Si kila ukweli ni wa kusema -Sheikh Othman Maalim

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 83

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 2 роки тому +5

    MashaAllah shekh umesema ukwl kabisa Allah akuhifadhi

  • @hamisasalehe2427
    @hamisasalehe2427 2 роки тому +10

    Assalaam alaykum ee umati Muhammad! ALLAH ndie atakulipa hii elimu utupayo! Shukrani kwa darsa zako hazikinai kusikiliza. Najifunza jipya kila ninaposikiliza darsa zako. Jazzakallah khair.

  • @husseinalieth4346
    @husseinalieth4346 2 роки тому +4

    Maasha Allah..Allah akuhifadhi

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 роки тому +18

    Ewemwenyezi mungu tujalie tuwe katika watu wako uliowachagua na utuondoshee kwa kila ulio tuharimishia yaarabi ameen 🙏🙏🙏

  • @HBoga
    @HBoga 2 роки тому +12

    Mashallah sheikh wetu Othman Maalim. Kusema tu ukweli napenda sana kusikiliza darsa zako. Nikiwa kazini, naeka mwaidha yako na uskia raha sana kwa vile unatoa mawaidha kwa hekima na mara zengine kwa ucheshi. Mungu akuzidishie elimu na umri mrefu ili tuzidi kufaidika na mawaidha yako

  • @suraiya3151
    @suraiya3151 2 роки тому +6

    Allah akutunze sheikh wetu InshaAllah 🤲🙏🏼❤️🥰💕

  • @amirimohammed2875
    @amirimohammed2875 2 роки тому +4

    Yahalaah tujalie mwisho mwema na shehe wetu umpe moyo usiokinai yalabi🤲

  • @HassaniMweluwara
    @HassaniMweluwara Рік тому

    Mola akulipe kheri duniani na Akhera.

  • @halimasaid5781
    @halimasaid5781 2 роки тому +3

    Tunaelimika SI haba , Allah akujaze kheri

  • @mwanasitibakari3255
    @mwanasitibakari3255 2 роки тому +4

    Mashaallah mwenyezi mungu akuzidishie umri sheikh ss pia twajifinza kupitia mawaidh yako Allah akuzidishie malipo

  • @ulamaashaban8039
    @ulamaashaban8039 2 роки тому +4

    ALLAH ajaalie wenye kusikia na kufuata

  • @AthumanSalehe-nl7di
    @AthumanSalehe-nl7di Рік тому +1

    Mwenyezi mungu akulipe kila la heri shekh nasi tunaokusikiliza darasa zako atulipe inshaalah

  • @jumahamad3723
    @jumahamad3723 Рік тому

    Allah akuhifadh ustadh wangu maaalim wangu kheri na baraka iwe kwko

  • @habibahusein3883
    @habibahusein3883 Рік тому +2

    Tunajifunza mengi San kupitia mihadhara yako Allah bless you shekh Othman

  • @mohamedalimwangare
    @mohamedalimwangare 2 роки тому +5

    Shukran mjombangu @ Othman Maalim.
    Wanaudhubillahy siku hizi watu wanasambaza kwa Kutumia simu sio kwa sauti au sura ilonukuliwa.

  • @ramamganga7227
    @ramamganga7227 Рік тому +1

    Allah akuzidishie kher uzid kutuelimisha in sha Allah

  • @FeswalMohamedislamMohamed
    @FeswalMohamedislamMohamed Рік тому

    AA shekh wangu mm Niko Kenya lamu kisiwani nakukaribisha lamu joo shekh utupe dawa uwatowe ushamba mashekh WA huku nampenda darasa lako mm tafadhali mungu akikujaliya njoo lamu tafadhali naomba shekh wangu njoo lamu wabilahi tawfik ishallah niombeya duwa na mm mwanao tafadhali Sana'a

