Duh! Kwa maelezo haya, mke wangu tu ndo rafiki wa kweli. Maana yeye anafurahi nami nikiwa na furaha, anahuzunika nami nikiwa na huzuni na ananistahi nikoseapo.
Thanks am Kenyan but I have Tanzanian friend of 5yrs of friendship yaani namshkru mungu Kwa ajili yake live long healthy happy life tumetoka mbali na Kwa uwezo wa mungu tutafika mbali
Ahsante Sana Kaka Joel Mungu akubariki kuzidi kuwa Mwalimu Mwema katika nyakati zetu hizi. Ahsante nimejifunza Mengi kutoka kwako maana hapa ndo napima rafiki wa kweli katika maisha Yangu.
Duh ! U are the best. Iyo imesha tokea kwangu exactly as you said. nimeachana na wife wangu pia tunaishi in different countries but my best friend ndie ananifanya anaongea na x wangu then anakuja kuongea na mimi then maneno tumeongea naye ndio yananipiga vita after all then alhamdulullah nilikuja kumfahamu very late that he was not even jama he was my greatest enemy. Asanti sana kwa Somo lako I salut you. God bless you.
Lucy your the best friend for me, hata tupitie magumu gani Bado tupo pamoja na hatujawahi kuachana, kwenye magumu kwenye raha tupo pamoja, nakupenda dear
Nashukru Mungu ninae mmoja ni the best kwakweli japo sikuhi kumdhani km atakuwa ni best friend kwangu but namuheshimu sana maana tulipata kazi ambapo alitakiwa tuwe wawili lkn ile ilikuwa nafasi yake ila wakasema wanahitaji wawili akaniunganisha baada ya muda wakamkataa yy wakanikubali mimi na hio kazi lazima utoe kiasia cha pesa wallah namuheshimu sana maana pamoja n kuw nafasi yake nimekubalika mimi lkn bado hio pesa sikuwa nayo ila yy alinikopesha hio pesa na akiamin kila kitu ni ridhiki moyo wangu uliumia sana lkn bado alinitia nguvu wallah namuomba Allah atudumishe urafiki wetu daima kitutenganishe kifo
Asante sana kaka kiukweli nina orodha kubwa ya namba zawatu lakini rafiki ni mmoja kati ya hao ndoanae nitia moyo na ikiwa nashida hua yupo kunisapoti,barikiwa sana kaka
Kwa miaka hii ya Leo kuwapata marafiki wenye hivi vigezo ni Mara chache wengi wanakuja kama watu wema baadae wanatusaliti na kudhalilisha, rafiki bora ni mungu pekee na wazazi wengine ni kuomba mngu tuu
Mimi Nina rafiki yangu yapata miaka 5 Sasa nilikuwa na uchumi mdogo lakini akaniinua niliumwa yeye ndiye alishugulika na mmi mpka nikapona imefikia wakati nimeo mke wangu ananishauli niachane nae kisa wao wanawake hawaelewani rafiki yangu ananishauli kunisaidia kivyovyote Ile hivyo basi mke wangu ananiambia niachane nae nijitenge sijui anamanisha Nini hapo.
Kaka Joel, Hapa Zanzibar Darajani kwenye Duka la vitabu la Fal karimu, vitabu vyako vya Timiza malengo, You can rise again vimeisha, na pia vina muda mrefu bila kuwepo. Fanya utaratibu utuletee upesi tunakuomba.
Hakika kaka 💞🙏nina wazazi na ndugu zangu lkn nina marafiki zaidi 20 lkn wapo wapo rafiki zangu wa Tatu tu ❤️ hao ndio Mara tunakuwa tunasaidia kwenye shida na raha nina miaka nao 9 sasa Allah awape umri mrefu 🙏🙏💞Insha'Allah
Habari brother kwakweli mi nakuombea kwa Mungu azidi kukutia nguvu na maraifa yenye manufaa kwa ujasiri wa kujitolea katika kutoa elimu hii nzuri naami kupitia wewe watu wengi tumejielewa kwani elimu yako ni nzuri mnoo *Mungu akubariki sana sana sana* hapa nimejifunza kitu ila napenda unielimishe kuhusu rafiki ambae yeye sio mvivu ktk kutafuta pesa unapokuwa nae anakupa hamasa ya utafutaji lakini ukimchunguza kwenye suala la pesa maranyingi hakosi sababu. Kwa mfano yeye anapokuwa na hela yako anaweza kubaki nayo bila ya kujali kwamba anatakiwa kukurudishia kwa wakati, lakini wewe ukiwa na hela yake mapema sana nirahisi kumsikia "brother kama hiyo hela umeipata naomba unipatie maana nimeingiza wafanyakazi shambani na wamemaliza kazi nahitaji niwapatie hela yao. 2)Wewe ikitokea amekukopesha hela na hata muda wenu wa makubaliano ya kuirudisha haujafikia na ikatokea amepewa hela yako na mtu akupe badala yake anakupa nusu anakuambia nimepewa hii hela na Fulani nikupe ila nimefika nyumbani mtoto wangu anaumwa nimempeleka hospital imebaki hii nyengine nitakupa kesho kumbe kwa sababu anakudai amejipunguzia hela yake anayokudai. Je rafiki kamahuyu ni wa aina gani kwako. Asante.
