Othman Maalim - Faida ya Kusoma Maulidi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 206

  • @omaryhaytham6567
    @omaryhaytham6567 7 років тому +17

    Othman maalim ni shekhe ambae anafaham nini atumie ktk elimu yake ni mtu ambaye lazima umuelewe yupo vizuri sana..... sasa ww unaepiga kelele halafu hujasoma dini shauri yako

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 4 роки тому +1

      Inaonekana kuna watu hata wasomi hawawajui uliza wasomi wa nchi hii akina nani ?

  • @hassankhamis7977
    @hassankhamis7977 8 років тому +19

    Nilickiza mawaidha mengi Sana ya huyu sheikh na hakuna hata mawaidha moja niliyomsikia akitukana watu wala kukejeli masheikh wenzake Mashaallah huyu sheikh ni msomii Sanaa...... Mungu amzidishie

    • @HababahappynewyearNuru
      @HababahappynewyearNuru 7 років тому +4

      Hassan Khamis Kweli Maa Sha Allah ni Sheikh Mwenye HIKMA NA MWENYEZMUNGU AMJAALIE QABULI KWA KAZI ZAKE ZA KUELIMISHA UMMA...AMPE TAUFIQ...YY NA SOTE..AMIIIIN.

    • @khalfankhamis9083
      @khalfankhamis9083 5 років тому +2

      Huyo kwa Tanzania mzima utamshindanisha nanan huyo hakuna shekhe ata mmoja anae muweza kwalolote mungu kanampa elimu na mungu amzidishie

    • @meena-ol6fo
      @meena-ol6fo 4 роки тому +1

      Kati ya mashekhe wenye hekma na busara sijapataona

  • @bobsule4036
    @bobsule4036 4 роки тому +3

    Masha Allah Shukran sheikh uko vizur sana Allah akuhifadh n akupe umri amiin

  • @engamidulutta1496
    @engamidulutta1496 5 років тому +7

    Sherkh uko sahihi na Allah akujalie wewe na sie ila wewe n mbora katika masimulizi ya hadithi vip unaonaje kama utaitafuta istoria ya maulid mwanzo wake kisha tunaokusikiliza tuamue inshaallah

  • @ashaali4881
    @ashaali4881 8 років тому +6

    tunamsifu mtume sana kwa sababu mwenyeenzi mungu ame mtjma kwetu atufikishie dini ya uisilamu ambai indie dini ya haki na allhamdulilahi .Mtume [s.a.s]na maswahaba wake [r,a] wamefanya juhudi kubwa sana kutufikishia dini ya uisilamu.

  • @farwatskitchen13
    @farwatskitchen13 5 років тому +7

    Ina thamani elimu. Vijana tusomeni kisawa Sawa elimu haswa elimu ya dini. Allah atujaalie hima na hamu ya kuitafuta elimu.

  • @bashirkijoji3437
    @bashirkijoji3437 5 років тому +4

    Ombi langu kwa waislamu Tusome tusikaririshwe kwenye DVD na tukawa masheikh,

  • @birdofpry3897
    @birdofpry3897 6 років тому +4

    Shukran sana sheikh wetu kwa kutuelimisha kwa undani zaid tunafaidika sana kwa uwepo wako Allah akupe elmu zaid uzidi kutuelimisha

  • @Mrmanguguru
    @Mrmanguguru 12 років тому +6

    Mashallah Sheikh Othman washushie vitu hadi wafahamu wenye kutaka kufahamu na wasio taka kufahamu basi waachie wenyewe.

  • @suleimanhemed9234
    @suleimanhemed9234 4 роки тому +5

    Mashallah shekh ujumbe ushafia waache wenye kupiga kelele wapige ila umefahamika sana Allah akuzidishie inshallah

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 4 роки тому

      Waislaam tunaipima kheri kupitia matendo ya mtume na maswahaba wake watukufu sio othmani maalim wala mwingine mavi yatabaki kua mavi ht ukiyapulizia pafyuum.

  • @rashidibrahim6763
    @rashidibrahim6763 7 років тому +6

    mashallah mungu akujaze kwa faida juu ya maulidi shukran sana kwa ufafanuzi wako kuhusu maulidi

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 5 років тому +3

    Baaraka LLAHU fiiqu yaa Sheykh tumekuelewa. watu wa shekh googol hawatokuelewa milele. kazi yao fitna na farqa tu ktk ulimwengu huu

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 4 роки тому

      Anasema ibn kathiir Amma ahli sunna wanasema kwenye kila kitendo na neno lisilothibiti kwa swahaba hilo ni bidaa.

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani3879 2 роки тому

    Shekhe km mtu alikusikiliza ajue ukweli ubainifu si kwa kutafuta kasoro na mabishano umeeleza vzr sana allah akupe umri mrefu mnooo tena mnoooo wee nakupenda shekh kwaajili ya allah

  • @hassankhamis7977
    @hassankhamis7977 8 років тому +11

    Mashaallah... Huyu sheikh si kidogo.. Mungu amzidishie... Mti

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi4611 2 роки тому

    Allahumma Aamiin ya Rab. Allah sub han wa taala akupe umri mrefu na afya njema ndugu yetu. Allah akujaalie pepo/ Jannatil firdaus miongoni mwa waja wake wema in shaa Allah. Aamiin ya Rabbal Alamiin

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому +4

    kwamba Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) amefanya hiyana katika kufikisha
    ujumbe (aliopatiwa na Allaah), kwani Allaah
    Anasema:
    “Leo Nimewakamilishieni Dini yenu, na Nimetimizieni
    neema Yangu na kuwaridhia Uislamu kuwa ndio Dini
    yenu”(5:3). Hivyo jambo ambalo halikuwa Dini siku
    hiyo halitakuwa leo ni katika Dini” (Al-I‘tiswaam
    ya ash-Shaatibiy, Mj. 1, uk. 49).
    Ya Sita: Yeyote mwenye kufanya amali hii
    anakwenda kinyume na sheria na kujitia katika
    mashaka kwani sheria ishaweka yale yanayotakiwa
    kufanywa na mja kwa njia na namna maalumu. Na
    viumbe wamefupishiwa juu yao kwa kuwekewa amri
    na makatazo na ikatujulisha kuwa yaliyo kheri yapo
    ndani yake na shari ni kuyaepuka, kwani Allaah
    Anajua yaliyo na maslahi kwa waja. Na Allaah
    Hakutuma Mitume na wala Hakuteremsha Vitabu
    isipokuwa aabudiwe Yeye kwa yale Anayotaka Yeye.
    Hivyo, yule mwenye kuzua Bid‘ah hii (yaani ya
    Mawlid) ameyatupilia mbali haya yote akidai kuwa
    ipo njia nyingine ya kufanya 'Ibaadah na kwamba
    yale mambo yaliyoletwa na sheria si lazima. Hivi ni
    kama kusema kwa ulimi wa hali hii yake kuwa
    mtungaji sheria anaelewa na yeye pia anajua. Na
    huenda ikawa kuwa yeye anafahamu jambo ambalo
    mtungaji sheria halijui. Ametakasika Allaah, huu ni
    uongo mkubwa wa wazi kabisa na uhalifu wa hatari
    na dhambi ya wazi na upotevu mkubwa.
    Ya Saba: Hakika katika kusimamisha bid‘ah hii ni
    kupotosha msingi miongoni mwa misingi ya sheria,
    nako ni kumpenda Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa

  • @sadasada1291
    @sadasada1291 6 років тому +4

    SHEKHE OTHUMAN MAALIM ALLAAH AKUZIDISHIE KHER NYUNG NA BARAKA NAKUPENDA KWA AJILI Y ALLAH

  • @anonymousahmadi3826
    @anonymousahmadi3826 7 років тому +2

    Maashaallah wallahi sheikh uthman anafaa awe muislamu muahmadiyya. I love you sheikh for the sake of Allah. The promised messiah and imam mahdi sayyidina mirza ghulam ahmad as has already come to save the Muslims as the hakam and adl. Please accept him and be saved. Amin.

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому +2

    Faatwimiyyuun ‘Ubaydiyyah: “Wao
    walijidhihirisha kwa watu kuwa wao ni
    masharifu (watukufu) kutoka kwa
    Faatwimah hivyo wakamiliki na kutawala
    ardhi na kuwatendesha nguvu waja. Na
    wametaja kipote cha Wanachuoni wakubwa
    kuwa wao hawakustahiki hilo na nasaba yao
    si sahihi bali walikuwa wanajulikana zaidi
    kwa banu ‘Ubayd. Na baba wa ‘Ubayd
    alikuwa ni katika kizazi cha wakanaji Mungu
    na Mmajusi na inasemekana kuwa babake
    alikuwa Myahudi mfua vyuma kutoka
    Shaam. Jina la huyu ‘Ubayd lilikuwa ni
    Sa‘iyd, lakini alipofika Morocco alijiita
    ‘Ubaydullah na akajidai kuwa yeye ni katika
    ukoo wa ‘Alawi Faatwimiy na madai yake ya
    nasaba hiyo siyo sahihi. Yeye hakutajwa na
    yeyote miongoni mwa wajuzi wa nasaba za
    ‘Alawi, kipote kikubwa cha wanavyuoni
    wametaja kinyume cha hayo. Alijinasibisha
    na Bani Mahdiyyah wa Morocco, naye
    alikuwa Zindiyq muovu, adui wa Uislamu na
    alijidhihirisha Ushia wake. Alikuwa na hima
    ya kuiondoa mila ya Kiislamu pamoja na
    kuwaua mafaqihi wengi pamoja na
    wanavyuoni wa Hadiyth. Kusudio lake
    kubwa lilikuwa kuwaondosha kabisa ili dunia
    ibaki na wanyama pekee na hivyo
    kumakinika katika kuleta uharibifu katika
    itikadi zao na kuwapoteza lakini Allaah

  • @smz262
    @smz262 10 років тому +3

    Ndugu zangu waislamu , hebu mumfahamu Sh.Othman nini anachoongea..
    Jazaku Allah Shekh Munu akuzidishie Elmu yako.....Mashallah.