  • @aminaomary4889
    @aminaomary4889 Рік тому +1

    Inshallah mung hakujaze khery inshallah ❤❤❤❤

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 роки тому +5

    Subhana Allah...Mungu atuepushe na mambo kama haya. Amin

  • @nadiaahishakiye8170
    @nadiaahishakiye8170 Рік тому +1

    Shukrani kwadarsa🙏😊Allah akujalie mwisho mwem

  • @aminaSuleyman-d6y
    @aminaSuleyman-d6y 5 місяців тому

    Jazzallahu ghaira kwa ukumbusho sheikh wetu hakika ukwel usemayo

  • @rashidimrangi1953
    @rashidimrangi1953 2 роки тому +3

    Allah atunusuru na mashaka hayo inshaallah

  • @salmahussein8076
    @salmahussein8076 Рік тому +1

    🙏🙏asante shekhe kwa somo zuri

  • @ZainabSoud-u3u
    @ZainabSoud-u3u Рік тому

    Naam hakika maneno yako kaka angu mashallah mashallah hongera sana sana 🤲🙏

  • @dalfatsoud4867
    @dalfatsoud4867 2 роки тому +2

    Mwenyezi Mungu atujaalie tuwe waja wake waliotakasika na atuvue na mitihani

  • @ramlaleila374
    @ramlaleila374 2 роки тому +3

    Subhana Allah 😭😭😭

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Рік тому +1

    Mashallah, Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim

  • @rajabmwakoyo6671
    @rajabmwakoyo6671 2 роки тому +1

    Allah akubariki ustadhi Othman hekima

  • @rokiroki1825
    @rokiroki1825 2 роки тому +3

    Alhamndulilah maneno ya hekima MashaaAllah

  • @ummyibrahimu-gw6op
    @ummyibrahimu-gw6op Рік тому +1

    Manshaalla nakupenda kwa Jili ya Allah

  • @abdulfatahhussein4087
    @abdulfatahhussein4087 2 роки тому +2

    Baraka za Allah juu yako sheikh Uthman

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 2 роки тому +3

    Mashallah my favourite one💞🙏

  • @fauznuhu9981
    @fauznuhu9981 2 роки тому +2

    Mungu akujaze afia mwalim wetu

  • @apexmombasa6809
    @apexmombasa6809 2 роки тому +1

    Shukurani sana kwa Mawaidha nzuri

  • @AminaKikome
    @AminaKikome Рік тому

    Alhamdulillah MashaAllah MashaAllah Bismillah MashaAllah

  • @yasminyusuf-1508
    @yasminyusuf-1508 Рік тому +4

    ما شاء الله ❤️

  • @حسنيهاحمد-ل5ه
    @حسنيهاحمد-ل5ه 2 роки тому +1

    Namskize Shekh Othman maalim nikiwa Saudi Arabia

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 2 роки тому +2

    Mashaa llah umesema ukweli kabisaaa

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 2 роки тому +4

    MASHA ALLAH

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 2 роки тому +1

    ماشاالله

  • @hatungimanapatrick-tx4gv
    @hatungimanapatrick-tx4gv Рік тому +1

    Maashallah 🥰

  • @apexmombasa6809
    @apexmombasa6809 6 місяців тому

    Subhanallah

  • @waralizzy-bio-bale
    @waralizzy-bio-bale 2 роки тому +2

    Kul-hak wainkana-muuran (sema kweli japakuwa chungu)

  • @zakariasaliim6051
    @zakariasaliim6051 2 роки тому +3

    Mashallah

  • @hassaniteka4639
    @hassaniteka4639 2 роки тому +1

    🙏🙏🙏 shukran sheikh

  • @umarusiraji1796
    @umarusiraji1796 2 роки тому +2

    🙏 Yaarab tuongoze jaman

  • @semugishadiddy.idrissa298
    @semugishadiddy.idrissa298 Рік тому

    Manshallah

  • @zaichande3412
    @zaichande3412 2 роки тому +2

    Shukran shekh

    • @swabraathman
      @swabraathman 2 роки тому

      Ustadh mungu akuhifadhi akulinde akupe umri napenda darsa zako zaufaswaha wala humlengi MTU mungu akupe umri nasi atuongoze

