Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1
Вставка
- Опубліковано 28 вер 2024
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
Muda si mrefu iliopita nilirudi nyuma kidogo kwenye kumbukumbu ya mawasiliano ya kwanza kabisa kati yangu na moja wa wasaidizi wake Mheshimiwa Jakaya Mrisho wa Kikwete na hiyo ilinirudisha nyuma mpaka mwezi wa tatu mwaka 2020. Kama mtu mwengine yoyote hii ilikua ndoto tu ambayo kwa Rehema na Baraka za Allah ilibidi itimie. Kwa Baraka zake hizo mimi na wenzangu tunashkuru sana sana kwa kuweza kulikamilisha hili.
Shukran za dhati ziende kwa Doris Mollel ambaye kwa msaada wa Sadam ‘Almando’ Sanare alinimbia Doris anaweza akatu unganisha na mmoja wa wasaidizi wake ili tuweze kuona kama tunaweza pata hii nafasi, na kama ujuavyo, mengine yote yamebaki kuwa historia tu tena, maana yametimia.
Mimi kama wewe tu, shabiki nambari moja wa Jakaya Mrisho Kikwete na kukutana naye, kukaa naye chini na kuweza kumuuliza maswali tuliyokua tumeyaandaa (kwa muongozo wao) ilikua raha isiyoelezeka. Mzee charming, mwenye roho nzuri na muelewa kabisa. Mengine yalofuata baada ya hapo ndo ambayo utayaona au kuyaskiliza katika maongezi yetu haya. Mengi yalikua ni juu ya yeye alivyokua na uelewa wake kwenye mambo mengi. I wish tungeweza kuongea nae kuhusu masuala meeengi zaidi kuhusu kiila kitu ila ki ukweli hii inatosha kwa sasa na Mungu atajaalia tutakutana naye tena siku nyengine In Shaa Allah.
Mheshimiwa JK aliongea nasi kuhusu Wazazi wake, elimu, uelewa wake wa mambo, yeye kuwa mwanajeshi. Jinsi alivyokutana na Mama Salma. Historia ya nyuma kidogo kuhusu mapenzi na jinsi Marehemu Mzee wake alivyomtaftia mke na kuzaliwa kwa mtoto wake wa kwanza ambaye ni Ridhwan. Kuhusu kitabu chake, mapenzi yake na basketball na muziki. Pia Kobe Bryant na mapenzi kwa wajukuu zake.
Kama ilivyo kawaida yetu, yangu matumaini utapata kadhaa humu ya kukufunza jambo. Na napenda kuchukua nafasi hii kumshkuru kila mtu ambaye alisaidia hilo kutimia na zaidi team yangu yote ya ‘YahStoneTown’ ambayo ilifanya kazi iliyotukuka kukamilisha hili.
Nikutakie Kheri ya mwaka mpya na kila lenye Kheri nawe.
Enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Salama is very talented, the way anavyoongea na muheshimiwa ni kama binti anaongea na babaake, her facial expression and the way she is enjoying the moment with mr. President! It is lovely! She is my star
Amejikaza kucheka
Dada usiwasahau Mzee Mwinyi, Mama Maria Nyerere, mama Fatma Karume na mama Ana Mkapa nk kuwapa kipindi kama hiki. Ni raha kuwasikiliza hawa wazee wetu. Tuwaenzi. Hongera sana.
Hii customer service is extraordinarrrrry yani tumeletewa JK mezani...guys, let's send more tip!
ua-cam.com/video/XUVR261lcZY/v-deo.html
Alafu kuna washenzi wamepress 👎. Watz tuna mdudu kichwani
@@lazaromtui1355 hawajielewi hao wanaopress
Daahh huyu mzee ALLAH amuhifadhi ampe afya njema ampe mwisho mwema na amsaameh makosa yake...JK mtu mwenye moyo wa kustahimili
Jk pole kwamlipoko
Jk pole kwamlipoko
ua-cam.com/video/XUVR261lcZY/v-deo.html
Hakika mwamba
Raisi asiye ogopa kuhojiwa raisi mwenye kujitambua mcheshi daaah mic u our father
Mmmh hapa unamaana yake siyo!
Kwani huyo ni rais?? Au unataka kujenga hoja... nishajua unachotaka kumaanisha ni kwamba hata MAGUFULI akiachia kiti ruksa kufanyiwa intervew.
@@captendunga1392 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nionyeshe interview aliofanyiwa Kikwete akiwa Madarakani...!
Acheni mbwembwe..!
@@chiefmahucha6847 Zipo sana! Fanya usearch UA-cam utaona.
All the best jk rais wangu bora kuwahi kutokea tanzania hakuna cha nyerere wala magufuli
hujaulizwa hilo acha chuki za kijinga
🥰much LOVE to our old president❤
Sijawahi ku comment kwa chanel hii..
