Dr. Chris Mauki : Hatua saba (7) za kufuta kumbukubu mbaya zinazokutesa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 чер 2020
  • Wengi wetu tumepitia nyakati mbaya na zinazoumiza huko nyuma. Labda uliteswa, ulitengwa, ulinyanyaswa, ulidhulumiwa na mengine mengi. Mambo haya yote yana tabia ya kuacha alama kwenye maisha yetu, kwenye fikra zetu, na tunaendelea kuishi tukiwa na kumbukumbu mbaya sana kutokana na yale tuliyoyapitia. Najua huzipendi kumbukumbu hizi lakini zipo na zinakufuatilia. Je unatamani kuzifuta? Niruhusu nikufundishe hatua 7 za kukusaidia kuzifuta kabisa.

КОМЕНТАРІ • 86

  • @deejahkeyz9859
    @deejahkeyz9859 Рік тому +2

    Allah akujalie zaidi

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Рік тому +2

    Kufiwa na mtoto je,,,, MUNGU nisaidie

  • @rehemaibrahim8758
    @rehemaibrahim8758 2 роки тому +1

    Asante dr unatusaidia sana baraka nyingi kwako umenitia moyo sana

  • @monikaben9248
    @monikaben9248 2 роки тому +1

    Mungu akubali sana nimechelewa kukufahamu ila nimefalijika sana

  • @SeliliaAlly
    @SeliliaAlly Місяць тому

    🎉❤mauki ushauli wako umeniponya ubalikiwe sana2

  • @mossesdaudi4617
    @mossesdaudi4617 3 роки тому +5

    A good training doctor

  • @mwendelwaaline1444
    @mwendelwaaline1444 2 роки тому

    Asante sana docteur, kweli mimi nimwenye kujiambiya kila mara yale ambayo yameisha pita. Tangiya leo naanza jiambiya mazuri kweli. Mungu akubariki 👏👏👏👏

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 роки тому

    Asante,haha maneno unayoongea ni Tiba so ushauli,Asante Sana mauki uwe na furaha na ufahamu wewe na familia yako🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rispathequeen
    @rispathequeen 3 роки тому +5

    Thank you Dr Chris everything u talk about it about me l do get alot of teaching in your lessons classes

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Рік тому

    Asante Sana,umenifundisha kitu kizuri Sana! Yale ambayo tunayaongea kuwakanya watoto wetu tuyatumie kujikanya wenyewe🙏🙏

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 2 роки тому

    Asante kwa masomo yako nafuatilia kila mara narudiarudia kila mara sichoki na masomo yako maaana yananibadilisha kila Leo.Barikiwa.

  • @NyangiKaniki-dj7kb
    @NyangiKaniki-dj7kb 10 місяців тому

    Asante Dr.yaani nilipata misiba ila umekuwa faraja yangu Leo.

  • @kadightanzna6709
    @kadightanzna6709 4 роки тому +2

    Ahsante kwa somo zuri

  • @munahashim8898
    @munahashim8898 2 роки тому

    Shukran Sana 🙏

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 3 роки тому +2

    THANKS FOR YOUR ADVICE SIR.

  • @shikowanjiku3609
    @shikowanjiku3609 3 роки тому

    Asante ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @rahmamohamed9646
    @rahmamohamed9646 2 роки тому

    Shukran dr chris

  • @sabylaby
    @sabylaby 3 роки тому +2

    May God Bless you

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 4 роки тому +2

    May God bless you!!

  • @ibahatimoses6431
    @ibahatimoses6431 3 роки тому +1

    Asante Dr

  • @evakimbindu4346
    @evakimbindu4346 3 роки тому

    Asante Dr.

  • @rachaelsaguth7154
    @rachaelsaguth7154 3 роки тому +3

    Thanks so much Dr ur a good 🙏💪

  • @lucywanjugu6443
    @lucywanjugu6443 4 роки тому +2

    I like the teaching

  • @janethjoely7685
    @janethjoely7685 4 роки тому

    Somo nzuri sana asante

  • @ednanyaboke4536
    @ednanyaboke4536 4 роки тому

    Hoo yes somo mzuri aky nimesaidika be blessed ata nandika notice zinasaidie kesho

  • @jacklineoduor7973
    @jacklineoduor7973 2 роки тому

    Nashukuru kwa mafunzo mungu akubariki

  • @janethjoely7685
    @janethjoely7685 4 роки тому

    Sono nzuri sana asante

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 4 роки тому

    Asante doctor nimenufaika

  • @marialushinge1140
    @marialushinge1140 2 роки тому

    Ahsante sana Mungu akujlie afya njema uwepo kila cku ili wengne tujifunze kupitia wewe

  • @mossomar1674
    @mossomar1674 4 роки тому

    Shukran Sana kk nimejifunza mengi kupitia masomo yako

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 2 роки тому

    Mungu akubariki sana

  • @monicahchepchirchir2728
    @monicahchepchirchir2728 4 роки тому

    Asante sana ...