  • @saidomar1172
    @saidomar1172 4 роки тому +3

    sheikh you are top
    just continue to teach them especially who called as SALAFYYYYYY

    • @fatmahussein6085
      @fatmahussein6085 2 роки тому

      sure these people calling themselves salafy
      we suppose to teach them

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому +1

    uoni, ikhlasi na kuwa na nia ya kutaka kuifikia haki
    na kila mtu ayasome kwa ajili ya kupata mazingatio
    na bila ya kufuata wanavyuoni wa nchi zao au
    wengineo kimbumbumbu au madhehebu yao au ada
    na mazoea yao. Ikiwa yaliyo ndani ni haki tuyakubali
    kwa moyo mkunjufu na hivyo kwayo tuende katika
    kumtii Allaah na Mtume Wake, ambao
    wametuamrisha kufuata haki na ikiwa kuna batili
    ndani yake au makosa, tunakushuhudisha kwa
    Allaah usiwe ni mwenye kufuata hayo kwani sisi
    hatufai kufuata isipokuwa yale ya haki ambayo yana
    dalili katika shari‘ah yetu tukufu.
    Tunamuomba Allaah (Subhaanahu wa Ta’aala)
    Atuwafikishe sote katika kufuata njia nyoofu ambayo
    ametuchagulia Mtume wetu na Allaah Ndiye Mwenye
    kutia tawfiki na Kwake ndio mategemeo yetu.
    2.0 HISTORIA
    Yeyote mwenye kutazama maisha ya Mtume (Swalla
    Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na historia ya
    Maswahaba zake (Radhwiya Allaahu ‘anhum),
    Taabi‘iyna na waliowafuata kwa wema mpaka kufikia
    zaidi ya mwaka wa 350 Hijri hatumuoni hata
    mwanachuoni mmoja wala mahakimu (viongozi) na
    wala watu wa kawaida waliokuwa wakifanya mawlid
    au wakaamrisha au wakahimiza au wakazungumza
    juu yake. Amesema al-Haafidh as-Sakhawiy:
    “Shughuli za kufanya Mawlid matukufu
    hayakupokelewa na watangu wema (Salafus
    Swaalih) wa karne tatu bora za mwanzo. Kwa hakika
    jambo hili lilizuliwa baada yake” (Imenukuliwa
    kutoka kwa Subulul Hudaa war Rashaad cha As-
    Salihiy, Mj. 1, uk. 439).

  • @amalakh1990
    @amalakh1990 12 років тому +1

    allhhu akbar .. mungu atoungoze ktk njia ya kheri. haifai kwa kila sheikh kujiona yeye ndo yuko juu zaidi kuliko mwengine ,than huwezi kuharamisha kitu cha kheri . bali cha kheri kikichanganyika na shari ndipo kinnatenganishwa na sio kuachwa wala kusema ni bidaa

    • @adamufadhili8056
      @adamufadhili8056 7 років тому

      allah akubaarik sh.othman maalim.mana napenda sana darsa zako.

  • @zulfaalnabhanzulfaalnabhan8653
    @zulfaalnabhanzulfaalnabhan8653 8 років тому +3

    mashaa ALLAH darsa mzuri ALLAH akupe umri mrefu uzidi kutupatia mengi mazuri (shukran wa jazakaLLAH kheyr)

  • @yasintabenedict3561
    @yasintabenedict3561 2 роки тому

    Alhamdulillah shekh allah akuzidishie elimu na uelewa mkubwa amin

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому +2

    viumbe vyake”. Na kwa wengine: “Huyu ni Mtume
    wa Allaah na dalili ya Allaah”. Na kwa wengine:
    “Yeye ni Allaah, Muumbaji, Mwenye kuruzuku”.
    Hapana Mola muabudiwa wa haki ila Allaah tu, Naye
    Hana mshirika, Ametukuka na Hana upungufu wala
    kasoro aina yoyote kwa yale wanayoyasema
    madhalimu kwa kiburi kikuu. Alipoangamia
    alichukua hatamu za uongozi mtoto wake
    anayeitwa, Qa’im, naye alizidisha shari yake juu ya
    uovu wa babake maradufu. Akatoka na kuwatusi
    Manabii na alikuwa akinadi masokoni na sehemu
    nyenginezo: “Mlaanini ‘Aishah na mumewe. Mlaanini
    pango na vinavyounganishwa”.
    Ee Allaah! Mswalie Nabii Wako na Maswahaba zake
    na wakeze walio twahara na uwalaani hawa makafiri
    walioasi na kuvuka mipaka katika ukanaji wa Allaah
    na Uwarehemu waliopambana nao na ikawa ndio
    sababu ya kuing’oa mizizi na utawala wao. Waislamu
    katika zama za utawala wao walipata dhiki na shida
    kubwa kwa ukatili, kiburi na ujeuri wao uliochupa
    mipaka.
    Na juu ya Mawlid ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi
    wa aalihi wa sallam) kama tulivyoona asli yake na
    mwanzilishi wake ni kutokamana na Baatwiniyyuun
    (Faatwimiyyuun) waliokuwa na asli ya Kimajusi
    Kiyahudi waliohuisha mwito wa watu wa msalaba.
    Na hapa tunawaambia ya kwamba: Je, inajuzu na
    kusihi kuifanya chimbuko letu katika 'Ibaadah ni
    kutoka kwa watu hawa? Nasi tunarudia mara
    nyingine tena kuwa zile karne zilizo bora na
    kufadhilishwa ambazo waliishi watangu wetu wema
    hakukuwa na athari wala kufanywa mfano wa hizi
    'Ibaadah. Hawakufanya wao wala wale waliokuwa na

  • @mussakimweri2979
    @mussakimweri2979 Рік тому

    Maashaallah tutufuteni ilim waisilamu maana tusiokuwa na ilim tunabaki njia panda nifate wapi

  • @sayyidalishariff6068
    @sayyidalishariff6068 3 роки тому +1

    Mashallah. Good education. Allah yahfadh hum.

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому +2

    Na Mawlid hayawezi kufana bila beti za burdai,
    Allaah Atuongoze na Atusaidie. Na lau kama
    hakungekuwa na uharibifu mwengine isipokuwa huu
    basi ingetosha kuharamisha na kutoa onyo kali
    kuhusu jambo hilo.
    Ya Kumi na Tatu: Kufurahi siku hii na kulisha watu
    na kutoa sadaka ndani yake na kudhihirisha
    bashasha kwa yale mapenzi kwa Mtume wa Allaah
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Na
    wameafikiana wanachuoni wote kuwa siku hii ya
    tarehe 12 Rabi‘ul Awwal ni siku aliyefariki Mtume
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Vipi
    sasa watu watakuwa wanafurahi kwa siku kama
    hiyo? Anas bin Maalik (Radhwiya Allaahu ‘anhu)
    anatuhadithia kuwa hakuna siku ambao watu wa
    Madiynah walikuwa na furaha ya hali ya juu kama
    siku aliyohamia Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) katika mji huo. Na hakuna siku ya
    huzuni kabisa kwa watu wa Madiynah kama siku
    aliyoaga dunia Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam). Inaonekana kama sisi tunakwenda
    kinyume na maadili ya wale watu bora waliokuwa
    wakimpenda Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam) hata kuliko nafsi zao wenyewe.
    Ama siku aliyozaliwa wanavyuoni wametofautiana
    sana kama tulivyotangulia kueleza hapo awali. Hivi
    itakuwaje 'Ibaadah kubwa yenye kumleta karibu mja
    na Allaah iwe katika siku ambayo watu
    wametofautiana. Ibn Hajar amesema katika
    kuisherehesha Hadiyth Na. 3641 kwamba
    wametofautiana wanavyuoni katika mwaka hasa
    aliozaliwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi

  • @abdulkarim7856
    @abdulkarim7856 7 років тому +4

    جزاك الله خيرا

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому +2

    “Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na kukutimizieni
    neema Yangu, na Nimekupendeleeni Uislamu uwe
    Dini yenu”(5:3).
    Na yule anayesema kuwa Mawlid ni 'Ibaadah nasi
    tunamuabudu Allaah kwayo anaikadhibisha aayah
    hii, na kufanya hivyo ni kumkufuru Allaah
    Aliyetukuka. Na akiwa anaiswadiki aayah hiyo
    atalazimika kusema kuwa Mawlid si 'Ibaadah.
    Kukubali kuwa ni 'Ibaadah ni kama unampatiliza
    Allaah na Mtume Wake kwamba hawakutuonyesha
    'Ibaadah hii tukufu ambayo tunajileta kwayo karibu
    na Allaah na Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam). Na akisema kuwa mimi sisemi kuwa
    jambo hilo ni 'Ibaadah wala kuwapatiliza Allaah na
    Mtume Wake, naye anaamini aayah hii, atalazimika
    kurudi katika kauli ya haki ya kwamba jambo hili ni
    uzushi ulioingizwa katika Dini. Tunamuomba Allaah
    Atuongoze na Waislamu wate kwa Analolipenda na
    la Kumridhisha.
    Ya Tano: Kufanya na kujihimiza katika uzushi huu
    wa Mawlid ni kama mtu anamtuhumu Mtume
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) kuwa
    alifanya hiyana na hakuwa ni mwenye kutimiza
    amana, tunajilinda kwa Allaah kwa hilo. Hii ina
    maana ya kuwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) alificha kwa Ummah huu na
    hakuwaonyesha 'Ibaadah hii tukufu ambayo
    inamkaribisha mwenye kuifanya na Allaah.
    Amesema Imaam Maalik (Radhwiya Allaahu ‘anhu):
    “Yeyote mwenye kuzua katika Uislamu Bid‘ah
    ambayo anaiona ni njema, bila shaka amedai ya

