Allah namuomba anikutanishe nawe live kabla ya kufa nimuombe Allah akupe ninachokipeda kutoka kwake akupe maana wewe ni wa kuombewa jema wala siyo baya inshaallah
Niko na suali kwako Sheikh langu Allah akubarikie.... Umesema kua Allah kitu cha kwanza aliumba ni Kiti chake cha enzi, kiti hiki kiliwekwa juu ya maji, na kiumbe cha pili ni kalamu, Jee hiki kiumbe maji kiliumbwa kilikua namba ngapi ? Kwa maana umesema kua kiti cha enzi kiliwekwa juu ya maji jee haya maji yalikuwepo kabla ama ni vipi hapo sijafahamu naomba unifahamishe,, Napenda sana mawaidha yako Sheikh. Allah akujazi killa la kheri daima
Hutopata jibu apo shehe wangu.kuna kiti kuna karamu.sasa hiki kiti kilikaaa wapi? Na maji yalitokea wap Na yeye aliumba kiti kwaajili gani? uliza kama utapata jibu. 😂😂😂
Mashaallah kama unesilimu kwa mawaidha kama haya ya sheikh Othman Maalim Allah akulipe kheir na yeye katika hii dunia na Akhera maana ukimuongoza mtu mmoja ni bora kuliko ngamia Mia wekundu kwa sasa magari ya thamani yawe Mia ndio uone ubora wake. Pia Mashaallah Sheikh Othman Maalim ni mfasaha sana na anafundisha kwa njia iliyo nyepesi kabisa mnyonge mnyongeni haki yake mmpeni
Alhamdulilah. nakumbuka nikiwa mdogo nilimuuliza ili swali mama yangu.Nakumbuka nilimsumbua sana kila akinielewesha ndipo nilizidi kumuuliza zaidi.Mwisho akaniambia nilale , nikiamka atanipa jibu sahihi.
Alhamdulilah shekhe Tunaelimika sana mawaidha yako yote yanatutowa kwenye kiza .Allah akulinde namashaani wakibinadamu na mashaitwaan wa kinijini (Ameen) Allah akupe umri mrefu( Ameen)
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, أسأل الله أن يجعل الشيخ من أهل الجنة وأن يطول في عمره بالخير والصحة والبركات اللهمّ إني أسألك أن تقابلني في جنات الأمس، اللهمّ الشيخ العثماني معلم، أحبه إليك، قد لا أستطيع الجلوس بجانبه لكثرة الناس، لكن ربي
Subhana-Llah kwa kweli na uhakika Mungu ni Mkubwa Mno, na Ma-Sha-Allah kwa Sheikh wetu Uthman kwa kutuzindua akili kwa wenye ambao tulikuwa hatujielewi.
Allah(s.w) ameumba kila ktu kilichomo Mbinguni na ardhini! Allah ametupa elimu tu sisi wanaadamu ya kutengeneza vitu kwa uwezo wake yy! Alimfundish adam majina ya vitu vyotee vilivyomo duniani kwahyo tayar Allah aliumba kila ktu.
Sheikh,Allah akupe umri mkubwa ,afya,uzima ,lakini pia fursa ya kutufundisha Elimu hii,na nyingine zote njema. Ni Mimi banda HALIFA nchasi wa PahiKondoa
Naam kiumbe cha kwanza kuumbwa na Allaah ni Maji=,(bahari saba) cha pili ni Arshi,=( ndio kiumbe kikubwa kuliko viumbe vyote ni kubwa sana hadi haielezeki) Ama kalamu ni kiumbe cha kwanza kwa maana ya kuwa ni cha kwanza kuumbwa kabla ya kuumbwa viumbe vyote baada ya Maji na Arshi. Maana maji na arshi ni viumbe alivyo jinasibisha navyo na ndio maana kuna; Maji, kisha Arshi ipo juu ya Bahari ya saba na Allaah yupo juu ya hiyo arshi lakini bila ya kuitegemea hiyo Arshi na huku akiwa ni mwingi wa kutenda alipendalo.
