mashallah mashallah shekhe wetu sema wanawake ndo wanamitihani kweli kwanza hawana malezi pili wanataka maisha ya Dunia ndoa kama izo kudum mtihani kweli ndo maana wanachika ovyo sababu wanataka maisha ya Dunia hawataki kulithika na maisha yalivyo tena msemo wao mwanaume Hana pesa namtakia nini
As salaam alaykum warahmatullah wabarakatuh alhamudulillah kwa mawaiza ukweli wapo Pia wanaume wenye sifa izo za wanawake kama Ayo pia ikiwa mwanamke utaziona tabia izo kwa mwanaume ni haramu kuolewa nae ao kuingia kwenye ndoa nae ALLAH atulide sote kiume na kike maa salaam ikiwa nimekosea muni swamehe
allah akujaze kheri mwalimu wangu
Shukran shekh Athman Mungu akujaliye Kila neema duniani na akhera.
Asant sana sheikh othman kwa mawaidha haya kwan nimeelewa na hususa yamenigusa kuyaona kwa mke wangu aliniacha
mashallah mashallah shekhe wetu sema wanawake ndo wanamitihani kweli kwanza hawana malezi pili wanataka maisha ya Dunia ndoa kama izo kudum mtihani kweli ndo maana wanachika ovyo sababu wanataka maisha ya Dunia hawataki kulithika na maisha yalivyo tena msemo wao mwanaume Hana pesa namtakia nini
😭😭😭 othaman leo umeniliza.subhanallah
Mashaallah tabarakaah 😂😂😂
Shukran Sheikh wetu mawaiza mazuri Shukran ❤❤❤
Shukran 😢sheikh Athman ALLAH akupe umri maneno yko n dahwa ALLAH WAKIL.
ماشاء الله تبارك الله ❤
Jmn mmeona picha tuu mawaidha mazuri hamjayasikia mmekimbilia picha jpo mm ni mkiristo lakin napenda sana mawaidha ya shehe anaongea ukweli
Njoo katika dini inayojieleza ambayo haina shaka ndani ❤
Sawa pia karibu ktk uislam omba kwanza mungu
FUNDI
@@qudirbruno1337lol lol 1aaaæ
😂❤Ata Mimi ni mkirsto but nependa mawaidtha ya watu wa kwali kwa family zetu Amina 🙏 kabisa 🥰
Wallah wapo masha Allah wapo sheikh yaa. Mtihan wallah
othaman maalim mungu akuingize peponi, nawewe mwandishi badilika penda pepo kuliko pesa, ondoa iyo pic ya laaana
Mawaidha mazur Sana hakika yanafundisha
mashaallah Allah akulipe pepe
mashaallah shekh darsa limenishika shukran sana
Jamani wanaume ndio waharibifu sio sana wanawake kufanya mabaya
Mashaallah Allah ukufungulie milango ya kheri
Mashalla
Maasha'allah allah akuhifadhi 🤲🤲
Masha.allah may Allah akuhifadhi insha.allah maalim wetu...
mungu amuifadhi shee wetu
Mashaallah
Maashaallah mawaidha mazuri kabisa
Masha Allah 🙏🙏
MashaALLAH swadakta
جزاك الله خيرا يا شيخ
Mawaidha mazur Allah atuepushe na sifa za wanawak hao waovu
mashallah hakik ni ukweli mtupu
Subhanallah
MashaAllah MashaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mim n mkristo lakin mawaidha nimeyakubali sana shekh
Mashallah
MashaAllah
As salaam alaykum warahmatullah wabarakatuh alhamudulillah kwa mawaiza ukweli wapo Pia wanaume wenye sifa izo za wanawake kama Ayo pia ikiwa mwanamke utaziona tabia izo kwa mwanaume ni haramu kuolewa nae ao kuingia kwenye ndoa nae ALLAH atulide sote kiume na kike maa salaam ikiwa nimekosea muni swamehe
Mmmmmmh
Sisi sote ni wachunga na kila mchunga ataulizwa Kwa kile alichokichunga.