It may take a lot to Express how I feel, but for few words (Thank you so much Guys, Mungu awabarikie team yote kwa kazi nzuri)..
Si kwamba kutoku comment huko kwingine haina maana kwamba sijapenda kazi zenu, uwa nazipenda, Leo nilipoona hii nimezidiwa mahaba...hongereni salama na Team nzima..
Hii nimeipenda salama your the best ww ni mwisho kwa kweli hakuna kama wewe
Baba yetu kipenzi m.mumgu akumpe umri mrefu na swalih na akusameh madhambi yako ameen.
Miss you JK wallah Allah akupe afya bora na maisha marefu yenye baraka ndani yake
Mungu wa hajabu sana Jk , Umenikumbusha mbali sana . uliyoyapitia mengi Mzee nimeyapitia Dah !!!
Wewe kama unatak upepo kwenye nyumba ya makuti kajenge yako uishi... Hahaa we miss you hon JK
Kanichekesha
We miss you JK..
Thank you Salama
Baba CJ. Mjomba anakunyoosha nini? Hahahah
ua-cam.com/video/BAGyXHcRN-k/v-deo.html
Daah kumb hata president alikuwa hataki shule duuh chama la utoro tumepata mwenyekiti 🤣🤣
Hahahahà hahahahaha 😂😂😂😂😂
Mjumbe apa no 3
Hahaha Duh imebidi nicheke
Hahaha
Nampenda Sana huyu babajamani.I wish nikutane naye sikumoja.ntafurahi Sana. Nimcheshi,halingi,mzuri,tabasamu tamu.Mungu akulinde baba.
Kazi nzuri salama unajua kuhoji haumkatishi mgeni big up
Mash Allah big up mstaafu wetu mungu akupe Maisha marefu hizi ndio ndoa alizotuusia mtumie wetu s aw hongera baba mungu amekupa mafanikio ya dunia na akhera inshalla
Salama nilikuona jana ivi ulikua unashabikia azam ama mlandege? Alaf hongera kwa kumpata huyo mzee jk
Lol! Nice hair style keep up
Salama wewe ni mkali sana, nimependa sana jinsi unavouliza maswali, Nakuoenda sana.
JK THE SECOND ALLAH AMPE UMRI MREFU HUYU MZEE....
Jk Mungu azidi kukujalia afya njema ili uzidi kutufundisha mambo mengi ya mazuri katika huu ulimwengu nimependa Sana mahojiano haya. 🙏🙏
Love him soooo much he is amazing
For sure
Jamani muheshimiwa anazungumza vizuri 😍😍 we still missing you 😙😙
Waoooooooooooh leo coment ya 7 asante sana dada Salama kwa kutuletea mtu mashuhuli na kipenzi cha watu kama huyu
salama mungu akubarik sana heshima
yako mh Jakaya mrisho kikwete allah akupe afya njema daima.💪
Kama unamkubali JK weka likes zako hapa tuone...
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
What a humble man!!! Former president kwa talk show ya vijana? Kenya haijaai tokea.
This is great.....well done Salama.........More Health Life to JK!
Ikulu Kam ikulu sasa. Msooooooogggaaaaaa. Mojaaaa JK Master
Hi Salama
Kindly Invite Mama Salma Kikwete/Dr Asha Rose Migiro/ Mama Samia Suluhu
Wemzee umepitia mengi ndyomana mjanja sana unaelewa sana mtaa our former President Dr jakaya mrisho kikwete
Nilikuwa naisubir Alhamdullilah imewadia love C* salama 😍😍
Whaaaoh itz nice ....our dady JK i love u n salama
Ahsante sana kwa kushare nasi.
Uyu mzee anajitambua sana... Big up xan mr president.!!! 🔥 Nakukubali xan baba etu.
Our father jk we love you
Nimemfata jk huku nampenda huyuu bab ongea yake tu Mungu amlinde , akuongezee miaka🙏
Jk best president ever....live long mheshimiwa#mwana jangwani#dar young Africans
Salama haikufaa uvae kaptula kwenye hii interview, unamhoji raisi umevaa kaptula!!!??? istoshe we mtoto wa kiislamu siyo vizur jaribu kusoma alana za nyakakati.
Kwel yan wanafeligi Sana awa
Ndo maisha yake kwanini Leo ajifanye mnafiki kuvaa dela au gauni kisa et raisi anaishi uhalisia wake big up ccter
@@siapaul3346 hata ukiacha swala la uislamu, yeye kama mwanamke wa kiafrika hapaswi kuvaa kihuni mbele ya kiongozi mkubwa kama Kikwete... binadamu tumepewa uwezo wa kutumia akili zetu kutokana na mazingira... yani hata Magu akirudi nyumbani humbidi auvue uraisi then avae ubaba wa familia. Usiforce kuwa wewe yuleyule kila wakati na kila pahala.. kuna sehemu utapwaya.