Wengi ni marafiki wa kitu au pesa; ukiwa na maisha safi utakua na marafiki wengi sana ila ukipata changamoto ukaishiwa wanakukimbia tena wanageuka kua mabalozi wako wa kukusema vibaya na kutangaza changamoto ulizonazo na wengine wanakupa sifa chafu hata ambazo haziendani nawewe!!!! 98% HATUNA MARAFIKI ILA TUNAWAPAMBE+ WATU TUNAOFAMIANA TU!!!!!!!!
Daah kwa hivi vigezo, kiukweli niwe Muwazi tu Sina rafiki kabisa, yaani Mimi ndiye nimekuwa kama Mtumwa kwao kwa kila kitu, Ingawa Naamini kile ninachokifanya Kitaleta matokeo chanya Hapo Baadae
Ahsante kwa Elimu hii Brother Joel nanauka maana umenipa mchanganuo na nimejuwa watu wangu ambao waanafiti baadhi ya maeneo wapo wawili tu na ndo naambatana nao.🙏🤝💎💪
Yupo ninae moja ambaye ni mussa ni rafiki nikiwa na shida nikiwa kwenye hali ya tafurani yeye ndo anakuwa kipao mbele kumuweka wazi mambo yangu tofauti na hapo ninarafi wengine wanafiki tu!
Kaka ni kweli kabisa kwa vigezo hivi hadi ndugu wa karibu bado sio Rafiki wa kweli sasa aliyetuumba ndiye anayeweza kuwa rafiki kwa sura ya mtu yeyote sio vinginevyo
Duh! Kwa maelezo haya, mke wangu tu ndo rafiki wa kweli. Maana yeye anafurahi nami nikiwa na furaha, anahuzunika nami nikiwa na huzuni na ananistahi nikoseapo.
Hongera sana Mtemi👍
Thanks@@joelnanauka
Congratulation
Bro yes nimekuelewa san juu ya malafiki nimekutanana nachangamoto ya lafiki anaependa kupokea tuu nasio yeye kutoa brother jower Thanks so much
Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kusikia mafundisho Haya(Zaburi 32:8,Isaya 48:15-18,Warumi 8:26-28.Yehova Rapha, EL-SHADDAI, JEHOVA JIRE & EL-OHIM . JOEL NANAUKA Asante Sana (WAKOLOSAI 4:1-18"11", MWANZO 3:20-24)
Ahsante nashkuru kwa darasa lako ilakulingana navgezo ulivo viorozesha kwaupandewangu sna rafki kabbisa
Ninao wapigaji tu naachana nao
Thanks am Kenyan but I have Tanzanian friend of 5yrs of friendship yaani namshkru mungu Kwa ajili yake live long healthy happy life tumetoka mbali na Kwa uwezo wa mungu tutafika mbali
Rafik wa kweli ni baba na mama yangu ndio wenye furaha na maisha yangu 😊
Kwa kweli rafiki yangu ni Mume wangu
Asante hili somo nzuri sana Ubarikiwe
Asee me bado hapo sijapat rafiki msiri ahsante sana Kaka nimeelewa vizir
Maranyingi watu tunaowajua twawachukulia kama marafiki, mwishoe twajakuwaona ni wanafiki, thanks for your class.
Ni kweli kabisaa...pamoja sanaaa
Asante kk uko vizuri mi Bado natafta rafiki Mungu naomba nionyeshe
Asante kwa kutufundisha kweli elimu haina mwisho
Duh mie nadhani ninae mmoja tu ambaye pia ni ndugu yangu...
