GB 64 DEBORA FERNANDES NI MASHINE KATILI VIBAYA MNO, SIMBA TUNASHUSHA VYUMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лип 2024
  • Debora fernandes
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 186

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli 5 днів тому +12

    Kweli kabisa unayosema,,,uchawi upo na DUA zipo ila wazee na viongozi wa Simba wafanye umuhimu wa kuwakinga,,mana yanga ni wachawi sana,

    • @khalidmwakabuta5045
      @khalidmwakabuta5045 5 днів тому

      Umefikiria mbali sana nduguangu , haiwezekani wazee wa utopolo wanajitokeza hadharani na kuongea mpaka vitisho kwa wachezaji wanaohujumu timu,mf; Mzee Mpili , sisi wa kwetu Simba Sc wamekaa kusema tuu wazee tupo , haina maana ya uwepo wao sasa kama hawatimizi na kuonesha uzee dawa

    • @MamboMbuli
      @MamboMbuli 5 днів тому

      Kinachotakiwa kuwakumbusha viongozi kwa busara na mifano

    • @JoramKinyuko
      @JoramKinyuko День тому

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @patrickmohamed3639
    @patrickmohamed3639 5 днів тому +4

    Umeongea point sana ila najua kunamabwege wata kuponda ili kukufifiza viongozi fatilieni hilo swala GB anaonekana kama anachekesha kumbe ndio ukweli kabisa

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 5 днів тому +4

    Uko sawa GB 64 ,Yanga mafanikio Yao ni Ulozi.

  • @user-qy9fj3yo2t
    @user-qy9fj3yo2t 5 днів тому +1

    GB.64 leo umesema kweli bro uchawi unatumaliza wanyama 👍❤️❤️❤️🦁💪🤲🌹🌹🌹

  • @yohanalungwa7960
    @yohanalungwa7960 5 днів тому +7

    Yanga kweeli wachawi Kuna shabiki wa yanga alionekana anapeleka majina ya wachezaji wa Simba morogoro kwa waganga washenzi wachawi wakubwa hawa

  • @MohamedChillo
    @MohamedChillo 5 днів тому +1

    Tusisingizie uchawi , soka la kisasa halina hayo mambo ndugu yangu,wachezaji wetu ni wa kawaida ,angalia hata gharama zao ni za kawaida siyo kama wa Mamelod au Al Ahly

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 5 днів тому +2

    JB wewe unaakili sana lingne sisi tupo sumbawanga tumesha chungulia viongoz wa yang Tim ikuwa plszn wanaenda kuchimbia dawa bunju wachezaj wakija tu Wana ingia kwenye mtego

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 5 днів тому +3

    Gb 64 nakuelewa sana mwamba najua unaumia sana walindwe hao wachezaji tunawapenda Mo dewij umevuja jasho kuvunja kibubu tunaomba uwalinde mwenyewe

    • @khalidmwakabuta5045
      @khalidmwakabuta5045 5 днів тому

      @@user-yh3dv2bl7u
      Na pesa ilivyongumu hivi mtu anajitolea pesa yake halafu wazee washindwe kuweka japo ulinzi wa timu yetu kweli watakuwa hawatendi haki

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 5 днів тому +2

    SIMBA WANAHUSUDU UCHAWI SANA

  • @samadady7795
    @samadady7795 5 днів тому +4

    Mwanangu unaongea ukwely sana

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 5 днів тому +2

    Fukuza wafanyakazi wote wa simba wachawi wanapewa pesa ahsante GB64 humeona hilo na viongozi wajue

  • @LupatuDaiya
    @LupatuDaiya 5 днів тому

    Nakukubali sana kaka wew ni Big thinker

  • @SalhaSuleiman-y8m
    @SalhaSuleiman-y8m 7 годин тому

    Naomba kazi ya upishi hatutaki uchawi

  • @kefamahenge5187
    @kefamahenge5187 5 днів тому

    Mungu aendelee Kuwabariki sana ,tunazidi kufunuliwa na kipindi hiki cha kusifu na kuabudu. by Mshana.

