali ukweli tu jirekebishe,, that's all
HABARI YA ALI KAMWE IKO WAPI HAPO WEE NGURUWE PORI
Unakauka sauti bure nyamaza MO naye hajakatazwa kudhamini timu nyingine mbona zipo? Acha kelele
Acha ushamba udhamini unafanywa ht Ulaya,kama ni hivyo hata Azam timu yao ingekuwa inafanya hayo unayoyasema,hizo kelele mwache huyo hajui anachokisema.
Kazamin ww
Wanasimba tuache kupga kelele tutengeneze timu tushinde kila mechi... ubora wa timu ndo itaamua matokeo viongozi wetu niwabaili
Kwanini msimshauri boss wenu naye adhamini timu zilizobaki naye azinunue? Acha ushamba kisugu.
Na simba mbona wameichangia point 6 yanga kuwa bingwa, na wao walipangwa?
Kwani GSM kudhamini timu 6 ndio kumesababisha Simba kufungwa mara mbili 5-1 na 2-1 na Yanga?mbona JKT Tanzania haikufungwa mara mbili na Yanga?hizo timu zinazodhaminiwa na GSM zimeizuiaje Simba kuchukua ubingwa?je Azam nayo inadhaminiwa na GSM?
Msenge mwenyewe wewe choko tu tena wewe utopolo
Mmeanza,mmeanza,mmeanza🤣🤣🤣🤣🤣
Kusugu hanatombwa uyo mo mwenyewe ana ela
Hata kuandika hujui,rudi darasani
Pointi ni ipi unayoitaji? Mwandishi pia ana shida!
Huyu mwandishi ni mwehu maswali gani..hayoo??
Watu waache matusi ila wafikiri vizur juu ya haya
Unasikini wetu unatufanya tuharibu taratibu zetu
Tff ilisemee hili
@@mbwanarajab7238 lisemeeni nyinyi tu 😂😂 .... Nahis wakat huu mlo design sanda ndo itapendeza zaidi na zaidii ..... Mangungu alienda FIFA wakat Fulani kupeleka iyo kesi akaulizw kwani nyie mmewafunga ngap ?? Na kwenye ligi mmeshika nafasi ya ngapi ? Mbona Kuna wakat vilabu vya Simba , yanga , namungo na Singida walikuwa wanavaa jezi zinye nembo ya Sportpesa hawa ni akina nani ?? Wapo na wanasheria wanajibu Ayo maswal wakirudi ili waungane na magoma mahakamani 😂😂😂😂😂😂
Mbona mapema sana,au kikosi chenu tayari mmeshakiona kibovu nn🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa Mabwela hawajielewi
Xav mtupu
Huyu jamaa akili ziko matakoni
Hajielew na hajuw anachoongea
Simba tumepigwa nje ndani na yanga kwaiyo na simba mdhamini wake ni GSM? acha uboya mambo ya mpila yaache fanya kaz nyingne misuli inakutoka unaongea pumba tu
Huyo si mchambuzi huyo msenge tu
Wewe Ulienda kudhamini ukakataliwa ?