Nilisilimu mimi na familia yangu yote kwa ajili ya haya mawaidha ya kupendeza hivy😊❤
Neema kumbwa iyo Allahu Akbar..mimi peke ata watoto wangu bado ..yarabbi fungua roho ya watoto wangu waseme shade kabla mauti
Mashaallah! Allah akupe ucha mungu wewe pamoja na familia yako
Manshallah 🤲
MASHAA ALLAH
@@aishawangui-pr4yehakika watakuwa kwa uwezo wa Allah
Sheikh Athuman maalim ni mtu WA maana kabisa Allah akupe umri mrefu
Mungu akujaalie umri mrefu uzidi kutupa elimu
Allah akupe maisha marefu shekh wangu uweze kutufikia na sisi huku tulipo kusema ukweli mi nakupenda kwaajili ya Allah tabaarak taalah
Alhamdullilah suala la mungu watu wengi wanajiuliza. Sheekhe wewe umejibu vizuri masha Allah. Allah akupe baraka
A.alyekum
Shekh Othman Allah akupe umri mrefu na afya njema❤
Amiiiiiiiiiiiin Amiiiiiiiiiiiin thumma AmiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiinN
Ameen ya rabi
Amin 🤲
Amiiin walahi laadhim ishaallah amjaalie
Amin 🤲
Mungu akubariki naomba t uniombee mm ni mkristo lakini nimeprndezwasana na mafundisho naomba unidlim
Mtafute sheikh kwa namba hizo zilizoandikwa hapo juu in shaa Allah utaufahamu zaidi Uislam na utasilimu
Hivi unajua hadidhi maana yake nini?
Mungu atakuongoza amin sisi some wangonjjwa hata ni waislàmu mungu atutibu
Mashaallah, sheikh wetu Allah akulipeni pepo ya firdaus aalaa, Ameen!
tumeilimika kwa darsa hi!
Allah Allah Allah Mawaidha Matam sana Allah azidi kumpa Afya Shekh wetu lakini pia na wanao fatilia darsa hili kwa nia ya kheri😊
Allhh akupe umri mrefu shekhe wetu
17:26
Nilisilimu mimi pia juu ya haya mawaidha but napigwa nyumbani kwetu na familia
Allah akuzidishie umri wenye barka sheikh wetu
Mungu atupe mwisho mwema
Barak llah....Allah akulipe kwa kutoa darsa
Allah namuomba anikutanishe nawe live kabla ya kufa nimuombe Allah akupe ninachokipeda kutoka kwake akupe maana wewe ni wa kuombewa jema wala siyo baya inshaallah
Sheikh hongera sana kwa kazi nzuri, Mungu kakujaalia Mungu akuzidishie kheri
Uìslamu ndio Dini ya haki waaAllahu akbar
Na ndiyo maana majini yalisilimu kuwa waislam.
Naona kafiri unateseka sana😂😂😂
Sasa Nan kafir apo????@@ShaniSaleh
@@mwassamwassa7264 Ndio, majini yanaona haki na binadamu aliyeahinda jini akili anashindwa kufutata haki
Jazaka Allahu kheir, Mwenyezi Mungu atupe mwisho ulio mwema.
Allah akusimike na akuimarishe katika imani na taqwa Bwa Jeremiah kwa kusikia , kupokea na kuamini HAKI.
Shukran shekhe wetu Kwa kutuelimisha,Allah akuzidishie kila la kher na tuzidi uelimishana na kuongozana katika mambo ya Kher In Sha Allah 🤲
Allah atupe umri mrefu hehe wetu uzidi kuteelumisha
Jazakallah Kheir sheikh
Niko na suali kwako Sheikh langu Allah akubarikie.... Umesema kua Allah kitu cha kwanza aliumba ni Kiti chake cha enzi, kiti hiki kiliwekwa juu ya maji, na kiumbe cha pili ni kalamu, Jee hiki kiumbe maji kiliumbwa kilikua namba ngapi ? Kwa maana umesema kua kiti cha enzi kiliwekwa juu ya maji jee haya maji yalikuwepo kabla ama ni vipi hapo sijafahamu naomba unifahamishe,, Napenda sana mawaidha yako Sheikh. Allah akujazi killa la kheri daima
Allah akisema kuwa na kina kuwa
Maji yalikuwa hali ya gesi
Hutopata jibu apo shehe wangu.kuna kiti kuna karamu.sasa hiki kiti kilikaaa wapi? Na maji yalitokea wap Na yeye aliumba kiti kwaajili gani? uliza kama utapata jibu. 😂😂😂
Story
Cha Kwanza kuumbwa ni maji shehe kasahau.