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 4 роки тому

      Haujaeleweka shekh toa aya inayokataza maulidi mbona shekh othumani ametoa vitu vinaeleweka Sanaa ...lakini kama hutaki maulidi tumuwachie Allah ndiye atakae tuhukumu kama nimetumia kauli ikakuhudhi nisamehe hakuna mkamilifu

    • @hasanisaidishabani3879
      @hasanisaidishabani3879 2 роки тому

      Shekh ameongea kiswahili sana kukuelimisheni sana kwani ibada sikila jambo analolizia allah shekh sasa utakiwi kuangalia nnje jina angalia yanayofanyika nenda kwenye mauridi siku moja kaa fany uchunguzi wallah utaona ukienda weka uchunguzi utaona mm nimeona mauridi ibada kubwa tena sana wallah mm nasoma mpk sasa nimetafuta chuo huu mwaka wa7 sababu maurid nilitoka sikumoja nikaenda maulidini sitosaau alisimama shekh waridi kutoa mawaidha bas yaliniingia nayale niliyoyaona pale wallah nasema mtu akiikosoa mauridi namuona ayuko sawa

  • @adinanisaidi777
    @adinanisaidi777 3 роки тому

    Allah akujaalie heri sheikh wangu

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 Рік тому

    Masha Allah

  • @twahahango3968
    @twahahango3968 3 роки тому

    Wallah Allah akulipe jannat fordaus

  • @bayouhd6729
    @bayouhd6729 5 років тому +2

    MaashaAllah

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому +1

    Watu wa kwanza kuzua kile kinachoitwa Mawlid ya
    Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)
    ni Bani ‘Ubayd ambao walikuwa wakijulikana kama
    Faatwimiyyuun. Haya yametajwa na Wanachuoni
    wengi mfano Mufti wa Misri wa zamani, Shaykh
    Muhammad Bakhiit al-Mutii‘y katika kitabu
    chake Ahsanul Kalaam Fi maa Yata‘alaq Bis
    Sunnah wal Bid‘ah Minal Ahkaam; Shaykh ‘Ali
    Mahfuudh katika kitabu chake Al-Ibda‘ Fii Madh-
    har al-Ibtidaa‘; Shaykh Isma‘iyl al-Answaariy
    katika kitabu chake Al-Qawlul Fasl Fiy Hukmil
    Ihtifaal Bi Mawlid Khayrir Rasuul.
    “Wa mwanzo walioyazua Mawlid huko Cairo ni
    watawala wa Kifaatwimiyyah (Mashia) katika karne
    ya nne. Walizua Mawlid aina sita: Mawlid ya Mtume
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam), Mawlid
    ya ‘Aliy (Radhwiya Allaahu ‘anhu), Mawlid ya Bibi
    Faatwimah (Radhwiya Allaahu ‘anha), Mawlid ya
    Hasan (Radhwiya Allaahu ‘anhu), Mawlid ya Husayn
    (Radhwiya Allaahu ‘anhu) na Mawlid ya Khalifa
    aliyekuwepo” (‘Ali Mahfuudh katika kitabu
    chake al-Ibda‘ Fii Madh-har al-Ibtidaa‘, uk.
    251).
    Je, Wanachuoni wamesema nini kuhusu hii Dola ya
    Faatwimiyyuun ‘Ubaydiyyah ambayo imeanzisha
    jambo hili (Mawlid ya Mtume)? Amesema Imaam
    Shaamah, mwana-historia na Muhaddith
    (aliyeboboea katika mas-ala ya Hadithi za Mtume
    [Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam]),
    mwandishi wa kitabu ar-Rawdhatayn Fiy
    Akhbaar Dawlatayn, uk. 200 - 202 kuhusu

  • @engamidulutta1496
    @engamidulutta1496 5 років тому

    Alafu mashekh mmesoma kwann kila mtu analindima kwenye mimbali yake kwa nn msikutane mkatafuta suruu kwel Allah atatunusur kwa utengano huu

  • @sarahsalim1175
    @sarahsalim1175 12 років тому +5

    mashaallah .

    • @jumamnyage5395
      @jumamnyage5395 4 роки тому

      Hakuna kheri isiyofanywa na mtume na maswahaba . Akuna kheri ya kubuni kheri imeshafanyika tangu zama izo huuu wa Leo ni uzushi mtupu ht mkiupamba vp

  • @swabirali1276
    @swabirali1276 3 роки тому

    Nakupenda kwa Ajili ya Allah

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому +1

    Inatutosha Hadiyth hii tukufu: Imepokewa kwa
    Anas (Radhwiya Allaahu ‘anhu), amesema:
    Alikuja mtu kwa Mtukufu wa Daraja (Swalla
    Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na
    akasema: “Yaa Khayral Bariyyah (Ewe
    mbora wa viumbe)”. Akasema Mtume wa
    Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa
    sallam): “Huyo ni Ibraahim ('Alayhi
    salaam)”. (Muslim). Allaah
    Anasema: “Alimchukua Ibraahiym kuwa kipenzi
    chake”.
    Haya yanafanywa leo katika Mawlid, ambamo
    kunatumiwa mali mengi na kuimbwa ndani yake
    nyimbo zinazomtukuza Mtume (Swalla Allaahu
    ‘alayhi wa aalihi wa sallam) kwa aina kubwa na
    kuvuka mipaka katika hilo. Na katika beti nyengine
    ni kumpatia hasa sifa za ubwana ambazo Anastahiki
    Allaah peke Yake.
    Ya Kumi na Moja: Bid‘ah ya Mawlid ni kuwa
    tumevuka mipaka yanayokubaliwa na sheria na
    tumevuka mipaka katika tuliyoamriwa katika
    kumpenda Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam) na tumevuka mipaka katika
    kusimamisha siku kuu za Kiislamu. Hakika ni kuwa
    hakuna katika sheria yetu isipokuwa 'Iyd mbili na
    atakayezua ya tatu basi atakua amevuka mipaka ya
    kisheria.
    Anas (Radhwiya Allaahu ‘anhu) anaeleza ya kwamba
    alipohama Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam) Madiynah walikuwa na siku mbili

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому +1

    “Na tahadharini na mambo ya kuzuliwa kwani kila
    uzushi ni upotofu” (Abu Daawuud, at-Tirmidhiy,
    Ahmad, Ibn Maajah na ad-Darimi kutoka kwa Abi
    Najiih al-‘Irbaadh bin Saariyah [Radhwiya Allaahu
    'anhu]. At-Tirmidhiy amesema hii ni Hadiyth Hasan
    Sahiyh. Isnadi yake ni Sahihi na imesahihishwa na
    Ibn Hibbaan). Na katika riwaya nyingine: “Na kila
    upotevu ni wa motoni”.
    Na kauli yake: “Kila uzushi ni upotofu” ni
    sentensi ya kijumla na inaingia kila jambo
    lililozuliwa ambalo halina asili na msingi
    katika Dini ya Allaah. Na wanavyuoni
    wameafikiana kwa hilo, hivyo ni uzushi
    mpotofu unaompeleka mwenye kufanya
    kuingia Motoni, Allaah Atuepushe sote na
    adhabu hiyo ya moto.
    Ya Tatu: Yeyote mwenye kufanya bid‘ah hii hatapata
    ujira kwa kitendo hicho bali atarudishiwa mwenyewe
    kwa kauli ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam):
    “Mwenye kufanya amali isiyokuwa na hukumu yetu,
    itakataliwa” (Muslim kutoka kwa ‘Aaishah [Radhwiya
    Allaahu 'anha]). Na katika jambo hilo haitoshi kuwa
    mtu ana niya nzuri bali hapana budi kumfuata
    Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam).
    Ya Nne: Allaah Aliyetukuka Anasema:

  • @alirashid4291
    @alirashid4291 11 років тому +3

    nikweli uyu ndo mwalim wa waalim

  • @jumayussuf349
    @jumayussuf349 7 років тому +2

    masha alla
    jazaka llahu lkher

    • @hamisishabani4072
      @hamisishabani4072 3 роки тому

      MAA SHAA ALLAH!!! SHEIKH WETU SHEIKH OTHMANI MAALIM.ALLAH AMEKUPA ELIMU,BUSARA NA HEKIMA,UANAJUA NAMNA YA KUSAFISHA MAZINGIRA YA KIELIMU YANAYOHARIBIWA NA MASHEIKH WENYE UCHACHE WA ELIMU NA AMBAO WATUPOTOSHA AMBAO HATUJAFIKIA KIWANGO CHA ELIMU NDOGO WALIYONAYO WAO.NA NDIO WAMEPOTOSHA BAADHI YA JAMII YA KIISLAM KUYAFANYA MAMBO YA KHEIRI,KAMA MAULIDI,KHITMA KUWAOMBEA DUA WAZAZI WETU NA NDUGU ZETU WAISLAM,NA MENGINEYO. JAMANI TUMSHUKURU ALLAH,KWA KUTUJAALIA KUWA NA MASHEIKH WENYE ELIMU,HEKIMA NA BUSARA KAMA ALIYOKUWA NAYO SHEIKH WETU OTHMANI MAALIM.TUNAKUOMBA YA ALLAH UMZIDISHIE KHEIRI NYINGI SHEIKH OTHMANI MAALIM PAMOJA NA MASHEIKH WETU WOTE WENYE KUSIMAMIA NA KUTUHIMIZA KATIKA MATENDO YA KHEIRI KWA AJILI YA ALLAH. AMIIN!!! ALHAMDULILLAH,SHUKRAN SANA SHEIKH OTHMANI MAALIM ALLAH UKUPE UMRI WENYE KHEIRI NYINGI NA MANUFAA KWA UMMA WETU WA KIISLAM NA WALIMWENGU WOTE KWA UJUMLA. SHUKRAN SHEIKH,ASSALAAM ALAYKUM WARAHMATULLAH.

