TULIYOYAPITIA KATIKA GEREZA LA KIFO MSUMBIJI TUKANUSURIKA KUNYONGWA KWAAJILI YA UISLAMU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лип 2024
  • LEO USTADHI SHAFII AMETUBARIKI NA MOJA YA HISTORIA NGUMU KWENYE MAISHA YAKE ALIYOPITIA ALIPOENDA KUFANYA MHADHARA KATIKA NCHI YA MSUMBIJI

КОМЕНТАРІ • 57

  • @user-li2el5vb8w
    @user-li2el5vb8w 19 днів тому +3

    Mash Allah' Shekh' SHAFII' ALLAH Akujaalie Afya naakupe mwisho mzuli ufe ukiwa umetoa shahada.

  • @IddyMbarak
    @IddyMbarak 14 днів тому +7

    Alla awafahamishe hao maqafili

  • @SafiaOmar
    @SafiaOmar 8 днів тому +2

    Allah akujaalie mwisho mwema. Na akujaalie pepo ya Firdausi sheikh Shafi

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 19 днів тому +11

    Uchafu wote wameubandikiza UISLAM,JAMANI TUTAFUTENI ELIMU KWA WATU WENYE LENGO LA ALLAH WALA SIYO KWA MASLAHI YA MTU MWENYEWE....MAUSTADH WENYE ELIMU NA IKHLASWI...

  • @immtm4930
    @immtm4930 6 днів тому

    Allah awalipe kila la kheri duniani na akhera.. poleni sana walimu wetu .. bidhaa za M.Munhgu ni ghali sana,.. hakika bidhaa ya M.Mungu ni pepo! Bishara Njema!

  • @OHAAOHAA
    @OHAAOHAA 8 днів тому +1

    MaashaAllah ALLAH atakulipa kheri Mimi nataka namba za ustadhi shafi

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 19 днів тому +4

    Umeengea vizuri sana Shekh wetu ,bikhusus ulovyoelezea jihadi ....Mashallah...Ahsantum....

    • @myself4128
      @myself4128 13 днів тому

      Akili yako haina akili

  • @issarashid7707
    @issarashid7707 19 днів тому +4

    MaashaAllah Allah atupe mwisho mwema

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 19 днів тому +4

    safi sana sheikh shafi usikatetama kupiganiya dini ya Allah ❤

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 19 днів тому +1

    Allah kuwanusuru..poleni sana Allah awape ajri ya yale yote mlosubiri....ni mtihani khaswa.😢

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 19 днів тому +6

    NAKUOMBEA MWISHO MWEMA SHEKH WETU...

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 19 днів тому +2

    Maa Shaa ALLAH 💚

  • @abdululiza392
    @abdululiza392 19 днів тому +1

    Assalamualaikum umeongea vizuri sana sheikh ila nawaomba wahadhiri msigombane

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 19 днів тому +3

    Umeamsha wengi na wengi wasiokua hata waislam wamezinduka....

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s 11 днів тому +1

    Polen sana ndugu zetu wa islamu

  • @sukumaganga2613
    @sukumaganga2613 19 днів тому +1

    Pole Sana kaka kwa mtihani

  • @SwahibuAthuman-yv2mn
    @SwahibuAthuman-yv2mn 16 днів тому +1

    Pole sana sheikhee

  • @mwanaidikellner7653
    @mwanaidikellner7653 11 днів тому

    Napenda masimulizi ya huyu Baba❤

  • @saidimdoe5246
    @saidimdoe5246 16 днів тому +1

    Upo sawa shekhe

  • @user-nm2pr1xz6u
    @user-nm2pr1xz6u 13 днів тому

    Pole sana Sheikh wetu

  • @amoschacha2885
    @amoschacha2885 19 днів тому +3

    Simuluzi Mimi nawafuatilia sana toka mbogo alivyoongea na Shafy , mbogo wakati anaongea kaongea vizur sana na yeye kasema alikuwa kiongoz na shafiy hapa anasema alikuwa kiongoz hebu mtafute Hamidu nae atueleze ukweli wake hapa naona kila mtu. Anavuta kwake

    • @SIMULIZIZONE
      @SIMULIZIZONE  19 днів тому

      @@amoschacha2885 sawa

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 17 днів тому

      @@amoschacha2885 kaka nafikiri wewe mwenyewe unaweza kuona mhadhiri na anaemsaidia kusoma nani ni rahisi kua kiongozi, mfano ktk debate nyingi utaona labda dr. Sule na Ndacha afu Hamidu anakua msomaji

  • @allyway999
    @allyway999 19 днів тому +1

    Allah akujaalie sana shekhe shafi

    • @muznazahra455
      @muznazahra455 19 днів тому

      Wanatuhumu sana watu na Mashekh wanaojua kuunganisha watu na uislam ,na MAGAIDI WA KWELI HAONEKANI NA HAWATAJWI ILA WANAWATUMIA WATU WENGINE WASIOJUA HATA NINI DINI ? NA NINI UBINADAMU....MLIKUA MWAWINDWA BILA KUJUA...KWA KTUMIA DOCUMENTS ALLAH AWAHIFADHI MUBALIGHIN WA KWELI NA WALA SIO ....ALLAH NDIYE MWENYE KUJUA NA NDIYE MWENYE KUHIFADHI...