Una nibariki Sana kakayangu, iyi ni mabo ambayo nipitiya Sana mu maisha yangu, alafu na anzaka ku jiuliza pengini ni mimindiye mubaya
Ahsante Sana Kaka Joel Mungu akubariki kuzidi kuwa Mwalimu Mwema katika nyakati zetu hizi. Ahsante nimejifunza Mengi kutoka kwako maana hapa ndo napima rafiki wa kweli katika maisha Yangu.
Ni kweli kabisaa ..,hii inasaidia kuwajua na kuwachuja marafiki ulionao.
Mimi sina ata mmoja hapa
Thank you so so much kaka joe .....l love you sooo much... you are a fortune of Africa , a pride of Tanzania 🙏🙏
Duh ! U are the best. Iyo imesha tokea kwangu exactly as you said. nimeachana na wife wangu pia tunaishi in different countries but my best friend ndie ananifanya anaongea na x wangu then anakuja kuongea na mimi then maneno tumeongea naye ndio yananipiga vita after all then alhamdulullah nilikuja kumfahamu very late that he was not even jama he was my greatest enemy. Asanti sana kwa Somo lako I salut you. God bless you.
Hallo
Kiukweli Rafiki yangu ni Mungu tu, Mama mzazi, Na wewe Broo Joeli
Ahsante Sana,pamoja sana
Hilo nalo neno baba je
@@joelnanauka mi nlikuwa naomba matangazo kidogo yasiwe marefu sana..
aisee matangazo marefu hayo..
KUMTAMBA RAFIKI NYAKATI NI SHUGHURI MAANA UNAFIJKI UMEZIDI NAMBA USHAUI ZAIDICH MGALLAH
Lucy your the best friend for me, hata tupitie magumu gani Bado tupo pamoja na hatujawahi kuachana, kwenye magumu kwenye raha tupo pamoja, nakupenda dear
Habari! napataje kitabu chako Cha timiza malengo
Kiukweli umenisaidia katika sehem nyingi nakushukuru kwa elimu unayo tupatia kila siku ubarikiwe sana brother Joel
Nashukru Mungu ninae mmoja ni the best kwakweli japo sikuhi kumdhani km atakuwa ni best friend kwangu but namuheshimu sana maana tulipata kazi ambapo alitakiwa tuwe wawili lkn ile ilikuwa nafasi yake ila wakasema wanahitaji wawili akaniunganisha baada ya muda wakamkataa yy wakanikubali mimi na hio kazi lazima utoe kiasia cha pesa wallah namuheshimu sana maana pamoja n kuw nafasi yake nimekubalika mimi lkn bado hio pesa sikuwa nayo ila yy alinikopesha hio pesa na akiamin kila kitu ni ridhiki moyo wangu uliumia sana lkn bado alinitia nguvu wallah namuomba Allah atudumishe urafiki wetu daima kitutenganishe kifo
Wachache wanaweza hvyo
Amen sanaaa!!!!!!!Kuna wakati mwingine marafiki wanaanza kuwa na wivu
Kweli kaka mm! Sina uhakika kama nina wenye sifa zote! Je nifanyeje 😊
Rafiki Wakimwili Kwakweli Sina Hata Mmoja, Bali Ni KRISTO YESU Pekeee Tu.
Asante sana kaka kwangu mm ninaye rafiki ambaye amekidhi vigezo hivyo vyote na hakika ctamwacha kamwe.THANKS FOR INFORMATION BROTHER!!
🙏🙏🙏🙏🙏 nlikuwa cjy kumbe cna rafiki hata mmoja
Asante sana kaka kiukweli nina orodha kubwa ya namba zawatu lakini rafiki ni mmoja kati ya hao ndoanae nitia moyo na ikiwa nashida hua yupo kunisapoti,barikiwa sana kaka
Kwamaelezo haya mimi sina kabisa rafiki
Hatari Sana kamanda
Kati ya hao watano ninae mmoja tu wakunisaidia kwa wakat
Akii bro Joel nimetambua kua na rafiki mmoja tyu
Namshukuru mungu kunipa Mme nani rafiki yangu pia,
Asante kwa Somo kaka Ila mm ninachangamoto Kama ningeweza kupata no yako nishare n ww huenda unaweza nisaidia nipo njiapanda celew
Yani ukiwapata marafiki kama hao ujue mungu amekupa ndugu wa ziada
Kwa miaka hii ya Leo kuwapata marafiki wenye hivi vigezo ni Mara chache wengi wanakuja kama watu wema baadae wanatusaliti na kudhalilisha, rafiki bora ni mungu pekee na wazazi wengine ni kuomba mngu tuu
Wapo Mimi ninaye 1 tunafaana sana ila wengi wapo hivyo ukipata hata 1 au 2 katika wengi mshukuru Mungu kwa ajili yao
Mimi Nina rafiki yangu yapata miaka 5 Sasa nilikuwa na uchumi mdogo lakini akaniinua niliumwa yeye ndiye alishugulika na mmi mpka nikapona imefikia wakati nimeo mke wangu ananishauli niachane nae kisa wao wanawake hawaelewani rafiki yangu ananishauli kunisaidia kivyovyote Ile hivyo basi mke wangu ananiambia niachane nae nijitenge sijui anamanisha Nini hapo.