Jazakumullah kheirun
Mwenyezi mungu azidi kukuongoza na kukuhifadhi kwa ajili ya mawaidha mazuri
Mashaalla othuman. Mungu akupe umri mrefu tuendele kujifunza darasa
TAKBIIIIR...ALLAHU'AKBAAR
Jazakallah kher'inshallah yaa sheikhuna,
Mashallah tabaraka rahman
Shukrn shehe kwa darsa ya mola wetu wa haki
Subhanallah laah ilah anta subhana khain kuntu mina dhwalimin
Allah akulipe na akutunze❤
Mashaallah kama unesilimu kwa mawaidha kama haya ya sheikh Othman Maalim Allah akulipe kheir na yeye katika hii dunia na Akhera maana ukimuongoza mtu mmoja ni bora kuliko ngamia Mia wekundu kwa sasa magari ya thamani yawe Mia ndio uone ubora wake.
Pia Mashaallah Sheikh Othman Maalim ni mfasaha sana na anafundisha kwa njia iliyo nyepesi kabisa mnyonge mnyongeni haki yake mmpeni
Glory be to God for this revelation
Alhamdulilah. nakumbuka nikiwa mdogo nilimuuliza ili swali mama yangu.Nakumbuka nilimsumbua sana kila akinielewesha ndipo nilizidi kumuuliza zaidi.Mwisho akaniambia nilale , nikiamka atanipa jibu sahihi.
mungu akuzidishiye kira raheri hakika mawaidha mazuri kwer
Mashalah shukran sn shekh wwtu ALLAH AKUJAALIE MWISHO MWEMA, SHEKHE ZANGU OTHMANI MAALIM NA OTHMANI MICHAEL MNAFANANA USOMAJI MPAKA UONGEAJI
SUBHANALLAH
ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
Barakallahu Feek
Alhamdulilah shekhe Tunaelimika sana mawaidha yako yote yanatutowa kwenye kiza .Allah akulinde namashaani wakibinadamu na mashaitwaan wa kinijini (Ameen) Allah akupe umri mrefu( Ameen)
ماشاالله برك الله تعلمين الشيخ أثمن معلم
Mansha Allah sheikh othman maalim mungu akuweke wacdi hii kwa mizani yako wakati ya aqira.
Shukran wa jazakallah kheir.Darsa nzuri yenye manufaa mashaallah
Shekhe mungu akupe umri mrefu nimependezewa Sana na mawaidha yako,
Ma Sha Allah,kisa kizur nimejifunza mengi Alhamdulillahi
Sheikh tafadhali record Quran yote, ili tusikilize sisi na vizazi vijavo, tabaraka Allah
Mungu akulipe pepo shekhe wangu mi nitakuwa Askari wako wa peponi ishaallah
Swallalah Allayhi Wasalam
Jazzakumllah Khery
Mashaallah Allah akulipe jaza njema
Ni suala gumu kujibu lakini umejibu vizuri sana Mashaalah
Shukran shekh kwa maelezo mazur yenye faida kubwa
Mashaallh Mungu akipenda umri mrefu na afya njema amen
Allah akuhifandhi sheikh othuman maalim
SUBHANA LLAH WALAILAHA ILA LLAH ..AL MALIK QUDUUS
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh,
أسأل الله أن يجعل الشيخ من أهل الجنة وأن يطول في عمره بالخير والصحة والبركات
اللهمّ إني أسألك أن تقابلني في جنات الأمس، اللهمّ الشيخ العثماني معلم، أحبه إليك، قد لا أستطيع الجلوس بجانبه لكثرة الناس، لكن ربي
Ma Shaa Allah Tabarakallah Allah (S.W.T) akuhifadhi nakila Shari
Maasha. Allh. Ummat. Muhammd. S. W. S.
Shekh Allah akulipe kesho akhera,biidhinlah
Subhana-Llah kwa kweli na uhakika Mungu ni Mkubwa Mno, na Ma-Sha-Allah kwa Sheikh wetu Uthman kwa kutuzindua akili kwa wenye ambao tulikuwa hatujielewi.
Umur twawil ya shekh othmani maalim .....na Akher twayib inshaallah ...yaatikil.afya
Masha Allah jazaakallhahu-lkhair.
Innalillah wainnailaih rajiun Allah tulinde tusiwe iblisi mpinga ukweli, ukifa 2ukweli utauona na utajutia kila lililohaqi ukalipinga.
