MIRAJI AWAUMBUA VIONGOZI SIMBA KWENYE USAJILI/ MO HAWEZI KUBAKI MILELE SIMBAA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024
  • KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
    0625466848 AU 0753393036

КОМЕНТАРІ • 70

  • @SadamSarita-t7z
    @SadamSarita-t7z 3 місяці тому +16

    Jamaa anaongea point sana hatuna wachezaji Simba saiv

  • @peterDominick-h2n
    @peterDominick-h2n 3 місяці тому +4

    Yupo sahihi sana huyu mwamba.

  • @ShabanMohamed-e9l
    @ShabanMohamed-e9l 3 місяці тому +3

    Mangu kinacho msumbua ni chajuu kwenye usajili ana ona Zina pita hovi

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 2 місяці тому

    Wakumbushie viongozi ipigwe kisomo wasali na watoa taarifa siri club ipigwe kisomo niko tayari kuchangia, maana magugu try agani wajue bado wapo, wasijisahaulishe

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 місяці тому +1

    HUYO MANGUNGU ATUJIBU KWA NINI ALIWAACHA BALEKE NA MOSES PHIRI WAONDOKE KIRAHISI??? NA HUKU ANASEMA KUSAJILI NI KAMARI MPUMBAVU MWIZI HUYO HATA OKRA MAGIC KAMTOWA KINJAMA ILI AENDE UTOPOLO MACHOGO FC MKUNDU WA MAMAKE MBWA HUYO

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 2 місяці тому

    Mwambie mzee magoli huyu mshambuliaji nikama jobe wasimuache kramo, na mzee mgunda anaujua mpira wetu, wachezaji tumepa lakini kocha sinaimani tusije kulia,

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 2 місяці тому

    Miraji waambie viongozi wanahujumu wachezaji, ona tunambiwa mchezaji mbaya mbona wanamchukua wanawasajiri, hivi wachezaji ni wabaya kweli kama firi,baleke leo kaenda yanga,haya okra huyo, anayefanya mchezo try agani na mangungu,

  • @ramadhaniharuna5441
    @ramadhaniharuna5441 3 місяці тому +1

    Zile 5 kuna mwanachama wetu kafa huku Kitunda.

  • @huseinbusaba5064
    @huseinbusaba5064 3 місяці тому +2

    Unajua sana kuongea kwa fact kaka miraji saluti kwako tunataka watu kama nyie ili kuiongoza Simba yetu

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 місяці тому +1

    Fred na jobe wote waondoke Bora arundi bocco Bora kuliko hao

  • @HamzaRashid-iq1yf
    @HamzaRashid-iq1yf 3 місяці тому +5

    Wakwanza leo

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 місяці тому +2

    Miraji unaongea unanyooka kabisa nakukubar sana mwamba

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 3 місяці тому +1

    Mm najua muhindi akuna anaekula asara moo atawaumiza msipo jitafta

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 3 місяці тому +1

    Ngunguzi anasomesha kupitia simba sasa akijiuzulu watoto nao wajiuzulu kusoma

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 3 місяці тому

    Tatizo la Simba ni Injia Heris .
    Mbona Simba queen inashinda ?

  • @alexkajerelo5571
    @alexkajerelo5571 3 місяці тому +2

    Simba kwa sasa wasipokuwa makini nafasi ya 3 waizoee tu

  • @MwazambaMicrofinance
    @MwazambaMicrofinance 3 місяці тому +3

    Uyo Mo mwenyew ni snich sana wanasimba hamjui tu😀😀😀

    • @mzeebabumzee
      @mzeebabumzee 3 місяці тому +2

      usnichi wake nini sisi atujui twambie wewe tuna taka jibu fasta

    • @ibrahimabdullah1887
      @ibrahimabdullah1887 3 місяці тому

      ​@@mzeebabumzeembabaifu

  • @minshehekollora5751
    @minshehekollora5751 3 місяці тому

    Huyu mamba anaongea point tu viongozi acheni unafk

  • @hamzahnassor153
    @hamzahnassor153 2 місяці тому

    Ukweli kabixa mangungu anazingua

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 місяці тому +1

    Mangungu hanaswaga astuone SS kama hatuna uelewa kwanza asituchefue

  • @YusuphJilala-r4e
    @YusuphJilala-r4e 2 місяці тому

    Waambie hao madunduka mabwegeeeee

  • @IsihakaAlly-fj4qo
    @IsihakaAlly-fj4qo 3 місяці тому +1

    Mzee wa kazi 😂😂😂

  • @Anthon.h.Ngailo
    @Anthon.h.Ngailo 3 місяці тому

    Kaka hapo viongozi wanatupaka mafuta mgongo wa chupa

  • @shabanimbenu2163
    @shabanimbenu2163 3 місяці тому +1

    MWAMBA UNAONGEA FACTS SANA 100%

  • @huseinbusaba5064
    @huseinbusaba5064 3 місяці тому

    Kaka miraji uko sahihi na hiyo ndio maana ya kupngea kwa fact tena wachane kabisa wakina kisugu wakina aggy simba wanakuja kuongea maji yamesha mwagika?

  • @JustineSanga-r9e
    @JustineSanga-r9e 2 місяці тому

    Na bado mpaka msemeeee.