  • @yumnahamis407
    @yumnahamis407 4 роки тому

    Asante sana una nisaidya sana mimi mdau wako

  • @naomikatharinaandrewmnkai6760
    @naomikatharinaandrewmnkai6760 4 роки тому

    Aki unafanana na yule mwanao mdogo! Wooi. Anyway thanks kwa somo zuriii

  • @graceclinton5241
    @graceclinton5241 Рік тому

    Umenifaa sana crss broo

  • @jeanettegloria6244
    @jeanettegloria6244 4 роки тому

    Asante sana

  • @rosenelima8618
    @rosenelima8618 3 роки тому

    Asante daktar mimi ni mmoja wa wale wanateswa na kumbukumbu ila nimepona sasa,asantw

  • @benardhyranzimjr5729
    @benardhyranzimjr5729 4 роки тому

    Umegusa sana father

  • @fatmamohamed3274
    @fatmamohamed3274 Рік тому

    Ubarikiwe sana

  • @SadimMavoice
    @SadimMavoice 4 місяці тому

    Kazi nzurii

  • @sufoorembo5925
    @sufoorembo5925 2 роки тому

    Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿

  • @kainamallya4599
    @kainamallya4599 4 роки тому +2

    Hakika umenisaidia kitu🙏🙏🙏

  • @emanuelmwangoka2913
    @emanuelmwangoka2913 4 роки тому

    Good somo

  • @careencharlescharles9749
    @careencharlescharles9749 4 роки тому

    asante

  • @kashnegro0510
    @kashnegro0510 3 роки тому

    Asant san doctor

  • @fedrickdaniely8620
    @fedrickdaniely8620 4 роки тому +1

    Exactly Dr. Nakufatiliaga sana na ni mdau makubwa wa psychology sana

  • @episawaki1281
    @episawaki1281 4 роки тому

    Asante kwa somo nzuri🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @roseaccont552
    @roseaccont552 4 роки тому

    Somo nzuri sana nimejifunza kitu hongera

  • @veronicamadata1673
    @veronicamadata1673 2 роки тому

    Amen🙏

  • @mrsmtiulempwembwe8938
    @mrsmtiulempwembwe8938 2 роки тому

    Habar dokta

  • @esthermrambamramba1570
    @esthermrambamramba1570 4 роки тому

    Asante umenivusha nlikua nmekwama mahali

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  4 роки тому

      Nashkuru sana kama umepata kitu

  • @JosephineJacob-zo8sq
    @JosephineJacob-zo8sq Місяць тому

    😢😢😢me ndo nmeiona hii Leo ilaa baba umenigusa

  • @susanraphael5894
    @susanraphael5894 4 роки тому

    yes

  • @jellynesssemu9406
    @jellynesssemu9406 2 роки тому +2

    Asante kwa somo zur doctor. Kama mm MAMA alituacha tukiwa wadogo mm na mdogo wangu. Lkn sisi tunampenda sana. Lkn yeye anasema atupendi . MAMA kama huyo anaweza kumfanyia nn hisisote ajatule ?

    • @happynescostat7420
      @happynescostat7420 2 роки тому

      Endelea kuwa karibu nae uenda Ana matatiz ya kisaikorojia pole Sana endelea kuwa karibu yake,🙏🙏

  • @careenbaraka9854
    @careenbaraka9854 4 роки тому +1

    Unawezaje kusamehe,kama "if You didn't let it out"?

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 роки тому

    Asante nazidi kuelimika

  • @rumb9691
    @rumb9691 4 роки тому

    Thank you so much Dr chris

    • @gabigabrieliboniventula3462
      @gabigabrieliboniventula3462 3 роки тому

      Dr yani ninanwezi wa 7nimetendwa na tumeshakalishwa vikao sana ila kila nikikumbuka namna ya matukio ya usaliti moyowangu unajenga chuki na kujiuluza alinichukuluaje mpaka kunifanyia hivi nateseka saba

    • @ashurasolaga9420
      @ashurasolaga9420 3 роки тому

      Mh yani Kama Mimi najitahd tu kutafuta furaha lkn unakataa kumbukumbu zimegoma kutoka kichwani

  • @leahamani1267
    @leahamani1267 2 роки тому +1

    😭😭😭docta mauki nimeumizwa kwenye mahusiano nahisi kufa tu mm

    • @happynescostat7420
      @happynescostat7420 2 роки тому

      Usijifanyie ubàya ivyo, wengi tumetendwa na tulikuwa na Hali mbaya Sana Ila mauki na Joel wametusaidia,jiambie kwa sauti maneno ya ushindi,mungu akusaidie

    • @aminaluttu649
      @aminaluttu649 Рік тому

      Usijal dia tupo wengi wapo tunaowaitaj tusicjoke kumuomba mungu

    • @joycehaule4520
      @joycehaule4520 Рік тому

      Wala usife kwa ajili hiyo mambo hayo yapo Mungu ni mkuu atakupa faraja ya ajabu

    • @NellyYuda-ev5ts
      @NellyYuda-ev5ts 11 місяців тому

      Jamni mume wangu naishi naye niishije nae ili nisiumie juu ya matendo yake

  • @kelvintimasho556
    @kelvintimasho556 4 роки тому

    🙏🖤

  • @leahjohnsimba4088
    @leahjohnsimba4088 2 роки тому

    Yani nilikuwa najua Nina shida peke yangu umetuponya weng Mahuki

  • @mariamsanya5958
    @mariamsanya5958 3 роки тому

    ASANTE nikuelewa sana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +1

      Asante kwa kutazama, natumaini ume subscribe

  • @lucksonkalima1988
    @lucksonkalima1988 3 роки тому

    Jamani mimi moyo wangu unamaumivu makubwa sana nahiji msada wako

  • @barakanasari2760
    @barakanasari2760 4 роки тому

    9:10 hapo nilijipata

  • @mrsmtiulempwembwe8938
    @mrsmtiulempwembwe8938 2 роки тому

    Kuna kitu nataka kuuliza dokta

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy3940 Рік тому

    🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🙏🙏🙏🙏🙏

  • @robhikebhanyo8026
    @robhikebhanyo8026 4 роки тому

    Dr Chris mauki naomba unisaidie namba yako na shida muhimu sana

  • @ellyjames9375
    @ellyjames9375 4 роки тому

    Naomba namba yako kuna jambo linanisumbua sn 0789892570

  • @evakimbindu4346
    @evakimbindu4346 3 роки тому

    Asante Dr.

  • @sufoorembo5925
    @sufoorembo5925 2 роки тому

    Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