    • @muznazahra455
      @muznazahra455 19 днів тому

      Wanaojificha katika DINI YA UISLAM WANASABABISHA KUHATARISHA MAOSHA YA MAULAMAA WENGI NA KUUCHAFUA UISLAM...😢😢

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u 17 днів тому +1

    Huku kwetu uisilamu nikuwa kwingi ndio kuingia peponi , aisee hii dini ni hatari maqlishababu

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 19 днів тому +1

    Wamechafua Dini na kuwadanganya wengi wasojua ,ahsantum kuna kitu wengi hawakijui ....jamani wafundishwe watu wajue huo siyo Uislamu ,maana hata kafiri hafai kuuawa ,...

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel 6 днів тому

    Kwahiyo kuuwa bila holela kunauhusiwa? Dini ya shetani hiii .Mungu anasema usiuwe halafu nyie eti muue yaan nyie wote ni finally jehanam

  • @maestro9618
    @maestro9618 13 днів тому

    Ila imam shafii😂😂dah kun mda lazima akuchekesheee 😢😢😢ila maashallah

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 19 днів тому +1

    Kiongozi mwenye busara ndiyo misk ya nafsi za watu....

  • @lucaswanyonyi4037
    @lucaswanyonyi4037 5 днів тому

    Ila tu.s hekhe hujui.niko kenya

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel 6 днів тому

    Nje mnasema hivi ndani mnasemq ukiuwa mkristo unaenda peponi

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 6 днів тому

      @@Pelegrinoemanuelww mjinga nanikasema ukiuwa mkiristo unaenda peponi wwmnafki sana ucha ubwege waislam hatupohivyo hatufanyihivyo

  • @edwinismail9401
    @edwinismail9401 10 днів тому

    vita ya albadri mtume alifukia visima, vita ya mtaro mtume aliamrisha wayahudi wote wakiume wauawe wawe watoto au lah.

  • @user-ip4ie7pt6i
    @user-ip4ie7pt6i 17 днів тому

    Ule upande wa moenda kuna maeneo kuna migodi ndicho wanacho gombea na nyuma yake kuna mtu mweupe akiwemo na mportugues

  • @armindodamiao3201
    @armindodamiao3201 14 днів тому

    Docta sulle alinshitua majini yake

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 19 днів тому

    ulimchapa sule vikali...leo unakuja kuonyesha jinsi gani unamkubali...na kumbe alikichukulia kama mdogo wake katika daawa😊

    • @nubianqueen6700
      @nubianqueen6700 19 днів тому +1

      Mwenye dini ni Allah, kwa hiyo mtu yeyote anayekosea katika dini atakosolewa hata na ndugu yake, Hai maanishi watu wamekua maadui.

    • @AbasMabuli
      @AbasMabuli 18 днів тому

      Tumia akili basi, Hapo anaelezea story na mchakato ulivyokua, We unaleta ushabiki maandazi apa, Kwahiyo Sulle alikosea aachwe kwa sababu dini ni mali yake au!

    • @user-hi8le2vb7z
      @user-hi8le2vb7z 18 днів тому

      @@AbasMabuli imebidi nicheke 😄😄🙃

    • @ramahassan5515
      @ramahassan5515 17 днів тому

      Kunakitu hujaelewa kwakua alimuita mdogo wake akikosea lazima arekebishwe hata kama Kawa mkubwa

  • @maase2023
    @maase2023 13 днів тому

    Huyu jamaa fix sana

  • @mbalilax162
    @mbalilax162 18 днів тому

    nice story....sema waislam ni makatili huo ndio ukweli.

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 18 днів тому +1

      Tatizo hujui maana ya neneo islam

    • @mbalilax162
      @mbalilax162 17 днів тому

      @@sultansallah8772 nimeenda kuangalia maana yake....nimegundua ata wewe unaweza kujilipua alafu useme ni "submission to the will of God"

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 6 днів тому

      Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 6 днів тому

      Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana

  • @user13375
    @user13375 19 днів тому

    Kulipiza nako ni ushetani tu😮😮

    • @mashakamwinula3797
      @mashakamwinula3797 19 днів тому

      Haayo nimaneno yako hatufuati mtu bali kitabu

    • @user13375
      @user13375 19 днів тому

      @@mashakamwinula3797 msikilize shehk anavosema jihadi ni kulipiza kisasi🤔🤔🤔

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 18 днів тому +1

      Qur’an ni tofauti na Biblia..
      Ninyi mnafundishwa "akupigae shavuot la kulia, mgeuzie na la kushoto".. (maumbile yanakataa) ... sisi sio punda.
      Sisi Waislamu, "Jino kwa Jino" ... 🎉 ..

    • @abdulnaseermrisho4342
      @abdulnaseermrisho4342 16 днів тому

      Dini yetu haitaki unyonge,ni jino kwa jino,kisu kwa kisu,upanga kwa upanga,yaani hakuna kukaa kizembe