Mchungaji nakuelewa Sana shida ni kwamba tatizo la Simba ni Uongozi sio wachezaji kaka tumia Nguvu kubwa mubadilishe Katiba tu ili mpate Viongozi Bora Leo umeongea Point
Tatizo lenu muwe mnaelewa anasema nini basi sio mnakurupuka tu, Sasa yeye kasema simba ni timu kubwa lakini timu kubwa imepigwa NJE ndani. Hapo ndio utajua kuwa Yanga ni kubwa Sana African mashariki
Simba walishindwa kuingia klabu bingwa wakiwepo Chama, Saido na wengineo. Tulia utakuuja shangaa wewe lakini mambo ya wachezaji ambao hawaeleki kama ni maduka ama ni nini ndani ya Simba
Uzoefu wa roba fainali kwa chama ulipatikana wapi lini na kwa akina nani bro'oo, kumbuka waliuzwa wachezaji 2 kwenye 11 ya Simba Yeye na Miquison na Simba imebakia kuwa Simba ya robo fainali na huyo Saidoo unayemwongelea elewa kuwa mkataba ndio uliowalazimisha makocha wote kumchezesha.
Aiseee! Mchungaji nakuelewa sana ni kweli wanalalama sana ooooh chama kauza mechi ,eti Mzee jaman sema kweliiii
Huyu Jamaal anaweza sana simba mpeni timu anaweza
Mchungaji nakuelewa Sana shida ni kwamba tatizo la Simba ni Uongozi sio wachezaji kaka tumia Nguvu kubwa mubadilishe Katiba tu ili mpate Viongozi Bora Leo umeongea Point
Upo sahihi broo
Tatizo lenu muwe mnaelewa anasema nini basi sio mnakurupuka tu, Sasa yeye kasema simba ni timu kubwa lakini timu kubwa imepigwa NJE ndani. Hapo ndio utajua kuwa Yanga ni kubwa Sana African mashariki
Mchungaji aisee yupo sawa ila mbumbumbuu hawatakubali sijui wanashida gani
Uyu jamaa anaongea point sana
Mchungaji unaujua mpira pia uelewa wako ukojuu sana waambie simba hawataki kuelewa hilo
Huyu jamaa anaongea points
Mchungaji nitakuwa nakufatilia upo mkweli sana na Mungu akupe maisha marefu ili ukweli wako uwe njia kwa wengine
Huyo mwana soccer anaujua mpira
Uko sawa kiongozi🎉🎉🎉🎉
upo sai kaka
Uyu mtu ni mchambuzi mzuri
Uyu jamaaa noma sana anajua
Chaka atawafunga sana simba
Mchungaji ongea wanasimba wakusikie
Mchungaji kiukweli hapo umeongelea mpila na uko sahihi
Sema wa sikie wanajifanya hawasikii?
Hongera sana broo unaongea kama mtu wa mpira kweli
Mtu na nusu..nimekuelewa..mpira sio mihemko..wanasajili kwa sababu ya kuona aliwazuia walipo cheza nayo..kocha hayupo wanasajili.duuuuuuh..bg up bro
Yes,mahojiano mazuri
Asante
Simba walishindwa kuingia klabu bingwa wakiwepo Chama, Saido na wengineo.
Tulia utakuuja shangaa wewe lakini mambo ya wachezaji ambao hawaeleki kama ni maduka ama ni nini ndani ya Simba
Mpira bana tatizo yote nikombe ukibebatuu. Tulii
Wana Simba tujitathmini kwenye kweli, je Chama angeishi milele Simba?
Sema wewe mshabiki wa simba nikisema mimi ntaambiwa yanga wacha inyeshe tuone inapovuja.
Wacha inheshe aisee
Wewe ndiyo mpumbavu na chizi toa pointi za kimichezo na siyo kutukana wachambuzi mbwa mwenyewe fisi maji we.
Matusi yanini? Mkuu kasema ya kwake ya moyoni
Chuki ya nini?
Kama humwelewi achana naye!
Uzoefu wa roba fainali kwa chama ulipatikana wapi lini na kwa akina nani bro'oo, kumbuka waliuzwa wachezaji 2 kwenye 11 ya Simba Yeye na Miquison na Simba imebakia kuwa Simba ya robo fainali na huyo Saidoo unayemwongelea elewa kuwa mkataba ndio uliowalazimisha makocha wote kumchezesha.
Chama akija Simba alikuaje wewe ?
Chama jina kalipatia Simba wewe sijui nani lakini alipokwenda kwa Warabu kashindwa ama wewe unaishi ulimwengu gani.
Hamia huko mbwa ww
Mpumbavu mkubwa sanaaa