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa 5 днів тому +1

    Gb wemsema kweli ila wachezaji wetu walindea

  • @beatussoka9517
    @beatussoka9517 6 днів тому +4

    GBwambie ukweli msimuhuu kaziwanayo

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 5 днів тому +2

    Wachezaji wote tuwasimee Albadir wakiwagusa wafe hao utoporo pumbavu

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 5 днів тому +3

    Kweli wanawapiga misumari sana

  • @HamadSuleiman-e1x
    @HamadSuleiman-e1x 5 днів тому +1

    Mm najitolea kuipeleke pemba maziwa ngombe 😂vp mutakuwa tayar kupigwa dua na kuoga chumvi

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 4 дні тому

    HAPA BG NAMINI UMESOMA MEAEJI ZANGU KUHUSU UTOPOLO KWALOGA WACHEZAJI WA SIMBA

  • @user-id5oc7hm4n
    @user-id5oc7hm4n 5 днів тому +1

    Kula chochote nitalipa,,,umeongea true maana wanawafunga wachezaji wetu,wanaonekana ,wabaya,, tukiwaacha wanawachukua ,,utopolo kwa vibuyu nomaaaa😂

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn 5 днів тому +2

    Yanga wamemchukua tena pa jobe

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 дні тому

    Kweli kaka uchawi upo na ndio maana tunafungwa ovyo na viongozi wetu wa simba hawaamini uchawi. Lakini uchawi upo sana.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SalhaSuleiman-y8m
    @SalhaSuleiman-y8m 7 годин тому

    Nasisitiza kazi ya upishi

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 5 днів тому +1

    Huyu ata Mungu amjuwi kila kukicha anawaza njaa

  • @KuchbyMskude
    @KuchbyMskude 3 дні тому

    Shabiki mwenye akili hold up broah

  • @user-os7yv7gg1s
    @user-os7yv7gg1s 5 днів тому +4

    😂😂😂GB bana

  • @sedekiantibahoha2245
    @sedekiantibahoha2245 5 днів тому +1

    We ndo huna akili sio gb

  • @DonatelaSanga
    @DonatelaSanga 5 днів тому

    Gb 64 unaakiri sana kaka viongoz waliangalie hlo yon da

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 5 днів тому +1

    Tanzania ukisema ukweli watu hawapendi kabisa jamaa anasema ukweli mara comments za watu wanasema kalewa hiyo sio. Kweli jamaa Yuko real sana😂

  • @user-xc8jp2ol4m
    @user-xc8jp2ol4m 5 днів тому +1

    Umetufumbua macho blo

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 5 днів тому +1

    HUYU JAMAA KUMBE TAAHIRA

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy6431 5 годин тому

    Simba nguvu moja

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 5 днів тому +3

    SIMBA NGUVU MOJA

  • @ibrahimusagondo5228
    @ibrahimusagondo5228 4 дні тому

    Hili la kuwaroga wachezaji wetu ni kweli kabisa

  • @HamisiAthumani-vz1oi
    @HamisiAthumani-vz1oi 5 днів тому +1

    Hakika inatakiwa wasomewe dua🙏🙏🙏

  • @YahyaMndevu
    @YahyaMndevu 2 дні тому

    Uchawi upoyanga wachawi wanajuwa nyota zawachezaji wasimba ila tutapambana mpakatufanikiwe simba

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 5 днів тому +1

    ALBADIRI LAZIMA ZISOMWE KWA UWINGI ANAE GUSA AFE TU

  • @abuuhassani497
    @abuuhassani497 5 днів тому

    Mashine ya kivita Valentin nouma full back ya mpira anapanda na kushuka, anakaba mpka dhambi, hii ni version ya Roberto Carlos krosi dongo ukigusa waya. Wanasimba msimu unaokuja mjiandaa kushangilia magoli, maana nouma hajisikii furaha kumaliza mechi bila kutoa assist mbili.