Asante bwana Joel kwa mawaidha yako
Mungu anitie nguvu kwa point izi sina rafiki kabisa.
Pole angel
Marafiki wanafiki ndio wengi
Ni kweli Angel, kuna changamoto kubwa Sana Katika kuwapata
Na safari yangu bado mbichi ya kuwapata hao marafiki.
I recommend you Mr. Nanauka
Kaka Joel, Hapa Zanzibar Darajani kwenye Duka la vitabu la Fal karimu, vitabu vyako vya Timiza malengo, You can rise again vimeisha, na pia vina muda mrefu bila kuwepo. Fanya utaratibu utuletee upesi tunakuomba.
Hakika kaka 💞🙏nina wazazi na ndugu zangu lkn nina marafiki zaidi 20 lkn wapo wapo rafiki zangu wa Tatu tu ❤️ hao ndio Mara tunakuwa tunasaidia kwenye shida na raha nina miaka nao 9 sasa Allah awape umri mrefu 🙏🙏💞Insha'Allah
Noted brother...
Ninae mmoja tu ambae anavyo vigezo hivi
Basi mm sina Rafiki kwakweli
Habari brother kwakweli mi nakuombea kwa Mungu azidi kukutia nguvu na maraifa yenye manufaa kwa ujasiri wa kujitolea katika kutoa elimu hii nzuri naami kupitia wewe watu wengi tumejielewa kwani elimu yako ni nzuri mnoo *Mungu akubariki sana sana sana* hapa nimejifunza kitu ila napenda unielimishe kuhusu rafiki ambae yeye sio mvivu ktk kutafuta pesa unapokuwa nae anakupa hamasa ya utafutaji lakini ukimchunguza kwenye suala la pesa maranyingi hakosi sababu.
Kwa mfano yeye anapokuwa na hela yako anaweza kubaki nayo bila ya kujali kwamba anatakiwa kukurudishia kwa wakati, lakini wewe ukiwa na hela yake mapema sana nirahisi kumsikia "brother kama hiyo hela umeipata naomba unipatie maana nimeingiza wafanyakazi shambani na wamemaliza kazi nahitaji niwapatie hela yao.
2)Wewe ikitokea amekukopesha hela na hata muda wenu wa makubaliano ya kuirudisha haujafikia na ikatokea amepewa hela yako na mtu akupe badala yake anakupa nusu anakuambia nimepewa hii hela na Fulani nikupe ila nimefika nyumbani mtoto wangu anaumwa nimempeleka hospital imebaki hii nyengine nitakupa kesho kumbe kwa sababu anakudai amejipunguzia hela yake anayokudai. Je rafiki kamahuyu ni wa aina gani kwako. Asante.
Wengi ni marafiki wa kitu au pesa; ukiwa na maisha safi utakua na marafiki wengi sana ila ukipata changamoto ukaishiwa wanakukimbia tena wanageuka kua mabalozi wako wa kukusema vibaya na kutangaza changamoto ulizonazo na wengine wanakupa sifa chafu hata ambazo haziendani nawewe!!!! 98% HATUNA MARAFIKI ILA TUNAWAPAMBE+ WATU TUNAOFAMIANA TU!!!!!!!!
Ni kweli Ephraim,kuna wengine ni watafuta fursa
Mm naona mama yng mzazi na mke wng ndio wanaoniambia kuhus mapunguf yng , Asnt bro.
Mbona mimi nawasaidia sana marafiki zangu niwachache wanoa kuwa karibu wakati washida
Nashukur sana.kwa maarifa hayo.