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 роки тому

    Miongini mwa dalili/ishara as Kiama (mwisho wa dunia) ni kukatana mapande kwa Wasomi/Maulamaa. Masheikh wetu wa Zama hizi wamezidi kupigana mapande na ni mtihan kwa Maamuma.
    Inshaallah Allah atujalie tuhtalafiane lakini tusifarakane ili inshaallah tuupate mwisho mwema.

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому

    Huu ni mwito kwa kila Muislamu anayetaka kufikia
    kwenye haki na awe ni mwenye kumuabudu Allaah
    kwa uoni na elimu ya wazi kabisa.
    Ndugu Waislamu! Kwa yakini kila mmoja wetu ana
    mapenzi makuu katika vifua vyetu kwa Mtume wetu
    mtukufu na kipenzi na ruwaza njema na Imamu
    wetu (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam),
    pamoja na familia yake na Maswahaba zake na
    wenye kuzifanyia kazi Sunnah zake na kufuata
    uongofu wake mpaka Siku ya Qiyaamah. Mahaba
    haya ni msingi mkuu wa Dini yetu na yeyote
    asiyempenda Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) anakuwa kafiri na tunajiweka mbali
    sana na Allaah kwa kumchukia na kumbughudhi, na
    hiyo ni sifa ya wanafiki. Allaah Anatuelezea kuhusu
    wao:
    “Bila shaka wanafiki watakuwa katika tabaka ya
    chini kabisa katika Moto. Hutamkuta kwa ajili yao
    msaidizi (yeyote)” (4:145).
    Tunawekea makala haya mafupi kwa unyenyekevu
    baina ya mikono na macho yenu ili muyasome kwa

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому

    Sunnah zake na kujitolea mhanga kwa mali yao,
    familia zao na hata nafsi zao. Allaah Awaridhie kwa
    yale waliyokadimisha ili kuundeleza Uislamu. ni
    jambo ambalo lajulikana kuwa Allaah Amewaridhia
    na Kuwataja katika aayah kadhaa za Qur-aan na pia
    Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)
    amewaridhia kwa waliyotanguliza. Na yeyote
    mwenye kuwatuhumu basi yeye mwenyewe ima
    atakuwa ni kafiri wa dhahiri au mnafiki. Allaah
    Anasema:
    “Kwa hakika Allaah Amewapa radhi Waumini
    walipofungamana nawe chini ya mti; na Alijua
    yaliyomo nyoyoni mwao, na Akawapa kushinda kwa
    zama za karibu” (48:18).
    Na Amesema tena Aliyetukuka:
    “Na wale waliotangulia wakawa wa kwanza katika
    Uislamu - Muhajiri na Ansari, na wale waliowafuata
    kwa mwendo mzuri-Allaah Atawapa radhi, nao
    wamridhie na Amewaandalia mabustani yapitayo
    mito mbele yake, wakakae humo milele. Huku ndiko
    kufuzu kukubwa” (9: 100).
    Imepokewa kwa Anas (Radhwiya Allaahu ‘anhu)
    kwamba Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa
    sallam) amesema: “Dalili ya Imani ni kuwapenda
    Answari na dalili ya unafiki ni kuwachukia
    Answari” (Al-Bukhaariy na Muslim).
    Imepokewa kwa al-Baraa’ bin ‘Aazib (Radhwiya
    Allaahu ‘anhu) kwamba Mtume (Swalla Allaahu
    ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Hawapendi
    Answari isipokuwa Muumini na hawachukii Answari

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому

    Na hii imejumlisha ghuluw aina zote katika Itikadi
    na amali za 'Ibaadah.
    Na inajulikana kabisa kuwa sababu ya shirki ambayo
    imepatikana kwa wanadamu ni kuvuka mipaka ya
    sheria katika kuwatukuza watu wema. Imepokewa
    na Al Bukhaariy kutoka kwa Ibn ‘Abbaas (Radhwiya
    Allaahu ‘anhu) kwamba: Allaah Aliyetukuka
    amesema: (Na wakasema: Msiwaache
    miungu yenu, wala msimwache Wadda wala
    Suwaa' wala Yaghutha, wala Yau'qa, wala
    Nasra.). Akasema haya yalikuwa majina ya
    watu wema katika kaumu ya Nuuh. Watu
    hawa walipoaga dunia, shetani alikuja kwa
    kaumu yao na kuwashawishi wajenge jengo
    la ukumbusho katika sehemu walizokuwa
    wakikaa na waweke ndani yake sanamu na
    waziite kwa majina yao. Walifanya hivyo,
    nao hawakuabudiwa mpaka walipoaga dunia
    na elimu ikasahauliwa”.
    Na fananisha yale yaliyotokea kwa kaumu ya Nuuh
    ('Alayhis salaam) mbali na kuwa hawakuwa ni
    wenye kuabudu chochote hapo mwanzo lakini
    baadae wakaingia katika shirki. Na sababu ya haya,
    nayo ni njia moja ya ghuluwna utazame
    yanayotokea katika Mawlid kwa kupatikana shirki
    kwa kumuomba asiyekuwa Allaah na kumpatia
    Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)
    sifa za uungu kama kupelekesha kwake mambo
    katika huu ulimwengu na kujua kwake elimu ya
    ghaibu.

  • @isamkwizu3342
    @isamkwizu3342 7 років тому +1

    umefanya moyo wangu kujua jahannam ni mbaya

    • @abdallahhemedi8028
      @abdallahhemedi8028 5 років тому

      anapiga story mtume na maswahaba walifanya hayo mangoma ya maulidi ahaaaa wanaogopa wanajua hawatopiga mpunga teteeni kula pilau

    • @swabirali1276
      @swabirali1276 3 роки тому

      @@abdallahhemedi8028 wakati mtume anaingia madina tari lilipigwa na haikukatazwa

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому +1

    walizokuwa wakicheza ndani yake. Mtume wa Allaah
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)
    akasema: “Hakika Allaah Aliyetukuka
    Amewabadilishia siku zilizo bora kuliko hizo
    - Siku ya Fitr ('Iydul Fitwr baada ya kufunga
    mwezi wa Ramadhaan) na Siku ya Adh-haa
    ('Iyd kubwa ya baada ya Hijjah)” (An-
    Nassaaiy, nayo ni Sahihi).
    Ya Kumi na Mbili: Kufanya Mawlid
    ni Ghuluw (kuvuka mipaka) iliyokatazwa kwa haiba
    ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa
    sallam) na ni jambo linampeleka mtu katika shirki
    kubwa iliyopigwa vita na Uislamu na huo ni ukafiri
    unaomtoa mtu katika Uislamu. Hakika ni
    kuwa ghuluw kwa watu wema ndiyo iliyokuwa
    sababu ya kaumu zilizopita kuingia katika shirki na
    kuabudu asiyekuwa Allaah. Sheria imekuja kuziba
    mapengo na kukataza kitu chochote ambacho
    kinaweza kumepeleka mtu katika shirki.
    Na Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa
    sallam) ametutahadharisa sana na ghuluw pale
    aliposema: “Tahadharini na ghuluw kwani
    waliangamia waliokuwa kabla yenu kwa sababu
    ya ghuluw” (Ahmad, nayo ni sahihi). Na Mtume
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)
    amesema: “Wameangamia wenye kuvuka
    mipaka”. Aliyarudia haya mara tatu (Muslim
    kutoka kwa Ibn Mas‘uud [Radhwiya Allaahu 'anhu]).