  • @abuusadick9891
    @abuusadick9891 5 днів тому +2

    Nikwli mm nisema toka manara alipo hama kuhamia yanga ndipo palipo fanyika urogi apo ya wachezaji apo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 5 днів тому +1

      MANARA MSENGE MSHIRIKINA NA FITINA SANA

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 5 днів тому +1

    Yanga ni Majini Fc, hawana lolote zaidi ya Vibuyu.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 5 днів тому +1

      NDIO TENA HODARI WA KUKATAA NA WATOWA RUSHWA PIYA

  • @user-pz9nd8ys8o
    @user-pz9nd8ys8o 2 дні тому

    Gb yupo sahih

  • @Mwnashabani
    @Mwnashabani 5 днів тому

    Nakuelew xan kk yanga ni wachaw xan hata mm pia nalifahamu maana kuna kiongozi mmoja ni jirani yangu ni mchawi tenah mkubwa xan

  • @JohnMpemba-in1jm
    @JohnMpemba-in1jm 5 днів тому +2

    Gb upo saw bro

  • @THEOBALDNGOBYA
    @THEOBALDNGOBYA 5 днів тому

    Unaongeaa aisee we noma kumbe na elimu ya kilimo unajua nimeipenda hiyo ya kusafisha ghala.

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 5 днів тому +1

    Mo oyeeee nguvu moja

  • @danielpeter8085
    @danielpeter8085 5 днів тому

    Ila GB ww ni shabiki lia lia nakukubali sana ..unajua mengi kaka 🖐️ uchawi upooo ata mm sipingi

  • @SilivesterHasunu
    @SilivesterHasunu 5 днів тому +1

    mwaka huu jaaa Mani hatari tupu myamani

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila507 5 днів тому +1

    G waambie utopolo walozi sana

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 5 днів тому

    Yanga noma kwa uchawi Hadi mayele katupiwa vijini misri 😅😂😂 Tena alikua mchezaji wao chuki Yani yanga wanaroho mbaya sana🙌🙌🙌

  • @eliadaimon804
    @eliadaimon804 5 днів тому

    Simba kombe tuna chukuwa kwer siouongo

  • @lemamolelilemamoleli7740
    @lemamolelilemamoleli7740 5 днів тому +2

    Nakweli

  • @KABIBIPETER
    @KABIBIPETER 3 дні тому

    lkn ulisema chama akienda yanga hushabikii simba

  • @jumanneshego3308
    @jumanneshego3308 5 днів тому

    acha uwongo nyama we umemuona wapi usiwakatae2

  • @MohdRehan-v9l
    @MohdRehan-v9l 5 днів тому

    Upo sawa Hawa jamaa kweli wanawaroga wachezaji wa simba

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy6431 5 годин тому

    Hahaha, kwelli uchawi upooo

  • @marshangeka712
    @marshangeka712 2 дні тому

    Kweli kabisa mwamba

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 5 днів тому +2

    Huyu kashalewa mbona

  • @user-wp9wf3et1n
    @user-wp9wf3et1n 4 дні тому

    Bro bro bro nimekwita mara 3 uko sahihi ogopa so wafua jezi na wapishi wabaya sn

  • @amirihabibu8892
    @amirihabibu8892 День тому

    Babaaaa.kunywamaji.kwanza.umeongea

  • @justinazakayo6152
    @justinazakayo6152 5 днів тому

    Kweli waombewe hata mimi waje niwaombee bure

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 дні тому

    ❤❤

  • @godwillrichard7017
    @godwillrichard7017 5 днів тому

    TFF Kuna haja ya kuangalia hawa watu wanaochafua Ligi yetu kwa fikra potofu, hili timu lenu ndio linafukizaga mimoshi kwenye away grounds mawazo ya kichawichawi tu...

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 4 дні тому

    Kwendraaaa huko! Ulisema chama akihamia Yanga nawee unahamia AZAM! Kikowapi?

  • @mosesmachumu7423
    @mosesmachumu7423 5 днів тому

    right

  • @Daniel-u5q
    @Daniel-u5q 4 дні тому

    Uko sahh mwamba

  • @Licky_boy_tz
    @Licky_boy_tz 5 днів тому

    🎉🎉🎉🎉

  • @Amonationtv4551
    @Amonationtv4551 5 днів тому

    Daah

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 5 днів тому

    GB64 wee ni kiboko nakukubali sana brother wanatuharibia wachesaji wetu kabisa iyo haipingwi wachawi kabisa ila kila kitu kina mwisho watakoma wapuusi kabisa 😂😂😂😂😂