Asante sana bro
Very nice idea
Good idea
Mi ninae moja brother anaitwa violeth mwakasitu kwali shes more than a friend an
THANKX FOR UYOUR SUBJECT
Hapan mmi sina Rafiki kabisa.
Nashujuru umeileta shukurani San
Daah kwa hivi vigezo, kiukweli niwe Muwazi tu Sina rafiki kabisa, yaani Mimi ndiye nimekuwa kama Mtumwa kwao kwa kila kitu, Ingawa Naamini kile ninachokifanya Kitaleta matokeo chanya Hapo Baadae
Pole sana
@@daudymchodo843 Kawaida, pale unapokuwa kioo cha jamii, lazima uelemewe kwa Kuwatendea mema watu
Kweli sina rafiji wa hiviii nahitaji msaada Joel
Nimekudua leo sina rafiki
Kwa maelezo hayo Nina rafiki mmoja tuu wa kweli
Naomb utuletee n kipi tukifnye ikiwa biashra ambayoo huisimamii mda mrefu tujifunze
good.
Yes bor good
Mh mpk hapo itoshe kusema rafiki yangu ni Mungu na mama angu tu
Yan Kati yan watu wote niliyokua nao, mweny sifa hizo n mmoja tu....
@Kimoso....
Kwa point hizi Nina rafiki 1
Nakukubali sana ndugu pamoja sana
Mh. Kwa maelez haya lafk yang ni mama anguuuu
Mimi niko wengi ilammoja ana asilimia90 kwenye 1000
Ahsante kwa Elimu hii Brother Joel nanauka maana umenipa mchanganuo na nimejuwa watu wangu ambao waanafiti baadhi ya maeneo wapo wawili tu na ndo naambatana nao.🙏🤝💎💪
Ahsante kwa kuendelea kufuatilia.
Yupo rafiji yangu ambae anapenda vyangu tu yeye vyake mchungu mno saizi nimemshtukia namnyanyapaa maana Hana msaada kwangu apite uko
Sina kabisa, zaidi ya husband wangu tu
Yupo ninae moja ambaye ni mussa ni rafiki nikiwa na shida nikiwa kwenye hali ya tafurani yeye ndo anakuwa kipao mbele kumuweka wazi mambo yangu tofauti na hapo ninarafi wengine wanafiki tu!
Kwakwel mim cna rafiki jaman zaid ya mama yangu
Thanks bro kwa mafunzo yako.keep it up.👍
Madini ya kutosha,, ahsante br joel
Kaka ni kweli kabisa kwa vigezo hivi hadi ndugu wa karibu bado sio Rafiki wa kweli sasa aliyetuumba ndiye anayeweza kuwa rafiki kwa sura ya mtu yeyote sio vinginevyo
Kwa maelezo hayo cna hata mmoja
Ni jambo Jema sana
Brother Joel Yan Kichwa Chako Ni Zaidi Ya Mgodi Maana Kinatema Madini Tuuuu,
Au co jomba jamaa ni nouma
Nashukuru Sana, pamoja sanaa
Ni muimu kwangu ndomaana nafatilia mafundisho yako we ni mwalimu bora
Nashukuru Sana Simon, naamini tukiendelea kujifunza tutajua zaidi
Yes
Asante
Ahsante kwa malifaa
GOD BLESS YOU
Kweli marafiki Wengi wabaya ambao ukiwaelezeya shida Zako
Sina kwa kwelii
thanks
Napenda saana... Mafundisho yako!, Leo nimejifudza zaidi kuhusu marafiki wa kweli... Shukuran kaka..., mm natoka Kenya...
Hayupo
Mi sijapata rafiki bado
sina hata mmoja kk
Sina!
Nina mmoja tu tena wa kiume huyo ndio anae fiti kwenye kila eneo
Sawa kaka
Kwa hiyo sina rafiki
Hahahahh
Kwa vigezo hivoo sina rafiki hahahaha hahhhah hahhhah 😃😃
Maada yako inamanisha mm nalafiki mmoja01 to
Mimi sina kabisa kwa sifa izo ninao watu ninao juana nawo
Sina rafiki Mimi Sina ata mmoja mwenye sofa izo
Sina rafiki kabisa
Ila joel nanauka anastahili kuishi ili waelimikeweengi zaidi ,kazianayoifanya bure mungu atamlipa jamani mb za 500 tu unapata elim zaidi ya chuo