Sheikh nakupenda Kwa ajili ya Allah naomba anijalie niwe kama ww
Allah akutunze shekhe Othman, nimejifunza
عسى أن أكون ممن يتقربون إليه في الجنة
Mashaalaah Allah akuhifadhi na akupe umri uzidi kutuelimisha
Mashallah,Shukran sana kwa mawaidha haya
Hata mimi swali hilo la mungu alikuwa wap lilinisumbua sana!!
Sasa hivi yupo wapi unajiuliza vitu vya kijinga unakakujua ya nyuma yaliyopo uyajui mbinguni ni wapi?
At me nina mshukuru sana sheeh angu
Shukran Sana shekhe, kwa elimu..Barakallahu fiikum
Allah Akbar
Allah Akulinde
Mashaa Allah
Nimepata Darsa zuri kabisaa
Subhana llah Allah akupe umri mrefu na akupe mwisho mwema ya rabii
Mashallah ❤❤❤
Shekh allahu akuzdshiy elimu piya akupe na umri uliyo mrefu
Allahu Akbar masha Allah 🥰❤❤❤❤❤
❤jaazakhallah kheir ❤
Allah akupe salama mwalimu bali ningependa kisa hiki kiendelee zaidi
❤laailaaha illallhu.. muhamad. Rasulu llh
Allah akulinde kama alivyomlinda mtume wetu katika pango
Allahumma Amiin jazakallah kheyr shekhe wetu
Allah kullipe shekhe kwa ellimu unaito kwa jamio
Masha Allah.....Allahu Akbar❤
MashaAllah MUNGU awahifadhi nyote mulio silimu mume ufuata njia sahihi
Allahu akbaru lahhawla Wala quwata ila bilahi
Shukran kwa ukumbusho
allah akbar mungu ni mkubwa na nimjuzu الله أكبر منغو ني مكوبوا نا نيمجوزو
Natamani niwemwnafunzi wa huyu sheikh anajua sana nimsomi hassa
Mungu akuzidishie umri mrefu uzidi kutunaswia😊😊
Kumbe karamu nayo Mungu aliiumba. Nikajua imetengenezwa na Binadamu.
Allah(s.w) ameumba kila ktu kilichomo Mbinguni na ardhini! Allah ametupa elimu tu sisi wanaadamu ya kutengeneza vitu kwa uwezo wake yy! Alimfundish adam majina ya vitu vyotee vilivyomo duniani kwahyo tayar Allah aliumba kila ktu.
🤲🤲
Sheikh,Allah akupe umri mkubwa ,afya,uzima ,lakini pia fursa ya kutufundisha Elimu hii,na nyingine zote njema. Ni Mimi banda HALIFA nchasi wa PahiKondoa
Amin
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
Mungu akubarik
Mashallah.
Asante shekh kwa kisa iki juma ugo komba nipo kinshasa kongo mgod kisamvu
Mashallah Allah akuifazi maalim
Subhanallah Allah atusameh makosa yetu
Kiufupi
كان الله قبل خلق الزمان والمكان، وهو الآن على ما عليه كان
Allah alikuepo kabla ya kuumba nyakati na sehemu, na yeye sasa hivi yupo alipokuepo
Baaraka llaahu laka Othman
MashaaAllah jazakaAllahu khayran
Subhanallah.Allah ametakasika. Darsa limejaa madini tupu.
Maana yake Kwa hadithi inaonesha MAJI yaliumnwa mwanzo kabla ya Arsh ndio maana Arsh ikawekwa juu ya MAJI. Ma Shaa Allah. Raha sana
Kweli kabisa maji ndio ya mwanzo kwa maelezo hayo
Nadhani nimeelewa kama wewe.
Naam kiumbe cha kwanza kuumbwa na Allaah ni Maji=,(bahari saba) cha pili ni Arshi,=( ndio kiumbe kikubwa kuliko viumbe vyote ni kubwa sana hadi haielezeki) Ama kalamu ni kiumbe cha kwanza kwa maana ya kuwa ni cha kwanza kuumbwa kabla ya kuumbwa viumbe vyote baada ya Maji na Arshi. Maana maji na arshi ni viumbe alivyo jinasibisha navyo na ndio maana kuna; Maji, kisha Arshi ipo juu ya Bahari ya saba na Allaah yupo juu ya hiyo arshi lakini bila ya kuitegemea hiyo Arshi na huku akiwa ni mwingi wa kutenda alipendalo.
Sheikh Othman maalim allah akujaalie jannatufildaus
Allahu Akbar Allah kareem
Allah akbar