#live

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 66

  • @ismailhamis2331
    @ismailhamis2331 10 днів тому +9

    Kaongea points zote.. kudos ticha Zuberi

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 10 днів тому +5

    Vyema kabisa hongera Sana kwa uchambuzi bora kila la kheri kazi njema barikiwa Sana shalom

  • @user-vb6zv8ov8v
    @user-vb6zv8ov8v 10 днів тому +6

    Uko vzr,wajifunze kwa Nzize wa Yanga kuna mahali tulikuwa tunategemea goli anakosa lile ni suala la umri mature utamuona mwaka huu kisha zoea

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 10 днів тому +5

    Uko guuuud sana bwana Zubeir...😊😊😊😊

  • @EmmanuelBukindu
    @EmmanuelBukindu 10 днів тому +3

    Jamaa Yuko vzr

  • @omarMchoya
    @omarMchoya 10 днів тому +2

    Huyo jmaa yupo very Very point san

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 10 днів тому +2

    Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 5 днів тому

    Big up Zuberi wewe ni mchambuzi na nusu. Uko very objective haupelekwi na hisia

  • @EnockKombolela
    @EnockKombolela 10 днів тому +2

    Mwl zuber big up sana

  • @JassonKagaruki
    @JassonKagaruki 10 днів тому +5

    Huyu jamaa apewe ulinzi makolo wakiiona hii tumeisha

  • @Rarmba
    @Rarmba 10 днів тому +1

    Best mchambuzi ever,huna mbwembwe unongea fact bro,wala hauna upande,nakufuatilia sana uchambuzi wako,uchambuzi wako ni waki football zaidi hauna siasa kabisaa.congrats

  • @RichardAmos-eo9dh
    @RichardAmos-eo9dh 10 днів тому +3

    Big up zuberi chambuzi la taifa kupitia hii exclusive nimepata madini ya kutosha na baadhi ya facts za kimpira ambazo nilikuwa napata ukakasi kuzielezea.

  • @kayagahamisi572
    @kayagahamisi572 10 днів тому +5

    Huyu ndo mchambuzi sio chambuzi halafu shabiki wa timu fulani

  • @mikidadijumanne7441
    @mikidadijumanne7441 10 днів тому +3

    Uko sahihi

  • @NTUSOTV-xx8qe
    @NTUSOTV-xx8qe 10 днів тому +3

    Uko sahihi mkuu,,, simba nguvu mbili✊✊

  • @DarliotonTumaini
    @DarliotonTumaini 10 днів тому +3

    Madin mwanzo mwisho🎉🎉🎉

  • @mohamedikassimu7016
    @mohamedikassimu7016 9 днів тому

    Fact broo umenena

  • @anafiselemani3957
    @anafiselemani3957 10 днів тому +1

    Big up sana bro zuberi

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 10 днів тому +2

    Uyu jamaa Yuko vzr sana

  • @user-em2sd9tm1n
    @user-em2sd9tm1n 10 днів тому +2

    Kaka shikamoo

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 10 днів тому +3

    Jamaa ni mchambuzi kweli na anajua mpira

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 10 днів тому +3

    Mchambuzi wape hao mambumbu kicheko baada e kilio😅😅😅

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 9 днів тому

    Ukopoa bro

  • @ezramichael7038
    @ezramichael7038 10 днів тому +1

    Mpira anaujua vizuri

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 9 днів тому

    Big upp umeongea kisoccer zaidi

  • @salumallymngumba
    @salumallymngumba 10 днів тому +2

    Umeongea point tupu.

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 7 днів тому

    Uchambuzi mzuri

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 9 днів тому

    Hupepes macho

  • @alphoncealmack9240
    @alphoncealmack9240 10 днів тому +1

    Hii kichwa imetulia si mchezo jamaa ni mtaatam anajua kuchambua ball. Tunataka wachambuzi kama si kama kina jemdar,oruma,salehe,na wengine km hao

  • @EnockKombolela
    @EnockKombolela 10 днів тому +1

    Wewe ndio chura nini ulicho kuelewa ktk ichi anacho kiongea

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn 9 днів тому

    sio morata tu hata pale barca kuna kiungo anaitwa thiago alcantara alicheza barca kipindi barca ina viungo wakina inniesta,xavi na busket na hawa wote walikuwa na umri mkubwa lkn barca hawakuwauza mapema hawa wazee ili wamuache thiago ,,mwishowe thiago anaondoka na kwenda timu zingine mpaka jana kastafu

  • @allysinde6208
    @allysinde6208 8 днів тому

    Huyu jamaa nimemkubali sanaaa...
    Yani anaongea points za Maana Sana na sio ushabiki.....