  • @ambrosipaulo1732
    @ambrosipaulo1732 5 днів тому

    Gb bhana

  • @Tupatupamuhamadi
    @Tupatupamuhamadi 5 днів тому

    Xafar hi hanakixpika Tena wenyewe tujaa tu mkapa

  • @jitihadaharuna9448
    @jitihadaharuna9448 5 днів тому

    Kweli kabisa 😂

  • @JohnAloyceSanane
    @JohnAloyceSanane 6 днів тому +4

    Asa anamgombesha Nan huyo
    😢😢😂😂

  • @RajabuRamadhan-cy4cj
    @RajabuRamadhan-cy4cj 5 днів тому

    Ongea kaka ukweli unauma mwagika popote ulipo tupo wanasimba

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy7559 5 днів тому

    Kaka Gb 64 leo umeongea point kuliku siku zote nikweli lazima wachezaji wapate duwa na kama huko dar hakuna wataalam pemba wako huku tunaomba mashirikiano wenzetu ili tufanikiwe hawa ngedere weusi wasije wakatuvuruga

  • @feisalmohamed2848
    @feisalmohamed2848 5 днів тому

    Tatizo lako unaanza na ukweli halafu unamalizia na uongo ,uongozi huu sio uongozi ule kwan tofauti iko wapi ya uongozi ?

  • @AwadhiHashimu
    @AwadhiHashimu 5 днів тому

    Vp unawasifu tena kak

  • @4gfashion
    @4gfashion 5 днів тому +1

    Kiukweli kuhusu chama haijauma ila uongo dhambi baleke ni bonge la mchezaji simba tutajuta kumuacha

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 5 днів тому +1

      ANA RECODI YA KUSALITI KUTOKA KWAO CONGO WANAMJUWA

    • @MamboMbuli
      @MamboMbuli 5 днів тому

      Alikuja Simba tukamtema ,dirisha dogo ,hatuwezi kujuta kabda wewe shabiki andazi utajuta

  • @user-tr8nw3nu2n
    @user-tr8nw3nu2n 5 днів тому

    Sema baba sema

  • @JohnHerbet-os7uh
    @JohnHerbet-os7uh 5 днів тому

    Huna hela 0 hajielewi

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 5 днів тому

    Wachezaji.wenu lazima wapotee sababu hamna uongozo ulio sahihi

  • @RashidWatac
    @RashidWatac 5 днів тому

    Kabisa mkongwe 64

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx 5 днів тому

    huyu mwamba anaona mbali

  • @simionluambano3828
    @simionluambano3828 5 днів тому

    Anachosema GB 64 ni kweli Kuna mtu mmoja anaitwa miraji alisema hivyo hivyo wachezaji wa Simba wanalogwa hili suala ni la kweli kabisaa

  • @luganowilliam2150
    @luganowilliam2150 4 дні тому

    Boka kaja.Aandae tu shavu la kupigwa kofi

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn 5 днів тому

    Pa omary jobe kaenda yanga

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 5 днів тому

    Kweli yanga wachawi sana

  • @shabanimzalla7108
    @shabanimzalla7108 5 днів тому

    NAKUKUBARI SANA GB64

  • @MambukiIbrahim
    @MambukiIbrahim 5 днів тому

    Kwely kabisa wasafishe maeneo yote paka mfua jezy wapishi wapo wengi wanahitaji kazi ili twende mbele wanasemaga wasiwa ndiyo akily

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy6431 5 годин тому

    Hahahaha waambie

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 5 днів тому

    Gb 64 umeongea ukweli

  • @moseshaji1177
    @moseshaji1177 5 днів тому +1

    Salute kwako mwana Movement

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 5 днів тому

    Mwalimu wa physics kumbe mpumbavu

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 5 днів тому

    We mpumbavu. Hao unaosema wameisha ndio hao waliokuliza nje ndani.

  • @mkudembeteni4075
    @mkudembeteni4075 5 днів тому

    Kaka umesema tume kusikia wata amua!!

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 5 днів тому

    Mmmmh mtatafuta sababu saaana

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 5 днів тому

    Mhh

  • @user-bx1qo9fe3q
    @user-bx1qo9fe3q 5 днів тому

    Msiongeesana mtaona aibuu

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 5 днів тому

    Et okajeka badala ya okajepha

  • @DanieliIbrahim
    @DanieliIbrahim 5 днів тому +3

    Bangi hzoooooo