@@hadijaiddy4638 usela mwingi mwishoe anaharibu
@@faisalhizkil9174 sawa bhana yawezekana hana hata gauni wala siketi jamanii
Salama Big Up!....unajua hii kazi
Makini sana ✍️ mzee wetu wew ni maana halisi ya uongozi na kama ingekuwa Kuna re-play ningependekeza ianzie kwako 🤔
The Best
Nakupenda sana JK
great interview,ila pia kama umeona paja la salama ungana nami hapo chini😍😍
Huyu Mzee Yupo Peace Sana Aisee Mungu Azidi Kumpa Heli
Mungu akupe maisha marefu Mh Jk
Safi sana
Nafurah sana nikimuona Mh.kikwete namuona alivyofanana na baba yangu. Very nice
Mzee huyu safi sana Mungu ampe miaka kama yoteeee
God blessing u Jk you looking Gd baba
Jk nakukubali. Mwingi wa kicheko na mzungumzaji hodari sana. Ila kila kitu chema kina mgogoro wake. Mumeupiga mwingi na wenzio wa CCM. Mumekula nchi yetu hata mbegu! Aah bwana shibeni basi.
Jk for lifeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Huyu mzee ndio anaenifanya nione tofauti kati ya watu wa bara na wat wa pwani katika UTU
salama ana confidence jamani 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻hongera dada
Salama hizi ni show Adimu sana Tanzania kama kuna uwezekano mjiunge na Television ilikuwafikia watu wengi zaidi
Awoteeee
Nice interview my lovely sister Salama for 2021 big up.
Hi Salama, I cannot wait for Ali Kiba and Diamond come on plssss 🙏
Much love from Saudi Arabia 🇸🇦🤩🤛
Mungu akupe uzima Jk. Binafsi nitakukumbuka daima.
😂😂huyu baba he is very social jmn 😊❤️ Mungu amtunze jmn🙏🏻
Kiti cha mbele kabisa,
Tunamsubiri uncle magu
Dah hizi zilikuwa zangu kabisa sema nikikumbuka 😂
I really miss u JK jaman
My president
Salama una akili sana kmleta kikwetee ,.lugoba oyeee my advance school
Lugoba ✊🏼✊🏼 ✊🏼 Chalinze 1✊🏼✊🏼 hoyeeeeee
Huyu jamaaa Ni Azina Sana. Anajua Mambo mengi ya nchi
Salama kumbe mzuri tu uolewe sasa mtoto wa ki islamu
penda sana uyu mweshimiwa jakaya aongee kingereza utampenda zaidi obama alizima sigara
Nimeipenda hiyo yaku weka maji kwenye mafuta. Kwa mwaka huu mafuta yalivyo bei ghali ningejaza mandoo nakwambia kutoka lita 5 tu 😂
Wee salama mara nyingi unaonekana kugusa nywele kama vile nywele chafu MBA au ......au jasho...haipendezi kabisa mbele y mgeni..
It's Jakaya Kikwete 🌶🍷
ua-cam.com/video/XUVR261lcZY/v-deo.html
Mlete mo dweji atueleze paka walimsajili lini
Hahahaha
Nmefurah sanaaa kuona Leo tunae rahsi pendwaa
Daah heshima sana kwa huyu mzee
JK Mungu akutunze na kukupa afya njema. Tunakupenda.
Tunakumiss mzee
interview bora ya mwaka . Hongera salama
So funny super father
This show is so on point. Great production
Mkuu, asante kwa kuyatoa ya ndani. Allah akuhifadhi.
natamani siku moja nifanye interview na salama nampenda jamani uko vzr sana my dia salama
Sasa Wewe akuhoji kuhusu nn😂😂😂😂
Raisi wetu wa miaka yote
Bless up.....mfate Nikki mbishi now muuuliz apa vp
My president💓
Love it JK
Hongera sana Salama kwa ubunifu, for surely, ua talented
Nampenda sana kiukweri JK natamani MUNGU anipe BUSARA kama zake
WE LOVE YOU WE MIC U MY FEV PRESIDENT EVER ❤❤❤❤❤
Nzur sana
Huyu ndio rais aliyefanya makubwa tanzania
Ila mzee kikwete anachekesha jamn😂😂.. Et chakula chepesi nachoweza kupika ni chai
Salama naona umeishiwa na maswali umebaki kucheka tu na Rais wetu
Dady we miss you😭😭
Top notched
Wow nimeipenda hii sana
Salama uko juu paka kikwete
Salama umependeza na buibui
Jakaya tuhulumie bc yaan Kama hutuoni tumekumisi xana mpendwa wetu
Good
Mda wake ushaisha nchi ndo inavosema🤣
Alisema mlisema yeye mpole sasa kaleta chuma....du
😁😁
Mzee Jakaya ni nomaa inapendeza more blessings