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 5 днів тому

    Kocha wenyewe hawajiamini si mtoke nje mkaonyeshe maajabu

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 5 днів тому

    Kocha awe na uwezo na uzoefu ns sio uwezo

  • @salagolusangija8727
    @salagolusangija8727 10 днів тому +1

    Bonge la mchanbuzi

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 9 днів тому

    Huyu jamaa anajua sana

  • @user-yu1zo9pf4o
    @user-yu1zo9pf4o 2 дні тому

    Huyu km kaka wa "K" mziwanda

  • @andrydengaah7389
    @andrydengaah7389 10 днів тому +2

    😅😅😅

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda 10 днів тому +2

    Kweli

  • @saidmwinyi4437
    @saidmwinyi4437 2 дні тому

    Eeeh mkaraboko umeuwa

  • @user-lo9pb1po8l
    @user-lo9pb1po8l 9 днів тому

    Serikali mpeni ulinzi huyu jamaa ni tunu ya taifa😂

  • @kichefuchefu2382
    @kichefuchefu2382 10 днів тому

    Unajua kaka

  • @salummbuleti6047
    @salummbuleti6047 10 днів тому +1

    Huyo mchambuzi wako ni chizi

  • @AyubuIssa-np3vc
    @AyubuIssa-np3vc 10 днів тому

    Uyo nichura kama chula wengine

  • @suleymanyasinmkufu1570
    @suleymanyasinmkufu1570 10 днів тому

    Amejaa wivu ,uto.

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 10 днів тому +1

    umasema ukweli mtupu ingawa itawauma baaddhi humu

    • @AyubuIssa-np3vc
      @AyubuIssa-np3vc 10 днів тому

      Aowachezaji wa simba wanamuonekano gani

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 10 днів тому +1

      ​@@AyubuIssa-np3vc😂😂😂 tulia kk

  • @franccoz94
    @franccoz94 10 днів тому +3

    Wachezaji wengi wa yanga wanamsimu mmoja tuu wa kucheza baada ya hapoo n angukoo

    • @user-mg1yl2rl8s
      @user-mg1yl2rl8s 10 днів тому +1

      Eng. Hersi sio mangungu. Yanga kila mwaka wanabalance timu kwa kuacha wachezaji wanaotegemewa kushuka kiwango na sio kusubiri hadi washuke kiwango. Watafute kina Djuma, Saidoo, Moloko, Lomalisa, Shaibu, Bangala orodha ni ndefu. Yanga ni timu kubwa inasajiri kwa mahitaji na performance.

    • @Evance-op4jw
      @Evance-op4jw 10 днів тому +1

      nani kakwambia wewe? hawa ni wachezaji wenye uwezo unaoweza kudumu miaka mingi hadi wanakuwa na umri mkubwa zaidi bora wanaume bora kuliko wavulana wasio na uwezo

    • @reonardchatanda6371
      @reonardchatanda6371 9 днів тому

      Pole sana. Inaonekana hufwatilii usajili.yanga imeongeza mikataba wachezaji wake wengi muhimu.

  • @anicethy6978
    @anicethy6978 10 днів тому +2

    Mpira wa miguu unachezwa na wavulana ukishakuwa mwanaume,"jua la jioni"huwezi tena,nimemtizama,Modrich, Pepe na CR7 wamejitahidi sana kwenye Euro lakini unaona tu anhaaa

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 10 днів тому

      Unaongea nini wewe ,hao aliowataja umeona viwango vyao as individuals!! Umemuona pepe jinsi experience yake vijana walikua hawapiti?? Kuna wachezaji of higher level hawawafikii viwango! Timu lazima iwe mchanganyiko wa vijana na wenye experience! Unajua wenye experience kama CHAMA wanaleta nini dressing room!? Ushauri, uzoefu wa mechi kubwa, confidence,nk kwa vijana bongo shida ni kutojua mpira,as a game! Kuna kitu kinaitwa SENIOR PRAYERS Kwenye timu,unajua maana yake!? Senior players wanakua na umri mkubwa ,wana uzoefu,wamekaa mda mrefu kikosini,! Hao husaidia vijana kukua! Simba hao watoto watajifunza kwa nani!? That means watachukua mda mrefu to catchup ,to gel,to learn,and to GAIN experience! Utaona Yanga wakikutana na hao watoto! Kijana mwenye umri mdogo kumkaba mtu kama pacome, Aziz nk ni shida! Akimwangalia Aziz anataka amsalimie🤣🤣🤣Thats how football WORKS!

  • @AyubuIssa-np3vc
    @AyubuIssa-np3vc 10 днів тому

    Uyo nimweu tu mpira sio umri .simba wakisajili wakubwa unasema wazee

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 10 днів тому +2

      😂😂😂 mmeleta wachezaji kwaajili ya tamasha la saba Saba

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 10 днів тому

    Huna jipya wewe ebu tupishe

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u 10 днів тому

    Utopolo huyo hakuna Anachoongea hapo maneno meengi lengo Lake limeeleweka

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 10 днів тому +3

      😂😂😂😂 Nenda kasikilize mapambio kwa akina jemedariiii, oruma na Jeff

  • @gerowadamwandika669
    @gerowadamwandika669 10 днів тому +2

    Mchambuzi wa mchongo wewe, umetumwa na vyura kwendaaaa hukoooo

    • @erasmuskwayu5643
      @erasmuskwayu5643 10 днів тому +1

      Sawa tutaonana kwenye Ligi na Shirikisho Afrika tutajua huyu anajua au hajui

  • @user-rp8ke2nb5i
    @user-rp8ke2nb5i 10 днів тому

    Bonge nysnya wachambuzi wa tz vinyonga

  • @user-cm7yl9ej7i
    @user-cm7yl9ej7i 10 днів тому

    Kuma ya mama zenu

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 10 днів тому +2

    Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