VITA INAPOKUWA NGUMU | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 64

  • @JoanJerubet
    @JoanJerubet Місяць тому +1

    Amen,Nimebarikiwa Na maneno matamu,Mtumishi wa Mungu bwana hakubariki Na hakusitii kutia nguvu unaboeneza injili yake yesu Christo kwa Kuwa hizi Ni nyakati za mwisho

  • @user-ys7mh5ng2g
    @user-ys7mh5ng2g 11 місяців тому +3

    yani sina lakuongea ila napenda kushukuru mungu maana mm ni kama ester sikustahili kwa jambo lolote mungu anaweza fanya mambo magumu nashukuru sana mungu kwa mambo ambayo anatenda katika maisha yetu mungu akubariki pastor unanibariki sana

  • @josephkibwene8492
    @josephkibwene8492 Рік тому +5

    Aisee !!nabarikiwa na mafundisho yako,Nakukaribisha sana kwenye Makambi huku Isibania....

  • @Joy-mm1ut
    @Joy-mm1ut 23 дні тому

    Amina nabarikiwa kila siku na mahubiri yako ...mungu azidi kukutumia

  • @wordsofhopewestpalzab4875
    @wordsofhopewestpalzab4875 Рік тому +1

    Shukrani Mungu sna ambaye ama nipa mda kuli fata somo hili, kutoka kinywani mwa mchungaji mteule wa Kristo aliye hai. Nikiwa UAE najifunza kupambana kupita maongozi yake Kristo. Barikiwa na muumba ee Mchungaji David.

  • @DoreenGerald-fx7wn
    @DoreenGerald-fx7wn Рік тому +6

    Masomo yako uwa yananifariji sana na yananisogeza sana kwa Mungu

    • @elienew3788
      @elienew3788 Рік тому +1

      Ubarikiwe sana Mtumishi hongera sana kwa Mafunzo bora sana ..

  • @mlishohadija6923
    @mlishohadija6923 8 місяців тому +1

    Amen and Amen 🙏🙏

  • @user-bt6ik1wj5h
    @user-bt6ik1wj5h 11 місяців тому +1

    thank you so much my mentor long live pastor Mbaga

  • @user-nw1vi5sx3i
    @user-nw1vi5sx3i Рік тому +1

    Asante sana plaster Kwa fundizo nzuri

  • @benjaminmurego9840
    @benjaminmurego9840 Рік тому +3

    je vous suis chaque fois depuis CONGO DRC mon pasteur que Dieu vous bénisse

  • @zeliageorge3311
    @zeliageorge3311 Рік тому +2

    Mungu ana makusudi na maisha yetu, sema nasi tupone.

  • @felisterpaul1815
    @felisterpaul1815 Рік тому +1

    mungu azd kukutunza pr.
    kiukweli unazd kutusogeza msalaban

  • @user-pg5zc2go4b
    @user-pg5zc2go4b 8 місяців тому +1

    Barikiwa sana

  • @user-ky3pb4sd3o
    @user-ky3pb4sd3o 2 місяці тому +1

    Amen

  • @FrolianLubanda
    @FrolianLubanda Рік тому +1

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu,
    Hakika kuishi rohoni kunahitaji kujivika ujasiri

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 Рік тому +1

    Mungu Abariki neno Lake na Akubariki sana kwa mafundisho yenye baraka

  • @lutemahindiakaje5046
    @lutemahindiakaje5046 Рік тому +5

    AMINA×7

  • @ttuphenarutto653
    @ttuphenarutto653 Рік тому +1

    Ubarikiwe mchungaji Kwa mahubiri nimesikia nimepata nguvu ya Imani naomba niombee uponyaji kutoka Kenya

  • @isakabuswelu3792
    @isakabuswelu3792 Рік тому +2

    Masomo mazuri sana ubarikiwe sana mchungaji

  • @BeatriceKingeli
    @BeatriceKingeli Рік тому +1

    Mungu ujibu maombi tangu unifundise njia ya kuongea na mungu

  • @silviafurah9172
    @silviafurah9172 Рік тому +2

    Amen 🙌 barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @perisbosibori8524
    @perisbosibori8524 Рік тому +2

    So educative and blessing to the heart. Barikiwa mchungaji for the job well done, AMEN 🙏 👏 🙌.