  • @yahayaramadhani
    @yahayaramadhani Рік тому

    Shekhe Allah akulipe kher

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому

    Na amesema tena al-Maqriiziy katika maudhui
    nyengine: “Shughuli za Mawlid ya Mtume mtukufu
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) zilikuwa
    zikifanyika rasmi kama desturi yake katika mwezi
    wa Rabi’ul Awwal”. Kila mmoja anatakiwa azingatie
    jinsi gani Mawlid yalivyoanzishwa pamoja na uzushi
    mkubwa mfano: Uzushi wa kukataa na kuchupa
    mipaka juu ya familia ya Mtume kwa kusimamisha
    mawlid ya ‘Aliy, Faatwimah, Hasan na Husayn.
    Uzushi wa kusherehekea Idi ya Nayruuz, na Idi ya
    Ghatas na kuzaliwa kwa Masihi nazo ni Idi za
    Wakristo. Amesema Ibn Turkumani kuhusu hizi Idi
    za Wakristo: “Na miongoni mwa uzushi inayoleta
    hizaya ni wanaofanya Waislamu katika siku ya
    Nayruuz ya Kikristo na misimu yao mengine na siku
    kuu ('Iyd) kwa kupeana chakula kwa wingi. Na
    sadaka ya chakula isiyokubalika itarudi kwa mwenye
    kutoa kwa haraka au baadae. Na kwa uchache wa
    tawfiki na kufaulu ni yale wanayofanya Waislamu
    waovu kwa inayotambuliwa kama siku ya mazazi
    (yaani kuzaliwa kwa Yesu)” (Al-Lam‘i Fil
    Hawaadith wal Bid’ah, Mj. 1, uk. 293 - 316). Na
    imenukuliwa kutoka kwa wanavyuoni wa Hanafiyyah
    kwamba yeyote ambaye atafanya mambo
    yaliyotangulia atakuwa kafiri mfano wao (hao
    Wakristo). Na wakataja idadi za Idi kadhaa za
    Wakristo ambao Waislamu walio wajinga
    wanashiriki, na jinsi zilivyo uharamu wake katika
    Kitabu na Sunnah na yale misingi ya kisheria yaliyo
    kamili.

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому

    Kumpenda iwe zaidi kuliko hata nafsi zetu kama
    walivyompenda Maswahaba - 'Umar ilipoteremka
    aayah: “Nabii ni bora zaidi kwa Waumini
    kuliko nafsi zao” (33:6). Alisema “Ewe
    Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam), hakika wewe ni kipenzi
    kwangu kuliko chochote isipokuwa nafsi
    yangu” Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) akasema: “Bado ewe ‘Umar!
    Mpaka niwe ni mwenye kupendwa zaidi kwako kuliko
    nafsi yako”. 'Umar (Radhwiya Allaahu ‘anhu)
    akasema: “Ewe Mtume wa Allaah sasa wewe ni
    kipenzi kwangu kuliko chochote hata kuliko nafsi
    yangu”. Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa
    sallam) akasema: “Sasa ewe ‘Umar”. Maana yake ni
    kuwa sasa umefikia ile daraja ya kunipenda. Kuhusu
    aayah hii Al Bukhaariy amehadithia kuwa Abu
    Hurayrah (Radhwiya Allaahu ‘anhu) kasema kuwa
    Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa
    sallam) kasema: “Hakuna Muumini yeyote isipokuwa
    mimi ni wa kupatiwa kipa umbele kwa watu duniani
    na Akhera. Someni mkitaka: “Nabii ni bora zaidi
    kwa Waumini kuliko nafsi zao” (33:6).
    Sisi hatuwezi kufikia kiasi cha mapenzi ya
    Maswahaba waliokuwa nayo na kujitolea mhanga
    kwa roho zao, watu wao, mali zao, n.k. Visa vingi
    vipo vya kusisimua mwili vinavyothibitisha mapenzi
    yao kwake mfano kisa cha Khabbaab bin al-Aratt,
    Khubayb, Umm ‘Ammaarah Nusaybah bint Ka‘ab,
    Zayd, Bilaal bin Rabaah, Zu

    • @fahmisaid8998
      @fahmisaid8998 4 роки тому

      Kama Una elmu sana siuende ukatoe khutba kwa mawahabi wenzio maana naona unaumia roho Sana sheikh mawlid sio Bida kila mkiyapinga ndio yaziddi kunawir

  • @youssouphsalum786
    @youssouphsalum786 2 роки тому

    Hekma masha Allah

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u 3 роки тому

    Huyu Akili hana kabisaaa,Mzushi na ni Muongo.Hana Elimu hakika.Na hawez isema Hadith hiyo Mzushi kama wew Athuman.

  • @jeranibanzi2127
    @jeranibanzi2127 4 роки тому +1

    Ahsante Kwa kutujuza

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому

    wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam) kwa siku hamsini na tano, kama
    wanavyothibitisha wanavyuoni wengi. Nayo
    inawafiki mwisho wa mwezi wa Februari au
    mwanzo wa Machi mwaka 571 BI” (Al-
    Mustafa, nakala ya Ansaar Muslim Youth
    Organisation, 1993, uk. 11). Kutokana na mapokezi
    hayo mawili tunaweza kuiweka tarehe ya kuzaliwa
    kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) baina ya tarehe 25 Swafar na
    tarehe 25 Rabiy’ul Awwal na Allaah (Subhaanahu wa
    Ta’ala) Anajua zaidi.
    ‘Afiyf ‘Abdul-Fattaah at-Twabbarah na Abul Hasan
    ‘Ali Nadwi wamesema katika vitabu vyao
    kuwa: “Aminah alizaa alfajiri siku ya
    Jumatatu tarehe 9 au 12 ya Rabiul Awwal,
    mwaka wa ndovu. Mahmuud Pasha,
    maarufu kutoka Misri, amefanya hesabu ya
    tarehe ya kuzaliwa na kupata kuwa ni
    Jumatatu tarehe 20 Aprili mwaka 571 BI,
    inayokwenda sambamba na tarehe 9 Rabiul
    Awwal” (Ma‘al Ambiyaa Fil Qur-aanl
    Kariym, uk. 338 na Muhammad RasulluLlah,
    uk. 91).
    Inaonekana kuwa wanavyuoni na wana-historia wa
    wakati huu wamechukua tarehe 9 ya Rabi’ul Awwal
    kuwa ndiyo aliyozaliwa Mtume wa Allaah (Swalla
    Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) {Allamah
    Shibli Nu‘mani, Seeratun Nabi na Prof.

  • @masouddaud4075
    @masouddaud4075 3 роки тому

    Nimekaa kusikiliza maiwadha haya. Sijaona poit ya uhakika bado. Jamani tusomeni huu sio kweli kabsa

    • @swabirali1276
      @swabirali1276 3 роки тому

      Hujaona point gani na UA-cam yenyewe haikuwa wakati wa mtume lakini ni vizuri kuitumia kwa wema

  • @safinabakari9140
    @safinabakari9140 7 років тому +6

    SHAIKH OTHMAN MAALIM, Huwa hapendi kuongea mada zenye kugawa watu, isipokuwa watu walimtukana sana kwa kumwita shaikh wa bidaa sijui shaikh wa maulid na kuanza kumdharau ndio akawapasha. usidhani wanasherehekea maulid ni watu mazuzu.......Eti niulizeni suali lolote mlilokuwa nalo.....vijana wamesoma miaka mitatu madina basi fujo lingi.

  • @abuahmad1206
    @abuahmad1206 5 років тому +2

    Ajab shekh wasema maulid ina faida Allah akuongoze

    • @suleimanhemed9234
      @suleimanhemed9234 4 роки тому +1

      Kwako ukiona hayafai waache wanaona yanafaa wafanye wapuuzie khasa ww wasikuoe tabu

    • @meena-ol6fo
      @meena-ol6fo 4 роки тому

      Funga mdomo wewe we ndio mnaoambiwa mkasome huwezi kumfikia huyu ahekhe nyie ndio mnaougawa uislamu

    • @ahmadsalim4417
      @ahmadsalim4417 4 роки тому

      Wewe ninani unaemuonea shekhe ajabu ikiwa hata alifu huna???? Jitathmini kijana kaachini usome achana na mashekh Google

    • @abuahmad1206
      @abuahmad1206 4 роки тому

      Maulidi yatoka wapi kuna pahal mtume wetu katufunza

    • @abuahmad1206
      @abuahmad1206 4 роки тому

      @@suleimanhemed9234 mtume wapi katufunza nipe hadith moja ama Aya tumeambiwa tumswalie si kumfanyia birthday

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому

    Na miongoni mwa uovu wao ni kuwa walikuwa
    wakiwaamrisha makhatibu kwa hilo (yaani wao ni
    Alawiyyah Faatwimiyyuun) na hayo yalikuwa
    yakisemwa juu ya minbar na wakiandika katika kuta
    za Misikiti na sehemu nyinginezo. Na alihutubu yeye
    mwenyewe mtumishi wao kwa jina Jawhar, aliyeteka
    nchi ya Misri na kujenga mji wa Cairo. Alisema ndani
    yake: “Ewe Mola mswalie mja wako na rafiki
    yako tunda la Unabii na dhuria wako
    mwenye kuongoza muongofu
    anayepelekesha mambo. Naye ni Abi
    Tamiym Imam Mu‘iz-ud-Diinil Llah, Amiri wa
    Waumini kama ulivyowaswalia baba zake
    walio tohara na waliomtangulia kwa
    kuchaguliwa, maimamu waongofu”. Amesema
    uongo adui wa Allaah, hakuna kheri kwake wala kwa
    watangu wake wote wala kwa dhuria wake
    waliobakia na kizazi cha Unabii tohara miongoni
    mwao.
    Na yule mwenye lakabu ya Mahdi, laana ya Allaah
    iwe juu yake aliwachukuwa wajinga na kuwasalitisha
    kwao wale wenye fadhila. Alikuwa akiwatuma
    kwenda kuwachinja mafakihi na wanavyuoni katika
    firasha zao. Na akawasaliti Waislamu kwa Warumi
    na alikuwa na ujeuri mwingi na kuchezea mali na
    kuwaua watu. Alikuwa na kipote cha walinganizi
    (ma-Du‘aat) wake waliokuwa wakifanya kazi ya
    kuwapoteza watu kwa uwezo wao wote. Wao
    walikuwa wakiwaambia baadhi ya watu: “Huyo ni
    Mahdi mtoto wa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) na dalili (huja) ya Allaah kwa