    • @AthumaniChaurembo
      @AthumaniChaurembo Рік тому

      Maa' Shaa Allah kwa kutupa waadhi unaotunasihi namna Bora ya kuishi ktk ardhi, Allah azidi kukuongoza ktk khayraati,

  • @alisulubu6840
    @alisulubu6840 2 роки тому +1

    Allah Akbar

  • @DadinhoSufo
    @DadinhoSufo Рік тому

    ❤alalh

  • @rahmaalfan1776
    @rahmaalfan1776 2 роки тому

    Yaarab tuongoze kufanya khery

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum5974 2 роки тому

    Shukrani sana sheikh wngu

    • @saidmwidin8662
      @saidmwidin8662 2 роки тому

      【 ALLAH 】 tupe subra nJemaa Yah mawaidha YaLioYoo kuwa na mafundish0 boraaa kwe2

  • @dsmtourssafaris
    @dsmtourssafaris 2 роки тому +1

    mashaallah

  • @alimzee
    @alimzee 2 роки тому +1

    🙏🙏🙏

  • @miishhassn
    @miishhassn Рік тому

    🙏🙏🙏❤🙏

  • @suraiya3151
    @suraiya3151 2 роки тому

    🤲🤲🤲🥰🥰😍

  • @hashimwaziri3583
    @hashimwaziri3583 2 роки тому +2

    Swadacta

  • @naimajeddara8687
    @naimajeddara8687 2 роки тому +2

    ❤❤❤❤❤❤❤👌

  • @msafiriafraha2080
    @msafiriafraha2080 2 роки тому +1

    mtukufu mtume s.a.w amesema kwamba al-haqqu murrah yaani ukweli ni mchungu aliendelea kwa kusema sema ukweli hata Kama unakudhuru na Quraan Karim huthibitisha kauli hiyo ndani ya surah al-Ahzab ,kuulu kaulan sadida yaani sema ukweli katika kila hali kwahiyo dini inasema watu wadumu katika ukweli hakuna kauli hizi za kusema eti uwongo umeruhusiwa katika mazingira fulani

    • @msafiriafraha2080
      @msafiriafraha2080 Рік тому

      @@gallibmhammed8971 hakuna nabii aliyedanganya hata mmoja ndani ya Quraan Karim

    • @msafiriafraha2080
      @msafiriafraha2080 Рік тому

      @@gallibmhammed8971 huna unachokijua katika Quraan na mashekhe wako ,manabii wote ni watu watakatifu ,hakuna Mahala waliposema uongo ,onesha aya hiyo ,wewe unabidi unioneshe aya ambayo Allah Mtukufu amesema kwamba nabii Ibrahim a.s alisema uongo (auzubillah mindhaaliq)

  • @extraknowledge4709
    @extraknowledge4709 Рік тому

    swadakta

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 2 роки тому +1

    Muhammad Bachu must learn from sh othman muallim

  • @idrissaomba8803
    @idrissaomba8803 2 роки тому +1

    mbona sauti inakatika saaaana?

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  2 роки тому +1

      Kulikuwa na tatizo la kiufundi Pole

    • @hamadigwau1889
      @hamadigwau1889 2 роки тому +1

      Ni ukweli wenye uhakika ndani yake

    • @sadakheri1795
      @sadakheri1795 2 роки тому +1

      Mashaallah mungu awapeni upendo zaidi nazaidi kutuelimisha mwalimu wetu

    • @mdika3811
      @mdika3811 2 роки тому

      @@kalamuMedia🙏🙏

  • @mdika3811
    @mdika3811 2 роки тому +1

    Mashallah

  • @tazkiamohammad9285
    @tazkiamohammad9285 Рік тому

    Mashallah