  • @asenathnyandika5944
    @asenathnyandika5944 7 місяців тому

    Asante Pastor..Mungu amekutumia kutuliza Moyo wangu

  • @user-id6vb9rc8m
    @user-id6vb9rc8m Рік тому

    Mchungaji nimesikiliza ibada ya Leo imenigusa sana Mimi wazazi wangu wamehamaa Sengerema kisa maneno ya ndugu Kwa maana tulikuwa tunaishi karibu na hivyo Kwa kuogopa maneno tukahamia Geita hivyo mchungaji naomba utuombee tuweze kurudi Sengerema maana ni hila na fitna zilizosababisha tuhame mchungaji naomba unisaidie kuomba tuweze kurudi Sengerema Amina

  • @carolinemwango5967
    @carolinemwango5967 2 місяці тому

    Amen 🙏

  • @user-ep4td7jx7e
    @user-ep4td7jx7e Рік тому +1

    Mchungaji amani kwenu,kweli naomba msaada wa maombi,mume amenifukuza na wa toto na kuoa mke mwengine, naomba mume wangu arudi ,mnisaidiye nashindwa chakufanya, maumivu ni makali.naitaji msaada wenu

  • @user-id6vb9rc8m
    @user-id6vb9rc8m Рік тому

    Mchungaji tuombeeee tuweze kuhama Geita turudi Sengerema Pia Amani na mahusiano mazr kwenye familia yangu Mchungaji

  • @patrickomondi9155
    @patrickomondi9155 Рік тому +1

    Amen thank you am blessed

  • @user-mg2dy4zc4r
    @user-mg2dy4zc4r 11 місяців тому +1

    Nikweli Mtumishi unatoa sehemu ngumu sana ni pagumu sana napita Ila bado namtazama Yesu.

  • @fatemajohn3195
    @fatemajohn3195 Рік тому

    Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU kwa somo zuri

  • @eugenianafutal9748
    @eugenianafutal9748 Рік тому

    Asante nashukuru kunisogeza karibu namsalama ninavitakubwakazini nandugu sasa nimepona asante kwasomo 1:02:29

  • @dorisgesare7707
    @dorisgesare7707 7 місяців тому

    Amina

  • @UserUser-gq1ir
    @UserUser-gq1ir Рік тому

    Thanks pastor kwa fundisho nzuri

  • @lena2036
    @lena2036 Рік тому

    Am blessed so much

  • @eugenianafutal9748
    @eugenianafutal9748 Рік тому

    Barikiwa saaana pastor

  • @user-yg1hy7oo9f
    @user-yg1hy7oo9f Рік тому

    Barikiwa pastor

  • @toyidadi4821
    @toyidadi4821 Рік тому

    Nimebarikiwa mnooo!!

  • @amjudith
    @amjudith Рік тому +1

    Amini

  • @linethowire7031
    @linethowire7031 Рік тому

    Mungu atukuzwe Kwa hubiri zuri lenye kutia nguvu

  • @user-ix1ep4vx3h
    @user-ix1ep4vx3h Рік тому

    Napenda sana mahubiri yko

  • @ruthondieki8567
    @ruthondieki8567 11 місяців тому

    Mchungaji you have real mentored me

  • @JosephOdero-rf8yg
    @JosephOdero-rf8yg Рік тому

    Mungu atukuzwe.

  • @sauud2some471
    @sauud2some471 Рік тому

    Ameeen 🙏 🙏🙏

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka3762 Рік тому

    Mahubiri mazuri sana

  • @eugenianafutal9748
    @eugenianafutal9748 Рік тому

    Ameeem

  • @user-jp9uz9iz5p
    @user-jp9uz9iz5p Рік тому

    Nafarijika sana

  • @SospeterLadslaus-zf7kh
    @SospeterLadslaus-zf7kh Рік тому

    Asnte sana nimeuona mkoni wa Bwana kupitia wwe

  • @robertmwangomale
    @robertmwangomale Рік тому

    Asante

  • @adellahchipanyanga5107
    @adellahchipanyanga5107 Рік тому

    Yani mchungaji ni km some liliandaliwa kwa skill yangu napitia magumu xana kwenye familia yani hata nifanye jema hakuna aneona ndio hua naambulia lawama

  • @user-pg5zc2go4b
    @user-pg5zc2go4b 8 місяців тому

    Barikiwa sana

  • @user-nv2ii9eu4j
    @user-nv2ii9eu4j 6 місяців тому

    Amen🙏🙏🙏

  • @ManiemaDousdous
    @ManiemaDousdous Місяць тому

    Amen

  • @eugenianafutal9748
    @eugenianafutal9748 Рік тому

    Barikiwa pastor

  • @anuarymangara624
    @anuarymangara624 Рік тому

    Amina

  • @user-pq9be8re6i
    @user-pq9be8re6i 11 місяців тому

    Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @ManiemaDousdous
    @ManiemaDousdous Місяць тому

    Amen

  • @user-vs2ub1pq2s
    @user-vs2ub1pq2s Рік тому

    Amen

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 Рік тому

    Amen

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko1389 Рік тому

    Amen

  • @joyceobwocha5961
    @joyceobwocha5961 Рік тому

    Amen

  • @UserUser-gq1ir
    @UserUser-gq1ir Рік тому +1

    Amina