Wakumbushie viongozi ipigwe kisomo wasali na watoa taarifa siri club ipigwe kisomo niko tayari kuchangia, maana magugu try agani wajue bado wapo, wasijisahaulishe
HUYO MANGUNGU ATUJIBU KWA NINI ALIWAACHA BALEKE NA MOSES PHIRI WAONDOKE KIRAHISI??? NA HUKU ANASEMA KUSAJILI NI KAMARI MPUMBAVU MWIZI HUYO HATA OKRA MAGIC KAMTOWA KINJAMA ILI AENDE UTOPOLO MACHOGO FC MKUNDU WA MAMAKE MBWA HUYO
Miraji waambie viongozi wanahujumu wachezaji, ona tunambiwa mchezaji mbaya mbona wanamchukua wanawasajiri, hivi wachezaji ni wabaya kweli kama firi,baleke leo kaenda yanga,haya okra huyo, anayefanya mchezo try agani na mangungu,
Kaka miraji uko sahihi na hiyo ndio maana ya kupngea kwa fact tena wachane kabisa wakina kisugu wakina aggy simba wanakuja kuongea maji yamesha mwagika?
Jamaa anaongea point sana hatuna wachezaji Simba saiv
Yupo sahihi sana huyu mwamba.
Mangu kinacho msumbua ni chajuu kwenye usajili ana ona Zina pita hovi
Wakumbushie viongozi ipigwe kisomo wasali na watoa taarifa siri club ipigwe kisomo niko tayari kuchangia, maana magugu try agani wajue bado wapo, wasijisahaulishe
HUYO MANGUNGU ATUJIBU KWA NINI ALIWAACHA BALEKE NA MOSES PHIRI WAONDOKE KIRAHISI??? NA HUKU ANASEMA KUSAJILI NI KAMARI MPUMBAVU MWIZI HUYO HATA OKRA MAGIC KAMTOWA KINJAMA ILI AENDE UTOPOLO MACHOGO FC MKUNDU WA MAMAKE MBWA HUYO
😂
Mwambie mzee magoli huyu mshambuliaji nikama jobe wasimuache kramo, na mzee mgunda anaujua mpira wetu, wachezaji tumepa lakini kocha sinaimani tusije kulia,
Miraji waambie viongozi wanahujumu wachezaji, ona tunambiwa mchezaji mbaya mbona wanamchukua wanawasajiri, hivi wachezaji ni wabaya kweli kama firi,baleke leo kaenda yanga,haya okra huyo, anayefanya mchezo try agani na mangungu,
Zile 5 kuna mwanachama wetu kafa huku Kitunda.
Unajua sana kuongea kwa fact kaka miraji saluti kwako tunataka watu kama nyie ili kuiongoza Simba yetu
Fred na jobe wote waondoke Bora arundi bocco Bora kuliko hao
Wakwanza leo
Miraji unaongea unanyooka kabisa nakukubar sana mwamba
Mm najua muhindi akuna anaekula asara moo atawaumiza msipo jitafta
Ngunguzi anasomesha kupitia simba sasa akijiuzulu watoto nao wajiuzulu kusoma
Tatizo la Simba ni Injia Heris .
Mbona Simba queen inashinda ?
Simba kwa sasa wasipokuwa makini nafasi ya 3 waizoee tu
Uyo Mo mwenyew ni snich sana wanasimba hamjui tu😀😀😀
usnichi wake nini sisi atujui twambie wewe tuna taka jibu fasta
@@mzeebabumzeembabaifu
Huyu mamba anaongea point tu viongozi acheni unafk
Ukweli kabixa mangungu anazingua
Mangungu hanaswaga astuone SS kama hatuna uelewa kwanza asituchefue
Waambie hao madunduka mabwegeeeee
Mzee wa kazi 😂😂😂
Kaka hapo viongozi wanatupaka mafuta mgongo wa chupa
MWAMBA UNAONGEA FACTS SANA 100%
Kaka miraji uko sahihi na hiyo ndio maana ya kupngea kwa fact tena wachane kabisa wakina kisugu wakina aggy simba wanakuja kuongea maji yamesha mwagika?
Na bado mpaka msemeeee.
Kobe hatakiwi kubaki Simba Sheri angebaki ntiba
Chama aende tu tusajiri vizuri kuliko chama pumbavu
Miraji ww ni mtu na nusu
Huyu miraji anatakiwa awe mwenyekiti wa klabu ya Simba,kwa sababu anajua matatizo ya klabu
Oya unasema kwel mwamba
Miraji Mimi nakukubali sana
Kweli kabisa kakaangu unasema ukweli wanatakiwa wajifuze viongozi wasimba
Sasa hv mpira kwetu ni siasa tuta umiza vichwa sana tu 10:09
Wote wachezaji maboya wote waondoke tunataka wapya
Miraji ziangalie goli Tano ulio sema Zina makando kando tele kutoka kwa refa goli la 3,la mkono na 4la Arajige. Tizama hio halafu utasema kweli.
Sema miraji kichwa San yan unaongea vitu vyamaana san
Unacho kiongea uko sahihi.
Nakubali sana brother miraji mara Moja tunakusamia Zanzibar tunakukubali sana
Mara moja hunaga baya
Miraji Mwenyekiti Anasema kwamba Mbona hao Wachezaji wengine mbona hamuwasifiii mnawaangalia Hawa wachachee
😅😅😅😂 Tano Safi kabisa😅😅 Yani 5 zimenyooka😂😂
Walituletea watu walio fer safar hii hatutaki ijirudie
point sanaaaa
Issa aonge na haombe ladhi na mangungu aonbe ladhi
Sahihi kakaa ukoo sawa kabisa
Thamk you maramoja aggy na dokta mo mamuluki mangungu yangaa
Miraji mwanangu umenyooka sana aisei..huna baya ankal
Edwen barua 😂😂😂😂😂 anavaaa Mbona kaka miraji😅😂😂
Hakuna muhindi dunian anaekula hasara
Jobe na Fred waondoke Tena lazima
Huyu miraji kama namuelewa vile?
Moo kikwazo anco
Miraji na mchome mnaonge point ilawenzenu hawaoni.
mchome mnafiki
Miraji bonge la m2
Joshua mtale
Mo atakaa simba mpaka kizazi chake
Miraji upo sawa sana😂
Saana mwamba, nakubali maneno yako
Sahihi wapishe
Uko sahihi kaka
Jomba miraji unajuwa sana
Mangungu nichizi hajui mpira
Timekusamehe
Wa nne leo
🙏🤝