Mashaallah❤
Safi sana
Elimu nzuri
Kweli kabisa sheikh maneno yako
Allah Akbar
Naisapoti sana,
Asalaam Aleikoum sheikh Waimea wenginee hawanaa imani ,,mwanamumee Mwngine huwa bil Akks Ameshindaaa mwanamkee kwa maovu zakee.
Allh akujalie mume mwema
Umekosea san mtangazaji kueka picha isio na maadili ya uislam mbele ya shekh wetu mkubwa huyu
Hawa wenye online tv dini wameieka pembeni, hata mnafikia hatua kutuwekea picha za wanawake walio uchi na mashekhe nao hawawaambii
Wallahi ni kweli, huyo ni dayus.
Mawaidha haya yamenigusa moja Kwa moja
silimu ndugu yangu
Yaaan shehe yaukweli yooote na nakir Kwa tabia hizi ninazo ila nimepona kupitia mawaidha
Maa shaa Allah...hongera sana na Mungu akuongoze zaidi uwe mke mwema Kwa mumeo
Mada saf maashaallaah lkn Kuna shubha mwanamke alie uchi apo sjui nani kaedit
Nikweri sisi Wanamake nishinda tu
Jamaani sio vzuri kuwambatanisha hizo picture za wanawake wa uchi na mashekh zetu
Sheikh tafadhali Ondoa iyoo picha ya uyo mwnamke inavunja heshima ya dini ya kislaam na heshima ya sheikh mwenyewe !!
siku hizi mwanamke anakupenda ukiwa unamaisha mazur pesa je yeye kwao wanavyo hivyo mpaka nyumbani kwako alete izo kejer za pesa
Assalaam aleikum shekhe wangu,lakini kulibaki watu tena ktk kikao hicho? au kila mara kuna mtu anakimbilia nyumbani kwa uwoga.
Haswa mimi ninapitia hayo jameni nitajitoaje kwa hio mtengo?
😂😂😂MashaAllah
Wana wake wakiarabu Hao ndo mambo Yao kujitia makeup mara kwa mara na kuoga balaa hadi siku ya outing😂😂
Mambo
Lakini kuweka picha ya mwanamke hivo itakua ni vizuri?
Haipendezi
HII CHANNEL KUNA MAWILI KAMA SIYO YA MHUNI BONGO FLEVA BASI NI YA MTU BIDAA KWA SABABU HAWANA HAYA KUWEKA MIPICHA MICHAFU MWANAMKE YUPO UCHI !!
Sio vzr ndug waislam kuwk pich kam iy ya mwanamk kahab muhun kweny jamb la kislam
@@allymohd5855
USISHANGAE KWANI HATA HUYO MWENYE CHANNEL NI MUHUNI /MSANII..
Mtihani kwakweli Allah Atuongoze
Toa hiyo picha hapo sio sasa
Sasa mwanamuke wapili utamutambuwa vipi
Kwani lazima muweke picha za wanawake nyie vipi..
HII CHANNEL KUNA MAWILI KAMA SIYO YA MHUNI BONGO FLEVA BASI NI YA MTU BIDAA KWA SABABU HAWANA HAYA KUWEKA MIPICHA MICHAFU MWANAMKE YUPO UCHI !!
Kakosea San shehe mkubwa unanuwekea piacha hii
Nitamjuaj km anatabia hii
Astaqfiru.. llah
HII CHANNEL KUNA MAWILI KAMA SIYO YA MHUNI BONGO FLEVA BASI NI YA MTU BIDAA KWA SABABU HAWANA HAYA KUWEKA MIPICHA MICHAFU MWANAMKE YUPO UCHI !!
Sawa sawa maalim tunao hao
Yaweza kuwa chanel hii ni ya mkristo
Mashaallah
Mashallah
Mashaallah