  • @fadhilimakore6142
    @fadhilimakore6142 5 років тому +1

    Allah atunufaishe kwa elimu yako

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому +1

    Ya Kwanza: Jambo hili halikufanywa na Mtume
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) wala
    hakuamrisha lifanywe wala hawakufanya
    Maswahaba (Radhwiya Allaahu ‘anhum) wala hata
    mmoja miongoni mwa Tabi‘iyna wala waliowafuata
    wala hawakufanya Waislamu katika zama zilizokuwa
    bora za mwanzo. Na hizi zilikuwa ni zile karne tatu
    za mwanzo kuanzia Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi
    wa aalihi wa sallam) mpaka mwaka 300 Hijri. Jambo
    hili lilianzishwa na watu kama tulivyotangulia
    kueleza waliokuwa karibu na ukafiri kuliko Imani nao
    ni Baatwiniyyuun na baada ya karne hizi tatu bora.
    Jambo hili likifanywa kwa kukaririwa ni kwamba yule
    mwenye kufanya anaingia katika adhabu kali
    aliyoahidi Allaah Aliyetukuka kwa mwenye kufanya.
    Allaah Anasema:
    "Na atakayemuasi Mtume baada ya kumdhihirikia
    uongofu na akafuata njia isiyokuwa ya Waumini,
    Tutamgeuza alikogeukia mwenyewe na
    Tutamwingiza katika Jahannam; napo ni pahali
    pabaya kabisa pa mtu kurudia”(4:115).
    Hivyo, yule anayefanya Mawlid bila shaka hafuati
    njia ya Waumini miongoni mwa Maswahaba,
    Tabi‘iyna na wanaowafuatia.
    Ya Pili: Mwenye kufanya amali hii anaingia katika
    yale aliyoyatahadharisha Mtume (Swalla Allaahu
    ‘alayhi wa aalihi wa sallam) pale aliposema:

  • @didahkassim5844
    @didahkassim5844 10 років тому +2

    Mashallah nakukubali uko deep

  • @yanifaakukufaa9032
    @yanifaakukufaa9032 12 років тому +4

    maneno yamewaingia lkn ukweli sh yupo juu na elimu yake ipo kichwani ni watu wachache km hao

    • @ahmadsalim4417
      @ahmadsalim4417 4 роки тому

      Wale vilaza sioni ata mmoja akichomoa pua yake hapa hahahahaaa

  • @mwanamisipofu3212
    @mwanamisipofu3212 7 років тому +1

    Mashallah

  • @mohameddara839
    @mohameddara839 3 роки тому

    Mashaa Allah

  • @ibrahimabdillah5729
    @ibrahimabdillah5729 5 років тому

    Njaa mbaya sana
    We endelea kula tu pesa za mabosi zako

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 5 років тому

      Hata maana ya bidaa haijui, eti kila asichofanya mtume (saw) ni bidaa

    • @ahmadsalim4417
      @ahmadsalim4417 4 роки тому

      @@Kekulebenzene kumbe ww una bidaa yko????

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 5 років тому

    Asalam aleikum, kuna sheikh anaemfikia Sheikh Abdullah Saleh Farsy,ni mtu wa mwanzo aliyeutafsiri msahafu kwa kiswahili,na akatuasa makosa mengi yaliyokuwemo ndani ya kitabu cha maulidi ya barzanje,lea ufupi aliyapinga,kwa hugo maneno mazuri ya kupanga na kuvutia, hayatohalalisha barzanje, kwa kuwa kimeandikwa kiarabu,na yeye anajaribu kuleta ufasaha wa kiarabu kwa hawaa zake, mfano mdogo tu,maulamaa wa makkah muharram na madina munawari, hawakubaliani ma maulidi na ni marufuku,ni Bora kama ana ufahamu huo ,angekwenda huko kuwafundisha yale aliyoyaona yeye yanafaa,tuone itakuaje, lakini hilo hathubutu na wala hatothubutu,ataishia humu humu vijiweni,na yeye anajua hilo,huko ikiwa kiarabu basi huko atatolewa ngozi walizokuwa masahaba wa mtume wakiandika,asalam aleikum.

  • @abdulsamadkhalfan4075
    @abdulsamadkhalfan4075 10 років тому +1

    MASHALLAH

  • @muhidinali8180
    @muhidinali8180 3 роки тому

    Wazushiwengi wanawafurahia mashekhe wakizushi eti sikuhizi kuna mashekhewengisana yani hatanyinyi mnajifanya mnajua kuliko mtume s a w pia mnayoyafanya mengì ktka dini maswahaba ambao ndio wanafunzi wa mtume s a w hawakufanya maana sikatika dini ilala nyinyi mna yatetea hadidthi imesha shereheshwa na maulama turudietu ktka vitabu tusipambepambe ktka wanachuoni waloisherehesha hadithihii ni imam ibnu rajabul hambaly imam shatwibi ktka iitswam nawengineo

  • @twalibfaqih9385
    @twalibfaqih9385 Рік тому

    Tusomeni maulid ni uzushi hakuna kitu icho kabisa

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u 3 роки тому +1

    Kwanz Hata Usomaji wako M bovu,Huwez tamka Vzr,halaf hayo maneno yako ni mwanachuon gani Alokuwleza hivyo!? pia sis Ahlu sunna tunapo mahala pa kurudi na kuwasikiliza Salaf wameielewaje hadith hii.
    Ibn masoud Anasema"Fuateni wala msizushe...
    Ibn Omar anasema"Kila Bidaa ni upotevu Hata kasma watu wataona bidaa Hiyo ni nzr..
    Pia Imaam malik anasema Amenukuliwa ktk Kitab Cha Al imaam Shaatwibiyy kiitwacho Al iitwisaam"Yeyote mweny kuzusha Bidaa ktk uislam,Atakuwa amedai kuwa Mtume Mohammad amefany khiyana ya Risala yake..Kwa sabab Allah anasema"Hiv leo nimekukamilishien Din yenu na nikatimiz neema yang Kwenu,Nanimeridhia Uslam Ni Dini Kwenu..Basi Jambo lolote Ambalohalikuwa Dini Siku hiyo Haliwez kuwa Nini Leo."
    Hayo yote Yanasimanga Bidaa zote Na Pia waanachuon wameandik Vtab vingi Sana ktk Mlango huu mfno"Al amru bil ittibaaa'a wannahyu anibtidaab cha Al imaam Suyjutiyy Ambaye ni Shafiyiyy...
    Ila wew Unasimama Unawaongopea watu,Unadhidharau juhud Zote walizofany wanachuoni??Hakika wew ni jaaahil kabisaaa

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому

    Sunnah wala Ijma’a wala Qiyaas inayoonyesha
    usahihi wa jambo hilo. Na hakuna pia hata dalili ya
    kiakili wala kimaumbile, na jambo lolote linalokuja
    kwa njia hii basi huwa ni uzushi muovu usiotakiwa
    katika Dini.
    Amesema al-Haafidh Ibn Rajab: “Na asili ya Bid‘ah
    ni ile inayozuliwa na isiyokuwa na asili katika sheria
    inayokuwa ni dalili kwayo” (Jaami‘ul-‘Uluum wal
    Hikam, Mj. 2, uk. 127).
    Na amesema tena: “Na chochote kinachozuliwa na
    yeyote na kisha kikinasibishwa na Dini na kikawa
    hakina asli (misingi) katika Dini atarudishiwa
    mwenyewe. Huo utakuwa ni upotevu na Dini ipo
    mbali na kitu hicho. Ni sawa ikiwa hilo limefungana
    na mambo ya ki-itikadi au amali (matendo) au kauli
    zilizo wazi na zilizofichika” (Jaami‘ul-‘Uluum wal
    Hikam, Mj. 2, uk. 128).
    Bid‘ah katika lugha ni “Kila lenye kuzuka (uzushi)”
    na katika sheria ya Kiislamu ni “kuzuka kitu katika
    Dini baada ya kukamilika” (yaani baada ya mafunzo
    ya Mtume [Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wasallam]) {Shaykh Said Musa, Majadiliano Juu ya
    Mawlid, Chapa ya Kwanza, 1985, Dar es Salaam, uk.
    1}.
    Ufisadi na uharibifu wa kuruhusu jambo hili upo wazi
    kabisa, na hapa tunanukuuu baadhi ya nukta katika
    mas-ala hayo. Nayo ni kama yafuatayo:

  • @mikekhalifaali7510
    @mikekhalifaali7510 Рік тому

    Maulid ni upuuz

  • @abdullaalzeiby9011
    @abdullaalzeiby9011 6 років тому +1

    Sheikhe ana elimu ana lugha na fikira njema lakini twamlaumu kuwa maneno mengi juu ya jambo hili hakuyasema wala hakuyataja. Zamani alkuwa hatowi rai wadhih kama hivi. Suala ambalo latufaidia sisi ummatulmuslimeen ni kujuwa hii maulidi ni ibada au si ibada? Na ikiwa ni ibada ambayo twaisoma misikitini ..jee mtume salla allahu allaihi wassallam alikuwa akijua au la ...na mbona hakutuleteya kwa wazi kama alivyotufikishiya mambo yote ya dini ..au nini kikwetu hichi ni kizuri na mungu na mtume hawajui. Mambo mengi katika hutbah yake yanashangaza na yatake yazingatiwe. Kama mambo ya shirki na owongo yaliomo katika vitabu hivyo na buradah hakuyataja wala mambo ya kupiga ngoma na kupanda na kushuka na kutuzana pesa shekhe hakuyataja kabisa ...sisi waislaamu hupata taabu kujuwa mamba ikiwa shekhe hatochukwa maudhui kamil kwani yeye hakukubaliyana na yote ya maulid. Alileta jambo mmoja tu la itraa na ambalo watu wa maulidi walilifanya jambo kubwa kwa hata kufika katika shirk kama yaliomo katika burda na makasida ambayo yamtaja ali alhabshi na sayidtna khadija hata wengine kufikakumtaja sayyidna hussein ...maulidi alrasool kutokana na seera za mtume ni kitu kizuri saana lakini bila mambo mengineyo na bila kutiya tarekhe ya kuzaliwa kwani tarekhe haijulikani ...tarekhe ya kifo chake chajulikana.. watu wakipinga huwa sio wahalilisha au watowa fatwa huwa shekhe hakueleza kama amesoma akaona maneno hayo hayana shirki wala haya itraa ya kiharamu. wallahu aalam

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому

    ‘Abdul-Hameed Siddiqi, The Life of the
    Prophet}.
    Hekima ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) Kuificha
    siku hiyo ya kuzaliwa kwake Anaijua Yeye
    mwenyewe. Hivi sasa watu wamevuka mipaka
    katika kuisherehekea siku na mwezi huo na bado
    kuna tofauti kwa siku ya kuzaliwa kwake.
    Jambo ambalo linajulikana kwa uhakika bila ya utata
    wowote ni siku aliyozaliwa, kwani haya aliyasema
    kwa kauli ambayo haina maana mbili.
    Imepokewa kwa Abu Qataadah (Radhwiya Allaahu
    ‘anhu) kwamba Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) aliulizwa juu ya kufunga (Swawm)
    ya Jumatatu. Akasema: “Hiyo ilikuwa ni siku
    niliyozaliwa na ndio siku niliyopatiwa Utume au
    niliyoteremshiwa Wahyi” (Muslim).
    Na ili tuwe tumemfuata vilivyo Mtume wa Allaah
    (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) katika
    Sunnah zake inatakiwa tuwe tunafunga siku ya
    Jumatatu kila wiki na jambo hilo litakuwa
    linatukaribisha kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala).
    4.0 KUBAINISHA HUKUMU YA MAWLID
    Jueni, Allaah Aturehemu sote ya kwamba Mawlid ya
    Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)
    hayapo katika sheria na hakuna dalili katika Kitabu
    wala

    • @hasanisaidishabani3879
      @hasanisaidishabani3879 2 роки тому

      Shekh kaelezea vzr unatakiwa ili umuelewe kwanz uondoe akili yakujifany unajua tuliza akili utamuelewa sanaa muda mwengine ukisikiliza kwakubishana utoelewa ila shekh kapita ktk mipito ya kiufundii sanaa tenaaa sanaaa

  • @sulaymansulayman4284
    @sulaymansulayman4284 10 років тому

    Kosa kubwa pia baadhi ya maneno katika Maulidi yana kufru ya kumpandisha Mtume صلى الله عليه وآله وسلم cheo cha usawa na Allaah سبحانه وتعالى wakati yeye ametuonya tusifanye hivyo
    ((Msinitukuze Kama Manaswara walivyomtukuza Masiyh mwana wa Maryam, hakika mimi na mja kwa hiyo semeni mja wa Allaah na Mjumbe Wake)) [Al-Bukhaariy na Muslim]
    SHUKRAN NDUGU ZANGU
    Nakupendeni kwa ajili ya Allah
    Abu Abdir-Rahman
    UK

    • @omarjomar6670
      @omarjomar6670 7 років тому +1

      wapi mtume alipopewa darja ya uungu katk jambo gani

    • @yaziduiddi481
      @yaziduiddi481 6 років тому

      ssyy ss ww kasome huna unachokijua ktk maulid unaijua kufru ww au unajiropokea tu

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 5 років тому

      yazidu iddi maulid tutasomaaaa pasukeniiii na mawahabi wenzenu

    • @ahmadsalim4417
      @ahmadsalim4417 4 роки тому

      Lkn ingekua nivyema ukatubainishia niwap mtume alitukuzwa nakupewa cfa za Allaah sio unaropokatu

  • @abdiamiri8041
    @abdiamiri8041 2 роки тому

    Twayb

  • @kherysalum638
    @kherysalum638 4 роки тому

    Omba mnakasha sio kuongelea kwenye majukwaa

  • @abubakarnassor8280
    @abubakarnassor8280 3 роки тому

    😋

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v 5 років тому

    Sheikh nimekusikiza vizuri sana kumbe hata wewe mtupu kabisa.hata siwezi sikiza tena durus zako.hufai

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому

    Suala la sisi kujiuliza ni kuwa; Je, haya Mawlid
    yalianza lini? Jawabu ya suala hili kwa mwanachuoni
    wa Ki-Sunnah, Al-Imaam al-Maqriiziyni:
    “Katika kipindi cha uongozi wa Faatwimiyyuun
    (hawa walikuwa ni Rawaafidh (Mashia) katika kipote
    cha Ismailiyyah [Makoja] katika nchi ya Misri)
    walikuwa wanachukuwa hii ni misimu ya sherehe
    ambapo walikuwa wakiwakunjulia hali za raia zao na
    kuwakithirishia neema. Na walikuwa hawa watawala
    wa Faatwimiyyuun katika mwaka mzima wana
    misimu ya sherehe na Idi zao nazo ni kama
    zifuatazo: Msimu wa kichwa cha mwaka, Msimu wa
    mwanzo wa mwaka, Sherehe za ‘Aashuraa, na
    Mawlid ya Nabii (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa
    sallam), na Mawlid ya ‘Aliy bin Abi Twaalib
    (Radhwiya Allaahu ‘anhu), na Mawlid ya Hasan na
    Husayn (Radhwiya Allaahu ‘anhuma), na Mawlid ya
    Faatwimah az-Zahraa (Radhwiya Allaahu ‘anha), na
    Mawlid ya kiongozi wao aliye hai kwa wakati ule,
    usiku wa kwanza wa Rajab, na usiku wa kati ya
    Rajab, na Mawlid ya usiku wa Ramadhaan na
    mwisho wa Ramadhaan na Msimu wa 'Iydul Fitwr na
    Msimu wa 'Iydul Adh-ha na Idi ya Ghaadir, Msimu
    wa ufunguzi wa Ghuba na Siku ya Nairuuz na Siku
    ya Ghatas na Siku ya Mazazi, na Siku ya Vipandio,
    Kis-wa (nguo) ya Msimu wa Kusi na Kaskazi,
    Alhamisi ya Adasi na Siku ya Ubatizo” (Al-Khutwat,
    Mj. 1, uk. 490 na baada yake). na amesema tena
    katika kitabu chengine: “Na katika mwezi wa Rabi’ul
    Awwal walijilazimisha watu kuwasha kandili usiku
    katika njia zote na vichochoro vyake huko Misri”.

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 4 роки тому

    Wacha kupotosha Maalim.

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 3 роки тому

    Hio bid'a itakufa pole pole bi'idnillahi ta'ala.

  • @mustayoo
    @mustayoo 5 років тому +1

    Hizo faida mtume hajaziona ukaja kuziona ww?

    • @meena-ol6fo
      @meena-ol6fo 4 роки тому +1

      Kwenda zako wewe nyie ndio mnaopotosha watu

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому

    Yule mwenye kufanya mahaba kwa Mtume ni
    kufanya haya Mawlid anabadilisha sheria ya Allaah
    ambayo inasema kuwa mapenzi sahihi inakuwa ni
    katika kumfuata Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam). Bali hii ndio ile hakika ya mapenzi
    ambayo yamleta mtu karibu na Allaah na kumjaalia
    yeye atoke katika zile ada za kufananisha na yale
    wafanyao Wakristo katika sikukuu zao. Na kwa hili
    tunaelewa ya kwamba: “Haihuishwi (haifanywi)
    Bid‘ah isipokuwa huondoka Sunnah miongoni mwa
    Sunnah madhubuti”.
    Ya Nane: Haya Mawlid yanafanana kwa uwazi kabisa
    na Dini ya Ukristo, ambayo wafuasi wake
    wanasherehekea mazazi ya Masihi ('Iysa). Na hakika
    ni kuwa sisi tumekatazwa kushabihiana na wao
    kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam):
    “Na yeyote mwenye kushabihiana na watu yu
    pamoja nao” (Iqtidhaa’ as-Swiratwil
    Mustaqiym ya Ibn Taymiyyah, Mj. 2, uk. 581).
    Ya Tisa: Ni maalumu na yenye kueleweka kwa kila
    mmoja ya kwamba Maswahaba ndio waliokuwa
    wakimpenda zaidi Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) kuliko wanadamu wengine kwa
    ujumla na Waislamu wengine hasa katika wale
    waliokuja baada yao. Lakini watu ambao wanafanya
    bid‘ah hii ya Mawlid wanasema kinyume ya hayo
    kwamba wale wasiosoma na kushirikiana nao huwa
    hawampendi Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam). Na hii ni tuhma kubwa kwa watu ambao
    walijitolea mhanga katika kumhami Mtume (Swalla
    Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam), kutekeleza

  • @birdofpry3897
    @birdofpry3897 6 років тому +1

    Kuna watu asili yao ni upinzani tuu hata ukiwafahamisha hawaelewi sheikh wetu

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 5 років тому +1

      Maimona Bakar walah ni kwelii.