  • @Anthon.h.Ngailo
    @Anthon.h.Ngailo 3 місяці тому

    Kobe hatakiwi kubaki Simba Sheri angebaki ntiba

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 місяці тому

    Chama aende tu tusajiri vizuri kuliko chama pumbavu

  • @abdulswamadfakih7327
    @abdulswamadfakih7327 3 місяці тому +1

    Miraji ww ni mtu na nusu

  • @msabahaissa6201
    @msabahaissa6201 3 місяці тому

    Huyu miraji anatakiwa awe mwenyekiti wa klabu ya Simba,kwa sababu anajua matatizo ya klabu

  • @AdijaJumsnne
    @AdijaJumsnne 3 місяці тому +1

    Oya unasema kwel mwamba

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 місяці тому +1

    Miraji Mimi nakukubali sana

  • @JoelyEmmanuel
    @JoelyEmmanuel 3 місяці тому

    Kweli kabisa kakaangu unasema ukweli wanatakiwa wajifuze viongozi wasimba

  • @adilmohamed2117
    @adilmohamed2117 3 місяці тому

    Sasa hv mpira kwetu ni siasa tuta umiza vichwa sana tu 10:09

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 місяці тому

    Wote wachezaji maboya wote waondoke tunataka wapya

  • @JumaSalimin
    @JumaSalimin 3 місяці тому

    Miraji ziangalie goli Tano ulio sema Zina makando kando tele kutoka kwa refa goli la 3,la mkono na 4la Arajige. Tizama hio halafu utasema kweli.

  • @ALLYMATIMBWA-cz3zg
    @ALLYMATIMBWA-cz3zg 3 місяці тому +4

    Sema miraji kichwa San yan unaongea vitu vyamaana san

    • @ZakariaChapa
      @ZakariaChapa 3 місяці тому

      Unacho kiongea uko sahihi.

  • @Is-hakameni
    @Is-hakameni 3 місяці тому +3

    Nakubali sana brother miraji mara Moja tunakusamia Zanzibar tunakukubali sana

  • @WilfredSaidi-st3tn
    @WilfredSaidi-st3tn 3 місяці тому +1

    Mara moja hunaga baya

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 3 місяці тому

    Miraji Mwenyekiti Anasema kwamba Mbona hao Wachezaji wengine mbona hamuwasifiii mnawaangalia Hawa wachachee

  • @abdullahmohamudmohamed4450
    @abdullahmohamudmohamed4450 2 місяці тому

    😅😅😅😂 Tano Safi kabisa😅😅 Yani 5 zimenyooka😂😂

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 місяці тому

    Walituletea watu walio fer safar hii hatutaki ijirudie

  • @happynjikho4515
    @happynjikho4515 3 місяці тому +2

    point sanaaaa

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 місяці тому

    Issa aonge na haombe ladhi na mangungu aonbe ladhi

  • @FrankLeonard-wh5jm
    @FrankLeonard-wh5jm 3 місяці тому +1

    Sahihi kakaa ukoo sawa kabisa

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick 3 місяці тому

    Thamk you maramoja aggy na dokta mo mamuluki mangungu yangaa

  • @JimmywilliamCharo
    @JimmywilliamCharo 3 місяці тому

    Miraji mwanangu umenyooka sana aisei..huna baya ankal

  • @nestory8045
    @nestory8045 3 місяці тому

    Edwen barua 😂😂😂😂😂 anavaaa Mbona kaka miraji😅😂😂

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 3 місяці тому

    Hakuna muhindi dunian anaekula hasara

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 місяці тому

    Jobe na Fred waondoke Tena lazima

  • @msabahaissa6201
    @msabahaissa6201 3 місяці тому

    Huyu miraji kama namuelewa vile?

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 3 місяці тому

    Moo kikwazo anco

  • @AhmadyMtebwa
    @AhmadyMtebwa 3 місяці тому

    Miraji na mchome mnaonge point ilawenzenu hawaoni.

  • @KenedyMartin-it9hw
    @KenedyMartin-it9hw 3 місяці тому

    Miraji bonge la m2

  • @GidionMarwa
    @GidionMarwa 3 місяці тому

    Joshua mtale

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 3 місяці тому

    Mo atakaa simba mpaka kizazi chake

  • @danieligledson5697
    @danieligledson5697 3 місяці тому

    Miraji upo sawa sana😂

  • @HassanMkwenda
    @HassanMkwenda 3 місяці тому

    Saana mwamba, nakubali maneno yako

  • @FrankLeonard-wh5jm
    @FrankLeonard-wh5jm 3 місяці тому

    Sahihi wapishe

  • @JoshuaZebedayo-nd1oj
    @JoshuaZebedayo-nd1oj 3 місяці тому

    Uko sahihi kaka

  • @Retaj-jj7rp
    @Retaj-jj7rp 3 місяці тому

    Jomba miraji unajuwa sana

  • @QchiefuBarnaba-u3q
    @QchiefuBarnaba-u3q 3 місяці тому +1

    Mangungu nichizi hajui mpira

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 місяці тому

    Timekusamehe

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 3 місяці тому

    Wa nne leo

  • @deonatusdaud4640
    @deonatusdaud4640 3 місяці тому

    🙏🤝