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому +1

    aalihi wa sallam) na kumfuata kwa kila jambo, kwa
    wazi na siri. Inabidi pia tujiondoshe na ule ufahamu
    finyu wa kuwa kumpenda Mtume (Swalla Allaahu
    ‘alayhi wa aalihi wa sallam) ni kucheza na kupiga
    ngoma wakati na siku maalumu katika mwaka. Na
    wale wanaotekeleza jambo hilo wanasema ya
    kwamba hiyo ndio dalili ya wazi kuwa wao
    wanampenda Mtume (tujiondoshe na ule ufahamu
    finyu wa kuwa kumpenda Mtume (Swalla Allaahu
    ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na yeyote asiyefanya
    hayo basi anamchukiza na hivyo kuchukiwa na
    Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam).
    Na jambo hili bila shaka ni kuipindua ile maana ya
    mapenzi kwa Allaah na Mtume Wake, kwani mapenzi
    kwa Allaah na Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam) lazima yawe ni katika kufuata
    Sunnah zake zote. Kumpenda Mtume (Swalla
    Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) ni kufuata zaidi
    sunnah zake kuliko kumsifu sana kama Anavyosema
    Allaah:
    “Sema: Ikiwa nyinyi mnampenda Allaah basi
    nifuateni mimi, Allaah Atakupendeni na Atakufutieni
    madhambi yenu. Na Allaah ni Mwenye Kufuta
    madhambi na Mwenye Kurehemu” (3:31).
    Kumpenda sio kumkumbuka kwa kumsifu mara
    moja kwa mwaka tena kwa njia isio sawa bali kila
    siku na kumsifu bila kufuata Sunnah zake hakuna
    faida wala thawabu.

  • @sulaymansulayman4284
    @sulaymansulayman4284 10 років тому +2

    Watu huwa tunasema haya mambo tumerithi kwa wazee na masheikhe wetu, ina maana wao hawana Elimu nyie masheikhe wa internet ndo mlosoma, Allah anajibu hili kwa kusema سبحانه وتعالى:
    (Na wanapoambiwa: Njooni kwenye yale Aliyoyateremsha Allaah, na kwa Mtume, husema: Yanatutosha tuliyowakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawajui kitu wala hawakuongoka?)) [Al-Maaidah: 104]

  • @rizikiali8173
    @rizikiali8173 5 років тому

    nikweli sheikh

  • @johrahali583
    @johrahali583 5 років тому

    Bidaa ni aina mbili....katika dalili ya Quran na sunnah....

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому

    Maulid ni Bidaa ibn Taymiyyah amwzungumza hayakufanywa na maswahaba kwani hao ndio waliompenda mtume s.a.w na haikuwepo ya kuwazuia iweje ww uhalalushe ubidaa uzushi katika dini
    Mila hii imetokana na makoja,mashia maismailiya walizitawala nchi za kisunni kwa zaidi ya miaka 270 ndio wakawaachia uzushi huuu wa mawlid
    Allwah anajua zaid

  • @sulaymansulayman4284
    @sulaymansulayman4284 10 років тому

    Ametuamrisha Allaah سبحانه وتعالى tufuate aliyotuletea Mtume صلى الله عليه وآله وسلم na tujiepushe na aliyotukataza
    ((Na anachokupeni Mtume chukueni, na anacho kukatazeni jiepusheni nacho)) [Al-Hashr: 7]
    Anasema Allaah سبحانه وتعالى katika Aayah nyingi kwenye Qur-aan:
    ((Na mtiini Allaah na mtiini Mtume )) [At-Twaghaabun: 12]
    Na kumtii Mtume صلى الله عليه وآله وسلم ni kumtii Allaah سبحانه وتعالى
    ((Mwenye kumtii Mtume basi ndio amemtii Allaah)) [An-Nisaa: 80]

    • @hamaddede464
      @hamaddede464 8 років тому

      kama utakuwa umemsikiza vizuri utakuwa umemuelewa

    • @Specialonejr
      @Specialonejr 7 років тому

      Je jambo ambalo hajatuleteaaa tufanye nn

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 5 років тому

      Acha zakooo......shekh yupo wazi acha na na chukii. Ckliza kwa makni...huyo ni shekh mwenye hkma zaid hapa tz.....na amekaa na kutulia kw a mwalimu wKe hakusoma kurasa mbili akakurupka kama walimu wenu.....someniii mcpayukeee

    • @ashamshamu6159
      @ashamshamu6159 4 роки тому

      ndani ya vitabu vya maulidi kunashiliki kubwa sana watutafusilie beiti za maulidi mtume aliondosha shiliki kwa mda wote

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 4 роки тому

    Akikipenda mtu kitu,basi lazima akilazimishe,maulidi ni ibada?

  • @Safinatulshifaa
    @Safinatulshifaa 5 років тому

    miaka mingi sana. (Tafsiri ya Mawlid BARZANJI -
    KADHI SHEIKH ABDULLA SALEH FARSY, ZANZIBAR,
    Uk.(iv) )
    3.0 MAZAZI YA MTUME (Swalla Allaahu ‘alayhi wa
    aalihi wa sallam)
    Ni maarufu kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu
    ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alizaliwa baada ya
    kuaga dunia babake. Lakini wana-taariykh
    wametofautiana kuhusu mwaka na mwezi aliozaliwa
    Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi
    wa sallam). Safi-ur-Rahmaan Mubarakpuri,
    mwanachuoni aliyepata zawadi ya kwanza katika
    mashindano ya kuandika historia ya Mtume wa
    Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)
    ameandika yafuatayo katika kitabu
    chake: “Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi
    wa aalihi wa sallam), bwana wa Mitume,
    alizaliwa katika mtaa wa Bani Haashim
    katika mji wa Makkah, Jumatatu, tarehe 9
    Rabi’ul Awwal, mwaka ule ule wa ndovu na
    miaka arobaini baada ya utawala wa Kisra
    (Khsru Nushirwan) yaani tarehe 20 au 22
    Aprili 571 BI (Baada ya kuzaliwa ‘Iysa),
    kulingana na alivyohakikisha mwanachuoni
    mkubwa Muhammad Sulayman al-
    Mansourpuri na mwana-falaki Mahmud
    Pasha” (Ar-Rahiyqul Makhtuum, uk. 62).
    Sirajur Rahmaan katika kitabu chake
    amesema: “Tukio hili la ndovu lilitokea mwezi
    wa Muharram kabla ya kuzaliwa kwa Mtume

  • @johrahali583
    @johrahali583 5 років тому

    Wallai kumbe huyu ni sheikh mtupu mwenye story

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 5 років тому

      Johrah Ali anaacha kauli za wanawachuoni eg imam malik kuhusu bidaa analeta stori et simba😁😁😁

  • @alisalum6330
    @alisalum6330 5 років тому

    Mbaya zaid mmewafanya waislam waamin hio ni moja ktk ibada. Tushikamane na sunna zake na maswahaba ktk kila kitu huko ndiko kumpenda si maulid hii ni dini ya hoja msitumie akili zenu kwa kupotosha umma.

    • @majidsaid08
      @majidsaid08 5 років тому

      wewe hoja yako ni ipi???

  • @ahmedhusseinshnoor1210
    @ahmedhusseinshnoor1210 7 років тому

    قول ابن عُمر رضي الله عنه: "كلُّ بدعةٍ ضلالة وإن رآها الناس حَسنة
    Ibn Omar alisema , killa bid,ah ni dalaalah hata kama watu wanaiowana ni nzuri ,
    Na huu Jamaa anasema kwamba bid,ah yiko nzuri pia utake usitake , je sasa tumfuatte naani mtume s.a.w na masahaaba r.a ama Huyu mtu ???

    • @alwyedarus1825
      @alwyedarus1825 5 років тому

      ijue maana ya kull na mafhumi yake katika mustwalahil hadith

    • @safinabakari9140
      @safinabakari9140 5 років тому +1

      Simba watatu wa elimu katika fani ya ulinganizi ambao ni mwiba kwa wanaojiita salafi, na wamebobea katika ilmu na daawa ni shaikh Othman Maalim ambaye ndiye anaeongea katika darsa hii, shaikh doktori Mubarak Awes na shaikh doktoor alhabibi Sharif abdulqader aal shaikh mfasiri wa kitabu cha bustani la waja wema, Riyadh swaaliheen cha Al imam Nawawii rahmahumullah

    • @SaidSaid-nj5iv
      @SaidSaid-nj5iv 5 років тому

      sheikh unatuelimisha sana.

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 4 роки тому

    Sasa ina maana wale wanyoingoza dini makka Al qubra na madinat al munawari,maktaba al elmu ya waislamu,wanakosea wakiyapinga maulidi,makaka na madina maulidi marufuku,sheikh unayo ya kuwaambia.
    Hivyo sheikh elmu yako umewazidi maulamaa wakubwa wa makka na madina lmunawari,hiyo elmu yako umeitoa wapi,utawadang'anya hao waliopumbaa.

  • @fadhilsaidina6547
    @fadhilsaidina6547 4 роки тому

    Jinyongeni nyie wazee wa bidaa